Yanga 2-2 Azam | Highlights | NBC Premier League 06/09/2022

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2022
  • Derby ya Dar es Salaam kati ya Yanga vs Azam FC imemalizika kwa sare ya mabao 2-2 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, katika mechi kali na tamu ya ligi kuu ya NBC Tanzania Bara #NBCPremierLeague
    Magoli ya Azam FC yametoka kwa Daniel Amoah dakika ya 25, na malickou Ndoye dakika ya 65 wakati Yanga ikijipatia magoli yote mawili kutoka kwa Feisal Salum dakika ya 57 na 77.
    Katika mechi hiyo pia Yanga imepoteza nafasi ya goli kwa kukosa penati dakika ya 69.
  • Sport

Komentáře • 239

  • @sassboy9360
    @sassboy9360 Před rokem +5

    Fey toto come up from the bench in second half but show up the finest on the pitch... he’s our super hero Zanzibar one ☝️ keep fighting and pray always you’re my best player in Tz of all time ....mungu anatosha...

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 Před rokem +9

    Nikiwa namanisha hiki ninacho sema Mungu Nakushuru hata kwa point 1 💚💛💚💛💚💛

  • @abubakarnabahani4994
    @abubakarnabahani4994 Před rokem +8

    timu Yangu ya yanga tatizo kwa sasa ni mabeki na golikipa pia hayupo sawa sikuizi turekebishe defence na goalkeeping... tutatisha zaidi.

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před rokem

      Achen maneno leo mdaka mishale hafai tena😆😆😆😆

    • @ratybkheir3049
      @ratybkheir3049 Před rokem

      job anachezesha namba 2 ya nn na bangala kw nn asicheze 6

  • @abdymmanga6338
    @abdymmanga6338 Před rokem +20

    Main Of The Match ⚽️ ~ Feisal Salum 6 , Zanzibar 🌴 Finest 🔥🔥

    • @nasibujanga3071
      @nasibujanga3071 Před rokem +2

      Main of the match arajiga 🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍👍👍

    • @daudkhatib4678
      @daudkhatib4678 Před rokem +1

      Makoloo. Walizani. Tutapigwa. Pumbaavuuuui. Zennuuui

    • @azizamihungo9659
      @azizamihungo9659 Před rokem +1

      @@daudkhatib4678 Leo hatimae mmefurahia sare

    • @azizamihungo9659
      @azizamihungo9659 Před rokem +2

      Man of the match Ni Arajiga kutoka Manyara

    • @bnttv8955
      @bnttv8955 Před rokem

      Kwani makolo wanasemaje eee?

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Před rokem +4

    Asante saaana Mungu kwa point hii Moja

  • @gervasmwagen8135
    @gervasmwagen8135 Před rokem +6

    Mpeni na feisali maana saivi anauwezo sio wakawaida tayari Ni brand dukan🔥🔥🔥🔥

  • @erikosuarez
    @erikosuarez Před rokem +7

    Azam receive all the love from Kenya. Lakini iyo penalty mlionewa

  • @ahamadimatendo8928
    @ahamadimatendo8928 Před rokem +8

    Mh Jana ilikuwa sikuya plesha kwa timzotembili ila zaidisaana plesha za mashabiki wa sisiyanga ilikuwa juusaana ila yotekwayote tunamshukulu mungu kwa kuwapa nguvu wachezajiwetu na kumpa chansi mchezajiwetu feitoto ndo meni of mechi

  • @nasibujanga3071
    @nasibujanga3071 Před rokem +7

    Arajiga ndo shujaa wa mechi hii🇹🇿👍👍👍

    • @bnttv8955
      @bnttv8955 Před rokem

      Kwani arajiga amefanya nini

  • @aliyussuf9126
    @aliyussuf9126 Před rokem +6

    Goal keeping is not the problem The defence needs to improve Nyie mnaolalamika penalty ya mchongo mbona hamlalamiki mchezaji wa Azam aliyestahili red card na hakupewa Hatahivyo hiyo penalty haikuwa bao

  • @nurdin.mndeme3447
    @nurdin.mndeme3447 Před rokem +2

    feisal ni balaa najivunia mno kuwa katika sehemu yetu WanaNchi ....... YANGAAAAAAAAAAA

  • @user-ug9wc6vb5u
    @user-ug9wc6vb5u Před rokem +1

    احسن دوري في أفريقيا كلها

  • @elipidtesha5466
    @elipidtesha5466 Před rokem +12

    Yanga the best just improve defence.line.and gal keeping is still.poor!

