Penati zote Yanga ikiifumua Simba na kubeba Mapinduzi Cup - 13/01/2021
Vložit
- čas přidán 12. 01. 2021
- Tazama mikwaju ya penati wakati Yanga ikiichapa Simba kwa mikwaju ya penati 4-3 na kubeba taji la Kombe la Mapinduzi 2021.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - Sport
Kama unaikubali yangaaa gonga like
Kama unaipenda yanga weka like hapa
Mamb
poa
Mnatupa rahaaa nyie barikiwa tsana
Yangaaaaaaaaaaa💚💛
Woyoooooo hapo mwanzo tu mazuri zaid yanakuja mbeleni kila la kheri yanga daima.
Nakupenda chama languuu
Yanga mmejua kunifurahisha😍😍
Mwali hajala nauli ya muhuni😂😂
Asante Yanga💚💛
Leo azm mmenikomesha lkn ninafurah sanaaaa
Yanga oyyyyyyy piga keleleeeeeee yangaaaaaaaaa ♥️♥️❤️♥️♥️💯💯
Yanga oyeeeeeeeeeer
Wananchi gonga apa
Manara hukosi jambo ase
Big up sana Saido Ntibazonkiza
Yanga4lifeee
Ahsanteni namungo kwa kutuachia pisi kali yetu
Yangaaa oyeeeeee
Nimeskia.raha mieeee💚💛💛💛💛💛💛💛💛
Jangwani 💪
🇧🇮🇧🇮bro saido 💪💪 👌👌
Nilisema mwaka huuu ni yangaaaaaa tu Nina furahaa kubwa sanaaa
Pisi zote Kali tupo yanga....daima mbele
Pisi kali unajua sana ase kuwa Yanga
Mahandsome wot weny ela tupo cmba
Nakubal
Ingawa siyoo shabik kivil ila nawasikiy wana yanga wanaimba mchumba mbon hutokey mamiloo
Alf kwa mbal nawaona wana simba wanakuja mdogo mdogo🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🤣
Viva Yanga ushindi ndio jad yetu imeixha iyoo 🔥🔥🔥🔥💤🔥🔥🔥
Yanga daima 👍💚💛
Tunawashukuru Namungo kwa kutuachia my wetu❤️😀😀
Hahah
Mmefel wap simba kumpa mzee apige penalty 😂😂😂😂
Kipara makulega
Kagere ndio kazingua hapo goli lote lile anagonga mwamba????
Pia Mimi nipo sijasahaulika napenda Sana yanga
Nampendaa Sana mwanamkee anaee ipenda yanga
Mwaaaaaaaaa yanga damu dada etu
Nitim kubwa Sana nainajua kucheza mpra Sana⛹️🤾🏃🚶
Sawaa mom ake
Yanga juu
Kwanza m naona Simba had kufka ktk mikwaju ya penat ilkuwa kama bahat 2 kwao, waltakiwa kufa mapema sana tena sana, maana hawakupga on taggt hata moja Full game, kwann usiwaxhukuru wachezaj wenu kaz ya kuzuia dakka zote 90+4, watakiwa kufa mapema sana
Mashindano yote tumepata magoli 2 so uwe na uhakika hata kuwafunga hapo simba ndani ya DKK 90 sio rahisi
daima mbeleee nyumàa mwikooo
Yanga mnafurahisha mpaka mnakera...
Tuna jambo letu, kombe ni kombe tuu Hata liwe la mbuzi.
Yanga Safi 👌📯
Yanga daima🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥mnyama kakaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Poleni Simba
Asante zaidi ya sana gifted Mauya
Sichoki Kuutazama Huu Mpira Yanga Habar Ya Mjini.
Kabisaa
Big up shikalo
Yanga mumemuvunja mpaka mweus miguu
Asante yanga. Asante GSM. 👏👏
Young men African
Yanga safi
Yanga raha sana
MWANA FA JIUZULU UBUNGE KWA HESHIMA MAANA ULISHASEMA
Simba inapewa heshima ambayo haistahili kiukweli yanga wanapambana Sana wanacheza teamwork lakin simba akikosekana chama amn team 💚💚💚💚daima mbele nyuma mwiko
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪💪
Hahahaha ama kweli mtu mzima hatishiwi nyauuuuu!!!!!!!!!!!!!
Yanga daima mbele
Hatuogopi paka yeyote ataeshoboka na sisi tutang'oa macho.
Umeonaeeee
Good job
czcams.com/video/rjWpkMeAwBM/video.html
Kagera kapata husda ya kumkataaa babaake maskini radhii za Baba muhimu Yanga hoyeeeeeeeew🔥🔥🔥🔥🔥
Love yanga nakupenda miaka kuku sikuachi
Yanga tumeinua kombe juu , wao wameinua paka mweusi juu.
