Penati | Yanga SC 1-3 Simba SC | Ngao ya Jamii - 13/08/2023

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 08. 2023
  • Tazama ushujaa wa golikipa wa Simba SC, Ally Salim akidaka penati tatu. Adaka penati ya Khalid Aucho, Pacome na Yao.
    Diarra adaka penati ya Saidi Ntibazonkiza
  • Sport

Komentáře • 639

  • @singidaprincetz1883
    @singidaprincetz1883 Před 11 měsíci +6

    Mungu azidi kumlinda na kumpa ujuzi kilaaa kukicha ally salumu katoro 🤲🏿🤲🏿🤲🏿💯 pia na wachezaji wetu wa Simba nguvu moja 🔥🔥🙏🙏

  • @protaspeter5371
    @protaspeter5371 Před 11 měsíci +10

    Alieona baada ya onana kufunga penat yake alitud na kumwambia baleke asijifikirie Sana mpaka kipa ajipange kamwambia akifika chagua angle we piga tu na kweli baleke hakujifikiria sana

  • @Shemu199
    @Shemu199 Před 11 měsíci +5

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ Ali salim apewe mauayake liki zakutosha

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 Před 11 měsíci +4

    Simba Sc ni Taifa kubwa ndani ya Taifa kubwa jingune🦁💪🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 11 měsíci +3

    🦁🦁🦁🦁❤️❤️❤️❤️ Asnte simba maua yako Ally Salim 🙌🎉🎉🎉🎉

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 Před 11 měsíci +2

    Yaani tayar iko namba 1 on TRENDING .. simba mnasifa

  • @beatricesway5782
    @beatricesway5782 Před 9 měsíci +2

    Hii siku nililia kwa furaha sana😢❤❤❤❤❤

  • @Emiliana97
    @Emiliana97 Před 11 měsíci +5

    Anadaka mpaka stress zetu za mapenzi 🤣🤣🤣

  • @CoradaAndrea-vf9kd
    @CoradaAndrea-vf9kd Před 11 měsíci +1

    ❤❤❤❤❤ nitaipenda Simba mpaka kufa 🎉🎉🎉

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Před 11 měsíci +2

    Kwakweli
    Mimi binafsi
    Sina wa kumlaumu❤ ❤
    Yanga ilicheza Vizuri Saana
    Wanampira mzuri saaana❤n❤❤❤

  • @theobaldngobya7740
    @theobaldngobya7740 Před 11 měsíci +4

    simba sc wananipa raha kumoyo,simba nguvu moja

  • @hamisisalumu5388
    @hamisisalumu5388 Před 11 měsíci +2

    Shukran sana, ila bidii zinahitajik

  • @amosemmanuel3528
    @amosemmanuel3528 Před 11 měsíci +4

    Mimi ni Yanga yaani namanisha utoporo asante simba kwa kutukanda😅

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 11 měsíci +4

    Mgunda baba yangu nimeshakumis Kwa kweli huyu Mzungu kichefu chefu tu hapo

  • @yasintakahamba1320
    @yasintakahamba1320 Před 11 měsíci +5

    Ali salimu , ulaya inakuita kaka angu tuna kushukulu sana

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Před 11 měsíci +3

    Wanasimbaaaaaaaa hataharingiiii❤❤❤❤❤❤

  • @StelaAsukilekilalakherisimba
    @StelaAsukilekilalakherisimba Před 11 měsíci +2

    Ali salimu umejua kutufulaisha. Pambana mdogo wangu.❤❤❤❤❤❤❤

  • @Kevin_davi
    @Kevin_davi Před 11 měsíci +3

    Huyu ally salim ni Tanzania one unyama mwingi❤

  • @godfreyfussy8360
    @godfreyfussy8360 Před 11 měsíci +4

    Sawa anawahi kutoka ndo mupige penalt zote kulekule 😂

  • @user-fh8kn8ll3r
    @user-fh8kn8ll3r Před 11 měsíci +3

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ unyama mwingi nguvu moja

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 11 měsíci +5

    Mbona hata dr aliruka kama ali salimu kudaka penalt y saidoo?!

