PENATI ZOTE HIZI HAPA| WYDAD CASABLANCA 4-3 SIMBA SC | ROBO FAINALI | CAF CHAMPIONS LEAGUE
Vložit
- čas přidán 27. 04. 2023
- Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSI...
►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
►Instagram / tv3tz
►TikTok / tv3tz
►Facebook / tv3tanzania
►Twitter / tv3tanzania
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI
KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU
BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI
TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU
#Tv3Tanzania #GameOn
#Manula #kapombe #Onyango #Sakho #MosesPhiri #Henock #Inonga #Chama #Clatus #TripleC #Bocco #JohnBocco ##Mzamiru #Kanoute #Nyoni #Kyombo #Kibu #KibuDenis #Hussein #Beno #Mkude #Okrah #Diarra #Djuma #Lomalisa #Job #DicksonJob #Bangala #YanickBangala #Aucho #Sureboy #Moloko #Mayele #FistonMayele #ZanzibarFinest #FeisalSalum #Feisal #Kisinda #BakariMwamnyeto #BernardMorrison #Morrison #Clement #AzizKi #Farid #FaridMussa #KibwanaShomari #WilbolMaseke #LusajoMwaikenda #BruceKangwa #EdwardManyama #DanielAmoah #SospeterBajana #KipreJunior #JamesAkaminko #PrinceDube #YahyaZayd #AyoubLyanga #Sopu #Msindo #Sebo #Foba #Muguna #Edinho #Nado #Mbombo #Mkandala - Sport
Congratulations to Wydad, I salute the Simba players for their sportsmanship Dima Wydad
Asanteni na hongereni kwa kupambana mimi shabiki wa yanga ila tuzipende timu zetu zote kwa hatu zilipo fika
Pamoja na Simba kutolewa katika hatua hii waarabu hawatawasahau maishani mwao. Hongera sana Mtani!
Shida sio kuwasahau.....wao ndo hawatasahau walivyo tolewa
@@seravickdavid1484 hayo ni mawazo yako sasa!
Wewe utakua huwajui vizuri hawa waarabu wanatuzidi kila kitu. Achilia mbali Mpira hata uchumi wao tu ni mkubwa mno. na Hawa ni Waydad sikwambii wakubwa wao akina Al Ahliy, Zamalekh, Al hilal n.k.
Wasisahau kwa lipi 😂😂😂😂😂😂Ndio maneno yaliyobakia hayo
Wasingewasahau kama mngewatoa, asa wamevuka afu wawakumbukeje sasa
I would like congratulate simba for the quality soccer that shown in Morocco. It has been proved that Tanzania league is among the best leagues in Africa.Simba team always represents Kenya,Tanzania, Zambia,Malawi, Burundi, Rwanda,and many counties. The cub officials should struggle to get one strong defender like Inonga.
Hhhhhh
Acha unafki wew
Kiukweli Simba wamepambana sana tena sana❤👏👏👏👏
Kocha ana share yake kwenye kupoteza hii game,anashindwa hata kufanya sub ,Kuna WACHEZAJI Wana uwezo tu walikuwa nje,nilitegemea hata kwenye penalty angalau angefikilia kumuingiza BENO lakini wapi,SIMBA ingeweza kabsa kupita hii HATUA kama kocha angejiongeza kidogo tu
انا كمغربي اشهد ان فريق سيمبا فريق جيد و ممتاز رغم الهزيمة بضربات الحظ ، حافظوا على فريقكم وشجعوه في القادم ، بالتوفيق ان شاء الله
Ishaaaalah
Simba is one of the club with Trash-talking and disrespectful fans ever. Thanks waydad 😂
Mshabiki kindakindaki.wa yanga lakimi tusibeze simba wamepambana sna japo haikua bahati kabisa mungun awajaze nguvu ndugu zangu
From a Wydad fan .you are a great team . Good Luck Simba
Robertinho apewe uwanja mpana wa kusajili na kukisuka kukosi for the next season.
Nadhani ndio utakuwa mwisho wa uteja kwenye robo na tutairudisha heshima ya nyumbani pia.
SIMBA, NGUVU MOJA 💪
Kocha ana share yake kwenye kupoteza hii game,anashindwa hata kufanya sub ,Kuna WACHEZAJI Wana uwezo tu walikuwa nje,nilitegemea hata kwenye penalty angalau angefikilia kumuingiza BENO lakini wapi,SIMBA ingeweza kabsa kupita hii HATUA kama kocha angejiongeza kidogo tu
Mumepambana Sana wachezaji wetu ❤️ atuwadai kitu
Yesu ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini YESU na Uokoke na Ulithi uzima WA MILELE.(Yohana14:6, Warumi 10:9-10).
