UKWELI ULIOFICHIKA NA IRENE UWOYA EPSD1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • IRENE UWOYA AFUNGUKA UKWELI JUU YA MAISHA YAKE,MAPITO NA FRIENDS OF GOD
    SEHEMU 1 #IreneUwoya #FriendsOfGod

Komentáře • 427

  • @winfridapatrickmayengo2588
    @winfridapatrickmayengo2588 Před 26 dny +128

    I understand what your saying. Watakao kuelewa vizuri ni watu ambao wamekutana na encounter kama yako. What I can say, sister Irene. I call you sister because we are one on Christ. Stand strong. Safari ya utumishi inamengi sana lakini katika yote tunashinda ndani ya Kristo. I love you and am happy to see you in ministry. Kabla hujaanza huduma kuna mtumishi alitabiri kuwa Mungu anaenda kuinua watu Aina yako. So nilipokuona unaanza huduma niliona ni utimilizo wa unabii. Hongera sana. Kuna wengi sana watainuka na kumtumikia Mungu.

    • @veeJesus
      @veeJesus Před 26 dny +2

      Revival is here. Huuuuuu Amazing. One Man of God said God is going to turn celebreties towards him.

    • @sweetyjanne255
      @sweetyjanne255 Před 25 dny +20

      Kweli Kabisaa mimi namuelewa sababu nimepita kwenye situation kama hiyoo....I remember niliwahi kuumwa na nilikuwa nashtuka saa 8 usiku naliaaa sanaaa sanaaa the only thing Nilikuwa Nasema was MUNGU wangu popote nilipokosea naomba msamaha....Niliapa kuwa nikipona i will change my ways nikapona nikaachana na kila ujinga mpaka kazi nikaacha maisha yalinipigaaa mpakaaaaa,Siku moja ilikuwa mkesha wa Mwaka mpyaa nikaenda kukesha Kijitonyama KKKT wakati narudi kwangu nikasikia kitu kinaniambia unatakiwa ufunge 30days kuomba toba nikafunga kuanzia tarehe 2 mpaka 31.....Shetani ni mbaya akaniangusha tena dhambinii😭😭😭😭Nikaendelea kusaliii kuomba toba na mengineyo now sijasimama kiuchumi kama nilivyokuwa but atleast nimeweza kusimama kuikwepa dhambi iliyokuwa inaniangushaa kila maraa😭😭😭😭😭Nasali sijafikia viwango vikuu but namshukuru Mungu hapa nilipo najua with time nitasimama.
      Vijana wamrudie Mungu tuu tuache kutumika kwa shetani.

    • @Attwo87
      @Attwo87 Před 25 dny

      @@sweetyjanne255amen

    • @SweeetJing
      @SweeetJing Před 24 dny +1

      TRUE 💯

    • @FloraSlivester
      @FloraSlivester Před 24 dny +1

      Bibi alikuombea sana neema imekuzukia

  • @missdaniel9810
    @missdaniel9810 Před 26 dny +60

    dada Irene, mwalimu Mwakasege ni mtumishi wa Mungu mzuri sana ukipata neema ya kukochiwa na yeye, utafaidika sanaaaa, ila kochiwa na Mungu kwanza.

    • @daltonpaul5838
      @daltonpaul5838 Před 26 dny

      ​@@bettymwigune8150issue ni kwamba kila mmoja ana cha kwake alichobeba yule ni mwalimu cha msingi awe amebeba tu cha MUNGU na sio swala la yeye kufika mbali ni swala la MUNGU wa kweli ndani yake maana dunia ya sasa duh 😮

    • @nurumwita9034
      @nurumwita9034 Před 25 dny +15

      Mambo ya kiroho hayapo hivyo ndugu anatakiwa amuulize Roho Mtakatifu anatakiwa awe chini ya mtumishi yupo Sio kufata akili za kibinadamu.

    • @philipojr9687
      @philipojr9687 Před 25 dny

      Mhuu!!

