Yanga 1-1 Geita Gold (Pen:7-6) | Magoli na mikwaju ya penati | Robo Fainali ASFC 10/04/2022

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 04. 2022
  • YANGA vs GEITA GOLD - Yanga SC imetinga nusu fainali ya #AzamSportsFederationCup kwa mikwaju ya penati 7-6 baada ya kulazimishwa sare ya goli 1-1 katika dakika 90 za mchezo.
    Geita walitangulia kupata bao kupitia kwa Offen Chikola dakika ya 88 na Yanga kuchomoa kwa penati dakika ya 90+4 kupitia kwa Djuma Shaban... Laki mikwaju ya penati ikaamua, Yanga wakipata penati saba na kukosa moja huku Geita wakipata penati 6 na kukosa mbili.
    Waliofunga penati za Yanga ni Yanick Bangala, Jesus Moloko, Fiston Mayele, Saidi Ntibazonkiza, Djuma Shaban, Bakari Mwamnyeto na Dickson Job huku penati ya golikipa Djigui Diarra ikitoka nje.
    Upande wa Geita waliofunga ni David kameta Duchu, George Mpole, Yusuph Kagoma, Adeyum Ahmed, Offen Chikola na Kelvin Yondan huku Juma Mahadhi na Maka Edward wakikosa penati zao.
  • Sport

Komentáře • 424

  • @dunstannyange7509
    @dunstannyange7509 Před 2 lety +27

    Faida ya kutoa sadaka kwa watoto wanaoish kweny mazngra magumu leo ndo imeonekana, ahsante Mungu maana neno linasema "sitawaacha muaibike adui zenu wakapata nafac" ahsante kwa Mungu, ahsante kwa wachezaj, ahsante kwa bench la ufundi, ahsante kwa viongoz, ahsante kwa mashabik wote wa Yanga. Wananchiiiiiiii

    • @latifakasimu7847
      @latifakasimu7847 Před 2 lety

      Kabisaaa nduguuu nashukuru kwa ushindi wa leo nilikuwa na hali si hali daaaah

    • @OmarOmar-xy6fy
      @OmarOmar-xy6fy Před 2 lety

      Jitihada na uwezo wayanga Leo ulikwama iliopita nirehma tuu ya mungu mana ule mkono mhhhhh

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Před 2 lety

      Umewaza vizuri sana brother! Yalikua ni maombi na dua za waliopatiwa sadaka! Akili kubwa

    • @sallymaweso
      @sallymaweso Před rokem

      @@muddymuzungu4357
      ......

  • @asfiwemkumbwa5520
    @asfiwemkumbwa5520 Před 2 lety +10

    Yaan narudia mara mbilimbili kuangalia penati ya juma mahadhi ikivyopanguliwa na diarra na amsha amsha ya mashabik nafurahiiiiii💚💚💚💚💚💚💚

  • @joshuanyonyi3313
    @joshuanyonyi3313 Před 2 lety +9

    Yanga Africa yenyewweeee
    Tuko vzur sana... Amen

  • @gracegofrey4677
    @gracegofrey4677 Před 2 lety +12

    Hii naangalia hadi machozi😢😢😢 naipenda yanga jamani

  • @lucaskashimwita6386
    @lucaskashimwita6386 Před 2 lety +12

    Moja ya siku hatari sana kwangu siku hiyooo nililia na kucheka

  • @baenimuhimafabrice
    @baenimuhimafabrice Před 2 lety +6

    Hata kusaidiwa kote kwa geita na refa hikutuma tusitimize ndoto zetu sisi kama Yanga africain 💪💪💪💪💪la force rendez-vous à ne pas rater

  • @nobertfanuel2299
    @nobertfanuel2299 Před 2 lety +11

    Hayo ndiyo matatizo yakukamia timu kubwa na kutumia nguvu kubwa bila akiri, Wakati wakikutana na Kagera sugar inawatoa jasho,Yanga oyeee💛💛💚💚💛💚

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Před 2 lety +7

    Asante MUNGU kwa ushindi🤗

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 Před 2 lety +10

    Kma imekuuma kunywa sumu ufe hii ni yangasc 💛💚🏆✊

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 Před 2 lety +13

    Jifunze quran kwa hukmu kuswali kwa vitendo gusa picha yang mara 2 hapo kama hautojl

