Baba princess Tiffany ...ukaacha ka baby girl Tiffany na vile hupati wasichana unatoa tu dume tupu ....for sure najua you miss your real first family with madam zari...
kwani lazima ukiwa na pesa uzae na kila mwanamke?? huo ni ushamba na ulimbukeni.. kwamba hakutarajia hayo maisha mazuri looh... sijawahigi kukupenda we kaka una tabia za ovyo sana.. kutumia wanawake kama vyombo vyako vya starehe...
Havana haha haha haha he pia Ethiopia na Cameroon l don't know what is wrong with ladies l swear,MTU anakutumia tu just because of fame and money l poooh booy
Naomba mm ctaki update za hzi habari badaa matuc Yaja kwanguu mm napewa kilaa ubya katika maishaa yangu 🙏🙏delete jamani nashibaa na matuc iwapo Munguu akipenda taonana nae
Sikutarajia kama unaeza Fanya Mambo hilo licha us kuona wenzako bad unajibebea mimba so Bad umetubwaga sana wakenya.kwani hauwaoni wenzako ngoj kuacha history.
Salma Gulam kutokuwa na hofu ya mungu nalo ni tatizo.uzuri ukiwa na hofu ya mungu mambo mengi unayaepuka. Lakini badae lawama zote unamsingizia shetani😱
Ndio nasema Mm nani anae jua zaidi ya Allah Kwa imani yake dimond Munguu aeza msamehe jamani 🙏🙏pls Musi gurje mtuu musiji hisabu cc WA peponi huyu moto kwani Allah ajua zaidii yy wacheni kussema kaka
Tanasha na wewe sasa mwisho wako umefika Kwani ukisha kuzaa tu.. diamond na wewe atakuacha kama alivyoachwa zari na hamisa haoi huyo kazi kuzalisha ovyo tu kama Paka Shume ..na hana hata hofu ya Mungu ..dah!
Jmn ivi kumzalia Diamond xaiv imekuwa Fashion eeeh me coni cha umuhimu apo upuuz To akuna muowaji apo ukizaaa utatupwa kuleeee anatafutwa mwengineee bola mondy ungetulia na zari to
I’m so happy for you guys ❤️congratulations 🇰🇪
Shemeeji shemeeji shemeeji woow Erico you never disappoint.
Congrats Tanasha
Wish you all the best....may that angel know the peace of God
Mangi kimambi shikamoooooooo kwa kazi nzuri tanasha kazihirisha sasa
Mama Dangote...you deserve this treatment from your beloved son...you took him through to where he is...💖👏
Another baby mama😳😳😳
I pity Tanasha....she would have waited to wed before getting pregnant....guess she will be one of the baby mamas
Wangapi walikuwa wanatarajia tanasha kuvishwa pete ya uchumba ila ng'o😭😭
Wavisheni wenu kwanza
Moses murith jibu zuri hilo jmn unanidai soda apa tanasha kasha vishwa Pete wanataka avishwe nini tna
Diamond utamwuwa zari kwa wivu
Tulia kila kitu na wakati wake
Anne Gichuki ilikua Ni birthday sio engagement
This is the only marriage that the world we are styl dreaming of ,,,diamond diamond diamond ,,,,
I think ni mkakati. From Kenya, which country is next?? Rwanda, Burundi ??? Dada zetu jifunzeni jamaniii........na mumuogope MUNGU....
waiting for my Rwanda sisters father Abraham
Baba princess Tiffany ...ukaacha ka baby girl Tiffany na vile hupati wasichana unatoa tu dume tupu ....for sure najua you miss your real first family with madam zari...
Yh true😭❤
Ladies let's get married first b4 becoming bby mama.anyway we have different lives. Congratulations princess
Ikr ugh...
What difference does it make
Congratulations Tanasha and Mondi children are Gifts from God
Mnatutiya machungu na ss tutiye mimba raha sana chibu tunakuoneya wivu sana😘😘
Pole Sana ZARI HASAN .
Congratulations tanasha and dai
This women do not learn anything? Get a ring first.....get married....own everything or half of everything. oh well........
Sasa unataka amiliki ambacho hakukitafuta!! Acha wewe
She's gonna be another baby mama
Rose Amal true
upendo Kama wote
Relationship n conseaving with no covenant or engagement i pity you Tanasha.
