NDOTO YA KUTISHA, MAMA AANIKA MAMBO MAGUMU NA MAZITO, UCHAGUZI 2025/ AWATAJA MAWAZIRI HAWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 05. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 319

  • @user-my6iz5tg7x
    @user-my6iz5tg7x Před 2 měsíci +5

    Mama, usicheze na jina la mungu. Uongo ni jambo mbaya sana. Wewe unajaribu kuidanganya nchi nzima . Unaweza kupata laana kubwa. Usifanya mzaha na jina la Mungu. Waziri wa kilimo anapambana na wezi wanao wahangaisha wakulima. Kama umetumwa na hao wezi, basi omba msamaha kwa mola wako.

    • @jofreyfungo1112
      @jofreyfungo1112 Před 2 měsíci

      Anapambana wakati wakati ananyang'anya Haki ya wakulima kushiriki anatengeza miradi ili apate 10%Kwa wakandalasi.Amenyang'anya Maonyesho ya wakulima anaweka yawe ya wizara Nako anataka kupiga Dili kwenye viwanja vya wakulima.(Amka)

    • @user-my6iz5tg7x
      @user-my6iz5tg7x Před 2 měsíci

      @@jofreyfungo1112 Jambo la kusikitisha Ni kwamba Sisi waafrika wengi wetu Ni watu ambao si wazalendo. Tuna wivu Na chuki ndani zetu. Mwanasiasa akijaribu kufanya kazi yake vizuri, anasingiziwa mambo za uongo za kumharibia Jina.

  • @danielkanso
    @danielkanso Před 2 měsíci +5

    Mimi hata sipingi zaidi sana na muomba Mungu atuhepushe na yaliyo mabaya na uliyoyazungunza hata sikatai kwa sababu na jua kazi ya Mungu

  • @galluskanenge4898
    @galluskanenge4898 Před 2 měsíci +6

    Huyu ana mahangaiko ya maisha yake na nafsi yake ina matundu ,yanayotokana maisha ya dhambi alizotenda , uchungu wa kuzaa hewa hupatikana katika ndoto baada ya kurudi kulala wakati jua limechomoza 😊

    • @FatmaChezo
      @FatmaChezo Před 2 měsíci

      Uwiii😅😅😅

    • @AMENMUSHI-wt4li
      @AMENMUSHI-wt4li Před 2 měsíci

      Mmm

    • @NasibuNasoro-ew3vw
      @NasibuNasoro-ew3vw Před 2 měsíci

      Mama uza sura upate foroaz wakutosha vta vipo urus na kongo we huja pigana vta mama ugesema unapata majaribu ya shetani sio vita ungekua unavita na wanadam basi we utakua upo ktk kundi la shetanie

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 Před 2 měsíci +8

    UKIWA MTU WA KUTII SAUTI YA MUNGU BASI UTASHUHUDIA MENGI SANA!!SAUTI HII NI YA WENYE IMANI TU

    • @antoinekatembo8520
      @antoinekatembo8520 Před 2 měsíci +1

      Kabisa kabisa!!

    • @edisonemmanuel-
      @edisonemmanuel- Před 2 měsíci

      Umenena ni vile tu hofu ya Mungu inakufanya ushuhudie au lah kama ni uongo atajua mwenyewe

  • @kitejamayunga7645
    @kitejamayunga7645 Před 2 měsíci +2

    Duh! Tulikuwa na mfalme zumaridi, Sasa huyu ni malaika mwenye watoto. God heal this generation

    • @ayshasaid1547
      @ayshasaid1547 Před 2 měsíci

      😂😂😂😂😂nimecheka kwa saut

  • @georgempogomi7329
    @georgempogomi7329 Před 2 měsíci +7

    Ww ni wa maana Sana Mungu atakutumia Sana kwa kuwa umekubali na kutii mema yanakuja barikiwa sana

  • @AlphaBukuku-f9j
    @AlphaBukuku-f9j Před 4 dny

    Ucipomtii mungu shetani atakupa kazi mungu hawez kukupa maono kama hayo mungu anatoa maono ya utume ulimwenguni

  • @fredymwakalunde5544
    @fredymwakalunde5544 Před 2 měsíci +5

    amina mama Mungu aendelee kutenda

  • @lindajohansen9220
    @lindajohansen9220 Před 2 měsíci +4

    Hata jiwe kuu la pembeni waashi walilikataa! Pengine ni ujumbe wa Mungu kweli

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 2 měsíci +4

    Uzuri wa hii Nchi bana Hufi kwa Msongo Mawazo
    Ukiona Umezongwa tu Weka Bando lako kisha ingia Yu tube

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 2 měsíci

      😂😂😂😂😂😂 lakini utakufa kwa njaa .

