Yanga SC 3-2 Azam FC - Highlights | NBC Premier League - 23/10/2023
Vložit
- čas přidán 22. 10. 2023
- Stephane Aziz Ki amefunga #hattrick na kuipa Yanga ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam
magoli ya Aziz Ki yamefungwa dakika ya 9', 69', 72' huku Azam wakipata magoli yao kupitia kwa Gibrill Sillah 19' na Prince Dube dakika ya 62 kwa penati. - Sport
Viva Yanga Viva Wananchiiiiii let's go Ubingwa msimu Huu Ni lazimaaa 💪🔥💥💚💛⚽👊🤚🖐🏿
Hongera yanga ,Azam ni watoto wetu
kama Aziz atacheza kwa kiwango hikihiki kwenye derby tutawanyonyoa makolo
Wamenyooka kwel yaan
Asee hapa uli sema😂😂
Tayari tushawanyoosha😂😂😂😂
Jomba hii mpaka iishe kwanza ninnoma sana🎉🎉🎉
Ila Azam mnaroho mbaya Kila mechi ya yanga Huwa mnachelewesha
Wana boa sanaa Aisee
Azam mnatuangusha likija swala la highlights
Aziz Ki bwana dah!🙌🏽
Kama mwanayanga naomba mechiya Leo katiya yanga na singida kibwana aaz
Mkubwa ni mkubwa tu ❤❤
muwe munakata dakika hata 40 au nitumie mechi zima unambie bei yake
💛💛💚💚🔰🔰😂😂😂 nacheka kwa sababu nina furaha sana yanga hiii raha sana💚💚💛💛🔰🇹🇿
😂😂😂😂😂😂
Yanga ni nomaaaa sanaaa
Yanga yakibabe sana
Huyu jamaa alotambulishwa usiku wa saa 6 mwamba wa wagadugu ni nomaaa sanaaaaa
Usiku wa manane
Yanga tamu
I love Yanga
Hii match ilikua inawauma kuikuwema kisa timu yenu imepigwa mnachekesha kweli 😂😂😂
Amazing goal no:3
Mhh huyu azizi Ni noma aisee
💚💚💚💚💚yanga nitimu kubwa
Yanga raha ❤❤❤ jamn
This is true derby
Nakuunga mkono kwa hilo aise mamnyeto uwezo wa kukaba ama kuzuwia Bado sana asianze kiukweli atatuchomesha🎉
Mwamnyeto ni defender wa nchi beki la mpira weweee
Yanga bora
Aaah mpka kero jaman achen mpira wa sifa
Ni kweli kabisa
Sauti ya baraka MPENJA inauwa humna mtu anayeweza kama baraka mpenja
Daima mbele nyuma mwikooooooooooooo
Azam ikicheza na yanga nyie azam midia kuweni kiloho safi leo ndo mnatupia toka jana mmekaa kimya tumeangalia mpila vizuli tumeshinda 3 - 2
Azam FC 3- 0 Mwakarobo
SISI NDO YANGA,....ENDELEENI KUWATESA HAO MAKOLO.
💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 yangaaaaaaa
Fei shoga kwel eti anafanya ishara kuwa imeisha😂😂😂
Mungu asimame Kati tu dhidi ya Ali ahal
Ni aibu Kwa azama na Feisal wao,
Great 💚💚💚💚💚
Mabeki wa azam wazembe bao lapili sio lakipa
Hii ndio ilikuwa Derby....Naskia malogo sc wameomba game yao na azam isongezwe mbele😂😂😂
Wanaogopa 😂😂😂😂na lazima wachapwe 🔥
Azam fanyieni kazi quality ya picha za highlight hazionekani vzur
Angalia setting kwenye youtube yako pia
Goli la tatu kulikuwa na faulo 7:45
Naludia mechi leo
Azam tv wasenge sana
Ivi azizi awezi kufunga bila tobo
Apewe mmauwa🎉🎉🎉 yake mwamba
Mpaka sasa hakuna mechi inayoshinda hii kwa ubora
Mambo ni moto
Saaa saba kasoro tarehe sita mwezi wa wa tatu narudia mechi kuangalia usiku uuu
Feisal bana is on another level
Another level without winning
@@masaumujungu without winning what kama ni titles ako nazo kama ni individual awards anazo ama huangalii mpira boss
@@masaumujungu ooooh ni majungu tu kama jina lako
Yanga ipo juu
mamboo yako vizuli sana
Jamani mpenja mbona haungulumii
❤❤❤❤❤ yanga
dash kiukweri nasikia raha na tanga yetu😂😂😂
Azam haina mpira wakistaarabu ni watu wa mihereka tu kata funua sijui ni hizo ice cream.
