Yanga SC 3-2 Azam FC - Highlights | NBC Premier League - 23/10/2023

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 10. 2023
  • Stephane Aziz Ki amefunga #hattrick na kuipa Yanga ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam
    magoli ya Aziz Ki yamefungwa dakika ya 9', 69', 72' huku Azam wakipata magoli yao kupitia kwa Gibrill Sillah 19' na Prince Dube dakika ya 62 kwa penati.
  • Sport

Komentáře • 232

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt Před 6 měsíci +11

    Viva Yanga Viva Wananchiiiiii let's go Ubingwa msimu Huu Ni lazimaaa 💪🔥💥💚💛⚽👊🤚🖐🏿

  • @JoshuaMovela
    @JoshuaMovela Před 7 měsíci +11

    Hongera yanga ,Azam ni watoto wetu

  • @cleverymwakamala2967
    @cleverymwakamala2967 Před 7 měsíci +32

    kama Aziz atacheza kwa kiwango hikihiki kwenye derby tutawanyonyoa makolo

  • @zekelly_025
    @zekelly_025 Před 7 měsíci +8

    Jomba hii mpaka iishe kwanza ninnoma sana🎉🎉🎉

  • @wardah-mb6kb
    @wardah-mb6kb Před 7 měsíci +22

    Ila Azam mnaroho mbaya Kila mechi ya yanga Huwa mnachelewesha

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 Před 7 měsíci +13

    Azam mnatuangusha likija swala la highlights

  • @GracieTyno
    @GracieTyno Před 23 dny

    Aziz Ki bwana dah!🙌🏽

  • @user-rc6il8vw9z
    @user-rc6il8vw9z Před 7 měsíci +4

    Kama mwanayanga naomba mechiya Leo katiya yanga na singida kibwana aaz

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo2120 Před 7 měsíci +15

    Mkubwa ni mkubwa tu ❤❤

  • @josephbukubila2737
    @josephbukubila2737 Před 7 měsíci +5

    muwe munakata dakika hata 40 au nitumie mechi zima unambie bei yake

  • @ntakakasendebayi9992
    @ntakakasendebayi9992 Před 6 měsíci +4

    💛💛💚💚🔰🔰😂😂😂 nacheka kwa sababu nina furaha sana yanga hiii raha sana💚💚💛💛🔰🇹🇿

  • @ezekielmwarabu3548
    @ezekielmwarabu3548 Před 7 měsíci +6

    Yanga ni nomaaaa sanaaa

  • @user-vm5xd9wx1d
    @user-vm5xd9wx1d Před 7 měsíci +6

    Yanga yakibabe sana
    Huyu jamaa alotambulishwa usiku wa saa 6 mwamba wa wagadugu ni nomaaa sanaaaaa

  • @simonsikanyika1682
    @simonsikanyika1682 Před 3 měsíci +2

    Yanga tamu

  • @catherineshao8304
    @catherineshao8304 Před 9 dny

    I love Yanga

  • @edibilychaula.3753
    @edibilychaula.3753 Před 7 měsíci +5

    Hii match ilikua inawauma kuikuwema kisa timu yenu imepigwa mnachekesha kweli 😂😂😂

  • @KaroliMagana
    @KaroliMagana Před 7 měsíci +7

    Amazing goal no:3

  • @alluarjun8638
    @alluarjun8638 Před 7 měsíci +1

    Mhh huyu azizi Ni noma aisee

  • @user-ex7zx1qb8g
    @user-ex7zx1qb8g Před 6 měsíci +7

    💚💚💚💚💚yanga nitimu kubwa

  • @user-eg9sq2zd5b
    @user-eg9sq2zd5b Před 6 měsíci +2

    Yanga raha ❤❤❤ jamn

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Před 3 měsíci +1

    This is true derby

  • @user-xk5mq6rk8u
    @user-xk5mq6rk8u Před 7 měsíci +10

    Nakuunga mkono kwa hilo aise mamnyeto uwezo wa kukaba ama kuzuwia Bado sana asianze kiukweli atatuchomesha🎉

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před 6 měsíci +1

      Mwamnyeto ni defender wa nchi beki la mpira weweee

  • @NellyErick
    @NellyErick Před 7 měsíci +7

    Yanga bora

  • @user-pq5ud1gc5f
    @user-pq5ud1gc5f Před 3 měsíci +2

    Aaah mpka kero jaman achen mpira wa sifa

  • @user-od4zj2xk6s
    @user-od4zj2xk6s Před 4 měsíci +1

    Ni kweli kabisa

  • @shabbirbharmal7876
    @shabbirbharmal7876 Před 3 měsíci +1

    Sauti ya baraka MPENJA inauwa humna mtu anayeweza kama baraka mpenja

  • @user-xw1zk5ug6h
    @user-xw1zk5ug6h Před 2 měsíci +1

    Daima mbele nyuma mwikooooooooooooo

  • @jacksonnyoni1978
    @jacksonnyoni1978 Před 7 měsíci +4

    Azam ikicheza na yanga nyie azam midia kuweni kiloho safi leo ndo mnatupia toka jana mmekaa kimya tumeangalia mpila vizuli tumeshinda 3 - 2

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 Před 7 měsíci +3

    Azam FC 3- 0 Mwakarobo

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 Před 7 měsíci +6

    SISI NDO YANGA,....ENDELEENI KUWATESA HAO MAKOLO.

