Kumekucha,! DUDU BAYA ATOA ONYO KALI KWA MSIGWA KUENDELEA KUMTAJA MBOWE/kila siku mbowe unachosha

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 200

  • @AmanaHassan-cy4fi
    @AmanaHassan-cy4fi Před měsícem +20

    Unajua huyu Dudu ni zaidi ya msanii.
    Anajua ni zaidi ya mjuaji...
    Big up Bro sikuwa ninakufuatilia atoz speech zako.

  • @user-rl6vf9tg8m
    @user-rl6vf9tg8m Před měsícem +11

    Kumbe dudu baya unaakiri kubwa hivyo hongera sana kaka

    • @user-rl6vf9tg8m
      @user-rl6vf9tg8m Před měsícem

      Ww unayependa kulike comenti zangu mbn hukomenti zako au unatumwa

  • @HamisiSamweli
    @HamisiSamweli Před měsícem +14

    Dudu baya nakukubali sana

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem +20

    Dudu baya chukua maua yako. Huyu mnyalu Msigwa tumesha mwambia tabia ya kike ya mke kumsuta mumewe ni sawa na kujivua nguo mwenyewe lakini haelewi kuwa sifa hiyo ndio itakayomfanya mume mpya kumdharau na kutomjali! Utadhani hakuna udhaifu alioshiriki!

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Před měsícem +18

    Jamaa lina ongea ukweli sana uyuu mtu

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Před měsícem +12

    😂😂😂Yan huyu Msigwa naona kabisa ni LINDINDINDI😅😅😂😂

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Před 25 dny

    Hongera sana dudubaya kwa kubainisha ukweli hao ni njaa kali sana

  • @Wambula..deogratias
    @Wambula..deogratias Před měsícem +3

    Dudu baya mi binafsi nimetokea kuyaerewa mawazo yako mungu akuwekee mkono wake

  • @willykomba8376
    @willykomba8376 Před měsícem +4

    Good explanation Dudu baya!!

  • @iambeat2430
    @iambeat2430 Před měsícem +11

    Msingwa ni njaa na hataheshimika daima...

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937 Před měsícem +2

    Kaka dudu baya mbwa mwenye fungus alikufanyia nini kaka 😂😂

  • @AbdallahMpwatile
    @AbdallahMpwatile Před měsícem +3

    Dudu touches each and everything.

  • @hassannassoro5542
    @hassannassoro5542 Před měsícem +12

    Huyu bro Leo ndio nimegundua kuwa jinias

    • @Kwazulu1
      @Kwazulu1 Před měsícem

      Unasema kweli Dudu baya. Waswahili wanasema usinyee kambi. Msigwa anakuwa kama Slaa alivyosaliti chadema
      Ina maana akitoka CCM atatoa siri za CCM. Azungumuze sera sio kukandia chadema

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Před měsícem +1

      Interview nyingi za kiasiasa huyu Jamaa ni noma sana.

    • @djalasaleh
      @djalasaleh Před měsícem

      ​@@Kwazulu1kasomea KENYA.

    • @Kwazulu1
      @Kwazulu1 Před měsícem

      @@GibsonNtamamilo sawa lakini asiwaseme vibaya na kutoa siri zoote za alikotoka… lnamaana akitoka CCM atatoa siri zoote. Azungumuzie sera sio u chiriku.

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Před měsícem +6

    Dudu baya hunaga baya hajui kukatika haaaassss,

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s Před měsícem +12

    safi didu umempa vidonge vyake msigwa

  • @hoseakayinga2090
    @hoseakayinga2090 Před měsícem

    "LINDINDINDI" bro big up! Nimekuelewa vzr sana

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 Před měsícem +4

    Mambaz mambaz unaongea points mno dah aisee nimekuelewa mno

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g Před měsícem +5

    Sawa kabisa,ukosahihi

  • @nasramusaro
    @nasramusaro Před měsícem +3

    Kwakweli umenikosha jazzakalah kher

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g Před měsícem +3

    Safi sn nakukubali

  • @mrmadebwesanga4971
    @mrmadebwesanga4971 Před měsícem +2

    Dudu baya umenena Vyema Sana Ndugu

  • @MudathirJamal
    @MudathirJamal Před měsícem

    Nakukubali Brother wangu Dudu baya Konki Master wewe kwakuchana mistari hauna mpinzani

  • @user-ct1qp3th5f
    @user-ct1qp3th5f Před měsícem +1

    Dah! Nakukubali Dudu Baya.

