Azam FC 0-3 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 09/05/2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 05. 2024
  • MZIZIMA DERBY: Simba FC imeshinda 3-0 dhidi ya Azam FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC ukipigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam.
    Magoli yote yamefungwa kipindi cha pili akianza Sadio Kanoute dakika ya 63, Fabrice Ngoma dakika ya 77 na David Kameta dakika ya 89.
    Azam FC walipata penati mapema lakini walikosa kupitia kwa Feisal Salum.... lakini pia kuna utata kuhusu tukio la Azam kupata goli iliyoamuliwa kuwa ilikuwa ni off-side.
  • Sport

Komentáře • 305

  • @GiftNziku
    @GiftNziku Před 19 dny +40

    Alie mkubali ayoub lakred naomba like

    • @nuruosward8161
      @nuruosward8161 Před 19 dny +1

      Tunaye na tunatamba naye❤❤❤❤❤❤❤

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 Před 19 dny +23

    nataka like za mgunda tu kama 💯

  • @emmanuelsanareemmanuelsana9137

    Kama wewe ni mwana simba na umependa simba ya mgunda gonga like tafadhali ❤❤❤❤

  • @aikaM74
    @aikaM74 Před 19 dny +14

    Ila ayubu lakred ni kipa ❤

  • @mkanyafamily
    @mkanyafamily Před 19 dny +11

    Kiukweli wamuachie hii team MGUNDA waache ungese kabisa yaani

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před 19 dny +8

    Ayub noma sanaaa ♥️♥️♥️♥️

  • @ElimGabriel
    @ElimGabriel Před 19 dny +7

    Mzamiru anaonekana sana kwa mgunda

  • @sultanrichardson5487
    @sultanrichardson5487 Před 19 dny +10

    Ayoub lakred ni bonge la kipa

  • @kitemerosanga109
    @kitemerosanga109 Před 19 dny +4

    Simba mmenifulaisha sana na Asante kwa kuwatuliza wambea Leo Simba nguvu moja

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Před 19 dny +2

    Im young african fans but i believe that lakred is a good keeper well done my fevourit . Keeper lukcred

  • @eliasnicolaurobath6864
    @eliasnicolaurobath6864 Před 19 dny +102

    Hiri ni fundisho kwa uongozi wa simba mnajifanya sana na kuwa na imani na makocha wa inje sasa leo mmeona hata yule robatinho pia mmemwonea alikuwa anashilikiana vizuri na mgunda sasa mpeni mzawa acheni ukilitimba na makocha wageni

    • @mkanyafamily
      @mkanyafamily Před 19 dny +8

      Kiukweli wamuachie hii team MGUNDA waache ungese kabisa yaani

    • @sephrozamkai7749
      @sephrozamkai7749 Před 19 dny +6

      Jamaniiiii,, Simba dawa yake ni mgundaaaaa,, tu, mmeona Leo, alivyo rejesha furahaaa za wanasimbaaaa

    • @sangajaffar7419
      @sangajaffar7419 Před 19 dny +4

      Umeongea kiume kwa kweli

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Před 19 dny +4

      Unafik tu,,Mlikuwa mnasema Mgunda hawezi michezo ya caf,sasa apewe team,binaadam poh

    • @saidymbagalla6622
      @saidymbagalla6622 Před 19 dny +5

      Viongoz sio kwamba hawajui kua wazawa wanawwza ispokua kinachowasumbua ganji...
      Wakimchukua mzawa ganji hakuna coz msharaka wenyewe ni milion2 sasa hapo ganji itakua shingap?
      Lkn wakimchukua mgeni unaskia anakula dollar eld16 =karibia 40milion so ganji inatoka vzr icho ndicho kinacho waponza viongoz

  • @PacohMedia
    @PacohMedia Před 19 dny +6

    Mgunda apewe timu... weka like yako

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 18 dny +6

    Pasi ya masafa marefu iliyopita angan bila visa wala kibali 😂❤❤

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 Před 19 dny +2

    simba nguvu moja mungu ibariki chama langu tufike mbali saidi ❤❤❤❤

  • @charleskingimwakasagule5752

    Hongera kocha mugunda Kwa kutuheshimisha ubalikiwe sana

  • @andrewmadaga7913
    @andrewmadaga7913 Před 17 dny +1

    Ukija bila gad tunagawa wastan kwa idadi 👏 well done makamanda 👊🔥 Simba 4 life ❤️❤️

