MIKWAJU YA PENATI - IHEFU FC 3-4 YANGA SC: ASFC (30/01/2018)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 01. 2018
  • Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya 16 Bora ya michuano ya kombe la Shirikisho la Azam Sports baada ya kuichapa Ihefu FC ya Mbeya kwa mikwaju ya penati 4-3, katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Sokoine Mbeya.
  • Sport

Komentáře • 66