KIMENUKA DK MO AWATAJA WANAOIHUJUMU SIMBA, TRY AGAIN, MANGUNGU WAFUKUZWE, WANATAKA KUMTOA MO DEWJI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 06. 2024
  • KIMENUKA DK MO AWATAJA WANAOIHUJUMU SIMBA, TRY AGAIN, MANGUNGU WAFUKUZWE, WANATAKA KUMTOA MO DEWJI
  • Sport

Komentáře • 176

  • @gilbertmaganga9370
    @gilbertmaganga9370 Před 20 dny +7

    Upo vizuri hao viongozi wetu upande wa wanachama ndio tatizo

  • @ArafaMkomwele-vi2hp
    @ArafaMkomwele-vi2hp Před 20 dny +7

    Upo sahihi daktari Mo huo ndo uzalendo kwenye klabu Simba nguvu moja

  • @SangaryaMasero-kc3br
    @SangaryaMasero-kc3br Před 20 dny +2

    Safi sana nyinyi ndo mtanatakiwa kuwa viongozi Dr nakuomba sana ugombee sehemu Moja ya uongozi apo Simba tena ngazi ya juu ile ya kuhoji plz tusaidie kaka mm nakuona ww unaweza awo wengine watupishe awatufai kabisa

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh Před 20 dny +6

    Tunaomba Mo asituache Simba Kwani hiyo ni timu yako na umeitoa mbali Simba inanembo yako

  • @richardnyarugenda9769
    @richardnyarugenda9769 Před 20 dny +9

    Uko sahihi Dr Mo
    Mangungu ajiudhuru

    • @mohsenaljahwary5730
      @mohsenaljahwary5730 Před 20 dny +1

      Dr Mo hueleweki Mara Moo atuachie timu sasa Leo baada kupata Takrima kutoka kwa Tapeli Moo. Moo ni mwizi ni Gabacholi Duuhhh kweli pesa mbaya hata wewe Dr. Mo huna lolote Moo hafai ni jambazi na ndie mbabaishaji.

    • @user-qe5cb7vy6o
      @user-qe5cb7vy6o Před 20 dny

      KWANINI HAWO WANAOIHUJUMU SIMBA WATOLEWE AU WAFUKUZWE .MO DEVJI ABAKI HATUKUBALI AJIUZURU.

    • @enockkinyamagoha4774
      @enockkinyamagoha4774 Před 20 dny

      Kweli

  • @user-ri2cr2zp4o
    @user-ri2cr2zp4o Před 20 dny +4

    sema dr mo wambie hao majambazi waliotukwamisha mpaka shirikisho hao watu wakome mo wetu anatosha katutoa mbali sana mo

    • @user-go2qe8hx5u
      @user-go2qe8hx5u Před 15 dny

      We pumbavu huna Akili JAMBAZI NI MOOO WE DUNDUKA UTABAKI KUWA KOROMA JAMBAZI NI MOO MWENYEWE JIZZIIII GABACHOLIII

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 Před 20 dny +2

    Kimyakimya mnajifunza Yanga, dadeki ....., mmejikuta lazima mmpigie salute Engineer Hersi,, mbafuu....

  • @user-fk2lz5qq2i
    @user-fk2lz5qq2i Před 21 dnem +17

    Mpaka Sasa picha inaonyesha Simba haina dira wala mwelekeo.viongozi wote wa Simba nikwa ajili ya matumbo yao.timu inakopa haijui lengo la anayetoa pesa na anayetoa pesa hajui yeye ni nani. Mo ni tapeli na viongozi ni matapeli wakizamani.wajitafakari viongozi, mashabiki na wanachama. Iko siku tutaitafuta Simba mahakamani