  • @user-vl5xv2xd6e
    @user-vl5xv2xd6e Před měsícem +2

    Ukweli kaka Msigwa ni Chiziiii hata Rais Samia asipooangalia Msigwa ni Jini hata Ccm ataisaliti tumbo lake ni kama Kaburi

  • @zeroconscious1916
    @zeroconscious1916 Před měsícem

    Au mwanaume anakibania😂😂😂,, ila dudu...

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 Před měsícem

    Dudubaya kumbe ni bonge la mtu katoa point Sanaa Msigwa kweli ni upumbavu Sanaa anao fanya

  • @user-hc3ms3gh3o
    @user-hc3ms3gh3o Před měsícem

    Asanteeeee dudubaya

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h Před měsícem +8

    Dudu baya big up wanasiasa kama msigwa niwajinga sana yani walisha tugeuza kama wa tz hatuna akili yaani limtu linaoekana limepelekwa ccm nanjaa zake alafu linataka kuwadanganya wananchi jukwaani wajinga ndo watamueelewa bwege huyoo

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před měsícem +2

    Dudubaya umesema sawa yeye Msigwa katoka huko huko Chadema halafu anaibonda njaa kwa kweli😂😂😂

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 Před měsícem +1

    Hahaahah Asante mambaz mambaz uko sahihi

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Před měsícem

    dudu baya yuko vizur msigwa amechanganyikiwa

  • @jochachallengetv7061
    @jochachallengetv7061 Před měsícem +1

    Uko sawaa kaka KONK

  • @Wambula..deogratias
    @Wambula..deogratias Před měsícem

    Dudu baya mungu akuzidishie nguvu ya maisha yako

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 Před měsícem +2

    Dudu umeongea ukwel mtupu ili utawala ubadilike watoke watu kwenye CCM kama kumi watengeneze chama Chao bas kitashinda lakini Kwa siasa za tundulisu Bado sana😂

  • @user-px6ws6zk3g
    @user-px6ws6zk3g Před měsícem

    Dudu BAYA uko sahihi Sana mungu akubariki sana

  • @paterinishayo-ef4sx
    @paterinishayo-ef4sx Před 26 dny

    Umeeeeleweka vyema mr dudu

  • @godwinabuto4695
    @godwinabuto4695 Před měsícem

    Point kabisa

  • @gerald6720
    @gerald6720 Před měsícem

    Yaani msigwa anamanisha nchi ikiwa ndani ya chadema hawataruhusiwi kuongoza na ccm

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf Před měsícem

    Wewe unakili maisha yenyewe ya musiki yamekushinda umechoka kimaisha halafu unataka uongele

  • @emmanueltillya2017
    @emmanueltillya2017 Před měsícem

    Msigwa njaa ndio zimempeleka CCM.

  • @user-pz7zi2bf1w
    @user-pz7zi2bf1w Před měsícem

    Ukweli dudu baya uko sawa

  • @nuhuchavana2570
    @nuhuchavana2570 Před měsícem

    Kweli dudu unaongea pwenti

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před měsícem +1

    Jamani huyu muhakati hasa hakuna mfikia kwa kweli ukweli huu hali tete watapa tapa tu Mungu akulindi kwa kweli shujaa

  • @matakabushiri8672
    @matakabushiri8672 Před měsícem

    Nakukubali sana mambaz

  • @user-uo6zj2jm3e
    @user-uo6zj2jm3e Před 24 dny

    Achane na mbowe kabisa huyo msigwa kabisa na hulingani na mbowe uwe na adabu

  • @silasmarandu1485
    @silasmarandu1485 Před 25 dny

    Li ndindindi aka Msigwa 😂😂

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 Před měsícem +2

    Kwa tabia za wabongo hii ndio hali halisi ya wapinzani wa Tanzania, kweli ni panya road.

