Mama, usicheze na jina la mungu. Uongo ni jambo mbaya sana. Wewe unajaribu kuidanganya nchi nzima . Unaweza kupata laana kubwa. Usifanya mzaha na jina la Mungu. Waziri wa kilimo anapambana na wezi wanao wahangaisha wakulima. Kama umetumwa na hao wezi, basi omba msamaha kwa mola wako.
Anapambana wakati wakati ananyang'anya Haki ya wakulima kushiriki anatengeza miradi ili apate 10%Kwa wakandalasi.Amenyang'anya Maonyesho ya wakulima anaweka yawe ya wizara Nako anataka kupiga Dili kwenye viwanja vya wakulima.(Amka)
@@jofreyfungo1112 Jambo la kusikitisha Ni kwamba Sisi waafrika wengi wetu Ni watu ambao si wazalendo. Tuna wivu Na chuki ndani zetu. Mwanasiasa akijaribu kufanya kazi yake vizuri, anasingiziwa mambo za uongo za kumharibia Jina.
Huyu ana mahangaiko ya maisha yake na nafsi yake ina matundu ,yanayotokana maisha ya dhambi alizotenda , uchungu wa kuzaa hewa hupatikana katika ndoto baada ya kurudi kulala wakati jua limechomoza 😊
Mama uza sura upate foroaz wakutosha vta vipo urus na kongo we huja pigana vta mama ugesema unapata majaribu ya shetani sio vita ungekua unavita na wanadam basi we utakua upo ktk kundi la shetanie
Maneno ya Imani huwa Yana puuzwa lakini mwisho wake ni huu Nuhu aliambiwa na mungu atengeneze safina watu wenye nguvu na dharau wakambeza sana lakini kilichotokea nisikwambie Mimi Bali jifunze.wote waliangamia
Mmhh sasa unasema Wew Ni Angel Mara kiumbe Zaidi sasa mume wako ana wasiwasi wakati umesema Ni Angry😃😃ila yote Kwa yote Mungu wangu WA mbinguni atukuzwe
Sio tatizo lako bali nitatozo la kutojua Mungu ni wanamna gani mungu akujie wewe kabisa aongee mambo ya wizara kwanza muogope Mungu wacha kumfanya kama kitu cha mchezo
---Taifa linaombewa na viongozi 12:42 wa dini kila siku pamoja na viongozi wake hivyo tunaamini kuwa uchaguzi ujao utakuwa huru na wa amani. Nchi haiwezi kuongozwa kwa watu kuoteshwa matukio au kusema ni maagizo ya mungu kwani maagizo ya mwenyenzi nungu yako kwenye vitabu vya dini ie Bibilia na misaafu pamoja na machapisho mengine .
Amen, ila sasa ndg yng sauti ya Mwenyezi MUNGU huwa hai-hitaji nguvu nyingi sana kufika mahala pake, neno moja tu latosha na kuponya nafsi zetu, maana hilo neno ni takatifu, wala halihitaji maelezo ya ziada kujipambanua.
Jamila Neno tu kuhusu kutosuka nywele limekuwia gumu mie nikupimeje kukuamini?1Pt.3:3 na 1Tim.2:9.Ukilitii Neno la Mungu ni rahisi kukutumia kwa ajili ya watu wake.
Pmja n ni ninyi mnaopinga huyu dada angalieni vizuri arusha kila siku mauaji kwani hamjiuliziii kwaninn mwanmke huyu aiseee haya acheni kudharauu jambo
MUNGU gani Binaadam ??😂😂😂 😅😅😅😅, acha kumchezea MUNGU. Japokuwa inawezekana unataka kutufikishia ujumbe wenye maana lkn usichanganye na fikra za kumshirikisha MUNGU.
Mungu akaache kuchukizwa na kugeuzana jambo ambalo alighalakisha umma akakasilishwe na mimea mama akatumwa apeleke upepo kwa watu watakiwawo na watu wake tuwache kumchezea Mungu jamani.
