Safi sana nyinyi ndo mtanatakiwa kuwa viongozi Dr nakuomba sana ugombee sehemu Moja ya uongozi apo Simba tena ngazi ya juu ile ya kuhoji plz tusaidie kaka mm nakuona ww unaweza awo wengine watupishe awatufai kabisa
Dr Mo hueleweki Mara Moo atuachie timu sasa Leo baada kupata Takrima kutoka kwa Tapeli Moo. Moo ni mwizi ni Gabacholi Duuhhh kweli pesa mbaya hata wewe Dr. Mo huna lolote Moo hafai ni jambazi na ndie mbabaishaji.
Mpaka Sasa picha inaonyesha Simba haina dira wala mwelekeo.viongozi wote wa Simba nikwa ajili ya matumbo yao.timu inakopa haijui lengo la anayetoa pesa na anayetoa pesa hajui yeye ni nani. Mo ni tapeli na viongozi ni matapeli wakizamani.wajitafakari viongozi, mashabiki na wanachama. Iko siku tutaitafuta Simba mahakamani
@@MgangaMasudi tatizo jina na akili yako vinafanana. mpira na mganga wapi na wapi. Nimeucheza nakuuongoza japo ligi ya mkoa. Naujua kuliko unavyoijua. Upuuzi wako nikutojua unashabikia mpira au pesa
Umesahau moja tu tatizo limeanzia kwa Wanachama huu ni utatu wa tatizo wanachama + upande wa wanachama + upqnde wa mwekezaji. Kimsingi wewe pia ni Tatizo kwa sasa.
Uo uoga, TOA mo tengeneza MFUMO SAHIHI ACHA uoga, HIVYO unavyosems Simba ilipanda SABABU ya covid tim NYINGI ziliathirika, aipandishe SASA ilipo KWENDA MBELE.
Jamani Mo Dewj asitoke ila Mangungu na Try Again waondoke kabisa hawana faida kwetu hebu Mohamed Dewj atatufikisha mbali sana pamoja na ametoa pesa nyingi ndani ya klabu asijali
Hao siyo wajumbe wa SIMBA SC bali t waliletwa kwa ajili ya kuivunga timu kwa makurdi. Hiyo ndiyo faida ya mwanachama kupiga kura kufuata chako. Mtuliye na midomo yenu
Toka mwanzo ninyi wenye sauti mngetusikiliza akina yahe pamoja na akina meja,mwenda,tungeijenga mapema timu yetu,bado Mangungu na wenzake kama hawataki watolewe kwa nguvu ya wanachama
Upo sahihi mkuu kiukweli Hata mm sioni tatizo Kwa mo ila tatizo lipo Kwa viongozi wanao tuwakilisha wanachama wakiongozwa na mangungu wote hawa hawatufai
Mwekeeni Mangungu madawa ya kulevya kwenye gari na ofisini mwake na muite police .. ili akamatwe na afungwe jela miaka 20.. mchague mwenyekiti mwingine! period wacheni kutikisa kiuno deal with him!
Usiombe Simba kuuzwa ikiwa hali hii utalia utakapolipwa za Uganda badala ya USA$ Omba tusawazishe ili tupande vizuri tuombe tuvune Vizuri Dr. Mo nakuelewa Mi moyo unalia kwa ya baade Kuna mazuri saana mbele ikiwa tutatafakari tuta furahi , kucheka saana na tutalia kama hatutazingatia
Nachokiona kwa mo dewij hana nguvu ya mamulaka haiwezekani yeye ndo muwekezaji alafu ashindwe ata kuwataja na kuwatimua wahujumu timu ndo maana hao wapigaji walisababisha viongozi wenye uchungu na simba waonekane ndo wahujumu timu kama manara na babra
Mwamba unasema kweli viongozi lazima wanyumbulike,wawe wa wazi Kwa haraka Kwa habari nzuri au mbaya bila kuacha mashaka Kwa kilabu kubwa kama hii barani Africa, viongozi amukeni kukaa kimya ni dalili zote za kuachia ngazi,simba ni yetu sote ,ni fahari Kwa sisi mashabiki na WA Tanzania
Sasa kama mfanyakazi hadi amuone boss wake ndo anahamasika kufanya kazi nawaza meneja wa mabasi ya shabiby anavyoteseka kupanda mabasi yote kila siku ili wafanyakazi wahamasike🤣🤣🤣😅
Huyu jamaa anasema, sisi hatutaki, sisi hivi, sisi vile...Anavyosema sisi anamaanisha anamuwakilisha nani Na hayo mamlaka ya kuwakilisha anepewa na nani?
