Azam FC 2 -1 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 17/03/2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 03. 2024
  • DAR DERBY: Yanga SC imeangukia pua kwa kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Azam FC, katika #DarDerby iliyopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Yanga imetangulia kupata bao kupitia kwa Clement Mzize dakika ya 10 kabla ya Azam kuchomoa dakika ya 19 kwa goli la Gibril Sillah na kisha Feisal Salum akafunga la ushindi dakika ya 51.
  • Sport

Komentáře • 328

  • @eduuu3022
    @eduuu3022 Před 4 měsíci +13

    Waliofurahi kuona Fei toto kawabamiza Uto toa like please

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri Před 4 měsíci +143

    Kwa upendeleo watu wa maana wanalunyasi gonga like hapa ishara kuwa tumefrahi leo😂😂

    • @alhajitwaha
      @alhajitwaha Před 4 měsíci +6

      Tumefurahi leo

    • @MfaumeShaban-gr2nw
      @MfaumeShaban-gr2nw Před 4 měsíci +2

      😢

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Před 4 měsíci +1

      Leo vipi GSM ajatoa bahasha sababu yanga kafungwa? Maana tukishinda,, mnaanza cjui mdhamini,, mara ooh wameonga,,, mechi zijazo pia muwe na utulivu km waleo , mjue ni ball tu akuna cha pesa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 4 měsíci +1

      @@damianmcba9525 MNATOWA RUSHWA TOPOLOKWINYO NYIE NA USHIRIKANA MNAFANYA.

    • @huseinaly5163
      @huseinaly5163 Před 4 měsíci

      ​@@damianmcba9525kwani uwongoo???...azam pia ni wanachama wenu ila azam leo wamekaza ili kufuta alichoongea dube kuhusu uto na azam😅

  • @OmanOman-iu7jf
    @OmanOman-iu7jf Před 4 měsíci +6

    Fei anaweza sana m munguuu amsaidiee inshaàallah

  • @DanielLeskarMusic
    @DanielLeskarMusic Před 4 měsíci +6

    Mlio kubali mfungwa na mliofurahi gonga likeeeeeeeee babbaaaaaaaaaa

  • @luluray2115
    @luluray2115 Před 4 měsíci +7

    🎉Wana Azamu tujuane ❤️😘

  • @InnocentKapinga-sy3sh
    @InnocentKapinga-sy3sh Před 4 měsíci +7

    Fei saaaaal we fei tot we fei wew anaomb radh kwa wananch yang what a moment what a moment maneno matamu kwa kutoka kwa mwamba BARAK MPENJA saut ya rad 2 -1😂😂😂

  • @ukweli255
    @ukweli255 Před měsícem +1

    2 Days to go...CRDB CUP FAINAL
    TROPHY FOR AZAM FC 🙏

  • @user-tq1jz3wm3f
    @user-tq1jz3wm3f Před 4 měsíci +6

    Anaesema goli la fei ni offside bora asifatie mpira na afatilie nage

  • @idrisaismail5424
    @idrisaismail5424 Před 4 měsíci +7

    Ubingwa upo tu akikandwa moja tukamkanda bas tumebeba weka like piga keleleeeeee kwa mnyamaaaaaaaaaa japo wamebebwa kuongeza dakika 5 pili 7 ili tu washinde

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 Před 4 měsíci

      We nawe kwa hiyo wachezaji wa Azam wakivyopoteza muda hujaona au unaongea kishabiki hapa

  • @UmmyZakiah
    @UmmyZakiah Před 4 měsíci +7

    Kwahyo jana fei akawafanya vibya😂😂😂😂😂😂ila hakuna ck nimefurahi kama jana😂😂😂😂😂😂

  • @jabu7338
    @jabu7338 Před měsícem

    I'm from South Africa a Chiefs fan..I admire Clement Mzize..Saw him at loftus against Sundowns hes a good player..quality 👍

  • @MasoudAli-es3lu
    @MasoudAli-es3lu Před 4 měsíci +4

    Feilassufi❤

  • @alfonceanton2273
    @alfonceanton2273 Před 4 měsíci +8

    Mbona walisema team yao haitegemei mtu moja, tena wakasema Feisal hawezi kuwafunga kimetokea nini leo?