  • @neemaraphael660
    @neemaraphael660 Před 19 dny +4

    Simba Leo mmetupa furaha sana

  • @user-dj6eu4gy6s
    @user-dj6eu4gy6s Před 18 dny +2

    Hii ndiyo Simba yetu mgunda Fanya kazi yako

  • @edsonjrtz7676
    @edsonjrtz7676 Před 19 dny +6

    Yani meshangilia mpk sauti imekauka

  • @YulithaYoram
    @YulithaYoram Před 19 dny +10

    Mgunda ndo kocha wang kbs

    • @user-wh4ej9nz3m
      @user-wh4ej9nz3m Před 19 dny

      Nakukubali mwanangu Mgunda ndo kocha wangu pia

    • @hemedali7854
      @hemedali7854 Před 19 dny

      @@user-wh4ej9nz3mjuu ya ushindi mnono safu ya ulinzi inahitaji kuimarishwa sana

  • @rashidkhamisjuma3714
    @rashidkhamisjuma3714 Před 19 dny +5

    hapa kwa mgunda viongozi wa simba wajifunze

  • @user-kc3uz5px4z
    @user-kc3uz5px4z Před 19 dny +2

    Mgunda noma Ameamua kutuonesha kuwa simba kunawachezaji wazul❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-qb3nr6gl1z
    @user-qb3nr6gl1z Před 19 dny +6

    Leo nimefrah had nimelia kwa furah

  • @Jabirkamugisha
    @Jabirkamugisha Před 18 dny +2

    Boli limetembea hongera our head coach Juma mgunda

  • @labaniakyoolabaniakyoo4247

    Asante Simba, Azama kalambwa

  • @annytahadrehem3819
    @annytahadrehem3819 Před 19 dny +4

    Sh4 shits on target with three goals❤❤❤ hii ndo tunataka sasa sio shots on target kumi goli sifuri😂😂😂

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 Před 19 dny +5

    😂😂😂fei kiatu cha dhahabu ama ofa ya makolo imekuvuruga mbn sielewi mzenj mwenzangu

  • @JaykillyMusician
    @JaykillyMusician Před 19 dny +6

    Mgunda ana haki ya kukabidhiwa timu tuwe wazarendo bhn

  • @zakariamartin3980
    @zakariamartin3980 Před 19 dny +5

    Duchu ameshangilia kwa uchungu

  • @pendokulwa7136
    @pendokulwa7136 Před 19 dny +4

    Simba ya mgunda niatali sana huyu nikocha wapekee apa Tanzania

    • @mkanyafamily
      @mkanyafamily Před 19 dny +1

      Kiukweli wamuachie hii team MGUNDA waache ungese kabisa yaani

  • @christopherjobb8587
    @christopherjobb8587 Před 19 dny +4

    Huyu Fred mzuri ila wanamkwamisha ni kibu na saidoo

  • @paulMkasinga-fi3fv
    @paulMkasinga-fi3fv Před 19 dny +4

    Jmni mugunda apewe timu hata mwaka mmoja tyu...na acpangiwe wchezaji na kama niuxajili yeye ndo hauxike

  • @ZaharaKasiki-ls5zk
    @ZaharaKasiki-ls5zk Před 18 dny +3

    Ayuob yuko vzr san kwa upande wang

  • @danielkope4663
    @danielkope4663 Před 19 dny +4

    Wakati mwingine muwe mnaweka highlights zenye sauti ya peter.

  • @daudifesto5592
    @daudifesto5592 Před 17 dny +2

    Duchu kashangilia kwa hisia sana goli lake...

