Magoli: Yanga walivyopindua matokeo na kuipiga Mwadui 3-2 kwa Mkapa - VPL 20/06/2021

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 06. 2021
  • YANGA 3-2 MWADUI: Yanga SC wamezitumia dakika nne za nyongeza kupata magoli mawili muhimu yaliyowapa ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mwadui FC katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Magoli ya Yanga yamefungwa na Bakari Mwamnyeto, Yacouba Songne na Wazir Junior wakati magoli yote mawili ya Mwadui yakifungwa na Aniceth Revocatus.
    Katika hatua nyingine, Fiston Abdoulrazack wa Yanga amekosa penati kwenye mchezo huu, iliyopanguliwa na golikipa Mussa Mbisa.
    Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
  • Sport

Komentáře • 538

  • @mandelatv7834
    @mandelatv7834 Před 3 lety +9

    Yanga naikubali miaka mia... mungu ibariki yanga mungu ibariki yanga amina

  • @ednathad5476
    @ednathad5476 Před 3 lety +12

    Mtangazaji yanga wamejua kukukausha sauti leo.... hii ndo timu ya wananchi buana 💚💛

  • @youngndekwatz5131
    @youngndekwatz5131 Před 3 lety +8

    Safi sana wananchi najua kuna watu wanaumizwa na aya matokeo vumilieni hii ndo yanga ndugu zangu team ya wananchi💪💪

  • @joandaniel9757
    @joandaniel9757 Před 3 lety +8

    Daima mbele nyuma mwiko i love you young Africans

  • @j.s.nyerere2837
    @j.s.nyerere2837 Před 3 lety +8

    Naona watu wanamfurahiya mfungaj bila kuona juhud za TK master, tazama magori yote mawili ya mwisho yametoka miguuni mwake. Mm man of the match ni TK

  • @ip_header
    @ip_header Před 3 lety +7

    Hii ndio inaitwa Fighting spirit, hakuna kukubaki mpka mwisho, daima mbele nyuma mwiko

  • @asteriabrown1101
    @asteriabrown1101 Před 3 lety +7

    Yanga naikubali sanaa💚

  • @sumahtanzania4991
    @sumahtanzania4991 Před 3 lety +6

    Yanga oyeee raha sana ukiwa mwananchi

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 Před 3 lety +9

    Tuliipenda wenyewe ilove yangaaaaaaa

    • @fadhilimartin9466
      @fadhilimartin9466 Před 3 lety

      Kipa alisi Mama nyuma ya mstari Makosa sana ingetakiwa kwenye mstari Rafa hakuona makosa hayo

    • @wilonjahatua2067
      @wilonjahatua2067 Před 3 lety

      @@fadhilimartin9466 sure

  • @ezekielemanuel8217
    @ezekielemanuel8217 Před 3 lety +8

    This is yanga what we need!! 💪💪💪

  • @mercymoshi3666
    @mercymoshi3666 Před 3 lety +10

    Huku ndio kupndua meza kibabe, YANGA FOR LIFE 💚💛💚💛💚💛💚💛🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪💪💪💪💪💛💛💛💛💚💚💚💚💚

    • @Edward_Simon6
      @Edward_Simon6 Před 3 lety

      Haha matokeo hayo na timu inayshuka daraja mmeponea chupu chupu

    • @mercymoshi3666
      @mercymoshi3666 Před 3 lety

      @@Edward_Simon6 unateseka ukiwa wapi?!!😂😂😂😂😂halaf ww ulimfunga ngapi?!!!ENDELEA KUTESEKA MTANI

    • @abdullaothman3772
      @abdullaothman3772 Před 3 lety

      @@Edward_Simon6 kwani timu ikiwa inashuka daraja huwa haichezi mpira?

  • @saidyoriyori9697
    @saidyoriyori9697 Před 3 lety +14

    tulie ludia kuangalia ili gem tujuane apa

  • @daudkihava8528
    @daudkihava8528 Před 3 lety +5

    What a come back!, Viva Yanga.

