Kupitia Roho Mtakatifu aka Roho wa Mungu anaye ishi ndani yetu ambaye anatuwezesha kudadavua hayo masndiko. Mchungaji wako mpaka hapo ni muongo tayari. Kwa umri wake amedanganya wangapi? Atubu na aache huu usanii utampleka jehanamu ya ziwa liwakalo moto milele.. Yohana 14:16-18.
Neno la Mungu ni taa ya miguu yangu ,tatizo ni watu kufikiri utajiri kwa maombi na miujiza bila kuwekeza na ndipo wanapoibuka manabii wa uongo kutumia fursa ,Hongera sana hananja kwa kuhubiri vyema
WAJUA KUANDIKA ILA KUFUNDISHA HUJUI.Sema MUNGU anaandikwa kwa Herufi kubwa Hususani Herufi ya Kuanzia.Ukiandika jina Mungu kwa kuanza na herufi ndogo kwa mfano kwa kimombo ukiandika gods itamaanisha miungu.
Jaman dunia imechafuka watu wanasaka hela mpaka hawamuoqop Munqu.jaman mtu anaamka toka huko ni nabii.Aisee Munqu❤❤ Mkubwa❤❤❤pia mvumilivu.dunia inatisha
Ni kweli wachungaji wengi wanaanzisha makanisa ili wapate pesa. Wanafanys makanisa kuwa ndiyo biashara zao. Watu wanato sadaka kwa wachungaji wao bila kujua kuwa wanawaaminisha uongo tu. Soma biblia upate masrifa.
Tatizo lenu mnafanywa sana ngombe hilo ndio tatizo sasa mtu anakwambia ameongea na mungu na wamekaaa pale wanacheka 😊😅😅 sasa waislam ushawahi kuskiaa shekh kasema upuuzi kama huo
Hassan usisahau waislam mnapenda kufanya kinyume Cha maumbile Halafu makundi mengi ya kigaidi ni yenu Halafu mna chuki za hali ya juu sana na ubinafsi umejaa sana kwenu Ila ni nyinyi sio msaafu wenu Hata sisi bible haijasema Geodav huyu nabii wa uongo eti ndio ukristo Kua kiimani sio unakua kwa chuki ya kidini@@hassanachunis1166
@@user-oh5iu6jx2j 2YOHANA :20"Nasi twajua ya kuwa Mwana wa Mungu amekwisha kuja,naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani ndani ya Mwana wake YESU KRISTO.HUYU (YESU) ndiye MUNGU wa kweli , na UZIMA WA MILELE." Ninajijua mimi ni NANI ndani ya YESU KRISTO WA NAZARETI MUNGU WA KWELI ,wewe Je?
Mchungaji Hananja hapa umechemka kubalikosa.Lakini pia mimi siwezi kumlaumu sana.Kutoka na mapokeo ya dhehebu lake.Mungu anaongea kwa njia ya Neno, Kwa Roho mtakatifu.na Yesu mwenyewe. Kuna njia nyingi
Huyu ndo mchungaji feki kwa asilimia 100, Mungu anasema na Wanadamu, ktk.Biblia imeandikwa sintofanya lolote bila kuwaambia watu wangu, huyu ni msanii sio.mchungaji
Huyu mch ni mkweli kwa yeye Mungu hajawahi kuzungumza nae ila Mungu huzungumza na watu .Ni kwa njia gani kila mmoja kulingana na mahusiano yake aliyoyajenga mwenyewe.Mungu sio bubu .
Baba ubalikiwe sana Yan tujifunz kitu wakrsto jaman Tanzania sio kwako kichwa iki kingekua malekan wagejivunia San mama Samia nakuomb ananj awemshaul waikul jaman
wajanja ndio wali wao. bora uwaelimishe wew huenda wakakusikiliza. unampa sadaka mtu kavaa suti za bei kali, ana na gari kali alafu wew umepanga na huna hata baiskeli. si bora umpatie sadaka jirani yako ambae unamuona ana hali ngumu, au maskini au yatima. watu wanakua wagumu sana kumsaidia mtu binafsi anaeonekana kabisa ana shida kila aina ila huyhuyo yupo tayari kwenda kumpelekea nabii tapeli. ili aonekane na wengine tu dah jamaa anatoa sadaka kweli.