    • @EuphrasiaNtawatawa
      @EuphrasiaNtawatawa Před 25 dny +2

      ​@@nurumwita9034 ni kweli kabisa lazima aongozwe na Roho Mtakatifu,siyo kukuripuka tu

    • @herieclara5652
      @herieclara5652 Před 25 dny

      ​@@nurumwita90340

  • @SilyviaFabian
    @SilyviaFabian Před 25 dny +16

    Dada irene nakumbuka nilikutana na wewe mlima duluti arusha mwaka jana na mwaka huu mwezi wa sita asee namna ulivyo kuwa unaomba na kunyenyekea kwa MUNGU niliogopa hakika MUNGU ni tajiri na MUNGU anao watuu hongera sanaa keep pushing

  • @niymaedwin4297
    @niymaedwin4297 Před 26 dny +36

    You are the Chosen da Inene usiogope bila roho mtakatifu mtu hawezi kuelewa hiki kitu unachoongea Mungu azidi kujitukuza ndani yako 🎉🙏

    • @elibarikieliudi2322
      @elibarikieliudi2322 Před 23 dny

      Sorry iv waeza nisaidia nini maana ya roho mtakatifu?

    • @graceisrael5274
      @graceisrael5274 Před 22 dny

      Roho Mtakatifu ni Roho ya Mungu,Yesu alipoondoka alituachia Roho Mtakatifu ndiye msaidizi wetu soma zaidi biblia au mafundisho sikiliza youtube kuhusu Roho Mtakatifu utaelewa zaidi​@@elibarikieliudi2322

  • @sophiakayumba5974
    @sophiakayumba5974 Před 26 dny +48

    Wafilipi 1:6....."Basi nina hakika ya kwamba, yeye aliyeianzisha kazi njema mioyoni mwenu ataimaliza hata siku ya kristo Yesu"

  • @RoseMpiluka
    @RoseMpiluka Před 26 dny +19

    Mambo ya Mungu ni magumu sana kuyaelewa ambaye yupo nje ya wokovu anawezaa asikuelewe ilaa your the chosen one go

  • @nishamwenendi-vh4wk
    @nishamwenendi-vh4wk Před 26 dny +23

    Maisha ya kumtumikia mungu ni mazuri sana mungu yupo na sisi anatusikia na anatujibu naaamini dada iren mungu azidi kukuongoza na kukusimami

  • @mimiprowess
    @mimiprowess Před 25 dny +9

    Believe me your testimony will hit different.
    I am amazed of God grace true proof that God exist

  • @esterwayesu
    @esterwayesu Před 16 dny +3

    Waoooh powerful this is our amazing God 🎉🎉🎉

  • @matimfuko641
    @matimfuko641 Před 26 dny +10

    Glory to God endelea kumtumikia Mungu na yeye hatokuacha milele hata milele huu ndio wakati sahihi kabisa.God bless you

  • @jacquelinealexkombo3383
    @jacquelinealexkombo3383 Před 26 dny +15

    My dear maisha ya wokovu sio rahisi my dear. MUNGU akutie nguvu na kukupa kibali zaidi kumtumikia na kumjua. Usiabudu pesa tenaaaa my dear, ila uwe na moyo wa ibada kwa MUNGU 🙏🏻

  • @ANGELA-oz1vi
    @ANGELA-oz1vi Před 25 dny +14

    MUNGU AMEKUOKOA KWAAJIRI YA WENGI AND WEWE SIO MTU WA KAWAIDA UTAFIKA MBALI SANA NEVER GIVE UP.

  • @HappyMwaigwisya
    @HappyMwaigwisya Před 25 dny +16

    Irene songa mbelee. Iliandikwa lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho na wengi walio wa mwisho watakuwa wa kwanza. Kwahiyo irene mpende Yesu. Wokovu sio special kwa watu fulani ni kwa wote

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 Před 25 dny +7

    Yesu akutunze dada Irene, wewe Ni mtumishi wa Mungu🙌

  • @lornasheila
    @lornasheila Před 17 dny +3

    Be strong in the Lord my sister Irene. God will use you mightly for his glory. Be blessed ❤

  • @AncyMerci-un2nu
    @AncyMerci-un2nu Před 18 dny +2

    Mungu akushindanie kwa kweli kwa iyo hatuwa kubwa ume kamata Da Irène Mungu akuwezeshe usongembele

  • @hawamohamednambwaja1313
    @hawamohamednambwaja1313 Před 25 dny +4

    Irene you have a power in your life.upo hivyo ulivyo ni ushuhuda.Wewe sio mtu wa kawaida ni muujiza unaotembea.kwasasa watu hawawezi kukuelewa lkn Shakuru Mungu akikuelewa Yeye inatosha