  • @rayomyforreal
    @rayomyforreal Před 4 měsíci +8

    Mimi nmefrai fei kufunga😂

  • @AshaMbaraka-cb5ix
    @AshaMbaraka-cb5ix Před 4 měsíci +4

    Bora Azam mnetuheshimisha, walijiamini sana yang

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 Před 4 měsíci +5

    Football ni burudani sasa husipofurahi kwa matokeo haya, mungu akupe nini ili ufurahi!!!😅😅😅

  • @ridhwanrashid6473
    @ridhwanrashid6473 Před 4 měsíci +3

    Clement mzize anazidi kuwa super

  • @user-ob7bc5cr5w
    @user-ob7bc5cr5w Před 4 měsíci +4

    Simba nguvu moja❤❤❤

  • @user-dt9st1ko1f
    @user-dt9st1ko1f Před 4 měsíci +3

    Waooo Faisal ❤

  • @bernaberna4159
    @bernaberna4159 Před 4 měsíci +5

    Feisal mtu wa maana kabisaa😂😂😂🔥

  • @salamajuma1513
    @salamajuma1513 Před 4 měsíci +3

    I love yanga

  • @YohanaMwakaje
    @YohanaMwakaje Před 4 měsíci +3

    Naona yanga itapoteza michezo 3 mbele yani mamelod home and a way napoja na hii mambo yakienda kama yalivyo pangwa nawaoba yanga wata poteza ubora wao ko simba ta chukua ubingwa kama kuna mtu kanielewa naomba like

  • @katlegomolelekwa1686
    @katlegomolelekwa1686 Před 4 měsíci +5

    Hey young yanga, I'm from South Africa, we as Mamelodi Sundowns wont show any mercy to you. Better rest all your best players for our game. No excuses!!!!!

  • @ukweli255
    @ukweli255 Před 8 dny

    19 July 2024
    Usiku wa manane:::: All the Best Azam Fc next season 2024/25

  • @user-yb8bw6yv6s
    @user-yb8bw6yv6s Před 4 měsíci +2

    Azam safiiiiiiiii

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Před 4 měsíci +5

    Wachawi hawafanyi kazi Ramadhani utopolo mmeyakanyaga😂😂😂

  • @benmwasakujonga3575
    @benmwasakujonga3575 Před 4 měsíci +1

    They made my day

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 Před 4 měsíci

    Ahsante Mpenja, matajiri wa Chamanzi v/s mabingwa mara nyingi wa ligi ya Tanzania 👌

  • @luvontamehlo5750
    @luvontamehlo5750 Před 4 měsíci +4

    This Yanga will loose 5-0 to Sundowns if they play like this.

    • @tineyidombodzvuku067
      @tineyidombodzvuku067 Před 4 měsíci +1

      Yeah it's true ' But we must be careful that number 9 Azizi Ki is a dangerous

  • @user-lo4bv3lt6n
    @user-lo4bv3lt6n Před 4 měsíci +3

    Yatapita yana mwisho ipo siku tutayasahau yote kama walivyosahau 5-1😌😌😌😌😌😌tabu leleee

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 4 měsíci +3

    Tamu yenuu 😅😅😅 haaha najua Simba hatuna ubingwa ila mkifungwa yanga nafurahi.

  • @RahimMohammed-dl5cf
    @RahimMohammed-dl5cf Před 4 měsíci +2

    Wamelowaa chepe chepee yangaaa😢😢😢😮

  • @OmanOman-iu7jf
    @OmanOman-iu7jf Před 4 měsíci +3

    Feitoto Leo.umeombaradhi m munguuu atakupeleka mbele kuliko ulipo

  • @ukweli255
    @ukweli255 Před 4 měsíci +2

    Hii Highlight ifikishe View million 6 ...we Feisal wewe😊

  • @user-cq4lp5rv1l
    @user-cq4lp5rv1l Před 4 měsíci +6

    Fei Toto anakwend azam atapotea yule aliskika mlemv mmoja

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Před 4 měsíci +2

      Sasa ww unaona kaendelea? Au karudi nyuma? Champions league labda ingempeleka ulaya huko Azam anamuona nani? Wabongo ili asajiliwe simba labda( kupotea sio khs kiwango bali kimaendeleo ya mpira , ili aonekane na timu kubwa Africa au ulaya sababu kipaji anacho

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 4 měsíci +4

      @@damianmcba9525 ANAPATA RIZKI YAKE INAMTOSHA.