Katumwa na vibaraka umeona wapi selikali ikakubalika na watu wote mungu hayupo kwenye selikali zisizo na dini Tanzania hatutaki viongozi vibaraka wapinzani wote hao vibaraka
Hebu wacha wazimu wewe Bibi. Mungu atakuaibisha wewe kwa karibu na Ulimwengu utashuhudiya. Zanzibar kila miaka mitano inamwqgika damu na hakuna kichaa yoyote alitumwa na Mungu kusema maneno kama unayo yasema wewe. Na unasema uwongo pia Mungu atakuonesha very soon.
Kuna uharibifu mkubwa unakuja . Na kudharau maadili yetu MUNGU hatanyamaza, wengi watasema nipo kwa ajili ya MUNGU nataka niwaambie watatokea manabii wa uongo haya ni madogo katika unabii yanakuja makubwa mno
Alhamdulillah ghala nighimatil islam.... Hii mambo ya Kufunuliwa eti ni MALAIKA, SIJUI ROHO MTAKATIFU na kutuletea Habari za KUTUMWA NA MUNGU, sijui kuona MAGOROFA MBINGUNI.... Huyu mama alee tu wanae aachane na hizi ndoto za ALINACHA.
Yani ulivyosema tu umeona umbo kama la mwanaume na ukamuuliza ww ni nani akasema yey ni MUNGU, hapo tu ndo niuongo wa mchna peupe mungu afanani na kitu chochote
Maono yapogo ila usijiite malaika wala kutokewa na mwanaume fimbo hata ramli zakishirikina zinamaono ila utekelezaji ni wa mungu na wale vijana wa arusha pale hamna waizi msibague watu nchi sio yenu Waizi wapo arusha tena manyamera kweli Na bad waanafanya yao hao waizi ila sio vilevitoto vinajiita vididu yapo madudu sasa
Ww mama jitambuwe usimchezee mungu umetumwa na shetani .kwani makonda alichaguliwa na wananchi si aliteuliwa na raisi .kikwete je mama je. Mawaziri wake vipi .kikwete je.
Labda atakua yule mungu mtu wa kenya aliejiita mungu itakua kakujia huyo kukwambia yaani hata biblia yenu inakanusha kua mungu hafananishwi na mtu isaya 41 1
Uyo mungu wako mbona afanyi mwenyewe to akamaliza mambo 😀😀😀🤣🤣🤣wewe ni kizazi cha Ibrahim na umezaliwa Chikongola Mtwara uyo ibrahim anaijua kweli Mtwara 🤣😅😂 Naona na mimi ntaanza kuwa nabii haraka sana
Sasa ndio kipindi cha kumrejea Mwenyezi Mungu maana tumekua tukisikia malaika wa mbinguni , kumbe tulidanganywa malaika tunao hapahapa juu ya uso wa ardhi na siyeye tu yeye na wanae.
Uhuru wa kuongea,uhuru wa wana Habari,uhuru wa kujieleza,uhuru wa kuongea lolote utakalo ili mladi usivunje sheria za Nchi,uhuru wa kutoa Mao ni Malaika jamila ametoa maoni yake 😂😂😂
Alafu unategemea nchi hii itaendelea yani mtu anakutana na mungu ana kwa ana na wanaongea. Mussa mwenyewe hakufanikiwa kumuona. Ata yesu hamjui mungu kwa kumuona. Yani wewe kama ni mke wangu nshakupa talaka. Maana wewe ni mwehu mungu na serikali wapi na wapi
Mama, usicheze na jina la mungu. Uongo ni jambo mbaya sana. Wewe unajaribu kuidanganya nchi nzima . Unaweza kupata laana kubwa. Usifanya mzaha na jina la Mungu. Waziri wa kilimo anapambana na wezi wanao wahangaisha wakulima. Kama umetumwa na hao wezi, basi omba msamaha kwa mola wako.