  • @sportssite8011
    @sportssite8011 Před 3 lety +5

    Hongera Yanga nikiwa Kenya 🇰🇪

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 Před 3 lety +6

    Yaani kama ningekuwepo mimi uwanja lile goli la waziri nisinge endelea kusimama ningekaa kwenye kiti changu kisha nika piga booongeeee moja la selfie kisha naenda kuombea mkopo benk bila dhamana big up 👏 chama langu pamoja sana 🇦🇪🇹🇿

  • @sadarashid511
    @sadarashid511 Před 3 lety +6

    I love you yangaaaaaa

  • @alexkihongola798
    @alexkihongola798 Před 3 lety +4

    Aniceth Revocutus ni Moto Sana, Hongera yanga.

  • @zulekhabaksh686
    @zulekhabaksh686 Před 3 lety +5

    Asante Yanga 💚💛💚💛💚💛

  • @antonymsalilwa7180
    @antonymsalilwa7180 Před 3 lety +5

    Tk master 🙌🙌🙌

  • @nurungole3961
    @nurungole3961 Před 3 lety +5

    Poleni na uchovu viongozi na wachezaji na mashabiki wenzangu na yanga. Naomba neno niseme nawaomba wachezaji wetu msiudharau mpira ukiwa kwa Adui msimuongezee hatua mumzibe kwa kumpunguzia hatua. Nasisi mashabiki tuwe wapole kwa wachezaji wetu kipindi wanapokuwa uwanjani hata kama wamekosea wakimaliza tuwaelekeze viongozi. Kuna kupanik ukishtuliwa ndio tunapoteana. Mungu isaidie yanga yetu.

  • @dogoshazzy761
    @dogoshazzy761 Před 3 lety +5

    Yang mbelee🔥🔥💯💯💯

  • @daedadaudi8388
    @daedadaudi8388 Před 3 lety +6

    Always green and yellow

  • @adjussahkindamba3111
    @adjussahkindamba3111 Před 3 lety +6

    🇦🇪 Dar Young Africans till die

  • @charlesndege1446
    @charlesndege1446 Před 3 lety +4

    Raha sana

  • @salehali1136
    @salehali1136 Před 3 lety +4

    Tk masta speed zake zinasaidiaa

  • @laghtnesphilipo489
    @laghtnesphilipo489 Před 3 lety +4

    Dah, kaseke hajaaman Kama ameshinda, hongera Sana wananchi wenzangu

  • @georgemgawe9715
    @georgemgawe9715 Před 3 lety +5

    Asante tk master

  • @mattanofficemusc3535
    @mattanofficemusc3535 Před 3 lety +2

    Achainiuweeee nimeipenda mwenyeweeee I love Yanga

  • @FourTeen_Kiid
    @FourTeen_Kiid Před 3 lety +5

    Safu yetu ya nyuma hamna kitu kabisa tunaruhusu sana magoli hasa kwa michezo miwili hii ya mwisho (wa Ruvu Shooting na Mwadui) uongozi wa timu unatakiwa kulifanyia kazi tatizo hili.
    #DaimaMbeleNyumaMwiko💚💛