  • @CeciliaIssa-wv1rg
    @CeciliaIssa-wv1rg Před 11 měsíci +2

    Hongera simba yangu mm nawe forever❤❤❤😂😂

  • @johnmogha4842
    @johnmogha4842 Před 11 měsíci +1

    Love ue simba huu n mwanzo tu thanks God

  • @suzypaul4559
    @suzypaul4559 Před 11 měsíci +3

    Simba yangu nakupenda Sana Ila kocha anamasiara Sana tuache utani

  • @FranceChihongo-qu5nn
    @FranceChihongo-qu5nn Před 11 měsíci +4

    Ila hawa wapiga penat wa yanga kwakweli hawajatumia akili ila wamepiga tu ilimladi . Penat nzuri niliyoipenda ni hiyo aliyopiga mzamilu

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před 11 měsíci +18

    Hii siku nililia Kwa furaha

  • @user-vu9gr8ml3q
    @user-vu9gr8ml3q Před 11 měsíci +2

    Simba hatuna kocha anazingua sana

  • @vumiliarichard9347
    @vumiliarichard9347 Před 11 měsíci +2

    #simbaaa nguv moja🦁🦁💪🏾💪🏾💪🏾

  • @agripinaapolinary1362
    @agripinaapolinary1362 Před 11 měsíci +3

    Simba nguvu MOJA❤❤❤

  • @franccoz94
    @franccoz94 Před 11 měsíci +5

    TUNAOMBA MGUNDA APEWE TEAM YAKE

    • @user-gr9wc7bc2m
      @user-gr9wc7bc2m Před 11 měsíci

      Mgunda wenu alitukoshesha ubingwa sale kibao

  • @Phat-23
    @Phat-23 Před 11 měsíci +5

    UWANJA WA MIKOANI SIMBA HATUWEZI KWASAB HAIKO STABLE, SIMBA MPIRA WA PASI WA CHINI NDO TUNACHEZA SAS MKOANI UWANJA MPIRA UNADUNDA SANA TATZO UWANJA SIO KOCHA , SIMBA 🔥

    • @ABELVILTV
      @ABELVILTV Před 11 měsíci

      Sababu ya kiwanja sahihi na kocha ni sahihi.. Kocha hawezi kupanga wachezaji na kufanya mabadiliko mapema pia hawezi... Inaonekana wazi kocha anampango wa kuprove baadhi ya wachezaji hawafai kwa kulazimisha kwanini chama asimpange na onana + phiri/ baleke

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před 11 měsíci +1

      Miii nakataa tatizo lipo kwa kocha wetu wa simba hawezi kumiliki mpira ndomana tumezidiwa umiliki wa mpira na yanga yeye anajua kushambulia kwa kasi tu lakini kukaba na kukaa na mpira hawezi

  • @SonieSaid-wy5uo
    @SonieSaid-wy5uo Před 11 měsíci +1

    Kaz nzur xna simbaaaa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @omarmussa3482
    @omarmussa3482 Před 11 měsíci +2

    Yaan mashabiki bana, hebu tuacheni mpira wa kizamani kama mnafikiri mnaweza kuwa makocha hebu muuvae huo uhusika kocha amefanya anachoona yeye kwake ni sahihi na sio nyinyi wa kumuelekeza, mchezo tumeshinda tuendelee kuipa moyo timu ili waweze kuchukua makombe zaidi na siyo kumponda kocha.