  • @danielsunghwa487
    @danielsunghwa487 Před 7 měsíci +1

    💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 yangaaaaaaa

  • @user-jn8us1qi1z
    @user-jn8us1qi1z Před 5 měsíci +1

    Fei shoga kwel eti anafanya ishara kuwa imeisha😂😂😂

  • @sadalaedward2460
    @sadalaedward2460 Před 5 měsíci +1

    Mungu asimame Kati tu dhidi ya Ali ahal

  • @Hagai-pm6yf
    @Hagai-pm6yf Před 7 měsíci +4

    Ni aibu Kwa azama na Feisal wao,

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 Před 22 dny

    Great 💚💚💚💚💚

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 Před 7 měsíci +2

    Mabeki wa azam wazembe bao lapili sio lakipa

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 Před 6 měsíci +1

    Hii ndio ilikuwa Derby....Naskia malogo sc wameomba game yao na azam isongezwe mbele😂😂😂

    • @GracieTyno
      @GracieTyno Před 6 měsíci

      Wanaogopa 😂😂😂😂na lazima wachapwe 🔥

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma178 Před 6 měsíci +1

    Azam fanyieni kazi quality ya picha za highlight hazionekani vzur

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Před 7 měsíci +3

    Goli la tatu kulikuwa na faulo 7:45

  • @HusseinKafuta
    @HusseinKafuta Před 2 měsíci +1

    Naludia mechi leo

  • @HabeebaHassan-eq7bg
    @HabeebaHassan-eq7bg Před 7 měsíci +3

    Azam tv wasenge sana

  • @yonasytitusy337
    @yonasytitusy337 Před 5 měsíci

    Ivi azizi awezi kufunga bila tobo

  • @user-oj1wx7ue5u
    @user-oj1wx7ue5u Před 7 měsíci +4

    Apewe mmauwa🎉🎉🎉 yake mwamba

  • @shaibumrisho5033
    @shaibumrisho5033 Před 5 měsíci +1

    Mpaka sasa hakuna mechi inayoshinda hii kwa ubora

  • @user-kw9xe7cl9z
    @user-kw9xe7cl9z Před 6 měsíci +1

    Mambo ni moto

  • @user-uh4tr3nb1r
    @user-uh4tr3nb1r Před 3 měsíci +1

    Saaa saba kasoro tarehe sita mwezi wa wa tatu narudia mechi kuangalia usiku uuu

  • @ishirininasita2626
    @ishirininasita2626 Před 7 měsíci +6

    Feisal bana is on another level

    • @masaumujungu
      @masaumujungu Před 6 měsíci

      Another level without winning

    • @ishirininasita2626
      @ishirininasita2626 Před 6 měsíci

      @@masaumujungu without winning what kama ni titles ako nazo kama ni individual awards anazo ama huangalii mpira boss

    • @ishirininasita2626
      @ishirininasita2626 Před 6 měsíci

      @@masaumujungu ooooh ni majungu tu kama jina lako

  • @agapeemmanuel
    @agapeemmanuel Před 5 měsíci

    Yanga ipo juu

  • @sekwajuma
    @sekwajuma Před 2 měsíci

    mamboo yako vizuli sana

  • @justinewanzala3218
    @justinewanzala3218 Před 5 měsíci

    Jamani mpenja mbona haungulumii

  • @AmanduceFesto-nb6kh
    @AmanduceFesto-nb6kh Před 7 měsíci +4

    ❤❤❤❤❤ yanga

  • @youngrapper339youngrapper3
    @youngrapper339youngrapper3 Před 3 měsíci +1

    dash kiukweri nasikia raha na tanga yetu😂😂😂

  • @MwanamkasiAlj
    @MwanamkasiAlj Před 7 měsíci +2

    Azam haina mpira wakistaarabu ni watu wa mihereka tu kata funua sijui ni hizo ice cream.

