Yanga SC 3-2 Mwadui FC | Highlights | VPL 20/06/2021

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 06. 2021
  • YANGA vs MWADUI: Yanga SC wamezitumia dakika nne za nyongeza kupata magoli mawili muhimu yaliyowapa ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mwadui FC katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Magoli ya Yanga yamefungwa na Bakari Mwamnyeto, Yacouba Songne na Wazir Junior wakati magoli yote mawili ya Mwadui yakifungwa na Aniceth Revocatus.
    Katika hatua nyingine, Fiston Abdoulrazack wa Yanga amekosa penati kwenye mchezo huu, iliyopanguliwa na golikipa Mussa Mbisa.
    Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
  • Sport

Komentáře • 99

  • @mwanahamisseif5506
    @mwanahamisseif5506 Před 3 lety +11

    Daaah ili gemu sichoki kuliangaliaa wallah wananchiii tulisha kata tamaa jamani Mungu ni mwemaaaaa🙏🙏🙏💛💛💛💚💚💚💚

    • @zuchuwcb8655
      @zuchuwcb8655 Před 3 lety +2

      Yaan ata mm😂😂

    • @paulshaban8933
      @paulshaban8933 Před 2 lety +1

      He is also the chief of Hassan's 🤢💚💯👨‍🏫💟💯🗨🚵‍♂️ this is Future wash

  • @elliky2wo2wo95
    @elliky2wo2wo95 Před 3 lety +11

    Wakwanz naomben like wananchii💛💚

  • @edibilychaula.3753
    @edibilychaula.3753 Před 2 lety +5

    Moja kati ya mechi ambayo wana Yanga hatuta kuja kuisahau ni hii💚💚💚

  • @dianajeremiah5662
    @dianajeremiah5662 Před 2 lety +2

    Sitaka ni isahau hii mechi 🙌🙌🙌

  • @shaninaftary1693
    @shaninaftary1693 Před 2 lety +7

    Hii mechi haichoshi kuirudia kutazama..I love u Yanga❤

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Před 2 lety +6

    Wangapi wanaangalia hii

  • @emmanuelmtonyole9958
    @emmanuelmtonyole9958 Před 3 lety +6

    Daàaaa Hadi saivi sauti yangu haijarudiiiii goli la 3 lakausha sautiii aiseeee 😂😂😂😂😂😂😂💪💪💪💪💪💛💛💛daima mbele nyuma mwiko

    • @sakinachamshama1398
      @sakinachamshama1398 Před 3 lety +1

      hunishindi mimi yani nilifurahi mno ila sijui kwanini sikuwa na hofu kabisa

  • @deogratiuskalolo256
    @deogratiuskalolo256 Před 3 lety +5

    Daah wanaume waliiga sana kazi nilijua hii game tunafungwa kumbe kuna watu walikua na magori nilifurahi sana

  • @designeridrisa6079
    @designeridrisa6079 Před 3 lety +3

    Wa kwanza leo

  • @ashurakanyaru7366
    @ashurakanyaru7366 Před 3 lety +11

    HII MECHI ITABAKI KUWA HISTORIA VIZAZ NA VIZAZ

    • @shafiikhamis2336
      @shafiikhamis2336 Před 3 lety +2

      Sana...ilikua n game ya aina yake kwa kweli

    • @theodorycharles4959
      @theodorycharles4959 Před 3 lety

      kwakupakatwa2 hamjambo ila mngefungwa nyie hilo goli ungesikia Tff wanatuhujumu ila sababu mlipakatwa mkatulia2 ila kwani mnachelewa

    • @sakinachamshama1398
      @sakinachamshama1398 Před 3 lety

      @@shafiikhamis2336 mnoooo mikia wanaumia hatari

  • @edinaboss1835
    @edinaboss1835 Před 2 lety +2

    Mtaa wa pili domo zegeee💪

  • @iddyjuma7166
    @iddyjuma7166 Před 3 lety +9

    Afu watu wa simba wanasema eti gol la 3 alikuwa kazidi hahahaaaa yanga nihatari watu wanaumia

  • @Murtini2023
    @Murtini2023 Před 3 lety +2

    What an incredible ending.