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 Před měsícem

    Msigwa kama haji manara anabishana na kauli zake mwenyewe

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 Před měsícem +2

    Umeongea vzr

  • @patrickmfundiri8669
    @patrickmfundiri8669 Před měsícem

    Ninja mwenyewe nakubali mwanangu

  • @dojachomoka7643
    @dojachomoka7643 Před měsícem

    Dudu baya mtu sana basi tu

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 Před měsícem

    Hahahaaaa ila dudu baya we nishida,🤣🤣🤣yaan mpaka mwandish amecheka eti msingwa nlindindi ila dudu dah🙆🙆 sometime unaniondolea stress

  • @johnmbitiyaza1254
    @johnmbitiyaza1254 Před měsícem +1

    Hapo kwenye lindindindi!umeongea kisukuma kbs

  • @user-kw8ng6gf3q
    @user-kw8ng6gf3q Před 28 dny

    Nakubl mambaaa

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Před měsícem

    Kaka sududubaya mm nakukubaki sana Penye hki unasema Penye uongo unasema

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Před měsícem +1

    Msigwa mjinga sana.. mshamba njaa ndio inamsumbua, mwisho wake utakuwa ni mbaya sana. Anatukana kule alikotoka.. (Chadema) na yeye alikuwa kule .. mmh 🤔🤔

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Před měsícem +1

    Namkubali dada wa njombe aliye sema msingwa anajiona anakili kuliko wote

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt Před měsícem

    Msigwa tunajitambua sisi chadema yani hata lissu Akitoka chadema itabaki imala

  • @mahanjisanga3077
    @mahanjisanga3077 Před měsícem

    Dudu baya unaongea ukweri

  • @peterdaud5669
    @peterdaud5669 Před 17 dny

    IQ kubwa sana tunajivunia kanda ya ziwa

  • @thobiasmarandu214
    @thobiasmarandu214 Před 19 dny

    Sio Kweli Digital Card Malipo yake yanaenda Nairobi... Ni hivi...Kilicho Nairobi Ni Database.. Kwa kuwa Serikali ilikuwa Inaidukua.... Malipo Yanaingia CRDB... Yeyote Ajiunge Chadema Leo Kwa Kupima aone Pesa zinaenda Wapi.

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 Před měsícem

    Dudu baya shikamooo😂😂😂😂

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před měsícem

    Hahahaahaaa pokea mauwayako dudu

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před měsícem +3

    Anajiaibisha tu

  • @user-ii6sp2nn1m
    @user-ii6sp2nn1m Před měsícem +1

    Manyambilisi kweli

  • @thobiasmarandu214
    @thobiasmarandu214 Před 19 dny

    So Wewe Dudubaya Unataka Kutuambia Msigwa Alipogombea Ubunge Mara ya Kwaza alikuwa na 300,000,000 That is BS... Kinyume Chake Mbowe Ndiye Alimbeba kwa.Pesa na Kila kitu.

  • @RashidLupatu-bg8dr
    @RashidLupatu-bg8dr Před měsícem +1

    Kwa kweli ww ni KONKI MASTER

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 Před měsícem

    Kwanini Asitajwe Dudu Kale ungai Acha Uchawa

  • @Assey1Andrea
    @Assey1Andrea Před měsícem

    Na kweli dude baba unasema ukweli msigwa ni zuzu na vuvuzela tu njaa inamsumbua na uchangudoa tu. Amkome mwenyekiti wetu kabisaaaaa

  • @josephmantago2837
    @josephmantago2837 Před měsícem +2

    Aisee umempoga tako

  • @MATIKO9640
    @MATIKO9640 Před měsícem

    Jamaa unaakiri kubwa sana wewe, natamani Chichem isambaratike ili nchi hii tuheshimiane

  • @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu

    Kuwa na OFISI NDOGO sio sababu

  • @DanielGaspel
    @DanielGaspel Před měsícem

    Konkii master

  • @KenethMahundi
    @KenethMahundi Před 29 dny

    Ww mkweli

  • @JackSanga-n6r
    @JackSanga-n6r Před měsícem +1

    Dudu baya chukua Tano👊

  • @costamasuba1099
    @costamasuba1099 Před měsícem +1

    Akili kubwa conki master

  • @user-vl5xv2xd6e
    @user-vl5xv2xd6e Před měsícem

    Huyu Msigwa anatafuta Bwana Ccm nahuko atampata Taaaira mwenzake sijui anaishije namwanamke wake yuko km Shoga

