MCHUNGAJI HANANJA amtoa kasoro GEOR DAVIE hauna uwezo wa kuongea na mungu ,huo ni uongo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 01. 2024

Komentáře • 423

  • @Chery_cherryy
    @Chery_cherryy Před 5 měsíci +30

    Safi sana, a good pastor who understands the scriptures, tunazungumza na Mungu kupitia maandiko yake matakatifu

    • @wamisangi2801
      @wamisangi2801 Před 5 měsíci

      Kupitia Roho Mtakatifu aka Roho wa Mungu anaye ishi ndani yetu ambaye anatuwezesha kudadavua hayo masndiko.
      Mchungaji wako mpaka hapo ni muongo tayari. Kwa umri wake amedanganya wangapi? Atubu na aache huu usanii utampleka jehanamu ya ziwa liwakalo moto milele..
      Yohana 14:16-18.

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Před 5 měsíci

      ​@@wamisangi2801yohana 17:3

  • @bakarisaidi3022
    @bakarisaidi3022 Před 5 měsíci +54

    uzuri wa mchungaji hananja anaongea facts,Mimi ni Muislamu lakini napenda sana kumskiza Hananja,

  • @nofaboy8624
    @nofaboy8624 Před 5 měsíci +4

    Nakuombea kwa Mungu akujaalie uijue haki ili uifuate Inshallah 🙏🏻🙏🏻 kwa ndugu zangu ktk iman tuitikie amin

  • @user-ve3wu5jn1l
    @user-ve3wu5jn1l Před 5 měsíci +5

    Hananja Mungu amuweke upo wazi Sana . Naomba Mwenyezi Mungu akuongoe

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Před 5 měsíci +20

    Ananja na magufuli baba 1 mama 1 maana wate wanasimamia kwenye haki

  • @LeahKaboza-vb4ih
    @LeahKaboza-vb4ih Před 5 měsíci +7

    Hongera mchungaji Mungu akubariki sana kwakweli hilo la michango watu wamefirisika

  • @salmoncelestine6840
    @salmoncelestine6840 Před 5 měsíci +4

    Kristo aendelee kukutunza baba,, nakupenda..God bless you

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před 5 měsíci +21

    Mchungaji Mungu akutie nguvu

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 Před 5 měsíci +4

    Kwakweli hananja na baadhi ya wenzako nawakubali, mungu awabariki mnooo mnasema ukweli tu

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 Před 5 měsíci +71

    Huyu mchungaji angekua uraya naamini angekua mbali sana maana kwanza unafiki hataki na uongo hataki amesimama katika bibilia

    • @mohamedyahya6268
      @mohamedyahya6268 Před 5 měsíci +2

      Sio uraya ni ulaya😂

    • @wamisangi2801
      @wamisangi2801 Před 5 měsíci

      Ulaya kazi ya ulaghai inalipa?
      Joel 2:28.

    • @vickytorry100
      @vickytorry100 Před 5 měsíci

      Kweli kabisa huyu ni tunu ya Tz ila hatuthamini watu kama yeye. Ni Mungu atamlipa

    • @yjoo9807
      @yjoo9807 Před 5 měsíci

      Kwanini sasa unaamini mpaka awe ulaya??

    • @wamisangi2801
      @wamisangi2801 Před 5 měsíci

      @@vickytorry100
      Acha kujitoa ufahamu wewe, Mungu yupi amtumikiaye anaye mruhusu kukejeli kwa rejareja hivi. Hii ni tabia ya Goliati.

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 5 měsíci +1

    Duu haponimekukubali. Mzee wachungajiwengi waongo. Etiwanajitia wameongeana Mungu. Kaniambia hivi.hivi watuwanakubali. .mtihani. Allhamdulillah kwakua mwiislam

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 Před 5 měsíci +11

    Ukweli mtupu Dina za mchongo hizo, Mungu akuzidishie HEKIMA Mchungaji Hananja 🙏🏾

    • @wamisangi2801
      @wamisangi2801 Před 5 měsíci

      Manabii wa uongo watawapata wanaweke wajinga.

