CAMERA ZA SIRI ZILIVYONASA WIZI WA MAMILIONI / WAZIRI BASHE AWA MKALI, "INATOSHA".

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 05. 2024
  • CAMERA ZA SIRI ZILIVYONASA WIZI WA MAMILIONI / WAZIRI BASHE AWA MKALI, "INATOSHA". #breakingnews #trending
    GADI TV ndiyo
    Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: gaditvhabari@gmail.com
    Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV
    Thanks.

Komentáře • 250

  • @mohamedS-yd9wh
    @mohamedS-yd9wh Před měsícem +32

    Mh. Bashe kwa kuwa upo kwenye kusema ukweli kutetea haki zipatikane kwa wanaostahiki kutetea wanyonge Allah akusimamie akuhifadhi akujaalie elimu busara hekma na ujasiri

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 Před měsícem +11

    Mwenyezi Mungu akulinde Mh BASHE . Iendelee kuwapigania Wakulima wa TZ.

  • @zuwenarajab6675
    @zuwenarajab6675 Před měsícem +25

    Waziri Bashe na waziri Silaa nawakubali sana. Allah awahifadhi na walinde na kila shari.

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 Před měsícem +18

    Bashe you are the outstanding Minister and you deserve more

  • @hillshipping5117
    @hillshipping5117 Před měsícem +5

    Kwakweli wewe Bashe,slaa Allah awalinde kwa hassada zao wanao taka kuwachafua mnaweza na mtaweza zaid hakuna kurudi nyuma mpaka kieleweke inshaAllah

  • @thomassenga2526
    @thomassenga2526 Před měsícem +17

    Safi kabisa kijana piga kazi

  • @vivianjosephsamwelimushi2345
    @vivianjosephsamwelimushi2345 Před měsícem +6

    mungu akusimamie kwa kazi nzuri waziri bashe uwazi ndio maendeleo ya taifa

  • @allynassor1119
    @allynassor1119 Před měsícem +4

    Nakuelewa ktk kupambana na haki mungu akuongoze ktk kusimama na Tanzania

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026 Před měsícem +26

    Una sifa zote za Uwaziri brother

    • @EK-kp2np
      @EK-kp2np Před měsícem +1

      Zaidi ya uwaziri 🤲

  • @55goodmen
    @55goodmen Před měsícem +23

    Huyu Mh Bashe is hard worker jamani abarikiwe sana hes intelligent wise and genuinely PAN AFRICANiST...Africa we badly need these heros i believe he can be even be a President !!!

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Před měsícem +6

    Mh, Bashe mimi siku zote nasema Ushirika ndiyo chanzo cha umasikini katika Nchi hii

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n Před měsícem +12

    Wanatupiga sana mkuu ata kwenye mbaazi..

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před 13 dny

    Hongera Mr Bashe wafungwe jela maisha hao hawafai

  • @mwaisumbemwaisumbe2585
    @mwaisumbemwaisumbe2585 Před měsícem +8

    Brilliant minister 👏

  • @upendoeliya7682
    @upendoeliya7682 Před 28 dny +1

    BASHE MUNGU BABA AKUPE UHAIIIII MREFUUUUI
    NAKUPENDAGA SAAANA 💕

  • @peterlangay6469
    @peterlangay6469 Před měsícem +9

    Ila nimefikiria sana nikagundua kumbe tanzania watu wenye uwezo wa kuwa maraisi wapo wengi sana shida ni kuangaliana usoni tu

    • @ThomasIkerrs
      @ThomasIkerrs Před měsícem +2

      Wapo wengi,ila hawatakiwi, kwa kuwa wanazuia kula za watu.

  • @NescharlesMalando-xm6lg
    @NescharlesMalando-xm6lg Před měsícem +6

    Safi kbx bashe!!tunahtaji viongoz kama wew!!

  • @JacksonMtese-gn4so
    @JacksonMtese-gn4so Před měsícem +9

    Bravo

  • @danielmsuya720
    @danielmsuya720 Před 11 dny

    Bashe Ubarikiwe sana wewe Kijana Mungu akutunze.

