Yanga 2-2 Azam | Highlights | NBC Premier League 06/09/2022
Vložit
- čas přidán 5. 09. 2022
- Derby ya Dar es Salaam kati ya Yanga vs Azam FC imemalizika kwa sare ya mabao 2-2 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, katika mechi kali na tamu ya ligi kuu ya NBC Tanzania Bara #NBCPremierLeague
Magoli ya Azam FC yametoka kwa Daniel Amoah dakika ya 25, na malickou Ndoye dakika ya 65 wakati Yanga ikijipatia magoli yote mawili kutoka kwa Feisal Salum dakika ya 57 na 77.
Katika mechi hiyo pia Yanga imepoteza nafasi ya goli kwa kukosa penati dakika ya 69. - Sport
Fey toto come up from the bench in second half but show up the finest on the pitch... he’s our super hero Zanzibar one ☝️ keep fighting and pray always you’re my best player in Tz of all time ....mungu anatosha...
Nikiwa namanisha hiki ninacho sema Mungu Nakushuru hata kwa point 1 💚💛💚💛💚💛
timu Yangu ya yanga tatizo kwa sasa ni mabeki na golikipa pia hayupo sawa sikuizi turekebishe defence na goalkeeping... tutatisha zaidi.
Achen maneno leo mdaka mishale hafai tena😆😆😆😆
job anachezesha namba 2 ya nn na bangala kw nn asicheze 6
Main Of The Match ⚽️ ~ Feisal Salum 6 , Zanzibar 🌴 Finest 🔥🔥
Main of the match arajiga 🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍👍👍
Makoloo. Walizani. Tutapigwa. Pumbaavuuuui. Zennuuui
@@daudkhatib4678 Leo hatimae mmefurahia sare
Man of the match Ni Arajiga kutoka Manyara
Kwani makolo wanasemaje eee?
Asante saaana Mungu kwa point hii Moja
Mm
Mpeni na feisali maana saivi anauwezo sio wakawaida tayari Ni brand dukan🔥🔥🔥🔥
Azam receive all the love from Kenya. Lakini iyo penalty mlionewa
Mh Jana ilikuwa sikuya plesha kwa timzotembili ila zaidisaana plesha za mashabiki wa sisiyanga ilikuwa juusaana ila yotekwayote tunamshukulu mungu kwa kuwapa nguvu wachezajiwetu na kumpa chansi mchezajiwetu feitoto ndo meni of mechi
Inquiring
Arajiga ndo shujaa wa mechi hii🇹🇿👍👍👍
Kwani arajiga amefanya nini
Goal keeping is not the problem The defence needs to improve Nyie mnaolalamika penalty ya mchongo mbona hamlalamiki mchezaji wa Azam aliyestahili red card na hakupewa Hatahivyo hiyo penalty haikuwa bao
feisal ni balaa najivunia mno kuwa katika sehemu yetu WanaNchi ....... YANGAAAAAAAAAAA
احسن دوري في أفريقيا كلها
Yanga the best just improve defence.line.and gal keeping is still.poor!
Ni kweli mchungaji umeliongea hilo sana wanahitaji maombi
Refa hafai afungiwe
fei fei best player best thinker
Azam Wanajifanya Kukamia Kwenye Mechi Kama Hzii Nyingine Wanakuwa Wakawaida Tu
Fei umeonyesha kiwango kikubwa young african mko vizuri pamoja na challenge ilioonyeshw na azam
Yanga on fire 🔥🔥🔥🔥
Hongera sana fundi wa mpira africa fei toto
Hongera sana Yanga hongera sana Faitoto kijana wa mikwaju mizito mizito yenye power ya SATAN 2
Man of the match ni refa halipingiki Leo jangwa angepigw 3-1
Unahakika gan kama ile penati wangepewa kama wangefunga?
Kwani kolo wanasemaje?
@@bnttv8955 mmmmmmmh ndo maana kisinda kfu kafungiwa na mmebebwa Jana ndugu
Refa wa leo asipo chukuliwa hatua basi tz haitapiga hatua ktk soccer cross imepigwa Moira ulikuwa umekwisha Toka akaibeba yanga pili akawanyima azam penalty ya wazi lkn akawapa yanga penalty ya mchongo kwa hali hii hatufiki popote
Korona mnaona ya wenzenu tu,ya kwenu mnayaficha
Ndio maana mirefa ya bongo mingi inazeekea hapahapa
@@masoudadam4689 hahaa! Ulitaka wazeekee kwenu?
Refa kapendelea kabx angeach mtu akapigw 3 tf1
kumbe uliona nilijua nimeona peke yangu. upo sahihi
Yaani apo Feitoto ndio Mtuma risasi... Wengine wanapata chance ya kushinda Lakin wanapiga light shoot, wajifunze kwa feisal
We umeshajifunza???