    • @MgangaMasudi
      @MgangaMasudi Před 20 dny +1

      Mpuzi tu

    • @MgangaMasudi
      @MgangaMasudi Před 20 dny

      Unaongea upuzi tu

    • @user-fk2lz5qq2i
      @user-fk2lz5qq2i Před 20 dny

      @@MgangaMasudi tatizo jina na akili yako vinafanana. mpira na mganga wapi na wapi. Nimeucheza nakuuongoza japo ligi ya mkoa. Naujua kuliko unavyoijua. Upuuzi wako nikutojua unashabikia mpira au pesa

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před 18 dny

      Mo ana njaa gani mpaka awe mpigaji kwa Simba

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv Před 20 dny +3

    safi ulicho ongea nokweli

  • @RehemaKassim-kr7dm
    @RehemaKassim-kr7dm Před 20 dny +3

    Mungungu aachie timu uongozi hawez

  • @kishimbaboy5403
    @kishimbaboy5403 Před 20 dny +2

    Wote watumbuliwe tu,hawana uchungu na simba

  • @LilianMasilayo
    @LilianMasilayo Před 20 dny +4

    Mangungu ni pan Africa anatoa Siri za ndani anapeleka yanga kwanini anang'ang'ania team mangungu ni mvuta bangi wajumbe wote wahuni

    • @robertadolf562
      @robertadolf562 Před 20 dny

      usiwe kinabo, penye ugali hakuna mtu anaachia ngazi

  • @omarilugendo8663
    @omarilugendo8663 Před 20 dny +1

    Umesahau moja tu tatizo limeanzia kwa Wanachama huu ni utatu wa tatizo wanachama + upande wa wanachama + upqnde wa mwekezaji. Kimsingi wewe pia ni Tatizo kwa sasa.

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 Před 20 dny +1

    Dawa Ni zote kamati ya Mo dewji,na kamati ya Mangungu zitoke..zijiuzulu.wote Ni majizi,majambazi..wanashirikiana ,Ni kamchezo wanacheza

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale Před 19 dny

    👍👍KWA TUKO NAE
    ILA HAO WANACHAMA NI MBWAAAA WAKUBWAA

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp Před 20 dny +1

    Mangungu na tiageni pamoja nawa jumbe wote hatuwa taki sisi Wana chama na mashabiki tuna mkubali mooo

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Před 20 dny +3

    We Dr Mo ulivo kama sigala kali
    😂 Ila shida posho

  • @daudymlauletv8489
    @daudymlauletv8489 Před 20 dny

    Ndio maana Africa tulitawaliwa yn mtu unaita Media kuja kumkubali tapali kisa ngozi nyeusi

  • @nikky4757
    @nikky4757 Před 20 dny +3

    Ili usipishane na katiba sema kikao cha mashabiki wa simba

  • @user-ri2cr2zp4o
    @user-ri2cr2zp4o Před 20 dny +2

    bwana hao viongozi hawafai kumanina zao hao wametupeleka shirikisho inauma sana wanang'ang'ania madaraka simba ya babaao watoke hao mo anatosha bwana wambie hao viongozi watoke

  • @dominickndomba4474
    @dominickndomba4474 Před 20 dny +1

    Thanks inawahusu mwenyekiti na kundi lake kama walitoa kwa MOSES PHIRI na BALEKE nao wapewe haraka maana uongozi wao ni wahovyo

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op Před 20 dny +1

    Wamekosa uwezo, hujuma ina maana wana uwezo lakini wanafanya makusudi

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Před 20 dny +1

    kwa kweli leo nime kuwe lewa sana

  • @IddyyFumbwe
    @IddyyFumbwe Před 20 dny +1

    Uo uoga, TOA mo tengeneza MFUMO SAHIHI ACHA uoga, HIVYO unavyosems Simba ilipanda SABABU ya covid tim NYINGI ziliathirika, aipandishe SASA ilipo KWENDA MBELE.

