MKE WA MCH IPM AFUNGUKA KUHUSU KANISA LA IRENE UWOYA | KUNA NAMNA YA KUMWBUDU MUNGU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024

Komentáře • 72

  • @princeabuu8297
    @princeabuu8297 Před 4 měsíci +7

    Hakuna cha uzungu wala nini apo huwezi kuitangaza dhambi peupe kwa kusema tuangalie moyo wake yani unatangaza dhambi kweupe na useme uko sawa wakati Mungu kasema mwili wa mwanamke wote 99% ni utupu rudi usome maandiko vizuri

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Před 4 měsíci +5

    Haijalisha malaya avae.dela tunaangalia maandiko yanasemaje mwanamke avae mavazi ya kujistiri na mavazi ya mpasayo kuvaa mwanaume mwanamke asivae na hua tunajifunza.kama familia imelelewa kizungu.ikiingia msikitin au kanisan inatakiwa ifuate maandiko usilahisishe mtumishi wa bwana

    • @kibouttv7148
      @kibouttv7148 Před 4 měsíci

      Unatakiwa kuelewa kuwa kila sehemu ina aina yake ya mavazi tatizo mnahukumu watu ofcourse kanisani kuna mavazi yake, sasa vazi la kanisani uvae beach? Au ukaogelee ukiwa umejisitiri pangilia mavazi yako kulingana na sehemu unayoenda

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 Před 4 měsíci

      @@kibouttv7148 haipo.biblia.ya.bichi angalieni sana na anasa zenu.kuipenda dunia.kumpenda Mungu hakumo ndani dunia inapita na mambo yake yote da.jaman utapeli wa imani huo biblia inasema mavazi yampasayo mwanaume asivae mwanamke wanawake wavae mavazi ya kusitili miili yao hata kahaba ave dela harafu nimesoma neno paulo anasema lakini neno hili limewafikia mataifa ukiongea na kahaba twende kanisani anasema sina nguo za kubwa kanisani unamuliza una nguo gani suruali na vimini.lakini kanisani wana.kwaya.wanawake wanaomba nyimbo na suluali da wamesimama.milangoni kuzuia watu yesu alisema na wao.hawaingii leo kanisa haliogopi biblia linaogopa wachungaji hadi aibu

    • @alunekyusa4905
      @alunekyusa4905 Před 2 měsíci

      Ndiooooo kweli kabisa

    • @alunekyusa4905
      @alunekyusa4905 Před 2 měsíci

      @@kibouttv7148huko sio kuhukumu 1 timotheo 2:9

    • @alunekyusa4905
      @alunekyusa4905 Před 2 měsíci

      Unahalalishe ujinga wenu wa kuvaa hovyo 1 timotheo 2:9
      Pentecost mumeingiliwa kwa kujiharalishia kuvaa ovyo eti kimjazacho mtu ndicho kimtokacho

  • @BishiraMunga-ey6jx
    @BishiraMunga-ey6jx Před 4 měsíci +5

    Usilinganishe waislamu nanupuuzi wako wa kuvaa nguo fupi,acha tena koma zungumxia vichupivyenu mnavyovaa hadharani,tena jishikilie,acha kutetea ujinga.

    • @SmilingChocolateStrawber-zd5lc
      @SmilingChocolateStrawber-zd5lc Před 3 měsíci

      Sasa mnamwabudu Mungu yupi huku mkitukana wakristu ?
      Yaani ninyi hapo hamna kitu mnashangaza ni Mungu yupi mnamwabudu kwa matusi mnavyotukana Daah labda mmmmh

    • @nuruabraham3769
      @nuruabraham3769 Před 2 měsíci +1

      mbona nyie ndio mnaongoza kuvaa vichupi ebu angalia wasanii wenu wanaojiita waislamu wanavaa nguo za kujistili kipindi cha mwezi mtukufu tuu kwani hao ni wakristo? Embu tuache udini muhukumu mtu kama mtu ukisema masuala ya udini basi kote kuna kasoro hasa katika uvaaji.

