Azam FC 2 -1 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 17/03/2024
Vložit
- čas přidán 16. 03. 2024
- DAR DERBY: Yanga SC imeangukia pua kwa kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Azam FC, katika #DarDerby iliyopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Yanga imetangulia kupata bao kupitia kwa Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Azam kuchomoa dakika ya 19 kwa goli la Gibril Sillah na kisha Feisal Salum akafunga la ushindi dakika ya 51. - Sport
Waliofurahi kuona Fei toto kawabamiza Uto toa like please
Kwa upendeleo watu wa maana wanalunyasi gonga like hapa ishara kuwa tumefrahi leo😂😂
Tumefurahi leo
😢
Leo vipi GSM ajatoa bahasha sababu yanga kafungwa? Maana tukishinda,, mnaanza cjui mdhamini,, mara ooh wameonga,,, mechi zijazo pia muwe na utulivu km waleo , mjue ni ball tu akuna cha pesa
@@damianmcba9525 MNATOWA RUSHWA TOPOLOKWINYO NYIE NA USHIRIKANA MNAFANYA.
@@damianmcba9525kwani uwongoo???...azam pia ni wanachama wenu ila azam leo wamekaza ili kufuta alichoongea dube kuhusu uto na azam😅
Fei anaweza sana m munguuu amsaidiee inshaàallah
Mlio kubali mfungwa na mliofurahi gonga likeeeeeeeee babbaaaaaaaaaa
🎉Wana Azamu tujuane ❤️😘
Fei saaaaal we fei tot we fei wew anaomb radh kwa wananch yang what a moment what a moment maneno matamu kwa kutoka kwa mwamba BARAK MPENJA saut ya rad 2 -1😂😂😂
2 Days to go...CRDB CUP FAINAL
TROPHY FOR AZAM FC 🙏
Anaesema goli la fei ni offside bora asifatie mpira na afatilie nage
Ubingwa upo tu akikandwa moja tukamkanda bas tumebeba weka like piga keleleeeeee kwa mnyamaaaaaaaaaa japo wamebebwa kuongeza dakika 5 pili 7 ili tu washinde
We nawe kwa hiyo wachezaji wa Azam wakivyopoteza muda hujaona au unaongea kishabiki hapa
Kwahyo jana fei akawafanya vibya😂😂😂😂😂😂ila hakuna ck nimefurahi kama jana😂😂😂😂😂😂
I'm from South Africa a Chiefs fan..I admire Clement Mzize..Saw him at loftus against Sundowns hes a good player..quality 👍
Bro I want chiefs to sign feisal salum
Feilassufi❤
Mbona walisema team yao haitegemei mtu moja, tena wakasema Feisal hawezi kuwafunga kimetokea nini leo?
LEO HOI WAMETEPETA MATOPOLOKWINYO.
Mimi nmefrai fei kufunga😂
😂😂😂😂
Bora Azam mnetuheshimisha, walijiamini sana yang
Yaaani😊
Football ni burudani sasa husipofurahi kwa matokeo haya, mungu akupe nini ili ufurahi!!!😅😅😅
Clement mzize anazidi kuwa super
Simba nguvu moja❤❤❤
Waooo Faisal ❤
Feisal mtu wa maana kabisaa😂😂😂🔥
Rah san
Mchukueni sisi tutamchukua mbangula😂😂
I love yanga
Naona yanga itapoteza michezo 3 mbele yani mamelod home and a way napoja na hii mambo yakienda kama yalivyo pangwa nawaoba yanga wata poteza ubora wao ko simba ta chukua ubingwa kama kuna mtu kanielewa naomba like
Unaaa uhaikika ganiii Wewe 😢😢
Yatawarudia wenyewe subir utaona
😂😂😂😂
Hey young yanga, I'm from South Africa, we as Mamelodi Sundowns wont show any mercy to you. Better rest all your best players for our game. No excuses!!!!!
Come with many jerseys we will support you guys
19 July 2024
Usiku wa manane:::: All the Best Azam Fc next season 2024/25
Azam safiiiiiiiii
Wachawi hawafanyi kazi Ramadhani utopolo mmeyakanyaga😂😂😂
They made my day
Ahsante Mpenja, matajiri wa Chamanzi v/s mabingwa mara nyingi wa ligi ya Tanzania 👌
This Yanga will loose 5-0 to Sundowns if they play like this.