  • @evancefocus9215
    @evancefocus9215 Před 11 měsíci +4

    Tumeshinda lakini kocha sijamuelewa na BAdo simuelewi mgunda apewe timu haraka sana mbeleni tutaaaibika,phiri anaingia KWA ajili ya penati tu hii imeniuma sana kiukweli

  • @omarymuya142
    @omarymuya142 Před 11 měsíci +1

    Lasana simba I love you simba ❤💪💪💪💪

  • @allydaruweshi3417
    @allydaruweshi3417 Před 11 měsíci +1

    Kazii nzuri kwa Ally salimu🎉🎉🎉

  • @user-nf9bo2lm7v
    @user-nf9bo2lm7v Před 11 měsíci +24

    Ally Salim wanasimba tunaxhukur xan kwa mchango wako

  • @TumainielKitundu
    @TumainielKitundu Před 11 měsíci +5

    Hatuna marefa asee!! Huyu sindo alifeli mitihani CAF? anashindwa kutafsiri sheria? Kipa anatoka miguu yote kabla ya mpigaji kupiga

  • @user-pu3iz8oj2f
    @user-pu3iz8oj2f Před 11 měsíci +2

    Safi sana ali salimu 🎉

  • @PrivaTesha
    @PrivaTesha Před 11 měsíci +1

    I love you simba

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 Před 11 měsíci +3

    Bocco awe anakataa kucheza jamani awe mshauri wa timu kocha hovyo kabisa viongozi muwe makini

  • @aminaabdalla-uo9zq
    @aminaabdalla-uo9zq Před 15 dny +1

    Nikiimiss simb nkuj apa❤❤❤

  • @kishimbaboy5403
    @kishimbaboy5403 Před 11 měsíci +3

    Kocha sio level ya Simba,Tumeshinda lkn tumecheza mpira m'bov sana,iv kwa kiwango icho tutatoboa club bingwa

  • @herijuma2717
    @herijuma2717 Před 11 měsíci +4

    Hii sio sawa kipa anatoka kabla sio sawa marefa hawaoni au kusudi

  • @user-zg8df9zn3e
    @user-zg8df9zn3e Před 11 měsíci +3

    Ali Salim kipa kweli kweli

  • @AljuhaniAllyy-dg4ld
    @AljuhaniAllyy-dg4ld Před 11 měsíci +2

    Saido siku zote penati zake ni za kushikilia roho Sana kuna mtu juzi na singida kabla hajacheza nilimwambia saidoo hana ujuzi wa penati ipo siku atawaferisha baada ya kupiga tu yule jamaa alikubali maneno yangu yani penati zake zote zinafuatwa na kipa almanisura tu sasa na Leo aliko atakubali maneno yangu na pili simba hamna kocha pale

  • @michaelyona2479
    @michaelyona2479 Před 11 měsíci +3

    ("Boli itembeeee")
    Wapi mgundaaa come back.

  • @zafarmohamed9413
    @zafarmohamed9413 Před 11 měsíci +5

    mbona kipa wa simba anatoka kwenye line wakati inatakiwa hata mguu 1 ubaki ndani. zote alizodaka ni za kurudiwa

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 Před 11 měsíci +4

    Jamani maua yake kwa ali salm

  • @adreagochrizo5918
    @adreagochrizo5918 Před 8 měsíci +1

    Katoro anatoroka sana b4 mpigaji wa penati hasa ile ya pacomee

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 Před 11 měsíci +1

    Simba kama Simba👏👏👏

  • @khairatkhamis5845
    @khairatkhamis5845 Před 11 měsíci +2

    Heeeeeee wakwanza mm leo jamni simba ulaya pasi milioni simba sports club simba nguvu moja

    • @rithadonatus8110
      @rithadonatus8110 Před 11 měsíci +1

      Kawaida sana honestly simba mmeshambuliwa kinomaaa usinitukane lakini

    • @liboriusbabile1197
      @liboriusbabile1197 Před 11 měsíci

      Simba wanaitani kufanya jambo Ili waendelee kuwa salama.

    • @ProvinaMwailaph-en7bd
      @ProvinaMwailaph-en7bd Před 11 měsíci

      @@rithadonatus8110 si ajabu kwani kombe lilopita yanga walishambuliwa sana then wakashinda ajabu nini apo

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv Před 11 měsíci

      Tuwe wakweli Hamna kitu.... Timu nyepesi saaana... Yanga wameenea kila eneo leo.... Penalty kawaida haina ufundi.... Tusitegemee kwenda kwa Penalty huko mbele kuzito.... Timu nyepesi kocha mwepesi jamani tusitiane ndimu.... Musitukane lakini huu ndo ukweli na kila mmoja wetu anajua hata ukitukana....

