Alieona baada ya onana kufunga penat yake alitud na kumwambia baleke asijifikirie Sana mpaka kipa ajipange kamwambia akifika chagua angle we piga tu na kweli baleke hakujifikiria sana
UWANJA WA MIKOANI SIMBA HATUWEZI KWASAB HAIKO STABLE, SIMBA MPIRA WA PASI WA CHINI NDO TUNACHEZA SAS MKOANI UWANJA MPIRA UNADUNDA SANA TATZO UWANJA SIO KOCHA , SIMBA 🔥
Sababu ya kiwanja sahihi na kocha ni sahihi.. Kocha hawezi kupanga wachezaji na kufanya mabadiliko mapema pia hawezi... Inaonekana wazi kocha anampango wa kuprove baadhi ya wachezaji hawafai kwa kulazimisha kwanini chama asimpange na onana + phiri/ baleke
Miii nakataa tatizo lipo kwa kocha wetu wa simba hawezi kumiliki mpira ndomana tumezidiwa umiliki wa mpira na yanga yeye anajua kushambulia kwa kasi tu lakini kukaba na kukaa na mpira hawezi
Yaan mashabiki bana, hebu tuacheni mpira wa kizamani kama mnafikiri mnaweza kuwa makocha hebu muuvae huo uhusika kocha amefanya anachoona yeye kwake ni sahihi na sio nyinyi wa kumuelekeza, mchezo tumeshinda tuendelee kuipa moyo timu ili waweze kuchukua makombe zaidi na siyo kumponda kocha.
Tumeshinda lakini kocha sijamuelewa na BAdo simuelewi mgunda apewe timu haraka sana mbeleni tutaaaibika,phiri anaingia KWA ajili ya penati tu hii imeniuma sana kiukweli
Saido siku zote penati zake ni za kushikilia roho Sana kuna mtu juzi na singida kabla hajacheza nilimwambia saidoo hana ujuzi wa penati ipo siku atawaferisha baada ya kupiga tu yule jamaa alikubali maneno yangu yani penati zake zote zinafuatwa na kipa almanisura tu sasa na Leo aliko atakubali maneno yangu na pili simba hamna kocha pale
Tuwe wakweli Hamna kitu.... Timu nyepesi saaana... Yanga wameenea kila eneo leo.... Penalty kawaida haina ufundi.... Tusitegemee kwenda kwa Penalty huko mbele kuzito.... Timu nyepesi kocha mwepesi jamani tusitiane ndimu.... Musitukane lakini huu ndo ukweli na kila mmoja wetu anajua hata ukitukana....
Golikipa wa simba sio professional....penati zote ameanza kuruka yaani ametoka nje ya mstari kabla mchezaji hajapiga. sio ushindi mzuri huo. Golikipa kaiba zote Na Golikipa wa yanga hongera sana very professional. big up. Simba waende wamfunze golikipa wao na pia refa alioko mstarini kule hajielewi na hajui.
Simba Robertino should be careful he is failing to arrange best combination what is bocco doing in the field we don't need him again let him be adviser of the club not the player for tough game.
HAPO ANAESEMA KOCHA HAFAI NA YULE ANAESEMA SIMBA MBOVU WOTE WALEMAVU WA AKILI AMBAO HAWAJUI MPIRA WASHAZOEA KUSHANGILIA LEDE , SIMBA INACHEZA MPIRA WA PASI WA CHINI SAS UTASKIA CHOKO MMOJA AMBAE HAJUI MPIRA ANABWABWAJA 2 UWANJA MPIRA UNADUNDA HAUTULII CHINI KABISA MASHABIKI JIELEWENI BASI KHAAAA , SIMBA 🔥
Huyu refa kashidwa kuona kwamba Kipa Ali Salim Anadakia mbele ya mstari wa goli. Marefa wa namna hii hawakubaliki. Alf si wanaligi yao, huyu wamrudishe akawabebage wenzie huyu Queens.
