Hongera Sana Kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga Mwenyezi awadangulie awapikanie awashindie awaweseshe vyema katika Jina la Yesu Kristo aliye Bwana naMwokozi wetu ameeeen barikiwa Sana nyote nawapenda shalom
Engineer Hersi mungu akupe miaka 110 maana umetuletea zawadi mayele tunatetema kwa madoido,waumbuke walio kinyume na wewe,Na fikra zako zidumu katika yanga,kama fikra za mwenye kiti wa Tanu zilivyodumu kipindi cha azimio la arusha 1967
Safi sanh hivi ndo inatakiwa hili kuakikisha channel yetu inakuwa kubwa zaidi na nina amin kwmba hii channel itakuwa kubwa zaidi ya channel ya timu yoyote east africa 🙌
I'm also happy the way the club kept him happy, because a player who isn't happy will never improve that to young African team from DRC nous vous aimons ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Huyu mwamba yuko pekee yake kwenye ligi ya tz nipeni likes za mayele 🔥🔥🇰🇪🇰🇪
mayele ni mmoja kiboko ya magor kipa akuna gor kipa anaempenda
💛💛💚💚 ✍️ niwakipekee
Fjd
videos
@@vivanyboy9743 Q10
Hongera Sana Kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga Mwenyezi awadangulie awapikanie awashindie awaweseshe vyema katika Jina la Yesu Kristo aliye Bwana naMwokozi wetu ameeeen barikiwa Sana nyote nawapenda shalom
Asante Yanga Tv , Daima mbele nyuma mwiko pia Asante Fiston Mayele 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
What a striker,anajua boli, anajua kufunga King Mayele
Congratulations to Yanga TV, Congratulations to Wananchi, Congratulations to Mayele..!
Mnajua na mnajua tena💚💚💚🔰🔰
Hongera sana mtangazaji wetu,kazi nzuri.
Hongera yanga ahsante mayele
Hiii safi sana nimejikuta tu na fraha mtu nilikua na trafran zangu ongera sana yanga ongera mayele kwa kuitendea haki no 9 🙏💪
Le grand Congo🇨🇩 est fier de vous cher compatriote F. Kalala Mayele
Un bon joueur nous avons besoin des toi au PSG
Hongera sana kwako Admin wa Yanga Tv hakika Kwa Sasa wananchi tunapata tunachokistahili
One day hii chanel ita kuwa kubwa sana 🎉🎉
Hongelen saana Tim yangu kwa hatua hii hakika tutafka mbali
Mwamba sana huyu 💛💚💪
He is explosive striker,
I can't wait to see him in south africa .
What club is he coming to in South Africa?
Jiheshimu
In Europe not in south Africa please
Yanga mnafanya kitu Cha kipekee sanaaaa mnatuNogesha wananchi
Nakukubar sn the king of all games
Huyu ni kifaru gonga like hapaaaaa
Nomaaaaaa sana
Àsante sana, ila benchi la ufundi limwelekeze Mayele awe makini zaidi , maana nafasi anazopata ni nyingi lakini anatumia chache mno.
Sio kila nafas streka anafunga magol yangekuwa yanafka mia
Safi Sana Mayeleee
Safi. Kabisa. Mayele. Uko. Sawa. Kabisa.
Kweli huyu hapewe Maya yake
ou king💛💚💛💚💛💚💛💚
Welcome to Esperance ❤💛
Engineer Hersi mungu akupe miaka 110 maana umetuletea zawadi mayele tunatetema kwa madoido,waumbuke walio kinyume na wewe,Na fikra zako zidumu katika yanga,kama fikra za mwenye kiti wa Tanu zilivyodumu kipindi cha azimio la arusha 1967
Mayelefiston 🔥🔥🔥
Funk
Safi sanh hivi ndo inatakiwa hili kuakikisha channel yetu inakuwa kubwa zaidi na nina amin kwmba hii channel itakuwa kubwa zaidi ya channel ya timu yoyote east africa 🙌
King
I'm also happy the way the club kept him happy, because a player who isn't happy will never improve that to young African team from DRC nous vous aimons ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ama kweli kijana huyu anajuwa, kuzipasia nyavu,kikubwa aongeze juhudi asije kubweteka na sifa kama jaama wa upande flani
Ebwan uyu nomaaa sanaaa
Namuelewa sana huyu daaaaah
Ooooah yanga hongera
Unyama sana
Kalala fiston mayele ni mtu wa maan sana huyuu na ni mtu na nusu
Sio siri hii clip imenitoa MACHOZI,nikikumbuka yanga ya kina Yippe dah! Mungu asimame nasi mayele aendelee kuwepo
Naam imeka poa sana iyi kk
Jamaa anatisha huyu bro
Namkubali sna
good work
Love u from 🇿🇦 cape Town
Vhtghɔlaewewaseawaetdg
Goal Kali mm kwangu ni dhidi ya Azam FC pale chamanzn yaliobaki ni magol ya kawaida xna hata mchezaj wa Namungo anaeza kufunga
We mwehu tu
Acha wivu ww, mbn hata yale mawili alofunga dhidi ya simba ni makali mno
Good job
What a player 🙌🙌The king
Nomaaa
🔥 🔥🔥🔥
Namukubali mayele
🦅🤩🤩
Mayele anajuwa sana
our king
Mbona hamjaliweka lile la kwanza kuwatongua makolo
I wish Kaizer Chiefs can buy this guy
🙌🙌🙌🙌🙌
Msiache kufanya vivi na mfanye kwa wachezaji wengi zaidi .... Ata ufuni wa feisal salum pia tutaenjoy zaidi
⚽🙌
Mayele noma sana
King anatumia nadasi ngumu ila nyepesi anashindw tumia benchi la. Ufundi lipe ushauri kidg
💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛
❤️u yanga
Safi sana
Pele💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
Mayele nation
Mayele ni mwamba wa jangwa hongera sana
Yanga mbele nyuma mwiko
Akuna mfungaji bora kwa ligi ya bongo kama mayele
Tunaomba Aongeze Umakini zaidi ndani ya uwanja anapata nafasi nyingi mnoooo ila chache ndo zinatumika.
Waooooh
Tuna kukubali vibaya sana
Tuache wivu jamn ila mayele anajua sana
The player will soon be in Al-Ahly 🇪🇬
Hellooooo wakwanza😮
Anajuwa sana
💪💪💪💪
Anajua na anajua tena
mm natwa joseph simon kutoka masubwe mayere nimwaba kwari
Daima mbele nyuma mwiko..#mayele9
I should run my own bloody restaurant seeing how this guy literally freezes frozen pasta
safisana
😀😀😀😀😀 kwanza goal lenyewe la kusawazisha kwa nn nijilush
Mwana yamboka
Yanga oyee
Nikwl
Hili la kwanza mabeki waliacha nyama mbili ziruke tik tak kwa mpigo bila mtu pembeni🥹🥹
🔥🔥🔥🔥
Huyu anjwa 🔥🔥🔥🔥
Welcome to Kaizer Chiefs
Ukiwa mshabiki wa yang jamani unaenjoy cn
Benzema
Uyu mwamba ni 👆
File
Haahhaaaa🤣🤣🤣🤣🤣 mayele ana tisha bhn
Mwambaaaaa,,, nipe kombe la caf
👑👑
Mayele feston
Ss ndo Yanga .
Fiston
jamaa ana kauchoyo kidogo
Woooooooooooooooooo
Ata minaona
Yaaaaangaa