BAADA YA DIAMOND KUMPA MKONO ALIKIBA, HARMONIZE ALIGOMA KUTOA MKONO (SALAMU)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 04. 2018
  • Siku ya kuaga mwili wa marehemu Agnes Masogange Viwanja vya Leaders Club Diamond na Kiba walimakeheadline baada ya kupeana mikono lakini imeonekana Harmonize kugoma kumsalimia Kiba

Komentáře • 242

  • @ashileyallymundhirryoman9360

    saf sana mondi mungu kakuona nakilamwema amefulai kama mm

  • @aliiphillip
    @aliiphillip Před 6 lety +4

    All the people stood to great Diamond but Ali Kiba remained on his sit. It tells me something. Grow up above your years young man. Respect has no price

  • @semanasitv8303
    @semanasitv8303 Před 6 lety +58

    kama unapenda kusoma coment kama mimi like hapa😁😂😂😂

  • @Saimonamon
    @Saimonamon Před 6 lety +14

    Harmonize aliona kiba hataki salaam yoyote akamgeukia akakuta hana mpango naye unajua unasalimia mtu ambaye angalau amekugeukia ameonyesha ushirikiano harmonize big up huyo kiba anaroho ya kipusa kilicho chacha

  • @uniqueraphew3512
    @uniqueraphew3512 Před 6 lety +3

    Katika vitu ulivyowahi kufanya Hili umenifurahisha sana you have proved to be a real man big up bro

  • @amirsab1158
    @amirsab1158 Před 6 lety +7

    Mashallah kiba na diamond

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e Před 6 lety +34

    NASIBU ENDELEA NA UPENDO WAKO. MUNGU AKUBARIKI.

    • @jescalyanga2965
      @jescalyanga2965 Před 6 lety +3

      homoniz akili 0

    • @faidadusabe9249
      @faidadusabe9249 Před 6 lety +2

      jesca lyanga harmonize ka okopa kum salimiya kiba kuona Mondi kapewa nyuma ya mkono 😏

    • @ismailkushinda8830
      @ismailkushinda8830 Před 2 lety +1

      @@faidadusabe9249 😂😂 Eeh mjini akil mzeee baba usishangae mataa utaumbuka

  • @ibrahimmtz5200
    @ibrahimmtz5200 Před 6 lety +20

    #king kiba
    #king kiba
    #king kiba
    #king kiba
    #king kiba
    Hatutaki mazoea
    @officialkibA

  • @jacktonokello4736
    @jacktonokello4736 Před 6 lety +4

    harmonize sikuhizi ameingiwa na kiburi juu anajiona star sana.....achunge asiwe Mark Muga.Kiba bdo ni king na lazima aheshimiwe.pongezi kwa Platinumz kwa kumpa mkono king kwan atazidi kuwa Simba...

  • @mayamohamad710
    @mayamohamad710 Před 6 lety +6

    Hata ukafanya mangapi mabaya chibu mond roho yako ni changamoto za maisha utokea take care Brother Kama kiba utasoma hii ww siyo msitahara roho mbaya wivu kinyongo punguza kila kitu na wakati wake ATI naona nauona mkono ukutoa ziru au aulikua umeshikia nn dunia bwana tunapita unajifanya simunajua mtu akitoka kuowa Sasa tufanya nn watu ufunga ndoa baadae ya masaa akafa utasemajee yote muachia Mungu alafu acha kinyongo na Diamond wakati ni wake tumia nafasi yako piaa Diamond ana kabisa bifuu na ww ndio Mungu kamupa vyote Mungu akuzidishie chibudeeee bbyy mwaaah alafu Rudi nyumbani kwa watoto siyo POA makosa ni ya binadamu

  • @rutashubanyuma4546
    @rutashubanyuma4546 Před 6 lety +7

    Inaonekana waandaaji walitaka Mond akae benet na Alikiba sema Harmonise aliharibu movie

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Před 6 lety +3

    Saaafi saana Harmonize,umeona kivipi Alikiba alivyompa mkono,yaani alikuwa hataki wasalimiane na Simba

  • @azontozonto8855
    @azontozonto8855 Před 6 lety +9

    Alikiba ana kibri lkn ujue simbaaaa hupati hata robo

  • @irenekambi4705
    @irenekambi4705 Před 6 lety +4

    Pongezi Harmonise uwa maana tu sana♥♥♥

  • @charlesnduwamungu3869
    @charlesnduwamungu3869 Před 3 lety +3

    Never fear Human like u!All might God is above everything

  • @akonchris6692
    @akonchris6692 Před 3 lety +3

    That is the reason why Diamond will always be on top ......you are a great man bro ....Wale matumbiri lazima wakae wakikuiga......stay strong bro

