BAADA YA DIAMOND KUMPA MKONO ALIKIBA, HARMONIZE ALIGOMA KUTOA MKONO (SALAMU)
Vložit
- čas přidán 22. 04. 2018
- Siku ya kuaga mwili wa marehemu Agnes Masogange Viwanja vya Leaders Club Diamond na Kiba walimakeheadline baada ya kupeana mikono lakini imeonekana Harmonize kugoma kumsalimia Kiba
saf sana mondi mungu kakuona nakilamwema amefulai kama mm
All the people stood to great Diamond but Ali Kiba remained on his sit. It tells me something. Grow up above your years young man. Respect has no price
kama unapenda kusoma coment kama mimi like hapa😁😂😂😂
napenda mpaka napitiliza😆😆😆
Harmonize aliona kiba hataki salaam yoyote akamgeukia akakuta hana mpango naye unajua unasalimia mtu ambaye angalau amekugeukia ameonyesha ushirikiano harmonize big up huyo kiba anaroho ya kipusa kilicho chacha
We nae nyolooooo kweli
Katika vitu ulivyowahi kufanya Hili umenifurahisha sana you have proved to be a real man big up bro
Mashallah kiba na diamond
NASIBU ENDELEA NA UPENDO WAKO. MUNGU AKUBARIKI.
homoniz akili 0
jesca lyanga harmonize ka okopa kum salimiya kiba kuona Mondi kapewa nyuma ya mkono 😏
@@faidadusabe9249 😂😂 Eeh mjini akil mzeee baba usishangae mataa utaumbuka
#king kiba
#king kiba
#king kiba
#king kiba
#king kiba
Hatutaki mazoea
@officialkibA
Matako
harmonize sikuhizi ameingiwa na kiburi juu anajiona star sana.....achunge asiwe Mark Muga.Kiba bdo ni king na lazima aheshimiwe.pongezi kwa Platinumz kwa kumpa mkono king kwan atazidi kuwa Simba...
Hata ukafanya mangapi mabaya chibu mond roho yako ni changamoto za maisha utokea take care Brother Kama kiba utasoma hii ww siyo msitahara roho mbaya wivu kinyongo punguza kila kitu na wakati wake ATI naona nauona mkono ukutoa ziru au aulikua umeshikia nn dunia bwana tunapita unajifanya simunajua mtu akitoka kuowa Sasa tufanya nn watu ufunga ndoa baadae ya masaa akafa utasemajee yote muachia Mungu alafu acha kinyongo na Diamond wakati ni wake tumia nafasi yako piaa Diamond ana kabisa bifuu na ww ndio Mungu kamupa vyote Mungu akuzidishie chibudeeee bbyy mwaaah alafu Rudi nyumbani kwa watoto siyo POA makosa ni ya binadamu
Inaonekana waandaaji walitaka Mond akae benet na Alikiba sema Harmonise aliharibu movie
Saaafi saana Harmonize,umeona kivipi Alikiba alivyompa mkono,yaani alikuwa hataki wasalimiane na Simba
Alikiba ana kibri lkn ujue simbaaaa hupati hata robo
Pongezi Harmonise uwa maana tu sana♥♥♥
Never fear Human like u!All might God is above everything
That is the reason why Diamond will always be on top ......you are a great man bro ....Wale matumbiri lazima wakae wakikuiga......stay strong bro
Nakubr bb tifah Allah akujariye kuw nastabu katika wanadamu
Alikiba anaringa sana na ana kitu we kwenda uko unadarau mtu mbele ya watu diamond 💎 don't worry my friend
Mavi yako wee
platinum Diamond, ulihonyesha usanihi wako, msanibni ni hupendo, nakujali wengine, akunanga ndani wa kanzu na vilemba kichwani, Tunzo zote wastahili Mondi, Moyo huho unaho Mungu akubariki na huhendeleye vizuri na kazi zako!!!
Ana uchawi mond ndo mana hakutaka kumpa mkono kiganjani mwake ww uyajui Ila alikiba anayajua ndo mana akusimama juu mond ama heshima Kwa alikiba usiangalie kusimama angalia ndani yake.
Ana uchawi c usahihi akutaka kumpa mkono kiganjani mwake
Yaan diamond ndiyo kauziilishia umma yeye anaga mabifu na mtu labda wao,kama umnamkubali chibu de acha ubishi like hapa kumbe diamond mstaarabu sana
Lumiere Mbilizi wapi kiba anajiskiaga sana
wilonja hatua mmmmmh
Ramadhani Amdi sure
Mmakonde wew nenda pany wanakungoj huko kusini mtwara
Abdu Kiba Tz mnaoendaga sana mabifu nyie
Umezingua Mmakonde!
safi sana Harmonize kibamia nimbinafsi sana ndo mana hana kitu.