    • @rilekijuma4024
      @rilekijuma4024 Před 2 měsíci

      Hakuna sehemu yoyote kwenye biblia inasema sauti ya watu ni sauti ya Mungu hii ni kauli ya kifalsafa

  • @subirasimbeye5389
    @subirasimbeye5389 Před 2 měsíci

    Amen Woman of God

  • @user-yz1xq8xo8s
    @user-yz1xq8xo8s Před 2 měsíci

    Maneno ya Imani huwa Yana puuzwa lakini mwisho wake ni huu Nuhu aliambiwa na mungu atengeneze safina watu wenye nguvu na dharau wakambeza sana lakini kilichotokea nisikwambie Mimi Bali jifunze.wote waliangamia

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před 2 měsíci +4

    Mbona kila mtu anampinga huyu dada..what if she is right na yote anayoongelea yanatokea

    • @rilekijuma4024
      @rilekijuma4024 Před 2 měsíci

      Unabii unapimwa kwa neno la Mungu hapo hakuna neno la Mungu mwanzo mwisho ni porojo

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 Před 2 měsíci +3

    Apelekwe Milembe hospital akapimwe akili.It is a bunch of nonsense of the highest level.

  • @JacobJoel-cb3ni
    @JacobJoel-cb3ni Před 2 měsíci +1

    Mmhh sasa unasema Wew Ni Angel Mara kiumbe Zaidi sasa mume wako ana wasiwasi wakati umesema Ni Angry😃😃ila yote Kwa yote Mungu wangu WA mbinguni atukuzwe

  • @user-fl3yl4or3e
    @user-fl3yl4or3e Před 2 měsíci +1

    Sio tatizo lako bali nitatozo la kutojua Mungu ni wanamna gani mungu akujie wewe kabisa aongee mambo ya wizara kwanza muogope Mungu wacha kumfanya kama kitu cha mchezo

  • @JumannePangapanga
    @JumannePangapanga Před 2 měsíci +1

    Hahahaha mungu anakazi nyingi co kukaa kujadil viongoz huyu anafaa huyu hafai bila shaka umetumwa

  • @saluhilya8465
    @saluhilya8465 Před 2 měsíci +2

    Timiza wajibu wako uliotumwa na mungu atakayebeza atakutana na adhabu ya mung

  • @elsonkingtz4506
    @elsonkingtz4506 Před 2 měsíci +5

    Huyo bila Shaka katumwa na peoples power

  • @user-hq5qx1hu2x
    @user-hq5qx1hu2x Před 2 měsíci +2

    Hawezi kua raisi January yeye na Baba Yake wakafunge
    Kuhusu Makonda hapo umechemka unabii wako

  • @mamanimama2618
    @mamanimama2618 Před 28 dny +1

    Amina

  • @arnoldkimaro407
    @arnoldkimaro407 Před 2 měsíci +1

    ---Taifa linaombewa na viongozi 12:42 wa dini kila siku pamoja na viongozi wake hivyo tunaamini kuwa uchaguzi ujao utakuwa huru na wa amani. Nchi haiwezi kuongozwa kwa watu kuoteshwa matukio au kusema ni maagizo ya mungu kwani maagizo ya mwenyenzi nungu yako kwenye vitabu vya dini ie Bibilia na misaafu pamoja na machapisho mengine .

