Yanga 1-1 Geita Gold (Pen:7-6) | Magoli na mikwaju ya penati | Robo Fainali ASFC 10/04/2022
Vložit
- čas přidán 9. 04. 2022
- YANGA vs GEITA GOLD - Yanga SC imetinga nusu fainali ya #AzamSportsFederationCup kwa mikwaju ya penati 7-6 baada ya kulazimishwa sare ya goli 1-1 katika dakika 90 za mchezo.
Geita walitangulia kupata bao kupitia kwa Offen Chikola dakika ya 88 na Yanga kuchomoa kwa penati dakika ya 90+4 kupitia kwa Djuma Shaban... Laki mikwaju ya penati ikaamua, Yanga wakipata penati saba na kukosa moja huku Geita wakipata penati 6 na kukosa mbili.
Waliofunga penati za Yanga ni Yanick Bangala, Jesus Moloko, Fiston Mayele, Saidi Ntibazonkiza, Djuma Shaban, Bakari Mwamnyeto na Dickson Job huku penati ya golikipa Djigui Diarra ikitoka nje.
Upande wa Geita waliofunga ni David kameta Duchu, George Mpole, Yusuph Kagoma, Adeyum Ahmed, Offen Chikola na Kelvin Yondan huku Juma Mahadhi na Maka Edward wakikosa penati zao. - Sport
Faida ya kutoa sadaka kwa watoto wanaoish kweny mazngra magumu leo ndo imeonekana, ahsante Mungu maana neno linasema "sitawaacha muaibike adui zenu wakapata nafac" ahsante kwa Mungu, ahsante kwa wachezaj, ahsante kwa bench la ufundi, ahsante kwa viongoz, ahsante kwa mashabik wote wa Yanga. Wananchiiiiiiii
Kabisaaa nduguuu nashukuru kwa ushindi wa leo nilikuwa na hali si hali daaaah
Jitihada na uwezo wayanga Leo ulikwama iliopita nirehma tuu ya mungu mana ule mkono mhhhhh
Umewaza vizuri sana brother! Yalikua ni maombi na dua za waliopatiwa sadaka! Akili kubwa
@@muddymuzungu4357
......
Yaan narudia mara mbilimbili kuangalia penati ya juma mahadhi ikivyopanguliwa na diarra na amsha amsha ya mashabik nafurahiiiiii💚💚💚💚💚💚💚
Yanga Africa yenyewweeee
Tuko vzur sana... Amen
Hii naangalia hadi machozi😢😢😢 naipenda yanga jamani
Hunizd mm💚
Moja ya siku hatari sana kwangu siku hiyooo nililia na kucheka
Hata kusaidiwa kote kwa geita na refa hikutuma tusitimize ndoto zetu sisi kama Yanga africain 💪💪💪💪💪la force rendez-vous à ne pas rater
Hayo ndiyo matatizo yakukamia timu kubwa na kutumia nguvu kubwa bila akiri, Wakati wakikutana na Kagera sugar inawatoa jasho,Yanga oyeee💛💛💚💚💛💚
Asante MUNGU kwa ushindi🤗
Kma imekuuma kunywa sumu ufe hii ni yangasc 💛💚🏆✊
Jifunze quran kwa hukmu kuswali kwa vitendo gusa picha yang mara 2 hapo kama hautojl
mungu ibariki young african
Unforgetable match jamaniiiiii acheniiii tuuu🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Big lesson I learned is that never give up 👏 never never even though the time left is half second , God can surprise 💚🙌
Alhamdullillah 💚💛💚💛💞
moloko mara ya pili namuona kwa tukio kama hili alilolifanya kwa djuma shaban wachezaji wetu wajifunze🙌🙌🙌
Hiii inawauma sanaaaaa UPANDE wa pili baada ya sare Kule moshiii 😛
Shughuli ilikuwa ngumu hi mwee Asante Yanga Asante juma💛💛💛💛💛💚💚💚💚
Sema asante refa
@@victorjames3730 Asante na wewe pia
Ilikuwa ngumu sana
Timu ya kubebwa bila hivo hamtoboi
@@patrickKitambo Kunya anye kuku akinywa Bata kahalisha bhas sawa
I love Yanga
Uwongo zambi usijisifu una mbio msifu na anaekukimbiza geita leo walitak kutulaza bila ga daku wallah 🤣🤣🤣🤣🤣
@Ally Nzwallah Aiseeeee maaaan huwa siftar nikita tende na maji au kit chengn had saa 5 ndo nile haaah naona hali ilibadilik sio mchezo 🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi kwanza kila alikuwa akiniita NA msonya😂
@@user-po8hz7xw9j 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 haaaaaah ushabiki huuuuu atakuja kufa mtu ipo cku na swaum hizi
I love yanga
Big team is big team
Hongeren sana wanna chi.