    • @user-io8hn1jb4d
      @user-io8hn1jb4d Před 3 měsíci +1

      We nawe mjinga mwingine​@@wamisangi2801

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Před 5 měsíci +7

    😂 Ukizungumza na mkuu wa wilaya tu hatulali... je Mungu tutakuwepo kweli😅

  • @KadabraGadna-xu5ez
    @KadabraGadna-xu5ez Před 5 měsíci +7

    Mchungaji wewe unajielewa sanaaaa mungu akubariki.hakuna mwanaadamu wakuongea na mungu wanakanisa laa Arusha pale kwa devi wahajielewi

  • @bakarisaidi3022
    @bakarisaidi3022 Před 5 měsíci +13

    Juzi Namuona Geo Davy anahubiri kavaa Suruali inafanana na sketi😆😆😆 na waumini wapo wapo tu kama wamerogwa vile😆😆😆😆😆

  • @MichaelMagige
    @MichaelMagige Před 5 měsíci +4

    Majambazi yameingia makanisani,watu hawana hofu wanajiita manabii wa mchongo,stukeni watanzania! Musa mwenyewe hakumuona Mungu,hakuna mwanadamu anayeweza kumuona Mungu akaishi!

  • @CLAUDIPHILIPO
    @CLAUDIPHILIPO Před 3 měsíci +1

    Pastor upo sahihi sana

  • @jamesnzinga5354
    @jamesnzinga5354 Před 5 měsíci +4

    Uyu jamaa ni mwalimu, mzuri muhubiri mkweli na mwana falsafa katika elimu ya dini kenya tunamkubaliii

  • @SamwelSilvester-sp5ow
    @SamwelSilvester-sp5ow Před měsícem

    Nakukubali sana, mungu akubariki

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 Před 5 měsíci

    Neno la Mungu ni taa ya miguu yangu ,tatizo ni watu kufikiri utajiri kwa maombi na miujiza bila kuwekeza na ndipo wanapoibuka manabii wa uongo kutumia fursa ,Hongera sana hananja kwa kuhubiri vyema

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee Před 5 měsíci +2

    Manabii jamii ya akina Geordavie wa mungu wao aitwaye mungu wa dunia ni kweli huwa wanaongea naye hata kukaa naye.

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 Před 5 měsíci +4

    Huyu anamjua Mungu na Imani pia. Huu ndio werevu Kila mmoja afikie hapa walau kwanza

  • @abisalomwasike8280
    @abisalomwasike8280 Před 5 měsíci +1

    Man of god really man

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer8706 Před 5 měsíci +2

    Mimi ni Muslim Lakini nampenda Sanaa mchungaji Hananja anasema Ukweli uliopo Mungu akujalie miaka mingi wachungaji wengine wakuige Wewe

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před 5 měsíci +3

    Maranyingi ananifurahisha na ananiimarisha sana kiimani

  • @felistermarco
    @felistermarco Před 5 měsíci +1

    Kabisaaa🤣🤣 tanzania sihami mimi.uko sawa mchungaji

  • @estherdeborahsabuni9835
    @estherdeborahsabuni9835 Před 5 měsíci +1

    Aliyemchagua Mungu amemchagua. Mungu turehemu.

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 Před 5 měsíci +2

    True

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před 5 měsíci +4

    Mwandishi hata Kuandika hujui,mungu ni mzimu na MUNGU ndiye wa kweli

    • @hanskidd2290
      @hanskidd2290 Před 5 měsíci

      Acha ushamba bn tfsri ni ile ile

    • @timotheojackson3021
      @timotheojackson3021 Před 5 měsíci

      Barikiwa Sana ❤hii ni kweli

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA Před 5 měsíci

      WAJUA KUANDIKA ILA KUFUNDISHA HUJUI.Sema MUNGU anaandikwa kwa Herufi kubwa Hususani Herufi ya Kuanzia.Ukiandika jina Mungu kwa kuanza na herufi ndogo kwa mfano kwa kimombo ukiandika gods itamaanisha miungu.

  • @ThomasLucas-rh7wf
    @ThomasLucas-rh7wf Před 5 měsíci

    okey Hananja Mungu atusaidie

  • @SophiaAmani-zu3ey
    @SophiaAmani-zu3ey Před 22 dny

    Hongera baba waebrania 1:1-4

  • @righitkileo
    @righitkileo Před 4 měsíci

    Jaman dunia imechafuka watu wanasaka hela mpaka hawamuoqop Munqu.jaman mtu anaamka toka huko ni nabii.Aisee Munqu❤❤ Mkubwa❤❤❤pia mvumilivu.dunia inatisha

  • @paschaljackson2584
    @paschaljackson2584 Před 5 měsíci +1

    Ni kweli wachungaji wengi wanaanzisha makanisa ili wapate pesa. Wanafanys makanisa kuwa ndiyo biashara zao. Watu wanato sadaka kwa wachungaji wao bila kujua kuwa wanawaaminisha uongo tu. Soma biblia upate masrifa.