Hiv mashabk wa p wanalunyasi tunashindwa kushinikiza hawa watu kuwaondoaa kwenye timu? Mbona tumekaa kinyonge saana, na tunakaa kuwasikiliza wapuuuzi wale na CPA waoo?
Shunduu hao viongozi mliwachagua kwa mkutano mkuu jua kwamba ili watoke inabidi mwitishe mkutano mkuu tena mwazimie wote kama wanachama ndio mnaweza kuwa to a kikatiba .!!
Kama katiba ya simba itolewe mwaka mzima hadi vijijini iwafikie waijue ili kujua mapungufu,hiyo ni katiba ya simba je katba ya inchi ichukue miaka mingapi, katiba si jambo la mchezo ndio jambo linakwenda tafakari usawa wa mwanadamu si kitu cha kukurupuka
Yaani Hawa ndio mashabiki kindakindaki,wafurukutwa wa kweli,safi sana watani zetu,pambaneni haswaa,kiukweli hao viongozi wenu wanatukera mpaka cc YANGA,maana hakuna YANGA bila SIMBA,cc furaha yetu nikuwapga nyingi sna watani na kuchukua makombe,hao wengine sio watani zetu kabisaaa,zetu dua tunawaombea WATANI ZETU💛💚💪💛💚💪💛💚💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏fukuzia mbali hao,fyekelea kuleee
Upo vizuri hao viongozi wetu upande wa wanachama ndio tatizo
Upo sahihi daktari Mo huo ndo uzalendo kwenye klabu Simba nguvu moja
Safi sana nyinyi ndo mtanatakiwa kuwa viongozi Dr nakuomba sana ugombee sehemu Moja ya uongozi apo Simba tena ngazi ya juu ile ya kuhoji plz tusaidie kaka mm nakuona ww unaweza awo wengine watupishe awatufai kabisa
Tunaomba Mo asituache Simba Kwani hiyo ni timu yako na umeitoa mbali Simba inanembo yako
Uko sahihi Dr Mo
Mangungu ajiudhuru
Dr Mo hueleweki Mara Moo atuachie timu sasa Leo baada kupata Takrima kutoka kwa Tapeli Moo. Moo ni mwizi ni Gabacholi Duuhhh kweli pesa mbaya hata wewe Dr. Mo huna lolote Moo hafai ni jambazi na ndie mbabaishaji.
KWANINI HAWO WANAOIHUJUMU SIMBA WATOLEWE AU WAFUKUZWE .MO DEVJI ABAKI HATUKUBALI AJIUZURU.
Kweli
sema dr mo wambie hao majambazi waliotukwamisha mpaka shirikisho hao watu wakome mo wetu anatosha katutoa mbali sana mo
We pumbavu huna Akili JAMBAZI NI MOOO WE DUNDUKA UTABAKI KUWA KOROMA JAMBAZI NI MOO MWENYEWE JIZZIIII GABACHOLIII
Kimyakimya mnajifunza Yanga, dadeki ....., mmejikuta lazima mmpigie salute Engineer Hersi,, mbafuu....
Kama nyie mlivyojifunza kutoka Kwa simbasc
@@allyhuyu1892 Absolutely dear!
