Bella Kombo ft. Evelyn Wanjiru & Neema Gospel Choir - Mungu Ni Mmoja (Official Video)
Vložit
- čas přidán 13. 04. 2024
- The official Live Video Performance from Bella Kombo featuring Evelyn Wanjiru & Neema Gospel Choir - Mungu Mmoja
Subscribe to the Bella Kombo channel for all the best and latest official music videos, behind the scenes and live performances.
Listen & Stream on Spotify here:
open.spotify.com/album/0dc3Br...
See more official videos from Bella Kombo here:
/ @bellakombo
Follow Bella Kombo on:
Facebook: / officialbella. .
Twitter: / officialbellakombo
Instagram: / officialbellakombo
Official Website: www.bellakombo.com
________________________________________________________________
Copyright ©℗ 2024 Bella Kombo, Under exclusive license to OSPO MUSIC GROUP, All rights reserved - Hudba
Nikimwona nitamwambia aniondolee utasa ata mie niitwe mama 🤰🤱❤
Amen may he answer your prayers
God will do it for His own glory
Mambo yako yashafika mbeleni zake huyu Mungu huyu mmoja, wakati wako ushafika
Mungu na akupe haja ya moyo wako
Huu Uwe ukiri wako kila siku, Kutoka 23:26 “ Hapatakuwa na mwenye kuharibu mimba, wala Aliye tasa katika nchi yako. Na hesabu ya siku zako nitaitimiza”. Wewe ni uzao wa Ibrahim kwa imani, hii ahadi ni yako pia. Kiri huu mstari kwa imani na Mungu wetu Aliye Mkuu Akutendee kwa Utukufu Wake 🙏🏾
Guys I am a living testimony for this song ....I played it the whole night at my our plot my neighbor was paralyzed 😢for more than 4yrs now She came at my house singing this song saying that she was healed after I played that song around 10 times 😢😢😢God is faithful guys let's believe on him🙏🏼🙏🏼🙏🏼
🔥🔥🔥🔥
Amen
Oh Glory to the most high God 🙌🙌🙌🙌🙌
Amen
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
nikimuina nitamwambia afungue tumbo langu nipate watoto nizae. Munguabadilishe maisha yangu niitwe mama
Receive in Jesus name
Mungu akupe haja ya moyo wako
Kwa Jina La Yesu Funguka
Amen
Mungu akupe kwa jina la Yesu
Nitamwambia Asante kwa kunitumia kama chombo ya kutoa familia yangu kutoka umaskini. Kenyans wapi likes zenu
Wapi likes za our own everlyn wanjiru🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Her ministration is on another level.
Yes the ministration may be on another level but these women need to get fully dressed in garments of Salvation. Not these worldly clothes. May the LORD Jesus Christ help them seek the truth, Amen.
Thank you for saying my mind😢😢@@susansusanne6157
Ooh Jesus son of God
Amen..mungu ni mmoja tu
Nikimwona nitamwambia amponye mchezaji Ezekiel Otuoma🙌...in Jesus name.
Amina
Amen
Amen
Amen
Aki😭
Our very own Evelyn Wanjiru wapi likes za Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤
❤❤❤❤
❤❤❤🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤
Nikimuona nitamwambie amponye mama yangu HIV.🙏🙏🙏🙏🙏🙏
🙏 🙏 Amen
amen
She is healed in His stripes
Amen 🙏
🙏🙏🙏
Tunainama Tunasujudu Mungu Ni Mmoja Tuu…
Love u saaaana mama
Hallelujah..🙌
Amina mtumishi
Amen,Mungu ni mmoja tu. Love u mama mshindi❤
Amen
I love this song, ❤❤❤❤❤❤ when someone likes my comment I will always come back n listen to this song. more grace servants of the most high God.
You will answer for every useless word that comes out of your mouth. Servants of the most high? Do you even know who the most high is? are they reflecting God or themselves?
@@wigglesworthkemei5768how are they reflecting themselves??? Me naskia tu wakipraise God...
@@ellie75677that's his opinion. everybody is at liberty to think, see or hear whatever it is they hear.
