- 3 883
- 8 368 982
UTV Tanzania
Tanzania
Registrace 23. 10. 2023
Ukurasa rasmi wa UTV, chaneli namba 108 kwenye kisimbuzi cha Azam TV | Jiunge nasi ili usipitwe na Morning Trumpet Jumatatu - Ijumaa saa 12:00 asubuhi | Azam News kila siku saa 2:00 usiku | Adhuhuri LIVE saa 7:00 Mchana | Alasiri Lounge saa 9:00 Alasiri | Hello Wikiendi Jumamosi na Jumapili saa 1:00 asubuhi | Michezo, Maisha, Muziki na Burudani
Rais Samia afunguka uchunguzi timu ya siti mgomo Kariakoo
Timu ya uchuguzi iliyoundwa kwa siri na Rais Samia Suluhu Hassan imebaini kuwa mgomo ulioitishwa hivi karibuni na wafanyabiashara wa Kariakoo uligubikwa na masuala ya siasa na hivyo amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo kukahakisha anaweka mazingira rafiki ya biashara ili kuondoa misigano isiyokuwa na tija.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
zhlédnutí: 22
Video
Majina watakaorejea soko kuu la Kariakoo kuanikwa
zhlédnutí 76Před 9 hodinami
Majina ya wafanyabiashara waliokidhi vigezo vya kurejea katika soko kuu la Kariakoo baada ya kukamilika kwa ukarabati wa ujenzi wa soko hilo yanatarajiwa kuwekwa wazi Julai 10 mwaka huu. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi
Keir Starmer awa Waziri Mkuu wa 58 wa Uingereza
zhlédnutí 31Před 9 hodinami
Waziri Mkuu mpya wa Uingereza, Keir Starmer ameahidi kuijenga upya nchi hiyo baada ya chama chake cha Labour kushinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliomaliza miaka 14 ya utawala wa chama cha Conservative. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi
Kilio cha diaspora kupata hadhi maalumu chasikika
zhlédnutí 30Před 9 hodinami
Kilio cha diaspora kupata hadhi maalumu pamoja na kumiliki ardhi bila kikwazo, kimesikilizwa baada ya Serikali kuja na mapendekezo ya mabadiliko ya sheria za uhamiaji pamoja na sheria ya ardhi ambayo yatawasilishwa katika bunge lijalo. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi
Rais Samia aanika sababu za kumuondoa Kidata TRA
zhlédnutí 48Před 13 hodinami
“Kidata mimemuondoa…niliona mwisho atadata kwa namna alivyokuwa anaandamwa…” - Rais Samia Suluhu Hassan akielezea sababu zilizomfanya amuondoe aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na kumteua kuwa Mshauri wa Rais, Ofisi ya Rais, Ikulu. #AzamTVUpdates Mhariri |Onike Masayanyika, John Mbalamwezi
Benjamin Mkapa kuenziwa kwa mafunzo ya kukabiliana na Ukimwi Arusha
zhlédnutí 15Před 13 hodinami
Kuelekea kumbukuzi ya Rais wa zamani wa Tanzania, hayati Benjamini Mkapa inayotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi Julai, Taasisi ya Benjamin Mkapa (BMF) kupitia mradi wa USAID AFYA ENDELEVU imetoa mafunzo kwa watunza kumbukumbu wanaoshughulika na masuala ya Ukimwi mkoani Arusha.
Rais Samia ataka wamachinga watambulike
zhlédnutí 35Před 13 hodinami
Msikilize Rais Samia Suluhu Hassan akisimulia namna raia wa China anayefanya biashara ya kuuza mitumba Kariakoo alivyokuwa akipigana ngumi na mfanyabiashara wa kitanzania. Amemuagiaza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kuwasajili wamachinga ili watambulike. #AzamTVUpdates Mhariri |Onike Masayanyika, John Mbalamwezi
Machinga wa Kariakoo wafungieni barabara
zhlédnutí 95Před 13 hodinami
Rais Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kukaa pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kuwapanga wamachinga wanaopanga biashara zao mbele ya maduka Kariakoo… akiwataka wafunge baadhi ya barabara ili wafanyabiashara hao waweze kupata fursa ya kufanya biashara. #AzamTVUpdates Mhariri |Onike Masayanyika, John Mbalamwezi
Rais Samia | Pale ofisini alipokuwa anakaa mwenzio sitaki ukakae
zhlédnutí 26Před 14 hodinami
“Kwa kazi ninayotaka kukupa…kwa mtoto wa kike siyo rahisi…hiyo kazi ninataka uifanye wewe…” - Rais Samia amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kwenda kuifanya Kariakoo kuwa soko la kimataifa litakalofanya biashara kwa saa 24 na sehemu salama kwa wafanyabiashara. #AzamTVUpdates Mhariri |Onike Masayanyika, John Mbalamwezi
HOJA MEZANI || Mambo ya kuzingatia juu ya usalama wa afya ya macho
zhlédnutí 101Před 17 hodinami
Fahamu mambo hatarishi yanayoweza kuahribu afya ya macho.
