Simba SC 1-5 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 05/11/2023
Vložit
- čas přidán 4. 11. 2023
- Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis.
Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati.
Tazama highlights.... - Sport
Kama na wewe unarudia kila siku kama mimi gonga like za kutosha
Haitajirudia tena simba ngv 1
Tupooooooo😃😃😃😃😃😃😃😃
Aa mm kilasiku narudia tamuhii
Tunawasubilia, ijayo tutawapiga 10
@@veronicangwale7159q
Tunaotizama tena leo hii mechi gonga like za kutosha tujuane hapa💚💛💚💛💚
❤
Hii siku watu walipotea had kwao anashituka amepanda gar la mbez wakat anakaa gongolanyolo
💚💚💚💚💚💚💚💚
Ila simba walikoswa mno ilifaa wakule kumi😊
@@user-ke9ef7wr5vlq look
Tunaotizama tena leo tar 5 January gonga like
Kama Unatazama 2024 Gonga Like hapa ❤❤
Tunaorudia kutazama gonga like
Happy new yeah
kwa tuliorudia kuangalia mara tano tano hapa mwaka 3055 gonga LIKE😂
Kama hii mechi ulifurahi weka like
Diara umejua kumkand mgen rasmi 💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛nakupenda bure diaraa
Nairudi hii mechi Leo tarehe 25|01|2024 tujuane hapa kwa like,Yani machungu ya tutofuzu afcon 16 taifa star Yanga inanipa amani
Ukiangalia hii mechi shida ilikua kwenye defense
Kila Siku Hii Ni Mechi Mpya Kwangu....Naipenda Yanga Sports Club 🔰💛💚
Hii mech naiangalia Kila siku 3_1_2024
Me mwenyewe daily never miss 😅
Yanga mnafurahisha kweli, mnajua mnajua, mnajua tena. Hongera sana yanga na viongozi wenu wazuri
Nikiwa na stress naangalia hili game
Ila sisi yanga hatuna huruma kwa kweli 😅😅😅😅😅😅😅yaan kila siku tunaiangalia hku tunacheka
Tunaoangalia 2024 tujuane apa kwa 👍
Yan leo taree27 mwezi 1 naangalia mludio haya magoli yanavyo ingia mwili unasisi mka machozi yafuraa yanatoka kama mechi inachezwa saa6 hii
Nimerudia kuiangaria Leo tarehe 24/3/2024
Tunaotizama mpka sasa hii mechi tujuane hapa kwa like
Nashindwa kabisa kufanya kazi kila saa narudia mechi ya yanga na simba na mechi ya yanga na CR Bulzdad.
kama kuna mtu anamfaham daktari wa saikolojia naomba msaada.
Nitafute haraka sana nikutibu huo ni ugonjwa😂😂😂
Uko sawa tu huna shida yoyote nipo mwenzako hapa kila usiku ndo kazi yangu😅
Acha kulakula kipolo😊
@@galluskanenge4898 kabla ya hizi mechi nilikuwa nakula kipolo cha wali na maharagwe na sipati hili tatizo 🤦♂️
Ahaa ! Hauhitaji daktari wa saikolojia ,ila tafuta mechi mbili mlizowahi kufungwa na simba magoli mengi zaidi ya manne na meji za nje ambayo mlifungwa mpaka mkachelewa ndege yaani unapona kabisaa ,ukiona bado ,nitakuagizia njegere mabichi upike ule na wali utona shwari kabisa.
Mpira wetuu unakua kwa kasi sana what a performance by young africa
06/03/2024 leo nimerudia😂
Game zangu Bora Ambazo sichoki kuangalia
Finał France 🇫🇷 vs Argentina 🇦🇷
Simba vs Young Africans FT 1-5
Club African vs Young Africans FT 0-1
Young Africans vs CR Belouzidad
FT 4-0
Simba vs Young Africans FT 2-2 #Balama
Greatest games of all time 🙌🏻💛💚
2024 still watching it😂😂😂
💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
sema azizi ki anakuaga na mzuka😂halafu huyo mtangazaji amesemaje eti ohooho🙌🙌
Hii ndo dar young Africans buana❤❤❤❤
Leo Tena tareh8 mwezi wapili 2024
Nipo hapa Leo 8/3/2024
Nipo Live Tarh 2/4/2024
2ko pa1
Kabla ya tareh 20.. nmekuj kujitidhisha tenaaa Kun sehem tulikoseailibid tuwafunge7
Even me, YOUNG AFRICANS the CHAMPION 🏆🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅 🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆 🏆🏆🏆🏆🏆🏆
Hakuna mechi za yanga Sinto choka kuiangalia kama hii ya Simba na Ile ya CR belouizdad,,zinanipa Raha sana😊
I love so much young african 3:16 ❤
Mpaka hapa nadhani mshajua timu Bora ambayo CAF wanaizungumzia ni ipi...YANGA IMEMALIZA UTATA.....MPAKA MSEMEEEE....😂😂😂❤❤❤
yanga
Leo tarehe 30/11/2023 naangalia kwa mara nyengine 💚💛
Me leo tar 12/12/2023
Mi narudia leo saa 23:26 usku tareh 16 .05.2024
Nimeirudia Tena leo😂😂
Nilikua na mawazo yangu nimeangalia haya marudio nimefarijika😂😂
Nimeumia.sana kwa mtokeo sikutegemea ila Kuna maisha baada hii 😢😢
🤣🤣🤣🤣
Walikufa vibaya mbwa hawa 😂😂😂
😂😂😂yan mpka raha kurudia rudia haichoshi😂😂😂
@@ashamkenga6072 Jeuri yote imekata 😂😂😂
Yanga yangu nakupenda saana🎉🎉
Leo ni tar 23 mwez wa 5 😂😂😂😂😂
Leo mzize katulia
😂😂😂😂 sanaa raha jamani
Yangaaaaa yangu....vivaaaaaaaaaaa.
