@@mathnasaeed3806 wapumbavu tu hawa walisema wema mzuri sana wakasema zari kiboko kafunika mademu wote wakasema hamisa ndio mrembo na pia saizi yake leo wanasema tanasha😂😂😂
Kama msingi ni uzuri, basi msingi ukibomoka nyumba huanguka lakini kama msingi ni heshima, utu, upendo WA KWELI na maadili ya Mwenyezi Mungu, basi nyumba hudumu hata dhoruba haiwezi kuiangusha. Tunawatakia mema kama Mola naye anavyowatakia mema
umemtumia bint wa watu kwa muda umempotezea muda na kumpotezea watu wa maana leo umeona hafai mungu anakuona pole vee mungu atakupa aliye wako nakupenda v money
Hongera sana jux, hakika wewe umeonyesha ukomavu Kwa kumuunga mkono Diamond, wasanii wakiondoa tofauti zao na kuacha kugombanishwa hakika watafika mbali
Watapinga Sana ila nasibu kapata size yake tanasha mrembo Sana jamani hebu tuache majungu dua2 pekeyake🙏
Hamed AL- shruiqi kesho akiwa na mwengine utasahau km alikuwa na tanasha binaadam bhana hahahaa
Sifia mkeo
@@mathnasaeed3806 wapumbavu tu hawa walisema wema mzuri sana wakasema zari kiboko kafunika mademu wote wakasema hamisa ndio mrembo na pia saizi yake leo wanasema tanasha😂😂😂
@@huseinaly5163 mwambie mpumbavu huyo
Domo Kamnunulia Natasha gari la Gharama ila kashindwa mkushonea Baba yake suti ya Gharama... Mmmmhh Dunia
best Ecco I like this,,,,diamond sharing staff with jux inapendeza
imeleta picha nzr sana wasanii kuchangamana hivi natman kuona hali hii kwa cmba na king
bt our in low are so beautiful
Nzuri sana
Hancy Maiko diamod
Napenda kuona hivi aisee wasanii wakielewana
Shafii Hakeem wangekuwa hivi siku zote wasanii wangefika mbali
Inapendeza sana na huu ni mfano wa kuigwa, hongera sana Jux Kwa kumuunga mkono Diamond, huko ndiko kukomaa.
@@kagoggoalfred2730 kabisa ndugu yangu, na wasingeonewa na mapromoter uchwara
We upo km mm wakielewana ni saf
@Lucas Bilago ni Mama yake Diamond n'a mumewe, mwingine aliyekuja ni Salamu SK meneja wa Diamond n'a mkewe
Tanasha looks soo beautiful with her pregnancy!!
you are the best jux I appreciate your work love you boy ❤❤❤❤
I still don't believe kama jux na Vanessa mmeachana I real don't believe aiseeee naomba iwe uongo plz.....😣😣
Mm leo ndo nmeamniii
janeth justin 😥😥😥sorry jamani lakini
Sjaamin jux nimeumia kama mm ndo nimeachwa
janeth justin
mmh acha ww m stki iee ivo
Du! Jux kumbe kweli mmeachana na vanesa dúuu!mapenz hayana mwenyewe
grace Tumain l
Masha Allah wote wanapendeza,Jux kwa mbali kafanana na Legend 2 Pac
Aliyeona. M2 wa camera 📷 nmbeya like zake hapa maana cyo kwa kukizoooom. Ktumbo chawatu
I just love tanasha #254
She's so modest...😘😘😘+254
Mondi hujawaikosea kuchagua👍👍
Nakubali diamond kwa kulenga. Mashallah kheri lshaa allah tunasubiri huyo baby boy 😍😍😘
Cool vraiment
#SIMBAAA & #TANASHA were like Prince Charming and Cinderella!😍😍😍😍😍
Tanzania,,,,,are truly musicians wanapendana nice too that
Alieona TANASHA Kashiba Pilau la 707 Mpaka anashindwa kucheza vzr Alike hapa
Sir J 😀😀😀😀😀😁
kashiba mbovu
kashiba tui la Nazi
Kashiba Sana,
Ustaa kazi! Mjamzito lakini bado ana vaa nguo ya kumbana. Mimba ya miezi 7 ni mtoto kabisa ndo nini kumbana hivyo hadi ushindwe kupumua?
So lovely 😊 wish you all the best Tanasha😍
Jux xuruali imebana adi pumbu 🤣na uyo demu kucheza hajui ila akuzalie bana
Darling Tanash and Diamond 💎MashallAh u all look beautiful & I wish u all the best AllAh bless u All❤️love me Tara 🇳🇴
Tanisha Hana Habari, Zari alifanyiwa hayo yote,katemwa na wanawe mwishowe.
