MAZITO! NABII ALIETABILI KIFO CHA MAGUFULI ATABILI KUHUSU MAKONDA ADAI AMEOTESHWA MAMBO MAZITO NCHIN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 42

  • @bahatimtiesa2794
    @bahatimtiesa2794 Před měsícem +5

    Amen and Amen tutakuunga mkono ni kweli uliyosema sisi wa uk tumeanza maombi Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @YonerManang-ie2qm
    @YonerManang-ie2qm Před měsícem +5

    Tuombe sana kwa ajili Taifa letu maana

  • @fanuelpandisha-by1oo
    @fanuelpandisha-by1oo Před 28 dny

    Mwenyezi mungu azidi kutulinda

  • @asbornkaduga6001
    @asbornkaduga6001 Před měsícem +1

    Mbona unaongea kama mwana siasa sioni kuwa ni unabii uliopewa zaidi ya kucheza na Akili za Watu kwa yaliyotokea nyuma huko

  • @NestoriyMwezimpya
    @NestoriyMwezimpya Před 22 hodinami

    Wanao tabili vifo vya watu wachuzwe

  • @pwaniseries
    @pwaniseries Před měsícem +9

    Manabii Mnapenda kiki nyie hatuwawezi

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Před 25 dny

    Mchungaji kwanini wanao oteshwa na roho mtakatifu ni wakristo tu? Mbona hawa viongozi wa kislam wao hawa bashiri au hawapewi maono???? 😂

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 Před měsícem +1

    Mbona dawa za miti za kuvuta Sumi kwenye mwili zipo nyingi?
    Jambo liwekwe wazi apatiwe dawa mara moja..siyo kumtenga na familia..dawa za Mungu ni zaidi

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Před měsícem +2

    Kwanini hawa wanobashiri ni wa kristo tu mbona ma shekhe hawatabiri? Hii imekuaje?? Kila mtume anasema nimeongea na MUNGU wameongea kivipi?? ( LAKINI ma shekhe hawabashiri kama wameongea na MUNGU inamaana dini ya USILAM hawana MUNGU???.????

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před měsícem

      Kitabu chenu kimasema nini?. Mana chetu kina ongelea manabii wa kweli na WA uongo. Yoel 2:28 anasema nitaimimina roho yangu jui ya wote wenye mwili Waume Kwa wake watatabiri na wazee wataota ndoto. Lakini wapo pia manabii ambao ni WA uongo matayo ,24.10 wakati huo watu wataacha Imani yao watasalitiana nankuchukiana na watatokea manabii wa uongo

    • @EdwardMwasuza-sj4ij
      @EdwardMwasuza-sj4ij Před 29 dny

      Amen

  • @StelaNoah-p9d
    @StelaNoah-p9d Před měsícem

    Sasa kwa nn usikatae iyo roho ya mauti lkn ww unataka itimie usikubali itimie.

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw Před měsícem

    Sio wakristu hapana. Wakristu walokole. Kwa nini ulokole ndiyo inapendwa TU katika ukristu? Jamani Mungu ni mkubwa sana siyo kila mlokole anatimwa na Mungu.

  • @rayyahinay-hp7jf
    @rayyahinay-hp7jf Před 25 dny

    Hivi Mungu ni mmoja na dunia ni yake, nchi zote tulizonazo Mungu hajawambia?? Ila Tanzania peke yake ndio wanaoteshwa, na wenine wana ongea nae live kah!! Wacheni uongoooo mbona wa dini zingine hawajasikika kama nyinyi??? Acheni kufru na tamaa za uongozi muwatishe haohao wadanganywa lkn sio waelewa yaani uchaguzi yatokee unamaanisha nn??