Tunakusanya rambirambi baada ya kufiwa na paka wetu ndugu yetu nyau fc
This is yanga bwana
Good job
czcams.com/video/rjWpkMeAwBM/video.html
Unbiten inaendekea!!!!
#wape salamuu
#Nyau Weusi fc
Mwanzo wa kubeba makombe sasa. Simba mtajuta kutujua
Haswaaaa😂
Ilove yangaaaa
Mauya ni shida kwenye penalty ata gadiel katisha japo tumewachapa
Midomo imekatwa msitegemee uchawi hamtafikambali
Nomaa Sanaa😚
SAPE SALAAM
Wape salamuuuu zao
Yanga yangu👏👏👏👏
Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yang hapo kama hautojl
Safari ya kurudi ni mbali zaidi
😀
Kama wanaenda hija 😄😄
Jamn yanga niraha mpaka wanatia hsiraaa 🤣🤣🤣🤣 raha sana
Paka msubilie penat mbwa nyie
Sasa manala hana issue akalime matikiti bagamoyo tu
Sasa manala hana issue akalime matikiti bagamoyo tu
Raha kwa penalty woiiii hicho kitu hata kaze hana raha kabisa ,
Wapi manara
Yanga oyeee
💚💚💚💚💚💚,wapi mipakaaaàaa😁😁nyaaaaaau!! Mlio wa kupigwa na mwiko jikoni
Vp
Still unbeaten..💪💪
kagere alijiamini sana chezea wananchiiiiiiiiiiiii
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Noma sana
Kisinda😆😆
Tunataka Zanzibar mpya
Huyu zawad anaker kwa kweli
Wapi manaraaaaaaaaaaaa
Simba mkali lakini anatiwa mimba.!😁😂🤣
😅😅🤣
😂😂😂
Huyu shikaloo hatari
Daaaa !!saf sana
Hongera sana
Ukisikia paka kabiwa akachomwa mishikaki ndo vile
Simba ni yakucheza dakika 90 bila on target kweli 🙄😂
Inategemea inacheza na nani?
Mtangazaji ww hatariiiiiiiiiiiiiiiii Sana,imefichwa et na nn?
Kombe linabaki kuwa kombe tu hata liwe la kuku mbona ligi kuu bingwa anachukua hela ndogo kuliko mchezaji anaesajiliwa kwa timu hizi mbili Simba na Yanga hayo ni maneno ya mkosaji
Kweli mzee mana jana huku kuna mtu alikuwa analibeza hadi anakera wangesema basi hatutaki kucheza mana sio hilo kombe halina hadhi na sisi mbona wmeenda
Ni kweli lakini ligi kuu unapata faida ya kwenda club bingwa ambako ukifanya vzr ukaingia makundi unapata mpunga wa maana haswaaa
Hio ndo yanga ninayoifahamu hao mapaka hatuwap upenyo 😀
e
Good job
czcams.com/video/rjWpkMeAwBM/video.html
Yanga nomaaaa
Ivi kelele zote hizi alafu unaniambia eti simba hawakuwa wanalitaka kombe?. Mtawadanganya wengine
Penati gani tenaaaa
Yenye pattern zilizovurugwarugwa hatarii
Ilove yanga
SAIDOOOOOOOOOOOOOOOO
Poleni sana wanamsimbazi.. Hata masikini nae mtu...
Wapi mikiaaaaaaaa mapakaaaaaaaaaaaaaa🐯🐯🐯🐯🐯🐯
Tupo unasemaje
Dar Young Africans 🟢🟡✅
Shikalo yupo vizur sana apunguze papala tu
.yanga imeteseka sana
Kuna kiongoz hapo juu Ni mnafiki wenzie wanapongezana ety yey kanuna
Kuna jamaa wa simba kwneye hii clip mwishoni ndevu kaziona nzito Sura muda wote iko chini
Haaaaaaas
😂😂😂😂😂😂😂
Tukiachana na ubingwa wetu yanga
Kabumbu wakati linaendelea dakika 66
Palitangazwa uwanjani kuwa KAMERA
Imeibiwa sasa nikimuangalia MORRISON macho juu juu tu🙈
Labda nimuambie Morrison kuwa
Arudishe KAMERA YA MPEMBA
huko ni ZANZIBAR sio BARA
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwanaume ni mwanaume2
Fantastic
Wakwanza
Jimenez bukoba kuna vitu vinaitwa (-----)ndo simba na kuanzia leo simba itakuwa inaitwa jina la KASHWAGALA- Yaan SIMBA KASHWAGALA FC
Jaman bukoba kuna vitu vinaitwa (-----)ndo simba na kuanzia leo simba itakuwa inaitwa jina la KASHWAGALA- Yaan SIMBA KASHWAGALA FC
Yanga oyeeee
Hawana jipya hawa wachawi paka wao wameshindwa kupiga mbizi kwenye maji chunvi wameishia msasani. Wakageuka
Jangwani kumenoga
Nishida