NAKUPENDA BUREE BABA TIFAA.
Semamwanangu #Mond hunaiyanahatakamahakusimamanawenginewalisimama, but mkonoulimpatiajapoaliutakinyongezaidi_but at all sisitunatakapeace #WcBforeVer
harmonize ni msengeeee
Mond nakukubali San kaka yaan bonge LA MTU mungu akupe maisha marefu kaka kumbe mstarabu mm nasikiaga mitandaon et wewe una bifu kumbe aga mwenyewe huna hata kinyongo na mtu salut bloo simbaaaaaaaaa
Merci 💥💥👈🐘🇨🇩
Kwel Mond umeonesha ni jins gan umekuwa ki mziki, ata Steve nyerere kasema umefanya vyema.. Mungu akuzidishie kaka
Amini usiamini hamonize ni masifa wakuiga,we hunambinu, zaidi yakujipendekeza, km ni mnyama ungekuwa pimbi, ivi busara za king kiba unazionajee?? ivi ww unaweza fanya kitu cha kitaifa ata rais yako akakusfia!.?? eigeni busara za king kiba msipende kuiga
NAISIBU KAJALIWA NA MUNGU IMANI NA UPENDO. HII DUNIA TUNAPITA TU. KILA KITU UTAKIACHA.
wow simba congratulations
Mond clean heart sana mungu akuondeshee hasada za watu
We hujui tu alvo mnafiki
Slam SK ni shoga msenge anawashwa Mkundu tuu
Kiba 👌tell them salamu si chakula
Nyie wote maku hakuna anae jitambua kati yenu wenzenu wanaweka bifu iliwaingize pesa nyinyi mashoga mnashoboka na kubishana mitandaoni wao wanamiliki mabilioni nyinyi mnamiliki majungu yani nyote ni maku chafu
Napenda sana music za diamond😊😊😊
Jaman amo umenifurahisha
duh hadi raha nimefurah kitendo cha Ali kukaa na kutoa mkono
Mkono wenyewe wa majungu wangu
vizuri sana mond
alikiba kazingua ana mambo ya kitoto wanaume hatui hivo mtu kma mna bifu n kwamba mnakuw hamuwez kushinda pamoj ila sio hamsalimiani.n harmonize angempaje mkono wakati mtu kakaa kma robot nd maan alimgeukia ila jamaa kala ngumu hata mm simsalimii..
always kwenye bifu ambaye anakuwa amekosewa ndio anakuwa na kinyongo zaidi kuliko mkosaji....
I like that simba
Daimond ni noma angalia watu walivyomuona walivyofurahi lkn iyo nyambafu kiba inajiona hata level za mond hajafikia
Unajiingizia dhambi kumtukana mtu usio mjuwa ila mungu akusamehe
Huyu kiba anajiona #MSENGE kweli .. yaani anashindwa kupokea salam kwa kiganjani
Yap
yap alicho kifanya ni sahihi cos sisi sote ni wapitaji tu katika dunia mabifu sio ishu tuwe tunapendana kwa sababu sisi sote ni mali ya udongo, kwa hiyo nampongeza sana DIAMOND kwa sababu hajaonesha chuki na mtu na hayo ndio maisha!!!!!!!!!!!
❤❤❤
Harmonize alianza kuvimba kitambo sana hakiwa na uyo Simba
Kumbe nishajua kwanini Alikiba huwa hapendiii watu wa WCB hashwa Mondiii
KondeboY alikataa kumpa mkono King alidhani atakaa wasafiii forever waah things can change
Mimi hapo nilipofahamu hiko kiti alichokaa harmonise kiliwekwa special kwa ajili ya diamond ili wakae pamoja na ali kiba.na k.baada ya ali kiba kumchuniya diamond ndio dioamond akacancel kukaa hiko kiti..akaenda kukaa kiti aliandaliwa harmonise..na badala yake harmonise ndio akaenda kukaa kiti kilichokaribu na ali kiba..
King kiba
,,. Kiba...........
🦁
Sawa sawa
Kiba na harmonize walikaa tokea mda pale inamaana kama salamu walishasalimiana hata kama sisi hatukuona hivyo hata kama pale hawajapeana mikono ila yapo waliyoyaongea ambayo hatukuyasikia hivyo msituletee uchochez usio na maana mmeona ugomvi wa kiba na mondi unaisha mnataka kuuazisha wa hamo na kiba
kabisa
Mohamed Halifa Mbela iyo kweli kabisa
kibs co poa wenzio wamecmma why wew
Kuna jamaa kanifurahisha hapo Diamond alivyokuwa akiingia na mabodyguard wake... Akaguna duuh! Hahaha
Alf saiv harmonize anajifanya rafiki wa alikiba daah jamaa mnafki sna
Kingdom is for king 🤴
Ameogopa kwel huyo akaona yenye bamemufanyia babake😆😆😆😆😆
King kibaa is always a King
Watu tunakosa upeo mpaka hatupati majib alokutwa ndo husalimiwa mbona kiba na mondi hawajakosea mondi kawasalimia watu kibao vp kiba angegoma nayy ndo kakutwa hawana bifu sisi maboya ndo hatujielew
Chidy Bwax yani watu kwa kuzuwa , watu wanapenda unafik sana hawawezi kukaa bila kutunga stori za uongo
So Diamond looks like he wants to squash the beef between them but alikiba doesn't buy it it's very bad.