  • @isakagabriel3049
    @isakagabriel3049 Před 2 lety +5

    mungu ibariki young african

  • @mbokimlangala616
    @mbokimlangala616 Před 2 lety +5

    Unforgetable match jamaniiiiii acheniiii tuuu🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @verosteve3612
    @verosteve3612 Před 2 lety +11

    Big lesson I learned is that never give up 👏 never never even though the time left is half second , God can surprise 💚🙌

  • @khadijaabdala6876
    @khadijaabdala6876 Před 2 lety +5

    Alhamdullillah 💚💛💚💛💞

  • @ramadhanihazard5459
    @ramadhanihazard5459 Před 2 lety +4

    moloko mara ya pili namuona kwa tukio kama hili alilolifanya kwa djuma shaban wachezaji wetu wajifunze🙌🙌🙌

  • @emmanuelmtonyole9958
    @emmanuelmtonyole9958 Před 2 lety +8

    Hiii inawauma sanaaaaa UPANDE wa pili baada ya sare Kule moshiii 😛

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 Před 2 lety +7

    Shughuli ilikuwa ngumu hi mwee Asante Yanga Asante juma💛💛💛💛💛💚💚💚💚

  • @patrickchibona3582
    @patrickchibona3582 Před 2 lety +6

    I love Yanga

  • @Salhiya-hr7dy
    @Salhiya-hr7dy Před 2 lety +15

    Uwongo zambi usijisifu una mbio msifu na anaekukimbiza geita leo walitak kutulaza bila ga daku wallah 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Salhiya-hr7dy
      @Salhiya-hr7dy Před 2 lety

      @Ally Nzwallah Aiseeeee maaaan huwa siftar nikita tende na maji au kit chengn had saa 5 ndo nile haaah naona hali ilibadilik sio mchezo 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Před 2 lety +1

      Mimi kwanza kila alikuwa akiniita NA msonya😂

    • @Salhiya-hr7dy
      @Salhiya-hr7dy Před 2 lety

      @@user-po8hz7xw9j 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 haaaaaah ushabiki huuuuu atakuja kufa mtu ipo cku na swaum hizi

  • @miskyabdi3869
    @miskyabdi3869 Před 2 lety +6

    I love yanga

  • @geofreybahema5118
    @geofreybahema5118 Před 2 lety +7

    Big team is big team

  • @josephcheyo4379
    @josephcheyo4379 Před 2 lety +5

    Hongeren sana wanna chi.

  • @mesuitozil1527
    @mesuitozil1527 Před 2 lety +10

    Daaah Ama kweli Mwaka ukiwa wa kwenu mambo hua yana jiendea endea tu, bahati mtindo mmoja, ukishindwa kufunga Tim unayocheza nayo mara inajifunga yenyewe, mara mpinzani wako anakutaftia penalt yaan ilmrad mambo yaende, TETEMA MWANANCHI MWAKA WETU HUU

  • @firdausrajabu6822
    @firdausrajabu6822 Před 2 lety +5

    I love you yangaaaa❤️

  • @mosesjohn8922
    @mosesjohn8922 Před 2 lety +7

    Ila Juma shaban ni hatar kwa penart jaman

  • @aliabdallah8908
    @aliabdallah8908 Před 2 lety +6

    This is Yanga💚💛💛

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j Před 2 lety +9

    Yani leo nilivurugwa mpaka mchuzi wangu wakuku nikazidisha chumvi lakini gafla nilifarijika😂😂🙏🙏🙏🙏asante mungu

    • @beatriceminja2148
      @beatriceminja2148 Před 2 lety +1

      😂😂😂wengine tulienda choon mar3

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Před 2 lety

      @@beatriceminja2148 Wewe nilinunua gafla jikoni nikazima feni yani nilikuwa hovyo sanaa

    • @dorissimfukwe4857
      @dorissimfukwe4857 Před 2 lety +1

      Wengine choo ilikuwa inabana ukifika chooni hakitoki kitu yani leo kweli ni faida ya kuwasaidia watoto kwa sadaka

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Před 2 lety

      @@dorissimfukwe4857 😁😁😁😁😁😁sisemi nilinunua bifu😃😃

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Před 2 lety

      Haaaaa zai umetisha!