    • @user-td8lq5uy1c
      @user-td8lq5uy1c Před 4 měsíci +1

      Waliotoka Azam kwenda kucheza nje una uhakika walionekana champions league?!

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Před 4 měsíci +3

    Highlghts haija cover matukio muhimu Kama injuries

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před 4 měsíci +6

    Ramadhan Kareem majini yote yamefungwa minyororo 😂😂❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-sy5sj8pc8f
    @user-sy5sj8pc8f Před 4 měsíci +3

    mim nimefulah xan mpenja alivyotangaz gol la toto

  • @aminata3702
    @aminata3702 Před 4 měsíci +4

    Mwenye namba ya Fei anipe 😘😂

  • @user-tv9zu6kv6l
    @user-tv9zu6kv6l Před 4 měsíci +2

    Hawa kenge walisema hakuna wakuwafunga zaidi ya mahakama leo wametobolewa

  • @ALEXLOTAN
    @ALEXLOTAN Před 4 měsíci +3

    Safi sana Azam

  • @user-ii8xm2qi5q
    @user-ii8xm2qi5q Před 4 měsíci +2

    Hakika tumeenjoy bolii mashetani yameezekwa Leo mudathi hapigi Tena simu vocha imeisha 😅

  • @user-hm6gh4vp8p
    @user-hm6gh4vp8p Před 4 měsíci +2

    Safi sanaaaaa!😂

  • @user-qv8gg7gd5r
    @user-qv8gg7gd5r Před 4 měsíci +3

    Aisee huu mwez umesaidia sana majini😂yao leo yamegoma

  • @dswaytz6145
    @dswaytz6145 Před 4 měsíci +1

    🔥 🔥 🔥 🔥

  • @MeshackElimerick
    @MeshackElimerick Před 4 měsíci +3

    Mimi ni yangaaaaaaaas😅😅😅😅 nimefulai sanaaaaa😅😅😅

  • @kulwastima3993
    @kulwastima3993 Před 4 měsíci +4

    Simba shangilieni xn Ili mechi yenu tuwagonge kenge nnyi

  • @user-qx1ei8tv4m
    @user-qx1ei8tv4m Před 4 měsíci +2

    Daah watu wamepewa card kama njugu😂

  • @AndrewKelvin-ve4ry
    @AndrewKelvin-ve4ry Před 4 měsíci

    I'm from south Africa...yanga kaen Tyr Kwa mdinyo

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri Před 4 měsíci +2

    Alomdanganya aziz k na hizo blich azitoe bwan 😅😅😅

  • @EngJosh
    @EngJosh Před 4 měsíci

    Quality mbovu kweli kweli

  • @mkanyafamily
    @mkanyafamily Před 4 měsíci +2

    Majini FC

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv9688 Před 4 měsíci +2

    Mwezi mtukufu huu maswala ya bahasha na majini havitakiwi ni kavu kavu na uwezo wao tumeuona bila bahasha.

  • @Mamunabeel-hh9kb
    @Mamunabeel-hh9kb Před 4 měsíci +3

    naipenda yanga yangu wala cjutii kufungwa 💚💛💚💛

    • @ahmedmohammed9394
      @ahmedmohammed9394 Před 4 měsíci +1

      😂😂😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 4 měsíci +1

      MUWONGO WEWE TOPOTOPOKWINYO

    • @Mamunabeel-hh9kb
      @Mamunabeel-hh9kb Před 4 měsíci

      @@salimmalaka256 kokoliko ata ifungwe mia mm ni yanga kama mtto tu akinikela bdo atabaki kuwa mwanangu kwaiyo sijali yanga kafungwa ngap na kafungwa na nani nachojua nimefungwa na najipanga basi inatosho kujielewa haya mengne shangilia ww na nafasi yako ulipo🤣🤣🤣