Kumamake
😢😢😢😮😮❤
Konde unampaje mwanamke mkono wakat c halali yako alafu kidume mwenzio pembeni hujampa huo ni ushamba unajiona ushafika mjini wenzako kitambo wapo kwendraaaaaaaa😏😏😏😏😏
jaman hamonaiza Hana matatizo Al ndio anamatatizo
Cute Isher Oman wachafu kwani hujui
Cute Isher Oman Mashamba tuu huyo hajui Ali mtoto wa Kariakoo yeye ndiye wa kuja anataka lujifanya anaujua mji!!!ila sishangai siku zote wanaokaribishwa mjini wanajifanyaga wajanja kuliko wenye mji 🙄
mmakonde kachmka kma Boc wake tyu katoa mkon yy kilichmfanya avunge ni nni ushamba t
Haha harmonize Peleka uko yani unapo salimia alikiba uta fariki mmmh fuata mfano mwema wa diamond
homoniz bd umtoto kwa alikiba anakuzaaa mpe heshima yake
Ayoub Ali mbna ye (kiba) hakumpa mondi heshima
We nae kumbe huoni vizuri harmo alikuwa ameambatana na mondi check vizuri baada ya mondi kusalimia msitari wa mbele muda anasalimia waombolezaji wa nyuma ndo hormo kaenda kukaa
Shamed on you Harmonize 😡
Neema Kilomoni kiba also should be ashamed for what he did to mondi
Kiba 100
aiseeeeee
walivyo peana mkono hawa wote wanaimani za kishirikina sana ila hzo zina mwisho wake
Ali kiba mimi ni shabiki wako lkn uliochokifanya hapo sio uungwana mtu wangu kiburi hakifai ???
Huwezi elewa
Hakikakode
polenisana
Yani kiba
Kiba ametisha sana hawa mbwaa mbele za watu wanataka wajisafishe waonekane kama hawana kinyongo na kiba wakat wachawi wakubwa Daah
Kweli King apa nimekuelewa sana ww kweli King waalali kabisa unajua jambo lambele
Kumamako
Mi siyo fan zaidi wa diamond ila kiukweli armonize ameonyesha ushamba
Mm!
Asc
Wame edit hapo wadau
Tay Boy
huyu kiba ametoa mukono wakibabe hakunyosha kiganja
Msenge2 uyoo
Alikiba haja msalimia inavotakiwa kakunja ngumi Mondi katoa ivo ivo koma savaaa yakibabe😂😂
chakushangilia nini😳😳😳😳😳😳😳
Kwa hili hata Mimi mkono simpi na simba usijipendekeze sana kwa washamba kama HAWA wanaalibu mambo
Harmonize mbwa koko
pongezi kwa harmnz kiba huu nyambavu anashindwa kunyoosha mkono kwa mond wala alikua ana choka wala njaa anachokaga mapema kiba ndo i na wezekana mond bado juu tu kiba wapi chini daaaaaa
Boy
mkono wake nizer huenda kajiogopa kumushka king !!
Juu ya nini
Kwa nn alienda kukaa pale😁😁
Jmn hv lialikiba lipo msibani bado halioni Kama dunia mapito bado linalinga mond kaka Mimi naamini umejizolea baraka nyingi saana kutoka kwa huyo mbwa
Harmonise kajistukia
Sas Alikiba una nunia monde mpaka lini?
Nipe mkono tushindane hahahaaha,,king kiba nikama alikuwa anajua
Cy uungwana😢
Mmakua kwa kuiga kiboko mpaka heleni pia kama boss wake,anataman abadil mpaka kabila
Nyau ww
Alikiba anabaya namtu
kumpa MTU mkono namna iyo nikwamba mikono ya ally ilikuwa michafu au alikua nakitu mkononi.ila amna cha ajabu kawaida tu.
jaman king anajitambua na hana bifu na WCB lakini mbona hawajiamini na wana hofu sana nasisi mashabiki tuna takiwa kuishi kama wao na kama kama una bifu na mwenzio famya kusahau tuishi kama mwanzo
Nimerudi baada ya nipe mkono tushindane
Alikiba I like your music but the way you greeted diamond as if he has leprosy ain't right. Learn to hide beef
Yes kamgeuzia kiganja