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 18 dny +1

    Raha sana kwa wekundu wa msimbazi Simbaa 🎉🎉🎉

  • @AmosiMnkondya-pe2nu
    @AmosiMnkondya-pe2nu Před 19 dny +2

    Nawakubar Sana chama langu simba

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu1892 Před 19 dny +4

    Huyu muamuzi kajitahidi kuibania Sina lakini bahati imemkataa sadio kafanyiwa madhambi kakausha penalty imehama muelekeo yaani kafeli leo

    • @anethmaro8168
      @anethmaro8168 Před 19 dny

      Kabisaa Kuna faulo Azam wamecheza anajitia fair play arajiga kawabeba Azam hawabebeki

  • @yusufubani3454
    @yusufubani3454 Před 19 dny +4

    Ayoub Lakred Huyu Ni Bonge La Kipa

  • @EvodiMusa
    @EvodiMusa Před 18 dny +3

    Simba yamugunda tu

  • @aminaabdalla-uo9zq
    @aminaabdalla-uo9zq Před 18 dny +1

    Goli lilinifurahsh n la duchu yan so mwah❤❤❤❤

  • @MaryWado
    @MaryWado Před 18 dny +1

    Naipenda Simba

  • @annalyimo4143
    @annalyimo4143 Před 19 dny +2

    Me nahis ni wakat wa Simba kuwaamini makocha wazawa ...tuondokane na ulimbukeni wa ukoloni Hadi wa kifikra Mgunda apewe Simba yake jamni...

  • @user-oh1qs3rx5i
    @user-oh1qs3rx5i Před 19 dny +1

    Waooo wanasimba wezangu furaha yetu mashibiki nawechezaji imelejea

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango Před 19 dny +1

    🎉Hongereni sana mashabiki wa SsC mmejitahidi kuitetea Simba yetu Nguvu moJa!!Kelele za Chura zimemfanya mamba atoke Ndani ya maji and

  • @twahaibrahim2767
    @twahaibrahim2767 Před 3 dny +1

    Viongozi fanyeni jambo ayoub abaki

  • @jescathomas1539
    @jescathomas1539 Před 19 dny +3

    Azam kaliwa kibogaaa😢

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain172 Před 18 dny +1

    Mgundaaaah❤❤

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před 19 dny +2

    Simba tusajili wachezaji wanaoipenda timu na siyo wanaopenda pesa

  • @samsonlusheleja8809
    @samsonlusheleja8809 Před 19 dny +2

    Uongozi wa simba eb fkilien hta nje ya box jaman mgunda kila akipewa timu huwa anaiongoza vzur eb mwaminin mpeni tim sisi mashabik tunafurah na tunapenda sana mwendelezo wake

    • @idrissaomba8803
      @idrissaomba8803 Před 19 dny

      sizani, sbb kumbuk hua anapewaga timu pale ambapo timu haina cha kupiganiana, bimaana timu inakua haina presha kivile, chunguza makocha wengi wakipewa timu mwishoni mwa msimu hua wanafanyaga vizuri, ila wakiaminiwa na kupewa timu hata msimu hawamalizagi kwa kushindwa, hapo wakimpa timu mazima inaweza ikawa kinyume, ila wamjaribu waone

    • @RichardKanza-cl5jf
      @RichardKanza-cl5jf Před 19 dny

      Kabisa Simba ni kubwa na Mgunda pia ni mkubwa akabiziwe timu ninachokifahamu kila mchezaji aliesajiliwa Simba anapaswa kutumika muda na wakati wowote asante Mgunda kwa kuwaamini vijana utafika mbali.

  • @MANTZO-pu1vf
    @MANTZO-pu1vf Před 19 dny +2

    mgunda apewe timu acheni kumzarau mnataka afanye nn ili mumuamini muhimu kumtafia wachezaji ataifikisha simba mbali naamini