Tunashukuru tumeshinda ila Hatuna Furaha na Ushindi kwamaana Hatukutegemea Kama Team yetu itacheza Vibaya Vile Kwa wachezaji tulionao hatukupaswa kucheza Mpira Mbovu vile Kukosa jitihada binafsi za wacheza Moja moja kama Malone, Mzamiru na Ally Salim Sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine COACH HATUMTAKI SIMBA IMESHA KUWA LIDUDE LIKUBWA COACH ROBERTINHO HAIWEZI.📌
Hasira za hapa tuliziamishia taree 5 mwez wa 11 tukasimamisha kono la nyani niliumia ila aikua bahat yetu mkianza penati angalieni kipa upande anapenda kudakia wengin msipige uko kama afcon walimsoma kipa wa south afrika nusu fainal wakaambiazana akuona ata moja sa awa wanapiga upande ule ule wa mwenzake alioudakia kipa
Mungu azidi kumlinda na kumpa ujuzi kilaaa kukicha ally salumu katoro 🤲🏿🤲🏿🤲🏿💯 pia na wachezaji wetu wa Simba nguvu moja 🔥🔥🙏🙏
Alieona baada ya onana kufunga penat yake alitud na kumwambia baleke asijifikirie Sana mpaka kipa ajipange kamwambia akifika chagua angle we piga tu na kweli baleke hakujifikiria sana
❤❤❤❤❤❤❤❤ Ali salim apewe mauayake liki zakutosha
Simba Sc ni Taifa kubwa ndani ya Taifa kubwa jingune🦁💪🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
🦁🦁🦁🦁❤️❤️❤️❤️ Asnte simba maua yako Ally Salim 🙌🎉🎉🎉🎉
Yaani tayar iko namba 1 on TRENDING .. simba mnasifa
Hah😂😂😂 na bado
Hii siku nililia kwa furaha sana😢❤❤❤❤❤
Anadaka mpaka stress zetu za mapenzi 🤣🤣🤣
❤❤❤❤❤ nitaipenda Simba mpaka kufa 🎉🎉🎉
Kwakweli
Mimi binafsi
Sina wa kumlaumu❤ ❤
Yanga ilicheza Vizuri Saana
Wanampira mzuri saaana❤n❤❤❤
Ndo ngao kucheza vizuri siyo?
simba sc wananipa raha kumoyo,simba nguvu moja
Shukran sana, ila bidii zinahitajik
Mimi ni Yanga yaani namanisha utoporo asante simba kwa kutukanda😅
Mgunda baba yangu nimeshakumis Kwa kweli huyu Mzungu kichefu chefu tu hapo
Ali salimu , ulaya inakuita kaka angu tuna kushukulu sana
Wanasimbaaaaaaaa hataharingiiii❤❤❤❤❤❤
Ali salimu umejua kutufulaisha. Pambana mdogo wangu.❤❤❤❤❤❤❤
Huyu kipa ni kiboko wa majini
Huyu ally salim ni Tanzania one unyama mwingi❤
Sawa anawahi kutoka ndo mupige penalt zote kulekule 😂
❤❤❤❤❤❤❤❤ unyama mwingi nguvu moja
Mbona hata dr aliruka kama ali salimu kudaka penalt y saidoo?!
