FULL MATCH HIGHLIGHTS SIMBA SC 2-0 WYDAD AC (CAF CHAMPIONS LEAGUE 2023)
Vložit
- čas přidán 18. 12. 2023
- Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSI...
►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
►Instagram / tv3tz
►TikTok / tv3tz
►Facebook / tv3tanzania
►Twitter / tv3tanzania
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI
KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU
BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI
TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU
#Tv3Tanzania #GameOn
#Manula #kapombe #Onyango #Sakho #MosesPhiri #Henock #Inonga #Chama #Clatus #TripleC #Bocco #JohnBocco ##Mzamiru #Kanoute #Nyoni #Kyombo #Kibu #KibuDenis #Hussein #Beno #Mkude #Okrah #Diarra #Djuma #Lomalisa #Job #DicksonJob #Bangala #YanickBangala #Aucho #Sureboy #Moloko #Mayele #FistonMayele #ZanzibarFinest #FeisalSalum #Feisal #Kisinda #BakariMwamnyeto #BernardMorrison #Morrison #Clement #AzizKi #Farid #FaridMussa #KibwanaShomari #WilbolMaseke #LusajoMwaikenda #BruceKangwa #EdwardManyama #DanielAmoah #SospeterBajana #KipreJunior #JamesAkaminko #PrinceDube #YahyaZayd #AyoubLyanga #Sopu #Msindo #Sebo #Foba #Muguna #Edinho #Nado #Mbombo #Mkandala - Sport
Mashabiki wa simba sports tukiwahapa drc Congo 🇨🇩🇨🇩 tujuwane hapa ❤❤❤❤🤍🤍🤍🤍🤍🤍🤍♥️♥️♥️♥️
Hongera sana timu yangu ya simba inayotupa furaha kila wakati❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
naompeni likes yenu ndugu zangu kwaajili ya simba spots
Naipenda Simba mpaka naipenda tena wallah 🙏 Simba nguvu moja ♥️🥰🥰🥰
Mambo dada
@@AdhamAlliy-mg5py poa
Poa@@AdhamAlliy-mg5py
Hapa sifa ziende pia kwa golikipa wa Simba kwenye goli la pili😂😂,,Safi Sana kwa wachezaji wote
Naipenda cana ximba yangu❤❤❤
Kama unaitazama hii game 2024 tujuane
Bro kiukweli mm kila niliingia CZcams Ninapitia Tena hii mechi maana daaaahh bro Ile cku ya mechi nilikuwa ninafuraha isiyoelezeka
Maana nilimbezaga Sana onana Ila cku Hz nikimuona kwenye line up Wala Sina Shaka maana baada ya hii mechi alikuja pia kufanya vzr kwenye mechi ya singida fountain gate kwenye mapinduzi cup Ile faulo yake moja Kwa moja ndani Na kabla ya faulo alivyomtoka Yule beki daaaahh huyu onana anajua bhana🔥🙌
Alfu kuhusu hii mechi hata Ayoub pia anatakiwa kupongezwa haswa maana atoa double save Na ameokoa mipira nyingi Sana kabla onana hajafunga
Nipo
@@InnocentKisugehaswaaaa
Mm yanga lakini benchika nimempenda bure
Wallaah Jana Simba SC mmejua kutupa raaha mashaabiki wenu, mbarikiwe saana
Naipenda. ❤❤❤simba
Simba nguvu moja
Congratulations to Simba, but think Jesus-Christ the son of the living God is the way, the truth and the life. The day of repentance is today. Stay blessed
Kwa kweli hata mimi nilikuwa miongoni mwa waliomkatia tamaa Onana.
Lakini mtaalam Benchikha kambadilisha Sana,hadi leo hii anatupatia tulicho kitarajia.
Mungu azidi kukuimarisha kwani mpira ndiyo unahatima ya maisha yako
Hiyo ndo simbaaaaa mnyama mwingi 👆👆👆
Congratulations Simba
😅 mhh kweli usimkatie mtu tamaa simba inazidi kuwa bora kilakukicha mungu ibari simba mungu ibariki Tanzania.🎉
Tukumbuke tu Kila nafsi itaonja mauti.Tujiandae na kifo.Tuache dhulma na kutenda dhambi nyingine.