  • @BukuluTheBosscomedy
    @BukuluTheBosscomedy Před 18 dny +1

    Hongera Simbaa na mgundaa

  • @MkwayaKafurera
    @MkwayaKafurera Před 18 dny +1

    Kassian Mgunda nakupa bigap sana uko sawa

  • @celvinrobert7972
    @celvinrobert7972 Před 19 dny +3

    Mgunda Avue Kinyago Ukute Ni Don Carlo 😂😂

  • @JohnTijaMsangu
    @JohnTijaMsangu Před 19 dny +2

    Pongez kwa mgunda simba nguvu 1

  • @MagrethMwakyoma
    @MagrethMwakyoma Před 18 dny +3

    Uwanja wa taifa ulijengwa kwa ajili ya simba nyie wengine mmmmmm

  • @benjaminfeliciani-sb6tm
    @benjaminfeliciani-sb6tm Před 19 dny +2

    Mgunda apewe timu atafutiwe wachezajo

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 Před 19 dny +4

    simba ni lidude likubwaaaaa sana

    • @mkanyafamily
      @mkanyafamily Před 19 dny +1

      Kiukweli wamuachie hii team MGUNDA waache ungese kabisa yaani

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 Před 19 dny

      @@mkanyafamily ngoja tuone ila mgunda kimataifa mmmh wamtafutie wachezaji

    • @user-gw6pv9tp1r
      @user-gw6pv9tp1r Před 19 dny +1

      labda mniuwe smba sih🦁🦁🦁❤️❤️ami

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 Před 19 dny

      @@user-gw6pv9tp1r nguvu moja

  • @josephmsheli8959
    @josephmsheli8959 Před 19 dny +1

    Simba Tim kubwa

  • @edsonhiza8519
    @edsonhiza8519 Před 19 dny

    #PEP GADIOLA MNENE Anauwezo mkubwa sana❤

  • @Jabirkamugisha
    @Jabirkamugisha Před 18 dny

    Amazing

  • @israelisponsor8755
    @israelisponsor8755 Před 19 dny +1

    Mgunda at the wheel

  • @ObadiahGolden
    @ObadiahGolden Před 19 dny

    Imewafikia watani iyoooo ila inawauma sana kama vile ni waooo poleniiiiiiiiii sana

  • @NgusaNyesha-mm2zz
    @NgusaNyesha-mm2zz Před 19 dny +2

    Naipenda simba yang❤❤❤❤❤❤

  • @LamerkdegemmaWarwo
    @LamerkdegemmaWarwo Před 19 dny +2

    Mnyamaaa umenifurahisha japo mim mwananchi ila nimefurahii kwelii kwelii coz Hawa ukwaju hutukamia Sana wakati tukicheza nao kwo congore kwako animal you deserve to win but naomba muamini Mgunda wenu mzurii muamini wazaw

  • @saidikazumali
    @saidikazumali Před 18 dny +2

    Huyo ndio mgunda bwana

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Před 19 dny

    Azam ni timu nzur, ina talent na wanacheza kitimu ila wamekosa kocha ambaye ataifikisha safar ya ahadi...Dabo si kocha wa kuifanya Azam ibebe NBC na kucheza michezo ya kimataifa...Umsipomtoa Dabo bas mtatimua wachezaji mno...tafuten kocha mwenye karba ya Nabi au Robertinho...Mwenye karba ya baba, mshauri, mtia morali na moyo pale panapokosekan tumain, master kimbinu na kisaikolojia...Dabo awe kocha msaidiz au mpen majukum mengin

  • @BazarakiMalongo
    @BazarakiMalongo Před 18 dny +1

    😮😮

  • @SabraDivele
    @SabraDivele Před 19 dny +2

    Huyo arajiga kiukwel ni simpendi mnoooo

  • @user-fx6jm5gj4b
    @user-fx6jm5gj4b Před 19 dny +1

    Binafsi yangu bila kushauliwa na mtu ningekua pat kati ya uongozi wa Simba ningewashauli viongozi wenzangu tuendelee na JUMA mgunda pep mnene huyu bwana anajua

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 Před 18 dny

    Kibendera angekuwa alajiga ingekuwa ngoma kati no comment

  • @EliasMichael-io2tu
    @EliasMichael-io2tu Před 11 dny +1

    Mgunda ndo kocha bola kuliko w nje

  • @kombosalehe3156
    @kombosalehe3156 Před 19 dny +1

    Jana nilitokwa na machozi...sidhani km ilikuwa ni furaha ya kawaida bali nihisi guilt ya kudharau wazawa kwa muda mrefu...kocha na hata wachezaji akiwemo mfungaji wa goli la mwisho. Imagine Duhu alivyoshangilia kwa uchungu...hii ni ishara kwamba hapewi nafasi ya kuonesha uwezo wake....

  • @user-fv7og4iz3r
    @user-fv7og4iz3r Před 19 dny

    Nguvu moja,🦁🦁🦁😍😍😍

  • @BaANGLE-AUSTINE-VERO-JOSEPHAT

    Sio kocha tu Bali achezaji wa congo nao msiwaamini waache wakae benchi.....lkn pia msemaji wa Simba punguzaa kulopoka hovyoo.....mwsho Azam KIPA kamchezea vibaya sana KANOUTE lkn hata kadi hajapewa ..VAR Hii ni red card

  • @jastingwahila5715
    @jastingwahila5715 Před 19 dny +1

    Simba nguvu moja 🎉

    • @mkanyafamily
      @mkanyafamily Před 19 dny +1

      Kiukweli wamuachie hii team MGUNDA waache ungese kabisa yaani

  • @SalumMsafiri20
    @SalumMsafiri20 Před 19 dny

    Hongera mtani,mtoto mdogo huyo. Hawezi panda ndege kwend popote. Apande basi aende akacheze na dodoma jiji.