  • @bharyasarbjit1187
    @bharyasarbjit1187 Před 26 dny

    Hongera sana sana sana Mhe Bashe wewe Simba kabisa you know how to Handle Tapelis so keep it up Help the Poor Hardworking Farmers. Hongera sana kwako na RC songwe. God bless you Always..

  • @sabinuskomba2535
    @sabinuskomba2535 Před měsícem +3

    Very excellent, Mwenyezi Mungu akulinde

  • @adeltuszakumuha9618
    @adeltuszakumuha9618 Před měsícem +8

    kila siku CAG anasema wizi hakuna kinachofanyika.

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r Před měsícem +17

    Mama ukimaliza mdawako mungu akijalia muangalie huyu bashe mpigie hatadebe awe raisi wetu,

    • @kasimkassam9565
      @kasimkassam9565 Před měsícem +1

      makonda naye y uko vizuri sanaa

    • @adeltuszakumuha9618
      @adeltuszakumuha9618 Před měsícem

      Acha hizo

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 Před měsícem

      ​@@adeltuszakumuha9618asilimia kubwa ya wanaocomment humu wanajaji mtu kwa kazi moja tu nzuri waliyoiona.

    • @valenakomba7686
      @valenakomba7686 Před měsícem

      JAMANI UCHAGUZI WA 20/25 TUUANGALIE UPYA. YUSIMCHAGUE MTU KWA KUMUONEA HAYO. TUWE WAKWELI JAMAANI..HASA SISI TUNAOTESEKA KIMAISHA TUANGALIE SANAA .

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 Před měsícem

      Hapa tunaongelea bashe na sio makonda Wala madereva

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před měsícem +13

    Ufisadi tu,mko kuleana, nchi ni shamba la Bibi kweli,mama anakula nao mafisadi wenzake, RIP JPM

  • @sebastianmwakulya8146
    @sebastianmwakulya8146 Před měsícem +1

    Safi sana mh waziri unjua na mungu akubariki endelea

  • @deogratiusmakindamakinda3797

    Mungu ni mwema kazi nzuri waziri bashe siku zote msema kweli hapendwi

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila1602 Před měsícem +2

    Watu wanaosimama kusema umweli vita yao huwa ni kubwa sana nakuombea sana Mungu akulinde na kila visasi juu yako kwa haya uliyosema wakisikia lazima watapanga vita na ww ndio maana nasema Mungu akulinde sana mh waziri bashe nchi hii Inamuhitaji sana Mungu watu hawana huruma kbs wamekuwa walafi kupindukia utadhani wataishi milele hapa

  • @MARKOLuoga-lx9yw
    @MARKOLuoga-lx9yw Před měsícem +8

    Hata kwenye mahindi tozo ninyingi mheshimiwa wapunguze

  • @nazraseiban1082
    @nazraseiban1082 Před 15 dny

    Surely you are a patriot...congrats👏👏👏

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Před měsícem +1

    Musimusahau ally happy wapo watatu tu bashe silaa nahuyu jamaa wapo vzuri sana munguawalinde

  • @khomeinially3165
    @khomeinially3165 Před 29 dny

    ❤Mashaa allaah Mashaa Allah wallah nakupenda sn kwaajili ya aallah uko sawa n unaumakin sn ktk wizara yko allah akuongoze n akunusuru n hasad inshaallaah

  • @user-bm5ov6kx3c
    @user-bm5ov6kx3c Před měsícem +1

    ❤❤❤❤duuu amakweli sisi tu ndio tunakula ugali dagaa hii nchi inapigwa tungefanana na Dubai

  • @matildayasini1777
    @matildayasini1777 Před 29 dny

    Mh. Bashe Allah akusimamie katika shughuli za kuleta maendeleo na kuinua kipato kutokana na kilimo nchini Tanzania.

  • @iddimakunguto3143
    @iddimakunguto3143 Před měsícem +2

    Ongera sana mh.