  • @ishimwekessylove1223
    @ishimwekessylove1223 Před 6 dny +1

    ABAZI UBWENGE BASHAKE UMWAMI YESU BUGISHOBOKA KUKO ABONWA..KANDI YITEGUYE KUBAKIRA ABAMUSHAKA KANDI BAMUSHAKISHE GUKORA IBYIZA BADAHAGARA.. WE RWANDANS ..WE ARE PRAISING THE HEAVENLY FATHER FOR SALVATIONS OF OUR DAUGHTER IN LAW

  • @joycekaje8755
    @joycekaje8755 Před 24 dny +2

    Glory to be our Lord Jesus, Usjrudi nyuma dada,na usitake kuongozwa na watu .Bali mda mwingi msikilize Roho mtakatifu anachokuelekeza,pia ujifunze kumtii roho mtakatifu ,kunyekekea na kuzidi kuutafuta uso wa Mungu

  • @Isabella-ww8ks
    @Isabella-ww8ks Před 25 dny +5

    Aiseee ushuhuda wako unasisimua sana Hongera kwakumpokea Yesu awe bwana na mwokozi wa maisha yako Mungu akuimalishe zaidi ya hapo🙏🏽

  • @MedrineMorgane
    @MedrineMorgane Před 24 dny +3

    Hujachelewa dada irene kuishi ndani ya kristo Raha sana ❤️

  • @MiracletestimonyofGodinJesusna

    Mimi nakuelewa sana sana kwani , nimeona nguvu ya Mungu,ukisimama na Mungu hata ungekua na tabia Gani utabadilika TU mimi nishuhuda neno la Mungu linanguvu sana ,Yani ninafuraha sana kumtumikia Mungu,hakika Yesu ananguvu sana Leo nimekua naiogopa dhambi hakika sifa na utukufu kwa Mungu,guys nawahakikishia furaha ya kweli IPO katika kumtumikia Mungu na kutembea katika njia zimpendezazo Mungu.
    Tusali sana
    Tusaidiane wanadamu
    Tupendane na kutendeana mema
    Gusa Yatima ,wajane ,wahitaji ,wagonjwa.
    Nakuelewa sana Irene IPO amani ,furaha katika kumtumikia Mungu.ukiwa kwa SHETANI unaweza ona kama ndiyo maisha ila Amini nawaambia ukirudi kwa Mungu na kuishi katika njia Sahihi Kuna furaha ,amani yakweli.

  • @gracecairo1293
    @gracecairo1293 Před 19 dny +2

    HE pick messes and turn it into message! 🤗

  • @NeemaAthumani-x1p
    @NeemaAthumani-x1p Před 11 dny +1

    Hongera dada angu hakika usikate tamaa usongembele katika kumtumikia MUNGU kuna milima na mabonde vyote uvishinde kwa jina la Yesu

  • @furahaclaudineofficial2318

    Bwanayesu aendeleye kukujaza nguvu zake Nakupenda sana mwanangu haja yamoyo wangu nikuona. Unaendelea kuwa. Rafiki. WaMungu na nitazidi kukuombea

  • @bisengobubasha
    @bisengobubasha Před 25 dny +3

    Mungu abariki huduma unayofanya Irene🙏🙏🙏❤️❤️. Shikilia ulicho nacho, ya dunia yasi kuyumbishe 🙏🙏

  • @tinertv1382
    @tinertv1382 Před 18 dny +2

    Amin wengi hawatakuelewa pia wanasahau Mungu anamajira yake akitaka kukutumia pambana kuutafuta uso wake wataelewa tu

  • @missdaniel9810
    @missdaniel9810 Před 26 dny +33

    Jina la Bwana litukuzwe👏👏👏🙌🙌

  • @MugeniLiliane
    @MugeniLiliane Před 20 dny +2

    Mungu akuwezesha nakupenda sana

  • @evaristmrope
    @evaristmrope Před 24 dny +1

    Hongera sana Irene Uwoya, MUNGU ameamua kukuchagua usiache njia hiyo ni sahihi! Keep it up

  • @SherryEverest
    @SherryEverest Před 25 dny +1

    Nimejikuta nalia sana hakika safari ya wokovu ni ngumu mnoo ina milima makorongo na mabonde utakutana mengi mnooo hila Mungu aliyekuita umtumikie akutie nguvu akuinue kila utakapoanguka Damu ya Yesu ikufunike
    Mbeba maono afi mpaka atimize kusudi aliloitiwa.
    Mungu akubariki Irene