  • @sakinachamshama1398
    @sakinachamshama1398 Před 3 lety +7

    sichoki kuangalia haya magoli,

  • @samweliolengaya9942
    @samweliolengaya9942 Před 3 lety +5

    Hakika yanga sasa inakuwa timu haiii natamani sana hawa wangekuwa simba jamani

  • @sakinachamshama1398
    @sakinachamshama1398 Před 3 lety +5

    bakari nondo anastahili kitambaa cha ukaptaini anapambana sana

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 Před 8 měsíci +2

    Timu kubwa ilionyesha ukubwa😂

  • @peterkamara5911
    @peterkamara5911 Před 3 lety +5

    Lilikuwa swala la muda tu..katika match mashabik wa yanga watakumbk bs ndo hii

  • @charitymkombozi1800
    @charitymkombozi1800 Před 3 lety +4

    😀😀😀😀😀mpenja alibaki anasema tu waziiiir waziiiir waziiir cha kusema kilikosekana

  • @filipengog3362
    @filipengog3362 Před 2 lety +1

    Nakubali

  • @addelineantony3622
    @addelineantony3622 Před 2 lety +2

    Match tamu hatari

  • @yacenharuna380
    @yacenharuna380 Před 3 lety +6

    Yanga SC jana mlnifanya usku nikojoe ktandani kabsa 😀😀😀😀, goli la Waziri Jr nlliota nikiwa na kbinti cha KITANGA kitandani 😀😀😀😀😀😀, Dadeq jana nliamin mpira n dak 90 kwel ndo ujue umeshinda au la🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏🙏

  • @johnnyoloni5888
    @johnnyoloni5888 Před 3 lety +1

    Yanga baba lao

  • @charitymkombozi1800
    @charitymkombozi1800 Před 3 lety +4

    Yanga wanaimarika kila kukicha, ilikuwa ni nadra sana kuona timu inatengeneza nafasi nying kama hizi siku za karibuni huyu nabbi ni bonge la kocha tumpe muda azidi kutengeneza kikosi pia tupate striker za maana

  • @joshuamwambene6041
    @joshuamwambene6041 Před 2 lety +3

    Mmmmh tulibanwa na hivi vitoto lakini mkubwa nli mkubwa tu.

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 Před 3 lety +3

    Hii mechi sichoki kuitazama

  • @hatari9591
    @hatari9591 Před 7 měsíci +1

    Ilikuw ni off side

  • @albertlukoo7386
    @albertlukoo7386 Před 3 lety +2

    Washangiliaji wa simba ni waimba taraabu

  • @user-pb5gd7uy8o
    @user-pb5gd7uy8o Před 7 měsíci

    Hata simba warifungwa ya ofsadi

  • @adamamin8148
    @adamamin8148 Před 3 lety +3

    Mpira ulikuwa mzuri sana mwadui wamecheza sana lkn yaanga walifit kila sehem saidi ntibazolkiza akiacha ubinafs yanga itakuwa inapata magoli mengi sana ntibazokiza aache ubinasi najua kila mchezaji anataman kuwa na magoli mengi ushaur wangu panapo nafasi funga ukiona auna nafasi ya kufunga toa pasi kwa mwngine afunge kuinusuru tim yanga ni tm kubwa pia ongera kocha

    • @athumanimbaya9509
      @athumanimbaya9509 Před 3 lety

      Ni kweli kabisa, unachoongea, maana, hata Kaseke, na Tk master, wangekuwa, wabinafsi, hii mechi, tulikuwa, tumelala, yombo.

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 Před 3 lety

      Tatizo la saido ni ilo jina god father ni laana hiyo

    • @mathiasulaiti5665
      @mathiasulaiti5665 Před 3 lety

      kwa ujumla hali ya ubinafsi inaanza kupotea tumpe muda. coz mwanzoni wachezaji wote walikua na umimi. hii timu ni nzuri na ina matumaini sana . wakiondoa ubinafsi mamo yatakua mazuri siku za usoni

    • @mwanahamisseif5506
      @mwanahamisseif5506 Před 3 lety

      @@mathiasulaiti5665 Sanaaaa umenenaaaaa

  • @pascalpaul3596
    @pascalpaul3596 Před 2 lety +1

    Ukweli mbaya ila mechata ulikuwa unaihujumu yanga

  • @jamesmahatane2723
    @jamesmahatane2723 Před 3 lety +2

    😅 somaiyoooooooooooooo

  • @zaunafelix3522
    @zaunafelix3522 Před 3 lety +3

    Yani unajikuta choz linadondoka

  • @allymandunda3095
    @allymandunda3095 Před 3 lety +3

    Yanga damu

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 Před 3 lety +1

    Kwakweli hii game ichunguzwe vizr kwa nini ata kabla refa hajapuliza kipyenga cha mwisho mwadui walale chini na kulia?