  • @DaudiElisha-wj8qt
    @DaudiElisha-wj8qt Před 2 měsíci +1

    Dah simba tamu wazeee

  • @user-un2yr6zh1i
    @user-un2yr6zh1i Před 11 měsíci +4

    Golikipa wa simba sio professional....penati zote ameanza kuruka yaani ametoka nje ya mstari kabla mchezaji hajapiga. sio ushindi mzuri huo. Golikipa kaiba zote
    Na Golikipa wa yanga hongera sana very professional. big up.
    Simba waende wamfunze golikipa wao na pia refa alioko mstarini kule hajielewi na hajui.

  • @shaffihsiraji3141
    @shaffihsiraji3141 Před 11 měsíci +7

    Dogo Penalt zote alizotoa katoka kabla ya mpira kupigwa🤣

  • @CeciliaTimotheo
    @CeciliaTimotheo Před měsícem +1

    Vyuraaaaaaaaaaaa fc 😅😅😅🤣🤣🤣, big up Ally 💪😍

  • @famaomosessozi-wp6ju
    @famaomosessozi-wp6ju Před 11 měsíci +1

    Simba tunaomba mumwangalie kocha kwa jicho la tatu na amini na uwongoz mzr sana watazingatia😊

  • @nururajabu3450
    @nururajabu3450 Před 11 měsíci +3

    Chama langu miaka Mia ata iwejeeee🎉🎉🎉🎉❤

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 Před 11 měsíci +1

    Simba Robertino should be careful he is failing to arrange best combination what is bocco doing in the field we don't need him again let him be adviser of the club not the player for tough game.

  • @RAYMONDKORNEL-gb8ty
    @RAYMONDKORNEL-gb8ty Před 11 měsíci +3

    Jamani Yani Kwa Raha waliyonipa Simba Leo hata Dem sitaki

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 Před 11 měsíci

      Hakun raha yoyote kwa hali hii tabu naiona mbele tuendako

  • @terrybenjamini1368
    @terrybenjamini1368 Před 11 měsíci +1

    🔥🔥❤❤❤🦁💪1🌹🌹🌹🌹🌹🌹Ally salim🔥

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 Před 11 měsíci +3

    Aliye Kula Kala 😂😂😂 Utopolo vip pale 😂😂😂 inauma eeh🤪🤪🤪

  • @moodykassim4029
    @moodykassim4029 Před 11 měsíci +2

    Tuliwaambia huyu kocha sio kitu watu wakabsha, hivi kocha gani anaomba asijiliwe wachezaji lakn hata kufanya substitution anashindwa

  • @AllyMsimbe
    @AllyMsimbe Před 11 měsíci +3

    anadaka mpaka upepo

  • @shehanimzee9953
    @shehanimzee9953 Před 11 měsíci +2

    Vzr kipa ila coach anakazi ngumu kwenye kiungo pale kati tunayumba sana

  • @subiraaddo864
    @subiraaddo864 Před 11 měsíci +2

    Kwa kweli mgunda arudi tu kwa kocha huyu hatufiki popote club bingwa, anatuchanganya tu

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před 11 měsíci +2

    bado kipa siyo bora sana kwenye penalty na wapigaji wa yanga hawajui kuchagua angle nzuri kwa kipa anavyoruka sana upande mmoja.

  • @hottie3621
    @hottie3621 Před 11 měsíci +1

    We are simba

  • @Phat-23
    @Phat-23 Před 11 měsíci +4

    HAPO ANAESEMA KOCHA HAFAI NA YULE ANAESEMA SIMBA MBOVU WOTE WALEMAVU WA AKILI AMBAO HAWAJUI MPIRA WASHAZOEA KUSHANGILIA LEDE , SIMBA INACHEZA MPIRA WA PASI WA CHINI SAS UTASKIA CHOKO MMOJA AMBAE HAJUI MPIRA ANABWABWAJA 2 UWANJA MPIRA UNADUNDA HAUTULII CHINI KABISA MASHABIKI JIELEWENI BASI KHAAAA , SIMBA 🔥

