2024/6/ tunao rudia tujuane
Finally Bora ya miaka yote🔥Bila shaka Iyi mechi ilikuwa na presha kubwa kwa wachezaji mpaka kwa mashabiki🤦🏿♂Nani kaangalia tena 2023??
Naomba like 👍 tunaoangalia 2023😀😀
Weeh
Mi hadi leo tarehe 12 mwez wa kwanza nipo naiangalia hiiii mechi maana ilikuwa ni ngumu mnoooo wananchi au siooo 🪴🪴🌲🌲🌳🌳🌺🌺🥀🥀🌹🌹🏵🏵💮💮🌸🌸💐💐🌷🌷⚘️⚘️🌿🌿🌾🌾🌵🌵🌴🌴🌻🌻🍃🍃🍂🍂🍁🍁🍀
Yaani kwenye maisha usikubali kukata tamaa. YANGA TUNGEKATA TAMAA KOMBE LINGEENDA KWA WAGOSI. THANKS LORD 🙌
This match 3-3 will surely go down as one of the greatest football show in Tanzania. It was a beautiful match
DAR YOUNG AFRICAN IS UNSTOPPABLE!💚💚💚💪🏻🏆🏆
Ahsante sana coach Nabi kwa kuwahi kumuingiza Makambo!
HAKIKA TUNAIMANI NA TEAM YETU TUNAIMANI NA GSM🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆👍🏅🥉😋🥈
Sitamsahau makambo, Feisal na Nkane kwenye hii mechi walah sitawasahau 🙌💛💚💛💚
Younger for life Burundi❤️❤️❤️ 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮
mechi imekuwa na hadhi ya fainali..
Asante Denis Nkane ⚽ kwa kuokoa jahazi..
🟩🟨🏆🏆
Hii mechi imenitesa Sana Leo sio Siri mwili wote ulikufa ganzi dah Asanten wachezaji wetu mmepambania Tim mashaallah moyo wangu umepoa sasa
Jmn nyie yanga tamu bhn asnt sn tajiri GSM, wachezaji na benchi nzm la ufundi hakika we're untouchable n unbeatable period. I love u yanga mwaaah
Wangapi wanacheki tena hapa 7/6/2024.YANGA ni KUBWA sana hainyamazishwiii,muulize feitoto kilichomkuta kule Zanzibar 💚🔰💪💪💪😅😅😅😅😅😅😅
I love you Yanga mmwaaa 💚💛🖤✅ leo tarehe 13-06-2023 ubingwa wa jana umenifanya nikumbuke na ilivyokuwa msimu ulio pita hakaki tunasitaili, jana Sopu alifichwa na wakati timu ilikwa kwenye uchovu usio elezeka much love Yanga yangu.
Nashukuru sana denis nkane kwa kusawazisha💛💛💚💚💚 yanga
Daah alhamdulillah Mungu Mkubwaaaa Makoloo Kimyaaaa😂💚💛👊🇹🇿
Makolo hawakosi cha kuongea utasikia story kwa soap. Nb: Kolo ni kolo tu
@@afrouhair694 Hahahhaha Manake Kwanza Nchekeeee Kama Walivyoshikilia Kiatu Cha George Mpolee😂😂😂😂👊
Congration my team yanga.daima mbele nyuma mwiko.wahenga walisema❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Iyo na hii ya Azam 2024 sio poa
Yaan hii mechi ilikuwa ngumu kama ile ya mtoano dhidi ya yanga na geita gold
All in all thanks Allah
#wearechampions
💚💚💛💚💛💛💛💚
Sichoki kuangalia,hii siku mmh au bas
Fainal ya jasho na damu timu zote zimepambana hongera yanga yangu💚💚🙏🇹🇿🏆
Mm nimwana nchiiiiiii ilove Yanga 💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛🏆🏆
Huwa sichoki kuangalia hii mechi proudly young African lady💚💚💚💚💚
Alifurahi mkuu wa mkoa wa Tanga Ila mwisho wake hakuamini Kama amekosa kombe
Thanks Lord. Thanks GSM. Thanks YANGA.
Kutangulia sio kufika.yanga bingwa
Sasa nitakunywa na kula na kutembea kifua mbele💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💚💚💚💚
Ah. !..huyu mtoto SURE BOY ni NOMA sana.....kama hayupo vile, kumbe ndo NUKSI namba Moja..!
Naiangalia tena Hii mechi leo tr 26/9/2022 daaah sitasahau Hongera chama langu yanga♥️💛💚
Kweli Mungu ni mwema Asante Mungu
Hii mechi imenipa presha wallah ctakuja kuisahau🤣💚💛💚💛
@@sanipharamadhani50 mashabiki wa simba wametukera sana ila mungu ni mwema wameaibika
Magoli yote sita kabla ya mikwaju yalikuwa mazuri sana. In fact magoli ya Sopu yalikuwa ni mazuri na magumu sana kwa golikipa yeyote kuzuia.
Aijawai tokea final kama hii wale tunaocheki June 2024 gonga hapo❤️
Moja kati ya mechi yangu bora sana kwa Chama langu YANGA .hii siku sitoisahau kamwe.