  • @chb5367
    @chb5367 Před 2 lety +6

    Hata final alianza kupiga penat bangala na mambo yalikuwa byee kwa wanainji.🤸

  • @ezabethenock3564
    @ezabethenock3564 Před 2 lety +3

    Yanga yang nakupenda snaaaaa

  • @elarifmohamed5681
    @elarifmohamed5681 Před 2 lety +5

    Bravo yanga Africa de pus Marseille france

  • @isakagabriel3049
    @isakagabriel3049 Před 2 lety +4

    naipenda yangaaa

  • @michellesorin6849
    @michellesorin6849 Před rokem +6

    Dah iyi match !!!!

  • @dunstangeorge3263
    @dunstangeorge3263 Před 2 lety +7

    Yanga imejifunza kitu, kila chance watakayopata next game kamba,, wamejua presha waliyopata na challenge waliokutana nayo,,, hakuna kurudia kosa tena,,, ndani ya dk 90 watatupia

  • @diakitedaouda6951
    @diakitedaouda6951 Před 2 lety +3

    Bravo Djugi 👏👏👍👍👍🇲🇱🇲🇱🇲🇱🇲🇱🇲🇱🇲🇱🇲🇱💯💯💯💯

  • @shannelyshazzy1461
    @shannelyshazzy1461 Před 2 lety +5

    Aisee game was hot kuna mambo ambayo refa hawez kushadadia kila kitu kitakachofanywa na mchezaji saido amefanyiwa makosa /madhambi yanga akaadabishwa vilevile beki wa geita amefanya madhambi geita ikaadhibiwa hivyo bas wanaodis mpira msipende kuweka ushabiki katika kila mpira ukipenda kutizama mpira penda kutizama kila mchezaji na sio upande unaoushabikia one mistake one goal mwisho wa siku diarra amefanya makosa na akayarekebisha akaletea team ushindi hongeren wana @yanga african you deseive it😍

  • @dripcornersports4272
    @dripcornersports4272 Před rokem +5

    2023... Na Tunaenjoy

  • @paulkiyenze2607
    @paulkiyenze2607 Před 2 lety +2

    Ilove you so much yanga fc mayele

  • @justinefrank2892
    @justinefrank2892 Před 2 lety +4

    Yanga wanajua

  • @chizashungu1236
    @chizashungu1236 Před 2 lety +11

    SAIDO amechezewa foul....refa kapeta.

  • @happyshayo372
    @happyshayo372 Před 2 lety +2

    Yaani NYIE sijui ingekuwaje!

  • @smarttv3272
    @smarttv3272 Před 2 lety +6

    Hivi vitoto vilituwini sana 😢 hii geita cyo timu ya mchongo

  • @nadymhamad2655
    @nadymhamad2655 Před 2 lety +7

    yan hii mechi sitoisahau jaman

  • @Kelvinonesix
    @Kelvinonesix Před rokem +3

    Asantee mungu yanga yetu

  • @sabahiali6021
    @sabahiali6021 Před 2 lety +3

    Naipenda yanga

  • @mwanaidihussein6887
    @mwanaidihussein6887 Před rokem +7

    Yani hii siku sitawahi kuisahau mpaka Diara akalia jamn

  • @tacktv5328
    @tacktv5328 Před 2 lety +15

    Ukitaka kujua kila mmoja ana pressure....sintosahau hii siku

    • @rehemajuma9733
      @rehemajuma9733 Před 2 lety +4

      Wallah karibu nife hyo siku ni kama finale ya juziii alooo mpira ulevi mwingine alooo

    • @jayelias1654
      @jayelias1654 Před 2 lety +1

      😅😅😅

  • @kundaelpissa5591
    @kundaelpissa5591 Před 2 lety +4

    Geita n shida sana hawa wakikutana na makolo watajuta kama walivyozibitiwa na polisi leo hi tm ina kiwango.