MADA || Mahojiano maalumu na Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania
zhlédnutí 29Před 20 hodinami
MADA || Mahojiano maalumu na Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania
SHAJARA || Uelewa juu ya uwekezaji wa kimataifa
zhlédnutí 35Před 20 hodinami
SHAJARA || Uelewa juu ya uwekezaji wa kimataifa
CHAPA ZA LEO || Karibu tukupitishe kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo Julai 05,2024
zhlédnutí 26Před 21 hodinou
CHAPA ZA LEO || Karibu tukupitishe kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo Julai 05,2024
Wanajeshi 25 wahukumiwa kifo baada ya kutoroka vitani
zhlédnutí 218Před 2 hodinami
Wanajeshi 25 wahukumiwa kifo baada ya kutoroka vitani
Serikali yapiga jeki uzalishaji wa ngano
zhlédnutí 16Před 2 hodinami
Serikali yapiga jeki uzalishaji wa ngano
Takwimu matukio ya utekaji zawaibua wadau
zhlédnutí 42Před 2 hodinami
Takwimu matukio ya utekaji zawaibua wadau
Hali ya upatikanaji fedha za kigeni waanza kuimarika
zhlédnutí 39Před 2 hodinami
Hali ya upatikanaji fedha za kigeni waanza kuimarika
Namna Omar Packaging (OP) walivyojipanga maonesho ya Sabasaba
zhlédnutí 47Před 2 hodinami
Namna Omar Packaging (OP) walivyojipanga maonesho ya Sabasaba
Mikakati kuelekea kongamano la mwaka la jumuiya ya wachumi Tanzania
zhlédnutí 211Před 2 hodinami
Mikakati kuelekea kongamano la mwaka la jumuiya ya wachumi Tanzania
HOJA MEZANI | Mabadiliko ya sera kwenye chaguzi za mataifa makubwa yataleta mabadiliko gani Afrika
zhlédnutí 148Před 2 hodinami
HOJA MEZANI | Mabadiliko ya sera kwenye chaguzi za mataifa makubwa yataleta mabadiliko gani Afrika
SHAJARA || Uchambuzi juu ya mabadiliko ya viongozi sekta ya biashara
zhlédnutí 52Před 2 hodinami
SHAJARA || Uchambuzi juu ya mabadiliko ya viongozi sekta ya biashara
CHAPA ZA LEO || Karibu tukupitishe kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo Julai 04,2024
zhlédnutí 13Před 2 hodinami
CHAPA ZA LEO || Karibu tukupitishe kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo Julai 04,2024
Jamii yaaswa imuogope Mungu na kuacha ulawiti na ubakaji
zhlédnutí 62Před 4 hodinami
Jamii yaaswa imuogope Mungu na kuacha ulawiti na ubakaji
“Mwana FA” aahidi Serikali kuendeleza zaidi michezo ili kuongeza ajira
zhlédnutí 38Před 4 hodinami
“Mwana FA” aahidi Serikali kuendeleza zaidi michezo ili kuongeza ajira
Watuhumiwa wa utekaji, utesaji wakamatwa
zhlédnutí 59Před 4 hodinami
Watuhumiwa wa utekaji, utesaji wakamatwa
Treni ya mizigo ya SGR yanukia, Serikali yaanika mikakati yake
zhlédnutí 175Před 4 hodinami
Treni ya mizigo ya SGR yanukia, Serikali yaanika mikakati yake
Panga pangua ya Rais Samia yawaibua wafanyabiashara
zhlédnutí 163Před 4 hodinami
Panga pangua ya Rais Samia yawaibua wafanyabiashara
Rais Ruto afuta ahadi kuongeza mishahara
zhlédnutí 117Před 4 hodinami
Rais Ruto afuta ahadi kuongeza mishahara
Unakayoyafaidi ikitembelea Kijiji cha Sibanduki Ng’o viwanja vya sabasaba
zhlédnutí 138Před 4 hodinami
Unakayoyafaidi ikitembelea Kijiji cha Sibanduki Ng’o viwanja vya sabasaba
MADA | Utolewaji wa tuzo za filamu za Kiswahili Afrika Mashariki
zhlédnutí 104Před 4 hodinami
MADA | Utolewaji wa tuzo za filamu za Kiswahili Afrika Mashariki
Mechi ya Karne haimalizi utamu
Nawapata vem
Akili kubwa hongera sana professor najivunia sanaa kuwa na makamu wa chuo kama ww japokuwa sijawahi kukuona
😅😅😅
Pole sana
Mashalah mkuu kwa ushauli mzuli
Tunamtak simba.