Jaman aliyeona. Kuanzia dk4: 52 kuwa boss kubwa kaja na Samsung Galaxy egg10 iliyovshwa gaun refu nabado likivutwa kwachin like hapa
lovely moments people
happy wife happy life
Ukweli niati Mr D....amepata jiko sio vinyangarika mobetto Sijui boss lady....hahahaa Kenya hooiye.....
Apo umegonga ndipo
Hehe kabisaa
Kama msingi ni uzuri, basi msingi ukibomoka nyumba huanguka lakini kama msingi ni heshima, utu, upendo WA KWELI na maadili ya Mwenyezi Mungu, basi nyumba hudumu hata dhoruba haiwezi kuiangusha. Tunawatakia mema kama Mola naye anavyowatakia mema
e joseph
@@angelsango9083 z
daaaaaah mara 100 jux arud kwa v money ndo wanaeendana
Aaaai ivi ujinga wa kusoma coment uku naangalia vidio cjui nmelithi wapii 😂 jux bhana et dai cheza na mtoto
Anta Moody 😂😂😂aki
😂😂🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣
Wewe ndo kama mm yani siwezi kuangalia video bila kusoma comment naangalia huku nasoma comment sjui nani katuloga sisi
Tuko wengi wenye kusoma coment
🤣🤣🤣🤣hata mm
Leo ndyo nimeamin v money c WiFi yng tena duuuh jux we
Et na me ndo nimebak kushangaa tu
Jux na Dai wasIchana wenu wazuri sana
daimond platinums
Jmn jux Ww cyo MTU mzuri Dada yetu umemuacha na kutuletea mchina
Wachina Wastaarabu sio wajuba na kujua sana kama wanawake wa Tanzania
😀😀😀😀
Mond umefika tz
Hahaha
jamaa arudiane na vanesa tu mana uyo mchina awaendani bado
Manzi wa Jux ni mkali niache unafiki.
Like kama ni ukweli aiseiii
Good NC nime frai sanaaaaa
Aiseee inaleta picha zuru nimependa SNA kilichfanyika hapa @jux @diamond💥💥💥💥
Jey4 Tz
Jux we ni 🔥🔥🔥🔥🔥 kweli mzee baba mmmmh #nnayika ni dawa cha macho kabisa namkubali 💕💕💕💕
Inapendeza sana wasanii wakielewana kama hivyo kama nawe umefurahishwa like hapa tujuwane
Our girl looks extremely gorgeous in her baby bump
Halima ujue mi Sina dictionary punguza ugumu wa maneno twende polepole maisha yenyewe magumu
Wakenya wabaguzi sana hata diamond ni your boy pia
Halima Mshami
Tanasha she look beautiful with Diamond
Mashabiki wote wa simba naomba mushauri aowe Ayo siyomaisha
Tanasha mrembo zaidi
Very beauty full man
Nilipenda sana hii sehemu jux alivyopafom.... Qeen yupo na furaha sana. Love u ss
I like it. Namkubali sana jux + platzooo A.K.simba kama na wewe unawakubali gonga like hapo chini
Kwanini baba angu alikua mzembe ona sasa mimi nimekua maskini nakua kama choko wengine wanakula bata me namaliza bando 😥😥
Baraka Sebastian hahahaha
Hahahahaaa
#Vanessa umelinga watu wamechukua hii #nyimbo ungeimbiwa wewe Leo kwenye b.day ya mama #Ngote daaah pole #Vanessa najua unaumiaa ulikuwa unapima maji
Hii breakup ya Vee na Jux bado inaniuna sana na hata haikuwa inanihusu
Vanessa Ndo mkali
Dis moment iz enjoyable bt jux umeniangusha kwa v money
Nice mr jux na Simba Wa tandare
Kama kuna mtu amependa mama dangote alivokuwa anacheza like hapa
Pamoja sana jux umetisha mond kakubali
I love that
Kama umeona mimba ya tanasha like plz
Huyo salaa ndio kituko sasa ndio nini kila kitu hapo . hapo 💪👎miss kibonge
Namzimia Jux kinoma.! Hana Mbwembwe nyingi.
safiii hadi kwa mzee safiii na usafii ndan ya wasafiii,bana mnajua adi mnakera..