Daaah Ama kweli Mwaka ukiwa wa kwenu mambo hua yana jiendea endea tu, bahati mtindo mmoja, ukishindwa kufunga Tim unayocheza nayo mara inajifunga yenyewe, mara mpinzani wako anakutaftia penalt yaan ilmrad mambo yaende, TETEMA MWANANCHI MWAKA WETU HUU
Nimekuelewa mkuu
I love you yangaaaa❤️
Ila Juma shaban ni hatar kwa penart jaman
This is Yanga💚💛💛
Vibonde fc
Yani leo nilivurugwa mpaka mchuzi wangu wakuku nikazidisha chumvi lakini gafla nilifarijika😂😂🙏🙏🙏🙏asante mungu
😂😂😂wengine tulienda choon mar3
@@beatriceminja2148 Wewe nilinunua gafla jikoni nikazima feni yani nilikuwa hovyo sanaa
Wengine choo ilikuwa inabana ukifika chooni hakitoki kitu yani leo kweli ni faida ya kuwasaidia watoto kwa sadaka
@@dorissimfukwe4857 😁😁😁😁😁😁sisemi nilinunua bifu😃😃
Haaaaa zai umetisha!
Hata final alianza kupiga penat bangala na mambo yalikuwa byee kwa wanainji.🤸
Yanga yang nakupenda snaaaaa
Bravo yanga Africa de pus Marseille france
naipenda yangaaa
Dah iyi match !!!!
Yanga imejifunza kitu, kila chance watakayopata next game kamba,, wamejua presha waliyopata na challenge waliokutana nayo,,, hakuna kurudia kosa tena,,, ndani ya dk 90 watatupia
Bravo Djugi 👏👏👍👍👍🇲🇱🇲🇱🇲🇱🇲🇱🇲🇱🇲🇱🇲🇱💯💯💯💯
Aisee game was hot kuna mambo ambayo refa hawez kushadadia kila kitu kitakachofanywa na mchezaji saido amefanyiwa makosa /madhambi yanga akaadabishwa vilevile beki wa geita amefanya madhambi geita ikaadhibiwa hivyo bas wanaodis mpira msipende kuweka ushabiki katika kila mpira ukipenda kutizama mpira penda kutizama kila mchezaji na sio upande unaoushabikia one mistake one goal mwisho wa siku diarra amefanya makosa na akayarekebisha akaletea team ushindi hongeren wana @yanga african you deseive it😍
2023... Na Tunaenjoy
Ilove you so much yanga fc mayele
Yanga wanajua
SAIDO amechezewa foul....refa kapeta.
Yaani NYIE sijui ingekuwaje!
Hivi vitoto vilituwini sana 😢 hii geita cyo timu ya mchongo
yan hii mechi sitoisahau jaman
Asantee mungu yanga yetu
Naipenda yanga
Yani hii siku sitawahi kuisahau mpaka Diara akalia jamn
Ukitaka kujua kila mmoja ana pressure....sintosahau hii siku
Wallah karibu nife hyo siku ni kama finale ya juziii alooo mpira ulevi mwingine alooo
😅😅😅
Geita n shida sana hawa wakikutana na makolo watajuta kama walivyozibitiwa na polisi leo hi tm ina kiwango.