  • @sadallahnineka3078
    @sadallahnineka3078 Před 4 měsíci

    Makolo walijichanganya 5 zilikua ni za hawa lambalamba

  • @user-mo3yz7zk8y
    @user-mo3yz7zk8y Před 7 měsíci +1

    Hii ndo yanga

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt Před 7 měsíci +2

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @AsmaAmeir
    @AsmaAmeir Před 7 měsíci +1

    Azam makipa munatoa wapi mbona mipira inawapita kama kandimu

  • @abdulazackabdul1894
    @abdulazackabdul1894 Před 4 měsíci +2

    🐸🐸🐸

  • @hajially4527
    @hajially4527 Před 3 měsíci

    0:51

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah3691 Před 7 měsíci +3

    Timu ya Azam takataka tupu, mishahara minono, marupurupu kibao, Hospitality ya uhakika, lakini wachezaji hovyo kabia, hivi hamjifinzi kwa yanga na Simba? Wachezaji huwa mnaokoteleza wapi? Hamfiki popote, mpaka labda Yesu akirudi. Kama vp hicho kiwanja Jenga kiwanda Cha kutengeneza biskuti utapata faida kuliko kuwa na timu inaleta hasara kila iitwayo siku. Trash trash trash trash kabisa hovyooo

  • @hajially4527
    @hajially4527 Před 3 měsíci

    0:32 0:35

  • @josephndaki8003
    @josephndaki8003 Před 6 měsíci

    Siwezi kukubali Simba na Yanga iitwe Kariakoo derby why not Dar es salaam Derby? DUNIANI nani anajua Kariakoo au Chamazi?

  • @hassanchiwambo687
    @hassanchiwambo687 Před 7 měsíci

    Huo moto waliopelekewa azam kuazia dakika ya 80

  • @Kikotidata
    @Kikotidata Před 6 měsíci

    Ila nyiee Aziz anajua Mpira bhn wew

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Před 7 měsíci +5

    Tofauti ya wanaume na wavulana ndo hiyi sasa

  • @parishlawal3034
    @parishlawal3034 Před 5 měsíci

    Ilo goli la sillah n offside kubw san

  • @user-ze2uy3vh3w
    @user-ze2uy3vh3w Před 2 měsíci

    Hii ndoyanga leo daaah kiukwel yanga ndotim yakuxhabikia

  • @kokunyegezaruta8456
    @kokunyegezaruta8456 Před 3 měsíci

    😊

  • @Kisamorabaututa-em1bv
    @Kisamorabaututa-em1bv Před 6 měsíci

    Mwamunyeto mech inamuhs sana Bora job asuge benchi

  • @user-rv3dr9ug8o
    @user-rv3dr9ug8o Před 7 měsíci +1

    Wazembe kivp

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 Před 7 měsíci +2

    Azam tafuteni kipa

  • @kedyjohn1848
    @kedyjohn1848 Před 6 měsíci

    Ilikuwa wale tano na hawa kama siyo umakini wa Maxi, wangeongezeka kwenye ile list yetu.

  • @jameskivelege8630
    @jameskivelege8630 Před 5 měsíci

    Records zinaonyesha kuwa captain Mwamnyeto amesababisha penalty 3, mechi ya Azam, ya Mediama nje,ndani!!!
    Hali ya hujuma au uzembe?

  • @user-hp4dn4nm8g
    @user-hp4dn4nm8g Před 5 měsíci

    Ihi meche ya kumbukumb

  • @user-qu2md6yh1y
    @user-qu2md6yh1y Před 7 měsíci +4

    Tunahama huku

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před 7 měsíci +80

    Tunawaomba viongozi wetu wa Yanga mechi dhidi ya Aly Ahly Mwamnyeto asianze Warabu watatumia madhaifu yake kwa kujipatia Penalti za kizembe kbs maoni tu

    • @yusuphabubakary2030
      @yusuphabubakary2030 Před 7 měsíci +10

      daah umeona,.. magoli yote mawili yametoka kwake,..
      pale ni job na bacca tuu ndo wawe wanaanza

    • @suzancharles1639
      @suzancharles1639 Před 7 měsíci +8

      Hata siku tumecheza na USMA ile final penalty aliisababisha yeye

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před 7 měsíci +1

      @@suzancharles1639 Umeona ilo kumbe nimesema ivyo sababu nimechukua ile unayosema na Penalt ya Azam na warabu wakishamjua mtu wa ivyo wanatumia sana iyo nafasi tunamuelewa sana Mwamnyeto ila ligi ya mabingwa apumzike kdg

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 Před 7 měsíci +4

      Kwa hiyo timu inapagwa na viongozi?