Mpaka Sasa picha inaonyesha Simba haina dira wala mwelekeo.viongozi wote wa Simba nikwa ajili ya matumbo yao.timu inakopa haijui lengo la anayetoa pesa na anayetoa pesa hajui yeye ni nani. Mo ni tapeli na viongozi ni matapeli wakizamani.wajitafakari viongozi, mashabiki na wanachama. Iko siku tutaitafuta Simba mahakamani
Mpuzi tu
Unaongea upuzi tu
@@MgangaMasudi tatizo jina na akili yako vinafanana. mpira na mganga wapi na wapi. Nimeucheza nakuuongoza japo ligi ya mkoa. Naujua kuliko unavyoijua. Upuuzi wako nikutojua unashabikia mpira au pesa
Mo ana njaa gani mpaka awe mpigaji kwa Simba
safi ulicho ongea nokweli
Mungungu aachie timu uongozi hawez
Wote watumbuliwe tu,hawana uchungu na simba
Mangungu ni pan Africa anatoa Siri za ndani anapeleka yanga kwanini anang'ang'ania team mangungu ni mvuta bangi wajumbe wote wahuni
usiwe kinabo, penye ugali hakuna mtu anaachia ngazi
Umesahau moja tu tatizo limeanzia kwa Wanachama huu ni utatu wa tatizo wanachama + upande wa wanachama + upqnde wa mwekezaji. Kimsingi wewe pia ni Tatizo kwa sasa.
Dawa Ni zote kamati ya Mo dewji,na kamati ya Mangungu zitoke..zijiuzulu.wote Ni majizi,majambazi..wanashirikiana ,Ni kamchezo wanacheza
👍👍KWA TUKO NAE
ILA HAO WANACHAMA NI MBWAAAA WAKUBWAA
Mangungu na tiageni pamoja nawa jumbe wote hatuwa taki sisi Wana chama na mashabiki tuna mkubali mooo
We Dr Mo ulivo kama sigala kali
😂 Ila shida posho
Ndio maana Africa tulitawaliwa yn mtu unaita Media kuja kumkubali tapali kisa ngozi nyeusi
Ili usipishane na katiba sema kikao cha mashabiki wa simba
bwana hao viongozi hawafai kumanina zao hao wametupeleka shirikisho inauma sana wanang'ang'ania madaraka simba ya babaao watoke hao mo anatosha bwana wambie hao viongozi watoke
Thanks inawahusu mwenyekiti na kundi lake kama walitoa kwa MOSES PHIRI na BALEKE nao wapewe haraka maana uongozi wao ni wahovyo
Wamekosa uwezo, hujuma ina maana wana uwezo lakini wanafanya makusudi
kwa kweli leo nime kuwe lewa sana
Uo uoga, TOA mo tengeneza MFUMO SAHIHI ACHA uoga, HIVYO unavyosems Simba ilipanda SABABU ya covid tim NYINGI ziliathirika, aipandishe SASA ilipo KWENDA MBELE.
Hapo umeongea vzr
Jamani Mo Dewj asitoke ila Mangungu na Try Again waondoke kabisa hawana faida kwetu hebu Mohamed Dewj atatufikisha mbali sana pamoja na ametoa pesa nyingi ndani ya klabu asijali
Ni kweli doctor Mo kuna mijitu mingine ipo kuihujumu Simba, wote wajiuzuru
Poleni wataniwetu kwakweli Hali ni tete na msipoangalia ata msim ujao tutuwaburuza sanandimi mr mbunga mbaju
We hujielewe Yani we kigeugeu
Ila we mshikaji, ni kigeugeu sana, shida njaa kali, we sindiyo ulikuwa unahoji namna ya uwekezaji wa Mo, juzi hapa. 😅😅
Mangungu timu umeshndwa sepaa
Tusimame na mo
Kwani shida nn hawataki kuachia ngazi ebu tuulizane
hilo neno "transformation" unalitaja taja kama unalijua. daadeq
Viongozi ni kupe wananyonywa damu hadi iishe
Safi sana mud
Uko sahihi
Asant hayo ni kweli
Hao wajumbe ni wanafiki sana siku zote walikuwa wapi
Wewe kigeugeu sana. Wiki iliyopita ulisema nn kuhusu MO
Moo atoke Hana heshima anaanabiashara nyingi hayupo bize na Tim atoke nae
Wakati sisi tunashiriki shirikisho mlisema kombe la kuku vpi nyinyi mbona mmeangukia apoapo mwaka huu mtakoma (mbunga)mbaju
Kweli unachosema nakuunga mkono ht na miguu mtaani hatuna raha hapo kwenye uwongozi kuna shida
Fikisheni jumbe zenu bila kutumia vyombo rasmi
Vinginevyo mtakuwa kafara za wengine ila nyie mtakuwa mmeumia
Ukweli waondoke Hawa viongozi
Na mimi naunga mkono watoke. Walikuwa wapi hadi leo mambo yamefikia hapo wanaanza blaa blaa. Heri tuanze upyaaaa kuliko kiendelea kudhalilika.