Mnapotangaza kuweni sirias
Mnavyocheka hapo baada ya muhtasari mnaharibu kipindi jana napo mlifanya hivyo kwenye kamera mnaonekana!
Safi sana azam endeleen hivhiv
Mama piga kazi usiskie wanasiasa wengne wanajiita watanganyika
Mbeya hatuoni hiyo treni ya umeme nyanda ya just vipi
nice
Poleni wafiwa
Kamateni kwanza watekaji
mechi ilitangazwa kwa viwango sana🎉
Matobo mawili...goli moja master K😂😂
inapendeza
Wanawake wanazidi kuuwawa wauwaji kamwe hawanyongwi
Nyerere alisema I can't give my food to the dogs
Ukweli endapo kikokotoo hakitobadilishwa uchaguzi utakuwa mgumu huu ni wizi unaogusa utawala ulioko madarakani ni sawa kodi ya payee inalipwa ila Sheri'a ya nyongeza ya mshahara kila mwaka sasa miaka kumi bila nyongeza ndio usawa na wezi wanalindwa waibe kodi yetu na rushwa juu kama nyongeza ya mabeberu akina mwigulu, taarifa ya cag inanuka kwa wizi mkubwa hawa hawafai kupigiwa kura wanyongwe mioyoinauma sana skill zao kwanini tusilinganishe na mbwa
asante kwa mwongozo mzuri .naomba mawasiliano yako
I like ur headlines,kindly make a timeline for English 2,si unajua kiswahili si mdomo chetu🇰🇪
Mbele yetu nyuma yenu
Mmh mbele yao nyuma yetu
Poleni sana
Muito obrigado pelo Tanzânia
Tulimpenda sana
Lowasa kweli
Shkamoo mapenz
Shingap ving'amzi
Imekaa pow xana
Mbona umekakata mlipueni bashe kwenye full video
Mbowe anaaanza kuvaa kofia ya kiislam kama Lisu wakati wa kuomba kura ,,,mnadhani Waislam watahadaika kwa hilo?? Uongo wenu na unafiki wenu ndio unawatafuna wenyewe ,,,poleni sana
1/7 nmerudi tena baada ya Triple C kusajiliwa Yangaaa😂🔥
Nawapenda jaman
Mungu akutangulie katika safari yako ya kutetea watanzania
saw tuombe msimu ujao
Enzi zake alikuwa ni mtu wa kuigwa kibiashara na ufadhili!
Yaan mpaka mseme Bado tunaangalia
Tulia
Nawapa pole familia ya yusufu
IVYO IVYO TUTAFIKA TU
Kamanda sugu
Stumii nguvu kubishana na Wana simba
Kudos
Chalamila must be happy now. Chalamila sasa amefurahi alisema juzi Kariakoo yakuwa wamemfukuza Manji. Mungu kwake hakujai nafasi zitakuwepo kwa wote. Na hakuna wa kukwepa. Innalillahi wainna ilayhi rajiuun.
Dah! R.I.P Big Boss
Sitosahau uongoz wa Rais ENG HERS YangA nii hiii 5-1 😅 NEW GENERATION
Goal la 3 Tobo mbili goooooooooool 🎉🎉
If u like gonga 5-1 🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤
Mm Hadi Leo tar 30/6/2024 nipo naangalia yaani naendelea kupata rahaa
Jesus