    • @alunekyusa4905
      @alunekyusa4905 Před 2 měsíci

      Kabisa tena asirudie yeye aendelee uvaaji wake hovyo

    • @alunekyusa4905
      @alunekyusa4905 Před 2 měsíci

      @@nuruabraham3769hao ni waigizaji wanajitamnulisha tu kuwa wao ni waislamu ila kuvaa kwa sitahaa ni vema sana 1Timotheo2:9

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Před 2 měsíci

      Yaani ungejua hao mnaosema wanajistiri mambo yao usingehukumu mtu.acha kila mtu asimame kwenye imani yake.kitakachotufunga wote kwa Mwenyezi Mungu ni Matendo yetu na Imani nahivi vitu ndo Dini yenyewe nasio jina

  • @MillanFAHMI
    @MillanFAHMI Před 31 minutou

    Kwanza utukome waislamu tumefikaje apo ukome halalisheni visivyo halalishwa ipeleke uko

  • @emmanuelmachibya2034
    @emmanuelmachibya2034 Před 4 měsíci +2

    Hongera sana kaka #IMP una mke Bora mcha Mungu👏👏👏

  • @FatyucYusuph
    @FatyucYusuph Před 4 měsíci +4

    Coni km kunasababu ya kutaja waislam huna haya wewe

  • @UpendoLangeni
    @UpendoLangeni Před 2 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @user-xt4mi5zs2s
    @user-xt4mi5zs2s Před 4 měsíci +6

    Huna lolote hakuna kitu apo wasaka pesa tu

    • @alunekyusa4905
      @alunekyusa4905 Před 2 měsíci

      Kabisa mijinga kweli na mume wake wanasema eti kuuza sigara au pombe kwa mtu aliyeokoka lasivyo utakufa masikini
      Heri ufe masikini uwe na Mungu kuliko kufa na pesa na jehanamu uende na hela zako

    • @frankchipasura1814
      @frankchipasura1814 Před 2 měsíci

      So usake na wewe falaaa wewe

  • @user-jx2nq7ob6t
    @user-jx2nq7ob6t Před měsícem

    Wewe ni mshenzi et

  • @yaqubabdi9532
    @yaqubabdi9532 Před 4 měsíci +3

    Prophet gani ,huyu anatafuta tumbo lake tu

  • @GodenBMDaniel
    @GodenBMDaniel Před 4 měsíci

    Hallelujah 🎉🎉🎉

  • @samxx411
    @samxx411 Před 2 měsíci

    Haya huyu nae pia ndo mchungaji....tarararara 😅😅😅

  • @mulolemary1317
    @mulolemary1317 Před 4 měsíci +8

    Kwasasa ukitaka utajiri funguwa kanisa tu utapata utajiri

  • @user-gn8vu3tb4h
    @user-gn8vu3tb4h Před 4 měsíci +1

    Unaona hali hiyo jiandae mtumishi naona unampromot wife haoni ya waliokutangulia shusho

  • @MongiAron
    @MongiAron Před 9 dny

    Kitu naweza kosowa kwa muke wa prohete yakwamba wokovu haikamilishwe na mazingira ili tuishi kimaandiko tusipake zambi mafuta yaani ni vigumu Ku kosowa mutu ki mavazi wakati mwenyewe una nyele bandiya kichwani? Wake wa watumishi waache kupakaa zambi mafuta kufatana na tamaa Zao ao style Zao.

  • @user-xt4mi5zs2s
    @user-xt4mi5zs2s Před 4 měsíci +1

    Idadi ya manabii inaongezeka hamuwezi kua manabii

  • @alunekyusa4905
    @alunekyusa4905 Před 2 měsíci

    Eti amelelewa kizungu Mungu ni yule yule 1timotheo 2:9
    Kuvaa kwa heshima ndiyo wokovu wazungu sio Mungu wamewachukua akili wajijua waafrika ni nyani wanaiga kila kitu soma maandiko ndio muongozo usidanganye watu

  • @user-iy3fx7cl1j
    @user-iy3fx7cl1j Před 3 měsíci

    Umlii eehh

  • @judithfimbo3743
    @judithfimbo3743 Před 2 měsíci

    Ulokole sio dini jamani.

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Před 2 měsíci

    No dhehebu sioe dini na sasa hivi sioe wale wa zamani. Suala la nguo kwa kweli tunapaswa kuvaa vizuri hata kama si hijabu .

  • @MaryWuantet
    @MaryWuantet Před 2 měsíci

    Pentecostal ni wanao amini kuna roho mtakatifu na talking in tongues

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele Před 3 měsíci

    Shenz kabisa achen kumchezea mungu, achen kabisa mkataen shetan aliewatuma kuharbu din ya mwenyez mungu

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Před 4 měsíci

    Mcha Mungu hana umri mtumishi mbona wengine wanawake wanaimba wamevaa suluari jamani tusilahisishe madhabahuni wa nje achana nao walio ndani wakemewe

  • @samxx411
    @samxx411 Před 2 měsíci

    Ati wamelelewa kizungu ndo mwalimu hiyo anafundisha na anao watu wanamfuata...je maandiko yanasemaje???? Mwalimu sio maoni yako kutoka kichwani mwako...unapoteza kondoo

  • @issapagali1330
    @issapagali1330 Před měsícem

    WAISLAMU WAMEINGIAJE HAPO?ELEZEA UKAFIRI WAKO. PUMBAV WAHED.