Hao siyo wajumbe wa SIMBA SC bali t waliletwa kwa ajili ya kuivunga timu kwa makurdi. Hiyo ndiyo faida ya mwanachama kupiga kura kufuata chako. Mtuliye na midomo yenu
Kwani ni nyinyi tu mpo shilikisho mbona kuna wengi waliokuwa mabigwa wapo shilikisho...
Waiache Simba wakafanye kazi zingine
MO ni bwana wenu maana hela hajaeka lkn munamtetea ili iweje
Sajilini wachezaji wenye pawa na maarifa , kwani sisi kama washabiki wa Simba tunaumia sehemu Kubwa
Mimi nimekuelewa sana Yani tumepotea sana
Safari ijayo mnakula 10
Toka mwanzo ninyi wenye sauti mngetusikiliza akina yahe pamoja na akina meja,mwenda,tungeijenga mapema timu yetu,bado Mangungu na wenzake kama hawataki watolewe kwa nguvu ya wanachama
Viongozi walio baki ambao hawataki kujiuzulu wote wana njaa tu maana wenye pesa hawakutaka kudhalikika wameamua kuachia ngazi mapema
Upo sahihi mkuu kiukweli Hata mm sioni tatizo Kwa mo ila tatizo lipo Kwa viongozi wanao tuwakilisha wanachama wakiongozwa na mangungu wote hawa hawatufai
Mwekeeni Mangungu madawa ya kulevya kwenye gari na ofisini mwake na muite police .. ili akamatwe na afungwe jela miaka 20.. mchague mwenyekiti mwingine! period wacheni kutikisa kiuno deal with him!
Kweli kabisa moo kaibeba simba mda mrefu,pia ni mtu poa sana namkubali sana hana makuu kabisa
Hamumjui vizuri MO,anapenda matukio aliivizia akaipata,mtamjuia baadae
wote muta sema kipindi kile uli kuwa m bishi sasa upo na sisi aya nguvu moja mpaka tuwa towe
Usiombe Simba kuuzwa ikiwa hali hii utalia utakapolipwa za Uganda badala ya USA$ Omba tusawazishe ili tupande vizuri tuombe tuvune Vizuri
Dr. Mo nakuelewa Mi moyo unalia kwa ya baade Kuna mazuri saana mbele ikiwa tutatafakari tuta furahi , kucheka saana na tutalia kama hatutazingatia
Vita vya panzi ni furaha Kwa kunguru.
SHIDA YENU ubishi na majivuno, hamjui tranfomatin zinavyofanywa na hamtaki kujifunza, nendeni KWA injinia mkajifunze.
Nachokiona kwa mo dewij hana nguvu ya mamulaka haiwezekani yeye ndo muwekezaji alafu ashindwe ata kuwataja na kuwatimua wahujumu timu ndo maana hao wapigaji walisababisha viongozi wenye uchungu na simba waonekane ndo wahujumu timu kama manara na babra
Mwamba unasema kweli viongozi lazima wanyumbulike,wawe wa wazi Kwa haraka Kwa habari nzuri au mbaya bila kuacha mashaka Kwa kilabu kubwa kama hii barani Africa, viongozi amukeni kukaa kimya ni dalili zote za kuachia ngazi,simba ni yetu sote ,ni fahari Kwa sisi mashabiki na WA Tanzania
Sasa kama mfanyakazi hadi amuone boss wake ndo anahamasika kufanya kazi nawaza meneja wa mabasi ya shabiby anavyoteseka kupanda mabasi yote kila siku ili wafanyakazi wahamasike🤣🤣🤣😅
Lakini mo sikanunua alafu mnatupigia kelele
Kwanza nyie wanachama ndo tatizo mnahongwa mnatusaliti sisi mashabiki tunawaona
Mo umeongea nondo sana, ila waandishi wa habari wajifunze kuuliza maswali, maana maswali yao yamekaa kiudaku sana
Waachie gaz
Umeongea sahihi
Huyu jamaa anasema, sisi hatutaki, sisi hivi, sisi vile...Anavyosema sisi anamaanisha anamuwakilisha nani Na hayo mamlaka ya kuwakilisha anepewa na nani?