Anapambana wakati wakati ananyang'anya Haki ya wakulima kushiriki anatengeza miradi ili apate 10%Kwa wakandalasi.Amenyang'anya Maonyesho ya wakulima anaweka yawe ya wizara Nako anataka kupiga Dili kwenye viwanja vya wakulima.(Amka)
@@jofreyfungo1112 Jambo la kusikitisha Ni kwamba Sisi waafrika wengi wetu Ni watu ambao si wazalendo. Tuna wivu Na chuki ndani zetu. Mwanasiasa akijaribu kufanya kazi yake vizuri, anasingiziwa mambo za uongo za kumharibia Jina.
Mimi hata sipingi zaidi sana na muomba Mungu atuhepushe na yaliyo mabaya na uliyoyazungunza hata sikatai kwa sababu na jua kazi ya Mungu
Huyu ana mahangaiko ya maisha yake na nafsi yake ina matundu ,yanayotokana maisha ya dhambi alizotenda , uchungu wa kuzaa hewa hupatikana katika ndoto baada ya kurudi kulala wakati jua limechomoza 😊
Uwiii😅😅😅
Mmm
Mama uza sura upate foroaz wakutosha vta vipo urus na kongo we huja pigana vta mama ugesema unapata majaribu ya shetani sio vita ungekua unavita na wanadam basi we utakua upo ktk kundi la shetanie
UKIWA MTU WA KUTII SAUTI YA MUNGU BASI UTASHUHUDIA MENGI SANA!!SAUTI HII NI YA WENYE IMANI TU
Kabisa kabisa!!
Umenena ni vile tu hofu ya Mungu inakufanya ushuhudie au lah kama ni uongo atajua mwenyewe
Duh! Tulikuwa na mfalme zumaridi, Sasa huyu ni malaika mwenye watoto. God heal this generation
😂😂😂😂😂nimecheka kwa saut
Ww ni wa maana Sana Mungu atakutumia Sana kwa kuwa umekubali na kutii mema yanakuja barikiwa sana
Ucipomtii mungu shetani atakupa kazi mungu hawez kukupa maono kama hayo mungu anatoa maono ya utume ulimwenguni
amina mama Mungu aendelee kutenda
Yani wakristo wepesi sn kudangqnywa
Hata jiwe kuu la pembeni waashi walilikataa! Pengine ni ujumbe wa Mungu kweli
😂😂😂😂
Uzuri wa hii Nchi bana Hufi kwa Msongo Mawazo
Ukiona Umezongwa tu Weka Bando lako kisha ingia Yu tube
😂😂😂😂😂😂 lakini utakufa kwa njaa .
Hakuna sehemu yoyote kwenye biblia inasema sauti ya watu ni sauti ya Mungu hii ni kauli ya kifalsafa
Amen Woman of God
Maneno ya Imani huwa Yana puuzwa lakini mwisho wake ni huu Nuhu aliambiwa na mungu atengeneze safina watu wenye nguvu na dharau wakambeza sana lakini kilichotokea nisikwambie Mimi Bali jifunze.wote waliangamia
Mbona kila mtu anampinga huyu dada..what if she is right na yote anayoongelea yanatokea
Unabii unapimwa kwa neno la Mungu hapo hakuna neno la Mungu mwanzo mwisho ni porojo
Apelekwe Milembe hospital akapimwe akili.It is a bunch of nonsense of the highest level.
Mmhh sasa unasema Wew Ni Angel Mara kiumbe Zaidi sasa mume wako ana wasiwasi wakati umesema Ni Angry😃😃ila yote Kwa yote Mungu wangu WA mbinguni atukuzwe
Sio tatizo lako bali nitatozo la kutojua Mungu ni wanamna gani mungu akujie wewe kabisa aongee mambo ya wizara kwanza muogope Mungu wacha kumfanya kama kitu cha mchezo
Hahahaha mungu anakazi nyingi co kukaa kujadil viongoz huyu anafaa huyu hafai bila shaka umetumwa
Timiza wajibu wako uliotumwa na mungu atakayebeza atakutana na adhabu ya mung
Huyo bila Shaka katumwa na peoples power
Hata wewe uliyeandika sms hii utakuwa umetumwa na ccm
Hahahahaha
Hawezi kua raisi January yeye na Baba Yake wakafunge
Kuhusu Makonda hapo umechemka unabii wako
Amina
---Taifa linaombewa na viongozi 12:42 wa dini kila siku pamoja na viongozi wake hivyo tunaamini kuwa uchaguzi ujao utakuwa huru na wa amani. Nchi haiwezi kuongozwa kwa watu kuoteshwa matukio au kusema ni maagizo ya mungu kwani maagizo ya mwenyenzi nungu yako kwenye vitabu vya dini ie Bibilia na misaafu pamoja na machapisho mengine .