Azam mungu atawalipia mmezurumiwa mlikuwa mshinde magoli matatu bila lakini refa wamchongo wayanga kafanya iwe hivyo nihaki mfulahie sale hiyo maana mlikuwa hatoboi pale
unateseka ukiwa wapi ? kwani huna macho yanga kachezewa rafu nyingi sana hata ndani ya box pia lakinii Refa kamezea mbona wewe ni mbinafsi ! usimba unatokota ndani yako Pasuka basi kwa hasira.
Ukome c wangeshinda au ya mi7jiza jadilini yenu na kocha wenu wa mchongo
@@abubakarnabahani4994 unajuaje huyo alokoment km ni simba....punguza jazba mmebebwa bwanaaaa
Abubakar Nabahani 😂 ng0ja ncheke kwnza .......ww ukubal ukatae mumebebwa na lile g0li lakwnza nilamch0ng0 huuuu niukwel usi0pingika
Jifunze hukmu za quran gusa picha yang mara 2 hapo kushoto kama hautojli
Hello
Azam wachezaji wenu wanaonekana washari washari na kuhamaki sana
Namna iyooo yanga
MashaAllah Fey totoooooooo
Vizur sana
Hii mechi ilikuwa bora sana
Huyo mdaka lisasi atadaka lisasi zote ila sio za feiy, wala sisasi za wananchi
Yangaaaaa♥️♥️♥️♥️♥️
Yani hili goli la pili kipa wa azam ataliota
Laiti Kama azam wangecheza kama hii mech kwenye mechi zao nyingine wengikuwa wapo juu sana ila wakicheza na yanga tu ndo wanakuwa ivyo
Jifunze hukmu ya quran tukufu gusa picha yangu mara 2 hapo kushoto kama hautojali
Azam wameonewa kweli
AzAm,yanga
Feisal vs azam dogo kaamua mech
Derby gani jaman haina mashabiki aibu sana kuita hii Derby jaman
Igem yanga kama sio ulumaa ya refa basi tulikua tuna potez shujaa wa mchezo feisal
Yanga noma
Jamani ninaipenda Yanga
😅😅 kipa wa azam baada ya goli la pili, anafikiria imetelezaje anahisi ndoto
Kazi gum
Nassrudine Nabi MAN OF THE MATCH again....huyu KOCHA ni balaa Kwa kusoma Mchezo'...!
nikweli lkn mm ananikera kitu kimoja job kumueka namba 2 kw nn asicheze bangala namba 6 game tuff kwnn kuna wachezaji anawaweka nje
@@ratybkheir3049 anakukera lkn huelewi KITAALAM, ..huu sio wakati wa kujaribu au kumchezesha mchezaji mmoja, tunapoelekea kugumu lazma kikosi kiwe kipana na cha ukweli..!
fei noma
Mmejitahidi kikosi kimeingizwa wachezaji 5 wapya na bado mmefungana 2. Kwa 2
yanga wamepigwa kama ngoma hapa
Wakinyimwa penalty baadhi ya mechi munakaa kimya.... Wakibebwa ndio munaongea... Aisee😂😁😂😁
@@abuuajmal1467 kajifunze kuandika
Huu wimbo wa waamuzi uliimbwa tangu 2-1 za Mayele na utaimbwa Hadi ligi itapomalizika. Unajua kwa nini uwezo wa Yanga Ni mithili kimbunga kizito sana hivyo lazima utaimba.
Team yakawaida saana iyo jidanganye Ivo ivo
@@leeabd9057 ...unadhani MAKOLO wakicheza na Azam itakuaje, hii game ya WANAUME, ..!
Yes
Game ya kawaida sana yani
Huyu refa mechi zake nyingi ni za yanga ndio maana anachezesha kiushabiki
Yan refa mshamba sana ila muache kifungo kinakaribia na yy
Huyo feisal
Anann??😒😒
Feisal totoooooooooooooo🤴🤴🤴☀️☀️☀️☀️🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🐍🐍🐍🐍🐍🐍🐍🐍🐍🥇🥇🥇⚽⚽⚽
Feisal atauwa watu jaman
Fei toto hata msimu ulioisha nilidhani wangempa mchezaji bora wa ligi, sjui walitumia vigezo gn kumpa yanick 🤔
Jifunze hukmu za quran gusa picha yangu mara 2 hapo kushoto kama hautojli
Sasa makolo wameumia kwann? Mbona wenyewe tareh 13 walishindwa kutufunga? Jamn yanga haitofungwa tena hilo msahau🤣🤣 Feisal shkamooo🙌🙌🙌
🤣🤣🤣 kaz wanayo, man ubayawetu hatunamtu maalumu wakufunga, ss ukikaa vbaya hatakipa anafunga, daima mbelee💚💪
Amida Abalii
Bado nasubili majibu angu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@lidyamgaya3877 Nyuma mwikoooooooo🔥🔥🔥🤣🤣🤣
@@enockabumba7513 Heee upogo kumbe
Kama ingewezekan muwe mnatuekea mechi nzima wengne tunahtaj
Kwamoto huuu sijui
Penalty ya mchongo, Goli la kwanza la mchongo ok sawa
Kalia bottle😎
Katombw
nabi tabia hii ya job kumueka mamba 2 bangala umueka chini tutakosa matokeo kikweli
Kabisa
Asante referee wa Mchongo
Lifutwe Hilo goli namalefali wafungiwe kwanza
Hii live😎
Vhamanxii. Hakuna. Tajirii
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ya leo hainogi
Mechi dum🎉🎉🎉
Hao ndo marrfa wetu, eti kosa la kibonadamu
Mm napenda mechi iwe iv yatia lha sio simba akicheza na young anakua mwepesi kama nn Young anaenda kuchukua ubingwa wake tena nafasi ya pili Azam kwenye nafasi ya tatu ndio sijajua kati ya Sindida hau simba lkn ya kwanza young yapili azam
KWA YANGA ILI KUA PENALTY KWA AZAM SIO PENALTY :MH;;REFA SHIKAMOO-:YANGA OYEE
Kwani kolo ulitakaje
@@bnttv8955 KWANI UTOPOLO ULIONAJE UTOPOLO UTOPOLO
Wakati mwingine msheli nae apewe nafasi ili diara asibweteke
Yanga inashinda kwa sababu ya presha ya washabiki kwa marefa yanga bila marefa si chochote ndoo maana inashindwa kimataifa
Myangazaji ni Utopolo 🐸!
