Azam FC 0-3 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 09/05/2024
Vložit
- čas přidán 8. 05. 2024
- MZIZIMA DERBY: Simba FC imeshinda 3-0 dhidi ya Azam FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC ukipigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam.
Magoli yote yamefungwa kipindi cha pili akianza Sadio Kanoute dakika ya 63, Fabrice Ngoma dakika ya 77 na David Kameta dakika ya 89.
Azam FC walipata penati mapema lakini walikosa kupitia kwa Feisal Salum.... lakini pia kuna utata kuhusu tukio la Azam kupata goli iliyoamuliwa kuwa ilikuwa ni off-side. - Sport
Alie mkubali ayoub lakred naomba like
Tunaye na tunatamba naye❤❤❤❤❤❤❤
nataka like za mgunda tu kama 💯
Kama wewe ni mwana simba na umependa simba ya mgunda gonga like tafadhali ❤❤❤❤
Ila ayubu lakred ni kipa ❤
Kiukweli wamuachie hii team MGUNDA waache ungese kabisa yaani
Ayub noma sanaaa ♥️♥️♥️♥️
Mzamiru anaonekana sana kwa mgunda
Ayoub lakred ni bonge la kipa
Simba mmenifulaisha sana na Asante kwa kuwatuliza wambea Leo Simba nguvu moja
Im young african fans but i believe that lakred is a good keeper well done my fevourit . Keeper lukcred
Hiri ni fundisho kwa uongozi wa simba mnajifanya sana na kuwa na imani na makocha wa inje sasa leo mmeona hata yule robatinho pia mmemwonea alikuwa anashilikiana vizuri na mgunda sasa mpeni mzawa acheni ukilitimba na makocha wageni
Kiukweli wamuachie hii team MGUNDA waache ungese kabisa yaani
Jamaniiiii,, Simba dawa yake ni mgundaaaaa,, tu, mmeona Leo, alivyo rejesha furahaaa za wanasimbaaaa
Umeongea kiume kwa kweli
Unafik tu,,Mlikuwa mnasema Mgunda hawezi michezo ya caf,sasa apewe team,binaadam poh
Viongoz sio kwamba hawajui kua wazawa wanawwza ispokua kinachowasumbua ganji...
Wakimchukua mzawa ganji hakuna coz msharaka wenyewe ni milion2 sasa hapo ganji itakua shingap?
Lkn wakimchukua mgeni unaskia anakula dollar eld16 =karibia 40milion so ganji inatoka vzr icho ndicho kinacho waponza viongoz
Mgunda apewe timu... weka like yako
Mgunda apewe mauwa yake
Pasi ya masafa marefu iliyopita angan bila visa wala kibali 😂❤❤
simba nguvu moja mungu ibariki chama langu tufike mbali saidi ❤❤❤❤
Hongera kocha mugunda Kwa kutuheshimisha ubalikiwe sana
Ukija bila gad tunagawa wastan kwa idadi 👏 well done makamanda 👊🔥 Simba 4 life ❤️❤️
Simba Leo mmetupa furaha sana
Hii ndiyo Simba yetu mgunda Fanya kazi yako
Yani meshangilia mpk sauti imekauka
Mgunda ndo kocha wang kbs
Nakukubali mwanangu Mgunda ndo kocha wangu pia
@@user-wh4ej9nz3mjuu ya ushindi mnono safu ya ulinzi inahitaji kuimarishwa sana
hapa kwa mgunda viongozi wa simba wajifunze
Mgunda noma Ameamua kutuonesha kuwa simba kunawachezaji wazul❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Leo nimefrah had nimelia kwa furah
Boli limetembea hongera our head coach Juma mgunda
Asante Simba, Azama kalambwa
Sh4 shits on target with three goals❤❤❤ hii ndo tunataka sasa sio shots on target kumi goli sifuri😂😂😂
😂😂😂fei kiatu cha dhahabu ama ofa ya makolo imekuvuruga mbn sielewi mzenj mwenzangu
Mgunda ana haki ya kukabidhiwa timu tuwe wazarendo bhn
Duchu ameshangilia kwa uchungu
Simba ya mgunda niatali sana huyu nikocha wapekee apa Tanzania
Kiukweli wamuachie hii team MGUNDA waache ungese kabisa yaani
Huyu Fred mzuri ila wanamkwamisha ni kibu na saidoo
Jmni mugunda apewe timu hata mwaka mmoja tyu...na acpangiwe wchezaji na kama niuxajili yeye ndo hauxike
Ayuob yuko vzr san kwa upande wang
Wakati mwingine muwe mnaweka highlights zenye sauti ya peter.