  • @pelagiakabuhaya4668
    @pelagiakabuhaya4668 Před 25 dny +1

    Mungu akubariki Irene,hakika Mungu akimtaka mtu hata awe maarufu kiasi gani ni lazima ampate tu, hakuna jambo la ajabu Irene kuokoka ni wakati wa Bwana umefika kumtoa Irene katika maisha ya dhambi, hata wewe unayeshangaa kuokoka kwa Irene Mungu akikutaka huwezi kukwepa. HAKIKA MUNGU SI MWANADAMU. IRENE MUNGU AKUTUNZE.

  • @Spark8Technoo
    @Spark8Technoo Před 8 dny +1

    Mungu Yuko kazini tena Mungu Yuko kazini kwa Kasi Sana mimi nimemchaguwa Mungu najuwa ni vigumu sana namimi historia yangu ni Kama Yako niliambiwa Mara nyingi ila nikawa nakubali ila narudilia tena mambo yangu ya uovu ila kwa Sasa najiskia kumpenda Mungu najikuta kuchukia bahazi ya vitu visivyo mpendeza Mungu mpaka Sasa nipo njiani nakubali wito Mimi macho yangu huwa nahona mambo Fulani nisiyo ya helewa Ila Dada yangu ww ni Mtu muhimu sana katika ulimwengu wa Roho nakushahuri pambana na Mimi nipo nyuma Yako na pambana kumpendeza Mungu

  • @crelincharles9358
    @crelincharles9358 Před 25 dny +3

    Umenifanya nimejihic tofauti sana , Mungu azidi kukutetea namesake

  • @kagamemanziofficial3728
    @kagamemanziofficial3728 Před 24 dny +1

    Glory be to God for your being born again, you won't regret coz his name is Almighty God
    Rwanda we are supporting your choice❤❤❤❤❤💯💯💯💯💯💯💯

  • @JacquelineMapuli
    @JacquelineMapuli Před 24 dny +1

    Nakuelewa dada Irene Mungu aendelee kukuinua na kukuonesha na uweze kuifanya kaz yake ktk roho na kwel

  • @gracekakore293
    @gracekakore293 Před 24 dny

    Yesu atukuzwe Mungu alikukusudia kabisa my sister namfurahia sana Yesu kwa alichofanya kwenye maisha yako walete watu kwa Yesu Mungu hajakupa hiyo nafasi bure many will be saved through you in Jesus name hallelujah

  • @user-hi1hi6ib4u
    @user-hi1hi6ib4u Před dnem

    Namna hii sijaona namna hii..kila goti litapigwa kwa Mungu aliye hai.

  • @joffrey238
    @joffrey238 Před 9 dny

    Glory to the most high God... Hakika Kwa hichi Mungu Atakuzidisha Sana, Maana this is how GOD Can Be Explain and be seen Kwa jamii... GodBlessYou🙏 SisIRENE, (WOMANOFGOD). #FRIENDSOFGOD💪

  • @EvelynLubuva
    @EvelynLubuva Před 26 dny +10

    Mungu anakila sababu juu ya watu aliowaamini na kuwachagua toka tumboni mwa mama zao

  • @fredrickmkuvandenga
    @fredrickmkuvandenga Před 18 dny

    Irine nakutia moyo, kwamba njia za kumtumikia Mungu ni nyingi, unahitaji zaidi kuwa karibu na Mungu na washauli wakomavu wanao mjua Mungu vizuri, ubarikiwe sanaa