  • @mustaphahassan8236
    @mustaphahassan8236 Před 2 lety +3

    Yanga tunaweza

  • @mohamedchambuli2886
    @mohamedchambuli2886 Před 2 lety +10

    Walivua na shati lakini wapi

  • @sabrajuma9937
    @sabrajuma9937 Před rokem +5

    Hakun mechi ninayo penda kuangalia Kam hii maan Geita walipokosa pernart wanafurahisha sana

  • @ochuclassic4163
    @ochuclassic4163 Před 2 lety +3

    Daima mbele 💪💛

  • @merinachalinze6455
    @merinachalinze6455 Před 2 lety +7

    Mbona ofsid iyo

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Před 2 lety +10

    Geita mlipoteza muda mwingi kushangilia
    Mkajisahau kua mtoto yake nepi! Poleni
    Hii ndio maana ya Dar young African
    Labda tufungwe na Urusi

  • @happinessandrea2118
    @happinessandrea2118 Před 2 lety +4

    Jamn Tz tunamambo ya ajabu Sana Sasa mbn iko waz kabisa kashika na inaonekan

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 2 lety

      Dada yangu mpira wa bongo Una Mambo usikute aliyeshika kafanya makusudi ili mradi Tu Yanga inusurike

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 Před rokem +7

    Sitasahau hii mechi, dah

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 Před 2 lety +5

    Mtoto atumwi dukani wala alali na hela, Bali mtoto analala na mavi, This is Yanga 🔰

  • @braysonpatrick1669
    @braysonpatrick1669 Před 2 lety +4

    Mungu wetu sote

  • @josefukatoto1004
    @josefukatoto1004 Před 2 lety +6

    Wata wezakweli kushindana nasi

  • @joashandhoga4019
    @joashandhoga4019 Před 2 lety +3

    Hongereni sana

  • @fabiandanielkatikiro1478
    @fabiandanielkatikiro1478 Před 2 lety +6

    Sitosahau hii siku maishani mwangu dah

  • @thejhaikals5921
    @thejhaikals5921 Před 2 lety +9

    Kama ni mwaka wako ni mwaka wako tuuu MUNGU NI WETU SOTE INSHALLAH TUNARUDISHA FURAHA JANGWANI

  • @richimboya9836
    @richimboya9836 Před 2 lety +4

    Amazing

  • @harodphilipo8228
    @harodphilipo8228 Před 2 lety +3

    Kipa nimempenda bureeee kajua kutupa raha wana yanga

  • @OmarOmar-xy6fy
    @OmarOmar-xy6fy Před 2 lety +8

    Hili goli LA geita kwanza mchezaji wa Yanga alichezewa foul refa kafumba macho

  • @geofreyalexander1382
    @geofreyalexander1382 Před 2 lety +4

    Yanga bhana. Raha tu

  • @jumahamad9463
    @jumahamad9463 Před 2 lety +3

    OFFSIDE LAKINI GOLI LA GEITA GOLD

  • @nikodemmsomba2644
    @nikodemmsomba2644 Před 2 lety +3

    Nice job

  • @mudsaid6519
    @mudsaid6519 Před 2 lety +4

    dah Saido anazingua San. anapoteza sana mipila arafu anapotezea seem mbayasana daah Saido wakumtafakhali San uy jaa samtaim anazingua san

  • @jojosstar8930
    @jojosstar8930 Před 2 lety +5

    Apo ndo nikaamin kwamba yanga hawazuiliki wanaweza kubadili matokeo mda wowote

  • @faustinlubunge6760
    @faustinlubunge6760 Před 2 lety +1

    Thanks verymuch that's us

  • @jelasnkoma4240
    @jelasnkoma4240 Před 2 lety +2

    💛💚Yanga Daima

  • @dottohasmani1706
    @dottohasmani1706 Před 2 lety +8

    Gori la geita ni ofside mbn hamsemeii

    • @alexkiria1901
      @alexkiria1901 Před 2 lety +1

      Kweli aisee mm mwana simba dam ila lile gali la geita mfungaji alishazidi

  • @abdulwaheed3389
    @abdulwaheed3389 Před 2 lety +6

    Bingwa lazima kuna muda uwe na bahati

  • @ramadhanikhalfani2300
    @ramadhanikhalfani2300 Před 2 lety +3

    Yanga oyeeeee

  • @noeledward2899
    @noeledward2899 Před 2 lety +9

    Huyu mwamba alivua had shat akijua shuhur imeisha

  • @maestro_keysdcloopsbrand8372

    What a day daaaah

  • @uwesushabani2181
    @uwesushabani2181 Před 2 lety +12

    Riziki ya mtu hainyang'anyiki

    • @doriceemmanuel1398
      @doriceemmanuel1398 Před 2 lety +1

      Yan iko ivo ona yanga tulivopita ni mungu tuu ukikataa penalt ya mwanzo umeona zilizofata? Mungu aliamuaa iwe ivo