  • @marinas4933
    @marinas4933 Před 4 lety

    Nakubr bb tifah Allah akujariye kuw nastabu katika wanadamu

  • @emmanuelkiptoo3755
    @emmanuelkiptoo3755 Před 3 lety +3

    Alikiba anaringa sana na ana kitu we kwenda uko unadarau mtu mbele ya watu diamond 💎 don't worry my friend

  • @fikiringandujohn6543
    @fikiringandujohn6543 Před 6 lety

    platinum Diamond, ulihonyesha usanihi wako, msanibni ni hupendo, nakujali wengine, akunanga ndani wa kanzu na vilemba kichwani, Tunzo zote wastahili Mondi, Moyo huho unaho Mungu akubariki na huhendeleye vizuri na kazi zako!!!

    • @donhussle948
      @donhussle948 Před 2 lety

      Ana uchawi mond ndo mana hakutaka kumpa mkono kiganjani mwake ww uyajui Ila alikiba anayajua ndo mana akusimama juu mond ama heshima Kwa alikiba usiangalie kusimama angalia ndani yake.

    • @donhussle948
      @donhussle948 Před 2 lety

      Ana uchawi c usahihi akutaka kumpa mkono kiganjani mwake

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 Před 6 lety +49

    Yaan diamond ndiyo kauziilishia umma yeye anaga mabifu na mtu labda wao,kama umnamkubali chibu de acha ubishi like hapa kumbe diamond mstaarabu sana

  • @cleophacedarstan6524
    @cleophacedarstan6524 Před 6 lety +7

    Umezingua Mmakonde!

  • @jumahero6924
    @jumahero6924 Před 6 lety +1

    safi sana Harmonize kibamia nimbinafsi sana ndo mana hana kitu.

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e Před 6 lety +8

    NAKUPENDA BUREE BABA TIFAA.

  • @fraviusmanyika7521
    @fraviusmanyika7521 Před 6 lety +2

    Semamwanangu #Mond hunaiyanahatakamahakusimamanawenginewalisimama, but mkonoulimpatiajapoaliutakinyongezaidi_but at all sisitunatakapeace #WcBforeVer

  • @lilyookbwoy9493
    @lilyookbwoy9493 Před 5 lety +3

    harmonize ni msengeeee

  • @fabianomsuta8619
    @fabianomsuta8619 Před 6 lety

    Mond nakukubali San kaka yaan bonge LA MTU mungu akupe maisha marefu kaka kumbe mstarabu mm nasikiaga mitandaon et wewe una bifu kumbe aga mwenyewe huna hata kinyongo na mtu salut bloo simbaaaaaaaaa

  • @GaspardBoss-nl4dj
    @GaspardBoss-nl4dj Před 8 měsíci

    Merci 💥💥👈🐘🇨🇩

  • @frankmasige4594
    @frankmasige4594 Před 6 lety +3

    Kwel Mond umeonesha ni jins gan umekuwa ki mziki, ata Steve nyerere kasema umefanya vyema.. Mungu akuzidishie kaka

    • @joshuapeter7282
      @joshuapeter7282 Před 6 lety

      Amini usiamini hamonize ni masifa wakuiga,we hunambinu, zaidi yakujipendekeza, km ni mnyama ungekuwa pimbi, ivi busara za king kiba unazionajee?? ivi ww unaweza fanya kitu cha kitaifa ata rais yako akakusfia!.?? eigeni busara za king kiba msipende kuiga

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e Před 6 lety +3

    NAISIBU KAJALIWA NA MUNGU IMANI NA UPENDO. HII DUNIA TUNAPITA TU. KILA KITU UTAKIACHA.

  • @saidasalim6372
    @saidasalim6372 Před 6 lety +1

    wow simba congratulations

  • @azontozonto8855
    @azontozonto8855 Před 6 lety +11

    Mond clean heart sana mungu akuondeshee hasada za watu

  • @mtumzurigoodman720
    @mtumzurigoodman720 Před 4 lety +1

    Slam SK ni shoga msenge anawashwa Mkundu tuu

  • @jennywangarigichina140
    @jennywangarigichina140 Před 6 lety +2

    Kiba 👌tell them salamu si chakula

  • @ramsomatayo7466
    @ramsomatayo7466 Před 6 lety +3

    Nyie wote maku hakuna anae jitambua kati yenu wenzenu wanaweka bifu iliwaingize pesa nyinyi mashoga mnashoboka na kubishana mitandaoni wao wanamiliki mabilioni nyinyi mnamiliki majungu yani nyote ni maku chafu