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l Před 5 dny

    Huu ujumbe ni wa Mungu kweli

  • @clemencelisonga8261
    @clemencelisonga8261 Před 2 měsíci +1

    Yesu akasema nitakapo kuja nitaiona Imani kweli

  • @peterkasonso3169
    @peterkasonso3169 Před měsícem

    Uliabza vizuri ila kukiita wew maraika hapo mama,sio sawa kwa msingi wa maandiko matakatifu

  • @stephenalmas4209
    @stephenalmas4209 Před 2 měsíci

    Amen, ila sasa ndg yng sauti ya Mwenyezi MUNGU huwa hai-hitaji nguvu nyingi sana kufika mahala pake, neno moja tu latosha na kuponya nafsi zetu, maana hilo neno ni takatifu, wala halihitaji maelezo ya ziada kujipambanua.

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Před 2 měsíci

      Acheni utoto nyie wakristo kwann mnadanganyika fasta ivo

  • @pantaleokullaya4267
    @pantaleokullaya4267 Před 3 dny

    Jamila Neno tu kuhusu kutosuka nywele limekuwia gumu mie nikupimeje kukuamini?1Pt.3:3 na 1Tim.2:9.Ukilitii Neno la Mungu ni rahisi kukutumia kwa ajili ya watu wake.

  • @jifunzekuhusuwewe7475
    @jifunzekuhusuwewe7475 Před 2 měsíci +1

    AMEN MUNGU ATUSAIDIE

  • @anastazialushika
    @anastazialushika Před 2 měsíci +2

    Mungu hanaga maneno mengi ivo!Acha kutuuzia mbuzi kwenye gunia! Acha Arusha ipae kimataifa ww acha makonda ainyooshe iwe kama uraya! Makonda oyeeeeee

  • @BarackntabindiEmoro-bo1xp
    @BarackntabindiEmoro-bo1xp Před 2 měsíci +2

    Je mungu hakukwambia wamasai wanateseka mama awahulumie au tusimchangue kwa kua ata mungu hajamchagua huu ni kuvizia uteuzi make

  • @WeremaSagati-tk5di
    @WeremaSagati-tk5di Před 2 měsíci +1

    Ukweli kabisa

  • @yasminmohamed604
    @yasminmohamed604 Před 18 dny

    Kaime mama milembe ipo wazi km vilevi acha umekuwa nani wewe upewe wahhai na mungu???? Au ndio ulikuwa na yule kwy maghofa maleefu sn???😅😅😅😅😅

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 2 měsíci +6

    Huyu mama ni chizi tayari😅😅

  • @user-ot1ff7yq2l
    @user-ot1ff7yq2l Před 22 dny

    Pmja n ni ninyi mnaopinga huyu dada angalieni vizuri arusha kila siku mauaji kwani hamjiuliziii kwaninn mwanmke huyu aiseee haya acheni kudharauu jambo

  • @Werema3760
    @Werema3760 Před 2 měsíci

    Ok.

  • @AdamChambo-mf4ek
    @AdamChambo-mf4ek Před 13 dny

    Hata wakati wa Nuhu watu walimdhihaki,wakamkejeri nakumtukana,lakini mwisho wake wote mnafahamu kilichotokea

  • @EmmaWairanya
    @EmmaWairanya Před 4 dny

    Hii nchi ina wahuni wengi poleeee

  • @beatricemneney7696
    @beatricemneney7696 Před 10 dny

    Amen

  • @JoelRichard-hj3bi
    @JoelRichard-hj3bi Před dnem

    Hapo kwenye kumwagika damu hata mimi niliota mara kadhaa.

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki8196 Před 25 dny

    MUNGU gani Binaadam ??😂😂😂 😅😅😅😅, acha kumchezea MUNGU. Japokuwa inawezekana unataka kutufikishia ujumbe wenye maana lkn usichanganye na fikra za kumshirikisha MUNGU.

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Před 2 měsíci

    Mungu anamwambia nenda kaonge na media😂😂😂😂😂😂😂😂bongo bongo kuhama itakua shida sana

  • @edwardpiniel9925
    @edwardpiniel9925 Před 2 měsíci

    Hii ndio tanzani sasa kwrli kila mtu yupo anajuwa mungu sana ila kivyangu mimi sisrmi kitu ilaa mmmh hii kama vile watu bana

  • @blasiustibwakawa6258
    @blasiustibwakawa6258 Před 2 měsíci

    Dah

  • @talents7934
    @talents7934 Před 2 měsíci

    Hata Mwenyezi Mungu hapa nahisi Kaangua kicheko😂 Nahisi huyo Mungu uliyongea Nae ni Wa chuga Ngarenaro

  • @emmanuelchacha6718
    @emmanuelchacha6718 Před 2 měsíci

    Fala mmoja hv.

