Mbona dawa za miti za kuvuta Sumi kwenye mwili zipo nyingi? Jambo liwekwe wazi apatiwe dawa mara moja..siyo kumtenga na familia..dawa za Mungu ni zaidi
Kwanini hawa wanobashiri ni wa kristo tu mbona ma shekhe hawatabiri? Hii imekuaje?? Kila mtume anasema nimeongea na MUNGU wameongea kivipi?? ( LAKINI ma shekhe hawabashiri kama wameongea na MUNGU inamaana dini ya USILAM hawana MUNGU???.????
Kitabu chenu kimasema nini?. Mana chetu kina ongelea manabii wa kweli na WA uongo. Yoel 2:28 anasema nitaimimina roho yangu jui ya wote wenye mwili Waume Kwa wake watatabiri na wazee wataota ndoto. Lakini wapo pia manabii ambao ni WA uongo matayo ,24.10 wakati huo watu wataacha Imani yao watasalitiana nankuchukiana na watatokea manabii wa uongo
Sio wakristu hapana. Wakristu walokole. Kwa nini ulokole ndiyo inapendwa TU katika ukristu? Jamani Mungu ni mkubwa sana siyo kila mlokole anatimwa na Mungu.
Hivi Mungu ni mmoja na dunia ni yake, nchi zote tulizonazo Mungu hajawambia?? Ila Tanzania peke yake ndio wanaoteshwa, na wenine wana ongea nae live kah!! Wacheni uongoooo mbona wa dini zingine hawajasikika kama nyinyi??? Acheni kufru na tamaa za uongozi muwatishe haohao wadanganywa lkn sio waelewa yaani uchaguzi yatokee unamaanisha nn??
MUNGU ni MUNGU wa rehema hizi dini na watumishi wake mmezidi na hamuogopi kujianika mitandaoni fanyen tu maana hii nchu imeruhusu haya yote endeleeni MUNGU anawaona
Waeleze Tatizo Tz n shule upige kur ucipige wao ndoo washindi KATIBA haitakiwi Allah atusaidie KWANZA wao wanna vx za million 500 sisi tunadaiwa songesha+nipigetafu,tunahali hali mbaya sukari juu tozo hazishuki matbab juu petroleum juu,Wao, unapigwa mwingi,hawana huruma baba,
MUNGU atusimamie sana ,uchaguzi ni mzito bila wewe MUNGU hatutaweza. Tunakuomba ewe MUNGU utulinde na utusimamie,tukafanye uchaguzi salama tukiongozwa na damu ya mwanao Yesu Kristo.Amen
Amen and Amen tutakuunga mkono ni kweli uliyosema sisi wa uk tumeanza maombi Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Tuombe sana kwa ajili Taifa letu maana
Mwenyezi mungu azidi kutulinda
Mbona unaongea kama mwana siasa sioni kuwa ni unabii uliopewa zaidi ya kucheza na Akili za Watu kwa yaliyotokea nyuma huko
Wanao tabili vifo vya watu wachuzwe
Manabii Mnapenda kiki nyie hatuwawezi
Mchungaji kwanini wanao oteshwa na roho mtakatifu ni wakristo tu? Mbona hawa viongozi wa kislam wao hawa bashiri au hawapewi maono???? 😂
Mbona dawa za miti za kuvuta Sumi kwenye mwili zipo nyingi?
Jambo liwekwe wazi apatiwe dawa mara moja..siyo kumtenga na familia..dawa za Mungu ni zaidi
Kwanini hawa wanobashiri ni wa kristo tu mbona ma shekhe hawatabiri? Hii imekuaje?? Kila mtume anasema nimeongea na MUNGU wameongea kivipi?? ( LAKINI ma shekhe hawabashiri kama wameongea na MUNGU inamaana dini ya USILAM hawana MUNGU???.????
Kitabu chenu kimasema nini?. Mana chetu kina ongelea manabii wa kweli na WA uongo. Yoel 2:28 anasema nitaimimina roho yangu jui ya wote wenye mwili Waume Kwa wake watatabiri na wazee wataota ndoto. Lakini wapo pia manabii ambao ni WA uongo matayo ,24.10 wakati huo watu wataacha Imani yao watasalitiana nankuchukiana na watatokea manabii wa uongo
Amen
Sasa kwa nn usikatae iyo roho ya mauti lkn ww unataka itimie usikubali itimie.