  • @salummwihava8474
    @salummwihava8474 Před 20 dny

    Hapo umeongea vzr

  • @kawelesiakisanga6670
    @kawelesiakisanga6670 Před 19 dny

    Jamani Mo Dewj asitoke ila Mangungu na Try Again waondoke kabisa hawana faida kwetu hebu Mohamed Dewj atatufikisha mbali sana pamoja na ametoa pesa nyingi ndani ya klabu asijali

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Před 18 dny

    Ni kweli doctor Mo kuna mijitu mingine ipo kuihujumu Simba, wote wajiuzuru

  • @yusuphwaziri
    @yusuphwaziri Před 20 dny

    Poleni wataniwetu kwakweli Hali ni tete na msipoangalia ata msim ujao tutuwaburuza sanandimi mr mbunga mbaju

  • @abbasisudi6899
    @abbasisudi6899 Před 20 dny +3

    We hujielewe Yani we kigeugeu

  • @ErickyKatunzi-gx3mi
    @ErickyKatunzi-gx3mi Před 20 dny

    Ila we mshikaji, ni kigeugeu sana, shida njaa kali, we sindiyo ulikuwa unahoji namna ya uwekezaji wa Mo, juzi hapa. 😅😅

  • @riziwanikupaza8713
    @riziwanikupaza8713 Před 20 dny +1

    Mangungu timu umeshndwa sepaa

  • @SylivesterKilunga
    @SylivesterKilunga Před 20 dny +1

    Tusimame na mo

  • @user-vv9wb9he2x
    @user-vv9wb9he2x Před 20 dny +2

    Kwani shida nn hawataki kuachia ngazi ebu tuulizane

  • @robertadolf562
    @robertadolf562 Před 20 dny

    hilo neno "transformation" unalitaja taja kama unalijua. daadeq

  • @philimonmtweve4522
    @philimonmtweve4522 Před 20 dny +1

    Viongozi ni kupe wananyonywa damu hadi iishe

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn Před 20 dny

    Safi sana mud

  • @claudiuslinus1024
    @claudiuslinus1024 Před 20 dny +1

    Uko sahihi

  • @ayubudbayo3665
    @ayubudbayo3665 Před 20 dny

    Asant hayo ni kweli

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub Před 20 dny

    Hao wajumbe ni wanafiki sana siku zote walikuwa wapi

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 Před 20 dny

    Wewe kigeugeu sana. Wiki iliyopita ulisema nn kuhusu MO

  • @user-xc4ti6qq7o
    @user-xc4ti6qq7o Před 20 dny

    Moo atoke Hana heshima anaanabiashara nyingi hayupo bize na Tim atoke nae

  • @yusuphwaziri
    @yusuphwaziri Před 20 dny

    Wakati sisi tunashiriki shirikisho mlisema kombe la kuku vpi nyinyi mbona mmeangukia apoapo mwaka huu mtakoma (mbunga)mbaju

  • @godlivingjohn4603
    @godlivingjohn4603 Před 20 dny

    Kweli unachosema nakuunga mkono ht na miguu mtaani hatuna raha hapo kwenye uwongozi kuna shida

  • @jumaalmasjuma1700
    @jumaalmasjuma1700 Před 21 dnem +1

    Fikisheni jumbe zenu bila kutumia vyombo rasmi
    Vinginevyo mtakuwa kafara za wengine ila nyie mtakuwa mmeumia

  • @samsonpopat1474
    @samsonpopat1474 Před 20 dny

    Ukweli waondoke Hawa viongozi

  • @chedielimrutu6955
    @chedielimrutu6955 Před 20 dny

    Na mimi naunga mkono watoke. Walikuwa wapi hadi leo mambo yamefikia hapo wanaanza blaa blaa. Heri tuanze upyaaaa kuliko kiendelea kudhalilika.

  • @bedomgwalupogo2652
    @bedomgwalupogo2652 Před 20 dny

    Hao siyo wajumbe wa SIMBA SC bali t waliletwa kwa ajili ya kuivunga timu kwa makurdi. Hiyo ndiyo faida ya mwanachama kupiga kura kufuata chako. Mtuliye na midomo yenu

  • @mohammedhimba1647
    @mohammedhimba1647 Před 20 dny

    Kwani ni nyinyi tu mpo shilikisho mbona kuna wengi waliokuwa mabigwa wapo shilikisho...