Huu ujumbe ni wa Mungu kweli
Yesu akasema nitakapo kuja nitaiona Imani kweli
Uliabza vizuri ila kukiita wew maraika hapo mama,sio sawa kwa msingi wa maandiko matakatifu
Amen, ila sasa ndg yng sauti ya Mwenyezi MUNGU huwa hai-hitaji nguvu nyingi sana kufika mahala pake, neno moja tu latosha na kuponya nafsi zetu, maana hilo neno ni takatifu, wala halihitaji maelezo ya ziada kujipambanua.
Acheni utoto nyie wakristo kwann mnadanganyika fasta ivo
Jamila Neno tu kuhusu kutosuka nywele limekuwia gumu mie nikupimeje kukuamini?1Pt.3:3 na 1Tim.2:9.Ukilitii Neno la Mungu ni rahisi kukutumia kwa ajili ya watu wake.
AMEN MUNGU ATUSAIDIE
Mungu hanaga maneno mengi ivo!Acha kutuuzia mbuzi kwenye gunia! Acha Arusha ipae kimataifa ww acha makonda ainyooshe iwe kama uraya! Makonda oyeeeeee
Oyeeeee
Oyeeeeee, Arusha ng'araaaa
Je mungu hakukwambia wamasai wanateseka mama awahulumie au tusimchangue kwa kua ata mungu hajamchagua huu ni kuvizia uteuzi make
😂😂😂😂😂😂
Kwailo bado anafikiria
Kuwa makini rafiki yangu
Ukweli kabisa
Kaime mama milembe ipo wazi km vilevi acha umekuwa nani wewe upewe wahhai na mungu???? Au ndio ulikuwa na yule kwy maghofa maleefu sn???😅😅😅😅😅
Huyu mama ni chizi tayari😅😅
Mungu akusamehe tu
You cant joke...with this name...
Cheka Leo kesho Italian, bora kukaa kimya!!
😂😂😂😂
Pmja n ni ninyi mnaopinga huyu dada angalieni vizuri arusha kila siku mauaji kwani hamjiuliziii kwaninn mwanmke huyu aiseee haya acheni kudharauu jambo
Ok.
Hata wakati wa Nuhu watu walimdhihaki,wakamkejeri nakumtukana,lakini mwisho wake wote mnafahamu kilichotokea
Hii nchi ina wahuni wengi poleeee
Amen
Hapo kwenye kumwagika damu hata mimi niliota mara kadhaa.
MUNGU gani Binaadam ??😂😂😂 😅😅😅😅, acha kumchezea MUNGU. Japokuwa inawezekana unataka kutufikishia ujumbe wenye maana lkn usichanganye na fikra za kumshirikisha MUNGU.
Mungu anamwambia nenda kaonge na media😂😂😂😂😂😂😂😂bongo bongo kuhama itakua shida sana
Hii ndio tanzani sasa kwrli kila mtu yupo anajuwa mungu sana ila kivyangu mimi sisrmi kitu ilaa mmmh hii kama vile watu bana
Dah
Hata Mwenyezi Mungu hapa nahisi Kaangua kicheko😂 Nahisi huyo Mungu uliyongea Nae ni Wa chuga Ngarenaro
Fala mmoja hv.
Mungu akaache kuchukizwa na kugeuzana jambo ambalo alighalakisha umma akakasilishwe na mimea mama akatumwa apeleke upepo kwa watu watakiwawo na watu wake tuwache kumchezea Mungu jamani.