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante Mungu👏I love ssc💪
Mwaaah sana simba yetuuu
❤❤❤❤❤❤❤ simba
MPENJA ndo mtangazi hodari wa mechi hizi nyie Bado sana
Simba guvu moja
Simba ni simba
Kocha mpyaa, Simba mpyaaa🔥🔥🔥🔥
Akika mwenda amekua mature
Ayub lakred alituokoa sana tungepgwa tano
Sikupingi bro yaani mm naona man of the match Ni Ayoub Lakred alfu anafuatia Na willy Onana sombasomba
Simba Nguvu moya❤❤
Simba hatar
Kipa tumepata kwa sasa tuombe mungu sasa tusonge mbele
AL HAMDU LILLAH KATHIRA MUBAARAKA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kila mechi ambayo saidoo hatocheza simba itashinda saidoo ni mzigo mkubwa sana kwa sasa
Saidoo hana akili,nafasi yake awe anacheza chama
Maandaliz ya Simba
mungu ibariki chama langu tufike mbali saidi 🎉🎉❤❤
Hongerani sana simba nguvu moja daima.
Mimi hapa naitazama nafuta mchungu
In fact bigup Simba SC you did it.
Safi Simba yetu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Yana Hadi raha
Naipenda sana timu yangu❤
I am Ivorian 🇨🇮 and happy to see that the Tanzanians are taking care of their pitch. We must ban shameful pitch everywhere on the African continent. That the country which is not capable of offering pitches for both stadiums and training grounds be withdrawn from all African competitions. Congratulations to the Tanzanians for this lawn and continue to aim for high standards for your lawns.
Thank you
Thank you man of asec memosas
Ahsante sana Mungu
Ahsanteee Mungu kwa matokeo
onana the King CR7
Kipa ni hatariiiiiii sana simba tukabidhiwe tanesco
Simb nguvu moja
Alhmdhulillah
Natal goli na Aliahali na leo
Naitwa ifrahim 16:25
This is simba
NAIPENDA SIMBAAAAAAAAAAAAAAAA
❤❤❤❤
iindio simba ninayo ijua mimi
❤❤❤❤
Very good onana
❤❤❤simba
Onana anamamno ya kitoto sana akiwa seriously anaweza
Ila kweli bro akiwa seriaz anakuwa Wa moto
I love you simba yangu
Hakika huyu n muongoza njia wa soka la Tanzania
xeaf xean ❤️❤️
kibu kibu denga kibu dii mungu akubariki sana akujalie mema saidi 🙏🙏🙏🙏🙏
❤
kocha mpy❤❤
Sasa Simba juu
❤❤❤❤❤❤❤❤
Big up sanaaa
Nazifatilia xan
Daa ile pasi ya Mzamiru nihatar sanaaaa!
Kaka mm mwenyewe mzamiru Ila assist alioitoa kanikosha hatari
Hongera mnyama
simba mmejua kunifuraisha
Simba team yangu pendwa
Simba unyam mwingiiiii
🦁🦁🦁
Sema kibu niatari 🎉🎉🎉😮
Mbona muonekano hafifu? Sio quality nzuri?
Tar 21.03.2024 nacheki
❤❤❤🦁💪1🔥🔥
Sasa Simba inanikosha kweli
Mashabik Leo hamjaitendea haki heshima yetu yakujaza uwanja
ONANA man of the MATCH💥💥💥
Hata Ayoub Lakred pia alikuwa man of the match maana bila yeye tungekuwa tunaongea matokeo mengine kabisaa
🔥🦁❤
Nyie uyu mtangazaji anakelele ila akitangaza huwa tunashinda ya. Tuna bahat naye
Niko hapa 14/3/2024
2024 bado naitazama hii mechi mnyama dhid ya widad alafu wanajitokeza wapumbafu na kusema simba mbovu kwa ligi yetu ya mchongo ni sawa kwa mtani kudhamin vilabu sita
Hongera mnyamaa
Huyu ndio simba mnyamaaa ❤❤❤ from Tanzania 🇹🇿🇹🇿
Mtangazaji anapunguza ladha ya vibe la mashabiki... Anasikika yeye tu
Simba tushagaa jipata sema basi tyuuuuu , Sasa Leo Mtani mtajijua wenyew mfunge au mfungeee mtajua wenyewe 😂😂😂😂
😂😂😂😂 daah aki wew 🙌🙌😘😘
Amen
Hahaha wewe babuuu ni hatareeeee❤❤❤❤😂
Watu tunaona goli tu ila mpishi wa goli Ayubu Lakred atumuoni na kumpa sifa anayostahili, goli la pili ni juhudi za Ayubu Lakred
🔥🔥
Asante mnyama
Mnyamaa ok
❤❤❤❤❤❤
Kuna CR7 Afu Kuna huyu ON7😂😂
Wow! As so well for my team" good Challenging
nakoupenda willy onana
safi
One team one dream,Unyama mwingi,we ride 2gether we die 2gether
❤❤❤❤❤❤❤
Naomba basi muweke na sauti ya mashabiki
Naipend simba ile kixhenz
Wengi walianza kumkebehi na weye ukiwemo