  • @AllyOmali-rh8pf
    @AllyOmali-rh8pf Před měsícem

    Kwer mungu anaongea na wanadamu sio miti akaerma anotafutaye kwa bidii ataniona

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před měsícem

    MUNGU ni MUNGU wa rehema hizi dini na watumishi wake mmezidi na hamuogopi kujianika mitandaoni fanyen tu maana hii nchu imeruhusu haya yote endeleeni MUNGU anawaona

  • @sylvanjosam3402
    @sylvanjosam3402 Před měsícem

    Acha kutuletea polojo kamulete makonda acha nyenyenye😂

  • @DottoKillangi
    @DottoKillangi Před měsícem

    Sawa umeonyeshwa umechukua hatuna gani Ili mabaya hayo yasitokee, ww unaonyeshwa mabaya tu ,hizi ni siku za m we isho kila mtu amuombe Mungu tu

  • @user-me5qu5kw4u
    @user-me5qu5kw4u Před měsícem

    Yaani uogopi kudanganya kabisaaa uoni maendeleo yatakayo tokea 2924 unaona shidaa tuuu jamani

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před měsícem

    Waeleze Tatizo Tz n shule upige kur ucipige wao ndoo washindi KATIBA haitakiwi Allah atusaidie KWANZA wao wanna vx za million 500 sisi tunadaiwa songesha+nipigetafu,tunahali hali mbaya sukari juu tozo hazishuki matbab juu petroleum juu,Wao, unapigwa mwingi,hawana huruma baba,

  • @YonerManang-ie2qm
    @YonerManang-ie2qm Před měsícem

    Hiyo umwagikaji wa damu ni kweli wakati wa uchaguzi, na baada ya hapo chadema itachukuwa madaraka. Hii nimefunuliwa!!

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm Před měsícem +1

    Jamani mungu huwa anaangalia tu ananyamaza mara ooooh nilioteshwa, mara ooooh jamani yaliyonenwa yatatimia ndio hayo tunayaona tuombe mungu sana

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 Před měsícem

    Mnaangaika kweli

  • @MamaDieudonne-mq2sq
    @MamaDieudonne-mq2sq Před 27 dny

    Huwezi elewa mambo ya rohoni na wewe si mmja wakiroho.

  • @issamagana9302
    @issamagana9302 Před 26 dny

    We soi nabiii tapeli mkubwa we mwanasiasa ww nabii muongo mkubwa

  • @AngelJimmySangweni
    @AngelJimmySangweni Před 27 dny

    MUNGU atusimamie sana ,uchaguzi ni mzito bila wewe MUNGU hatutaweza.
    Tunakuomba ewe MUNGU utulinde na utusimamie,tukafanye uchaguzi salama tukiongozwa na damu ya mwanao Yesu Kristo.Amen

  • @julianarichard920
    @julianarichard920 Před měsícem

    Mbona usiseme kabla ya haya kutokea embu acheni kuidhalilisha Dini Hadi tutaonekana tapeli

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 Před měsícem

      Hakuna Mwanadamu Mwenye Uwezo Wa Kuudhalilisha Ukristo Zaidi Ya Kujidhalilisha Yeye Mwenyewe.

  • @user-qh8jb9kh6i
    @user-qh8jb9kh6i Před měsícem

    Wewe sio nabii.toa ujinga

  • @TinaZimba
    @TinaZimba Před měsícem

    Hata sasa damu inamwagika tatizo wewe hujui

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 Před měsícem +1

    Ningetamani kama kuna hukumu ianze na hii michungaji ambayo iko inafanya biashara makanisani

  • @MichaelLambo-oh4bw
    @MichaelLambo-oh4bw Před měsícem +1

    Hii Michawi inayodai Kusema na Mungu ni hatari sana.

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 Před měsícem

    Wewe unatabiri tu nenda kamuokoe makonda wetu

  • @rehemamsekeni8972
    @rehemamsekeni8972 Před měsícem

    Liombeeni hilo

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před měsícem

    Hao viongozi hawamjui MUNGU MUNGU wao ni ibilisi.

    • @MnanilaMrsmnanila
      @MnanilaMrsmnanila Před měsícem +1

      mungu wao ni ibilisi.helufi kubwa inatumika kwa Mungu aliyeziumba mbingu na nchi.

  • @Gamba81
    @Gamba81 Před měsícem

    Hakuna nabi hizi zama zetu toli 2

  • @menaurukivuyo6796
    @menaurukivuyo6796 Před měsícem

    Tanzania mtupeni makonda wetu

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před měsícem

    Nabii n Adam, Ibrahim musa yessu na Mohamad,

    • @barakalawrence742
      @barakalawrence742 Před měsícem

      Hujui ukisemacho bali umekaririshwa mambo ya mapokeo yenu

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 Před měsícem

    Acha uongo wako !!! Unayoyaongea yanaonekana kwa macho.(Acha mambo yenu haya yanaoneka kwa macho