  • @JamesLudovic
    @JamesLudovic Před 20 dny +3

    Nakupenda Sana IRENE ❤❤❤❤❤❤❤

  • @monaonsare3967
    @monaonsare3967 Před 10 dny

    Proud proud proud of you Irene 🙏.....an example of God's glory

  • @Rob-k6t
    @Rob-k6t Před 16 dny +2

    Dada Irene Naomba niseme jambo maana ushuhuda wako kidogo ufanane na wako,Kuhusu mwakasege Mungu kakuonyesha kweli mwakasege ni mtumishi wa kweli wa Mungu miezi kadhaa iliyopita Mungu alinionyesha kuhusu Mwakasege Kama vile wewe unavyosema uliota ndoto na me niliota na kusikia sauti na Mungu akanionyesha Kuwait mwakasege ni mtumishi wake na anamuita mtoto wake na anampenda sana. Mungu pia alinionyesha mtumishi mwingine mkubwa tu na Mungu aliniambia huyo siyo mtumishi wa Mungu ni fake na hasira ya Mungu imewaka juu yake. Umepata neema mwakasege ni mpakwa mafuta Tanzania Tanzania tutumieni nafasi ya mtumishi wa Mungu mwakasege ingali tupo nae,ni neema kubwa sana pia uwe unasikiliza sana mahubiri yake mwakasege ametumika kama njia ya kukumbusha umrudie Mungu usijali maneno ya watu wewe simama katika neno ❤

  • @RealitySaanane
    @RealitySaanane Před 26 dny +2

    God bless you and take you to more levels you have been a wonderful woman to christ and community as well

  • @user-mb2gs3iu5r
    @user-mb2gs3iu5r Před 25 dny +1

    Wooow😭😭When is so intentional with your life🙌🏼🙌🏼
    Endelea kumtumikia Mungu umechagua fungu jema❤️🙏🏽Neema ya Mungu ikawe nawe❤️🙏🏽

  • @esternyanda
    @esternyanda Před 16 dny

    You are that lioness God has lifted in the end times..Just FOCUS!Forget the past..for Jesus did not come for the perfect..but to perfect the imperfect..Go my Sister..❤

  • @gracejacob6506
    @gracejacob6506 Před 25 dny +2

    Nakupenda Mungu akutetee kwenye Kila eneo la maisha wewe utamletea kristo watu wengi

  • @Imran-p6l
    @Imran-p6l Před 23 dny

    God bless you sana Irene. Hakika ni jambo jema kumgeukia mungu, hii Dunia tunayoishi ni ya dakika chache tu ndugu. Asante kumheshimu mungu na kujitoa ktk maovu ya kidunia

  • @JescarMwakipesile
    @JescarMwakipesile Před 4 dny

    Mungu akubariki na atakuwezesha Hesabu 23:19. Ninakupenda. Mungu ni mwaminifu sana sana wala hutajita.

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Před 25 dny +2

    Hongera Irene Mungu anakupenda sana usimuache Yesu

  • @jeannemmbale
    @jeannemmbale Před 25 dny

    to God be the glory🙌🏾🙏Mungu azidi kukuinua dada I’m so proud of you kwa haya maamuzi uliyochukua.

  • @carolynmugure2821
    @carolynmugure2821 Před 26 dny +7

    JUST WOW🥺🥺MUNGU YUPO

  • @UmuhozaFrancoise-bl3he

    You are now even more beautiful the Glory is on you wow I am so happy God

  • @lucychari7301
    @lucychari7301 Před 11 dny

    Dada irene mungu akutie nguvu maana safari sio rahisi ila mungu anawezesha mtumishi wake anapomchagua umtumikie kuna vita vingi katika hii safari lakin nakusihi mshikilie huyu yesu ni wa thamani sana. Mob love from kenya🇰🇪

  • @gracehakizimana6850
    @gracehakizimana6850 Před 25 dny +1

    Welcome to the family 🥰❤️❤️🎉🎉🎉🎉 congratulations 👏 Neema ya YESU izidii 🙌 love you ❤❤❤

  • @BellaNdayishimiye-p2m

    Mungu Nimwema Sana

  • @سنتياالشهري
    @سنتياالشهري Před 24 dny +1

    Shalom2 nafurahi sana sana kwakuwa Mumgu amekufunuwa majo yakiroho ukasikoye sauti yawe ,illa Uombe sana Mungu akupe kumuelwwa suizo tatu uzifute Mungu ni Mkubwa sana

  • @rowenalilie993
    @rowenalilie993 Před 25 dny

    Ubarikiwe sana Irene. Hata mimi nimeona nikiomba kuwa wewe ni mtumishi wa Mungu na nikawa nawaambia watu. Na nina mzigo pia wa kukuombea. Ni kweli Bwana anataka umtumikie da Irene ila ni katika roho na kweli. Uachane na ukatoliki na mapambo na kila udunia. Bwana anakupenda sana

