Azam 1-2 Yanga | Highlights | NBC Premier League 06/04/2022
Vložit
- čas přidán 5. 04. 2022
- Fiston Kalala Mayele amefunga goli la ushindi kwa mtindo wa aina yake na kuifanya Yanga iondoke na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.
Azam ndiyo waliotangulia kupata bao kupitia kwa Rodgers Kola kabla ya Yanga kusawazisha kwa penati kupitia kwa Djuma Shabani na kisha Mayele kupachika bao la pili dakika ya 78. - Sport
Mashabiki wa mpira wa mguu nchini Tanzania nawapa mkono! Nawakubali. Full stadium!
No aucho, No bangala,No fei,no yaccouba,no Farid, na timu inapata matokeo💥💚 pongezi ziende kwa NABI Ameitengeneza timu ata asipokuwepo Fulani.....bado timu inapata matokeo.....
Kabisa yanga tamu
Naishabikia Yanga yangu nikiwa nchini Congo 🇨🇩 🙏🙏🙏🙏
Safi sanaaaa
Azam goli keeper hamjapata ametema mipira mingi xna, anyway good play to Azam mumeonyesha upinzani mkubwa kwa wanaoongoza ligi...Big up Azam msife moyo
Nyie iyi yanga ni tamu zaidi ya asali🤗🤗😍
Je unateseka na mapenzi? Bhas njoo Yanga💛💛💛💛 Asante Mayele na Yanga yote💚💚💚💚💚
😂😂😂😂 asante Yanga kiboko ya matatizo yote
I love you yangaa💛💚
Aliyemsajili mayele Mungu anamuona. Djuma, Diarra, Saido, wako vzr sana aisee walitakiwa wawe watanzania walau Taifa stars ing'ae
Huyu DJUMA SHABANI namfananisha na fundi wa kibrazil DANNY ALVES sio kwa kros zile aisee anavyoupiga mpila kama anauchota na kijiko vile
THE ONLY ONE MAYELEEEE IN TANZANIA🙌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wasichokijua hawa wanaoangalia mpira kwa pupa wakijua MAYELE hatari ila kuna watu hatari zaidi wanaoanzisha mashambulizi ushindi wa Yanga upo kwa wachezaji DJUGUI DIARA DJUMA SHABANI MAYELE mmaliziaji mzuri maana hizi krosi za Djuma Shabani hatari sana jmn
la
kin utashangaa anafananshwa na kapombe
@@elishakishiwa599 wanaumwa hao wanaomfananisha DJUMA SHABANI na Kapombe Djuma Shabani fundi sana akili nyingi mnooo anacheza mpila hatumii nguvu nyingi
Exactly
Mayeleee 🔥🔥🙏💪
Jiandaeni makolo, mtakula za kutosha ,mayele anawangoja kwa hamu
Akamngoje mama yake
what a player, Mayele 😮
Aisee hii pitch ni hatari na nusu 🔥🔥🔥
Naipenda yanga hatari
OUI, LUI est le vrai roi de la forêt du CONGO 💪💚💛
Awesome...!
Jifunze quran kwa hukmu kuswali kwa vitendo gusapicha yang mara 2 hapo kama hautojl
Edjuma shabani 🔥🔥🔥🔥
Yanga bingwa 2022
A we hili goli alofunga mayele n la kiufundi amepokea cross kutoka kwa D juma shaban bila kuituliza bb akaingiza mkuki kama ulivyo 😅😅jamaa wakabaki wanaduwaa tu afu penati ile n ya halali kabisa kipa alidaka miguu badala ya mpira nyie makolo umieni tu najua mnateseka sana🤣🤣😃😃👏👏
Yanga tam 💚💚💚💚💚💚💚
Hebu jamani muulizeni huyu mlinzi aliye kuwa anamlinda mayele na hili goli kajiskiaje ?
Wa kwanza leo ...Leo sili dakuuu nakula goli LA mayeleee
😂😂
Ulinisikia nini?
Fiston ni weng ila mayele ni mmoja aliye msajil mayele hakika hana dhamb
Mayele baba usitembee usiku wasije wakakuloga wale makolokolo duuuh 🤣🤣🤣💚💛💚💛💚💛
Kijanaa anakaaa masakii hahahah
Alichokifanya juma shaban mh🤗🤗🤗
Fiston Benzema Mayelee
Wabongo siku izi soka lenu lipo juu sisi kama wakenya hatuwafikii tena mana mchezo pia umewekwa kwenye siasa.