  • @user-ht9pw6fh9f
    @user-ht9pw6fh9f Před 19 dny +1

    Mgunda ndiye kocha wa kuiongoza simba hao wazungu wenu , mnawatoaga wapi jamani au jehanamu

  • @sayunimahenge4328
    @sayunimahenge4328 Před 18 dny +2

    Ayoub njoo unioe bureeee

  • @user-qb3nr6gl1z
    @user-qb3nr6gl1z Před 19 dny +2

    Duchu zawad yako ipo nimekuadalia

  • @user-io2tp1lr4r
    @user-io2tp1lr4r Před 19 dny +2

    Arajigaamefanyakila mbinu lakini amefungwayeye naazam yake una lawama kwa Azam mmm

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla Před 19 dny +1

    mi namngoja mzee said2 hapa kwa arajiga

  • @user-sw6fv8ed8v
    @user-sw6fv8ed8v Před 19 dny +1

    Benchika alikuwa anauws vipaji vya wachezaji

  • @khamisazizi2155
    @khamisazizi2155 Před 19 dny

    Hii kali sana

  • @WistonClemency
    @WistonClemency Před 9 dny +1

    Kamwe simba nisimba 2

  • @AgnessJabe
    @AgnessJabe Před 19 dny

    ❤❤❤❤❤

  • @AnordsilvesterGalahenga
    @AnordsilvesterGalahenga Před 19 dny +1

    Shida sis wabongo hatuwaamin makocha wazawa hicho ndo kinacho tukosit sikuzote

  • @cheafroby_tz
    @cheafroby_tz Před 19 dny +1

    Simbaaaa wanaanzaaa kuludii kwenye nafasi yao.. pigaaa masaiii Hao..😀😁

  • @IssayaMollel-oj4yw
    @IssayaMollel-oj4yw Před 19 dny

    ❤❤❤❤

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před 19 dny +1

    Duchuuuuuu alivyo kimbilia mpira kama kipeoeo 😂😂😂

  • @DeusJumanne
    @DeusJumanne Před 9 dny

    Simba nguvu moja

  • @EdwinJohn-vo8uf
    @EdwinJohn-vo8uf Před 19 dny

    Nguvu moja simba ndio timu kubwa Africa

  • @ChristinaAloyce-pp6vj
    @ChristinaAloyce-pp6vj Před 19 dny

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @LucasBenjamin-gr1gl
    @LucasBenjamin-gr1gl Před 18 dny +2

    Jamani Simba inamfaa mgunda wala sio cocha mwingine

  • @swadahamningo1948
    @swadahamningo1948 Před 19 dny +2

    Kibu we umwa Simba so yako

  • @nuggets1776
    @nuggets1776 Před 17 dny

    Tulipoteza kizembe ila no case....
    Azam 4 lyf

  • @user-xv8db3sh5l
    @user-xv8db3sh5l Před 12 dny

    Nikweri mgunda ni mkocha mzr sana

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 Před 19 dny +2

    ccm wanaumia ila simba raha sana

    • @mariamomari-cl6jc
      @mariamomari-cl6jc Před 19 dny

      tunajuw ccm wanaumia nawapasuke azam anamimba yamw 4

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 Před 18 dny

      @@mariamomari-cl6jc 😂😂🙌🦁

  • @AdamMakoye
    @AdamMakoye Před 4 dny

    Gd

  • @user-vt5ug9uu7y
    @user-vt5ug9uu7y Před 19 dny +1

    Yani viongozi wetu acheni buresha mulishangakalili2 makocha wa njee wakati tanzania makocha wapo kiukweli human mgunda .
    Kama niwachezaji mleeteenitu huyoanatutosha hatutak kocha mwingne naipenda simba hadi kufa kTika maish tangy yote😂😂😂😂😂😂😂😂😂