  • @elialawi4382
    @elialawi4382 Před 5 měsíci +3

    Upo sawa

  • @CJ-vd9wn
    @CJ-vd9wn Před 5 měsíci +8

    Ila huyu mzee ni mwanafasihi mzuri sana😂😂😂

  • @user-le1mo8ru7u
    @user-le1mo8ru7u Před 5 měsíci +1

    Mch nakupenda unasema kweli daima Mungu akulinde akubariki akufunike kwa damu yake takatifu

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 5 měsíci +2

    Ukizungumza na mkuu wawilaya hatulali.. Uzungumze na Mungu tutakuwepo kweli hahaha.!!!

  • @patientfazili4067
    @patientfazili4067 Před 5 měsíci +2

    Ndio Kuna watu waiwojaliwa neema hapa Dunia wanasikiya sauti ya Mungu kimono ao kupitiya mjumbe (Malaika)

    • @mustavic7750
      @mustavic7750 Před 5 měsíci +1

      Hayo ndo matatizo ya afya ya akili, 😂😂, yani usikie sauti ya mungu kupitia malaika.

    • @pascojm6816
      @pascojm6816 Před 4 měsíci

      😂😂

  • @meekman1805
    @meekman1805 Před 4 měsíci

    Hongera kwa kusema Ukweli.

  • @sandrauwase9521
    @sandrauwase9521 Před 5 měsíci +3

    WoW nakupenda sana mchungajii ❤

  • @user-vx6lb5ig7d
    @user-vx6lb5ig7d Před 5 měsíci +1

    Mungu utusamehe

  • @pommenuh5413
    @pommenuh5413 Před 5 měsíci +1

    My mcungaji

  • @KennethChambilo-oh8pw
    @KennethChambilo-oh8pw Před 5 měsíci +5

    Waisilam acheni kukosoa msiyo yajua wote tumekaliliswa tu hizi dini kwa madiko ukweli anao yule aliye kuwepo kwenye tukio

    • @hassanachunis1166
      @hassanachunis1166 Před 5 měsíci

      Tatizo lenu mnafanywa sana ngombe hilo ndio tatizo sasa mtu anakwambia ameongea na mungu na wamekaaa pale wanacheka 😊😅😅 sasa waislam ushawahi kuskiaa shekh kasema upuuzi kama huo

    • @Abcdefghijjjjjjjj
      @Abcdefghijjjjjjjj Před 5 měsíci

      ​​Hassan usisahau waislam mnapenda kufanya kinyume Cha maumbile
      Halafu makundi mengi ya kigaidi ni yenu
      Halafu mna chuki za hali ya juu sana na ubinafsi umejaa sana kwenu
      Ila ni nyinyi sio msaafu wenu
      Hata sisi bible haijasema Geodav huyu nabii wa uongo eti ndio ukristo
      Kua kiimani sio unakua kwa chuki ya kidini​@@hassanachunis1166

    • @farajansekela5763
      @farajansekela5763 Před 4 měsíci

      Hata we dini umerithi unaijua vizuri ,,,,,Dini zote Ni biashara tuu,,,@hassanachunis116

    • @KassimuAhamadi06
      @KassimuAhamadi06 Před 14 dny

      Waislamu wanajutambua,huwez kuona upumbav huo msikitin

  • @jeremiajacksonlupora6731
    @jeremiajacksonlupora6731 Před 5 měsíci

    Namkubali sana Huyu mchungaji

  • @rashid3562
    @rashid3562 Před 3 měsíci

    Mungu akujalie akuonyeshe dini ya haki kbla ya kufa

  • @AlexMkwama
    @AlexMkwama Před 5 měsíci +4

    Wokovu ni Wa Mtu Binafsi na MUNGU, kupangiwa sadaka ni ubakaji wa kiroho.
    Toa kwa kadri ulivyo barikiwa.