  • @nomar3708
    @nomar3708 Před 4 měsíci +8

    Mungu gani huyo amekuwa mtoto eti na watu waje kumbadilisha nappy zake alizozikojilea na kuzinyia. Myself wakristo wapumbavu sana😂😂😂😂

    • @amanimaphie5309
      @amanimaphie5309 Před 3 měsíci

      Those are your words

    • @samsonchikuni531
      @samsonchikuni531 Před 3 měsíci

      Mungu na akusamehe hulijui ulisemalo

    • @user-rr5xz8xk7p
      @user-rr5xz8xk7p Před 2 měsíci

      Kwan wakristo hua wanawakosea nn waislam mana mara nyingi sana waislam hua mnawakashifu wakristo
      Kila mtu na iman yake bc na ww amin kwa iman yako na sio kuiongelea vby din ya mwenzio

    • @CadiaOnesmo
      @CadiaOnesmo Před 2 měsíci

      Wangekuwa wapumbavu usingejishugurisha nao maana kiuhalisia mtu mpumbavu hakusumbui ila kwako wewe naona wanakuumiza kichwa inamanisha hata upumbavu wao unakitu wanacho kuzidi ndo maana una chuki zidi Yao huwezi kumchikia mtu asiyekuzidi kitu point 2note

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před 2 měsíci

    Muonekano wako ndio unakutambulisha ulivyo mpaka ndani.

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele Před 3 měsíci +3

    Pumbavu kabisa acha kutetea uovu sema neno la mungu anasema nin mnavaa kimkundu kundu mmeleta umalaya makanisan na manabii wenu wa ngono

  • @user-gn8vu3tb4h
    @user-gn8vu3tb4h Před 4 měsíci

    Kina shusho kwa ni mariam alivaa wigi au alitembia uchi tusubiri mungu hakuwaruhusu hao kusimama mbele ya wanaume nguvu hizo wanatoa wapi apm jeje hajui au pesa tu

  • @user-iy3fx7cl1j
    @user-iy3fx7cl1j Před 3 měsíci

    Wee mwizi tu na malaya tu

  • @salisali3738
    @salisali3738 Před 2 měsíci

    Uongo mwengine yote hiyo nikutafuta pesa mmmmmmmmmm

  • @user-zr1he6jb3m
    @user-zr1he6jb3m Před 2 měsíci

    Dada tunashukuru ila hapana hiyo kitu unazungumza kwa kuwa nguo ndefu ni vazi ya heshima wewe uvae fupi uende kusali kahaba nae avae fupi akajiuze je kuna utofauti gani kati ya wewe na huyo kahaba hapana tunapaswa kuwa tofaut kwa kila jambo mwili ni hekalu lako hiyo itabaki hivyo nuru yako itawaangaza vip hao wa gizani

  • @zuhurasaid
    @zuhurasaid Před 4 měsíci

    Wachumia tumbo tu, migogoro isiyokwisha ni maslahi mnagombania nini kama sio maslahi?

  • @carmp3
    @carmp3 Před 4 měsíci

    Wakristo manapenda kutembea uchi na kusapoti maovu hadharan badala ya kukemea basi ilimradi muishi kwa matamanio ya nafsi zenu mnaishi juu ya shelia hamtaki kuishi chini ya shelia

    • @AdelinaBruno-mz2rx
      @AdelinaBruno-mz2rx Před 2 měsíci

      Tetea.hoja.iliyopo mezani.,acha.kuwakisanua.watu.kwa.ujumla.acha.kusema wakristo.ikiwa.kaongea.mtu.mmoj.

    • @user-wv9wc6yr1u
      @user-wv9wc6yr1u Před 2 měsíci

      Waislamu wangapi tunawaona wanatembea utupu akina zuchu ni wakrito?

    • @frankchipasura1814
      @frankchipasura1814 Před 2 měsíci

      wanajisitiri unaowasema na wanagongwa sana kuliko hao, tunawajua sana, nenda Zanzibar kaone, acha ushamba

  • @mulolemary1317
    @mulolemary1317 Před 4 měsíci +1

    Tafuta zako pesa amna lolote apo

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Před 4 měsíci

    Kumuabudu Mungu hakutegemei wewe unataka umwabudu unavotaka tunasoma neno muabudu Mungu harisi yuko sare na kila kanisa ukimkuta anaeabudu harisi roman na sabato wote wanafanana ila wanalahisisha