5gggg hamtasahau wanssimba maisha yenu yoote.
Yangu tamu bana❤❤❤❤
Tunaotizama tena leo tar 5 february gonga like apo😂
Kila mda naiangalia ihi mechi mpaka laha 😂😂😂😂
Inafrahisha sana😂
Hiki ni kipigo Cha mbwa Koko. pole yenu simba.
Leo tar 18 tujuane 😅
Tupo live 😂
Kikosi cha gamond cha mauaji....hiki ndo kiliua simba...hiki ndo kiliua cr beliouzdad
Wangap wanarudia hapa
Tunaongalia mwaka 2024 ❤
Laivu
Tarehe4 may 2024 nipo apa gonga like kama tuko pamojaa😂
nikimaliza hii naenda kutafuta ile ya kingereza😅😅
Hii video inanifurahisha nikiitazama .
Haichoshi kuangalia hata mara miaaa😅😅😅😅
Wanao sema yanga siyo maneno nimepira kwer gonga like hapa
Good kabisa😅
narudia na leo tena😂😂
Jamani yanga mtaniuwa naraha mimi ni chabikiwayanga Africa kutoka Congo bukavu
Tabulele 😂😂😂
Neno wananchii ni kubwa Sana lieshike kwa timu zote
Karibu Tanzania 🇹🇿 ndio
Jaman tupean michong kutok congo uk
Leo trh 18 niko apa kitakacho nitenganisha mim na kuangalia hii mechi ni kifo 😂😂😂
😂😂😂😂 hatariii
yaani leo niko nashinda kuangalia kurudia rudia hizi mechi tuliowakanda tano makolo na mechi tuliomkanda mwarabu belouizdad nne😂😂 kama movie yaani
leo tar 30.04.2024 saa 21:57 p.m nmerudi kuangalia huu mkono baada ya kuangalia highlight ya namungo na kolozdad
💚💛
😂😂 Hii mpaka ifutwe ndio ntaach kuangalia😂
Mzize the Unsung Hero
30.03.2024 nimerudia kabla Mamelodi hajakandwaaaa
Hii atar kila cku naangalia raha sana
Ngoja niangalie tena leo 20/2/2024😂
Tuko pmoj😅😅
@user-yt3tn6dx3f😂😂😂😂😂😂et uchaw waroge nawao kama rahsi yanga raha😅😅😅
Bado amjasema hadi mseme hii ndio yanga ya sasa ongera sana yanga🎉🎉🎉
Tupo wengi tunao rudia yanga Atari 😂😂😂😂
Maandalizi
Nahisi kama Simba anaenda kufungwa goli la sita hapa😂😂😂
Raund ya pili saba😂😂😂 itakua raha sana hata tusipochukua kikombe chochote mim nitawasamehe bureee
Kwa raha zangu shida zenu makolo😂😂 29 Feb 24
Narudia pambano leo 1/5/2024
Nimekuja leo tarehe 26 February 2024 jaman wapii wenzangu wa 5G
Nimerudi baada ya kupigwa na wajelejela😅😅😅
Daaah yanga noma❤
Poleni sana wana simba nikionjo kidogo hicho bado atuja wafunga mpaka tuwafunge mabao nane ndo tunarizika rahaaaa mpaka kufaaaaaa from louis ville kentucky
Yanga World Wide, Chicago, IL
Nilifrahia Sanaa hii mechi🙀
nimerudi leo tarehe 29/04/2024 kujiboost kuona kinachoenda kumtokea mamelodi kama hivi
Naona raha
Tareh 15/32023 nimeitazama Tena full naona tumewafunga Tena magoli matano😂😂😂😂😂
Tarehe 5 Yanga goli 5 simba goli 1,Nov.2023. Ikumbukwe daima.
Sijawahi kuchoka kuangalia hii😂😂😂
sichoki kuangalia hii mechi kirasiku yan hahaaaa
Nairudia hii mechi muda woote 22/2/2024 😂😂😂😂hiii mechi nilikauka sauti siku hiyoo😂
Mi mwenyewe nairudia
niikauka sauti siku 5
Tunaenda kupiga kwenye mshono pale pale
29 feb jaman jaman
namimi ety jamn
I love so much young african 3:16
Yaani hii mechi inanimalizia bando kila saa naangalia 😂😂😂 hii ss tunaangalia ,wataangaalia watt weetu na wajukuu pia ,yakwao imebaki kwenye vitabu
Mm mwenyewe had sahii naangalia apa
Aichoshi kwakweli unatamani kila saa uangalie
Nitailudi kilamara nitamu
Asante sana yanga kwa kunipa heshima mtaani kimyaa
Hii mech sichoki kuitizama jamn
Leo npo bize nakuangalia marudio ya young African vs Simba 5_1
Wananchiiiii oyee, Makolo mpaka mseme, na mtasema, na bado, najivunia kua yanga
Yanga tamu
Leo trh 1/4/24 😂😂
Haha😂
Mechi haichoshi kurudiaaaaa😂❤
Mbona Mimi nachoka. kurudia😢😂🎉😮
Women day nipo hapo
Yanga unanikosha Mimi mwenzenu💛💛💛💛💛💚💚💚
Tunaoirudia tena leo march 3 2024 tujuane
24.03.2024 nimeludia tena kuangalia