  • @twaibujuma5023
    @twaibujuma5023 Před 22 dny

    Nakukubali sanaaaa

  • @saimonmizingo7485
    @saimonmizingo7485 Před 4 měsíci

    Mzee Mungu atusamehe sote tuione mbingu ubarikiwe sana

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 Před 5 měsíci +1

    The big brain

  • @RamiasadikiGjanGjan
    @RamiasadikiGjanGjan Před 2 měsíci

    Safi sana mzee wangu

  • @simonswila7604
    @simonswila7604 Před 5 měsíci

    Hongera mchungani wasema ukweli.

  • @deniskitojo8426
    @deniskitojo8426 Před 5 měsíci +3

    Fact! 😂 Huyo Davie sijawahigi muelewa kabisa😂

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA Před 5 měsíci

      KWASABABU HAUPO KIROHO BALI UPO KIMWILI .

    • @user-oh5iu6jx2j
      @user-oh5iu6jx2j Před 4 měsíci

      ​@@YOSHUAMWAMPETAmwabudu shetan mwenzio ushafungwa akili hujielewi

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA Před 4 měsíci

      @@user-oh5iu6jx2j 2YOHANA :20"Nasi twajua ya kuwa Mwana wa Mungu amekwisha kuja,naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani ndani ya Mwana wake YESU KRISTO.HUYU (YESU) ndiye MUNGU wa kweli , na UZIMA WA MILELE." Ninajijua mimi ni NANI ndani ya YESU KRISTO WA NAZARETI MUNGU WA KWELI ,wewe Je?

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 Před 5 měsíci +7

    Hananja nimmoja tuu hatotokea tena

  • @vitalisherman2016
    @vitalisherman2016 Před 4 měsíci +1

    Mchungaji Hananja hapa umechemka kubalikosa.Lakini pia mimi siwezi kumlaumu sana.Kutoka na mapokeo ya dhehebu lake.Mungu anaongea kwa njia ya Neno, Kwa Roho mtakatifu.na Yesu mwenyewe. Kuna njia nyingi

  • @meekman1805
    @meekman1805 Před 4 měsíci

    Safi sana Mchungaji!

  • @user-iw3kr9km6j
    @user-iw3kr9km6j Před 4 měsíci

    Mungu ajalie kizazi

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Před 5 měsíci +1

    Huju mchungaji angekua mwislam angekua safi sana mana hata wachungaji wengine namini Wana mchukipa ila anawambia UKWELI ubalikiwe sana HANANJA

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s Před 5 měsíci +1

    Huyu ndo mchungaji feki kwa asilimia 100, Mungu anasema na Wanadamu, ktk.Biblia imeandikwa sintofanya lolote bila kuwaambia watu wangu, huyu ni msanii sio.mchungaji

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x Před 3 měsíci

    Asnt mtumish wangu kiki imezidi manabii wanatishia

  • @DaudiHamisi-un2uu
    @DaudiHamisi-un2uu Před 5 měsíci

    Mmhhhh!!

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um Před 5 měsíci +3

    Uko sahihi sana mzee wangu

  • @BIGSTONE-lb9po
    @BIGSTONE-lb9po Před 4 měsíci +1

    NIHATARI SANA.

  • @EzzyEddy-il3ce
    @EzzyEddy-il3ce Před 5 měsíci +2

    😂😂😂anatembea tembea utafikili nzengeli max😂😂😂

  • @josephmushi7097
    @josephmushi7097 Před 5 měsíci

    Huyu mch ni mkweli kwa yeye Mungu hajawahi kuzungumza nae ila Mungu huzungumza na watu .Ni kwa njia gani kila mmoja kulingana na mahusiano yake aliyoyajenga mwenyewe.Mungu sio bubu .