    • @BraisonHamis
      @BraisonHamis Před 4 měsíci

      Mupende mama yako sio hawa wapumbavu

  • @MahadMsammi-ef4em
    @MahadMsammi-ef4em Před 4 měsíci +2

    Yanga wasenge tu , Muna kandwa , na Azam wachezaji Saba hawapo

  • @PatrickBrown-ol8id
    @PatrickBrown-ol8id Před 4 měsíci

    Inshallh ❤

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před 4 měsíci +6

    We fei wewe,,unahatari wewe,,,,umepigaje hapo

  • @salamasaidi6620
    @salamasaidi6620 Před 4 měsíci +3

    huyu aziz atoe hzo bleach yan km mbabu😂😂😂😂

  • @BrazaVille-we1hs
    @BrazaVille-we1hs Před 2 měsíci +2

    Utopolo tushalipiaaa kisasi teali 😂😂😂

    • @AlexRichad
      @AlexRichad Před měsícem

      Tukutane Zanzibar my frend

  • @mrfundi_og1588
    @mrfundi_og1588 Před 4 měsíci +2

    Baada ya Dube kuwaweka wazi viongo wa azam fc kua ni yanga na simba, kabla ya mechi kikawekwa kikao baadae kwenye mechi yanga kafa daaaah kumbe bila hao viongozi yanga na simba wangekufa kila siku😂😂😂😂😂😂

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 Před 4 měsíci +2

    Baraka mpenja , mwamba umalilia, fahari ya itete , tujuaneeeeee

  • @ClianRaubenmbogo-tw3iv
    @ClianRaubenmbogo-tw3iv Před 4 měsíci +3

    Wamelala yoooooo😂

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928 Před 4 měsíci +3

    Kwarezima imeenda sarama kabisa hongera azam kwa kutupunguzia gepu

  • @user-dw8cx5nf7s
    @user-dw8cx5nf7s Před 4 měsíci +2

    Azam wapewe 🎉🎉🎉🎉

  • @petermarcus6475
    @petermarcus6475 Před 4 měsíci +4

    Mtu wa maan huyu fei

  • @stanleymsambwa3065
    @stanleymsambwa3065 Před 4 měsíci

    Haaa hongera ❤❤❤

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Před 4 měsíci +1

    Waziri hakuwatembelea Azam kuwapa moyo wachezaji Ili washinde

  • @bahatimshali2731
    @bahatimshali2731 Před 4 měsíci +3

    Juzi kuna mtu alikiwa anamkejeli golikipa wa SSC kupigwa tobo. Je, huyu amefanywaje na Fei?

  • @mwajumaseifu216
    @mwajumaseifu216 Před 4 měsíci +2

    Kwani pacome hakuwepo au azizi ki jee 😂😂😂😂

  • @user-cg5rc9gy8w
    @user-cg5rc9gy8w Před 4 měsíci +3

    Kama umesikia wimbo wa caf kwa mbali gonga like

  • @mahmoudhamisi673
    @mahmoudhamisi673 Před 4 měsíci +1

    😂😂😂 kweli mwezi wa ramadhani majini yanafungiwa 😂😂😂

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928 Před 4 měsíci +3

    Hii chura point tatu zangu itanipa iwe jua iwe vua

  • @hadijadiokola5662
    @hadijadiokola5662 Před 4 měsíci +3

    Majini hayapo mwezi mtukufuuu

  • @stn4873
    @stn4873 Před 4 měsíci

    Huyu Mzize 🙌🏾🙌🏾

  • @ukweli255
    @ukweli255 Před 8 dny

    Naami Yanga Sc huwa hawapendi kabisa kucheza mechi zenye Fitness na Ufundi mwingi

  • @user-xh7py6mp8h
    @user-xh7py6mp8h Před 4 měsíci +2

    Me nilifurahi sk hile ila nawapa pole

  • @pascalinamkimbo7587
    @pascalinamkimbo7587 Před 4 měsíci +2

    😂😂😂 nimefurahi sana mtani anavo kandwa na lambalamba

  • @user-mr3qg9iq5k
    @user-mr3qg9iq5k Před 4 měsíci +4

    😂😂😂 Afazali tumepumua

  • @MussaMiraji-xz9ef
    @MussaMiraji-xz9ef Před 4 měsíci

    Waooo waooo

  • @dswaytz6145
    @dswaytz6145 Před 4 měsíci +2

    Apo mzinze mpila ulimgonga kwenye mko tazama vizur kwenye Goal LA Kwanzaa utaona mzinze mpila ulimgonga mkonon

  • @BahatiSimoniboha
    @BahatiSimoniboha Před 4 měsíci +1

    Sana

  • @aulelichuma4114
    @aulelichuma4114 Před 4 měsíci +2

    Safisana Azam

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Před 4 měsíci +1

    Hapo ndio Dube na Bangala hawakuwemo..