  • @clementinamushi704
    @clementinamushi704 Před rokem +3

    fei fei best player best thinker

  • @georgembwani3655
    @georgembwani3655 Před rokem +5

    Azam Wanajifanya Kukamia Kwenye Mechi Kama Hzii Nyingine Wanakuwa Wakawaida Tu

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Před rokem +2

    Fei umeonyesha kiwango kikubwa young african mko vizuri pamoja na challenge ilioonyeshw na azam

  • @shulentondo3288
    @shulentondo3288 Před rokem +1

    Yanga on fire 🔥🔥🔥🔥

  • @ahmedhamad2410
    @ahmedhamad2410 Před rokem +3

    Hongera sana fundi wa mpira africa fei toto

  • @moise6735
    @moise6735 Před rokem +4

    Hongera sana Yanga hongera sana Faitoto kijana wa mikwaju mizito mizito yenye power ya SATAN 2

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před rokem +10

    Man of the match ni refa halipingiki Leo jangwa angepigw 3-1

    • @DavidE-yb8qp
      @DavidE-yb8qp Před rokem +1

      Unahakika gan kama ile penati wangepewa kama wangefunga?

    • @bnttv8955
      @bnttv8955 Před rokem +1

      Kwani kolo wanasemaje?

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 Před rokem

      @@bnttv8955 mmmmmmmh ndo maana kisinda kfu kafungiwa na mmebebwa Jana ndugu

  • @eliasgulinja442
    @eliasgulinja442 Před rokem +8

    Refa wa leo asipo chukuliwa hatua basi tz haitapiga hatua ktk soccer cross imepigwa Moira ulikuwa umekwisha Toka akaibeba yanga pili akawanyima azam penalty ya wazi lkn akawapa yanga penalty ya mchongo kwa hali hii hatufiki popote

  • @abuuajmal1467
    @abuuajmal1467 Před rokem +3

    Yaani apo Feitoto ndio Mtuma risasi... Wengine wanapata chance ya kushinda Lakin wanapiga light shoot, wajifunze kwa feisal

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Před rokem +5

    Azam mungu atawalipia mmezurumiwa mlikuwa mshinde magoli matatu bila lakini refa wamchongo wayanga kafanya iwe hivyo nihaki mfulahie sale hiyo maana mlikuwa hatoboi pale

    • @abubakarnabahani4994
      @abubakarnabahani4994 Před rokem +1

      unateseka ukiwa wapi ? kwani huna macho yanga kachezewa rafu nyingi sana hata ndani ya box pia lakinii Refa kamezea mbona wewe ni mbinafsi ! usimba unatokota ndani yako Pasuka basi kwa hasira.

    • @flomenastephen2226
      @flomenastephen2226 Před rokem

      Ukome c wangeshinda au ya mi7jiza jadilini yenu na kocha wenu wa mchongo

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před rokem

      @@abubakarnabahani4994 unajuaje huyo alokoment km ni simba....punguza jazba mmebebwa bwanaaaa

    • @official_phay720
      @official_phay720 Před rokem

      Abubakar Nabahani 😂 ng0ja ncheke kwnza .......ww ukubal ukatae mumebebwa na lile g0li lakwnza nilamch0ng0 huuuu niukwel usi0pingika

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 Před rokem +21

    Jifunze hukmu za quran gusa picha yang mara 2 hapo kushoto kama hautojli

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Před rokem +3

    Azam wachezaji wenu wanaonekana washari washari na kuhamaki sana

  • @simontemba1851
    @simontemba1851 Před rokem +6

    Namna iyooo yanga

  • @miskiaayallah1872
    @miskiaayallah1872 Před rokem +2

    MashaAllah Fey totoooooooo

  • @MarcoMethord
    @MarcoMethord Před 2 měsíci

    Vizur sana

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Před rokem +1

    Hii mechi ilikuwa bora sana

  • @lidyamgaya3877
    @lidyamgaya3877 Před rokem +3

    Huyo mdaka lisasi atadaka lisasi zote ila sio za feiy, wala sisasi za wananchi

  • @agripamwangobola6488
    @agripamwangobola6488 Před rokem +1

    Yangaaaaa♥️♥️♥️♥️♥️

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 Před rokem +3

    Yani hili goli la pili kipa wa azam ataliota

  • @hemedijr8333
    @hemedijr8333 Před rokem +2

    Laiti Kama azam wangecheza kama hii mech kwenye mechi zao nyingine wengikuwa wapo juu sana ila wakicheza na yanga tu ndo wanakuwa ivyo

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 Před rokem +4

    Jifunze hukmu ya quran tukufu gusa picha yangu mara 2 hapo kushoto kama hautojali