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 Před 5 měsíci +2

    Ukifungua kanisa,nje andika kibao malizia na "Miracle Center" ukikosa pesa njoo unilaumu,utajenga,utanunua SUV'S utafurahi

  • @Producerfadybeats
    @Producerfadybeats Před 5 měsíci

    Fact

  • @user-yl8td2om2y
    @user-yl8td2om2y Před 5 měsíci +2

    Baba ubalikiwe sana Yan tujifunz kitu wakrsto jaman Tanzania sio kwako kichwa iki kingekua malekan wagejivunia San mama Samia nakuomb ananj awemshaul waikul jaman

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 Před 5 měsíci +1

    😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hilo kweli kabisa ,

  • @omarmohamed312
    @omarmohamed312 Před 5 měsíci +8

    wajanja ndio wali wao. bora uwaelimishe wew huenda wakakusikiliza. unampa sadaka mtu kavaa suti za bei kali, ana na gari kali alafu wew umepanga na huna hata baiskeli. si bora umpatie sadaka jirani yako ambae unamuona ana hali ngumu, au maskini au yatima. watu wanakua wagumu sana kumsaidia mtu binafsi anaeonekana kabisa ana shida kila aina ila huyhuyo yupo tayari kwenda kumpelekea nabii tapeli. ili aonekane na wengine tu dah jamaa anatoa sadaka kweli.

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA Před 5 měsíci +1

      👆👆👆HAKIKA HUJUI UNACHOONGEA.Mungu akusaidie. NEEMA YA UTUMISHI INATOFAUTIANA KATI YA MTUMISHI MMOJA NA MWINGINE.

    • @omarmohamed312
      @omarmohamed312 Před 5 měsíci

      acheni kuwadanganya watu na kuwachukulia hela zao kwa nguv zenu za giza.

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 Před 4 měsíci

      ​@@YOSHUAMWAMPETAacha ushenzi! Unamtisha Ili iweje?

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA Před 4 měsíci

      @@billmkushi849 USHENZI NI UPI? Jifunze lugha kabla ya KUITUMIA ILI UWE SALAMA KIMAWASILIANO.

  • @MasudiNammanje
    @MasudiNammanje Před měsícem

    😮

  • @noahnsubc1666
    @noahnsubc1666 Před 5 měsíci

    😂😂😂 nakubal Hananja

  • @aizzyashery5564
    @aizzyashery5564 Před 5 měsíci +2

    We ni zaidi ya mchungaji mkuu

  • @estherdeborahsabuni9835
    @estherdeborahsabuni9835 Před 5 měsíci

    Hananja sijawahi kukuelewa. Rehema ya Mungu iwe nasi. Mungu turehemu.

  • @angelinamayombo5511
    @angelinamayombo5511 Před 5 měsíci

    Safiii

  • @chrisbee7876
    @chrisbee7876 Před 5 měsíci +1

    😂😂😂😂😂nimecheka sanaaa

  • @hekimajohn3070
    @hekimajohn3070 Před 5 měsíci +1

    Huyu ndo muchungaji wa kweli aliyebaki duniani wengine wote wapigaji

    • @yudatv4911
      @yudatv4911 Před 5 měsíci

      Mungu akuzidishie maarifa hananja

  • @didasmajor9288
    @didasmajor9288 Před 5 měsíci

    Jamani ukristo unaelekea wapi? Ee Yesu mwana wa Mariam plz rudi, angalau utunyakue wachache tuliobaki kukuamini ktk kweli ya neno lako, usikawie maana hata walio wateule wanaanguka, ushoga kanisani,
    Kamari kanisani,
    Vikoba kanisani,
    Ulawiti kanisani,
    Ufiraji kanisani,
    Utapeli kanisani,
    U-miss kanisani,
    Biashara kanisani,
    Ulevi kanisani
    na kila aina ya uchafu, waliobaki na msimamo wa dini ni watoto wa mama mdogo tu! Kumbuka ee Yesu ulisema, wema wetu usipozidi wema wa mafarisayo na masadukayo, hatufai kitu, siku hizi watt wa Ishmael wanalea watoto yatima, wanasaidia wagonjwa mahospitalini, wahi maana wateule nao wataisha, kazi yako pia itakuwa bure? Kufa kwako msalabani kutafaa nini? Njoo masiya njoo tunakungoja njoo uje uweke wazi mafumbo haya.