Jamani ukristo unaelekea wapi? Ee Yesu mwana wa Mariam plz rudi, angalau utunyakue wachache tuliobaki kukuamini ktk kweli ya neno lako, usikawie maana hata walio wateule wanaanguka, ushoga kanisani, Kamari kanisani, Vikoba kanisani, Ulawiti kanisani, Ufiraji kanisani, Utapeli kanisani, U-miss kanisani, Biashara kanisani, Ulevi kanisani na kila aina ya uchafu, waliobaki na msimamo wa dini ni watoto wa mama mdogo tu! Kumbuka ee Yesu ulisema, wema wetu usipozidi wema wa mafarisayo na masadukayo, hatufai kitu, siku hizi watt wa Ishmael wanalea watoto yatima, wanasaidia wagonjwa mahospitalini, wahi maana wateule nao wataisha, kazi yako pia itakuwa bure? Kufa kwako msalabani kutafaa nini? Njoo masiya njoo tunakungoja njoo uje uweke wazi mafumbo haya.
kwahiyo lile andiko linalosema siku za mwisho wazee na vijana , wataota ndoto na wataona maono , je nalo hilo andiko mbona hananja halisemi, hananja ni mzuri sana kwenye mambo ya kimwili , ila kwenye mambo ya kiroho naona hayupo viuri , maana encounter za KiMUNGU naona haziamini yeye anaona wote wanaotokewa na malaika au Yesu kuwa ni wanasema uongo , yaani wanajitungia story tuu, ila all in all maono na ndoto za kiMUNGU zipo, mtu asije akakudanganya , Mungu anaabudiwa katika mwili na pia katika roho na kweli
Elijah alikuwa Mkulima, Musa alitokewa na Sauti ya Mungu pale alipokuwa akichunga ngombe wa baba mkwe wake, Kwa hiyo kutokewa au kuambiwa jambo na MUNGU ni Mpango wake Yeye Pekee ndiye mwenye Uwezo wa Kuomgea na Yeyote amtakaye, Haijalishi ni Muuza Chips au Mkulima.
Unasifiwa na wengi sawa, lkn unategwa kwa maneo yako uikane imani, kumbuka Mungu ni yeye yule habadiriki, unamaanisha Mungu ameacha kusema?, Wakati unamkosoa mwenzio sawa hata akiwa hayuko sawa ,wewe ndo unakosea zaidi😂😂😂😂😂😂
Mungu yupo anaongea na watu wachache, sio manabii tu, kuna watu walikuwa washirikina , wameonana na Mungu na waliacha, wapo waliokuwa icu wamezungumA na Mungu live wamepona
Unachekelea kama mazuri vile? Mkaanga chips aliye mpokea Bwana Yesu kwa taratibu zilizo elekezwa na Neno. Si tu kuwa anaongea kupitia ndoto/maono na Mungu lakini Roho wa Mungu anaishi ndani yake. Mawakala wa shetani katika ubora wao kupotosha wwtu wa Mungu ili wawaunganishe waende nao moto. Joel 2:28.
@@wamisangi2801Mungu anaweza kusema na mtu yeyote kwa lengo la kutimiza kusudi lake, ila Mungu anayesema na mtu mmoja tu wengine hataki na tuchunguze hilo alilolisema linalenga nini?
@@yuzotv458 Jiongeze wewe, hujui hawa manabii wa uongo wanavyo lindana na kusaidiani. Kwa akili zako unafikiri huyu mchungaji anampinga Geodavi. Juzi tu katoka kusifia nabii wa uongo TB Joshua ndio leo ampinge Geodavi.??? Hii ni scheme ambayo imepangwa ikapangika ya shetani na mawakala wake. Iko hivi,Wiseman Daniel mmoja wa wasaidizi wa karibu na kuaminika sana wa nabiibwa uongo TB Joshua, alitoa ushuhuda kuwa nabii wa uongo TB Joshua alikuwa anafanya Ubatizo wa uchi wa mnyama kwenye mlima wa maombezi hapo scoan. Huyu mchungaji alimtetea leo ndio apinge huyo wa Arusha. Kutoka 20:26 na Yohana 21:7. Hawa manabii wa uongo wanafanya hivi. Wanatoa tuhuma dhaifu kwa mwenzao wakiwa wameandaa hoja zenye nguvu kutetewa na wengine hapo baadaye kuendea kudanganya watu wa Mungu. Tuhuma zote anazopewa TB Joshua ni dhaifu na zinazo hoja zenye nguvu zitaendelea kutolewa kadiri muda unavyo enda kuzipinga hii ni kwa madhumuni ya kuendeleza umaarufu. Unajua kwa nini. Nabii wa uongo TB Joshua alishadanganya kuwa yeye ni masihi baada ya Bwana Yesu Kristo kwani Mungu huleta mwokozi duniani kila baada ya miaka 2000 yeye ndiye wa kizazi hiki. Huu ni mpango aliacha hata baadhi ya mikakati ya huu uongo akiwa karekodi matukio ya kupigia propoganda.