Mimi sina cha kuzungumza ila moyo wangu unalia kwa furaha kila nikimuona mume wangu namshukuru Mungu kwa kunipa mume bora,kanipa watoto,kanipa kibali kazini ooooh nasujudu kwa Mungu wangu kama ulivonibariki wabariki na wengine YEHOVA.AMINA
Ameen napokea baraka hizi
Amina
Hallelujah
Amen 🙏
Nikimuona nitamuomba anisamehe nlipomkosea pia abadilishe maisha yang na familia yangu atuondolee umaskin anipe na mume mwema🙏🙏
Nimekupenda Bure so innocent
Wapi like za Tanzania 🇹🇿 na Kenya 🇰🇪 tu watoto wa baba mmoja
It hit so better than this..
Kabisaa
❤❤❤
Amen
P cc@@danielmutinda1492
Nimwona nitamwambia anibariki na Mimi niweze kuitwa mama
Itwa mama kwa utukufu wa Mungu
Mungu ni mwema. Amekuonekania Sasa. Utanyonyesha na anakupa Wana ambao watakukumbusha kwamba miaka ilitoliwa na nzige yamerudishwa. Pokea katika jina la Yesu.
Your womb is blessed mamah🥰🥰you will hold your bundle of joy in due time bcoz The God of Sarah has showered you with His blessings❤❤❤
Hugs dear...
Next year this time, you'll be a mother of Twins.
I put this comment here, so that when anyone likes it, it will remind me how God restored me, turned my shame into fame and replaced my tears with joy. I never want to forget for one moment how good God has been to me, how this song has touched my soul
Hallelujah somebody 💯💯👌❤️🎁🎁Amen
Glory to God🙏
@@margaretkimani6167 God always protects you and your family. amen
@@margaretkimani6167 Chúa luôn bảo vệ bạn và gia đình bạn. amen 🙏🙏🙏
@@awindamukamimukami5419 Chúa luôn bảo vệ bạn và gia đình bạn. amen
Nitamwambia nashukuru kwa kufuta miaka yangu iliyoliwa na madumadu na kunipa kazi.
40 years from today I will be 72 years and I know by the grace of GOD I will still be alive to listen to this song. Lets comment Amen and give the likes to keep me alive and to you my grandsons reading this comment in 2064 please comment AMEN so that I can remember the grace of GOD.
Amen
Amen. Same case here
Amen 🙏
Amen🙏🙏
Amen
Wakenya Leteni Likes Thate Ya Bella Kombo na Wanjiru🙏✔️
Woow nice song
Not only wakenya many are touched by this song...much likes from Tanzania ❤️🖐🙏
Wenye wako hapa kumuinua Mungu ambae ni mmoja tuu bila kujali niwa nchi gani piga like tukisonga... The king of Kings is here
Nikimwona nitamwambia anikumbuke huu mwaka anibariki na ndoa🙏🙏🙏l believe and trust HIM🙏
Wakenya mnajua sana kusupport waimbaji wa Tanzania, hebu ni mie nipeni like hata 10 tu!
Ju Mungu ni mmoja🙏
Hakika guyz. Tuna Mungu mmoja tuendelee kupendana
@@laurahmwende3646amen , na sote tunakwenda mbingu moja❤🙏🏿🇹🇿🇰🇪
Wow the King of glory is here
Nimerusha yangu❤
Wapi like za kenya 🇰🇪
Tupo....
From Tanzania 🇹🇿
❤❤❤❤
❤
We are here ❤
Nikimuona ntamwambia aiondoe familia yangu katika umasikini tufanikiwe zaidi ya kufanikiwa ameen
God will bless you more than you can think or even imagine. He owns the world
Bwana asikie maombi Yako leo
Nitamwambia wabariki wanawake wote wasio na watoto wapate kibali Cha kuitwa 🙏🏼🙏🏼🙏🏼oooh Mighty father wipe their tears 🙏🏼🙏🏼🙏🏼.