  • @TwahiliMassudi
    @TwahiliMassudi Před měsícem +2

    Saf sana mkuu wa kilimo umetishaa mkuu

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Před měsícem +1

    Waziri bashe mtuu wamaana kabisaa asante sana na mungu akubariki na ambariki raisi kwa kukuteua kututetea wakulimaa mtu wamaana kabisa

  • @hillshipping5117
    @hillshipping5117 Před měsícem

    MashaAllah, Allah akusimanie kwakweli wakulima tunaumia mm nimeanza kilimo mh bashe kaza hivyo hivyo wacha wapige miruzi hawalijui wafanyalo nikweli wanataka kukuchafua Allah atakuengua kwa hassada zao hawata kupaka matope hao waongo pambana Bashe msaidie mama samia huna baya wache na laana zao pambana Allah atakunusuru kwa kila mabaya yao wataadhirika hao.

  • @saidkhalifa34
    @saidkhalifa34 Před 22 dny

    Huyu nikweli msaidizi mzuri wa mh Rais hongera sana mh Rais

  • @FidasMwaiteghelesya-hw9qs
    @FidasMwaiteghelesya-hw9qs Před měsícem

    Hongera Bashe ila siasa safi sana alie tufunga ndiye alie tufungua sisi ni asante

  • @user-je5uc6bd8m
    @user-je5uc6bd8m Před 14 dny

    Mungu akuepushe. Na mahasidi. Wasiotaka maendeleo ya watanzania

  • @HulumaKisakali
    @HulumaKisakali Před měsícem

    Asante wazili Mungu akulinde unatutetea wwanyonge tunaibiwa sana

  • @angelnicholaus9248
    @angelnicholaus9248 Před měsícem

    Kweli hii wizara inakufaa,nakukubali sana mr.Bashe.

  • @tiijuma795
    @tiijuma795 Před měsícem +2

    Ah mie napita tu sina uwezo wa kutafuta wakili anisimamie kesi. Ikiwa makofi kidogo waniite tu nije niyaongeze kw tukio lilofanyika🚴🚴🚴

  • @user-oo3kc2cj8n
    @user-oo3kc2cj8n Před měsícem

    Ukiwa bungeni ni hv sasa big up sana bashe sio kama wengine kazi yao kunyoosha tu tai na kupiga makofi hawachangii maendeleo apana

  • @BigoIshanshu
    @BigoIshanshu Před měsícem +1

    Mungu wangu, Bashe ni JPM mtupu, mungu amlinde baada ya samia tunahitaji kiongozi wa namna hii

  • @DM_15
    @DM_15 Před měsícem +1

    Sasa brother Husen Bashe kwanini tusikuombee kwa Mungu maisha yako iwe njema! Trust me Mungu kasha sikia hiisauti yangu kitoka ndani ya moyo wangu naye Babayangu wa mbinguni atakubariki sawa sawa na impendezavyo. Amen

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 Před měsícem +1

    You always smart. Big up

  • @allykalaile-ek3zg
    @allykalaile-ek3zg Před měsícem

    safi sana muheshimiwa bashe upo vzr

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 Před 29 dny

    Mwenyezi mungu akupe uzima na afya uendelee kuwatetea wakulima

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Před měsícem

    Mungu ni mwema❤kaka bashee Mungu akutunze sana ulinzi mkubwa ni Mungu tu

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před měsícem +1

    Saf sana bashe huwa nakukubali endelea kutetea wanyonge ilitakiwa wafikishwe mahakamani ila ndoivo tena

  • @petromasolwa9754
    @petromasolwa9754 Před měsícem +6

    God bless u Bashe

  • @proscoviarwegasira4946
    @proscoviarwegasira4946 Před měsícem +4

    Sasa hiyo ni wizara ya kilimo, je wizara zingine kuna usalama?

  • @kamndemwakitosha1439
    @kamndemwakitosha1439 Před měsícem +1

    Wale vijana waliopelekwa kwenye Mashamba kulima, maendelelo vipi?