Ungemvisha💍 ingekua poa sna😘👌
Wow amazing couple
Safi Sana Simba and jux
Uzuri ya mwanamke sio urembo tuu ila kukua na hekima ya kumjua mume nzuri, huyu ataachwa tu kama zari😂😂
Ila kademu cha jux kazurii jomonii wifi yetuu wa ukweeli😘😘😘
I love this inatamanisha kiukwel
Jux you killed it.
Piga like hapa kwa jux kuwepo wasafi festival na kugundua kuwa mambo iko huku
Nimeamin Jux hapendi mademu chibonge
noma sana jux
Safii sn baunsa wng tanasha masikini hajui kucheza
jux katisha yani kafunika na mamaaa mpya ndani ya part
Fura Sana kwetu washabik Wasanii wakipendana
Wakenya hatupendi manywele ya diamond!!! Anakaa toothbrush
Mendeeeeez nazan kaisha uyo posh mzee baba 😃
Tanasha mwenyewe mngogo utafikiri huwa anambeba mawe kila siku nibora ata angelivaa nguo yakufunika mngogo wake kabaya
Kofiolomide
Tanasha it's your time jibambe mama...our very own 254
jux umehenda China kusoma. mzuri demu hira hawa kak zetu mmmh
Namuona mama kija nampenda sana
Imagined this guy is not ashamed he has kids all over but he is still marrying other ladies. And ladies its like you don't that Diamond is a player
We akikutaka leo unaweza kumkataa au wivu tu unakusumbua.
Waooo nice
umemtumia bint wa watu kwa muda umempotezea muda na kumpotezea watu wa maana leo umeona hafai mungu anakuona pole vee mungu atakupa aliye wako nakupenda v money
Jux wazungua angalia Diamond alivyo shine na mtoto 💋💋💘💘💘
Ningependa sna kuona jux unafanya colabo na simba mna hamu yngu nione ngoma itakavyokua mna sipati picha
Mondi apo sasa ndio saizi yako adi laaa kila mtu na wake ❤❤❤❤❤❤
Masikini lukamba ata avae nini yeye na kameratuuu...! Daaah
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁una matani na jamaaa Gody
Wazinifuu
i like it
Hv Dai ana shida gan mbona kakonda hvyo?
Mawazo mama sio mchez kuwa na watot kila upande, inachangia hat kuachana na zar inaweza kumkondesha
Anna Matemu ha ha ha ha ila kweli kakonda dai
Perfect
Katika wasanii wanaojua kuvaa Bongo ni Jux na ommy Dimpoz....
Ali kiba kiboko pia..ukimfuatilia utaona sumu zake!wengine wanavaa gharama tu ila hawapendezi!!
Jux anakuanga moto wakuotea mbali kimavazi hujakosea
Noma kabisa
Nzuriiiii jamaniiiiii hatariiiiii
Tanasha anadeka ni balaa na haoni aibu mapenz hadharan htr
Pendeza ata 😍😍😍😍
Hii mapenzi ya Kenya vs Tanzania ni Kali kweli
Kweli kweli
safi jus changwe mwanzo mwisho
Nakupenda jux
Wapi likes za Tanasha
vanessaaaaaaaaaa
Hunambaya kaka jux penda sana wewe
Kumbe ana mimba ila ma mkweee kanoga mbaya
Ebi Wanzagi dikumjuwa
Umeonaeee
Ebi Wanzagi mi naona mgongo wa mama na mkwe wake sawa sawa km umesinyasinya
Mm nataka jua fundi tu hawa hizo gauni
Wifi mpya nakupenda sana jamani umefanya kaka jux aachane na kile kibib kikaaauchi cha machame
Siwema Michael Bibi alimwacha kaka yako hata kabla ya Dona acha uongo hata kaka yako atakushangaa
@@oliverkyando9897 hapo anamzungumzia Zari. Sijawahi kumuona Zari akikaa uchi
wachana na bangi.bangi ni mbaya,ulimwona lini zari akiwa uchi?
Sikumaanisha Zari wew Kwan ujaona kama jux yuko na mpenz Mpya hapo
@@siwemamichael690 Hata mimi wazo langu nilijuwa unasema Vanessa. Nyimbo zake nyingi yuko nusu uchi hasa zile anashoot nje
Hongera sana jux, hakika wewe umeonyesha ukomavu Kwa kumuunga mkono Diamond, wasanii wakiondoa tofauti zao na kuacha kugombanishwa hakika watafika mbali
Haya wasanii wetu tuwakilisheni vema kimataifa...naona mnazidi kuchukukia dasa yetu wa tz...hahaha
Alikiba
So good juma jux
Gud song inafundsha