  • @dartnatuscharles8268
    @dartnatuscharles8268 Před 2 lety

    mechi zinazo chezwa leo talee 6-9-2021

  • @samweliolengaya9942
    @samweliolengaya9942 Před 3 lety +2

    Mhmhmhm mpenja nawe unaweka chumvi dah

  • @msabato.6947
    @msabato.6947 Před 3 lety +5

    Raisi wa tff ombilangu sheria ya dakika za nyongeza ifutwe

  • @lameckrambert7444
    @lameckrambert7444 Před 2 lety

    Mbao fc

  • @momadeissa752
    @momadeissa752 Před 2 lety +1

    L

  • @fid-focwayesu2759
    @fid-focwayesu2759 Před 3 lety

    Kiufupi ya jua mpira sema ndiyo hivyo tuu..yanga jaman dah

  • @silviasebastian2094
    @silviasebastian2094 Před 2 lety

    😅😅😅

  • @dayanalema2351
    @dayanalema2351 Před 2 lety +3

    Hii mechi sito sahau

  • @mato4g818
    @mato4g818 Před 3 lety +1

    Tizzo

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Před 3 lety +3

    Goli la offside hili la mwisho we angalia mfungaji alikuwa wapi? Mmefichiwa aibu tu.

    • @yacenharuna380
      @yacenharuna380 Před 3 lety +1

      Tatzo Education kwako

    • @lokole22tv
      @lokole22tv Před 3 lety +1

      Sio offside angalia usawa wa beki anaemfukuza Tuisila kisinda na usawa alipo Waziri Junior, achana na hao mabeki wawili wa kati wa mwadui.

    • @yosiamakago6224
      @yosiamakago6224 Před 3 lety +1

      Nyoook

    • @thadeylyimo9772
      @thadeylyimo9772 Před 3 lety +1

      kwani mfungaji alikuwa wapi wakati yacuba anapiga pass mbele ya kisinda.. mpira ulipita mbele.. Kisinda na waziri waitoka nyuma ya mabeki wakawapita wakati mpira uko mbele.. hakuna offside apo bro... LADBA KAMA HUNA IDEA YOYOTE KUHUSIANA NA SHERIA YA OFFSIDE NDIPO UNAWEZA SEMA NI OFFSIDE... kisinda anapiga pass kwa waziri angalia kama waziri yuko mbele ya mpira au nyuma ya mpira..

    • @youngsnipertz9415
      @youngsnipertz9415 Před 3 lety

      Tatizo hukucheza hata mpira

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 Před 3 lety

    Mwadui hawana mapumbu

  • @alfredmashala4062
    @alfredmashala4062 Před 3 lety

    0

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 Před 3 lety

    Goli la mwisho offside lakini sijajua kwanini timu kubwa zinasaidiwa na marefa na mtangazaji anajifanya haoni

    • @mathiasulaiti5665
      @mathiasulaiti5665 Před 3 lety +3

      angalia vizuri weka slow motion. msipende kuwa na macho ya matege.

    • @machinefannatic99
      @machinefannatic99 Před 3 lety

      @@mathiasulaiti5665 wewe ndio una macho ya kishoga embu tumiaga akili sio kila kitu ushabiki, ndio maana afrika hauendelei. Clear offside alafu bado unaleta siasa.

    • @sephaniaayubu1877
      @sephaniaayubu1877 Před 2 lety

      Yan Apo nisawa naboko awe onside amvuke beki ok chama nae awe alivuka naboko mda uwo wakipasiana nikosa? Ko mpira hauitaj macho tu nauerewa piah

  • @davidbahati8327
    @davidbahati8327 Před 3 lety +1

    Yanga kwel mmeishiwa yaan mlishangilia kuwafunga mwandui Kama vile ndo fainal mnachukua kombe, makelele mitaa yote, yaan wewe ni wa kushangilia kwa kuifunga timu iliyoshuka daraja tokea mwez wa 4

    • @kwamefidel736
      @kwamefidel736 Před 3 lety +1

      Kama unalijua hilo mbona mwadui walikuwa wanalia na kunyong'onyea Kama ndo mechi iliyowashusha daraja waliahidiwa mrungula hao

    • @laipazergy7938
      @laipazergy7938 Před 3 lety +1

      Kama huelewi kaa kimya mbwa wewe, unaona kawaida kufunga magoli mawili ndani ya dakika nne za nyongeza

    • @charitymkombozi1800
      @charitymkombozi1800 Před 3 lety

      Acha ujinga

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 Před 3 lety

      Nyie mlikuwa mnashangilia nini kumfunga namungo na ruvu?

    • @sakinachamshama1398
      @sakinachamshama1398 Před 3 lety

      @@kwamefidel736 asante umemjibu vizuri sana

  • @aud548
    @aud548 Před 8 měsíci +1

    Sema tumetoka mbali sana asee🙌🙌🙌😂😂😂