YANGA SC 2-2 BIASHARA UNITED: MAGOLI NA MIKWAJU YA PENATI (5-4): (ASFC - 31/01/2019
Vložit
- čas přidán 30. 01. 2019
- Vijana wa Jangwani, Yanga SC leo wamefanikiwa kutinga hatua ya 16 bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) baada ya kuitupa nje Biashara United kwa mikwaju ya penati 5-4 kufuatia sare ya mabao 2-2 katika muda wa kawaida wa dakika 90.
Mchezo huo wa raundi ya nne ya michuano hiyo umepigwa kwenye Dimba la Taifa Jijini Dar es Salaam na kushuhudia wenye Yanga wakifanya kazi ya kusawazisha kila wanapofungwa.
Biashara United walianza kwa bao la penati lililofungwa na Wazir Jr. dakika ya 3 kabla ya Yanga kusawazisha kupitia kwa Amissi Tambwe akifunga kwa penati pia dakika ya 9.
Biashara United wakaongeza bao kupitia kwa Innocent Edwin dakika ya 40, lakini Yanga wakaongeza kasi ya mashambulizi na kufanikiwa kuchomoa bao hilo dakika ya 74 kupitia kwa Heritier Makambo na kufanya mchezo umalizike kwa sare y mabao 2-2.
Ilipofuata mikwaju ya penati, Yanga walifunga penati zote tano kupitia kwa Heritier Makambo, Paul Godfrey, Ibrahim Ajibu, Thabani Kamusoko na Matheo Anthony, huku Biashara United wakikosa penati moja iliyopigwa na Tariq Seif. - Sport
Ibrahim aka mwambia tetema tetema imo......like kma zote wadau wa yang Africa
Hangatisaetuiolataytyiuop
Nani kakwambia yanga hawaendi Round ya Five
asanteni yanga yangu daima naipenda big up sana
Hata mim naipanda kwel kweli
Eza Pesambili pamoja
Vp inbox namba
🤣🤣🤣🤣
@@jojo_linkissabiny5238 nko serious
Anae mpenda mtangazaj. Like kma zote hapa..
Huyu mtangazaji ban
Tetema com
Rayvann
Kukerwa jakuna paswerd hahahaaaa
.
..
Yanga yangu mie popote niendako naipenda tu (254)
pg
J0
Mungu ni mwema kwetu wana yanga
Kama unaipenda yanga gonga like
Nafurahia kushabikia Yanga
Ronado
Mtangazaji nakupenda sana mungu akupe afya njema
Nice watani zangu kam zoteeeeeeeeee
Stanslaus Michael SHABIKIA WA ukweli
Hizi ndo jezi za yanga zinazpendeza kuliko zote black and yellow
Ni kweli. Jezi zimetulia sana
beki zetu mtihani lkn hongera Tim la wananchi
Hiii ndiiiooo yaaangaaaa.
kuikata yanga nisawasawa na kuikata jinsia yko yanga hii mutaipenda
Kabisa kaka Yanga daima mbeele
Yangaaaaaa...,,,!
Ngassa namwelewa sana
Daah Matheo Anthony Kwanini Umerudi Zanzibar Ungekomaa Dar Usingekosa timu yakuchezea Kiwango Bado Unacho
hongera
yanga mabingwa
Mwana Talent p
@@edmundmapunda1093 ok
Yanga ndo mwanaume
@@iddymwele2289 saw
Mwana Talent mambo
daima nyuma mwiko
Yanga!
Bado hamjaziba pengo la kipa.
Boresheni nafasi hiyo muhimu.
Mkicheza na timu yenye washambuliaji wenye uchu wa kufunga mtabugia magoli mengi sana.
Kabwil siyo kipa gog like tulio kutana 2021
Kama we uliona uchawi Jana , gonga like hapa
...daaah hy ndo yng
michezo simba misri
Daima mbeleee
Yanga nyumbani usiteseke wala kuhofu kuishabikaa timu ya wananchi
beka boy goooood
beka boy wala hujakoxea
Hyo ndo Yanga bhanaaa eeeh,,, 😂😂😂🙌🙌🙌😘😘😘 Kwann ukereke? nan anakerwa?? nauliza..,, bahat mbaya sana kukerwa hakuna Password 😂😂😂😂
hongeren wana yanga wooote! hakika tupo ktk kipindi kigumu ila tunasonga kibishi2 daima mbele nyuma mwiko!
Mchezo ulikuwa mzuri ufanyaji wa makosa kwa kila Timu ndiyo uliopelekea magoli kupatikana.
Ahsante Azam kwa apdates
Mwalimu wa makipa Yanga naye inabidi apewe maufundi zaidi ili aboreshe idara ya golikipa
Magoli
biashara imedoda walipoteza muda kwakujua yanga niwabovu kwa penalt imewacost
Respect Yanga
DUUUH , ivi mna elewa kweli aya mambo au maana mimi sielewi #TEAMYANGA
good good vijana
Hongera chama langu
Dante hajui talkring ....ninja ndo anaziweza hizoo
kunawanao teseka hapa ngapiiiiiii uko
Mtangazaji unaweza baba saf sana
Yanga daima
Naipnd Yanga Sick Zote 😂😂❤
Good chama langu lkn goli la pili ni goal zur tulilofungwa maana jamaa katumia uwezo wa kuchambua
Msabaha Malonda kiukwl ni raha kuona wachezaji wa kiTZ nao wana uwezo na kuuonesha kwa nmn hii!