  • @husseinmohamed1777
    @husseinmohamed1777 Před 3 lety +9

    Kaseke Fundiii🙌🏾🙌🏾

  • @paulomollel8179
    @paulomollel8179 Před 3 lety +4

    Ilove yangaaaaa

  • @somoesalumu7600
    @somoesalumu7600 Před 3 lety +7

    Highlight inachelewa jaman wengine hatuna tv

  • @saidmichael6029
    @saidmichael6029 Před 3 lety +3

    Nice performance yanga forever

  • @Regismwungura2000
    @Regismwungura2000 Před 3 lety +1

    The first goal love from kenya

  • @samdemainer2432
    @samdemainer2432 Před 3 lety +5

    Team ya wananchi daima mbele nyuma mwiko 👏

  • @zahrainuleidi2101
    @zahrainuleidi2101 Před 3 lety +3

    Yangaaaaaaa oyeeeeeeeee

  • @yangatvmedia3995
    @yangatvmedia3995 Před 3 lety +3

    Love yanga

  • @stacianduta4079
    @stacianduta4079 Před 3 lety +5

    MAREFA WA TANZANIA WAPUMBAFU 'THAT WAS A DIRECT REDCARD ON FAI TOTO LAST MAN STANDING RULE

    • @ngassa1tv331
      @ngassa1tv331 Před 3 lety

      soka la bongo bado sanaa maana kama na wewe umeliona hilo duh hata mimi nililiona halafu na refa ameangalia tu duh

    • @saidmichael6029
      @saidmichael6029 Před 3 lety

      Nakubaliana na wew Stacia nduta,

    • @hassanbinabdallah8496
      @hassanbinabdallah8496 Před 3 lety +1

      Sio hawajui yanga inahujumiwa saana na tff nyie acheni tuuu jaman haki hakuna mpira wa bongo jaman caf mko waaaaaaapiiiiiiiiiiii

  • @peterkamara5911
    @peterkamara5911 Před 3 lety +3

    What a comeback

  • @abdullaothman3772
    @abdullaothman3772 Před 3 lety +7

    Hiyo penalty ilitakiwa irejewe kupigwa bcz goalkeeper hakuwa sehemu sahihi kabla penalty haijapigwa, sema waamuzi wetu ni shida

  • @johnsonlyakurwa2023
    @johnsonlyakurwa2023 Před 3 lety +5

    Iliniumaaa sana jana mpaka dk za lala salamaaaa celew ila mpira dk 90 DAIMA MBELE NYUMA MWIKO

  • @biddii1972
    @biddii1972 Před 3 lety +4

    Tk mast ni moto

  • @biddii1972
    @biddii1972 Před 3 lety +3

    Yanga ni motooo

  • @mansoolpapalah9537
    @mansoolpapalah9537 Před 3 lety +5

    Come back ya kibabe daima mbele✊

  • @elliky2wo2wo95
    @elliky2wo2wo95 Před 3 lety +9

    Wanao sema tumebebw waende fifa

  • @gilgalwaryoba5735
    @gilgalwaryoba5735 Před 3 lety +7

    Mh ila huyu kisinda huyu mmmmh

  • @saudajuma4409
    @saudajuma4409 Před 3 lety +3

    Yangaa hoyee

  • @samdemainer2432
    @samdemainer2432 Před 3 lety +7

    Ukubwa wa yanga ndyo huu sasa😂

  • @DiboyHDsports
    @DiboyHDsports Před 3 lety +1

    goo gooo yanga😘😍😍😍

  • @twahirumtunguja4136
    @twahirumtunguja4136 Před 3 lety +4

    Polee mpenja kwakukaushwa saut na wananchi 😀😀

  • @aliabdallah5396
    @aliabdallah5396 Před 3 lety +2

    Big up kwa tk

  • @mabeyobarnabas
    @mabeyobarnabas Před 2 lety +1

    Waaaaaaaaaaaoooooooo hongela kwa yanga

  • @sarahyanga2557
    @sarahyanga2557 Před 3 lety +6

    Yangaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @georgeevance2896
    @georgeevance2896 Před 3 lety +5

    Nawapenda sana yanga nihatari sana

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 Před 3 lety +8

    Hivi mnajua kwa nini mwadui wamelia baada ya kupoteza? Shinyanga walikula 5 hawakulia ,FA wakala 2 hawakulia, kwa nini walie jana na huku wameshashuka daraja? Jibu ni kwamba kuna mkwanjwa kama hawakupewa basi waliahidiwa na vigogo wawili kwenye ligi😂😂😂😂