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 Před 7 měsíci +5

      Saa utamuweka nani kwa vimo vya wale jamaa

  • @sadallahnineka3078
    @sadallahnineka3078 Před 6 měsíci

    Kumbe azam nao walikua wanakula 5 aisee kwa hizi nafas zilizopotea😅

  • @GracieTyno
    @GracieTyno Před 6 měsíci

    Huyo kipa wa azam alitaka kutuzoea 😂😂😂😂

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 Před 7 měsíci +2

    Ally kamwe kashanzakutabiri ujinga ndio midono inamponza

  • @franksanyiwa
    @franksanyiwa Před 7 měsíci +1

    Tunaeda kushambulia sio kunzuwia kwahiyo acheni kumpagia cacha akifungwa nyie ndio wa kwanza kulaumu kwahilo muachen cocha apage timu yake

  • @abdaljuma-wk4dg
    @abdaljuma-wk4dg Před 7 měsíci +1

    Ona lao hili lijinga usitofautishee bhana water wachezeji we2 sijapenda nyooookoooo

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Před 6 měsíci

    Dabi zote wananch tumeshind

  • @mwamvitamatiku
    @mwamvitamatiku Před 7 měsíci +4

    Yanga moto mkali

  • @SalumuKibao-ex3zy
    @SalumuKibao-ex3zy Před 7 měsíci +1

    Ndoa ya kanisani hiyo

  • @trofinlyimo3520
    @trofinlyimo3520 Před 7 měsíci +1

    Yanga bhnaaaa

  • @godfreymkinga
    @godfreymkinga Před 5 měsíci

    Mwamnyeto ajifunze jinsi ya kumkaba adui eneo la hatari makosa kama haya yanajirudia sana. Kingine max onyesha makali na mechi za kibingwa isiwe ligikuu tuu

  • @katalisajuka-fl3st
    @katalisajuka-fl3st Před 5 měsíci +8

    Walitakiwa wapigwe 6 hawa kama sio uzembe wa Mudathir na Max, Kiukweli Max ana kera sana siku hizi, sehemu ambayo anatakiwa atoe pass rahisi ili wenzake wafunge yeye anataka apige afunge, Mudathir maamuzi yasiyo sahihi uwanjani yamekuwa mengi sana, mtu umebaki wewe na kipa unataka utulize tena badala ya kuunga, lakini tazama pale watu wawili wapo kwenye box mmoja ametanua pembeni ili kumvuta beki wa kati, yani Mudathir badala ya kupasia mpira kwenye box yy anataka achese one, two na huyu aliyetanua pembeni, mbona huu ni uchoyo uliyopitiliza

  • @user-ov8zp5mc4y
    @user-ov8zp5mc4y Před 7 měsíci +1

    ahahahahahhaha hapoooo mm cpoo

  • @user-eq1gl3uh4m
    @user-eq1gl3uh4m Před 7 měsíci

    Tunaomba waliocheza dabi wajekuanz kweny mech ya Al shaky

  • @SurprisedHibiscus-zh6to
    @SurprisedHibiscus-zh6to Před 6 měsíci

    Unaipenda yanga kak

  • @dullamuwise4802
    @dullamuwise4802 Před 4 měsíci

    ila Aucho ameteseka sn kwa fei toto

  • @beatosiakilimar6098
    @beatosiakilimar6098 Před 7 měsíci +2

    😮😅🎉😂❤

  • @filbertabdallahmdee2676
    @filbertabdallahmdee2676 Před 7 měsíci

    Hii mechi aucho alku hayuko fit ,hakua na fitness mda mwingi alkua anaachwa na fei na alkua anacheza faul na hii si kawaida yake nazan angetakiwa aende bench aingie hold mwingine ata mkude..,Mauya...

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 Před 7 měsíci +1

    Golkeeper ovyo

  • @JohnMwashanila-ev3ss
    @JohnMwashanila-ev3ss Před 6 měsíci

    Dream league

  • @ChristopherSamson-ce6lo
    @ChristopherSamson-ce6lo Před 7 měsíci

    Mwamunyeto bado mzembe anaigharimu timu

  • @user-qc9dj8be6r
    @user-qc9dj8be6r Před 2 měsíci +1

    Yanga hatal

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 Před 6 měsíci

    Dirisha dogo inabid Yanga viongozi wasajili beki tatu, beki ya kati itayosimama na bacca na striker

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 Před 6 měsíci

    Roger uko sahihi mechi akianza mwamnyeto tunapata ushindi kwa taabu

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 Před 5 měsíci

      Moja ya sababu ya kusajiliwa Gift Fred na pia Doumbia ni kwa ajili ya kutafuta mtu mwenye kimo lakini clinical sweeper ili kumuondoa Mwamnyeto kwenye equation

  • @user-ii2zm7it3b
    @user-ii2zm7it3b Před 7 měsíci

    mwamnyeto awe makinii