AMEN🤰🤱❤🙏🙏
Amen 🙏
Mimi ni mmoja wapo napokea amen
Amina
Amen
Nikimwona nitamwambia amponye dadangu yangu ambaye ameugua kwa miaka kumi na moja...we have really cried and struggled for her to get healed😢😢😢Na kwanzia leo na akapate instant healing in Jesus Name
Amen
Amen
Amen na iwe kwake❤
Amen, Mungu amponye
Amen
Cancer imeanguka kwa jina la Yesu mama yangu uwe mzima sasa, imetosha.
Amen
Amen
Amen
Amen
By the Authority vested unto the Name of Jesus, I declare that your mom is free of cancer right Now in the Mighty Name of Yahusha the Christ.
nikimuona kwanza nitamshukuru kwa uzima na pumzi lakini pia nitamuambia anipe hekima na busara ya kuishi na watu vizur🙏
Kama umeipenda wimbo kama mm hapa gonga like za kutosha
Nikimuona nitamuomba amponye my baby girl Mirabel mwenye shida ya Autism, I wish siku moja nimsikie mwanangu akizungumza. Naamini hiyo siku itafika.
Mungu yupo na wewe hapo endelea kumuomba yeye ni msikivu atamponya mtoto
So shall it be, AMEN.
Amen,you will testify to His goodness
Amen.
Keep laying your hands on her daily as u speak that dearest. It is well sister
Am giving my life to God now. Pliz like me🙏🙏😭
The best decision you've ever made. May God be with you in this journey 🙏
The best decision ever
Welcome to salvation🧡🧡🧡
Congratulations
Amen na iwe kweli
Hey ,Fay! Don't look back. Move on with this fine decision. Kwanza yale maombi ya saa Tisa asubuhi😭😭 unahisi ni kama mbingu zimefunguka tu😭💯 it's good to know God in truth dear ones❤❤
Ameen nikimuona nitamwambia awape maisha marefu wazazi wangu🙏🙏😊😊
Nikimuona nitamwambia mwaka 2024 anipe mume
Faithful he is
Ikawe hivyo
Hi Guys kama unaamini huu umoja unaenda mbali please nipe like Moja ❤
❤
❤❤
❤❤
❤
Kama umekubali huu wimbo ni mkubwa mno nipe like tusonge 🌹
Nikimuona nitamuomba akate mzizi wa umasikini kwenye familia yetu 😢😢
Wapi likes za wana wa MUNGU MMOJA.The song is more than uplifting one, exerting GOD to the most high places ever.
Am praying for my wedding this year and kwa kweli Mungu ni mmoja tu and i shall be a testimony in 2024 🙏
Amen
Amen,Ameen,Ameen
Same to me ntakuwa na ushuhuda mkubwa sana huu mwaka kabla kuisha kwanzia kuolewa kwa harusi
Trust The King of glory never fails,, it will happen Amen to that.
You and I both 🎉🎉🎉🎉Arusi tunayo 🎉🎉🎉🎉 Pilau too😅
Nikimwona nitamuomba aitoe familia yangu kwenye umaskini 😢fedha dhahabu vyote ni vyake anijalie hekima na maarifa kwenye dunia hii 😢
Oohh pole naomba nikualike uje Kwa kuhani Mussa yupo kimara temboni hakika utafanikiwa kufikua hatma yako
Amina
plsease like my comment so that i will come back and listen to the song again❤🇿🇲🙏
Nitamwambia mwaka huu anipe mume sahihi wa maisha yangu
Your case is closed.amen
Your case is closed.amen
Mko wapi mliobarikiwa na combination ya Evelyn na Bella ilivyoshusha upako mnibariki na likes zenu
If someone likes my comment I will come back and watch again
Such an inspiration
@@sheilaowano1220😊😊😊😊😊😊
@@sheilaowano1220😊😊
Nitamwambia nilizalaulika sana nilivyo zaa mtoto bila kuolewa naomba mfanye mwanangu aje kuniheshimisha siku moja ❤
When I see Him I will tell Him to help those who are needy...those who are sick like Ezekiel otuoma... those who don't have jobs to give them jobs...and touch everyone who is in need of anything...amen
Nikimwona nitamwambia anipe Mume mwenye hekima na busara.
wow😍
Material things surely????