  • @user-ps6eh4ll8o
    @user-ps6eh4ll8o Před 20 dny

    Waiache Simba wakafanye kazi zingine

  • @uklife5232
    @uklife5232 Před 20 dny

    MO ni bwana wenu maana hela hajaeka lkn munamtetea ili iweje

  • @menaurukivuyo6796
    @menaurukivuyo6796 Před 20 dny

    Sajilini wachezaji wenye pawa na maarifa , kwani sisi kama washabiki wa Simba tunaumia sehemu Kubwa

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv Před 20 dny

    Mimi nimekuelewa sana Yani tumepotea sana

  • @IddyyFumbwe
    @IddyyFumbwe Před 20 dny

    Safari ijayo mnakula 10

  • @kassimntara6901
    @kassimntara6901 Před 19 dny

    Toka mwanzo ninyi wenye sauti mngetusikiliza akina yahe pamoja na akina meja,mwenda,tungeijenga mapema timu yetu,bado Mangungu na wenzake kama hawataki watolewe kwa nguvu ya wanachama

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 Před 20 dny

    Viongozi walio baki ambao hawataki kujiuzulu wote wana njaa tu maana wenye pesa hawakutaka kudhalikika wameamua kuachia ngazi mapema

  • @nassibdoma5408
    @nassibdoma5408 Před 20 dny

    Upo sahihi mkuu kiukweli Hata mm sioni tatizo Kwa mo ila tatizo lipo Kwa viongozi wanao tuwakilisha wanachama wakiongozwa na mangungu wote hawa hawatufai

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 Před 10 dny

    Mwekeeni Mangungu madawa ya kulevya kwenye gari na ofisini mwake na muite police .. ili akamatwe na afungwe jela miaka 20.. mchague mwenyekiti mwingine! period wacheni kutikisa kiuno deal with him!

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub Před 20 dny

    Kweli kabisa moo kaibeba simba mda mrefu,pia ni mtu poa sana namkubali sana hana makuu kabisa

    • @pillymalicky7495
      @pillymalicky7495 Před 20 dny

      Hamumjui vizuri MO,anapenda matukio aliivizia akaipata,mtamjuia baadae

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Před 20 dny

    wote muta sema kipindi kile uli kuwa m bishi sasa upo na sisi aya nguvu moja mpaka tuwa towe

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Před 20 dny

    Usiombe Simba kuuzwa ikiwa hali hii utalia utakapolipwa za Uganda badala ya USA$ Omba tusawazishe ili tupande vizuri tuombe tuvune Vizuri
    Dr. Mo nakuelewa Mi moyo unalia kwa ya baade Kuna mazuri saana mbele ikiwa tutatafakari tuta furahi , kucheka saana na tutalia kama hatutazingatia

  • @MohamedMjeng
    @MohamedMjeng Před 20 dny

    Vita vya panzi ni furaha Kwa kunguru.

  • @IddyyFumbwe
    @IddyyFumbwe Před 20 dny

    SHIDA YENU ubishi na majivuno, hamjui tranfomatin zinavyofanywa na hamtaki kujifunza, nendeni KWA injinia mkajifunze.

  • @user-ld6fy2fi5s
    @user-ld6fy2fi5s Před 20 dny

    Nachokiona kwa mo dewij hana nguvu ya mamulaka haiwezekani yeye ndo muwekezaji alafu ashindwe ata kuwataja na kuwatimua wahujumu timu ndo maana hao wapigaji walisababisha viongozi wenye uchungu na simba waonekane ndo wahujumu timu kama manara na babra

  • @YekoniaLivingstone
    @YekoniaLivingstone Před 20 dny

    Mwamba unasema kweli viongozi lazima wanyumbulike,wawe wa wazi Kwa haraka Kwa habari nzuri au mbaya bila kuacha mashaka Kwa kilabu kubwa kama hii barani Africa, viongozi amukeni kukaa kimya ni dalili zote za kuachia ngazi,simba ni yetu sote ,ni fahari Kwa sisi mashabiki na WA Tanzania

