Yanga yapiga soka biriani na kuichapa Costal Union 3-0; Tazama highlights - VPL 03/10/2020
Vložit
- čas přidán 2. 10. 2020
- YANGA 3-0 COASTAL UNION: Mabingwa wa Kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC leo wamepiga kandanda safi na kuitandika Coastal Union mabao 3-0, mchezo ukipigwa kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Yanga yamefungwa na Carlos Carlinhos, Haruna Niyonzima na Yacouba Sogne. Tazama Highlights.
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - Sport
Marash ya Zanzibar kutoka kwa feiiiiiiiii💚💚💚💚💛💛💛 Kama nawe unamkubal feiiii sarum tootoo like 👉
Asante umemuona carlinhos
Yangaaaaaa oyeeeeeeee piga keleleeeeeee ihihi ndo yanga nawapa salamu za rambi rambi tukutane 18 kwa mkapa wala atuna maneno mengi yanga damu damu from 🇦🇮🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺💯❤️
YANGA MBELE NYUMA MWIKO
Dah yanga ya sasa inanikosha sana mpira inacheza kama ulaya vle
This is the new young africaaaaaaa nipen like zanguuuuu
Asanten kwa like zenuu
Yanga asanteni sana mpira tumeuona cjuti kuipenda yanga jamani yanga mpo tusalmiane jamani
Mambo Yanga mwenzang
Yanga cc ni noma ndo tumeanza kugawa dozi
Yani ni raha ukiwa mwananchi Yanga oyeeeeeeeeeeeeeeeee
Yanga oyeeeeeeeeeeeeeeeee raha sana ukiwa mwananchi
Naipenda yanga yangu
Daima mbele 💚💛
Yesss hii ndo yanga yangu❤️❤️👏
I love u yangaa combination ya umaliziaji naona inakuja taratibu...
Lk zang Kama umeangalia 2021
Fantastic
Sichoki kuoangalia hzi highlights
Any 2023??😂where this team is the most trending in east Africa
Tar 3,goli 3,wafungaji wa3💚💚👏✅
Asanteh sana
Point 3
Tar 3 , goli 3, wafungaji wa 3, points 3 timu ya wananchi.
Pira kachori 💚💚💚💚💚💚
Taratiibuuu yanga mbele kwa mbele
Mwayanga yangu mungu waimalishe watoto wako wazid kutupa raha
Yanga aikiona nguo nyekundu uwaanawaga moto
We simba tunawasbir tareh 18/10/2020
TUKIONA JEZI NYEKUNDU TUNAWAKA WAAAAAAAH.....
Mtoto halali na pesa, daima mbele✌🏻tarehe 3, wafungaji 3, points 3, jezi imemponza mtu😂
Umeoona eeee
tim ya wananchiiii
Pow xana
Kosa la coast Union ni hiyo rangi ya jezi imesababisha kichapo kikali
🤣🤣🤣🤣
Kazi wanayo vp jamani ni yanga au Bayern Munich
Yanga member wangu
Taaratib tutaelewana Mara hii , Daima mbele
WAPE SALAAM
Awo mediyoka wapo
Asante mungu
Mm sadick naipenda yang Hadi mwisho
Kiukweli baraka mpenja unatupa raha sana nataman mech zote utangaze baraka mpenja
Tukutane tarehe 18
Thenk very much
I love u yangaaaa💛💚💛💚💚💚💚💚
Kilichowaponza jezi hizo
Yanga ni shidaaaaaa
Daima mbele nyuma mwiko yanga oyeeeeee
Tarehe 3 magoli 3 wafungaji 3 points 3
😂😂😂
Mokoko yanga ikishinda anafuraha sanaa
Hb waki Mreno niatari🦂
Sijutii kuishabikia Yanga
Pole sana
Pole na ww
@@ramadhansesala4891 kwani unateseka
Yanga daima
Thanks
Yanga tunasonga Mbele YAO
💛💚💛💚yangaaaa❣️❣️💞💓
Hao Mashabik wa Simba waliokaa karibu na Yanga mbona kama wana wasiwasi
Wanacheka cheka tu hata bila kuchekeshwa😂
🤣🤣😂
😂😂😂😂😂
Yanga wakifunga wanaona donge wapeni Salam zao tarehe 18 hatuna manenomengi nipoiti 3
Umeonaeee wapewe salama kwa herufi kubwa tena 😆😆😆😂😂😂😂😂😂
Coast mmekosea jezi imewaangusha
Asanten kwa like zenu
Imewaangusha vipi wakati ndiyo rangi ya jezi zao?