  • @sayimasele5054
    @sayimasele5054 Před rokem +2

    Azam wameonewa kweli

  • @AbduHaule-iq4di
    @AbduHaule-iq4di Před rokem +1

    AzAm,yanga

  • @safiasaid4563
    @safiasaid4563 Před rokem +2

    Feisal vs azam dogo kaamua mech

  • @abbykivuyo348
    @abbykivuyo348 Před rokem +2

    Derby gani jaman haina mashabiki aibu sana kuita hii Derby jaman

  • @nestorymapunda4596
    @nestorymapunda4596 Před rokem +2

    Igem yanga kama sio ulumaa ya refa basi tulikua tuna potez shujaa wa mchezo feisal

  • @mremymtatiro6618
    @mremymtatiro6618 Před rokem +1

    Yanga noma

  • @egerboykurya9458
    @egerboykurya9458 Před rokem +2

    Jamani ninaipenda Yanga

  • @mkohoexperience7322
    @mkohoexperience7322 Před rokem +2

    😅😅 kipa wa azam baada ya goli la pili, anafikiria imetelezaje anahisi ndoto

  • @pillymichael2747
    @pillymichael2747 Před rokem +1

    Kazi gum

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před rokem +2

    Nassrudine Nabi MAN OF THE MATCH again....huyu KOCHA ni balaa Kwa kusoma Mchezo'...!

    • @ratybkheir3049
      @ratybkheir3049 Před rokem +1

      nikweli lkn mm ananikera kitu kimoja job kumueka namba 2 kw nn asicheze bangala namba 6 game tuff kwnn kuna wachezaji anawaweka nje

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Před rokem

      @@ratybkheir3049 anakukera lkn huelewi KITAALAM, ..huu sio wakati wa kujaribu au kumchezesha mchezaji mmoja, tunapoelekea kugumu lazma kikosi kiwe kipana na cha ukweli..!

  • @uztwao2428
    @uztwao2428 Před rokem +1

    fei noma

  • @abuuharuna2214
    @abuuharuna2214 Před rokem +1

    Mmejitahidi kikosi kimeingizwa wachezaji 5 wapya na bado mmefungana 2. Kwa 2

  • @mickdadybakari6052
    @mickdadybakari6052 Před rokem +3

    yanga wamepigwa kama ngoma hapa

    • @abuuajmal1467
      @abuuajmal1467 Před rokem

      Wakinyimwa penalty baadhi ya mechi munakaa kimya.... Wakibebwa ndio munaongea... Aisee😂😁😂😁

    • @mickdadybakari6052
      @mickdadybakari6052 Před rokem

      @@abuuajmal1467 kajifunze kuandika

  • @mhandomhina5503
    @mhandomhina5503 Před rokem +3

    Huu wimbo wa waamuzi uliimbwa tangu 2-1 za Mayele na utaimbwa Hadi ligi itapomalizika. Unajua kwa nini uwezo wa Yanga Ni mithili kimbunga kizito sana hivyo lazima utaimba.

    • @leeabd9057
      @leeabd9057 Před rokem

      Team yakawaida saana iyo jidanganye Ivo ivo

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Před rokem

      @@leeabd9057 ...unadhani MAKOLO wakicheza na Azam itakuaje, hii game ya WANAUME, ..!

  • @kingsonmaleko7056
    @kingsonmaleko7056 Před rokem

    Yes

  • @shihume256
    @shihume256 Před rokem +1

    Game ya kawaida sana yani

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 Před rokem +5

    Huyu refa mechi zake nyingi ni za yanga ndio maana anachezesha kiushabiki

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před rokem

      Yan refa mshamba sana ila muache kifungo kinakaribia na yy

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Před rokem +2

    Huyo feisal

  • @sofiaissa8005
    @sofiaissa8005 Před rokem +1

    Feisal totoooooooooooooo🤴🤴🤴☀️☀️☀️☀️🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🐍🐍🐍🐍🐍🐍🐍🐍🐍🥇🥇🥇⚽⚽⚽

  • @jumakibinza4014
    @jumakibinza4014 Před rokem +1

    Feisal atauwa watu jaman

  • @enockezekiel4125
    @enockezekiel4125 Před rokem +1

    Fei toto hata msimu ulioisha nilidhani wangempa mchezaji bora wa ligi, sjui walitumia vigezo gn kumpa yanick 🤔

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 Před rokem +2

    Jifunze hukmu za quran gusa picha yangu mara 2 hapo kushoto kama hautojli

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 Před rokem +4

    Sasa makolo wameumia kwann? Mbona wenyewe tareh 13 walishindwa kutufunga? Jamn yanga haitofungwa tena hilo msahau🤣🤣 Feisal shkamooo🙌🙌🙌