  • @PraisefulFAITH-pr8sc
    @PraisefulFAITH-pr8sc Před měsícem

    Upo vizuri mhe.

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 Před měsícem +1

    Mawaziri ni wawili tu, Mh bashe na Mh Jerry slaaa

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před měsícem

    safi sana mh mbashe nakuelew sana bro

  • @-ef3wr1087
    @-ef3wr1087 Před měsícem

    Uko Sawa Tanzania Tunakupenda sana

  • @matungwaByarugaba
    @matungwaByarugaba Před měsícem

    Tuna kukubali kaka.unaichapa kazi.Usisahau zao la miti hakuna bei wala aoko rasmi boss wangu.Nakuombea uzima kaka Bashe.

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 Před měsícem +1

    Mama nnaomba PM akistaf naomba BASHE awe pm.
    Mtanishukuru baadae

  • @lawskuli9876
    @lawskuli9876 Před měsícem

    Hawa ndio aina ya mawaziri tunaowataka kwenye nchi hii. Hongera Mhe. Bashe but take care kwani wapo wataochukia

  • @robertgallus85gallus52
    @robertgallus85gallus52 Před měsícem +1

    Hili ni jembe haswa,Mungu akulinde Baba.Tunataka viongozi km wewe.

  • @ahmadseaman3487
    @ahmadseaman3487 Před 29 dny

    masha Allah
    thanks so much

  • @margarethmwaibasa3697
    @margarethmwaibasa3697 Před měsícem

    Waziri Bashe Yesu wangu akulinde dhidi ya wasiopnda kuambiwa ukweli.Hakika wewe ni shujaa usiogope Mungu atakuwa upande wako atakulinda utokapo na uongiapo na ulalapo.

  • @nassorshaaban7295
    @nassorshaaban7295 Před měsícem +3

    Nakupenda sana kiongozi Acha Tumuombe Mola ajaalie uje kuwa Rai's Kwa Nchi yetu hii

  • @isayaamulike
    @isayaamulike Před 24 dny

    Sihangaiki na udhaifu wako
    Nazingatia tu ubora wako Mungu akulinde mheshimiwa

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo3577 Před měsícem

    Sasa tumesikia kazi nzuri saana Waziri ongera sasa wezi mnawajua je mnachukua hatua gani kwa hao walio chukua Mabillion ili hayo yanarudishwaje

  • @MasumbukoKilunga-mf7sg
    @MasumbukoKilunga-mf7sg Před měsícem

    Huwa nakuelewa vzr Sana Broo

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv Před 25 dny

    Huyu BASHE is very important minister in our country

  • @restcyprian1598
    @restcyprian1598 Před 29 dny

    Fanya kazi mh. Ndiyo maana watoto wa maskini hawapati haki

  • @sophiemsuya6507
    @sophiemsuya6507 Před měsícem +1

    Kwa nchi hii, hayo ni ya kawaida jamani. Hiyo ifanywe kwa wizara zote mtaona mengi Sana. Watanzania wa hali ya chini tunateseka sana kwa mambo mengi mno.

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Před měsícem +1

    Bashed, slaa, doto bila kumsahau makonda ingawa so waziri watanzania tunawaelewa sana

  • @bahatikamihanda3689
    @bahatikamihanda3689 Před měsícem +1

    Ndg zangu watu kama Bashe wapo ingawa ni wachache,tatizo ni kwaba juhudi zao haziugwi mkono na mfumo utakuta wote walio usika ktk wizi huu wataendelea kupeta tu! Mwisho wasiku Bashe atapigwa chini atawekwe mwana siasa fulani kama Nape tutarudi kulekule.

  • @user-xy9xf9re9y
    @user-xy9xf9re9y Před měsícem

    Mungu akubaliki Kwa kusema ukweli ao Wacha Fu Wana sthaik kufukuzwa kazi mara1

  • @EdwinMtokambali
    @EdwinMtokambali Před měsícem +1

    Wewe ni mtoto wa mkulima kitengo umekiweza mh.waziri ✓

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před 28 dny

    Oooh allah nakuomba mola wangu simamia haki itendeke kwa uwezo na utukufu wako

  • @WaibiFrederick
    @WaibiFrederick Před měsícem

    Stabilization fund very good approach. to agricultural development program for our farmers.