Amen
Amen
@@chrispusmutisya1889what’s wrong with that ? Na wewe yako ni gani? Let people be
Nikimuona nitamuomba amponye mtoto wangu wa kwanza( Kimberly Grace) ambaye anaugua autism.
1 Samwuel 5:1- dagon ameanguka,amevunjika!
Autism before God's Ark itaanguka na kuvunjika katika jina la Yesu.🙏
Amen @@roslynomollo2472
From your mouth to God's ears my sister.. may she be healed in jesus name..May your faith be raised above anything and everything.
Mungu askie ombi lako, amponye pamoja na mwanangu wa kwanza pia anayeugua Autism pia🫂
He is able the king of Glory is able
Nikimwona nitamwambia anikumbuke mwaka huu wa 2024 uwe wa ushuhuda,nishuhudie
Nitamwambia aponye my son who is diabetic. Na atufingulie milango with my family tuende America
Nikimuona nitamwambia akumbuke nchi yangu Kenya atuondolee maafa ya mafuriko
It is because of listening to such. This is the reason of all these floods. We have blinded our eyes to the true God...and have instead listen to workers of iniquity...Repent and seek the Lord for yourself lest you too are caught up in the land of the dead...God loves you and He seeks to have a relationship with each one of us...but He is not a compromiser...He will not strive with man...to anyone who may see this...denounce everything you've learnt from your so called churches...which are being defiled by the same ones you keep listening...and seek the Lord. Seek His mercy and indeed He will listen to you. Be blessed
And He did it....
Nikimuona nitamwomba atusaidie kutuondolea magenge ya ushoga na ulawiti,. Aibariki nchi zetu atuindolee maafa ya mafuriko, kwa maana Mungu wetu ni mmoja tu!!
In Jesus name🙏
God I know one day my prayers will be answered 😢
Niki muona nita mwambie amponye my daughter amepitia kwa kuumwa na ugojwa Ako 19 year Sahi Ako na peptic ulcers. Please pray for My daughter 😭😭
May God heal her
Wapi like za🇹🇿 Na 🇰🇪 Maana MUNGU Wetu Ni Mmoja Sote Wapendwa❤❤❤
kk
ks
😭😭I am blessed again again guyz , I am Rwandan starved for almost 30 years ,Nilimuamini Maishani na akatenda makubua ,I had no food God gave me food, I had no clothes but today I am selective, I got no shelter but today I own houses and apartments, Only God can do exceedingly , Pray and Trust nawanalia mutafutua machozi , Huu Mungu atawafanya udaladja, anajibu kwa wakati musikate tama bandugu, Bless u all
Huo ukweli kabisa. Tuendelee kumuamini.
Amen and Amen ukweli kabisa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen.
😭😭😭😭
❤❤❤
Nitamwambia anitimizie ahadi ya my relocation plans with my family in Jesus name🙏
Its 4am 15/05/2024 and this song has given me victory...surely the glory of the Lord is upon me
Someone to like my comment so I may always come back here
Thanks 🙏🙏🙏🙏 alot @evelyne wanjiru and Bella kombo Kwa huu wimbo
Naamini mungu yupo🙏 ...the anointing in this song is extreme🙏
If u saw the song n got blessed in TikTok n ran here piga like .Mungu Yuko hapa
😂that's me , I have to come and listen and download the whole song
I even downloaded it now in my playlist
❤
Mimi
I had to run, beautiful song
I'll be singing this song as i wait for God's time, I'll be back to testify of God's greatness.
Mungu mmoja nafsi tatu,, Baba mwana na Roho na kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kwa yeye ni Bwana,, huo ndio Msingi wa imani yetu! Amen
For real He is here ❤️
I will be coming back to listen once someone likes my comment >>>
❤❤❤
The king of glory is here
I will be singing this song till July, i am expecting a miracle . I will be back to testify of God's faithfulness . Please like my comment. Mungu ni mmoja!
Amen.
May God answer you.
