Yanga 3-0 Coastal Union | Highlights | NBC Premier League 15/06/2022
Vložit
- čas přidán 14. 06. 2022
- YANGA BINGWA: Ni mechi ambayo Yanga waliitumia kutangaza ubingwa wao wa 28 kwenye ligi kuu Tanzania Bara kwa kuitandika Coastal Union mabao 3-0 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa.
Fiston Mayele amehusika kwenye magoli yote matatu, akifunga mawili na kusaidia moja lililofungwa na Chiko Ushindi. - Sport
Yangaaa bingwaaaa 💛
Nabii coach mzurii sana mungu ambariki ana baya
Congratulations Young Africans 👏 with love from South Africa your number one fan
Mayele mayele mayeleeee aaaaaaaaa ndo uyo uyo
Mayele asiuzwe bado anajitajka yanga Sana tu
I love u yanga mwaaa
Man of the match Djuma !
2022-2023 Yanga tena Bingwa ukibisha rudi tena mahabara
Asante baracka mpenja. kwa kutangaza ubingwa wa kihistolia mala (28) saut yako itabakia masikioni ya wana nchi
Asante baracka kwako mpenja.....!
Hongera soka la Tanganyika ⚽️⚽️⚽️⚽️
Mayele mayele mayele nmkuitaa mara 3 huna mpinza⭐⭐⭐
Mayeree mungu akupe uzima na afya tele kwa msim ujao yanga tun mkumx mda wote kwa upambnj wako 💚💚💚💛
Hivi mmemuona mchezaj wa CST alivyo shika tumbo💚💛💚🏆🏆🏆👏👏
Baraka Mpenja "Wanaoumia Ni Wengi Zaidi Ya Coastal Union..." nimeipenda hio 🤣🤣🤣🤣
Nmeipenda piaaa❤️
Mtu anakuuliza unafanya kazi gan unafikili kushabikia yanga kazi ndogo 💚💛💚💛
😀😀😀daaah nimeipenda hiii
Mi nadhani atakuwa hajielewi tu kwa kazi hii unakosaje jibu
Napenda,yanga,sana niko,usa,hongera,sana,mayele,yanga,ta.uuuu,niko,,na,furaha,,sana,good,job
Man of the match!
SURE BOY 👦
MUNGU anajaria tuzindi kumuomba YANGA oyeeee
Hongera sana chama langu yanga mmejua kutupa raha
Yanga tam
Mungu ijalie yangaaaaa na viongoziii oteee wa yangaaa
Mambo ni motooooooooooo
Fayaaaaaa
wa kwanza sema BINGWA
Just Imagine Being Us😂😂💚💛💚💛👌👌💃💃🙌🙌🙌
🔥🔥
Jamani sio kwa pass hizo wananchi hongereni sana bangala na feisal hali mmecheza mpira aisee
Mnyama first
nd nn sas
@@abduymbonde6206 yaani wa kwanza kutoa comment. Tiger mnyama ndio jina lake.!!
@@kennyrogers4734 huyo jamaa anajiita Tiger (mnyama). amekomenti wa kwanza !! Mnyama (tiger) first !! Ni Yanga sanaa !!
@@richardnganya2311 Aaaah sawa sasa nimeelewa mdau natengua Comment yangu ya kumshambulia kumbe mwamba mwananchi mwenzetu bhana Samahani sana Tiger Mnyama nimekusoma🙏🤝👊👍
@@abduymbonde6206
Yanga ndio timu Bora tz
czcams.com/video/jIKtN6WUSe8/video.html do i
💚💚💚💛💛💛💛
Asante kwa ili hakika wewe ndiye mtenda haki allahamdulilai limepita ili
Haya mwekeni Mpole wenu juu sasa
Sasa bado FA💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💚💛💚💛💚 Yanga tamu
Mayele na fei toto,nawapendajeee???
Alhamdulillah
Safi sana kaka
YANGAAAAAAAAAAAAAAAAA BINGWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA 2021-2022 MAKOLO MULI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu refa akiondoa uyanga na usimba ni mzuri
Penda sana yanga
czcams.com/video/jIKtN6WUSe8/video.html Bo k o
Alafu iyo goli la tatu la yanga wametumia hakili 🧠🧠🧠
Kinyamaaaa...wametumia akili sana man
akili ndio ufanisi.
Sana. Alafu mshenzi anatokea ati offside.
@@patricksimiyu7889 sio offside sababu fei toto alivyomwachia sure boy fei alikimbia ndani ya box alafu mayele na djuma shabani walijifanya wako offside kumbe fei alipokea mpira akamwekea tetema boy 🤣🤣🤣🤣🤣
Yanga na Simba
Very poor refereeing. Yanga alinyimwa penati zaidi ya 3 za wazi
aaaaaa mayele ndo huyohuyo amemwsgilia mioyo ya wananchi nanukuu tuuu
Uyu mzungu anasubiri mayere afunge yy ashangilie duh
Yanga yakimataifa 💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚
Hakika ninyi ni timu ya wananchi ,na wananchi ndo wenye nchi hongereni sana.heshima imerudi mtaani .
Alafu kunamchezaji mmoja amemkanyanga mayere agalieni vizuri
Unajua mpaka nimeng'ata meno!!!