Makolo walijichanganya 5 zilikua ni za hawa lambalamba
Hii ndo yanga
Daima mbele nyuma mwiko
Azam makipa munatoa wapi mbona mipira inawapita kama kandimu
🐸🐸🐸
0:51
Timu ya Azam takataka tupu, mishahara minono, marupurupu kibao, Hospitality ya uhakika, lakini wachezaji hovyo kabia, hivi hamjifinzi kwa yanga na Simba? Wachezaji huwa mnaokoteleza wapi? Hamfiki popote, mpaka labda Yesu akirudi. Kama vp hicho kiwanja Jenga kiwanda Cha kutengeneza biskuti utapata faida kuliko kuwa na timu inaleta hasara kila iitwayo siku. Trash trash trash trash kabisa hovyooo
0:32 0:35
Siwezi kukubali Simba na Yanga iitwe Kariakoo derby why not Dar es salaam Derby? DUNIANI nani anajua Kariakoo au Chamazi?
Huo moto waliopelekewa azam kuazia dakika ya 80
Ila nyiee Aziz anajua Mpira bhn wew
Tofauti ya wanaume na wavulana ndo hiyi sasa
Ilo goli la sillah n offside kubw san
Hii ndoyanga leo daaah kiukwel yanga ndotim yakuxhabikia
😊
Mwamunyeto mech inamuhs sana Bora job asuge benchi
Wazembe kivp
Azam tafuteni kipa
Ilikuwa wale tano na hawa kama siyo umakini wa Maxi, wangeongezeka kwenye ile list yetu.
Records zinaonyesha kuwa captain Mwamnyeto amesababisha penalty 3, mechi ya Azam, ya Mediama nje,ndani!!!
Hali ya hujuma au uzembe?
Ihi meche ya kumbukumb
Tunahama huku
Tunawaomba viongozi wetu wa Yanga mechi dhidi ya Aly Ahly Mwamnyeto asianze Warabu watatumia madhaifu yake kwa kujipatia Penalti za kizembe kbs maoni tu
daah umeona,.. magoli yote mawili yametoka kwake,..
pale ni job na bacca tuu ndo wawe wanaanza
Hata siku tumecheza na USMA ile final penalty aliisababisha yeye
@@suzancharles1639 Umeona ilo kumbe nimesema ivyo sababu nimechukua ile unayosema na Penalt ya Azam na warabu wakishamjua mtu wa ivyo wanatumia sana iyo nafasi tunamuelewa sana Mwamnyeto ila ligi ya mabingwa apumzike kdg
Kwa hiyo timu inapagwa na viongozi?
Saa utamuweka nani kwa vimo vya wale jamaa
Kumbe azam nao walikua wanakula 5 aisee kwa hizi nafas zilizopotea😅
Huyo kipa wa azam alitaka kutuzoea 😂😂😂😂
Ally kamwe kashanzakutabiri ujinga ndio midono inamponza
kwan all kamwe kaongea kit gan ww kolo
Tunaeda kushambulia sio kunzuwia kwahiyo acheni kumpagia cacha akifungwa nyie ndio wa kwanza kulaumu kwahilo muachen cocha apage timu yake
Ona lao hili lijinga usitofautishee bhana water wachezeji we2 sijapenda nyooookoooo
Dabi zote wananch tumeshind
Yanga moto mkali
Ndoa ya kanisani hiyo
Yanga bhnaaaa
Mwamnyeto ajifunze jinsi ya kumkaba adui eneo la hatari makosa kama haya yanajirudia sana. Kingine max onyesha makali na mechi za kibingwa isiwe ligikuu tuu
Walitakiwa wapigwe 6 hawa kama sio uzembe wa Mudathir na Max, Kiukweli Max ana kera sana siku hizi, sehemu ambayo anatakiwa atoe pass rahisi ili wenzake wafunge yeye anataka apige afunge, Mudathir maamuzi yasiyo sahihi uwanjani yamekuwa mengi sana, mtu umebaki wewe na kipa unataka utulize tena badala ya kuunga, lakini tazama pale watu wawili wapo kwenye box mmoja ametanua pembeni ili kumvuta beki wa kati, yani Mudathir badala ya kupasia mpira kwenye box yy anataka achese one, two na huyu aliyetanua pembeni, mbona huu ni uchoyo uliyopitiliza
ahahahahahhaha hapoooo mm cpoo
Tunaomba waliocheza dabi wajekuanz kweny mech ya Al shaky
Unaipenda yanga kak
ila Aucho ameteseka sn kwa fei toto
😮😅🎉😂❤
Hii mechi aucho alku hayuko fit ,hakua na fitness mda mwingi alkua anaachwa na fei na alkua anacheza faul na hii si kawaida yake nazan angetakiwa aende bench aingie hold mwingine ata mkude..,Mauya...
Golkeeper ovyo
Kama manula tu
Dream league
Mwamunyeto bado mzembe anaigharimu timu
Yanga hatal
Dirisha dogo inabid Yanga viongozi wasajili beki tatu, beki ya kati itayosimama na bacca na striker
Roger uko sahihi mechi akianza mwamnyeto tunapata ushindi kwa taabu
Moja ya sababu ya kusajiliwa Gift Fred na pia Doumbia ni kwa ajili ya kutafuta mtu mwenye kimo lakini clinical sweeper ili kumuondoa Mwamnyeto kwenye equation
mwamnyeto awe makinii