  • @user-bi2hl9pw3v
    @user-bi2hl9pw3v Před 5 měsíci +1

    Mimi nimwislm ila huyu jamaa namkubali cn

  • @joseaugust2805
    @joseaugust2805 Před 5 měsíci

    kwahiyo lile andiko linalosema siku za mwisho wazee na vijana , wataota ndoto na wataona maono , je nalo hilo andiko mbona hananja halisemi, hananja ni mzuri sana kwenye mambo ya kimwili , ila kwenye mambo ya kiroho naona hayupo viuri , maana encounter za KiMUNGU naona haziamini yeye anaona wote wanaotokewa na malaika au Yesu kuwa ni wanasema uongo , yaani wanajitungia story tuu,
    ila all in all maono na ndoto za kiMUNGU zipo, mtu asije akakudanganya , Mungu anaabudiwa katika mwili na pia katika roho na kweli

  • @oscarjohn477
    @oscarjohn477 Před 5 měsíci +2

    St Francis mbeya

  • @breymbasa3451
    @breymbasa3451 Před 5 měsíci

    Wanaongea na kingereza kidogo aleluhja oooo haleluhja😂😂

  • @user-br4tl7jv9j
    @user-br4tl7jv9j Před 5 měsíci +5

    Eti mkaanga chips aonane na mungu😂😂😂

    • @user-ro9ty7cf7d
      @user-ro9ty7cf7d Před 5 měsíci

      😂😂😂😂 jamani nimecheka hadi machozi

    • @user-ds7ho1my4u
      @user-ds7ho1my4u Před 5 měsíci

      Elijah alikuwa Mkulima, Musa alitokewa na Sauti ya Mungu pale alipokuwa akichunga ngombe wa baba mkwe wake, Kwa hiyo kutokewa au kuambiwa jambo na MUNGU ni Mpango wake Yeye Pekee ndiye mwenye Uwezo wa Kuomgea na Yeyote amtakaye, Haijalishi ni Muuza Chips au Mkulima.

  • @francofrederick972
    @francofrederick972 Před 4 měsíci

    Unasifiwa na wengi sawa, lkn unategwa kwa maneo yako uikane imani, kumbuka Mungu ni yeye yule habadiriki, unamaanisha Mungu ameacha kusema?,
    Wakati unamkosoa mwenzio sawa hata akiwa hayuko sawa ,wewe ndo unakosea zaidi😂😂😂😂😂😂

  • @musicheals1545
    @musicheals1545 Před 5 měsíci

    hapo kwnye Sadaka na michango michango mingine, inabdi uende kwa viongozi dheheb flan ivi ukatoe somo kule maana.

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 Před 5 měsíci

    😂😂😂 iiiiiiingweeeee 🙌🏼

  • @user-zh4bu2mo9j
    @user-zh4bu2mo9j Před 5 měsíci

    Mchungaji hananja lekebisha kauli yako mamuma mahanayake mtu anaeswali nyuma ya imaimu iyo ndio mahana ya mamuma usibadilishe mahana unasema mamuma mtu asiejua sikweli nakuomba mchungaji waone walimu update mahana sahii

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi Před 4 měsíci

    Huyu mchungaji angekua muislam bas ndo angekua shehe mkubwa tz mchungaji nakuombea Dua islimu kabla hujafa maana unaongea ukweli

  • @SAMWELCLEMENTtz4
    @SAMWELCLEMENTtz4 Před 5 měsíci

    😂😂😂😂😂😂 kalisanahii

  • @theavailablemusic7402
    @theavailablemusic7402 Před 4 měsíci

    Jamn

  • @AbelTweve-yq8xe
    @AbelTweve-yq8xe Před 5 měsíci +1

    Ati utafkirii striker😂😂

  • @HaroldEliud
    @HaroldEliud Před 5 měsíci

    Mungu yupo anaongea na watu wachache, sio manabii tu, kuna watu walikuwa washirikina , wameonana na Mungu na waliacha, wapo waliokuwa icu wamezungumA na Mungu live wamepona

  • @stevenialbert5033
    @stevenialbert5033 Před 3 měsíci

    Tatzo unapenda sofa kwa wanadamu but God took with us,

  • @YohanaCharles-ow4kp
    @YohanaCharles-ow4kp Před 4 měsíci

    Huyo mchungaj wa Arusha smwamin nahuyu hananja simwamin nnae mwamin n mungu2

  • @ubunifulifestyle3492
    @ubunifulifestyle3492 Před 5 měsíci +4

    Eti we mkaanga chipsi utaongea na mungu wwww😂😂😂😂

    • @wamisangi2801
      @wamisangi2801 Před 5 měsíci

      Unachekelea kama mazuri vile? Mkaanga chips aliye mpokea Bwana Yesu kwa taratibu zilizo elekezwa na Neno. Si tu kuwa anaongea kupitia ndoto/maono na Mungu lakini Roho wa Mungu anaishi ndani yake. Mawakala wa shetani katika ubora wao kupotosha wwtu wa Mungu ili wawaunganishe waende nao moto.
      Joel 2:28.