Duchu kashangilia kwa hisia sana goli lake...
Raha sana kwa wekundu wa msimbazi Simbaa 🎉🎉🎉
Nawakubar Sana chama langu simba
Huyu muamuzi kajitahidi kuibania Sina lakini bahati imemkataa sadio kafanyiwa madhambi kakausha penalty imehama muelekeo yaani kafeli leo
Kabisaa Kuna faulo Azam wamecheza anajitia fair play arajiga kawabeba Azam hawabebeki
Ayoub Lakred Huyu Ni Bonge La Kipa
jamaa yuko vzr manura akapunzim
Simba yamugunda tu
Goli lilinifurahsh n la duchu yan so mwah❤❤❤❤
Naipenda Simba
Me nahis ni wakat wa Simba kuwaamini makocha wazawa ...tuondokane na ulimbukeni wa ukoloni Hadi wa kifikra Mgunda apewe Simba yake jamni...
Waooo wanasimba wezangu furaha yetu mashibiki nawechezaji imelejea
🎉Hongereni sana mashabiki wa SsC mmejitahidi kuitetea Simba yetu Nguvu moJa!!Kelele za Chura zimemfanya mamba atoke Ndani ya maji and
Viongozi fanyeni jambo ayoub abaki
Azam kaliwa kibogaaa😢
Mgundaaaah❤❤
Simba tusajili wachezaji wanaoipenda timu na siyo wanaopenda pesa
Uongozi wa simba eb fkilien hta nje ya box jaman mgunda kila akipewa timu huwa anaiongoza vzur eb mwaminin mpeni tim sisi mashabik tunafurah na tunapenda sana mwendelezo wake
sizani, sbb kumbuk hua anapewaga timu pale ambapo timu haina cha kupiganiana, bimaana timu inakua haina presha kivile, chunguza makocha wengi wakipewa timu mwishoni mwa msimu hua wanafanyaga vizuri, ila wakiaminiwa na kupewa timu hata msimu hawamalizagi kwa kushindwa, hapo wakimpa timu mazima inaweza ikawa kinyume, ila wamjaribu waone
Kabisa Simba ni kubwa na Mgunda pia ni mkubwa akabiziwe timu ninachokifahamu kila mchezaji aliesajiliwa Simba anapaswa kutumika muda na wakati wowote asante Mgunda kwa kuwaamini vijana utafika mbali.
mgunda apewe timu acheni kumzarau mnataka afanye nn ili mumuamini muhimu kumtafia wachezaji ataifikisha simba mbali naamini
Hongera Simbaa na mgundaa
Kassian Mgunda nakupa bigap sana uko sawa
Mgunda Avue Kinyago Ukute Ni Don Carlo 😂😂
😁😁lkn kwek
Pongez kwa mgunda simba nguvu 1
Uwanja wa taifa ulijengwa kwa ajili ya simba nyie wengine mmmmmm
Mgunda apewe timu atafutiwe wachezajo
simba ni lidude likubwaaaaa sana
Kiukweli wamuachie hii team MGUNDA waache ungese kabisa yaani
@@mkanyafamily ngoja tuone ila mgunda kimataifa mmmh wamtafutie wachezaji
labda mniuwe smba sih🦁🦁🦁❤️❤️ami
@@user-gw6pv9tp1r nguvu moja
Simba Tim kubwa
#PEP GADIOLA MNENE Anauwezo mkubwa sana❤
Amazing
Mgunda at the wheel
Imewafikia watani iyoooo ila inawauma sana kama vile ni waooo poleniiiiiiiiii sana
Naipenda simba yang❤❤❤❤❤❤
Mnyamaaa umenifurahisha japo mim mwananchi ila nimefurahii kwelii kwelii coz Hawa ukwaju hutukamia Sana wakati tukicheza nao kwo congore kwako animal you deserve to win but naomba muamini Mgunda wenu mzurii muamini wazaw