Simba mmejitaidi sana hongera sana
Simba nguvu moja tumetoka lkn kiuwanaume sana hongeren wachezaji wetu❣️❣️
Kifo ni kifo hakuna kifo cha kiume
@@acramrich8192 muandikie kwa herufi kubwa tafadhali
hahaha kubakwa ni kubakwa tu.
Mnajifariji eti kiume hiyo kiume vipi? Kufa ni kufa tu hakuna Cha kufa kiume hapo
I respect Tanzania football because of simba🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 moses phiri nd triple ccc i see you
Very Good Performance Simba
I see you very far Next season
Siyo mbaya wanaume wamepambana haikuwa Tu ridhiki kiukwel mubarikiwe Sana Wachezaji wetu mpepambana vya kutosha
Hongereni Sana wachezaji wetu wote mmepambana Sana penati hazina mwenyewe so tujipange mwakani
سيمبا الأسد الافريقي تنزاني القادم
Very good team Simba
Hard luck this time and better luck next year.
I hope you get the Tanzanian Championship
Hiyo ndio hatua yenu brother hata mngecheza na ruvu shooting hatua hiyo mungetoka
which championship they gonna get did you known Young Africans???
Tanzanian championship is already taken by Young Africans
Never ever
⭐⭐⭐ wydad GJW9
hongera sana wanasimba mmeonyesha ukomavu mkubwa najua safari ijayo mtafika mbali sana, Mungu nimwema atawasaidia mmeonyesha ukomavu mkubwa sana
Mungu awabariki hatua mliyofikia,penalt ni ngumu hazina mpigaji anayepataga anaweza kukosa na anayekosaga anaweza kupata
Kweli
Nafurahia sana kupigwa kwa Simba
Wakati Saido anakwepa kuicezea inchi yake eti anaandaa micuwano hio
Asante sana Widad
K ilicho kufulaisha nin sas
We si ulikuepo hku mbona asaiv haupo
Daah Hawa Simba wanapigaje penalty mbona hawako serious
Hongera sana Simba sc pamoja na wenzewetu mmepambana sana na MUNGU awajalie uzima penalty hazina mwenyewe.
Simba nguvu moja
Last time if i remember Simba supporters keep saying Simba v Sundowns. You cant win 1_0 and expect to win in Arabic countrie 😅please Tanzania 🇹🇿 make your mind
Simba wamepambana sana kiume
Kiume kivipi wewe mumelowa mumelowa
@@officialbizou7649 Atutegemei wew ukaelewa kilichotokea hapo hizo level huzielewi hujawai fika huko wao wenyewe wametukubali, CAF wataikubali unadhani tunajali unachowaza wew....Level unazoelewa wew tulisha kulowesha mbili bila mambo ya wakubwa waachie wakubwa.
Rudi Tz mje mkandwe na Azam
Level za robo au sio
Sawa
Kocha umetufungisha kwann ulipo ona mpira utatoka penanti kwa nn usimtie manulla
Utopolo tulieni maana nyie mlitolewa mapema sana tena na timu ya kawaida bora sisi tumepambana hadi hapa, I love you Simba🦁❤️❤️🔥🔥🔥
We jifaliji tyu ndo mshatoka hivyo
صراحة فريق سمبا كان قوي دفاعيا لم يترك لنا اي فرصة برافو اسود👍🏻.ديما وداد الامة 🙌💪🏽
😂😂kutolewa Ni kutolewa
Cafu WEW ni mtu wa marobo tu ndo mwisho
Tuache siyo shida zetu
hizi team zetu haziwezi ku gain consistency on there strategies. mwakani ndio utakuta mabwambwa wanatolewa ata raundi ya kwanza. ilikua muda ni huu huu tu kuonesha maajabu lkn ndio bahati haikua yao. ninasema bahati kwa maana ya bahati hasa maana kwa mwakani ata apo hawafiki tena.
Nawapongeza sana simba
Ongerenii haikuwa bahati kwetu Tz.