    • @hillarymustapha5252
      @hillarymustapha5252 Před 3 lety +1

      Asante

    • @hindisaid2413
      @hindisaid2413 Před 3 lety +1

      Kama nafahamu sasa🤣

    • @maryberege3093
      @maryberege3093 Před 3 lety +1

      Watu wameisha shuka daraja na hawaendi popote lakini pesa mwanaharamu sana. Wangekuwa wanacheza hivi kwa kila timu wanayo kutana nayo nafikiri katika msimamo wa ligi Wangekuwa 5. Naona mkwanja wa mo ndio umewafanya wacheze kwenye kiwango. Wamekwama ila wapewe hata ya maji

  • @suleymanisalum2361
    @suleymanisalum2361 Před 3 lety +3

    💚💛💚💛by iniesta

  • @benjaminomary5307
    @benjaminomary5307 Před 2 lety +1

    I love you yanga

  • @stacianduta4079
    @stacianduta4079 Před 3 lety +7

    PIA WAKATI WA KUPIGA PENALTI GOAL KEEPER ALIPASWA KUSIMAMA KWA LAINI SI KWA NETI

    • @ngassa1tv331
      @ngassa1tv331 Před 3 lety

      dada mpira wa bonfo huo

    • @eliastephen2776
      @eliastephen2776 Před 3 lety

      Hilo lilikuwa kosa lakini waamuzi wetu hawako makini

    • @mlengecastory9098
      @mlengecastory9098 Před 3 lety

      @@eliastephen2776 hapana kipa yupo sahihi unaruhusiwa kuingia ndani yaneti na kuuwahi mpira usingie ndani ingawaje ukipata wapigaji penalti wazuri kila siku unatakuwa unafungwa Feston alikosa umakini2

  • @jumashaban1519
    @jumashaban1519 Před 3 lety +4

    Ha ha ha uyo wa blichi simwogopi, baraka unafurahisha sana

  • @justrex101
    @justrex101 Před 3 lety +5

    naona kuna watu tumewakeeeeeeeeeeeeeerrrrrrrrrraaaaaaaa
    ma ex wetu wanapata tabu sana tusubirieni tarehe 3 kwa mkapa

  • @losa4976
    @losa4976 Před 3 lety +4

    mimi shabiki wa yanga ila ilo goli la mwadui nimejikuta nashangilia

  • @magrethmartin199
    @magrethmartin199 Před 3 lety +3

    This is yanga

  • @J4UPro
    @J4UPro Před 3 lety +1

    Love yang

  • @juxmwamlenga8087
    @juxmwamlenga8087 Před 3 lety +1

    Sana sana

  • @omaryrashird7879
    @omaryrashird7879 Před 3 lety +3

    Congratulations yanga

  • @waziriadam6481
    @waziriadam6481 Před 3 lety +21

    Walio rudia kuangalia haya magoli kama mm tujuane kwa like

  • @mariammuya5177
    @mariammuya5177 Před 3 lety +4

    We junior wee-wee!

  • @anneonyesha1837
    @anneonyesha1837 Před 3 lety +4

    Ilove u yanga

  • @patricklembeli8523
    @patricklembeli8523 Před 3 lety +1

    Of said

  • @Prosper_vevoo
    @Prosper_vevoo Před 3 lety +3

    Atari 🔥🙌 🔥🔥🔥🔥

  • @happyshayo372
    @happyshayo372 Před 3 lety +3

    Dah. Mechi utafikiri ni fainali. Naomba irudiweeeeee😂😂😂😂

  • @dougrastoto5569
    @dougrastoto5569 Před 3 lety +5

    Fiston aondoke

  • @wisesanga9085
    @wisesanga9085 Před 3 lety +3

    Yanga ni moto jamani

  • @ramcdkunyenda8477
    @ramcdkunyenda8477 Před 3 lety +5

    Hahahah wangapi tumesikia passy yakuombea mkoko bank yeyote ila yanga timu kubwa bwana

  • @erikimethod6246
    @erikimethod6246 Před 3 lety +7

    Yanga okoa nafs zetu tumechoka

  • @hashimuhakimu240
    @hashimuhakimu240 Před 9 měsíci

    Yaan Raha sana

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376 Před 3 lety +4

    Yanga achaneni na huyo fiston na sarpong hawana kitu, na mzawa wazir jr apewe mechi nyingi ni goal getter mzuri tunamjua tatizo hapewi nafasi...