  • @rosedavid2461
    @rosedavid2461 Před 24 dny +1

    Tumezaliwa tareh moja Irene ubarikiwe sana

  • @MariaWaYesu
    @MariaWaYesu Před 25 dny +3

    MAMBO YA MUNGU YANATISHA SANA....INABIDI UWE ROHONI SANA ILI KUMUELEWA IRENE

  • @fatumamohamed9614
    @fatumamohamed9614 Před 24 dny +6

    Irene maisha ya wokovu ni magum sana lazima ujiikane haswaaa na mambo ya dunia,nakuswauli usikate tamaa hata jalibu liwe gum vipi jua mungu anaitaji umtumikie

  • @CharlesRehani
    @CharlesRehani Před 9 dny

    Dadangu umeshika mamuzi sahihi na usikate tamaa nawatu songa mbere ❤❤❤ afu nakupenda saaana from Hollande

  • @zainabsevuri5856
    @zainabsevuri5856 Před 11 dny

    Glory to the Living God!
    Njia za Mungu ni thabiti na hazichunguziki

  • @ebonybhoke5321
    @ebonybhoke5321 Před 24 dny

    Hongera SABA Irene,wakati wa Mungu ni wakati sahihi! Umefanya vzr sana kuelezea haya yote,imerahisisha waliokuwa na maswali mengi

  • @Happie14
    @Happie14 Před 23 dny

    Glory to God,, Mungu aendelee kukuinua viwango hata viwango ktk kumtumikia Yeye.

  • @mwalimuwakiingereza241
    @mwalimuwakiingereza241 Před 25 dny +1

    Ushuhuda wako umenisisimua sana. Bwana Yesu akubariki, akuongoze na akuinuebilinuinue wengine

  • @florasingano5859
    @florasingano5859 Před 20 dny

    Ni kweli nakuelewa Irene,Mungu anawaita watu wasiokudhania kabisa..Mungu azidi kukukuza na ukamtumikie ktk viwango vya juu

  • @ireneisaac1704
    @ireneisaac1704 Před 15 dny

    Hongera Irene songa mbele dada kwa utii fanya kazi ya Mungu kwa bidii

  • @hildabaruti7244
    @hildabaruti7244 Před 25 dny +2

    Mungu akisema aisee amesema..Hongera

  • @saratimoth4734
    @saratimoth4734 Před 25 dny +1

    Mungu akulinde na akutangulie ktk.huduma ya Mungu aliyo.kuitia

  • @Jessybyella
    @Jessybyella Před 24 dny

    Mungu ni mkuu. Hakuna kama wewe. Mungu atusaidie wanadamu woote duniani tubadilke tumjue Mungu na tuishi katika misingi ya kumpendeza Mungu. EH MWENYEZI MUNGU TUSAIDIE.

  • @joselyneiradukunda5531
    @joselyneiradukunda5531 Před 24 dny +6

    Please I would like to understand but my swahili is very poor if possible next time add subtitles in English for those who don't understand swahili. Thank you God bless you 🙏❤️

  • @heritieriragire6824
    @heritieriragire6824 Před 24 dny +4

    Who thought this day would really come 😂😂😂 Love from Rwanda 🎉🎉

  • @WiselightOfficial
    @WiselightOfficial Před 4 dny

    Amen nakupenda dada kwa kumtumikia Mungu

  • @VeryniceClement
    @VeryniceClement Před 24 dny

    Bwana MUNGU akubariki my sister, looope you so much ❤️❤️

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Před 24 dny +3

    Uyu dada anaeshimu watumishi wa Mungu hata kabla ajawa mtumishi nayeye

  • @success-deborahicimanizany203

    Mungu akubariki sana kwakuamua kumtumikia Mungu hutowai kufezeeka hata sekunde Moja Mimi nishabiki wako Toka zamani nilikuwa natamani sana uokoke Uwe unavaa vizuli kama Ivo Pia uache pombe ila UBARIKIWE San na safari yako itakuwa nzuli zaidi ningekuwa Tanzania ningekuwa miongoni mwawatu wako kwenye Ministry yako nakupenda san

  • @ElietMagogo
    @ElietMagogo Před 25 dny

    Very happy to see this..Glory be to God! May the Lord God continue to guide and strengthen you. In all things, we are more than conquerors. We love you, welcome to the greatest life of all❤