Hongera simba yangu mm nawe forever❤❤❤😂😂
Love ue simba huu n mwanzo tu thanks God
Simba yangu nakupenda Sana Ila kocha anamasiara Sana tuache utani
Ila hawa wapiga penat wa yanga kwakweli hawajatumia akili ila wamepiga tu ilimladi . Penat nzuri niliyoipenda ni hiyo aliyopiga mzamilu
Hii siku nililia Kwa furaha
Pamoja❤❤❤
Eeh
Nilichokigundua hapa yanga walichokikosea nikudaka penati ya saido alisoma dua hapa😅😅
😊
Hata me nililala Kwa furaha San
Simba hatuna kocha anazingua sana
#simbaaa nguv moja🦁🦁💪🏾💪🏾💪🏾
Ushamba
Simba nguvu MOJA❤❤❤
TUNAOMBA MGUNDA APEWE TEAM YAKE
Mgunda wenu alitukoshesha ubingwa sale kibao
UWANJA WA MIKOANI SIMBA HATUWEZI KWASAB HAIKO STABLE, SIMBA MPIRA WA PASI WA CHINI NDO TUNACHEZA SAS MKOANI UWANJA MPIRA UNADUNDA SANA TATZO UWANJA SIO KOCHA , SIMBA 🔥
Sababu ya kiwanja sahihi na kocha ni sahihi.. Kocha hawezi kupanga wachezaji na kufanya mabadiliko mapema pia hawezi... Inaonekana wazi kocha anampango wa kuprove baadhi ya wachezaji hawafai kwa kulazimisha kwanini chama asimpange na onana + phiri/ baleke
Miii nakataa tatizo lipo kwa kocha wetu wa simba hawezi kumiliki mpira ndomana tumezidiwa umiliki wa mpira na yanga yeye anajua kushambulia kwa kasi tu lakini kukaba na kukaa na mpira hawezi
Kaz nzur xna simbaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
Yaan mashabiki bana, hebu tuacheni mpira wa kizamani kama mnafikiri mnaweza kuwa makocha hebu muuvae huo uhusika kocha amefanya anachoona yeye kwake ni sahihi na sio nyinyi wa kumuelekeza, mchezo tumeshinda tuendelee kuipa moyo timu ili waweze kuchukua makombe zaidi na siyo kumponda kocha.
Tumeshinda lakini kocha sijamuelewa na BAdo simuelewi mgunda apewe timu haraka sana mbeleni tutaaaibika,phiri anaingia KWA ajili ya penati tu hii imeniuma sana kiukweli
Na simba imebebw
Lasana simba I love you simba ❤💪💪💪💪
Kazii nzuri kwa Ally salimu🎉🎉🎉
Ally Salim wanasimba tunaxhukur xan kwa mchango wako
Eya Tanzania uy Ali salim kator
Asant San Ali salim
Kwakweli tunamshukuru sana amevusha salama
Hatuna marefa asee!! Huyu sindo alifeli mitihani CAF? anashindwa kutafsiri sheria? Kipa anatoka miguu yote kabla ya mpigaji kupiga
Nenda katfusr ww unae jua
Safi sana ali salimu 🎉
I love you simba
Bocco awe anakataa kucheza jamani awe mshauri wa timu kocha hovyo kabisa viongozi muwe makini
Nikiimiss simb nkuj apa❤❤❤
Kocha sio level ya Simba,Tumeshinda lkn tumecheza mpira m'bov sana,iv kwa kiwango icho tutatoboa club bingwa
we yanga nn??
@@Mbarakamkopi-jc1kkkwani uhongo
@@Mbarakamkopi-jc1kk kasema ukweli subir mechi zijazo utasadiki anachokisema mpira wa hovyo san
Hii sio sawa kipa anatoka kabla sio sawa marefa hawaoni au kusudi
Kweli kuna miluko miwili anaifanya hapo
Cheki penalty aloidaka Diara hazina tofauti
Ali Salim kipa kweli kweli
Saido siku zote penati zake ni za kushikilia roho Sana kuna mtu juzi na singida kabla hajacheza nilimwambia saidoo hana ujuzi wa penati ipo siku atawaferisha baada ya kupiga tu yule jamaa alikubali maneno yangu yani penati zake zote zinafuatwa na kipa almanisura tu sasa na Leo aliko atakubali maneno yangu na pili simba hamna kocha pale
("Boli itembeeee")
Wapi mgundaaa come back.
mbona kipa wa simba anatoka kwenye line wakati inatakiwa hata mguu 1 ubaki ndani. zote alizodaka ni za kurudiwa
Ametoka Sanaa Tenaa
Mavi
😅😅😅😅 hukosi kisingizioo
Haya zirudiwe basi , madako yako
Hahaha sawa madako na ww sio unayo madako so hatuchekani
Jamani maua yake kwa ali salm
Katoro anatoroka sana b4 mpigaji wa penati hasa ile ya pacomee
Simba kama Simba👏👏👏
Heeeeeee wakwanza mm leo jamni simba ulaya pasi milioni simba sports club simba nguvu moja
Kawaida sana honestly simba mmeshambuliwa kinomaaa usinitukane lakini
Simba wanaitani kufanya jambo Ili waendelee kuwa salama.