Yanga hatupatan na rangi nyekundu
Mpenjaa bana 😂😂😂😂😂👌👌
Good team
Carlihno waooo waooo baby 😍
🤣🤣🤣🤣
Mukoko bhana akikosea hadi huruma
Baraka mpenja kipenz cha wananchi ❤❤❤❤
💚💛💚
Yanga baba lao
hii timu ni kubwa sana ni muda tu. wakishazoeana utaelewa
Jamani yanga ya 2020 mbona siiyoni 2021
Hahaaaaaaa no body can stop reggae 🤣🤣🤣 mpenjaa
Mpenja fundiii
baba mzazi ameludi na form am fun of yanga toka kigali kgl
,
Nakuelewa vilivyo kaka mpenja!!!
Kama umemskiya mpenja akisema gadiola mnene mikono juuu
👏👏
Piraaa birianiiiiii
Yanga oyiiiiii
Woyeeeeee
Always father remean as a father in all aspect
Maridadi sana yanga oyeeeeeeeeee
Tatizo jez ndio kimewaponza coastal
Mbele kwa mbele
Yanga moja hiyo
Huyu isa hafai kuchezea costa mtu mbaya san dogo uko vizur
Yacuba Sagne uyujamaa anajua mpira
Salvatore
Mateo
Lukas
Yanga baba lao shida sana
Wataelewa tu
Eis
Yanga hatareeee
Mboso
Wape salam
Angalau leo kisinda amecheza nafasi yake.anatia krosi badala kulazimisha afunge yeye
Natamani mechi zote utangaze BARAKA MPENJA.
💔💔
Salehe jembe anateseka!!!
Nan kawakeraaah
Mpiraaaa pasiiiiiii
Mamb
Tunawakera eeeeeh
😘
Huwa najiulizaga hivi yule anaekaaga na mpenja pindi akitangaza mbavu hazimuumi kwakucheka kweli!mana kunamaneno yanachekesha sana,eti ba m ba baaa bam ba baaa😂😂😂
Mnajua kunivurahisha sanaaa Yangaaa
Raahaaaa kuwa yanga
@@amosibeka8049 sanaaaa
Samahani kwa usumbufu ndugu zangu naombeni support zenu kutazama video yangu ya pineapple na Ku subscribe kwa kugusa picha yangu hapo juu Ahsanteni🙏
Sawa
Hii mwanzo tuu
Hii ndio yanga ytu bwana
Yanga waliota ndoto kufunga huumchezo
Mpenja bhana 😂😂😂😂😂😂😂
😂walikosea sana kuvaa rangi nyekundu!
Sasa yanga mnafel wap 2021
Simba
Napenda chuma cha 3 yule jamaa yan kamptia sana yan had raha
17.12.2022
Eeeeee baba mzazii eeeeee baba mzazi
Naipend
Yanga hapa bado kabisa yaani subiri mamb mazur
Duuuuh mchiz anatamba
We tulia dawa iingie
#Timuyawananchi✊💣🏆
Ukikutana na vichwa vya zanzibar lazima utulie pale Fei toto Adeyum saleh
Mmmm..mmmnmmm
@@esterjuma5223 mhh mhh 😉
Mchezaje niliyo mkubali humu ndani ni isa abushehe tuu pekeake
Sawa Hasidi
Sawa kalia kijiti