MCHUNGAJI HANANJA AMTOLEA UVIVU IRENE UWOYA KUVAA VAZI LA KANZU
Vložit
- čas přidán 10. 09. 2024
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
MBONA HAJAONGEAAA VIBAYA MANENO MAZURIIIIII ❤❤❤❤❤❤❤❤
Mchungaji Hananja hajamtolea uvivu uoya unamsingizia kabisa maana amejibu kisomi, yuko neutral. Wewe ulitegemea tofauti
Mke wa hananja,mashalah
🔥🔥 Mzee Wa Madini
Waleikum msalam
NA PIA MWANAMKE HAVAI KANZU NI KUUTUKANA USILAM.
Aliekuambia kanzu ni vazi la kiislamu ni nani??
Wewe. Kanzu sio vazi la kiislam kakudanganya nani
Kwani kanzu hazivaliwi na wanawake???? Mbona makanisani zinavaliwa??
We nae peleka uchawi huko kuutukana uislam ndo kitu gan Hilo vazi kama vazi jingine
Hananja ana hali anamuliza swali la mtego. Na anamjibu kwa hakili kubwa
UKIENDA SCOTLAND SKIRTS WANAVAA WANAUME.
Nadhani tuache chuki binafsi katika mambo yanazungumzia Mungu...imani nyingi zenye kumwamini Mungu kamwe haziwezi dhihaki pale anapotajwa...hivyo ninaomba katika hili tuache chuki binafsi na dhihaka....mtu hajalazimishwa kumsikiliza...Mungu amempa karama yake acheni chuki na kupakana matope siku zote ukweli unabaki na Mungu araendelea kuibariki huduma anayotoa kwani Mungu ndo kaiweka juu yake.......
Mara kavaa uchi marakavaa kimaraya,sasa kavaa kanzu maneno,wanongo Havana jema,,
Hakuna salama ya kumsifu yesu kristo ni uhuni tu wa kubance
Kanzu ni ya wanaume
👀 LAKIN IRENE KAPENDEZA SANA
Uyudem kachetuka vibaya
Wachungaji wengi wamekuwa watu wa Midia sana,hata kitu kidogo wao na midia.Mambo mengne unamuita mtu,unajaribu kumshauli huo ndiyo ubinadamu.
3:30
Kwwelii
Mzee una akili sanaaaa
Nooma
Huyu uwoya kachoka kuishi akiwa na akili timamu au kachoka kupumua
Hawara yake uyu
Huyo Mzee unamsumbua Kila uchwao kumuuliza maswali mbona hamuwafati wakina Mwakasege ,Gwajima
hawana madini !!
@@ayububakari9942 🔩📌🔨
@@ayububakari9942😂😂😂😂😂
Kwani kavaa vibaya????
Wanaume wanavaa madera ,,wanawake kanzu
Madini ndo maneno kumbee basi nilikuwa nasikia najua anamiliki madini ya kweli
Toka usingizini
@@mtzhalisi2232 Mhmm mwezangu
Sema amekosea usitake kuleta masuala ya conventional hapa kanzu ni kwa wanaume hyo sio dera au gauni.
Dela na kanzu vinautofauti Gani
Kanzu sio vaz la kiisilam mbona hata biblia imesema vaeni kanzu seemu ya joto kwaio kanzu ni vaz la joto
Kwa wanawake picha za maria alivaaje ndivo alivyovaa yy
Alafu huyu dada ndio anawafuga wale kina agrey huyu kwaiyo kwake anaona sawa tuu tumuache mungu ndio anaejua viumbe vyake
HILO SIO VAZI LA KANZU, KANZU HAINA MALENDA NA MAUWA
Mtamfanya mwenzenu akabwe kumtangazia madini kumbe ni maneno wahuni hawaelewi atakuja kabwa bure
Hahahah wahuni watamdaka
HAJAWASHIKA WAISLAMU BADO UYO,,,WANGEMNYOOSHA
Mbona una jazba joh???
Kivipi
WALA HAJAVAA KANZU HAPO,NA HATA ANGEVAA KANZU SIO ALAMA YA UISLAMU NI VAZI TU,,,UISLAMU SIO DINI YA UFANYE UNACHOTAKA HILO HALIPO...
@@hassanbakari4525 ni dini gani ambayo inaruhusu mtu Afanye anavyotaka???
@@davidmnyela2459 SI WAKRISTO 😃,,MTU AKILALA AKIAMKA TAYARI NABII,,,,USILAMU HAUNA HUO UJINGA
Mbona hajiombei huo mkono wake wa kushoto wenye ugonjwa wa kupooza? Msanii tu huyu hakuna mchungaji hapo
Muokope Mungu kijana
Kama aliupana kuzimuni
Nenda basi wewe ukasomee uchungaji ili uje kuchukua nafasi yake
Acha umbea jaman kweli mkono kapooza
pooza na ww ujiombee
Makafiri tokea mlivamie hili vazi basi ni aibu tupu 😢shenz kabisa
Huijui ata hiyo dini yako yenyewe kapimwe akili mpuuzi wewe
Unaitaje wenzio walio umbwa Kwa mfano wa Mungu wanafanana kama ww unawaitaje makafiri Mungu hakuumba kafiri kama wenzio watakuwa kafiri hata na ww utakuwa kafiri kwsababu mnafanana acha kujihesabia haki kuliko wenzio
NA UJINGA MWINGI KUTOJIELEWA UNAFANYA NN WAKATI GANI NA MAHALI GANI;.
😂😂😂😂😂
Uyo mchungaji apimwe akili yake naona km haipo sawa
Wapi kaongea vibaya
Unatafuta kiki ili watu waje kwenye tv Yako bado sana kajipange katafute habali uikuze tv yako
Kivipi my
Wewe ndio unatatizo
Wewe ndo haupo sawa