Msichukue poa this is true from in side under code xx
No comments
Mpuuzi kweli mitume wenyewe hawakumuona mungu ww unasema umemuona 😂😂😂😂💔 endelea kuwadanganya hao hao wapuuzi wenzako
Anamchezea MUNGU. We subiri kitakachompata. MUNGU na wizara wapi na wapi. Huyu anakichaa.
Hahahahaha ,ni kwa nini watu wanakuwa na mawazo ya ajabu duniani hapa .
Unashangaa NI siku za mwisho shetani anawachanganya watu.
Wewe tahila upo wapi?
Katumwa na vibaraka umeona wapi selikali ikakubalika na watu wote mungu hayupo kwenye selikali zisizo na dini Tanzania hatutaki viongozi vibaraka wapinzani wote hao vibaraka
Haaaaa sijui
Eeee jamani jamani
Hebu wacha wazimu wewe Bibi. Mungu atakuaibisha wewe kwa karibu na Ulimwengu utashuhudiya. Zanzibar kila miaka mitano inamwqgika damu na hakuna kichaa yoyote alitumwa na Mungu kusema maneno kama unayo yasema wewe. Na unasema uwongo pia Mungu atakuonesha very soon.
Hey we go😂😂😂😂😂 eti ni malakla Aise bongo sihami kabisa
Mungu wangu Dunia mwisho kua na aibu bas we mama Malaika anazaa kweli mmmmmmm
Je ni kweli
Kwanza Mungu akija hawezi kuja kukuongelesha kwa masaa yote. Dada Mungu ajakuambia sasa nani atakua mkuu wa mkoa wa Arusha. 😅😮😢
mimi wa 1 nakwambia nakaidi huo ujumbe wa mungu. Kwasababu mungu wako ni shetani. Na wewe tunajua kama unawashwa
Nimeelewa leo kwann magufuli alibana midomo ya watu wenye midomo mirefu ka ma hii yan kama magufuli angekuepo huyu mama angekua ardhin chini ya udongo
Wewe bi mkubwa acha njaa zitakuponzaa😂😂😂
Mmm pepo shindwa
USIMZINGIZIYE MUNGU NJE YA NENO LAKO, UMECHUKIZEA WEWE NA WANASIASA WENZAKO, USIMZINGIZIYE MUNGU WEWE.
Kuna uharibifu mkubwa unakuja . Na kudharau maadili yetu MUNGU hatanyamaza, wengi watasema nipo kwa ajili ya MUNGU nataka niwaambie watatokea manabii wa uongo haya ni madogo katika unabii yanakuja makubwa mno
Ninyi mnaopinga hayaaaa ya huyu dada hamjitmbui na msipende kupuuza kila kitu Jamn huyu dada sio mwehu
Nyiye wa Tanzania Bara Hamwishi vituko. Lakini mnawafurahisha walonuna 😂😂😂 na story zenu.
IFIE IMANI YAKO ACHANA NA IMANI YA WATU WENGINE USHAURI TU😢😢
Nimekusikiliza sana mama nimegundua kwamba maneno hayo yanatoka kingine hata wewe unajua kwamba yanatoka kungine
Mungu amemtaja na makamba😂😂😂😂😂😂😂😂 huyu mama jaman apimwe akili haraka sana Ebu tuwambie mungu kuhusu chadema 😂
Alhamdulillah ghala nighimatil islam....
Hii mambo ya Kufunuliwa eti ni MALAIKA, SIJUI ROHO MTAKATIFU na kutuletea Habari za KUTUMWA NA MUNGU, sijui kuona MAGOROFA MBINGUNI....
Huyu mama alee tu wanae aachane na hizi ndoto za ALINACHA.
Huyu mama ingefaa apigwe fimbo hadharani maana anachezea ujumbe wa Mungu ameota ndoto za mchana
Delusions and hallucinations
Yani ulivyosema tu umeona umbo kama la mwanaume na ukamuuliza ww ni nani akasema yey ni MUNGU, hapo tu ndo niuongo wa mchna peupe mungu afanani na kitu chochote
Bangi mby jmn😅😅😅
Mungu alikua amevaaje?