  • @edomkyamba3988
    @edomkyamba3988 Před 2 lety +3

    Yanga mtatuuwa jaman

  • @willyishengoma6578
    @willyishengoma6578 Před 3 lety +4

    Wananchi Hadi raha

  • @rashidsulayman1578
    @rashidsulayman1578 Před 3 lety +2

    Woooow safiiiii

  • @user-pb5gd7uy8o
    @user-pb5gd7uy8o Před 7 měsíci

    Sitosahau kwenye maisha yangu

  • @charitymkombozi1800
    @charitymkombozi1800 Před 3 lety +2

    Azam tv tuekeeni highlights basi

  • @agustinoapolinar1623
    @agustinoapolinar1623 Před 3 lety +3

    Mwadui wana sifa sana kwahiyo walikua wanataka washinde ili iweje wakati washashuka daraja sifa tuu

  • @chimpaanamtemawingo6355
    @chimpaanamtemawingo6355 Před 3 lety +2

    Kaz ilikua kaz Ila ndyo ivyo mpira umetisha.Wananchi 3 Wachimba madini 2.

    • @ismailkatala4792
      @ismailkatala4792 Před 3 lety

      Masiingie tu na matokeo yako uwanjani hiyo tarehe 3....itawagharimu.

  • @allymjamaika2460
    @allymjamaika2460 Před 3 lety +1

    Mnachelewa kutupa highlights azam tv

  • @nationboy2541
    @nationboy2541 Před 3 lety +1

    Halaaa Yanga

  • @immatheboytz5626
    @immatheboytz5626 Před 3 lety +6

    Mwadui mkome kuchezea ndevu za baba zenu pumbavu nyie hamna adabu kabisa

  • @dogshuku5963
    @dogshuku5963 Před 3 lety

    azam two liv

  • @mhinazishi2331
    @mhinazishi2331 Před 3 lety +4

    Yanga Daima

  • @herbertjulius3300
    @herbertjulius3300 Před 2 lety

    Nakupend yanga

  • @rehemajoseph8402
    @rehemajoseph8402 Před 3 lety +3

    Mamae

  • @eliastephen2776
    @eliastephen2776 Před 3 lety +3

    Huyo Fiston aondoke tuu na mwenzie Sapong....huyu Waziri kama hapati nafasi tumtoe kwa mkopo aende KMC muna vijana wenzake pale atafanya vizur kuliko kumweka benchi..hii ni mechi ya pili anaingizwa na kufanya makubwa..

    • @qavoryope6525
      @qavoryope6525 Před 3 lety +1

      Goli la kwanz yye nd kasabsh foul ...kukosa penat n ajli tu

  • @agustinoapolinar1623
    @agustinoapolinar1623 Před 3 lety +4

    Kisinda hatakama afungi lakini kuna kitu unakiona

  • @user-pb5gd7uy8o
    @user-pb5gd7uy8o Před 6 měsíci +1

    Najifunza kitu hapa hata kwenye maisha kutanguria si kufika

  • @gratifymwanga154
    @gratifymwanga154 Před 2 lety +3

    Pasi ya kuombea mkopo bank🤣🤣🤣

  • @arnoldchristian7971
    @arnoldchristian7971 Před 3 lety +2

    Tunaiomba hii team tarehe 3 jamani, tunaomba sana

  • @abdallahm86
    @abdallahm86 Před 3 lety

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @emanueldaniel9399
    @emanueldaniel9399 Před 3 lety +3

    Alaaaaaaaaa h_🤫🤫msitangaze🤫

  • @edibilychaula.3753
    @edibilychaula.3753 Před 18 dny +1

    Wangapi tumeirudia hii match 2024?

  • @khalipharashidy6213
    @khalipharashidy6213 Před 3 lety +1

    💚💛