  • @abdulmagido5444
    @abdulmagido5444 Před 2 měsíci

    Mungu akaache kuchukizwa na kugeuzana jambo ambalo alighalakisha umma akakasilishwe na mimea mama akatumwa apeleke upepo kwa watu watakiwawo na watu wake tuwache kumchezea Mungu jamani.

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 Před 2 měsíci +1

    Msichukue poa this is true from in side under code xx

  • @user-qj7xp7wo1v
    @user-qj7xp7wo1v Před měsícem

    Mpuuzi kweli mitume wenyewe hawakumuona mungu ww unasema umemuona 😂😂😂😂💔 endelea kuwadanganya hao hao wapuuzi wenzako

  • @ProsperMwakasungura
    @ProsperMwakasungura Před 2 měsíci +4

    Anamchezea MUNGU. We subiri kitakachompata. MUNGU na wizara wapi na wapi. Huyu anakichaa.

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 Před 2 měsíci +3

    Hahahahaha ,ni kwa nini watu wanakuwa na mawazo ya ajabu duniani hapa .

    • @emmosilver6039
      @emmosilver6039 Před 2 měsíci

      Unashangaa NI siku za mwisho shetani anawachanganya watu.

    • @nelsonnyamle
      @nelsonnyamle Před 2 měsíci

      Wewe tahila upo wapi?

  • @user-po9wi5lh1o
    @user-po9wi5lh1o Před 2 měsíci

    Katumwa na vibaraka umeona wapi selikali ikakubalika na watu wote mungu hayupo kwenye selikali zisizo na dini Tanzania hatutaki viongozi vibaraka wapinzani wote hao vibaraka

  • @FrankMwandenga
    @FrankMwandenga Před 12 hodinami

    Haaaaa sijui

  • @AdaniBonfasi
    @AdaniBonfasi Před 2 měsíci

    Eeee jamani jamani

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 2 měsíci

    Hebu wacha wazimu wewe Bibi. Mungu atakuaibisha wewe kwa karibu na Ulimwengu utashuhudiya. Zanzibar kila miaka mitano inamwqgika damu na hakuna kichaa yoyote alitumwa na Mungu kusema maneno kama unayo yasema wewe. Na unasema uwongo pia Mungu atakuonesha very soon.

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Před 2 měsíci

    Hey we go😂😂😂😂😂 eti ni malakla Aise bongo sihami kabisa

  • @kaombwechacha1526
    @kaombwechacha1526 Před 2 měsíci

    Mungu wangu Dunia mwisho kua na aibu bas we mama Malaika anazaa kweli mmmmmmm

  • @user-mq3hy9lj6d
    @user-mq3hy9lj6d Před měsícem

    Je ni kweli

  • @tinosimon595
    @tinosimon595 Před 2 měsíci

    Kwanza Mungu akija hawezi kuja kukuongelesha kwa masaa yote. Dada Mungu ajakuambia sasa nani atakua mkuu wa mkoa wa Arusha. 😅😮😢

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 Před 2 měsíci

    mimi wa 1 nakwambia nakaidi huo ujumbe wa mungu. Kwasababu mungu wako ni shetani. Na wewe tunajua kama unawashwa

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 2 měsíci

    Nimeelewa leo kwann magufuli alibana midomo ya watu wenye midomo mirefu ka ma hii yan kama magufuli angekuepo huyu mama angekua ardhin chini ya udongo

  • @user-gh4mg2wn8y
    @user-gh4mg2wn8y Před 2 měsíci

    Wewe bi mkubwa acha njaa zitakuponzaa😂😂😂

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 Před 2 měsíci

    Mmm pepo shindwa

  • @neemasanga5333
    @neemasanga5333 Před měsícem

    USIMZINGIZIYE MUNGU NJE YA NENO LAKO, UMECHUKIZEA WEWE NA WANASIASA WENZAKO, USIMZINGIZIYE MUNGU WEWE.