Mungu hawezi kutoa unabii wa mauaji wala umwagaji wa damu hautakuwepo amani tu makonda hoyeeeeee
Sijakupata anaejua kuwawe nimagugu au nimbegunjema ni mungu
Yaani mpuuzi mmoja tu
Sio kila anae vuta bangi ni mwendawazimu 😂😂😂😂😂😂😂😂
Chunguzeni mtakuta ametoka kwenye vyama vya ushirika kama kiongozi maana waziri amewavuruga sana mafisadi naona wameanza kuigiza
Maono yapogo ila usijiite malaika wala kutokewa na mwanaume fimbo hata ramli zakishirikina zinamaono ila utekelezaji ni wa mungu na wale vijana wa arusha pale hamna waizi msibague watu nchi sio yenu
Waizi wapo arusha tena manyamera kweli
Na bad waanafanya yao hao waizi ila sio vilevitoto vinajiita vididu yapo madudu sasa
Usitukane nii kweli watu wanakufa hospitali za serikali hwana pesa umaskini ni hateri
Ww mama jitambuwe usimchezee mungu umetumwa na shetani .kwani makonda alichaguliwa na wananchi si aliteuliwa na raisi .kikwete je mama je. Mawaziri wake vipi .kikwete je.
Wewe ni Tapeli mmoja
Siku hizi kila mtu nabii wa miungu ya kabila na mizimu ya kwao ww nikichaa ndio inaaza hivo ama mwambie mzee akushughulikie usiku maana kuna tatizo
Mmmmmmh mama MUOGOPE MUNGU
Tumesha sahau utanganyika wewe mama wewe 😂😂😂
Siku za mwisho,tuzipime Roho.Ufunuo WA YOHANA.Maono ya Geography kabisa haya
Labda atakua yule mungu mtu wa kenya aliejiita mungu itakua kakujia huyo kukwambia yaani hata biblia yenu inakanusha kua mungu hafananishwi na mtu isaya 41 1
😢😢😢😢😮
Uyo mungu wako mbona afanyi mwenyewe to akamaliza mambo 😀😀😀🤣🤣🤣wewe ni kizazi cha Ibrahim na umezaliwa Chikongola Mtwara uyo ibrahim anaijua kweli Mtwara 🤣😅😂 Naona na mimi ntaanza kuwa nabii haraka sana
Meditation ni Hali ya mtu kukaa mahali na kujituliza na kujiacha bila kuwa na mawazo
Kuna wakati kuwa kimya Kuna faa, ila kwa huyu mama siwezi kupingana naye
Sasa ndio kipindi cha kumrejea Mwenyezi Mungu maana tumekua tukisikia malaika wa mbinguni , kumbe tulidanganywa malaika tunao hapahapa juu ya uso wa ardhi na siyeye tu yeye na wanae.
Uhuru wa kuongea,uhuru wa wana Habari,uhuru wa kujieleza,uhuru wa kuongea lolote utakalo ili mladi usivunje sheria za Nchi,uhuru wa kutoa Mao ni Malaika jamila ametoa maoni yake 😂😂😂
Tangu mwendazake aende tunaonamengi namungu akituwekahai tutaona vibweka zaidi😢😢😢😂
Aibu ,,mama ,,kalale tu
Siasa bhana
Umeoteshwa siasa peke yake?
Siku za mwisho kutakuwa na manabii wa uwongo je tutajuaje kama wew ni sahihi
Alafu unategemea nchi hii itaendelea yani mtu anakutana na mungu ana kwa ana na wanaongea. Mussa mwenyewe hakufanikiwa kumuona. Ata yesu hamjui mungu kwa kumuona. Yani wewe kama ni mke wangu nshakupa talaka. Maana wewe ni mwehu mungu na serikali wapi na wapi
😂😂😢😢😢😅
Huyu mke wa Madeleka? Ili tuunganishe Dot?
😂😂😂😂😂😂😂😂uwi jaman acheni kufuru kujiita malaika huku mnaziniana kilasiku