@@rithadonatus8110 si ajabu kwani kombe lilopita yanga walishambuliwa sana then wakashinda ajabu nini apo
Tuwe wakweli Hamna kitu.... Timu nyepesi saaana... Yanga wameenea kila eneo leo.... Penalty kawaida haina ufundi.... Tusitegemee kwenda kwa Penalty huko mbele kuzito.... Timu nyepesi kocha mwepesi jamani tusitiane ndimu.... Musitukane lakini huu ndo ukweli na kila mmoja wetu anajua hata ukitukana....
Dah simba tamu wazeee
Golikipa wa simba sio professional....penati zote ameanza kuruka yaani ametoka nje ya mstari kabla mchezaji hajapiga. sio ushindi mzuri huo. Golikipa kaiba zote
Na Golikipa wa yanga hongera sana very professional. big up.
Simba waende wamfunze golikipa wao na pia refa alioko mstarini kule hajielewi na hajui.
Tuyafute
😂😅😅
Acha maneno mengi ww
Chukuen ngao bas
Katafute bwana acha kufatilia vya wanaume
Dogo Penalt zote alizotoa katoka kabla ya mpira kupigwa🤣
Kwaiyo zizudiwe au vp 😂😂 Poa mechi ya marudiano keshokutwa
Umeona enh
Ndio imekula kwenu hivyo
Asante sana kwa kujua sheria
Waliferi kuangaliaaaa
Vyuraaaaaaaaaaaa fc 😅😅😅🤣🤣🤣, big up Ally 💪😍
Simba tunaomba mumwangalie kocha kwa jicho la tatu na amini na uwongoz mzr sana watazingatia😊
Chama langu miaka Mia ata iwejeeee🎉🎉🎉🎉❤
Simba Robertino should be careful he is failing to arrange best combination what is bocco doing in the field we don't need him again let him be adviser of the club not the player for tough game.
Jamani Yani Kwa Raha waliyonipa Simba Leo hata Dem sitaki
Hakun raha yoyote kwa hali hii tabu naiona mbele tuendako
🔥🔥❤❤❤🦁💪1🌹🌹🌹🌹🌹🌹Ally salim🔥
Aliye Kula Kala 😂😂😂 Utopolo vip pale 😂😂😂 inauma eeh🤪🤪🤪
Tuliwaambia huyu kocha sio kitu watu wakabsha, hivi kocha gani anaomba asijiliwe wachezaji lakn hata kufanya substitution anashindwa
anadaka mpaka upepo
Vzr kipa ila coach anakazi ngumu kwenye kiungo pale kati tunayumba sana
Kwa kweli mgunda arudi tu kwa kocha huyu hatufiki popote club bingwa, anatuchanganya tu
bado kipa siyo bora sana kwenye penalty na wapigaji wa yanga hawajui kuchagua angle nzuri kwa kipa anavyoruka sana upande mmoja.
Ayo niyakwako
We are simba
HAPO ANAESEMA KOCHA HAFAI NA YULE ANAESEMA SIMBA MBOVU WOTE WALEMAVU WA AKILI AMBAO HAWAJUI MPIRA WASHAZOEA KUSHANGILIA LEDE , SIMBA INACHEZA MPIRA WA PASI WA CHINI SAS UTASKIA CHOKO MMOJA AMBAE HAJUI MPIRA ANABWABWAJA 2 UWANJA MPIRA UNADUNDA HAUTULII CHINI KABISA MASHABIKI JIELEWENI BASI KHAAAA , SIMBA 🔥
Hamna kocha hapo
We nae kocha hamna tuna mpira gani sasa wakutisha kwa sasa timu inacheza ovyo tu
Kwa hiyo mpira una dunda tu kwa simba?? Mbona yanga wamecheza mpira mzuri na haudundi kwa hiyo fact yako ya uwanja!!😂😂
@@medyaziz4806 😂😂😂
Uyo ndo Aly Salim
Kumbe kipa wa kolo Alikuwa anatoka kabla ya mpira kupigwa......🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Boko ametukost sana hongera kwa kipa kutusave otherwise tulizidiwa game
Mnakariri sana. Boko kafanya nn
Sibishanagi na mishabiki maandazi
Kweli bwana
Mgunda arudishwe katika baraza la ufundi
Ally salim❤
Sema Phiri alinishangaza 🤣🤣🤣
Hata mimi ningepaisha, haiwezekani nitumike kwenye penalties tuuu
@@signecha_😂😂😂😂😂😂
Hongera mnyama
Mujitaid kuwah kuweka haya mambo pale mpila unapoisha
Kocha hatumtakiiiiiiiii,bora tubaki na Mgunda yuleyule.