Yeah it's true ' But we must be careful that number 9 Azizi Ki is a dangerous
Yatapita yana mwisho ipo siku tutayasahau yote kama walivyosahau 5-1😌😌😌😌😌😌tabu leleee
Tamu yenuu 😅😅😅 haaha najua Simba hatuna ubingwa ila mkifungwa yanga nafurahi.
Wamelowaa chepe chepee yangaaa😢😢😢😮
Feitoto Leo.umeombaradhi m munguuu atakupeleka mbele kuliko ulipo
Hii Highlight ifikishe View million 6 ...we Feisal wewe😊
Fei Toto anakwend azam atapotea yule aliskika mlemv mmoja
Sasa ww unaona kaendelea? Au karudi nyuma? Champions league labda ingempeleka ulaya huko Azam anamuona nani? Wabongo ili asajiliwe simba labda( kupotea sio khs kiwango bali kimaendeleo ya mpira , ili aonekane na timu kubwa Africa au ulaya sababu kipaji anacho
@@damianmcba9525 ANAPATA RIZKI YAKE INAMTOSHA.
Waliotoka Azam kwenda kucheza nje una uhakika walionekana champions league?!
Highlghts haija cover matukio muhimu Kama injuries
Ramadhan Kareem majini yote yamefungwa minyororo 😂😂❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏
Yalipewa nyama ya nguruwe😂😂😂😂😂😂
@@LeoniaLyimo 🤣🤣
😂😂😂
mim nimefulah xan mpenja alivyotangaz gol la toto
Mwenye namba ya Fei anipe 😘😂
Iyo apo utaki acha
Hawa kenge walisema hakuna wakuwafunga zaidi ya mahakama leo wametobolewa
Safi sana Azam
Hakika tumeenjoy bolii mashetani yameezekwa Leo mudathi hapigi Tena simu vocha imeisha 😅
Safi sanaaaaa!😂
Aisee huu mwez umesaidia sana majini😂yao leo yamegoma
🔥 🔥 🔥 🔥
Mimi ni yangaaaaaaaas😅😅😅😅 nimefulai sanaaaaa😅😅😅
mmmmmm weee he naijua iyo
Simba shangilieni xn Ili mechi yenu tuwagonge kenge nnyi
Daah watu wamepewa card kama njugu😂
I'm from south Africa...yanga kaen Tyr Kwa mdinyo
Alomdanganya aziz k na hizo blich azitoe bwan 😅😅😅
Quality mbovu kweli kweli
Majini FC
Mwezi mtukufu huu maswala ya bahasha na majini havitakiwi ni kavu kavu na uwezo wao tumeuona bila bahasha.
naipenda yanga yangu wala cjutii kufungwa 💚💛💚💛
😂😂😂😂😂
MUWONGO WEWE TOPOTOPOKWINYO
@@salimmalaka256 kokoliko ata ifungwe mia mm ni yanga kama mtto tu akinikela bdo atabaki kuwa mwanangu kwaiyo sijali yanga kafungwa ngap na kafungwa na nani nachojua nimefungwa na najipanga basi inatosho kujielewa haya mengne shangilia ww na nafasi yako ulipo🤣🤣🤣
Mupende mama yako sio hawa wapumbavu
Yanga wasenge tu , Muna kandwa , na Azam wachezaji Saba hawapo
Inshallh ❤
We fei wewe,,unahatari wewe,,,,umepigaje hapo
huyu aziz atoe hzo bleach yan km mbabu😂😂😂😂
Utopolo tushalipiaaa kisasi teali 😂😂😂
Tukutane Zanzibar my frend
Baada ya Dube kuwaweka wazi viongo wa azam fc kua ni yanga na simba, kabla ya mechi kikawekwa kikao baadae kwenye mechi yanga kafa daaaah kumbe bila hao viongozi yanga na simba wangekufa kila siku😂😂😂😂😂😂
Baraka mpenja , mwamba umalilia, fahari ya itete , tujuaneeeeee
Wamelala yoooooo😂
Kwarezima imeenda sarama kabisa hongera azam kwa kutupunguzia gepu
Kwarezma ndio nini?