Yaan yanga wamenifanya nipende mpira ghafla namna hii duh haya siyo Mapenzi ni mahaba😍 Fei toto,mayele, sure boy wananikosha 😘 ila bila kumsahau MANARA huyu baba ana kitu Cha pekee alichojaaliwa na mwenyezi MUNGU MUNGU amlinde na wenye roho mbaya na chuki zao binafsi na wenye husda wapigwe upofu mabaya yawarudi wao wenyewe MANARA aiseh nampenda ye Ndo amenihamasisha niupende mpira MUNGU amlinde kwakwel 😍,I love you YANGA 💚💛😍,mjipange zaidi msimu ujao maana wapinzani wenu wanahasira hadi wanashindwa kujizuia na wanajipanga kwa hali na mali msimu ujao na nyie msilewe na ushindi Wa msimu huu mzidi kujipanga zaidi 😍💚💛🙏
@@ismailissa4935 ahsantee si unajua upendo haujifichi ni mahabaaa🤣😍,ila wasje wakanivurugia haba hili msimu ujao nitarudi nilikotoka 😜🙏
Unforgetable match💚🙏🏿💛🤝
Fainali ambayo imekua bora sana upande wangu, am proud of being part of DAR YOUNG AFRICAN
Ila hii mechi ilikua bora sana, both teams zimeonesha mpira mzuri
Makambovic 🔥💪
Asee hiyo bingwa ilivyotamkwa kama x3 ilikuwa very bold hadi raha,yani ulivutia kuliko hata kuvutia kwenyewe, nimjue mtangazaji tafadhali.. hii moment ilikuwa special sana💚💚💚💚💚💚
Yanga bingwa hukuuuuuuuu #CHAMPIONSSSSSS
24 naangalia Tena hii mech cjui kwa Nini
Sema Yanga Bingwaaaaaaa Mamae 💪💪💪💪💪💪💪💛💛💛💛💛💚💚💚💚🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆
Kusema ukweli mechii iih nilisimama tu sikukaa mpaka tulivyochukua kombe ndo nilikaa
Nitoke yanga 💛💚 niende wapi mimi raha ninazopata humu hazielezeki
The best final ever.....
Thanks so much YANGA sjui nakombe ili wataliitaji watani masna lile walisema blenda ila sis tunajua Nanyi mliltaka
Yangaaaaaa🔥🔥🔥🔥
Sopuui jaman khaaa.lkn alhamdulilah ikarud natumechukua et💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
He ndio maana ya never say never, hongera young Africans
Naangalia tena leo trh 7/10/2023 ilikuwa bonge la mechi hili, nilishika rozari nakusali muda wote hadi gemu ilipoisha salama, nikamshukuru Mungu
❤️❤️🥰. Nakupenda yanga🙏
Namshukuru Mungu kwa kweli
Haikuwa rahisi
Mechi ilikuaa ya moto sana hii🙌🏾🙌🏾team zote zimecheza kwa kiwango cha hali ya juu
Mechi ilikuwa tamu sana hii
Mungu hamuachi mja wake
Hongera Yanga kwa kutupigania Mashabiki wenu ❤️❤️❤️ 🔰🔰🔰🔰
Nawakubali sana wacheza Tanzania munaweza sana MUNGU AWABARIKI
Kumbe nahapa walitunyamazisha kilichowakuta hawakuamini😂😅
Love u YANGA♥♥♥♥
Mi nairudia had leo 2024 apr
The best sport TV online #azam❤️❤️❤️
Fainali zipo na zilikuwepo na Hiii mmh ilikuwa fainali kwl kwl
Yanga on top 💣💣
Imebidi niangalie tena hiI mechi. Ikiisha naangalia ile ya yanga na dodoma Jimi chamazi❤🎉🎉
tuna mzanzibar mmoja tu yanga #NI YEYE Feitoto💚💚💚
Waandish wengi wa Azam ni makolo Sana tangazeni kabumbu haki sawa kote
Dah hii Fainali kweli ni Dume wee simchezoo !
WHAT A MATCH 😃
Yanga ❤️
mnaolaumu mwamnyeto mnakosea....angalia ligi ilivyoaanaza mpk sasa ameonekana kubadilika cy mwamnyeto yule wa msimu uliopita Yuko kwenye kiwango Bora ni bahati mby tu cku hiyo gemy ilimkataa💚💛
Big team always do big things
Yanga bingwa
Yanga tamu
Hapo makolo kimyaaaaa
15/01/2023 Niko live na hili dubwana fantastic match nathani Argentina na France waliangalia hii mechi kablaa. So hot
kaz nzur kwa wana jangwan
Nmelud 2024
Djuma shaban na msheri wanashangilia vibaya mnakera bwana🤣🤣🤣🤣
Nkane the wonder kid ndo huyohuyo
Ooh ma God, 😭😭I feel like crying for joy😭😭😭😭😭
Leo tna naaangaliaaaa
😂😂Aliemuona dada ameshika nguo nyekundu akitingwa na mashabiki wa Yanga ameonyesha kukerekwa na ushangiliaji wa Yanga like yako😂😂
Sio kwamba alikuwa hapendi,alikuwa anamwagiwa matone ya maji na mashabiki angalia vzr,huwajui vzr wadada😄😄 asingekaa hapo kama angeona kero
Ambao hawajafurahia ushindi huu wambien wajinyonge na uzi wa buibui ila tu yanga ndo habar ya mjini🙌💚💛
Kipa wa coast sio mzuri kivile na pia wachezaji wa cost kwenye penalty sio
Hongera saana chama langu
Hongera sn yanga
Daaah hakika mungu mkubwa
Kazi mzuri imezaa mauwa mazuri mashaallah
Yanga ina roho ngumu no kukata tamaa daah mechi ilikua kali sana ila tulikuana matumain
hiii sku c kukata tamaa hata kdg nilikuwa na matumain yanga itashindaa tyu na ikashinda kweliii 😅😅😅😅
yanga kweli tam
Yanga tam kwa penati penati Haina ufundi,subur kimataifa ndio mtajua Yanga tamu au chungu.
tunao angalia 2023 tujuane kwa like apo
Tupo pamoja
Tamu sana hii mechi
April2023
tupo
Siji kusahau kwa kweliii