Yanga tunaweza
Walivua na shati lakini wapi
Washenzi tuuu hao geita
Hakun mechi ninayo penda kuangalia Kam hii maan Geita walipokosa pernart wanafurahisha sana
Daima mbele 💪💛
Mbona ofsid iyo
Geita mlipoteza muda mwingi kushangilia
Mkajisahau kua mtoto yake nepi! Poleni
Hii ndio maana ya Dar young African
Labda tufungwe na Urusi
😂😂😂😂😂
Jamn Tz tunamambo ya ajabu Sana Sasa mbn iko waz kabisa kashika na inaonekan
Dada yangu mpira wa bongo Una Mambo usikute aliyeshika kafanya makusudi ili mradi Tu Yanga inusurike
Sitasahau hii mechi, dah
Mtoto atumwi dukani wala alali na hela, Bali mtoto analala na mavi, This is Yanga 🔰
Mungu wetu sote
Wata wezakweli kushindana nasi
Hongereni sana
Sitosahau hii siku maishani mwangu dah
Wee acha tu nilihisi kifo
Kama ni mwaka wako ni mwaka wako tuuu MUNGU NI WETU SOTE INSHALLAH TUNARUDISHA FURAHA JANGWANI
Amazing
Kipa nimempenda bureeee kajua kutupa raha wana yanga
Hili goli LA geita kwanza mchezaji wa Yanga alichezewa foul refa kafumba macho
Refa wa Tff
Yanga bhana. Raha tu
OFFSIDE LAKINI GOLI LA GEITA GOLD
Nice job
dah Saido anazingua San. anapoteza sana mipila arafu anapotezea seem mbayasana daah Saido wakumtafakhali San uy jaa samtaim anazingua san
Toka ameoa
Kweli anazingua
Kweli anapoteza mipira maeneo hatari anazingua
Apo ndo nikaamin kwamba yanga hawazuiliki wanaweza kubadili matokeo mda wowote
Thanks verymuch that's us
💛💚Yanga Daima
Gori la geita ni ofside mbn hamsemeii
Kweli aisee mm mwana simba dam ila lile gali la geita mfungaji alishazidi
Bingwa lazima kuna muda uwe na bahati
Yanga oyeeeee
Huyu mwamba alivua had shat akijua shuhur imeisha
😂😂😂
Mtoto halali na pesa kaka
What a day daaaah
Riziki ya mtu hainyang'anyiki
Yan iko ivo ona yanga tulivopita ni mungu tuu ukikataa penalt ya mwanzo umeona zilizofata? Mungu aliamuaa iwe ivo
Yanga tamuuuu
game ilikuwa inaisha ndan ya dk 90,yanga umakin uongezeke,hongera kwa geita,game plan yao ilikubali,Mungu amewafavor waliostahil
Yaaah kikubwa hapo mungu kawabeba yanga
Love you yanga
Hii mechi ilikuwaa ngumu sana kuliko tunayo enda kukutana nayo zaid ya watani
geita polen
Yani yanga ni raha na chenchi inarudiiiiiii.kweli yanga tamuuuu
Yanga tamu
Let’s go🥇🥇🏆🏆
Thnkss uuu jesus
Ila yanga ukitauwajuwe walivyo anza kuwafunga umechokoza moto
Makoro wanatesaka sana
Good job
Mie Djuma Shaaban akiwepo ni raha tu
Saaaana 🤝🙏
Ng'ombe wa masikini hazai na akizaa anazaa dume
Yanga ninomaa
Yanga nomaa
Yes
Everything is fine in this channrl
💚
Geita kongole kwenu mmejua kutupa presha
Nakwambia vijana wamejua kunilipua moyo nlikua nawaza tu simba nitawaambia nini mtaani😂😂
Na leoo wamedroo walisubiliaa tufungwee watuchekee
@@ourcouple6666 😄😄😂😂😝😝😝
@@mickkiyoya5239 wameumbuka
@@user-po8hz7xw9j kabisaaa
Gemu ilikuwaga ngumu sanaa😮
Mwanzo sikuelewa kumbe alishika
Sasa mnashangilia alafu mnashindwa kulinda goli pumbavu