Mo kuunda kamati ya usajiri yupo sahihi, kwa kuwa viongozi wa simba wamesajili kwa miaka mitatu sasa imekuwa ni usanii tuu
Toa mo na viongoz wa bodi tuanze upya apatikane mwekezaji mpya
Ila waha!!!!
Yaani tulipokwama hatupajui,,,hata wakichaguliwa wengine tatizo bado lipo palepale,,,MFUMO
Na WWE hueleweki juzi unajitapa usajiri unaoendelea ndani ya SIMBA Leo unasema bado hamujaanza USAJILI🤣🤣🤣🤣
Hiv mashabk wa p wanalunyasi tunashindwa kushinikiza hawa watu kuwaondoaa kwenye timu? Mbona tumekaa kinyonge saana, na tunakaa kuwasikiliza wapuuuzi wale na CPA waoo?
Tupo na mo dewj
Dk hayo yote uliyoyasema tunakuunga mkono hatuwezi kuwa wizi wa fadhila kwamfadhili wetu mo dew
Wewe ndiyo uliyo ongea ni me kuelewa kabisa nasikia kila kiongozi ana mchechaji wasimba wake
Shunduu hacha uongo hio sio kauli ya wanachama wa simba.mpaka iwe kauli ya wanachama itisheni mkutano mkuu (AGM) ndio tutasema huo ni mkutano mkuu!?
Shunduu hao viongozi mliwachagua kwa mkutano mkuu jua kwamba ili watoke inabidi mwitishe mkutano mkuu tena mwazimie wote kama wanachama ndio mnaweza kuwa to a kikatiba .!!
Hao wanaotaka kumnyang'anya timu ni kina nani aisee , wasituchanganye , mangungu hivi nae anaijua nafasi yake kweli
We ni muongo
Kama katiba ya simba itolewe mwaka mzima hadi vijijini iwafikie waijue ili kujua mapungufu,hiyo ni katiba ya simba je katba ya inchi ichukue miaka mingapi, katiba si jambo la mchezo ndio jambo linakwenda tafakari usawa wa mwanadamu si kitu cha kukurupuka
Hao wasenge watupishe
Mnaogopa MO akiondoka mutafeli😂😂😂
Unakumba manji alipoondoka mliferi vibaya sisi tunajua mpira ni fedha
Simb nguvu Moja semakabisa watoke
AHSANTE DOKTA MO, NI MWANZO MZURI
Kwanza wanachama wasimba mbona amueleweki
Yaani Hawa ndio mashabiki kindakindaki,wafurukutwa wa kweli,safi sana watani zetu,pambaneni haswaa,kiukweli hao viongozi wenu wanatukera mpaka cc YANGA,maana hakuna YANGA bila SIMBA,cc furaha yetu nikuwapga nyingi sna watani na kuchukua makombe,hao wengine sio watani zetu kabisaaa,zetu dua tunawaombea WATANI ZETU💛💚💪💛💚💪💛💚💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏fukuzia mbali hao,fyekelea kuleee
Twendeni polepole tuache mihemko.
Wote mlimuona mchome msaliti leo yako wapi nampaka mseme na mtasema mabado
Hiii hatar
👏👏👏👍👍
Njaa hiyo fala wewe muhindi na mpila wapi na wapi
Wewe na saleh jembe mnalipwa kuitetea simba na tulikua tunawaambia kwmb mnasifia upuuzi asa leo unalalamka nn pumbav ww
yote unayoyasema lakini utaratibu ufate na nani anakwamisha mchakato?
Kwani wakijiuzuru hiyo kamati ya mangungu itakuwa ndiyo mo haidai Tena Simba au?
Na ww ni msemaj wa timu gan au ndo walewale wakina MCHOME MAVI
Kama muekezaji anamatatizo mbona mlikaa kimya hadi minaambiwa kujiuzuru ndiyo mnaanza kuongea nyie achiyen wanaojua kuongoza
Naomba msimu ujao Simba ishuke daraja manina zenu😂😂😂😂😂
k-baba bake