Yanga yapiga soka biriani na kuichapa Costal Union 3-0; Tazama highlights - VPL 03/10/2020

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 10. 2020
  • YANGA 3-0 COASTAL UNION: Mabingwa wa Kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC leo wamepiga kandanda safi na kuitandika Coastal Union mabao 3-0, mchezo ukipigwa kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Yanga yamefungwa na Carlos Carlinhos, Haruna Niyonzima na Yacouba Sogne. Tazama Highlights.
    Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
    ► bit.ly/2wB6zmR
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
  • Sport

Komentáře • 227