  • @JoanesPaulo-xw6sz
    @JoanesPaulo-xw6sz Před 6 měsíci

    Napenda sana music za diamond😊😊😊

  • @rehemasaid6876
    @rehemasaid6876 Před 6 lety +1

    Jaman amo umenifurahisha

  • @mansoorhuram6653
    @mansoorhuram6653 Před 6 lety +14

    duh hadi raha nimefurah kitendo cha Ali kukaa na kutoa mkono

  • @lucyzawadi6794
    @lucyzawadi6794 Před 6 lety

    vizuri sana mond

  • @loystephen8678
    @loystephen8678 Před 6 lety +2

    alikiba kazingua ana mambo ya kitoto wanaume hatui hivo mtu kma mna bifu n kwamba mnakuw hamuwez kushinda pamoj ila sio hamsalimiani.n harmonize angempaje mkono wakati mtu kakaa kma robot nd maan alimgeukia ila jamaa kala ngumu hata mm simsalimii..

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb Před 2 lety

      always kwenye bifu ambaye anakuwa amekosewa ndio anakuwa na kinyongo zaidi kuliko mkosaji....

  • @felixhtv2510
    @felixhtv2510 Před 2 lety +1

    I like that simba

  • @kamugishapaschal747
    @kamugishapaschal747 Před 6 lety +8

    Daimond ni noma angalia watu walivyomuona walivyofurahi lkn iyo nyambafu kiba inajiona hata level za mond hajafikia

    • @omarisv263
      @omarisv263 Před 4 lety +1

      Unajiingizia dhambi kumtukana mtu usio mjuwa ila mungu akusamehe

  • @RomwardWM
    @RomwardWM Před 6 lety +1

    Huyu kiba anajiona #MSENGE kweli .. yaani anashindwa kupokea salam kwa kiganjani

  • @jasonyonacmo6493
    @jasonyonacmo6493 Před 4 lety

    Yap

  • @robertkihwele5253
    @robertkihwele5253 Před 6 lety +1

    yap alicho kifanya ni sahihi cos sisi sote ni wapitaji tu katika dunia mabifu sio ishu tuwe tunapendana kwa sababu sisi sote ni mali ya udongo, kwa hiyo nampongeza sana DIAMOND kwa sababu hajaonesha chuki na mtu na hayo ndio maisha!!!!!!!!!!!

  • @WilfredWilfred-cj3qi
    @WilfredWilfred-cj3qi Před 4 měsíci

    ❤❤❤

  • @philipotieno9996
    @philipotieno9996 Před rokem +1

    Harmonize alianza kuvimba kitambo sana hakiwa na uyo Simba
    Kumbe nishajua kwanini Alikiba huwa hapendiii watu wa WCB hashwa Mondiii
    KondeboY alikataa kumpa mkono King alidhani atakaa wasafiii forever waah things can change

  • @lipymuscat4779
    @lipymuscat4779 Před 6 lety +1

    Mimi hapo nilipofahamu hiko kiti alichokaa harmonise kiliwekwa special kwa ajili ya diamond ili wakae pamoja na ali kiba.na k.baada ya ali kiba kumchuniya diamond ndio dioamond akacancel kukaa hiko kiti..akaenda kukaa kiti aliandaliwa harmonise..na badala yake harmonise ndio akaenda kukaa kiti kilichokaribu na ali kiba..

  • @fatimahsaide5543
    @fatimahsaide5543 Před 3 lety

    King kiba
    ,,. Kiba...........
    🦁

  • @johnmkungu2077
    @johnmkungu2077 Před 6 lety

    Sawa sawa

  • @mohamedhalifambela6419
    @mohamedhalifambela6419 Před 6 lety +4

    Kiba na harmonize walikaa tokea mda pale inamaana kama salamu walishasalimiana hata kama sisi hatukuona hivyo hata kama pale hawajapeana mikono ila yapo waliyoyaongea ambayo hatukuyasikia hivyo msituletee uchochez usio na maana mmeona ugomvi wa kiba na mondi unaisha mnataka kuuazisha wa hamo na kiba

  • @francemusic1850
    @francemusic1850 Před 6 lety +1

    Kuna jamaa kanifurahisha hapo Diamond alivyokuwa akiingia na mabodyguard wake... Akaguna duuh! Hahaha