Kitu kinacho fanywa Hananja ni Uchekeshaji zaidi si Elimu ya biblia, Hananja onyesha mfano wa kanisa unalolifungua n'a kulisimamia liwe mfano wa hayo unayoyasema kama uko Sawa, wewe ni kama wachambuzi wa mpira wenye hulka ya ushabiki huna tofauti nao
Safi sana, a good pastor who understands the scriptures, tunazungumza na Mungu kupitia maandiko yake matakatifu
Kupitia Roho Mtakatifu aka Roho wa Mungu anaye ishi ndani yetu ambaye anatuwezesha kudadavua hayo masndiko.
Mchungaji wako mpaka hapo ni muongo tayari. Kwa umri wake amedanganya wangapi? Atubu na aache huu usanii utampleka jehanamu ya ziwa liwakalo moto milele..
Yohana 14:16-18.
@@wamisangi2801yohana 17:3
uzuri wa mchungaji hananja anaongea facts,Mimi ni Muislamu lakini napenda sana kumskiza Hananja,
Even me broo
Nakuombea kwa Mungu akujaalie uijue haki ili uifuate Inshallah 🙏🏻🙏🏻 kwa ndugu zangu ktk iman tuitikie amin
Hananja Mungu amuweke upo wazi Sana . Naomba Mwenyezi Mungu akuongoe
Ananja na magufuli baba 1 mama 1 maana wate wanasimamia kwenye haki
Kheeee
Weeee nawe umelewa hawafanani hata kidogo
Hongera mchungaji Mungu akubariki sana kwakweli hilo la michango watu wamefirisika
Kristo aendelee kukutunza baba,, nakupenda..God bless you
Mchungaji Mungu akutie nguvu
Kwakweli hananja na baadhi ya wenzako nawakubali, mungu awabariki mnooo mnasema ukweli tu
Huyu mchungaji angekua uraya naamini angekua mbali sana maana kwanza unafiki hataki na uongo hataki amesimama katika bibilia
Sio uraya ni ulaya😂
Ulaya kazi ya ulaghai inalipa?
Joel 2:28.
Kweli kabisa huyu ni tunu ya Tz ila hatuthamini watu kama yeye. Ni Mungu atamlipa
Kwanini sasa unaamini mpaka awe ulaya??
@@vickytorry100
Acha kujitoa ufahamu wewe, Mungu yupi amtumikiaye anaye mruhusu kukejeli kwa rejareja hivi. Hii ni tabia ya Goliati.
Duu haponimekukubali. Mzee wachungajiwengi waongo. Etiwanajitia wameongeana Mungu. Kaniambia hivi.hivi watuwanakubali. .mtihani. Allhamdulillah kwakua mwiislam
Ukweli mtupu Dina za mchongo hizo, Mungu akuzidishie HEKIMA Mchungaji Hananja 🙏🏾
Manabii wa uongo watawapata wanaweke wajinga.
We nawe mjinga mwingine@@wamisangi2801
😂 Ukizungumza na mkuu wa wilaya tu hatulali... je Mungu tutakuwepo kweli😅
Mchungaji wewe unajielewa sanaaaa mungu akubariki.hakuna mwanaadamu wakuongea na mungu wanakanisa laa Arusha pale kwa devi wahajielewi
Juzi Namuona Geo Davy anahubiri kavaa Suruali inafanana na sketi😆😆😆 na waumini wapo wapo tu kama wamerogwa vile😆😆😆😆😆
Illuminati Geordavie
Fillmasson yule shweitwani anaabudu nawengi wataingizwa bilayakujijua alafu watajuta
😂😂😂😂😂
Hahaaa😁😁😁
Shetan yule
Majambazi yameingia makanisani,watu hawana hofu wanajiita manabii wa mchongo,stukeni watanzania! Musa mwenyewe hakumuona Mungu,hakuna mwanadamu anayeweza kumuona Mungu akaishi!