Qni
Jaman daimond u didn't engage tanasha 😏😏😏😏 kwel utamwaja Tu,so sad for you tanasha.but enjoy wakati huko naye.happy birthday 🎂 tanasha
Una wivu jamani
Bb cv merci sana wangu
Comeon Diamond ♦️ say that was something good u said 👏🏻👏🏻
SorryTanasha!! You have just made it to the list of baby mamas
Harsh
Nice dress Tanasha
Tiffa na Nilan watabaki kuwa juu...ukimaliza na Kenya Tembea Nigeria
As
Lililililili Simba n the lioness
Kwanzaa diamond Naomba msamaha Sana kua niweka wimbo Leo zaidi kisha pia naona compln
Beautiful couple
Namuonamze nasibu😘😘
2:21 look at diamonds face😳😳😳 jomoniii
😂😂
kwani lazima ukiwa na pesa uzae na kila mwanamke?? huo ni ushamba na ulimbukeni.. kwamba hakutarajia hayo maisha mazuri looh... sijawahigi kukupenda we kaka una tabia za ovyo sana.. kutumia wanawake kama vyombo vyako vya starehe...
Kwann nao wakubali kutumika ata ww akikufata hukatai.... Alafu km humpendi MTU sio lazima uccoment inamaana unamfatilia
Glory Pama umenikosha san
Nakusoma Glory....hii si sawa kabisaaa......may be uwe huna dini kabisaaa! Si kwa waislam au wakristu, hii kitu haikubaliki......FULL STOP
Vraiment
Mmmmmmmmmh safi Sana coz umependeza sanaaaaaa
Mungu Awabariki 🙏
J'aime bien la présentation de Diamond. Mais il est un petit peu timide 😀😃😃
Kwa raha zenyuu😍😘
Our ericomondi never dissapoints
Bado Pete Tanasha don't fail us
Uganda zari tanzania mobetto tanasha Kenya bado sudan, Ethiopia na Somalia..hahaha
karama Samir hahahaha
Amezidi huyu na kunao wengine nje hajawasema officially ndio maana apima ukimwi kila mwezi...Subhana Allah
karama Samir nimecheka hadi nimejikuwaaa
Havana haha haha haha he pia Ethiopia na Cameroon l don't know what is wrong with ladies l swear,MTU anakutumia tu just because of fame and money l poooh booy
Na Congo 😂😂😂😂
Mm czai ctaki Hyoo maishaa magumuu kushikaa adabuu
Mimi sioni Mapenzi yoyote hapa. If you want to see true love without a stain, watch diamond and wema sepetu
hahahaa dai bhana nilijua unamvalisha Pete kumbe ulikuwa unaongelea mimba dooh amaa kwel tanasha mume unae
Daah raha sana jamn
Bother Big up us
Naomba mm ctaki update za hzi habari badaa matuc Yaja kwanguu mm napewa kilaa ubya katika maishaa yangu 🙏🙏delete jamani nashibaa na matuc iwapo Munguu akipenda taonana nae
Baby is a blessings
good one guys watching na zari from south Africa
everrine Anyango Zari is an xpired thing
Zari kumfikia kazi kweli Zari mzuri wewe
Sikutarajia kama unaeza Fanya Mambo hilo licha us kuona wenzako bad unajibebea mimba so Bad umetubwaga sana wakenya.kwani hauwaoni wenzako ngoj kuacha history.
Winnie Amina I really hope she’s smart enough to eat as much money as possible
Mojawapo ya dalili za kiyama ni watoto wa zinaa kuongezeka kwa mujibu wa maandiko matakatifu.ukipinga shauri yako🤔🙄
Idrissa Tuppa n kwl asee
Idrissa Tuppa nooooo
Idrissa Tuppa kweli baba
Tena wananadisha wanaona jambo la kawaida
Salma Gulam kutokuwa na hofu ya mungu nalo ni tatizo.uzuri ukiwa na hofu ya mungu mambo mengi unayaepuka. Lakini badae lawama zote unamsingizia shetani😱
Kama umeniona Mimi nipo kalibu na rayvan gonga like chaaap
hongera kaka unajitahd mama vile uliambiwa dunia ujaze peke yako
Yani Hata Pete Ya Uchumba Jaman Hamuvishii 😭 Is Bad Wallaaai Sasa Hiyi Movie Tuone Mwisho
*Duh wauni tunasoma comments tu*
Tanasha gorgeous
I miss the couple.