  • @WiselightOfficial
    @WiselightOfficial Před 4 dny

    Natamn nikuone kwa macho yangu dada irene❤

  • @magreatsomba6819
    @magreatsomba6819 Před 26 dny +1

    Very inspiring
    Mungu akakutumie sawasawa na mapenzi yake❤

  • @user-qh8kl9mu5w
    @user-qh8kl9mu5w Před 25 dny

    MUNGU akutunze mtumishi,nakupenda, upo kwenye njia kuu na ni njia nyembamba na ujiandae kuwa na marafiki wapya na kupoteza marafiki,kikubwa MUNGU akupe watu sahihi alio waandaa kwa ajili ya utumishi wako,,

  • @OG_20
    @OG_20 Před 23 dny

    Amen! Mungu abariki maisha yako ukafanyike chombo chake kwa namna apendavyo yeye. Bless you!

  • @fadhilinsemwa2687
    @fadhilinsemwa2687 Před 23 dny

    God's grace is immesuarable, I will always exalt him🙌

  • @halimasanga3830
    @halimasanga3830 Před 23 dny

    Hongera sana kwa kupendwa na Mungu. Hakika Mungu anatupenda haangalii njia zetu. Naamini wengi watavutwa kwa Mungu kupitia wewe.

  • @priscillavalerian7978
    @priscillavalerian7978 Před 25 dny +3

    My heart is rejoicing and the Angels are rejoicing more,Mungu akusimamishe katika wokovu na maono yote yakatimie

  • @neemamtenga2687
    @neemamtenga2687 Před 25 dny

    Dear Irene,hongera sana kwa Ministry, Mwenyezi Mungu akusimamie katika yote na akatimize alichokianzisha kwako

  • @jenelithangemalila5160
    @jenelithangemalila5160 Před 25 dny +2

    Mungu akikuelewa inatosha kabisa .UKITAKA wanadamu sisi tukuelewe utachelewa sana.we songa MBELE

  • @esperancetegurugoli1841

    Barikiwa sana dada Yangu Irene! Mtumikie mungu hutakita hata siku moja❤❤

  • @CatherineMziray-z6g
    @CatherineMziray-z6g Před 25 dny +2

    Da Irene plz naomba ufanye upes tupate episode 2 kuna namna nakuelewa dada yetu 🙏🙏Mungu azidi kuwa upande wako

  • @user-sc5gt6gs3s
    @user-sc5gt6gs3s Před 26 dny +3

    Mungu ni mwema. Sana Mungu apewe sifa atukuzwe. Myaka yote

  • @user-nh2qo3tt9m
    @user-nh2qo3tt9m Před 24 dny

    Hongera mtumishi wa Mungu,..hakika umeteuliwa na Mungu 🎉

  • @LinaLema-c1m
    @LinaLema-c1m Před 25 dny +4

    Irene ogera sana sana nimependa nguo yako inapatikana wapi kama uto jali dada

  • @kenedygeorge255
    @kenedygeorge255 Před 24 dny

    Mungu ni mwema .
    Ubarikiwe sana, ulifanya maamuzi mazuri sana.
    Leta wasanii wenzako kwa Mungu. It is not in vain.

  • @rukiachaula637
    @rukiachaula637 Před 26 dny +3

    Dahhh yani mpaka mwili umenisisimka kwa ushuhuda huu Mungu akubariki sana na azidi kukuinua zaidi japo wengi watakupinga ila ww umeitwa na Mungu kweli ili umtumikie

  • @LeahLyamba
    @LeahLyamba Před 21 dnem +1

    ILA KUNA RAHA UKIWA MZURI, UNA HELA AFU UMEOKOKA NA UNAMTUMIKIA MUNGU.😇😇

  • @IreneKafugugu
    @IreneKafugugu Před 25 dny +1

    Mambo ya Mungu hayaelezeki Mungu akukuze na usimame na Mungu saana

  • @sweetyjanne255
    @sweetyjanne255 Před 25 dny +2

    MUNGU ni mwema ni Swala La mda kila mtu atamkiri nakumtumikia yeye...Haleluyaa

  • @marywanyika6924
    @marywanyika6924 Před 25 dny +2

    Mungu wetu sote...baba wa mbinguni unapokumbuka wengine naomba usiniache

  • @esthernib6369
    @esthernib6369 Před 24 dny

    Mungu akuongoze kwa kila hatua.. I’m really touched