  • @MwaminMwamin
    @MwaminMwamin Před 9 měsíci +1

    Alf saiv harmonize anajifanya rafiki wa alikiba daah jamaa mnafki sna

  • @amidokasome8420
    @amidokasome8420 Před rokem

    Kingdom is for king 🤴

  • @richardngendakumana2871
    @richardngendakumana2871 Před 6 lety +1

    Ameogopa kwel huyo akaona yenye bamemufanyia babake😆😆😆😆😆

  • @Paps-254
    @Paps-254 Před rokem +2

    King kibaa is always a King

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 Před 6 lety +3

    Watu tunakosa upeo mpaka hatupati majib alokutwa ndo husalimiwa mbona kiba na mondi hawajakosea mondi kawasalimia watu kibao vp kiba angegoma nayy ndo kakutwa hawana bifu sisi maboya ndo hatujielew

    • @nadinenadine9047
      @nadinenadine9047 Před 6 lety

      Chidy Bwax yani watu kwa kuzuwa , watu wanapenda unafik sana hawawezi kukaa bila kutunga stori za uongo

  • @user-pe1ke8ce3v
    @user-pe1ke8ce3v Před 4 měsíci

    So Diamond looks like he wants to squash the beef between them but alikiba doesn't buy it it's very bad.

  • @acruxe5810
    @acruxe5810 Před 6 lety +2

    Kumamake

  • @tv-mc5xz
    @tv-mc5xz Před rokem

    😢😢😢😮😮❤

  • @cuteisheroman764
    @cuteisheroman764 Před 6 lety +12

    Konde unampaje mwanamke mkono wakat c halali yako alafu kidume mwenzio pembeni hujampa huo ni ushamba unajiona ushafika mjini wenzako kitambo wapo kwendraaaaaaaa😏😏😏😏😏

    • @getrudequeen6657
      @getrudequeen6657 Před 6 lety +2

      jaman hamonaiza Hana matatizo Al ndio anamatatizo

    • @tinivanny7562
      @tinivanny7562 Před 6 lety

      Cute Isher Oman wachafu kwani hujui

    • @ashaally6993
      @ashaally6993 Před 6 lety +1

      Cute Isher Oman Mashamba tuu huyo hajui Ali mtoto wa Kariakoo yeye ndiye wa kuja anataka lujifanya anaujua mji!!!ila sishangai siku zote wanaokaribishwa mjini wanajifanyaga wajanja kuliko wenye mji 🙄

    • @lutherking3666
      @lutherking3666 Před 6 lety

      mmakonde kachmka kma Boc wake tyu katoa mkon yy kilichmfanya avunge ni nni ushamba t

  • @achibellatabx3016
    @achibellatabx3016 Před 6 lety +3

    Haha harmonize Peleka uko yani unapo salimia alikiba uta fariki mmmh fuata mfano mwema wa diamond

  • @kingayo999
    @kingayo999 Před 6 lety +4

    homoniz bd umtoto kwa alikiba anakuzaaa mpe heshima yake

    • @abelmichael9069
      @abelmichael9069 Před 6 lety

      Ayoub Ali mbna ye (kiba) hakumpa mondi heshima

    • @matikosamson5868
      @matikosamson5868 Před 4 lety

      We nae kumbe huoni vizuri harmo alikuwa ameambatana na mondi check vizuri baada ya mondi kusalimia msitari wa mbele muda anasalimia waombolezaji wa nyuma ndo hormo kaenda kukaa

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 Před 6 lety +2

    Shamed on you Harmonize 😡

    • @abelmichael9069
      @abelmichael9069 Před 6 lety

      Neema Kilomoni kiba also should be ashamed for what he did to mondi

  • @mabenaenterprisescoltd9546

    Kiba 100

  • @josephsospeter8304
    @josephsospeter8304 Před 6 lety

    aiseeeeee

  • @seifmohamedseif9384
    @seifmohamedseif9384 Před 6 lety +1

    walivyo peana mkono hawa wote wanaimani za kishirikina sana ila hzo zina mwisho wake

  • @hamishamis9905
    @hamishamis9905 Před 6 lety +7

    Ali kiba mimi ni shabiki wako lkn uliochokifanya hapo sio uungwana mtu wangu kiburi hakifai ???

  • @adamdotto3876
    @adamdotto3876 Před 2 lety

    Hakikakode

  • @maulidijumasiokwer5954

    polenisana

  • @christophermasese4179
    @christophermasese4179 Před 4 lety

    Yani kiba

  • @goddamwakimi5889
    @goddamwakimi5889 Před 3 lety +2

    Kiba ametisha sana hawa mbwaa mbele za watu wanataka wajisafishe waonekane kama hawana kinyongo na kiba wakat wachawi wakubwa Daah

  • @rashidsalum8325
    @rashidsalum8325 Před 2 lety

    Kweli King apa nimekuelewa sana ww kweli King waalali kabisa unajua jambo lambele

  • @gulainmatumuabiri5446
    @gulainmatumuabiri5446 Před 3 lety

    Mi siyo fan zaidi wa diamond ila kiukweli armonize ameonyesha ushamba

  • @johnsondiason8019
    @johnsondiason8019 Před 6 lety

    Mm!