  • @ntanilanjema04
    @ntanilanjema04 Před 2 lety +2

    Yanga tamuuuu

  • @hancevalence4936
    @hancevalence4936 Před 2 lety +2

    game ilikuwa inaisha ndan ya dk 90,yanga umakin uongezeke,hongera kwa geita,game plan yao ilikubali,Mungu amewafavor waliostahil

  • @joysoka3575
    @joysoka3575 Před 2 lety +1

    Love you yanga

  • @ngassa1tv331
    @ngassa1tv331 Před 2 lety +9

    Hii mechi ilikuwaa ngumu sana kuliko tunayo enda kukutana nayo zaid ya watani

  • @rashjackson8329
    @rashjackson8329 Před 2 lety +4

    geita polen

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila1602 Před 2 lety +2

    Yani yanga ni raha na chenchi inarudiiiiiii.kweli yanga tamuuuu

  • @babadofficial6832
    @babadofficial6832 Před 2 lety +2

    Yanga tamu

  • @pacifique_pk2272
    @pacifique_pk2272 Před 2 lety +2

    Let’s go🥇🥇🏆🏆

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Před 2 lety +1

    Thnkss uuu jesus

  • @merinachalinze6455
    @merinachalinze6455 Před 2 lety +5

    Ila yanga ukitauwajuwe walivyo anza kuwafunga umechokoza moto

  • @hasanimkamba1448
    @hasanimkamba1448 Před 2 lety +5

    Makoro wanatesaka sana

  • @emanwerysindokila235
    @emanwerysindokila235 Před 2 lety +2

    Good job

  • @rehemaponera8160
    @rehemaponera8160 Před 2 lety +5

    Mie Djuma Shaaban akiwepo ni raha tu

  • @johnsonjulius7832
    @johnsonjulius7832 Před 2 lety +6

    Ng'ombe wa masikini hazai na akizaa anazaa dume

  • @wajifurumwamba2747
    @wajifurumwamba2747 Před 2 lety +4

    Yanga ninomaa

  • @frankevaristo6918
    @frankevaristo6918 Před 2 lety +1

    Yanga nomaa

  • @makarangajose1182
    @makarangajose1182 Před 2 lety +3

    Yes

  • @josephmkwawa2125
    @josephmkwawa2125 Před 2 lety +5

    Everything is fine in this channrl

  • @wilgrisernest2184
    @wilgrisernest2184 Před 2 lety +3

    💚

  • @young_ching9820
    @young_ching9820 Před 2 lety +18

    Geita kongole kwenu mmejua kutupa presha

    • @ourcouple6666
      @ourcouple6666 Před 2 lety +1

      Nakwambia vijana wamejua kunilipua moyo nlikua nawaza tu simba nitawaambia nini mtaani😂😂

    • @mickkiyoya5239
      @mickkiyoya5239 Před 2 lety +6

      Na leoo wamedroo walisubiliaa tufungwee watuchekee

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Před 2 lety +1

      @@ourcouple6666 😄😄😂😂😝😝😝

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Před 2 lety +3

      @@mickkiyoya5239 wameumbuka

    • @mickkiyoya5239
      @mickkiyoya5239 Před 2 lety +2

      @@user-po8hz7xw9j kabisaaa

  • @mussamlowe-cl2rn
    @mussamlowe-cl2rn Před rokem +2

    Gemu ilikuwaga ngumu sanaa😮

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 Před 2 lety +4

    Mwanzo sikuelewa kumbe alishika

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 2 lety +4

    Sasa mnashangilia alafu mnashindwa kulinda goli pumbavu