    • @WilliamElisa-xt7nx
      @WilliamElisa-xt7nx Před 11 měsíci

      Hamna kocha hapo

    • @shaffihsiraji3141
      @shaffihsiraji3141 Před 11 měsíci

      We nae kocha hamna tuna mpira gani sasa wakutisha kwa sasa timu inacheza ovyo tu

    • @medyaziz4806
      @medyaziz4806 Před 11 měsíci

      Kwa hiyo mpira una dunda tu kwa simba?? Mbona yanga wamecheza mpira mzuri na haudundi kwa hiyo fact yako ya uwanja!!😂😂

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 Před 11 měsíci

      @@medyaziz4806 😂😂😂

  • @user-tl4vz4gn5f
    @user-tl4vz4gn5f Před 6 měsíci +2

    Uyo ndo Aly Salim

  • @samwellaizer859
    @samwellaizer859 Před 11 měsíci +3

    Kumbe kipa wa kolo Alikuwa anatoka kabla ya mpira kupigwa......🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @CharlesWanyeche-er6rw
    @CharlesWanyeche-er6rw Před 11 měsíci +3

    Boko ametukost sana hongera kwa kipa kutusave otherwise tulizidiwa game

  • @ibrahimalharthi4599
    @ibrahimalharthi4599 Před 11 měsíci +3

    Mgunda arudishwe katika baraza la ufundi

  • @suzansherali2938
    @suzansherali2938 Před 11 měsíci +1

    Ally salim❤

  • @frederickpatrick5966
    @frederickpatrick5966 Před 11 měsíci +4

    Sema Phiri alinishangaza 🤣🤣🤣

    • @signecha_
      @signecha_ Před 11 měsíci

      Hata mimi ningepaisha, haiwezekani nitumike kwenye penalties tuuu

    • @samuelmwangu3301
      @samuelmwangu3301 Před 11 měsíci

      @@signecha_😂😂😂😂😂😂

  • @KhadijahAlly-jz7rl
    @KhadijahAlly-jz7rl Před 11 měsíci +1

    Hongera mnyama

  • @user-oo4um1qi8z
    @user-oo4um1qi8z Před 11 měsíci +2

    Mujitaid kuwah kuweka haya mambo pale mpila unapoisha

  • @azizanzori4931
    @azizanzori4931 Před 11 měsíci +2

    Kocha hatumtakiiiiiiiii,bora tubaki na Mgunda yuleyule.

  • @sanjidambundamila-md4gy
    @sanjidambundamila-md4gy Před 11 měsíci +2

    Mimi ni Simba but yuhu kocha wa Simba ni sawa na mavi ya chooni iv walienda uturuki kucha mavi au kufanya mazoez

  • @mdsaid1527
    @mdsaid1527 Před 11 měsíci +2

    ❤❤❤ Alliy mungu azid kukupa mwanga

  • @HalimaJuma-hm2jn
    @HalimaJuma-hm2jn Před 9 měsíci +1

    Simb rah Sanaa❤️❤️❤️❤️

  • @salimkaroyo1382
    @salimkaroyo1382 Před 11 měsíci +4

    Kuwakumbusha Robertinho hajawahi fungwa na Yanga 🤣

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 Před 11 měsíci

      Atafungwa huyu siyo Nabi ligi kuu hachomoki utakuja kumbuk koment yangu

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Před 4 měsíci

    Ali salim❤❤❤❤

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Před 11 měsíci +2

    Kwa hiyo kiwango cha yanga ni sawa na singida

  • @user-wf3wh4jp6k
    @user-wf3wh4jp6k Před 11 měsíci

    🎉we are unstoppable

  • @omaryhamza6008
    @omaryhamza6008 Před 11 měsíci +3

    Mnyama

  • @officialkim139
    @officialkim139 Před 11 měsíci +8

    Dogo kafunja sheria zote za penalty ila waamuzi wajinga sana sasa alikua anaongea nao nini pale kabla ya penalty

    • @rozinasabuni666
      @rozinasabuni666 Před 11 měsíci +1

      Ni kwel anatok nje ya mstari

    • @herijuma2717
      @herijuma2717 Před 11 měsíci +1

      Ni kweli kabisa kisheria kavunja kabisa

    • @ezekielbituro7969
      @ezekielbituro7969 Před 11 měsíci

      Mbna hata diarra anafnya hvohvo..au mnachagua mkoseaj m1.?