Azam wapewe 🎉🎉🎉🎉
Mtu wa maan huyu fei
Haaa hongera ❤❤❤
Waziri hakuwatembelea Azam kuwapa moyo wachezaji Ili washinde
Juzi kuna mtu alikiwa anamkejeli golikipa wa SSC kupigwa tobo. Je, huyu amefanywaje na Fei?
NDIO YULE MCHOMI POVU SENGE LILE
Hahaa
Kwani pacome hakuwepo au azizi ki jee 😂😂😂😂
Mmh unaota
Kama umesikia wimbo wa caf kwa mbali gonga like
😂😂😂 kweli mwezi wa ramadhani majini yanafungiwa 😂😂😂
Hii chura point tatu zangu itanipa iwe jua iwe vua
Majini hayapo mwezi mtukufuuu
Huyu Mzize 🙌🏾🙌🏾
Naami Yanga Sc huwa hawapendi kabisa kucheza mechi zenye Fitness na Ufundi mwingi
Me nilifurahi sk hile ila nawapa pole
😂😂😂 nimefurahi sana mtani anavo kandwa na lambalamba
😂😂😂 Afazali tumepumua
Waooo waooo
Apo mzinze mpila ulimgonga kwenye mko tazama vizur kwenye Goal LA Kwanzaa utaona mzinze mpila ulimgonga mkonon
Kwaiyo. tufute. Moja. Au😂😂
FUTA SIO GOLI
Refa arijitaid kuwabeba ila hawabebeki niwajinga yanga
Sana
Safisana Azam
Hapo ndio Dube na Bangala hawakuwemo..
Huyu mwamnyeto mpira hajui aungane na akina onyango
Ooh Azam leo anakula 5G😅
Gol la pl offside jaman ila haina noma siombaya sikumojamoja kumfurahisha mkeo😂😂😂
unaijua offside wew
Watu mlioangalia mpira ukubwani ni shida😅😅😅😅😅😅
Diarra anakosea kupiga kelele kwa defense ana wapa nguvu wa team pinzani,anapswa aongee na defense bila kuonyesha kila mtu😢😢😢
Tunashukuru Azam Fc mmeshinda kiuhalali na mmewapeleka Hospital wachezaji 2 wa GSM...good sana hii sasa waitake Mamelodi vizur
Roho mbya hio mungu wa wetu sote chunga maneno yako mungu ndio humpa amtakae hata kama timu itashambulia vip mungu upanga Lake man
@@rahimhamisi5298😂😂😂😂acha maneno wengi utopolo mmefungwa
Una Kama Karoho Kakichawi hivi!!
Cos Michezo ni FAIR Sio Uadui
Furahia YANGA KUFUNGWA
Sio Wachezaji Kupelekwa Hospital
Jana palikua patam sana iiice cream maziwa utopolo wakula ice cream karibu zote 🐸😋 👈🏼 🐸😋🐸😋🐸😋🐸🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦 kila mahali
Mpenja jana walikupenja huna la kujidai 😂😂😂👉🏾🐸🐸🐸🐸
Ndug utopolo🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸 huu mwezi ni kwaresma na mwezi mtukufu majini hakuna jana mmejaribu kuleta majini hakuna 😅😅😅😅😅😅🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸
Good
😂,,😂😂😂yan hapo bado uja sema
😂😂😂😂 TEAM ZUENA MKO WAPII??🤣🤣🤣
Azam nawakubari sana
GAMONDI KIPARA KINAMTOKA JASHO ANAKUNYWA MAJI OVYO KAMA KENGE 😂😂😂😂😂😂 TOPOLOKWINYO 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
ATAFUTWE YULE MCHOMI MPUMBAVU AWASIFIE UTOPOLOKWINYO
mpenja unajua saana
Mambo
PACOMO PACOMO KUMBE KIBOVU 😂😂😂😂😂 DAMPO FC 😂😂😂😂
7:59
Aiseee kiukwel Jana nimeinjoy mpiraaa duh !!vyura mlilowaaa hahahaaaaa mdomo funga