Sio wakristu hapana. Wakristu walokole. Kwa nini ulokole ndiyo inapendwa TU katika ukristu? Jamani Mungu ni mkubwa sana siyo kila mlokole anatimwa na Mungu.
Hivi Mungu ni mmoja na dunia ni yake, nchi zote tulizonazo Mungu hajawambia?? Ila Tanzania peke yake ndio wanaoteshwa, na wenine wana ongea nae live kah!! Wacheni uongoooo mbona wa dini zingine hawajasikika kama nyinyi??? Acheni kufru na tamaa za uongozi muwatishe haohao wadanganywa lkn sio waelewa yaani uchaguzi yatokee unamaanisha nn??
Kwer mungu anaongea na wanadamu sio miti akaerma anotafutaye kwa bidii ataniona
MUNGU ni MUNGU wa rehema hizi dini na watumishi wake mmezidi na hamuogopi kujianika mitandaoni fanyen tu maana hii nchu imeruhusu haya yote endeleeni MUNGU anawaona
Acha kutuletea polojo kamulete makonda acha nyenyenye😂
Sawa umeonyeshwa umechukua hatuna gani Ili mabaya hayo yasitokee, ww unaonyeshwa mabaya tu ,hizi ni siku za m we isho kila mtu amuombe Mungu tu
Yaani uogopi kudanganya kabisaaa uoni maendeleo yatakayo tokea 2924 unaona shidaa tuuu jamani
Waeleze Tatizo Tz n shule upige kur ucipige wao ndoo washindi KATIBA haitakiwi Allah atusaidie KWANZA wao wanna vx za million 500 sisi tunadaiwa songesha+nipigetafu,tunahali hali mbaya sukari juu tozo hazishuki matbab juu petroleum juu,Wao, unapigwa mwingi,hawana huruma baba,
Hiyo umwagikaji wa damu ni kweli wakati wa uchaguzi, na baada ya hapo chadema itachukuwa madaraka. Hii nimefunuliwa!!
Jamani mungu huwa anaangalia tu ananyamaza mara ooooh nilioteshwa, mara ooooh jamani yaliyonenwa yatatimia ndio hayo tunayaona tuombe mungu sana
Mnaangaika kweli
Huwezi elewa mambo ya rohoni na wewe si mmja wakiroho.
We soi nabiii tapeli mkubwa we mwanasiasa ww nabii muongo mkubwa
MUNGU atusimamie sana ,uchaguzi ni mzito bila wewe MUNGU hatutaweza.
Tunakuomba ewe MUNGU utulinde na utusimamie,tukafanye uchaguzi salama tukiongozwa na damu ya mwanao Yesu Kristo.Amen
Mbona usiseme kabla ya haya kutokea embu acheni kuidhalilisha Dini Hadi tutaonekana tapeli
Hakuna Mwanadamu Mwenye Uwezo Wa Kuudhalilisha Ukristo Zaidi Ya Kujidhalilisha Yeye Mwenyewe.
Wewe sio nabii.toa ujinga
Hata sasa damu inamwagika tatizo wewe hujui
Ningetamani kama kuna hukumu ianze na hii michungaji ambayo iko inafanya biashara makanisani
Hii Michawi inayodai Kusema na Mungu ni hatari sana.
Wewe unatabiri tu nenda kamuokoe makonda wetu
Liombeeni hilo
Hao viongozi hawamjui MUNGU MUNGU wao ni ibilisi.
mungu wao ni ibilisi.helufi kubwa inatumika kwa Mungu aliyeziumba mbingu na nchi.
Hakuna nabi hizi zama zetu toli 2
Tanzania mtupeni makonda wetu
Nabii n Adam, Ibrahim musa yessu na Mohamad,
Hujui ukisemacho bali umekaririshwa mambo ya mapokeo yenu
Acha uongo wako !!! Unayoyaongea yanaonekana kwa macho.(Acha mambo yenu haya yanaoneka kwa macho