  • @abuukarcumar513
    @abuukarcumar513 Před 3 lety

    Asc

  • @adammpambije9989
    @adammpambije9989 Před 2 lety

    Wame edit hapo wadau

  • @taysonlusungu1625
    @taysonlusungu1625 Před 2 lety

    Tay Boy

  • @nicksonchiko9913
    @nicksonchiko9913 Před 6 lety +1

    huyu kiba ametoa mukono wakibabe hakunyosha kiganja

  • @omizoototo2665
    @omizoototo2665 Před 4 lety

    Msenge2 uyoo

  • @DONALDYOWAS-rr7tz
    @DONALDYOWAS-rr7tz Před měsícem

    Alikiba haja msalimia inavotakiwa kakunja ngumi Mondi katoa ivo ivo koma savaaa yakibabe😂😂

  • @suzanmgaya7460
    @suzanmgaya7460 Před 6 lety

    chakushangilia nini😳😳😳😳😳😳😳

  • @maulidimakalani2001
    @maulidimakalani2001 Před 6 lety

    Kwa hili hata Mimi mkono simpi na simba usijipendekeze sana kwa washamba kama HAWA wanaalibu mambo

  • @juventusjohn9276
    @juventusjohn9276 Před 6 lety +1

    Harmonize mbwa koko

  • @salimasmahili3754
    @salimasmahili3754 Před 6 lety

    pongezi kwa harmnz kiba huu nyambavu anashindwa kunyoosha mkono kwa mond wala alikua ana choka wala njaa anachokaga mapema kiba ndo i na wezekana mond bado juu tu kiba wapi chini daaaaaa

  • @taysonlusungu1625
    @taysonlusungu1625 Před 2 lety

    Boy

  • @mansoorhuram6653
    @mansoorhuram6653 Před 6 lety

    mkono wake nizer huenda kajiogopa kumushka king !!

  • @sebastianmusamali811
    @sebastianmusamali811 Před 4 lety

    Juu ya nini

  • @neemahassan8786
    @neemahassan8786 Před 6 lety

    Kwa nn alienda kukaa pale😁😁

  • @christophermasese4179
    @christophermasese4179 Před 4 lety

    Jmn hv lialikiba lipo msibani bado halioni Kama dunia mapito bado linalinga mond kaka Mimi naamini umejizolea baraka nyingi saana kutoka kwa huyo mbwa

  • @freemasonkingdom2847
    @freemasonkingdom2847 Před 6 lety

    Harmonise kajistukia

  • @aishahnduwimana5024
    @aishahnduwimana5024 Před 3 lety

    Sas Alikiba una nunia monde mpaka lini?

  • @oswaldacleofas2803
    @oswaldacleofas2803 Před 2 lety

    Nipe mkono tushindane hahahaaha,,king kiba nikama alikuwa anajua

  • @user-es1gh5te7q
    @user-es1gh5te7q Před 8 měsíci

    Cy uungwana😢

  • @simbasimba1185
    @simbasimba1185 Před 6 lety

    Mmakua kwa kuiga kiboko mpaka heleni pia kama boss wake,anataman abadil mpaka kabila

  • @IsackKhamis-gj2yo
    @IsackKhamis-gj2yo Před rokem

    Nyau ww

  • @alexprotas40
    @alexprotas40 Před 2 lety

    Alikiba anabaya namtu

  • @directorkingcalvin9001

    kumpa MTU mkono namna iyo nikwamba mikono ya ally ilikuwa michafu au alikua nakitu mkononi.ila amna cha ajabu kawaida tu.

  • @ramamontana2386
    @ramamontana2386 Před 6 lety

    jaman king anajitambua na hana bifu na WCB lakini mbona hawajiamini na wana hofu sana nasisi mashabiki tuna takiwa kuishi kama wao na kama kama una bifu na mwenzio famya kusahau tuishi kama mwanzo

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Před 2 lety

    Nimerudi baada ya nipe mkono tushindane

  • @alexmurithi1327
    @alexmurithi1327 Před 6 lety +1

    Alikiba I like your music but the way you greeted diamond as if he has leprosy ain't right. Learn to hide beef