Yanga raha sana
Yanga mmejua kutufurahisha Leo tunalala na viatu
Geita gold waweke maji tarehe 10 tuwanyoe Fa
Kwa goli la mayele ni halina utofauti na la CR7
Agrey aliutoa kwa mkono kichwani kwa mayele.
Yanga yangu naipenda mpka naumwa 💚💛😍
Hahahahaha djuma shaban hachekagi yani
Yanga mungu yupo oamoja nanyiiii
Hongera yanga africa
Yangaa tamuuuuuuuuuuuuuu
Naomba Sana hii
Iwe Brand yetu Miaka yote
Kuwa tunatetema naona ina Motivation kwa timu nzima..
Aijalishi nani kafunga...
Wachezaji wote wanattetema...
Saf sana...
Kabisa
Yanga tamu💛💚💛💚
Yanga aina utofauti sana na Man City
Kwanini mwanga ni hafifu sana
game lilikua kali knoma
Alhamdulillah
Yanga👋🤩🔥🔥💯
Wauwe wafe tu
mayele ndio muamua mech🤑🤑🤑
Kunawakat lazma ukubali Ulicho kikataa mayere oyeeee
I love you mayele
Kuna kucheza na yanga kisha kunakucheza na mayere sasa hapo chagua moja wapo ulinde lipi
Mabeki. Wa. Tanzania. Preemiam. Hamuwezi. Mayele. Kwa. Mayele. Huyoo. Watasubiri. Sannaa
young africans 🔰💚💛
Young african,mbele wembe nyuma chuma hu ni wakati wetu wakujitanua hakuna wakutusumbua!yanga mpooooooooooooooo🏌
Awoteeeeeeeeeee
Juma shabani
Jmn jmn yang mtaniua
🤓🤓💚💚💚
💚💛💚💛💞
Yanga mwaka huu tusipochukua ubingwa nahama Tanzania
Mwaka wa Young Africa wengine wakae kwakutulia
Duh uo mgoli 🔥🔥😂😂😂😂 haubanduki nyavuni
🤣🤣🤣🔥🔥
Kwani.mokorooo.wanasemaje.yanga.tamuuuuu
Nimefikaa
Yanga tamu
💛💚💛💚💛
Yanga inaweza kuchukua makombe kika mwaka lkn itachukuwa mda mrefu mno kufanya vizuri kimataifa.
Kwanini?
Huko kimataifa fanyeni nyie mtuletee makombe
Kwan simba wana kombe gani la kimataifa!
Bado mama yao ajipange yanga tamu
KUNA WATU NAFSI ZINAWAUMA...
Anafata ajitaje mapema
Geita fa
Mayele tunakipenda Sana.jamn
Nakupenda yangu
Iliniumiza sana
huyu agrey moris beki yeye huku keeper yeye leongo kumkamia mayele
Sema tu..
Yanga jana angeshinda Gorii ata NNE
Walitengeneza nafas nying..
Nice 👍 work coach
Yanga hii show Kali namkumba ngasa msuva
hai
Ooooooooooyeeeeeeeah
Uyu jamaaa ni Atari na nusu 💪🏿
❤❤❤ love you so much yanga
Yan wataongea sana ila mwaka uuu wa kutetema tyu ya
💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
Yanga
Mechi ambayo Mayele alimstaafisha Aggrey Morris hahahaaa
Yaani mtangazaji wa wapi huyu inamaana alikuwa haoni ile ya agrey ameshika kwenye box anazuga eti🤣
YANGA BINGWA
Ila ht simb wanamkubali mayele
Sana tew
💛💚💚💛💚💛💚💛☑️🔥
Unaumia ukiwa wapi Mtani..Dah Yanga rahaa sana
Wanaumia wakiwa Egypt 🤣🤣🤣
Yang tamu
Good
🔥🔥🔥🔥🔥
nilichofrah kwa agrey Morris hakuhangaika kuona goli lilivyoingia ila aligeuka kujua nan kafunga
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
😂😂
🤣🤣🤣🤣
Yanga lahaaaa
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Jifunze quran kwa hukmu kuswalikwa vitendo gusa picha yang mara 2 hapo kama hautojl
Mayeleeeeeee
Yanga oyooooooooo
Mayeleeee
💛💚🙏
Huyu mayele huyuuu
Ni shida
Yanga baba Lao
Azam kila Siku wana makipa wabovu sjui wanawaokota wapi jaman hii timu hii
Azam yanga