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 Před měsícem

    Dudubaya kumbe anaakiri sana hivo

  • @husseinmshahara8351
    @husseinmshahara8351 Před měsícem +1

    Kweli ww ni dudu

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Před měsícem +1

    Leo Msigwa kaomba pesa ccm na kutengeneza T. Shirts ameanza kutoa rushwa kwa Wanaccm mitaani . Kwa Chadema aliwahonga vi T Shirts alivyoandika "Msigwa tena" akagongwa, na huko CCM lazima agongwe sababu waliokitesekea chama huko nao wanautaka ubunge.

  • @joycemukya7405
    @joycemukya7405 Před měsícem

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru Před měsícem

    Hivi huyu Msigwa akimsikiliza huyu atapata usingizi kweli ndindindi msamiati huu namshauri Msigwa kama amefurahishwa na sera za CCM azitangaze na azitetee LAKINI kila siku kuisema CDM ni yale ya sungura kushindwa kurukia mti wa matunda na kusema siyataki ni mabichi

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před měsícem +2

    Yan Msigwa Ni msaliti Kwanza hana sela, mroho was madaraka tu hana jipya

    • @taifaramadhan8684
      @taifaramadhan8684 Před měsícem

      hafai kabisa yule mzee hafai hata kidogo msaliti mkubwa kabisa yule

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt Před měsícem

    Msingwa usituzungumzie sisi chadema. Pumbavu

  • @EzekiaMtwale
    @EzekiaMtwale Před měsícem

    Konki Yuko vzur, co tu mziki Bali siasa& bible pia Yuko vzr!

  • @geraldmasengo1576
    @geraldmasengo1576 Před měsícem

    Njaa mbaya jaman

  • @user-hc3ms3gh3o
    @user-hc3ms3gh3o Před měsícem

    Kwani nyie ndo wasemaji wa chadema au mmetumwa

  • @user-jk3tk7up8o
    @user-jk3tk7up8o Před měsícem

    Safi

  • @mohendemohende8915
    @mohendemohende8915 Před měsícem

    Kweli ni panya lod hao

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před měsícem

    Kwani Lissu Alishazuiliwa Akiwa na Rafiki zake wakimwazima Helicopter asiitumie, So Mbowe Ana Uwezo wa Kuazimwa Helicopter na Yeye Akaiazimishe Kwa Mwingine... HAKUNA BAJETI YA HELICOPTER YA MBOWE INAYOLIPIWA NA PESA ZA CHADEMA.

  • @JovinRichard-x3u
    @JovinRichard-x3u Před měsícem

    Mbona mama samia anatajwa kila leo na viongozi wa chadema ivi kumbe umepotea kimziki hadi kifikra

  • @EdgerMbeseya
    @EdgerMbeseya Před měsícem

    Hyo nme ipenda kaka

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před měsícem

    Umeona baba msigwa hana ajiri

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 Před měsícem

    Msingwa ni li NDINDINDI...😂😂😂😂😂

  • @tsitingilembombo9995
    @tsitingilembombo9995 Před měsícem +1

    Dudu baya anafaa kutumika kisiasa, CCM AU CHADEME Dudu baya ni dhahabu kisiasa, akijengwa kidogo tu atatisha.

  • @MichaelKilinga
    @MichaelKilinga Před měsícem

    Kaka utamlisha microphone kinywani

  • @knight6757
    @knight6757 Před měsícem

    Atapanda Helicopter ya CCM atulize boli...😂

  • @danieldede7176
    @danieldede7176 Před měsícem +1

    Nyoo kep dah😂😂😂

  • @teller_julio
    @teller_julio Před měsícem

    Dudu ana ongea ukweli mkubwa sana .... Huo ndio ukweli

  • @iddyissa8110
    @iddyissa8110 Před měsícem

    Yani dudu baya unaakili uyu msingwa yaniii kwanza mdomo wake mchafu mnooo