  • @Mina.15
    @Mina.15 Před měsícem

    Good job 👏 my cousin we love you 🥰 🇺🇸🇺🇸

  • @Jal210
    @Jal210 Před měsícem

    Great minister mheshimiwa Rais you have good section of the Kilimo minister

  • @ebitariho9720
    @ebitariho9720 Před měsícem +1

    Hizi ndio kazi za intelligence inatakiwa ifanye . Sio mambo ya kukimbizana na chadema

  • @agathonkalolela9278
    @agathonkalolela9278 Před měsícem +4

    Mungu atakulipa bashe! Wewe ni mtu na nusu

  • @hizzasheshe3209
    @hizzasheshe3209 Před měsícem

    mh. kaka bashe asnte kwkusema ukweli unao waumiza wakulima ktik nchi hii mungu akulinde usk na mchana

  • @user-xw1ty7pb8h
    @user-xw1ty7pb8h Před měsícem

    tatizo viongozi wa Tanzania wanaujua ukweli lakini hawapo tayari kushuhulika na wezi wezi wanyongwe kama wachina wanavyonyonga wahujumu uchumi

  • @officialmubytz1076
    @officialmubytz1076 Před 27 dny

    Mheshimiwa anafanya kazi nzuri Sana
    Ila asimamie pia uonevu unaufanya serikali kwa wafanyakazi wa uma kwenye kikokotoo

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 Před měsícem

    Mbona kwenye mitandao Mh Bashe anasemwa vibya dhidi ya Mkuu wetu?
    Huyu Mh kweli si mchapa kazi tu bali ni muadilifu kwa nchi yake .

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 Před měsícem

    Stay blessed Mkuu

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před měsícem +4

    Sioni mwingine katika Mawaziri, labda kidogo Dotto!

  • @hassansalumkuvenga
    @hassansalumkuvenga Před měsícem

    basha mungu akujalie uwe na moyo huohuo mana wakulim wanateseka sana

  • @husseinomary-dg1wx
    @husseinomary-dg1wx Před 29 dny

    Mungu akulinde ila hao ina bidi wauliwe maana wezi wanakufa ntafulai wakiukumiwa kifo

  • @alinaswesimkonda7951
    @alinaswesimkonda7951 Před měsícem

    Bashe binafsi nakukukbali Sana, tusaidie na huku Momba Songwe, bei ya Mpunga ni ya chini sana

  • @julianamwalongo6047
    @julianamwalongo6047 Před měsícem

    Karibu Sana mtwara

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před měsícem +3

    Wewe ndiyo deal zako

  • @fikrahuru9452
    @fikrahuru9452 Před 2 dny

    Karibu na Mbozi kwenye kahawa tunaibiwa

  • @drkalokola5861
    @drkalokola5861 Před 27 dny +1

    Watanzania waminifu wote wamekufa

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 Před 28 dny

    Watanzania tumlinde❤

  • @user-cf9oi4xr9n
    @user-cf9oi4xr9n Před měsícem

    Nakukubali sana

  • @ScolasticaKinyage
    @ScolasticaKinyage Před měsícem

    Mungu akubariki baba.

  • @nikundiweamosi5087
    @nikundiweamosi5087 Před měsícem +1

    Watampiga na kitu kizito hawa mafisadi wengine wako humo humo

  • @wilsonmoses2761
    @wilsonmoses2761 Před měsícem

    Huwa tupigwa sana wakulima aiseee mimi nazan wangekuwa wanajua tunavyo hangaikaga mashamban nazan wangekuwa wanatuone huruma😢

  • @raphaelchauwele3547
    @raphaelchauwele3547 Před měsícem

    Mh. Umenyooka sana aise