    • @lidyamgaya3877
      @lidyamgaya3877 Před rokem

      🤣🤣🤣 kaz wanayo, man ubayawetu hatunamtu maalumu wakufunga, ss ukikaa vbaya hatakipa anafunga, daima mbelee💚💪

    • @enockabumba7513
      @enockabumba7513 Před rokem

      Amida Abalii
      Bado nasubili majibu angu

    • @tonnybayyo5721
      @tonnybayyo5721 Před rokem

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @hamidayanga8224
      @hamidayanga8224 Před rokem

      @@lidyamgaya3877 Nyuma mwikoooooooo🔥🔥🔥🤣🤣🤣

    • @hamidayanga8224
      @hamidayanga8224 Před rokem +1

      @@enockabumba7513 Heee upogo kumbe

  • @rutundajames2820
    @rutundajames2820 Před rokem +2

    Kama ingewezekan muwe mnatuekea mechi nzima wengne tunahtaj

  • @jumafelix7018
    @jumafelix7018 Před rokem

    Kwamoto huuu sijui

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide Před rokem +2

    Penalty ya mchongo, Goli la kwanza la mchongo ok sawa

  • @ratybkheir3049
    @ratybkheir3049 Před rokem +1

    nabi tabia hii ya job kumueka mamba 2 bangala umueka chini tutakosa matokeo kikweli

  • @preciousbenedict6220
    @preciousbenedict6220 Před rokem +1

    Asante referee wa Mchongo

  • @jamesmakoye2164
    @jamesmakoye2164 Před rokem +1

    Lifutwe Hilo goli namalefali wafungiwe kwanza

  • @godfreymtazama4581
    @godfreymtazama4581 Před rokem

    Hii live😎

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib4678 Před rokem

    Vhamanxii. Hakuna. Tajirii

  • @claudiomgaya7381
    @claudiomgaya7381 Před rokem

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Před rokem +2

    Ya leo hainogi

  • @freddylusingu6936
    @freddylusingu6936 Před rokem

    Mechi dum🎉🎉🎉

  • @williamponeka6853
    @williamponeka6853 Před rokem +1

    Hao ndo marrfa wetu, eti kosa la kibonadamu

  • @swamweliteobady4496
    @swamweliteobady4496 Před rokem

    Mm napenda mechi iwe iv yatia lha sio simba akicheza na young anakua mwepesi kama nn Young anaenda kuchukua ubingwa wake tena nafasi ya pili Azam kwenye nafasi ya tatu ndio sijajua kati ya Sindida hau simba lkn ya kwanza young yapili azam

  • @jumamwarabu9307
    @jumamwarabu9307 Před rokem +1

    KWA YANGA ILI KUA PENALTY KWA AZAM SIO PENALTY :MH;;REFA SHIKAMOO-:YANGA OYEE

  • @greaterjustin2231
    @greaterjustin2231 Před rokem +3

    Wakati mwingine msheli nae apewe nafasi ili diara asibweteke

  • @pescopenterprises2728
    @pescopenterprises2728 Před rokem +1

    Yanga inashinda kwa sababu ya presha ya washabiki kwa marefa yanga bila marefa si chochote ndoo maana inashindwa kimataifa

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Před rokem +1

    Myangazaji ni Utopolo 🐸!

  • @gregorysulle
    @gregorysulle Před rokem

    highlights iwe angalau dakika 8 mtu unahitaji kuona magoli yamepatikanaje tu

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia Před rokem +3

    Refa amewabeba sana Yanga. Vinginevyo wangepigwa hata Tano

    • @mwaimuchengo1814
      @mwaimuchengo1814 Před rokem

      Kwahio mnategemea Yanga washinde kwa ajili yenuu

    • @abubakarnabahani4994
      @abubakarnabahani4994 Před rokem +2

      nafikiri alipoteleza Refa ni ile penati walionyimwa azam lakini penati ya yanga ilikua sawa pia sababu yule mchezaji wa azam hakucheza mpira alicheza miguu ya Morrison lakini kwa ujumla wake Refa kajitahidi sana...mapungufu madogo madogo ni ya kibinadamu...