May God gives your heart desires
With this kind of faith, let God do it for your. Yeye ni Mungu mmoja tu! Anayetenda miujiza
Amen,good song.Mungu ni mmoja tu❤
In Christ we are one body, no Kenyan, no tanzanian, no Asian, no American, we are all building the body of Christ. So let us ignore our background, colours, nationality, but our focus is to serve our living GOD..🙏🙏
If I see him today I will beg him to heal a stranger I met on tiktok by the name Otuoma.
Wapi likes za Sisi wenye tunapitia hapa daily🎉🎉🎉
I'm in love
Nikimwona nitamwambia aniepushe na laana na uchawi za kiukoo ambazo zinaleta spirits of delay,stagnation and debts,pia anibariki kazini,anipe ndoa na awalinde wanangu
Amina
My prayer item today may God stand again 😢
Nitamwambia Asante Kwa kunipa nafasi ya kuzaliwa nakumjua na nitazidi kumuabudu .kama unaamini Hilo nipe likes zako.
Nikimwona nitamwambia anifungulie njia zangu ili niweze kuwa financially stable na nipate a stable job.Niweze pia kumuabudu God Bila kufifia🎉❤🙏🔥
Who has noticed Sarah K signature in this song 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 I can't wait for Tuesday worships moments when she will redo this song.
Yes she did can't wait🎉
A friend said the same,Sarah K all over
Can't wait too
It will be🔥🔥🔥
Which signature? Stop planting divisions in the glory of God, learn to not see human pride in God's praise
Likes za nyumbani...🇰🇪 🇰🇪
This is so powerful
Nikimwona ntamwambia aponye mama yangu atembee tena na amuondolee all the pain she is going through right now😢😢
Kimwona baba tamwambia anifanye mama ya watoto watatu🙏🙏🙌
I am Muslim but this song hits the different ♥️🔥
You can altogether cross over, Jesus loves you and would love seeing you in the camp. Welcome
Receive this God you'll experience the difference everyday in Jesus name, amen
To God be the Glory
Nikimuona nitamwambia aondoe roho wa pombe katika familia yangu na pia atuondolee magonjwa katika familia yangu na amani yake itawale familia yangu.
Receive in Jesus Name
Amen
@@josephfungwa5719 amen🙏
@@aikahyona3166 amen
Amen@@josephfungwa5719
All instrumentalists let's gather here and clap for this great band 👏👏
Mmejitad ila ukifutilia vizur ana damu ya Tanzanian
Na mungu anibadilishie maisha yangu leo kama unakubaliana na mimi nipe likes 🎉🎉🎉
Amen❤
Amen
Amen
Nikimuona nitamuomba aniponye magonjwa yanayo nisumbua Amen😢😢
You're healed, believe that, he's Jehovah Rapha
Ponàaaa sasa Kwa jina yesu
Be healed in Jesus name
Nikimwona ntamwomba anifanye niwe wa thamani iliniweze kusaidia familia yangu siku moja
May the King of Glory locate whoever is reading this type amen if you accept
Wale tumekua leo Tuesday kwa Sarah k @Nairobi cinema moment of worship bella kombo akiimba huu wimbo tunasema MUNGU NI MMOJA TU,,like my comment I will come back to watch it
It was so powerful
Hey.
At what time do the service start?
I need to attend that service.
Kindly reply
@@valaryaseyo1702
At what time does the service start?
Every Tuesday 5:30 pm@@magdalenewanjiru6906
She who has a child suffering from Autism, by this time next year you will testify of the goodness of Godc
In Jesus name
Amin
Amen
In Jesus name I believe
Amen
Nitamwambia aandike dadangu kazi and finacial stability kwetu na anisaidie nioleke
Nimeskia uu wimbo nikatamani tu nimrudie Mungu na moyo wangu wote.😢😢mniombee Mungu anikubali napenda uyu Mungu
Nitamwambia aponye ndoa yangu na kuisimamisha tena.kwa jina la yesu
Amen
Amen
Your prayers have been answered 🙏🙏 God is doing it for you😊
Amen
Amen
Waaaawaaaaaa this is music on another level wakuu wa injili waja pamoja Evelyn wanjiru, Bella kombo & NGC This is big and bigger mungu awazidisheee..gonga likes za wakenya ❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🔥🇹🇿🇰🇪🙌🏼
Wow.... Mungu awabariki sana dada Bella pamoja na Evelyn. I can't have enough of this song. Such an awesome worship. ❤ 🇰🇪
Sounds Nigeria very powerful 🎉
True vessels of God
What do you mean wakuu wa injili?