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s Před 20 dny

    Sasa kama mfanyakazi hadi amuone boss wake ndo anahamasika kufanya kazi nawaza meneja wa mabasi ya shabiby anavyoteseka kupanda mabasi yote kila siku ili wafanyakazi wahamasike🤣🤣🤣😅

  • @user-pf5zc6xi9w
    @user-pf5zc6xi9w Před 20 dny

    Lakini mo sikanunua alafu mnatupigia kelele

  • @JumaNurudini
    @JumaNurudini Před 20 dny

    Kwanza nyie wanachama ndo tatizo mnahongwa mnatusaliti sisi mashabiki tunawaona

  • @omarkipotwile9052
    @omarkipotwile9052 Před 20 dny

    Mo umeongea nondo sana, ila waandishi wa habari wajifunze kuuliza maswali, maana maswali yao yamekaa kiudaku sana

  • @kigesomichael8061
    @kigesomichael8061 Před 20 dny

    Waachie gaz

  • @antonyndinga8890
    @antonyndinga8890 Před 20 dny

    Umeongea sahihi

  • @jamesmartin7026
    @jamesmartin7026 Před 20 dny

    Huyu jamaa anasema, sisi hatutaki, sisi hivi, sisi vile...Anavyosema sisi anamaanisha anamuwakilisha nani Na hayo mamlaka ya kuwakilisha anepewa na nani?

  • @antonyndinga8890
    @antonyndinga8890 Před 20 dny

    Mo kuunda kamati ya usajiri yupo sahihi, kwa kuwa viongozi wa simba wamesajili kwa miaka mitatu sasa imekuwa ni usanii tuu

  • @jumakisena7317
    @jumakisena7317 Před 19 dny

    Toa mo na viongoz wa bodi tuanze upya apatikane mwekezaji mpya

  • @YusuphMchomvu
    @YusuphMchomvu Před 20 dny

    Ila waha!!!!

  • @user-vw6ic4ho4r
    @user-vw6ic4ho4r Před 20 dny

    Yaani tulipokwama hatupajui,,,hata wakichaguliwa wengine tatizo bado lipo palepale,,,MFUMO

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 Před 20 dny

    Na WWE hueleweki juzi unajitapa usajiri unaoendelea ndani ya SIMBA Leo unasema bado hamujaanza USAJILI🤣🤣🤣🤣

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Před 20 dny

    Hiv mashabk wa p wanalunyasi tunashindwa kushinikiza hawa watu kuwaondoaa kwenye timu? Mbona tumekaa kinyonge saana, na tunakaa kuwasikiliza wapuuuzi wale na CPA waoo?

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn Před 20 dny

    Tupo na mo dewj

  • @user-zq1hy1ec5n
    @user-zq1hy1ec5n Před 20 dny

    Dk hayo yote uliyoyasema tunakuunga mkono hatuwezi kuwa wizi wa fadhila kwamfadhili wetu mo dew

  • @user-ek7tp2fg8t
    @user-ek7tp2fg8t Před 20 dny +1

    Wewe ndiyo uliyo ongea ni me kuelewa kabisa nasikia kila kiongozi ana mchechaji wasimba wake

    • @bensonmbuya-if1fc
      @bensonmbuya-if1fc Před 20 dny

      Shunduu hacha uongo hio sio kauli ya wanachama wa simba.mpaka iwe kauli ya wanachama itisheni mkutano mkuu (AGM) ndio tutasema huo ni mkutano mkuu!?

    • @bensonmbuya-if1fc
      @bensonmbuya-if1fc Před 20 dny

      Shunduu hao viongozi mliwachagua kwa mkutano mkuu jua kwamba ili watoke inabidi mwitishe mkutano mkuu tena mwazimie wote kama wanachama ndio mnaweza kuwa to a kikatiba .!!