Kweli Kweli
Pastor upo sahihi sana
Uyu jamaa ni mwalimu, mzuri muhubiri mkweli na mwana falsafa katika elimu ya dini kenya tunamkubaliii
Nakukubali sana, mungu akubariki
Neno la Mungu ni taa ya miguu yangu ,tatizo ni watu kufikiri utajiri kwa maombi na miujiza bila kuwekeza na ndipo wanapoibuka manabii wa uongo kutumia fursa ,Hongera sana hananja kwa kuhubiri vyema
Manabii jamii ya akina Geordavie wa mungu wao aitwaye mungu wa dunia ni kweli huwa wanaongea naye hata kukaa naye.
Huyu anamjua Mungu na Imani pia. Huu ndio werevu Kila mmoja afikie hapa walau kwanza
Man of god really man
Mimi ni Muslim Lakini nampenda Sanaa mchungaji Hananja anasema Ukweli uliopo Mungu akujalie miaka mingi wachungaji wengine wakuige Wewe
Maranyingi ananifurahisha na ananiimarisha sana kiimani
Kabisaaa🤣🤣 tanzania sihami mimi.uko sawa mchungaji
Aliyemchagua Mungu amemchagua. Mungu turehemu.
True
Mwandishi hata Kuandika hujui,mungu ni mzimu na MUNGU ndiye wa kweli
Acha ushamba bn tfsri ni ile ile
Barikiwa Sana ❤hii ni kweli
WAJUA KUANDIKA ILA KUFUNDISHA HUJUI.Sema MUNGU anaandikwa kwa Herufi kubwa Hususani Herufi ya Kuanzia.Ukiandika jina Mungu kwa kuanza na herufi ndogo kwa mfano kwa kimombo ukiandika gods itamaanisha miungu.
okey Hananja Mungu atusaidie
Hongera baba waebrania 1:1-4
Jaman dunia imechafuka watu wanasaka hela mpaka hawamuoqop Munqu.jaman mtu anaamka toka huko ni nabii.Aisee Munqu❤❤ Mkubwa❤❤❤pia mvumilivu.dunia inatisha
Ni kweli wachungaji wengi wanaanzisha makanisa ili wapate pesa. Wanafanys makanisa kuwa ndiyo biashara zao. Watu wanato sadaka kwa wachungaji wao bila kujua kuwa wanawaaminisha uongo tu. Soma biblia upate masrifa.
Upo sawa
Ila huyu mzee ni mwanafasihi mzuri sana😂😂😂
Mungu amemuumba wa pekee sana
Mch nakupenda unasema kweli daima Mungu akulinde akubariki akufunike kwa damu yake takatifu
Ukizungumza na mkuu wawilaya hatulali.. Uzungumze na Mungu tutakuwepo kweli hahaha.!!!
Ndio Kuna watu waiwojaliwa neema hapa Dunia wanasikiya sauti ya Mungu kimono ao kupitiya mjumbe (Malaika)
Hayo ndo matatizo ya afya ya akili, 😂😂, yani usikie sauti ya mungu kupitia malaika.
😂😂
Hongera kwa kusema Ukweli.
WoW nakupenda sana mchungajii ❤
Mungu utusamehe
My mcungaji
Waisilam acheni kukosoa msiyo yajua wote tumekaliliswa tu hizi dini kwa madiko ukweli anao yule aliye kuwepo kwenye tukio
Tatizo lenu mnafanywa sana ngombe hilo ndio tatizo sasa mtu anakwambia ameongea na mungu na wamekaaa pale wanacheka 😊😅😅 sasa waislam ushawahi kuskiaa shekh kasema upuuzi kama huo
Hassan usisahau waislam mnapenda kufanya kinyume Cha maumbile
Halafu makundi mengi ya kigaidi ni yenu
Halafu mna chuki za hali ya juu sana na ubinafsi umejaa sana kwenu
Ila ni nyinyi sio msaafu wenu
Hata sisi bible haijasema Geodav huyu nabii wa uongo eti ndio ukristo
Kua kiimani sio unakua kwa chuki ya kidini@@hassanachunis1166
Hata we dini umerithi unaijua vizuri ,,,,,Dini zote Ni biashara tuu,,,@hassanachunis116
Waislamu wanajutambua,huwez kuona upumbav huo msikitin
Namkubali sana Huyu mchungaji
Mungu akujalie akuonyeshe dini ya haki kbla ya kufa
Wokovu ni Wa Mtu Binafsi na MUNGU, kupangiwa sadaka ni ubakaji wa kiroho.