Dima wydad 💪🏽🙌🇲🇦🇲🇦🇲🇦
Kocha ana share yake kwenye kupoteza hii game,anashindwa hata kufanya sub ,Kuna WACHEZAJI Wana uwezo tu walikuwa nje,nilitegemea hata kwenye penalty angalau angefikilia kumuingiza BENO lakini wapi,SIMBA ingeweza kabsa kupita hii HATUA kama kocha angejiongeza kidogo tu
Pole shoma
Naipongeza sana Simba ametolewa kwa taabu mwaarabu jasho ilimtoka
Ushindi wa Penalt hautishi
Kocha ana share yake kwenye kupoteza hii game,anashindwa hata kufanya sub ,Kuna WACHEZAJI Wana uwezo tu walikuwa nje,nilitegemea hata kwenye penalty angalau angefikilia kumuingiza BENO lakini wapi,SIMBA ingeweza kabsa kupita hii HATUA kama kocha angejiongeza kidogo tu
Hongera sana sana chamalangu mefanya African ijuekuwa kuna timu Tanzani
Hata mpangilio wa maneno/sentence hujui! Ndiyo maana mnaishia robo fainali kila mwaka.
Povu la nini tena!!!!
Simba good team.....Dima widdad casablanca
Hongereni sana mmepambana wapendwa
Wanashangiria kabla ya kushinda
Hongereni sana
Kipaa wa simba bado sana Manura angedaka hata moja
kweli kabisa ni mzuri ndio lakini hana ujuzi na penalties
Dogo mwepesi sana kwenye penati.
Etyeeee 😂😂😂😂😂Nategemea kuziona kwa wingi comment kama hizi
Simba wamejitahidi japo wameamburia kichapo kwani walichezea bahati uwanja wa mkapa. Warudi tu Tanzania haooooooo, na tuzidi kuwaombea waje wafanye vizuri kipindi kingine,
Watakufa mwaka huu
Mitangazaji mingine bwana, aaaaa! Afadhari asingetangaza. Hatangazi kwa uzalendo
Wengi wao ni watangazaji makanjanja
Ikifungwa kila mtangazaji utamuona m'baya😂😂😂
@@seravickdavid1484 inawezekana ukawa na wewe kanjanja
Mna midom San nyiny ndiy maan mumelowa🤣🤣🤣
😂😂😂😂 makolo haooo
Good Simba next year
Acha wenge ndugu mtangazaji..unachanganyikiwa kama unapiga wew hizo penati😂😅😂
😂😂😏mwamba
Jamani pole yaoo makolo
More respect my team
Asante mungu kwa yote
Safar bado Sasa tuungane na yanga kuombea kula lakher young African Americans
Kocha ana share yake kwenye kupoteza hii game,anashindwa hata kufanya sub ,Kuna WACHEZAJI Wana uwezo tu walikuwa nje,nilitegemea hata kwenye penalty angalau angefikilia kumuingiza BENO lakini wapi,SIMBA ingeweza kabsa kupita hii HATUA kama kocha angejiongeza kidogo tu
Ongea na Ali kamwe maana aliongea wazi kua anawaombea Simba wapoteze MOROCCO
Vipi kocha aendelee na chama Au 😂😂😂
Simba jike hili tuna lijua Zamani,likiona wanaume Lina lala tu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mmekufa kiume,hongeren simba
Tumewatetesha uto jana haijawahi kutokea walijua wazi kuwa kama Simba angeenda nusu fainali klabu bingwa basi uto nusu fainali yao ya looser ingesingekuwa na maana yoyote hata hivyo bado tumeonesha kuwa This is Simba ..!
Mnge tuvimbia sana watu wa robo tu nyie
Kufa ni kufa tu hakuna kiume Wala kike
niceeeeeeee🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Vive le maroc
Haooooooooooo
شكراً جزيلاً لكم وآمل أن نؤدي العام المقبل بشكل أفضل
Humwaka siyo wetu
Ligi kubwa ,timu kubwa ,ushindani mkubwa
Sawa sawa
The continued use of those lasers is so unsportman.When will CAF act?
Hardluck Simba.
Kila la heri yanga
Asanteee Mungu😂
Hongeren mtani mmejitahid San
Kipa sio wakumlahumu penatizake zote zlikua ngumu yaan zamoto tofauti na penat wachezaji wa simba
Mwanzo huwa unamwisho kuishia hapo ni mwanzo wa kianza upya
Awajui
Simba Amna team apoooooo wasindikizaji tuuuu
Weunaesema simba mbovu weumeendawap au alipofikasimba weumefika kwel we maandaz
Umelowa
@@emnanuelimtui1805 katombwe uto
Poleni sn wajadi w2😢😢
Sio risiki
Wazeeee tatizoo ,Onyango
Onyango kakosa nini?