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 Před 20 dny

    Hao wanaotaka kumnyang'anya timu ni kina nani aisee , wasituchanganye , mangungu hivi nae anaijua nafasi yake kweli

  • @JumaSeifu-de1xj
    @JumaSeifu-de1xj Před 20 dny

    We ni muongo

  • @user-bc2wd1sq3k
    @user-bc2wd1sq3k Před 20 dny

    Kama katiba ya simba itolewe mwaka mzima hadi vijijini iwafikie waijue ili kujua mapungufu,hiyo ni katiba ya simba je katba ya inchi ichukue miaka mingapi, katiba si jambo la mchezo ndio jambo linakwenda tafakari usawa wa mwanadamu si kitu cha kukurupuka

  • @user-gs2ir3bg4j
    @user-gs2ir3bg4j Před 20 dny

    Hao wasenge watupishe

  • @saidinyakayemba490
    @saidinyakayemba490 Před 20 dny

    Mnaogopa MO akiondoka mutafeli😂😂😂

    • @user-gr9wc7bc2m
      @user-gr9wc7bc2m Před 20 dny

      Unakumba manji alipoondoka mliferi vibaya sisi tunajua mpira ni fedha

  • @user-ej4ds8ip3k
    @user-ej4ds8ip3k Před 18 dny

    Simb nguvu Moja semakabisa watoke

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka4625 Před 20 dny

    AHSANTE DOKTA MO, NI MWANZO MZURI

  • @user-ek7tp2fg8t
    @user-ek7tp2fg8t Před 20 dny

    Kwanza wanachama wasimba mbona amueleweki

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 Před 20 dny

    Yaani Hawa ndio mashabiki kindakindaki,wafurukutwa wa kweli,safi sana watani zetu,pambaneni haswaa,kiukweli hao viongozi wenu wanatukera mpaka cc YANGA,maana hakuna YANGA bila SIMBA,cc furaha yetu nikuwapga nyingi sna watani na kuchukua makombe,hao wengine sio watani zetu kabisaaa,zetu dua tunawaombea WATANI ZETU💛💚💪💛💚💪💛💚💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏fukuzia mbali hao,fyekelea kuleee

  • @rebmannminja3671
    @rebmannminja3671 Před 20 dny

    Twendeni polepole tuache mihemko.

  • @DenisMwansasu
    @DenisMwansasu Před 20 dny

    Wote mlimuona mchome msaliti leo yako wapi nampaka mseme na mtasema mabado

  • @user-cw8jy7oe4b
    @user-cw8jy7oe4b Před 17 dny

    Hiii hatar

  • @user-rg4vd9fu8s
    @user-rg4vd9fu8s Před 20 dny

    👏👏👏👍👍

  • @user-jz1ur2ny5u
    @user-jz1ur2ny5u Před 20 dny

    Njaa hiyo fala wewe muhindi na mpila wapi na wapi

  • @masoudkipara3927
    @masoudkipara3927 Před 20 dny

    Wewe na saleh jembe mnalipwa kuitetea simba na tulikua tunawaambia kwmb mnasifia upuuzi asa leo unalalamka nn pumbav ww

  • @jurdanforwardersltd1460

    yote unayoyasema lakini utaratibu ufate na nani anakwamisha mchakato?

  • @salumchoma8731
    @salumchoma8731 Před 20 dny

    Kwani wakijiuzuru hiyo kamati ya mangungu itakuwa ndiyo mo haidai Tena Simba au?

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale Před 19 dny

    Na ww ni msemaj wa timu gan au ndo walewale wakina MCHOME MAVI

  • @FrankCharles-dr6dy
    @FrankCharles-dr6dy Před 20 dny

    Kama muekezaji anamatatizo mbona mlikaa kimya hadi minaambiwa kujiuzuru ndiyo mnaanza kuongea nyie achiyen wanaojua kuongoza

  • @frankmlinda1181
    @frankmlinda1181 Před 20 dny

    Naomba msimu ujao Simba ishuke daraja manina zenu😂😂😂😂😂