Ongela yanga
Huyo refa sijui ni WA coastal union sio kwa kuwabeba huko
Aisee Yanga ni ugonjwa usiotibika
be blessed
Huyu fei toto jaman daah ✋️✋️✋️
Hatari
Feisal anakiwango cha juu sn kwny soka na km ana Nia ya kufika mbali kisoka basi huu n MDA wake
Safiiiiiiii
Twende kwa mendoza uho go yanga
Yanga tamu aisee
huyu sosthenes Idah namba 35 mgongoni vipi mbona kamkanyaga usoni mayele hapo ktk hiyo faulo ya dakika 40 kipindi cha kwanza na refa kachukulia powa powa tu 😘🏆👏💛💚💪🇹🇿🇦🇪
Angestahili red card
Kumbe umeona eeenh
kwa kitendo hicho angefaa kuoneshwa kadi nyekundu kwa mchezo usiokuwa wa kiungwana.
Sijui kwann baadhi ya wachezaji Wana mchukua mayele,akiwemo yondan nae alimkanyaga Bila sababu
Asante MUNGU nimeamin wakat wake MUNGU ndio wakati sahihi yanga hii iloyodharaulik zaidi ya miaka4 leo ina inang'aa wanayanga tunafurahii baada ya kudharaulika na baadhi ya watu CHICO leo hii anag'aa ni kitu nichokua nakililia kila siku MUNGU kumuheshimisha chico msimu huu hatimae wakat wake umefika nilikua naumia sana chico alifika sehem akapoteza had kujiamin sababu ya maneno ya watu asante MUNGU wangu🙏😰 nimefurahi had nimelia
Ubalikiwe Sana kwa maneno ako ya falaja
Woooow
💛💚💛💚💪🏻, hongera chama langu
Hii ndy inaleta maana hata kwa washabiki wa yanga...........ngoja tuondelee kuupga mwingi japo kunaugumu lakini tunapita umoumo katikati Yao.......shallout yanga l will support you until my last breath
Ubingwa wakishindo🔥🔥💃💃
Yanga bingwaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaa
Kmaa unamkubali mayele gonga like hapa
Hivi MTU una akili zako timamu umeacha kazi zako tanga umekuja dar kuja kuishangilia costr kwamba it's shinda dhidi ya yanga dah hayo maajabu
Asikwambie mtu yanga tamu
Usajili mpya yanga
Wanaoumia ni wengi zaidi ya coastal union💛🤭💚
Safi sana
aaaaaaaaaaaaaaaaaaa ndo huyohuyo king
kuna sehemu bangala alicheza kea dharau hee💚💛💚🤣🤣🤣🤣
Ukiwa na yanga alaf niwe na ww ni burdan
💚💚💚💛💛
Cha kwanza kabisa tu namshukuru MUNGU kwa ushindi huu
Pili ni GSM
Tatu ni Benchi la ufundi chini ya Prof Nabi
Na wachezaji wote kwa ujumla
Na sisi wananchi wenyewe tunajipongeza mnooo!🙏
Hakuna Neno la kusema zaidi ya kuipongeza DAR YOUNG AFRICAN
Napendaga comments zako🔥
@@hamidayanga8224 thanks Hamida
Dar Young African juuuuuuu
@@muddymuzungu4357 🔥🔥🔥🔥
@@hamidayanga8224 enjoy Hamida
@@muddymuzungu4357 Thanks enjoy pia wakati wetu huu wananchi💚💛
Nice
eti maisha mafupi chagua yanga🤣🤣🤣🤣💚💛💚💛💚
Nkichagua yanga nkikuchagua na ww n full burdan
@@kennytemba2680 au sio🙄
@@beatricekassim6190 2ma no bc
Ukiangalia kwa makini unaona kabisa mpira wetu ulivyo unahitaji nguvu zaidi kuliko akili ndo maana Pablo amefeli🙌
Geita gold
Yanga Africans 💚💛
🖤💚💛🔰
Yanga yanga hatar sana duuuuu
Goli la yanga lilikuwa linaamishwa aisee
Good
💛💛💚💚💚💛💚💛
Kwani A.F.C nalo linasemaje
Wewe Faisal kiboko yao....ole wako nkukamateeeee
Nahisi watu wamenyampaa kabisaa walivyofungwa na yanga leo
Maoni yangu yanga kanyimwa penalti na goli
Yanga Africa
Daaah yanga hatari
Nimependa staili ya kufunga goli la 3
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mwendo huo huo
💚💚💚💚💚😉
MUNGU tunakuomba umujarie mayereee Aederee kutupa rahaa
Pole kwa mafua😜😜
Chikooooooooooooooo
الله يحميك يا زيتون بحبك تماما
Hii mechi ndo ilikuwa inampa mayele ufungaji bora
Coast wanacheza vizuri ila hawana malengo hasa mbele akina sopu hawana malengo kabisa
Mmeona yaniki alichokifanya 🤣🤣cjawai ona toka ligi imeanza
Amenikosha moyo
Nimeangalia zaid ya mara7
BARAKAJAKOBO
My team is great💛🤭
Fei Toto utaniua kwa raha unayonipa mimi mwana yanga
😘😘
Team mpole wako wapi😂😂😂