Mimi ni Simba but yuhu kocha wa Simba ni sawa na mavi ya chooni iv walienda uturuki kucha mavi au kufanya mazoez
❤❤❤ Alliy mungu azid kukupa mwanga
Simb rah Sanaa❤️❤️❤️❤️
Kuwakumbusha Robertinho hajawahi fungwa na Yanga 🤣
Atafungwa huyu siyo Nabi ligi kuu hachomoki utakuja kumbuk koment yangu
Ali salim❤❤❤❤
Kwa hiyo kiwango cha yanga ni sawa na singida
🎉we are unstoppable
Mnyama
Dogo kafunja sheria zote za penalty ila waamuzi wajinga sana sasa alikua anaongea nao nini pale kabla ya penalty
Ni kwel anatok nje ya mstari
Ni kweli kabisa kisheria kavunja kabisa
Mbna hata diarra anafnya hvohvo..au mnachagua mkoseaj m1.?
Lakini ni wote hata diala kawahi kutoka kwenye mstari angalia vizuri pelnat ya pili aliyopigiwa na saido
Mbaazi ikikosa Maua
Huyu refa kashidwa kuona kwamba Kipa Ali Salim Anadakia mbele ya mstari wa goli. Marefa wa namna hii hawakubaliki. Alf si wanaligi yao, huyu wamrudishe akawabebage wenzie huyu Queens.
😅😅 kafute magoli
Maneno mengi af huelewek unasema nn
The written rules state that the goalkeeper must have at least one foot on the line before the penalty is taken. This end result does not count
fact
True
IV UYU KOCHA KUMUWEKA BALEKE NA KIBU NJE NA KUMUWEKA BOKO NDAN IV ANAJIELEWA KWELI UYU?
Weweweweeeee simbaaaa
Kwann huyu kocha kama anmyogopa sana saido na bocck
Napenda sana stail ya kushangilia ya diara
Simba waooooooooooooooo
Tunashukuru tumeshinda ila Hatuna Furaha na Ushindi kwamaana Hatukutegemea Kama Team yetu itacheza Vibaya Vile Kwa wachezaji tulionao hatukupaswa kucheza Mpira Mbovu vile Kukosa jitihada binafsi za wacheza Moja moja kama Malone, Mzamiru na Ally Salim Sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine COACH HATUMTAKI SIMBA IMESHA KUWA LIDUDE LIKUBWA COACH ROBERTINHO HAIWEZI.📌
Bado mapema
Hapana kocha kapanga tu ila pia uchezaj wa wachezaj binafs hawajajituma San kam wa yanga
Huna furaha wewe
Nyie ongeani 2 me silali leo kwa furah niliyonayo iwe alikuwa amedak nje ya mstar ila kombe ndyo muhimu hayo mengine yakwenu nyie
Hasira za hapa tuliziamishia taree 5 mwez wa 11 tukasimamisha kono la nyani niliumia ila aikua bahat yetu mkianza penati angalieni kipa upande anapenda kudakia wengin msipige uko kama afcon walimsoma kipa wa south afrika nusu fainal wakaambiazana akuona ata moja sa awa wanapiga upande ule ule wa mwenzake alioudakia kipa
Vp haukuona kule zanzibar alidakia upande mwingine ali salimu noma😅😅
Why bocco is still at Simba? Kama tuko serious bocco asicheze.
Huyu kocha amshukuru salim
Cocha mpumbavu sijui anampendea nin bocco maana ya wachezaji tuliosajili wana maana gani phili yupo kramo chilunda lakn mpuudh anafanya