Toa kwa kadri ulivyo barikiwa.
Nakukubali sanaaaa
Mzee Mungu atusamehe sote tuione mbingu ubarikiwe sana
The big brain
Safi sana mzee wangu
Hongera mchungani wasema ukweli.
Fact! 😂 Huyo Davie sijawahigi muelewa kabisa😂
KWASABABU HAUPO KIROHO BALI UPO KIMWILI .
@@YOSHUAMWAMPETAmwabudu shetan mwenzio ushafungwa akili hujielewi
@@user-oh5iu6jx2j 2YOHANA :20"Nasi twajua ya kuwa Mwana wa Mungu amekwisha kuja,naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani ndani ya Mwana wake YESU KRISTO.HUYU (YESU) ndiye MUNGU wa kweli , na UZIMA WA MILELE." Ninajijua mimi ni NANI ndani ya YESU KRISTO WA NAZARETI MUNGU WA KWELI ,wewe Je?
Hananja nimmoja tuu hatotokea tena
Mchungaji Hananja hapa umechemka kubalikosa.Lakini pia mimi siwezi kumlaumu sana.Kutoka na mapokeo ya dhehebu lake.Mungu anaongea kwa njia ya Neno, Kwa Roho mtakatifu.na Yesu mwenyewe. Kuna njia nyingi
Safi sana Mchungaji!
Mungu ajalie kizazi
Huju mchungaji angekua mwislam angekua safi sana mana hata wachungaji wengine namini Wana mchukipa ila anawambia UKWELI ubalikiwe sana HANANJA
Huyu ndo mchungaji feki kwa asilimia 100, Mungu anasema na Wanadamu, ktk.Biblia imeandikwa sintofanya lolote bila kuwaambia watu wangu, huyu ni msanii sio.mchungaji
Wewe umesha zungumza nae
Asnt mtumish wangu kiki imezidi manabii wanatishia
Mmhhhh!!
Uko sahihi sana mzee wangu
NIHATARI SANA.
😂😂😂anatembea tembea utafikili nzengeli max😂😂😂
Huyu mch ni mkweli kwa yeye Mungu hajawahi kuzungumza nae ila Mungu huzungumza na watu .Ni kwa njia gani kila mmoja kulingana na mahusiano yake aliyoyajenga mwenyewe.Mungu sio bubu .
Ukifungua kanisa,nje andika kibao malizia na "Miracle Center" ukikosa pesa njoo unilaumu,utajenga,utanunua SUV'S utafurahi
Fact
Baba ubalikiwe sana Yan tujifunz kitu wakrsto jaman Tanzania sio kwako kichwa iki kingekua malekan wagejivunia San mama Samia nakuomb ananj awemshaul waikul jaman
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hilo kweli kabisa ,
wajanja ndio wali wao. bora uwaelimishe wew huenda wakakusikiliza. unampa sadaka mtu kavaa suti za bei kali, ana na gari kali alafu wew umepanga na huna hata baiskeli. si bora umpatie sadaka jirani yako ambae unamuona ana hali ngumu, au maskini au yatima. watu wanakua wagumu sana kumsaidia mtu binafsi anaeonekana kabisa ana shida kila aina ila huyhuyo yupo tayari kwenda kumpelekea nabii tapeli. ili aonekane na wengine tu dah jamaa anatoa sadaka kweli.
👆👆👆HAKIKA HUJUI UNACHOONGEA.Mungu akusaidie. NEEMA YA UTUMISHI INATOFAUTIANA KATI YA MTUMISHI MMOJA NA MWINGINE.
acheni kuwadanganya watu na kuwachukulia hela zao kwa nguv zenu za giza.