This was amazing!
THE MOVIES LOVER hakuna wa kuoa hap
@@khatibumangoma5200
Ataoa
Just believe
i love you ❤❤❤❤❤❤
Don't thing you are beautiful kwa mwanaume
Wanyooshe mamaa 254 t
Great job our Kenyan queen tanasha,,😘😘
Disgracefully...get married first before you start popping kids......what is she the 3rd baby mama
Salaam nawasalimu WA tz. Mbona Lakini mwamlaumu kaka wangu diamond c vizur ndgu zangu
Hongera
Ndio nasema Mm nani anae jua zaidi ya Allah Kwa imani yake dimond Munguu aeza msamehe jamani 🙏🙏pls Musi gurje mtuu musiji hisabu cc WA peponi huyu moto kwani Allah ajua zaidii yy wacheni kussema kaka
Kweli simba ni bingwa. Lakini tufanye mambo kwa njia inayofaa kulingana na vile Mungu ametoa amri zake.
Ntaenda kablaa kufiks napija kiziboo mm ctaki kizazaaa Hahaaaa 😊😂balaa shidaa yann
Munguu atafanyia kila mema hyo bb na bwana hawezi kosana
I am Somali
Am praying for this two people to be together again
Forget it, he has gone back to zuchu
❤️
Mm ilikua na expect ni harusi kumbe ni bday... Dume la Mbegu hyu lkn sio wa kuoa
😂😂baba wa kids of east africa🤔who is next? Kila.mwana na mama yake
Next is rwanda or somalia then Ethiopian burundu
Next is Rwanda no doubt 😂😂😂😂😂
@@sweetmelody9927 ati somali 😂😂😂
@@sweetmelody9927 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
East Africa Daddy
kama unakubali siku moja diamond atatudondosheaga bonge la ngoma na erick omondi gonga like 100
Hii tamu Sana woiyeee
Dimond ajipenda masknii furaha kuruka aweka update video's pic after jamani naja tuciwa mm bila dhambi 😂😊👍
Hahaaa Zari ako na wanne jmn tuacheni kidogo
Musimlaumu huyo kaka Hana ubya kabisa yy Clean heart hapo afanya mtuuu arudi bila kutaka kwake 😊👍
Kama kuna alieona tanasha kachora tattoo gani hapo nyuma agonge like na aseme
😁😁 ati anaitwa mpenzi wangu nilijua atasema hata mchumba wangu
Waaa
maskin mzee abdul juma anatazama mama Dangote haamini yake macho.Mama Dee ana jamaa la kula bata sawasawa
Diamond, wth? Not even a ring ? I smell trouble 🤣🤣🤣🤔🤔... no wedding
Yajayo yanafurahisha namkumbuka mm T hapa
Huyu bwege anaua maadili ya taifa
Mbongo ata akiba ukimpa nafasi ya kujitetea lazma utaix umemwone ivo Yan wabongo oyeeeeee nchiii jilani kuwen makn
Who missed sarah hassan 😢😢😢
He can do whatever but dead beat dad standing there talking about another. Anyway treat that young girl well
Angemu engage leo isingenoga maana kila mtu alikuwa anamtabiria kuwa atamvisha pete..na uhakika atakuja kumstukiza kabla huu mwezi hujaisha
Waaau
Watu wanashangilia zinaa mungu tuongoze waja wako
Tanasha na wewe sasa mwisho wako umefika
Kwani ukisha kuzaa tu.. diamond na wewe
atakuacha kama alivyoachwa zari na hamisa
haoi huyo kazi kuzalisha ovyo tu kama Paka
Shume ..na hana hata hofu ya Mungu ..dah!
I thought he would propose
Jmn ivi kumzalia Diamond xaiv imekuwa Fashion eeeh me coni cha umuhimu apo upuuz To akuna muowaji apo ukizaaa utatupwa kuleeee anatafutwa mwengineee bola mondy ungetulia na zari to
Yaani nishida kila kona mtt na wala siyo ndoa
The same mistake again
Loh
AIISEE NIKIPATA DEMU KA TANASHA SICHEPUKI NG'OO
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
amen
Pesa ziko..zaeni
Wueeh
Na hyu tanaaha hakujua dawa wala family plan Lakini Munguu amshajalia Roho ijee Kwa dunia wataelewana musijali 👍😊