Whoever likes my comment I'll bless you with a special prayer.
Kenyan likes❤❤
Kwa Kweli Mungu ni Mmoja tu 🙏. Kenyans wapi likes za our very Own Evelyn Wanjiru ❤️. Such a great song with Bella Combo 😚
Wapi likes zangu frongo Drc … tuna kufa na bomu uku .. Maombi ni itaji kwetu
Mungu awakumbuke katika Jina la Yesu
Jesus Christ the master of peace.Bring calmness in Congo.Oh!Lord
May the Lord God remember you in the name of Jesus Christ the prince of peace.
MUNGU awakumbuke
Mungu anyoshe mkono wake ,utaponyoka Mungu yupo
Guys let’s take the gospel to the level it deserves 🌸let’s fill these internet with the light of God so that people will testify that Christ lives
Woooooou ❤❤❤❤ hakika Mungu wetu ni mmoja tu ,dagoni naye alianguka kumaanisha kuwa yupo Mungu mmoja tu mwamba wa miamba, jemedari wa vita Mungu ambaye mianzo ya Dunia hii ilimkuta na miisho yote ya Dunia itamuacha maana yeye ni Alpha na OMEGA HAKIKA NAMPENDA HUYU YESU ALIYE MWAMBA WA WOKOVU WANGU,NA JABALI LANGU HAKIKA NITAKUTUMIKIA SIKU ZOTE Za uhai wangu
Am here from Sarah k ministry nikimuona nitamwabia anipee uwezo wa kusaidiana kwa wenye hawana uwezo wakununua chakula , mavazii , wenye hospital bills iwill help them all very soon Lord have mercy on me
It was a great encounter on Tuesday 🔥🔥🙏
Me too...He knows,He will entrust us with the ability
My dream too 🙏🙏
Wapiga vinanda wamechangiaa wimboo huu kuwaa na uwepo sana gongalike kwao.....
Nikimuona nitamwambia Mungu Saidia familia yangu tupe tuamini jemaa mipang yako iwe mema kwetu na ujibu maombi yetu😢🙏
If yoy believe God is one .show it by commenting ..and like ..such a blessing song .
This songs comes when I'm breaking generation alters... 'zimeanguka, zimevunjika... MUNGU YUKO MMOJA TU....i can't get enough of this song
Yess yaaasss
Exactly like me. I can't get enough of this song since it was released on Sunday Kila muda Niko hapa ❤❤❤😊
Amen, God is working on His people, God broke those curses a while ago for me. He is faithful, powerful and all knowing. Make sure you create an alter in your house through worship and praying consistently
AMEN AMEN AMEN
@@VatastudiosPowerful Ameeen🙏
If bella kombo has been a blessing to you like me. like the comment 🎉❤
Nikimwona nitamwambia anibariki na anitumie kuibadilisha sura ya familia yangu,tumeishi kutukanwa kwa kuitwa wachawi sababu ya umaskini.
Pia anibariki na ndoa takatifu na ya heshima.
Nikimwona nitamuambia anibariki n ndoa y heshima
Mimi nikimuona Nita mwambia asanti Kwa kulipia dhambi zangu nitainama ni mshkru huyu YESU Mwema the king of my soul the king who have never fail me the healer who healed my mum cancer stage 4 and He is still keeping my mum a live for his own glory dagon Baal Ashera miungu ya kigeni kwetu wameanguka wenye husuilia watu wakijiji yetu waokoke wameanguka na kufujika
I thank God for the healing of your mom, May His name be glorified.
@@gracenimrah9897 Amen Amen
All glory to King of Kings for healing your Mum
God😭😭😭😭 king of glory
Ameen Nina haki ya kuinama na kumshujudu Mungu wangu