@@YOSHUAMWAMPETAacha ushenzi! Unamtisha Ili iweje?
@@billmkushi849 USHENZI NI UPI? Jifunze lugha kabla ya KUITUMIA ILI UWE SALAMA KIMAWASILIANO.
😮
😂😂😂 nakubal Hananja
We ni zaidi ya mchungaji mkuu
Hananja sijawahi kukuelewa. Rehema ya Mungu iwe nasi. Mungu turehemu.
Sio mzima
Safiii
😂😂😂😂😂nimecheka sanaaa
Huyu ndo muchungaji wa kweli aliyebaki duniani wengine wote wapigaji
Mungu akuzidishie maarifa hananja
Jamani ukristo unaelekea wapi? Ee Yesu mwana wa Mariam plz rudi, angalau utunyakue wachache tuliobaki kukuamini ktk kweli ya neno lako, usikawie maana hata walio wateule wanaanguka, ushoga kanisani,
Kamari kanisani,
Vikoba kanisani,
Ulawiti kanisani,
Ufiraji kanisani,
Utapeli kanisani,
U-miss kanisani,
Biashara kanisani,
Ulevi kanisani
na kila aina ya uchafu, waliobaki na msimamo wa dini ni watoto wa mama mdogo tu! Kumbuka ee Yesu ulisema, wema wetu usipozidi wema wa mafarisayo na masadukayo, hatufai kitu, siku hizi watt wa Ishmael wanalea watoto yatima, wanasaidia wagonjwa mahospitalini, wahi maana wateule nao wataisha, kazi yako pia itakuwa bure? Kufa kwako msalabani kutafaa nini? Njoo masiya njoo tunakungoja njoo uje uweke wazi mafumbo haya.
Mimi nimwislm ila huyu jamaa namkubali cn
kwahiyo lile andiko linalosema siku za mwisho wazee na vijana , wataota ndoto na wataona maono , je nalo hilo andiko mbona hananja halisemi, hananja ni mzuri sana kwenye mambo ya kimwili , ila kwenye mambo ya kiroho naona hayupo viuri , maana encounter za KiMUNGU naona haziamini yeye anaona wote wanaotokewa na malaika au Yesu kuwa ni wanasema uongo , yaani wanajitungia story tuu,
ila all in all maono na ndoto za kiMUNGU zipo, mtu asije akakudanganya , Mungu anaabudiwa katika mwili na pia katika roho na kweli
St Francis mbeya
Wanaongea na kingereza kidogo aleluhja oooo haleluhja😂😂
Eti mkaanga chips aonane na mungu😂😂😂
😂😂😂😂 jamani nimecheka hadi machozi
Elijah alikuwa Mkulima, Musa alitokewa na Sauti ya Mungu pale alipokuwa akichunga ngombe wa baba mkwe wake, Kwa hiyo kutokewa au kuambiwa jambo na MUNGU ni Mpango wake Yeye Pekee ndiye mwenye Uwezo wa Kuomgea na Yeyote amtakaye, Haijalishi ni Muuza Chips au Mkulima.
Unasifiwa na wengi sawa, lkn unategwa kwa maneo yako uikane imani, kumbuka Mungu ni yeye yule habadiriki, unamaanisha Mungu ameacha kusema?,
Wakati unamkosoa mwenzio sawa hata akiwa hayuko sawa ,wewe ndo unakosea zaidi😂😂😂😂😂😂
hapo kwnye Sadaka na michango michango mingine, inabdi uende kwa viongozi dheheb flan ivi ukatoe somo kule maana.
