Magoli: Yanga walivyopindua matokeo na kuipiga Mwadui 3-2 kwa Mkapa - VPL 20/06/2021
Vložit
- čas přidán 19. 06. 2021
- YANGA 3-2 MWADUI: Yanga SC wamezitumia dakika nne za nyongeza kupata magoli mawili muhimu yaliyowapa ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mwadui FC katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Magoli ya Yanga yamefungwa na Bakari Mwamnyeto, Yacouba Songne na Wazir Junior wakati magoli yote mawili ya Mwadui yakifungwa na Aniceth Revocatus.
Katika hatua nyingine, Fiston Abdoulrazack wa Yanga amekosa penati kwenye mchezo huu, iliyopanguliwa na golikipa Mussa Mbisa.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - Sport
Yanga naikubali miaka mia... mungu ibariki yanga mungu ibariki yanga amina
Amina
Amen
Amina
Mtangazaji yanga wamejua kukukausha sauti leo.... hii ndo timu ya wananchi buana 💚💛
Safi sana wananchi najua kuna watu wanaumizwa na aya matokeo vumilieni hii ndo yanga ndugu zangu team ya wananchi💪💪
Daima mbele nyuma mwiko i love you young Africans
Naona watu wanamfurahiya mfungaj bila kuona juhud za TK master, tazama magori yote mawili ya mwisho yametoka miguuni mwake. Mm man of the match ni TK
Hii ndio inaitwa Fighting spirit, hakuna kukubaki mpka mwisho, daima mbele nyuma mwiko
Yanga naikubali sanaa💚
Yanga oyeee raha sana ukiwa mwananchi
Tuliipenda wenyewe ilove yangaaaaaaa
Kipa alisi Mama nyuma ya mstari Makosa sana ingetakiwa kwenye mstari Rafa hakuona makosa hayo
@@fadhilimartin9466 sure
This is yanga what we need!! 💪💪💪
Huku ndio kupndua meza kibabe, YANGA FOR LIFE 💚💛💚💛💚💛💚💛🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪💪💪💪💪💛💛💛💛💚💚💚💚💚
Haha matokeo hayo na timu inayshuka daraja mmeponea chupu chupu
@@Edward_Simon6 unateseka ukiwa wapi?!!😂😂😂😂😂halaf ww ulimfunga ngapi?!!!ENDELEA KUTESEKA MTANI
@@Edward_Simon6 kwani timu ikiwa inashuka daraja huwa haichezi mpira?
tulie ludia kuangalia ili gem tujuane apa
What a come back!, Viva Yanga.
Hongera Yanga nikiwa Kenya 🇰🇪
Yaani kama ningekuwepo mimi uwanja lile goli la waziri nisinge endelea kusimama ningekaa kwenye kiti changu kisha nika piga booongeeee moja la selfie kisha naenda kuombea mkopo benk bila dhamana big up 👏 chama langu pamoja sana 🇦🇪🇹🇿
I love you yangaaaaaa
Aniceth Revocutus ni Moto Sana, Hongera yanga.
Asante Yanga 💚💛💚💛💚💛
Tk master 🙌🙌🙌
Poleni na uchovu viongozi na wachezaji na mashabiki wenzangu na yanga. Naomba neno niseme nawaomba wachezaji wetu msiudharau mpira ukiwa kwa Adui msimuongezee hatua mumzibe kwa kumpunguzia hatua. Nasisi mashabiki tuwe wapole kwa wachezaji wetu kipindi wanapokuwa uwanjani hata kama wamekosea wakimaliza tuwaelekeze viongozi. Kuna kupanik ukishtuliwa ndio tunapoteana. Mungu isaidie yanga yetu.
Yang mbelee🔥🔥💯💯💯
Always green and yellow
🇦🇪 Dar Young Africans till die
Raha sana
Tk masta speed zake zinasaidiaa
Dah, kaseke hajaaman Kama ameshinda, hongera Sana wananchi wenzangu
Asante tk master
Of side gan
Achainiuweeee nimeipenda mwenyeweeee I love Yanga
Safu yetu ya nyuma hamna kitu kabisa tunaruhusu sana magoli hasa kwa michezo miwili hii ya mwisho (wa Ruvu Shooting na Mwadui) uongozi wa timu unatakiwa kulifanyia kazi tatizo hili.