Yahya siopw
Hiyo ya 3 goli kipa wa Simba asingetoa, ulkua mshuti
Wanaume tumefika fainali na medali au kombe tuta vyaa ua kuchukua kombe
Simba kubaya kubaya wamepiga kubaya kubaya kubaya 😂😂😂😂
Tulicheza hii mechi
Nguvu Moja one day yes
Bado muonekano wa camera 📸 zenu hsmpo makini.
Bora Simba wamefungwa nchi isingekalika, wana mdomo sana. Kipa wa Simba bado sana anapewa sifa ambazo hastahili
Ww Kuma kweli sasa Kama tumefungwa umepata nn acha usimba na uyanga
😂😂😂
Choko kweli wewe kubali kataa Simba baba lao na penalty hazina mwenyewe.
@@ramadhaniamri3465
Penalties hazina wenyewe je hao walioshinda siyo wenyewe, achani kujitoa ufahamu
@@dulahstar5875
Ukitukana ndio mtarudisha nusu fainali? Bora mmefungwa mna mdomo sana
Ila mtangazaji kanichekesha sana et Chama anaipeleka Wydad nusu fainali 😄
Wanammlika usoni hawa mbwa
Hawa ni wazee wa robo robo 😜😜😂😂
😂😂😂😂😂
Dima Wydad 😅😅
Mmekoma aya rudini nyumbani
Hahahaha
😂😂😂
Mara zote tuu Simba amefanya kiume kwenye hatua hizi LAKINI nadhani SUALA hilo la kupambana kiume lisiwe entertained sana.... Mara ZOOTE hatua za Robo fainali kwenye Confederation na Champions league Mnyama alipambana sana hadi kutolewa sasa hilo halisaidii.... Kizuri zaidi ni kushinda na kuendelea... Lingine muhimu ni huyo Afisa habari wa Simba apunguze Ngebe.... Qadar Allah.....
Well try!
Ndugu zetu #Masandawana watatulipia 😏
Sioni kama Chama alicheza hovyo penalty Ile. Nadhani wengi wetu ni kutafuta tu uchochoro wa lawama.
Chama alicheza Kwa Nia ya kumpoteza keeper ila keeper Mungu alikuwa kwao no way
Hongren bhana mmepembana mm naamin wakati mwingine ongezeni kupambana mtatoboa tu ipo siku
Kubay kubay zaidi
Chama Tawala Anakosaje Penati😂😂
Chama kabeti 😂😂😂😂
Yaani huo ndiyo uwezo wa Simba,mwisho wenu robo fainali mnarejea nyumbani kujiandaa tena kwa ajili ya,kuishia tena robo fainali! 🤣🤣 Si confederation cup/ championship. Kuishia robo fainali kuko pale pale
Simba hawakujiandaa vya kutosha kwani hawakujua kama zinaweza zikapigwa penati.Maandalizi ya kimpira ni muhimu sana.MSIMU HUU NDIYO ULIKUWA RAHISI SANA KWENDA NUSU FAINALI ZAIDI YA MISIMU MINGINE YOYOTE.
Kujiandaa kupiga penati?
HAPO NDIO TULIMKUMBUKA
MANULA.. TATU ZOTE KULIA
INAMAANA HANA UFAHAM
HUWWEZI KUFUNGWA UPANDE MOJA..
سيمبا هو أحد الأندية التي تتحدث عن القمامة والمشجعين غير المحترمين. اذهب وابكي الآن. العمالقة في طريقهم إلى الدور نصف النهائي
Kiufup simba kwenyepenat bado wanaplesha saana hawatumii ufundi walionao asilimia kubwa simba kwenyepenat akikutana na timu yoyote ni marachache anshinda .kwaiyo wajiangalie hilo ni tatizo
Nikweli Tumetolewa
Lakini Wamelowa na Jasho na Kamasi Waarabu Wamejuta na Wamefungiwa Rikodi yao ya Kupiga Penat Ndani ya Uwanja Wao
Robertinho ni kocha anayeua viwango vya wachezaji vijana Simba akichagua first eleven yake wale wangine hajali siku wakipata majeruhi ndo timu kupoteza point
Simba wamelowaaaaaa