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 Před 5 měsíci

      ​@@wamisangi2801Mungu anaweza kusema na mtu yeyote kwa lengo la kutimiza kusudi lake, ila Mungu anayesema na mtu mmoja tu wengine hataki na tuchunguze hilo alilolisema linalenga nini?

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 Před 5 měsíci

      ​@wamisangi2801
      mzee unaamini geordevi kaongea na Mungu live sio???!,

    • @wamisangi2801
      @wamisangi2801 Před 5 měsíci

      @@yuzotv458
      Jiongeze wewe, hujui hawa manabii wa uongo wanavyo lindana na kusaidiani. Kwa akili zako unafikiri huyu mchungaji anampinga Geodavi. Juzi tu katoka kusifia nabii wa uongo TB Joshua ndio leo ampinge Geodavi.??? Hii ni scheme ambayo imepangwa ikapangika ya shetani na mawakala wake.
      Iko hivi,Wiseman Daniel mmoja wa wasaidizi wa karibu na kuaminika sana wa nabiibwa uongo TB Joshua, alitoa ushuhuda kuwa nabii wa uongo TB Joshua alikuwa anafanya Ubatizo wa uchi wa mnyama kwenye mlima wa maombezi hapo scoan. Huyu mchungaji alimtetea leo ndio apinge huyo wa Arusha. Kutoka 20:26 na Yohana 21:7.
      Hawa manabii wa uongo wanafanya hivi. Wanatoa tuhuma dhaifu kwa mwenzao wakiwa wameandaa hoja zenye nguvu kutetewa na wengine hapo baadaye kuendea kudanganya watu wa Mungu.
      Tuhuma zote anazopewa TB Joshua ni dhaifu na zinazo hoja zenye nguvu zitaendelea kutolewa kadiri muda unavyo enda kuzipinga hii ni kwa madhumuni ya kuendeleza umaarufu.
      Unajua kwa nini. Nabii wa uongo TB Joshua alishadanganya kuwa yeye ni masihi baada ya Bwana Yesu Kristo kwani Mungu huleta mwokozi duniani kila baada ya miaka 2000 yeye ndiye wa kizazi hiki. Huu ni mpango aliacha hata baadhi ya mikakati ya huu uongo akiwa karekodi matukio ya kupigia propoganda.

    • @wamisangi2801
      @wamisangi2801 Před 5 měsíci +1

      @@yuzotv458
      Geodavi na mchungaji wote manabii wa uongo.

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Před 5 měsíci

    😂😂😂😂 mchungaji namkubali mbaka max zengeri na samatta anawafuatilia safi sana

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 Před 5 měsíci

      😂😂😂😂😂😂

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w Před 5 měsíci +2

    Huyu Mchungaji Ana Akili za kiislamu kabsa Wallah Tena ipo siku mtasikia kasilimu huyo Maana Akili zake ni zakiislam Mwanzo Mwisho

  • @bahatimwakipesile5864
    @bahatimwakipesile5864 Před 5 měsíci

    Kitu kinacho fanywa Hananja ni Uchekeshaji zaidi si Elimu ya biblia, Hananja onyesha mfano wa kanisa unalolifungua n'a kulisimamia liwe mfano wa hayo unayoyasema kama uko Sawa, wewe ni kama wachambuzi wa mpira wenye hulka ya ushabiki huna tofauti nao

  • @mako331
    @mako331 Před 4 měsíci

    Mimi ni mkristo lakini kweli ukristo umeingiliwa na ujinga saana, yani tunaamini tu kila ujinga eti Yesu aliniambia uso uso upuzi mtupu

  • @henrysizya239
    @henrysizya239 Před 5 měsíci

    Yaani mahojiano ambayo mchungaji Hananja amekuwa akifanya mara kwa mara yanawaponya wengi kuliko baadhi ya watumishi.

  • @user-mf5vn2kw4d
    @user-mf5vn2kw4d Před 4 měsíci

    NI KWELI amezungumza na mungu lkn hajazungumza na MUNGU