😂😂😂 iiiiiiingweeeee 🙌🏼
Mchungaji hananja lekebisha kauli yako mamuma mahanayake mtu anaeswali nyuma ya imaimu iyo ndio mahana ya mamuma usibadilishe mahana unasema mamuma mtu asiejua sikweli nakuomba mchungaji waone walimu update mahana sahii
Huyu mchungaji angekua muislam bas ndo angekua shehe mkubwa tz mchungaji nakuombea Dua islimu kabla hujafa maana unaongea ukweli
😂😂😂😂😂😂 kalisanahii
Jamn
Ati utafkirii striker😂😂
Mungu yupo anaongea na watu wachache, sio manabii tu, kuna watu walikuwa washirikina , wameonana na Mungu na waliacha, wapo waliokuwa icu wamezungumA na Mungu live wamepona
Sio kweli acha utapeli
Tatzo unapenda sofa kwa wanadamu but God took with us,
Huyo mchungaj wa Arusha smwamin nahuyu hananja simwamin nnae mwamin n mungu2
Eti we mkaanga chipsi utaongea na mungu wwww😂😂😂😂
Unachekelea kama mazuri vile? Mkaanga chips aliye mpokea Bwana Yesu kwa taratibu zilizo elekezwa na Neno. Si tu kuwa anaongea kupitia ndoto/maono na Mungu lakini Roho wa Mungu anaishi ndani yake. Mawakala wa shetani katika ubora wao kupotosha wwtu wa Mungu ili wawaunganishe waende nao moto.
Joel 2:28.
@@wamisangi2801Mungu anaweza kusema na mtu yeyote kwa lengo la kutimiza kusudi lake, ila Mungu anayesema na mtu mmoja tu wengine hataki na tuchunguze hilo alilolisema linalenga nini?
@wamisangi2801
mzee unaamini geordevi kaongea na Mungu live sio???!,
@@yuzotv458
Jiongeze wewe, hujui hawa manabii wa uongo wanavyo lindana na kusaidiani. Kwa akili zako unafikiri huyu mchungaji anampinga Geodavi. Juzi tu katoka kusifia nabii wa uongo TB Joshua ndio leo ampinge Geodavi.??? Hii ni scheme ambayo imepangwa ikapangika ya shetani na mawakala wake.
Iko hivi,Wiseman Daniel mmoja wa wasaidizi wa karibu na kuaminika sana wa nabiibwa uongo TB Joshua, alitoa ushuhuda kuwa nabii wa uongo TB Joshua alikuwa anafanya Ubatizo wa uchi wa mnyama kwenye mlima wa maombezi hapo scoan. Huyu mchungaji alimtetea leo ndio apinge huyo wa Arusha. Kutoka 20:26 na Yohana 21:7.
Hawa manabii wa uongo wanafanya hivi. Wanatoa tuhuma dhaifu kwa mwenzao wakiwa wameandaa hoja zenye nguvu kutetewa na wengine hapo baadaye kuendea kudanganya watu wa Mungu.
Tuhuma zote anazopewa TB Joshua ni dhaifu na zinazo hoja zenye nguvu zitaendelea kutolewa kadiri muda unavyo enda kuzipinga hii ni kwa madhumuni ya kuendeleza umaarufu.
Unajua kwa nini. Nabii wa uongo TB Joshua alishadanganya kuwa yeye ni masihi baada ya Bwana Yesu Kristo kwani Mungu huleta mwokozi duniani kila baada ya miaka 2000 yeye ndiye wa kizazi hiki. Huu ni mpango aliacha hata baadhi ya mikakati ya huu uongo akiwa karekodi matukio ya kupigia propoganda.
@@yuzotv458
Geodavi na mchungaji wote manabii wa uongo.
😂😂😂😂 mchungaji namkubali mbaka max zengeri na samatta anawafuatilia safi sana
😂😂😂😂😂😂
Huyu Mchungaji Ana Akili za kiislamu kabsa Wallah Tena ipo siku mtasikia kasilimu huyo Maana Akili zake ni zakiislam Mwanzo Mwisho
Kabisa yaan IPO siku inshalah tumuombee
@@user-ve3wu5jn1ldini ya hovyo Islamic
Kitu kinacho fanywa Hananja ni Uchekeshaji zaidi si Elimu ya biblia, Hananja onyesha mfano wa kanisa unalolifungua n'a kulisimamia liwe mfano wa hayo unayoyasema kama uko Sawa, wewe ni kama wachambuzi wa mpira wenye hulka ya ushabiki huna tofauti nao
Mimi ni mkristo lakini kweli ukristo umeingiliwa na ujinga saana, yani tunaamini tu kila ujinga eti Yesu aliniambia uso uso upuzi mtupu
Yaani mahojiano ambayo mchungaji Hananja amekuwa akifanya mara kwa mara yanawaponya wengi kuliko baadhi ya watumishi.
NI KWELI amezungumza na mungu lkn hajazungumza na MUNGU