Huyo ndio mgunda bwana
Azam ni timu nzur, ina talent na wanacheza kitimu ila wamekosa kocha ambaye ataifikisha safar ya ahadi...Dabo si kocha wa kuifanya Azam ibebe NBC na kucheza michezo ya kimataifa...Umsipomtoa Dabo bas mtatimua wachezaji mno...tafuten kocha mwenye karba ya Nabi au Robertinho...Mwenye karba ya baba, mshauri, mtia morali na moyo pale panapokosekan tumain, master kimbinu na kisaikolojia...Dabo awe kocha msaidiz au mpen majukum mengin
😮😮
Huyo arajiga kiukwel ni simpendi mnoooo
Binafsi yangu bila kushauliwa na mtu ningekua pat kati ya uongozi wa Simba ningewashauli viongozi wenzangu tuendelee na JUMA mgunda pep mnene huyu bwana anajua
Kibendera angekuwa alajiga ingekuwa ngoma kati no comment
Mgunda ndo kocha bola kuliko w nje
Jana nilitokwa na machozi...sidhani km ilikuwa ni furaha ya kawaida bali nihisi guilt ya kudharau wazawa kwa muda mrefu...kocha na hata wachezaji akiwemo mfungaji wa goli la mwisho. Imagine Duhu alivyoshangilia kwa uchungu...hii ni ishara kwamba hapewi nafasi ya kuonesha uwezo wake....
Nguvu moja,🦁🦁🦁😍😍😍
Sio kocha tu Bali achezaji wa congo nao msiwaamini waache wakae benchi.....lkn pia msemaji wa Simba punguzaa kulopoka hovyoo.....mwsho Azam KIPA kamchezea vibaya sana KANOUTE lkn hata kadi hajapewa ..VAR Hii ni red card
Simba nguvu moja 🎉
Kiukweli wamuachie hii team MGUNDA waache ungese kabisa yaani
Hongera mtani,mtoto mdogo huyo. Hawezi panda ndege kwend popote. Apande basi aende akacheze na dodoma jiji.
Mgunda ndiye kocha wa kuiongoza simba hao wazungu wenu , mnawatoaga wapi jamani au jehanamu
Ayoub njoo unioe bureeee
😂weh like seriously
Duchu zawad yako ipo nimekuadalia
Arajigaamefanyakila mbinu lakini amefungwayeye naazam yake una lawama kwa Azam mmm
Kabisaaaa
mi namngoja mzee said2 hapa kwa arajiga
Benchika alikuwa anauws vipaji vya wachezaji
Hii kali sana
Kamwe simba nisimba 2
❤❤❤❤❤
Shida sis wabongo hatuwaamin makocha wazawa hicho ndo kinacho tukosit sikuzote
Simbaaaa wanaanzaaa kuludii kwenye nafasi yao.. pigaaa masaiii Hao..😀😁
❤❤❤❤
Duchuuuuuu alivyo kimbilia mpira kama kipeoeo 😂😂😂
Simba nguvu moja
Nguvu moja simba ndio timu kubwa Africa
❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamani Simba inamfaa mgunda wala sio cocha mwingine
Naipenda simba sana achawafe
Kibu we umwa Simba so yako
Tulipoteza kizembe ila no case....
Azam 4 lyf
Nikweri mgunda ni mkocha mzr sana
ccm wanaumia ila simba raha sana
tunajuw ccm wanaumia nawapasuke azam anamimba yamw 4
@@mariamomari-cl6jc 😂😂🙌🦁
Gd
Yani viongozi wetu acheni buresha mulishangakalili2 makocha wa njee wakati tanzania makocha wapo kiukweli human mgunda .
Kama niwachezaji mleeteenitu huyoanatutosha hatutak kocha mwingne naipenda simba hadi kufa kTika maish tangy yote😂😂😂😂😂😂😂😂😂