    • @decodesttz
      @decodesttz Před rokem

      @@abubakarnabahani4994 sama ile faulo yaazam maah haikua penat ile ilikia faul sema refa akapeta

    • @bnttv8955
      @bnttv8955 Před rokem

      Makolo kwani wanasemaje eee

    • @titus_maridhia
      @titus_maridhia Před rokem

      @@bnttv8955 mi ni mwananchi ila tumebebwa bro

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 Před 7 měsíci

    Mbili sufuri katika score bo bo boo😂

  • @mabruckally672
    @mabruckally672 Před rokem

    Refa ni mjinga sanaaaa

  • @leonardpaul568
    @leonardpaul568 Před rokem +1

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @jofreymwile1986
    @jofreymwile1986 Před rokem

    Mbona Sauti Hamna

  • @fidelisvenance6431
    @fidelisvenance6431 Před rokem

    Video mmeikata vibaya

  • @ahamadimatendo8928
    @ahamadimatendo8928 Před rokem

    🤟👊💘🥀

  • @charitymkombozi5900
    @charitymkombozi5900 Před rokem

    Feisal amebarikiwa utu na utulivu

  • @merinachalinze6455
    @merinachalinze6455 Před rokem +1

    Fei we sio mzur utaua

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib4678 Před rokem +2

    Hawaa. Makoloo. Wanaonyesha. Hawjirleewii. Timu. Laaoo. Bovuuu. Wanajipendekeza. Kwa. Lambalamba

    • @lidyamgaya3877
      @lidyamgaya3877 Před rokem

      🤣🤣🤣🤣

    • @lidyamgaya3877
      @lidyamgaya3877 Před rokem

      Watajua hawajui

    • @bnttv8955
      @bnttv8955 Před rokem

      Wameumia sana

    • @mahengomwenyewe4204
      @mahengomwenyewe4204 Před rokem

      Nyie vidaa vya yanga mnouzaga sura mtandaoni vip leo refa mbona hamumsemi Au ndio haki mnoitakaga hii ?? Mwamnyeto kaucheza Mpira AU miguu ya Dube ? Je refa huyu wa leo Mpira unatoka nje bado mchezaji wa yanga anaucheza anamuacha tu huyu ni wa karia au Gsm ? Ndio maama yule kocha aliwaita manyani mnabweka hovyo kunguni nyie

  • @hamisikapatila9200
    @hamisikapatila9200 Před rokem

    Azam jaribun kuweka crip fupi walau Dakika 10 dakika 20 mnazingua

  • @hamisinelsoni1387
    @hamisinelsoni1387 Před rokem

    Azam vs yangs

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Před rokem

    Wale wa Dada wa yanga wanolalamika mitandaoni kua Tff inawaonea vip hapo huyo refa wa karia AU wa Gsm ??

  • @williamchamriho8786
    @williamchamriho8786 Před rokem

    Maombolezo ya marikia

  • @gervasmwagen8135
    @gervasmwagen8135 Před rokem

    Kumbe komenti Ni kucheka toa points

  • @mwanasengugsengug7273

    Hii Haina marefaree ni upuuzi tutafute shule za nje ya nchi tukafundishe marefaree ila siyo Hawa marefaree wa upe

  • @mwanasengugsengug7273

    Azam wanatakiwa kwenda kushtaki kwa hiki kilichofaki kwenye huu mchezo

  • @zilperoscar7389
    @zilperoscar7389 Před rokem +2

    Kuna wa2 wa timu fln wameumia ata cjui wameumia nn😃😃

  • @RashidKhan-zq2hy
    @RashidKhan-zq2hy Před rokem +3

    Morison kanichekesha alivyo muangalia huyo amoah anachetua mbele yake

  • @srvestabahebe6625
    @srvestabahebe6625 Před rokem

    Dadek imekula.besela we dube.

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Před rokem

    Mje mtuambie madada wa yanga mnotakaga haki je ndio hii haki yenyewe ??

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Před rokem

    Hauna beki no Tatu pia bangala anatakiwa kurudi kwenye kiungo chake

  • @sarhafrancis8824
    @sarhafrancis8824 Před rokem

    ila molison jmn🤣🤣🤣amemkanyagia mwenzake tumboni af akaondoka

  • @samwelimwakila5706
    @samwelimwakila5706 Před rokem

    Azam timu vipaji sio masiala mwananchi chamazi lazima atuboke

  • @mickdadybakari6052
    @mickdadybakari6052 Před rokem +1

    Refa 2 2 Azam asante refa

    • @bnttv8955
      @bnttv8955 Před rokem +1

      Kwani refa ni fei toto du makolo mmeumia

    • @mickdadybakari6052
      @mickdadybakari6052 Před rokem

      @@bnttv8955 acha kukaza fuvu kimwaga udugu

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před rokem

      @@mickdadybakari6052 😆😆😆😆😆😆

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před rokem

      Ndio mana wakiitwa taifa stars wanaishia kwenda kuzurura tu nchi za watu hawana maajab uwanjan