  • @EmanuelWillson-jy1fq
    @EmanuelWillson-jy1fq Před měsícem +1

    Kuna uharibifu mkubwa unakuja . Na kudharau maadili yetu MUNGU hatanyamaza, wengi watasema nipo kwa ajili ya MUNGU nataka niwaambie watatokea manabii wa uongo haya ni madogo katika unabii yanakuja makubwa mno

  • @user-ot1ff7yq2l
    @user-ot1ff7yq2l Před 22 dny

    Ninyi mnaopinga hayaaaa ya huyu dada hamjitmbui na msipende kupuuza kila kitu Jamn huyu dada sio mwehu

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 2 měsíci

    Nyiye wa Tanzania Bara Hamwishi vituko. Lakini mnawafurahisha walonuna 😂😂😂 na story zenu.

    • @stevensosipita
      @stevensosipita Před 2 měsíci

      IFIE IMANI YAKO ACHANA NA IMANI YA WATU WENGINE USHAURI TU😢😢

  • @fkirumba1463
    @fkirumba1463 Před 2 měsíci

    Nimekusikiliza sana mama nimegundua kwamba maneno hayo yanatoka kingine hata wewe unajua kwamba yanatoka kungine

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Před 2 měsíci

    Mungu amemtaja na makamba😂😂😂😂😂😂😂😂 huyu mama jaman apimwe akili haraka sana Ebu tuwambie mungu kuhusu chadema 😂

  • @allyomary4230
    @allyomary4230 Před 2 měsíci

    Alhamdulillah ghala nighimatil islam....
    Hii mambo ya Kufunuliwa eti ni MALAIKA, SIJUI ROHO MTAKATIFU na kutuletea Habari za KUTUMWA NA MUNGU, sijui kuona MAGOROFA MBINGUNI....
    Huyu mama alee tu wanae aachane na hizi ndoto za ALINACHA.

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 Před 2 měsíci +3

    Huyu mama ingefaa apigwe fimbo hadharani maana anachezea ujumbe wa Mungu ameota ndoto za mchana

  • @johnjoycemalusu4886
    @johnjoycemalusu4886 Před 2 měsíci +1

    Delusions and hallucinations

  • @simonmwandu2214
    @simonmwandu2214 Před 2 měsíci

    Yani ulivyosema tu umeona umbo kama la mwanaume na ukamuuliza ww ni nani akasema yey ni MUNGU, hapo tu ndo niuongo wa mchna peupe mungu afanani na kitu chochote

  • @yasminmohamed604
    @yasminmohamed604 Před 18 dny

    Bangi mby jmn😅😅😅

  • @hamisrajab5340
    @hamisrajab5340 Před 2 měsíci

    Mungu alikua amevaaje?

  • @DominicaShiyo
    @DominicaShiyo Před 2 měsíci

    Mungu hawezi kutoa unabii wa mauaji wala umwagaji wa damu hautakuwepo amani tu makonda hoyeeeeee

  • @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh

    Sijakupata anaejua kuwawe nimagugu au nimbegunjema ni mungu

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 Před 2 měsíci

    Yaani mpuuzi mmoja tu

  • @user-qj7xp7wo1v
    @user-qj7xp7wo1v Před měsícem

    Sio kila anae vuta bangi ni mwendawazimu 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @shafiijuma840
    @shafiijuma840 Před 2 měsíci

    Chunguzeni mtakuta ametoka kwenye vyama vya ushirika kama kiongozi maana waziri amewavuruga sana mafisadi naona wameanza kuigiza

  • @msenegalimtoi359
    @msenegalimtoi359 Před 2 měsíci

    Maono yapogo ila usijiite malaika wala kutokewa na mwanaume fimbo hata ramli zakishirikina zinamaono ila utekelezaji ni wa mungu na wale vijana wa arusha pale hamna waizi msibague watu nchi sio yenu
    Waizi wapo arusha tena manyamera kweli
    Na bad waanafanya yao hao waizi ila sio vilevitoto vinajiita vididu yapo madudu sasa

  • @gemmamwajombe3169
    @gemmamwajombe3169 Před 2 měsíci

    Usitukane nii kweli watu wanakufa hospitali za serikali hwana pesa umaskini ni hateri

  • @user-fj4mj5gh3i
    @user-fj4mj5gh3i Před 2 měsíci

    Ww mama jitambuwe usimchezee mungu umetumwa na shetani .kwani makonda alichaguliwa na wananchi si aliteuliwa na raisi .kikwete je mama je. Mawaziri wake vipi .kikwete je.