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq Před 4 měsíci +2

    Huyu mwamnyeto mpira hajui aungane na akina onyango

  • @bahatimshali2731
    @bahatimshali2731 Před 4 měsíci +1

    Ooh Azam leo anakula 5G😅

  • @latifapancras5734
    @latifapancras5734 Před 4 měsíci +2

    Gol la pl offside jaman ila haina noma siombaya sikumojamoja kumfurahisha mkeo😂😂😂

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Před 4 měsíci +3

    Diarra anakosea kupiga kelele kwa defense ana wapa nguvu wa team pinzani,anapswa aongee na defense bila kuonyesha kila mtu😢😢😢

  • @ukweli255
    @ukweli255 Před 4 měsíci

    Tunashukuru Azam Fc mmeshinda kiuhalali na mmewapeleka Hospital wachezaji 2 wa GSM...good sana hii sasa waitake Mamelodi vizur

    • @rahimhamisi5298
      @rahimhamisi5298 Před 4 měsíci

      Roho mbya hio mungu wa wetu sote chunga maneno yako mungu ndio humpa amtakae hata kama timu itashambulia vip mungu upanga Lake man

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před 4 měsíci

      ​@@rahimhamisi5298😂😂😂😂acha maneno wengi utopolo mmefungwa

    • @user-xe6jw8pt3d
      @user-xe6jw8pt3d Před 4 měsíci

      Una Kama Karoho Kakichawi hivi!!
      Cos Michezo ni FAIR Sio Uadui
      Furahia YANGA KUFUNGWA
      Sio Wachezaji Kupelekwa Hospital

  • @f.a6043
    @f.a6043 Před 4 měsíci +2

    Jana palikua patam sana iiice cream maziwa utopolo wakula ice cream karibu zote 🐸😋 👈🏼 🐸😋🐸😋🐸😋🐸🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦🍦 kila mahali
    Mpenja jana walikupenja huna la kujidai 😂😂😂👉🏾🐸🐸🐸🐸

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 Před 4 měsíci +3

    Ndug utopolo🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸 huu mwezi ni kwaresma na mwezi mtukufu majini hakuna jana mmejaribu kuleta majini hakuna 😅😅😅😅😅😅🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸

  • @mustafamohd9066
    @mustafamohd9066 Před 4 měsíci

    Good

  • @AidaniZembe
    @AidaniZembe Před 4 měsíci +2

    😂,,😂😂😂yan hapo bado uja sema

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 Před 4 měsíci +2

    😂😂😂😂 TEAM ZUENA MKO WAPII??🤣🤣🤣

  • @user-fq4ho5bp5z
    @user-fq4ho5bp5z Před 4 měsíci

    Azam nawakubari sana

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 4 měsíci +3

    GAMONDI KIPARA KINAMTOKA JASHO ANAKUNYWA MAJI OVYO KAMA KENGE 😂😂😂😂😂😂 TOPOLOKWINYO 😂😂😂

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před 4 měsíci +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 4 měsíci +1

      ATAFUTWE YULE MCHOMI MPUMBAVU AWASIFIE UTOPOLOKWINYO

  • @dullahvoko743
    @dullahvoko743 Před 4 měsíci +1

    mpenja unajua saana

  • @TadeyMapunda
    @TadeyMapunda Před 4 měsíci +3

    Mambo

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 4 měsíci +2

    PACOMO PACOMO KUMBE KIBOVU 😂😂😂😂😂 DAMPO FC 😂😂😂😂

  • @MeshackElimerick
    @MeshackElimerick Před 4 měsíci +1

    7:59

  • @gladnessmichael9384
    @gladnessmichael9384 Před 4 měsíci +1

    Aiseee kiukwel Jana nimeinjoy mpiraaa duh !!vyura mlilowaaa hahahaaaaa mdomo funga