highlights iwe angalau dakika 8 mtu unahitaji kuona magoli yamepatikanaje tu
Refa amewabeba sana Yanga. Vinginevyo wangepigwa hata Tano
Kwahio mnategemea Yanga washinde kwa ajili yenuu
nafikiri alipoteleza Refa ni ile penati walionyimwa azam lakini penati ya yanga ilikua sawa pia sababu yule mchezaji wa azam hakucheza mpira alicheza miguu ya Morrison lakini kwa ujumla wake Refa kajitahidi sana...mapungufu madogo madogo ni ya kibinadamu...
@@abubakarnabahani4994 sama ile faulo yaazam maah haikua penat ile ilikia faul sema refa akapeta
Makolo kwani wanasemaje eee
@@bnttv8955 mi ni mwananchi ila tumebebwa bro
Mbili sufuri katika score bo bo boo😂
Refa ni mjinga sanaaaa
Daima mbele nyuma mwiko
Mbona Sauti Hamna
Video mmeikata vibaya
🤟👊💘🥀
Feisal amebarikiwa utu na utulivu
Fei we sio mzur utaua
Hawaa. Makoloo. Wanaonyesha. Hawjirleewii. Timu. Laaoo. Bovuuu. Wanajipendekeza. Kwa. Lambalamba
🤣🤣🤣🤣
Watajua hawajui
Wameumia sana
Nyie vidaa vya yanga mnouzaga sura mtandaoni vip leo refa mbona hamumsemi Au ndio haki mnoitakaga hii ?? Mwamnyeto kaucheza Mpira AU miguu ya Dube ? Je refa huyu wa leo Mpira unatoka nje bado mchezaji wa yanga anaucheza anamuacha tu huyu ni wa karia au Gsm ? Ndio maama yule kocha aliwaita manyani mnabweka hovyo kunguni nyie
Azam jaribun kuweka crip fupi walau Dakika 10 dakika 20 mnazingua
Kwanza hizi hazitoshi inatakiwa waweke ata 79😃
Azam vs yangs
Wale wa Dada wa yanga wanolalamika mitandaoni kua Tff inawaonea vip hapo huyo refa wa karia AU wa Gsm ??
Maombolezo ya marikia
Kumbe komenti Ni kucheka toa points
Hii Haina marefaree ni upuuzi tutafute shule za nje ya nchi tukafundishe marefaree ila siyo Hawa marefaree wa upe
Azam wanatakiwa kwenda kushtaki kwa hiki kilichofaki kwenye huu mchezo
Kuna wa2 wa timu fln wameumia ata cjui wameumia nn😃😃
Morison kanichekesha alivyo muangalia huyo amoah anachetua mbele yake
Yule amemuwekea deni atakuja kumlipa
Wote si waghana ao
Dadek imekula.besela we dube.
Mje mtuambie madada wa yanga mnotakaga haki je ndio hii haki yenyewe ??
Hauna beki no Tatu pia bangala anatakiwa kurudi kwenye kiungo chake
ila molison jmn🤣🤣🤣amemkanyagia mwenzake tumboni af akaondoka
Azam timu vipaji sio masiala mwananchi chamazi lazima atuboke
Refa 2 2 Azam asante refa
Kwani refa ni fei toto du makolo mmeumia
@@bnttv8955 acha kukaza fuvu kimwaga udugu
@@mickdadybakari6052 😆😆😆😆😆😆
Ndio mana wakiitwa taifa stars wanaishia kwenda kuzurura tu nchi za watu hawana maajab uwanjan