Daah Ni kwl kabisa bhana @@mnzavachris5423
Kumbe na ww umeona eeeh ndo napendaga mashabiki kama ww sio kama zama zile za kwako 😂😂
Afelist Michael zama zile za kwangu wamefny nn 😆
Naongea na Msabaha sio wewe
mhh noma sana
Hivi kuna aliyeona kuwa Ajib anafanana na marehemu Lucky Dube..?
Joseph Gomalo 😁
Naipenda yang
Hiii ndio yanga kama unabisha fanya kama unajikuna uone moto!!++
Zahera in beno out tumeshinda mech kibao bila uyo nyau
Super
hatua gan
Nani ana kerekwa.......? Na kwann ukerekwe..... ? Bahat mbaya kukerwa hakuna password. Hahahahahaaaaaa.Wapinzani hoi.
Yaani malipota wanamanjonjo mazuri sana.
Nani kaviona viatu vya yanga vinafanana fanana
kwann ukerekwe?,nani kakerwa? Bahat mby sana kukerwa hakuna paswd.
Bbmmm
Kabwil acha uroho wa kutokea hovyo kweny penalt kaa kat kat..... Tumeshinda ila umeni boa .
swabri nyawale ' ناب
Co mbaya biashara imenunuliwa yote na mateo
Aka ka jersey kazuri Sana ndio mana waliiga kakawa tena 2020
Kwa kweli hakuna haja ya kuwa na timu 20 huu ni upuuzi timu wachezaji wote wanajiangushaangusha wakifanikiwa kufunga goli wote wanalinda ujanja2 tu. Hivi hawa viongozi wetu wa Tff wanaelewa hilo? Hakuna mpira ni ujanja2
hiyo ndio yanga hatuchez na watt wadg sis
Asante yanga
NAZI HATA INGEKOMAAJE HAIWEZI VITA NA JIWE
SIJUI KWA NINI HAWATAKI KUJUA!!
Anakuambia kwa nn ukerekwe
walivokuwa wanashangilia Kama ndio washindi baadae wakaanza kulia
Timu kubwa inafanya jambo kubwa... Yanga Nouma
#YANGA.......!!!!
#BAHATI kukerwa hakuna PAswed
#TETEMA....!!!😀😀😀😀😀
Yanga hii kuchukua kombe labda kikombe cha kahawa
Watachukua wazee wa hamsa na vumbi la kongo
Yanakuhusu nn! SBR ya alha yal
How to model asimple abacus
Yanga baba lao
NIMEFURAHIA USHINDI ILA KWA BEKI HIZI HATUFIKI MBALI... NYUMA HOVYO KABISA TUMEPIGWA BONGE LA GOLI KUMAMAKE
Mbona golikipa Wa yanga aliwekewa irizi kwenye bukta,u uchaw had lini
Uliona wap? Au alikuonesha
Mmmmh utawajua tu wenye iman na hiriz !! Umeonaje?
Hirinz imefanya kazi
Ipi tena
Hamkos lakusema
Gamsujr Gamsujr siku zote mchawii
Gamsujr Gamsujr kwakweli imefanya kazi
Gamsujr Gamsujr siku zote hukimjua mchawi basi unawanga nae mashabiki wa simba mmezoea huchawi ndio maana mnateseka
Inapendeza
Nani anakelwa
Yanga ninomaaaaa
Ligi kuu simba amewai kumfunga yanga
Safi
Daima mbele nyuma mwiko
Ni kwer dada my yanga mwendo kesii
Thanks for your proper encouragement
P1
Kweli
diana Renard nikweli kwetu sisi mwiko nyuma
Mm Nasubr Jum Moss Mikia Na Warabu Lazim Haw Kenge haw Mikia@ Wafe 7
Kocha kama anataka uchindi kwa michezo iliyobakia asidharau michezo wowote
Ni wakati wa sospeter kuanzia kucheza manara mechi zote tatu alizocheza amefanya makosa yaliyosababisha magori huyu chikupe pia naomba makambo sio yule tuliomzoea wachezaji ni wazito
Ila yanga kipa ndo hatuna....
xafi xana bishara mmejitaidi xana
Papaa 🍁
Mm huyu jamaa Inosent Edwin nilikuwa namkubali sana
Gud bum
Mbona sioni comments za mashujaa fc?
Kabwili anawenge sana
Twende sasa Chaka langu
Soma iyoooooo !
Uyu kabwili n mbovvu saaaaana. Bola kindok ila beno aondoke. Tu kwnn wanamchelewesha kulinga kwa mamake uko yanga co wazaz wke ata ulaya akuna mchezaj mkubwa dunian kuliko klabu atambue ilo
Yanga vs ruvu shooting
Haya yameshapita
fei toto mech iyo hayumo
Sumba day
Yanga naona kuna improvement kwenye penati
Mbona goal la biashara amjainesha
Wananchi wazalendo tulikaakimya
Eti golikipa wa BIASHARA ali TETEMA 😂😂
Timu ya wananchi
kwani kuna mtu anakerwa naona wanateseka
Yaya
Yanga ni wabovu tu
Kwahyo
Mdogo mdogo
Yanga Haina kipa hpa
Anatetema 😀😀😀
waiz wamadin
Wataitambua tu
sasa macho na masikio tunasubir j mos mikia itumbuliwe jipu tena huko
nataka kile kipande kabwili akipewa irizi
Mambo Yang's baba
Dante huna akili utaishia kucheza tz tu, huon wenzio Ulaya wanavyokatia nje? Hii Tz imerogwa