  • @aymanhusseinaslam7266
    @aymanhusseinaslam7266 Před 2 měsíci

    Wewe ni Tapeli mmoja

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 Před 2 měsíci

    Siku hizi kila mtu nabii wa miungu ya kabila na mizimu ya kwao ww nikichaa ndio inaaza hivo ama mwambie mzee akushughulikie usiku maana kuna tatizo

  • @SHEDRACKKIBOKO
    @SHEDRACKKIBOKO Před měsícem

    Mmmmmmh mama MUOGOPE MUNGU

  • @user-lo3zv3sl8q
    @user-lo3zv3sl8q Před 2 měsíci

    Tumesha sahau utanganyika wewe mama wewe 😂😂😂

  • @jeremiahmsangi8215
    @jeremiahmsangi8215 Před 2 měsíci

    Siku za mwisho,tuzipime Roho.Ufunuo WA YOHANA.Maono ya Geography kabisa haya

  • @user-do1pq2uu1c
    @user-do1pq2uu1c Před 2 měsíci

    Labda atakua yule mungu mtu wa kenya aliejiita mungu itakua kakujia huyo kukwambia yaani hata biblia yenu inakanusha kua mungu hafananishwi na mtu isaya 41 1

  • @gilbertnikas
    @gilbertnikas Před 2 měsíci

    😢😢😢😢😮

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz Před 2 měsíci

    Uyo mungu wako mbona afanyi mwenyewe to akamaliza mambo 😀😀😀🤣🤣🤣wewe ni kizazi cha Ibrahim na umezaliwa Chikongola Mtwara uyo ibrahim anaijua kweli Mtwara 🤣😅😂 Naona na mimi ntaanza kuwa nabii haraka sana

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Před 2 měsíci

    Meditation ni Hali ya mtu kukaa mahali na kujituliza na kujiacha bila kuwa na mawazo

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 Před 2 měsíci

    Kuna wakati kuwa kimya Kuna faa, ila kwa huyu mama siwezi kupingana naye

  • @IdrisMgumia
    @IdrisMgumia Před 2 měsíci

    Sasa ndio kipindi cha kumrejea Mwenyezi Mungu maana tumekua tukisikia malaika wa mbinguni , kumbe tulidanganywa malaika tunao hapahapa juu ya uso wa ardhi na siyeye tu yeye na wanae.

  • @jumamkwanda8031
    @jumamkwanda8031 Před 2 měsíci

    Uhuru wa kuongea,uhuru wa wana Habari,uhuru wa kujieleza,uhuru wa kuongea lolote utakalo ili mladi usivunje sheria za Nchi,uhuru wa kutoa Mao ni Malaika jamila ametoa maoni yake 😂😂😂

  • @FatmaChezo
    @FatmaChezo Před 2 měsíci

    Tangu mwendazake aende tunaonamengi namungu akituwekahai tutaona vibweka zaidi😢😢😢😂

  • @mukesharamadhani4141
    @mukesharamadhani4141 Před 2 měsíci +1

    Aibu ,,mama ,,kalale tu

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 Před 2 měsíci

    Siasa bhana
    Umeoteshwa siasa peke yake?
    Siku za mwisho kutakuwa na manabii wa uwongo je tutajuaje kama wew ni sahihi

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 2 měsíci

    Alafu unategemea nchi hii itaendelea yani mtu anakutana na mungu ana kwa ana na wanaongea. Mussa mwenyewe hakufanikiwa kumuona. Ata yesu hamjui mungu kwa kumuona. Yani wewe kama ni mke wangu nshakupa talaka. Maana wewe ni mwehu mungu na serikali wapi na wapi

  • @ru7benniesospeter776
    @ru7benniesospeter776 Před 2 měsíci

    Huyu mke wa Madeleka? Ili tuunganishe Dot?

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    😂😂😂😂😂😂😂😂uwi jaman acheni kufuru kujiita malaika huku mnaziniana kilasiku