#DaimaMbeleNyumaMwiko💚💛
Kaseke Fundiii🙌🏾🙌🏾
umeona kama mm aisee
@@paullucas840 Jamaa Toka aje Kaze kawa mtulivu sanaa Namkubali kinoma
Ilove yangaaaaa
Highlight inachelewa jaman wengine hatuna tv
Yanga wangefungwa kitambo ungeona mbwa sana hawa azam
😀😀😀🙌🙌🙌🙌
Nice performance yanga forever
The first goal love from kenya
Team ya wananchi daima mbele nyuma mwiko 👏
Yangaaaaaaa oyeeeeeeeee
Love yanga
MAREFA WA TANZANIA WAPUMBAFU 'THAT WAS A DIRECT REDCARD ON FAI TOTO LAST MAN STANDING RULE
soka la bongo bado sanaa maana kama na wewe umeliona hilo duh hata mimi nililiona halafu na refa ameangalia tu duh
Nakubaliana na wew Stacia nduta,
Sio hawajui yanga inahujumiwa saana na tff nyie acheni tuuu jaman haki hakuna mpira wa bongo jaman caf mko waaaaaaapiiiiiiiiiiii
What a comeback
Hiyo penalty ilitakiwa irejewe kupigwa bcz goalkeeper hakuwa sehemu sahihi kabla penalty haijapigwa, sema waamuzi wetu ni shida
Iliniumaaa sana jana mpaka dk za lala salamaaaa celew ila mpira dk 90 DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
Tk mast ni moto
Yanga ni motooo
Come back ya kibabe daima mbele✊
Wanao sema tumebebw waende fifa
Mh ila huyu kisinda huyu mmmmh
Yangaa hoyee
Ukubwa wa yanga ndyo huu sasa😂
goo gooo yanga😘😍😍😍
Polee mpenja kwakukaushwa saut na wananchi 😀😀
Big up kwa tk
Waaaaaaaaaaaoooooooo hongela kwa yanga
Yangaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nawapenda sana yanga nihatari sana
Hivi mnajua kwa nini mwadui wamelia baada ya kupoteza? Shinyanga walikula 5 hawakulia ,FA wakala 2 hawakulia, kwa nini walie jana na huku wameshashuka daraja? Jibu ni kwamba kuna mkwanjwa kama hawakupewa basi waliahidiwa na vigogo wawili kwenye ligi😂😂😂😂
Asante
Kama nafahamu sasa🤣
Watu wameisha shuka daraja na hawaendi popote lakini pesa mwanaharamu sana. Wangekuwa wanacheza hivi kwa kila timu wanayo kutana nayo nafikiri katika msimamo wa ligi Wangekuwa 5. Naona mkwanja wa mo ndio umewafanya wacheze kwenye kiwango. Wamekwama ila wapewe hata ya maji
💚💛💚💛by iniesta
I love you yanga
PIA WAKATI WA KUPIGA PENALTI GOAL KEEPER ALIPASWA KUSIMAMA KWA LAINI SI KWA NETI
dada mpira wa bonfo huo
Hilo lilikuwa kosa lakini waamuzi wetu hawako makini
@@eliastephen2776 hapana kipa yupo sahihi unaruhusiwa kuingia ndani yaneti na kuuwahi mpira usingie ndani ingawaje ukipata wapigaji penalti wazuri kila siku unatakuwa unafungwa Feston alikosa umakini2
Ha ha ha uyo wa blichi simwogopi, baraka unafurahisha sana
naona kuna watu tumewakeeeeeeeeeeeeeerrrrrrrrrraaaaaaaa
ma ex wetu wanapata tabu sana tusubirieni tarehe 3 kwa mkapa
mimi shabiki wa yanga ila ilo goli la mwadui nimejikuta nashangilia
This is yanga
Love yang
Sana sana
Congratulations yanga
Walio rudia kuangalia haya magoli kama mm tujuane kwa like
We junior wee-wee!
Ilove u yanga
Of said
Atari 🔥🙌 🔥🔥🔥🔥
Salima mbali na match m nmekupenda
Ker
Dah. Mechi utafikiri ni fainali. Naomba irudiweeeeee😂😂😂😂
Fiston aondoke
Yanga ni moto jamani
Hahahah wangapi tumesikia passy yakuombea mkoko bank yeyote ila yanga timu kubwa bwana
Tangu lini 😆😆😆😆
Yanga okoa nafs zetu tumechoka
NAFSI ZENU OKOENI WENYEWE. KASALI UMUABUDU MUNGU YAWEH.
Usiuparamie mchongoma mdogo wang
@@hamisimfaumenamwewe193 usiuparamie mchongoma mdogo wangu
Yaan Raha sana
Yanga achaneni na huyo fiston na sarpong hawana kitu, na mzawa wazir jr apewe mechi nyingi ni goal getter mzuri tunamjua tatizo hapewi nafasi...
Irudiwe nyau fc hawajaoma
Yanga mtatuuwa jaman
Wananchi Hadi raha
Woooow safiiiii
Sitosahau kwenye maisha yangu
Azam tv tuekeeni highlights basi
Mwadui wana sifa sana kwahiyo walikua wanataka washinde ili iweje wakati washashuka daraja sifa tuu
Kaz ilikua kaz Ila ndyo ivyo mpira umetisha.Wananchi 3 Wachimba madini 2.
Masiingie tu na matokeo yako uwanjani hiyo tarehe 3....itawagharimu.
Mnachelewa kutupa highlights azam tv
Halaaa Yanga
Mwadui mkome kuchezea ndevu za baba zenu pumbavu nyie hamna adabu kabisa
azam two liv
Yanga Daima
Nakupend yanga
Mamae
Huyo Fiston aondoke tuu na mwenzie Sapong....huyu Waziri kama hapati nafasi tumtoe kwa mkopo aende KMC muna vijana wenzake pale atafanya vizur kuliko kumweka benchi..hii ni mechi ya pili anaingizwa na kufanya makubwa..
Goli la kwanz yye nd kasabsh foul ...kukosa penat n ajli tu
Kisinda hatakama afungi lakini kuna kitu unakiona
Sanaa namupenda bule💚💚💚
Najifunza kitu hapa hata kwenye maisha kutanguria si kufika
Pasi ya kuombea mkopo bank🤣🤣🤣
Tunaiomba hii team tarehe 3 jamani, tunaomba sana
Tunakuja tumeshajipanga
🔥🔥🔥🔥🔥
Alaaaaaaaaa h_🤫🤫msitangaze🤫
Wangapi tumeirudia hii match 2024?
💚💛