    • @Reuben-yx8eb
      @Reuben-yx8eb Před 11 měsíci

      Lakini ni wote hata diala kawahi kutoka kwenye mstari angalia vizuri pelnat ya pili aliyopigiwa na saido

    • @simontamba2189
      @simontamba2189 Před 11 měsíci

      Mbaazi ikikosa Maua

  • @husnmjuba4978
    @husnmjuba4978 Před 11 měsíci +2

    Huyu refa kashidwa kuona kwamba Kipa Ali Salim Anadakia mbele ya mstari wa goli. Marefa wa namna hii hawakubaliki. Alf si wanaligi yao, huyu wamrudishe akawabebage wenzie huyu Queens.

  • @fra9873
    @fra9873 Před 11 měsíci +2

    The written rules state that the goalkeeper must have at least one foot on the line before the penalty is taken. This end result does not count

  • @michaelmngongo8344
    @michaelmngongo8344 Před 11 měsíci +2

    IV UYU KOCHA KUMUWEKA BALEKE NA KIBU NJE NA KUMUWEKA BOKO NDAN IV ANAJIELEWA KWELI UYU?

  • @becude5046
    @becude5046 Před dnem

    Weweweweeeee simbaaaa

  • @sanjidambundamila-md4gy
    @sanjidambundamila-md4gy Před 11 měsíci +2

    Kwann huyu kocha kama anmyogopa sana saido na bocck

  • @jordanmathayo799
    @jordanmathayo799 Před 8 měsíci

    Napenda sana stail ya kushangilia ya diara

  • @user-tl4vz4gn5f
    @user-tl4vz4gn5f Před 6 měsíci

    Simba waooooooooooooooo

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 Před 11 měsíci +2

    Tunashukuru tumeshinda ila Hatuna Furaha na Ushindi kwamaana Hatukutegemea Kama Team yetu itacheza Vibaya Vile Kwa wachezaji tulionao hatukupaswa kucheza Mpira Mbovu vile Kukosa jitihada binafsi za wacheza Moja moja kama Malone, Mzamiru na Ally Salim Sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine COACH HATUMTAKI SIMBA IMESHA KUWA LIDUDE LIKUBWA COACH ROBERTINHO HAIWEZI.📌

  • @user-kd7eu5kd3j
    @user-kd7eu5kd3j Před 11 měsíci +3

    Nyie ongeani 2 me silali leo kwa furah niliyonayo iwe alikuwa amedak nje ya mstar ila kombe ndyo muhimu hayo mengine yakwenu nyie

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Před 5 měsíci +1

    Hasira za hapa tuliziamishia taree 5 mwez wa 11 tukasimamisha kono la nyani niliumia ila aikua bahat yetu mkianza penati angalieni kipa upande anapenda kudakia wengin msipige uko kama afcon walimsoma kipa wa south afrika nusu fainal wakaambiazana akuona ata moja sa awa wanapiga upande ule ule wa mwenzake alioudakia kipa

    • @pauljuma4384
      @pauljuma4384 Před 5 měsíci +1

      Vp haukuona kule zanzibar alidakia upande mwingine ali salimu noma😅😅

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 11 měsíci +2

    Why bocco is still at Simba? Kama tuko serious bocco asicheze.

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 Před 11 měsíci +2

    Huyu kocha amshukuru salim

  • @AlickMwakitalima-db4sp
    @AlickMwakitalima-db4sp Před 11 měsíci +2

    Cocha mpumbavu sijui anampendea nin bocco maana ya wachezaji tuliosajili wana maana gani phili yupo kramo chilunda lakn mpuudh anafanya