UTV Tanzania
UTV Tanzania
  • 3 883
  • 8 368 982
Rais Samia afunguka uchunguzi timu ya siti mgomo Kariakoo
Timu ya uchuguzi iliyoundwa kwa siri na Rais Samia Suluhu Hassan imebaini kuwa mgomo ulioitishwa hivi karibuni na wafanyabiashara wa Kariakoo uligubikwa na masuala ya siasa na hivyo amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo kukahakisha anaweka mazingira rafiki ya biashara ili kuondoa misigano isiyokuwa na tija.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
zhlédnutí: 22

Video

Majina watakaorejea soko kuu la Kariakoo kuanikwa
zhlédnutí 76Před 9 hodinami
Majina ya wafanyabiashara waliokidhi vigezo vya kurejea katika soko kuu la Kariakoo baada ya kukamilika kwa ukarabati wa ujenzi wa soko hilo yanatarajiwa kuwekwa wazi Julai 10 mwaka huu. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi
Keir Starmer awa Waziri Mkuu wa 58 wa Uingereza
zhlédnutí 31Před 9 hodinami
Waziri Mkuu mpya wa Uingereza, Keir Starmer ameahidi kuijenga upya nchi hiyo baada ya chama chake cha Labour kushinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliomaliza miaka 14 ya utawala wa chama cha Conservative. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi
Kilio cha diaspora kupata hadhi maalumu chasikika
zhlédnutí 30Před 9 hodinami
Kilio cha diaspora kupata hadhi maalumu pamoja na kumiliki ardhi bila kikwazo, kimesikilizwa baada ya Serikali kuja na mapendekezo ya mabadiliko ya sheria za uhamiaji pamoja na sheria ya ardhi ambayo yatawasilishwa katika bunge lijalo. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi
Rais Samia aanika sababu za kumuondoa Kidata TRA
zhlédnutí 48Před 13 hodinami
“Kidata mimemuondoa…niliona mwisho atadata kwa namna alivyokuwa anaandamwa…” - Rais Samia Suluhu Hassan akielezea sababu zilizomfanya amuondoe aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na kumteua kuwa Mshauri wa Rais, Ofisi ya Rais, Ikulu. #AzamTVUpdates Mhariri |Onike Masayanyika, John Mbalamwezi
Benjamin Mkapa kuenziwa kwa mafunzo ya kukabiliana na Ukimwi Arusha
zhlédnutí 15Před 13 hodinami
Kuelekea kumbukuzi ya Rais wa zamani wa Tanzania, hayati Benjamini Mkapa inayotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi Julai, Taasisi ya Benjamin Mkapa (BMF) kupitia mradi wa USAID AFYA ENDELEVU imetoa mafunzo kwa watunza kumbukumbu wanaoshughulika na masuala ya Ukimwi mkoani Arusha.
Rais Samia ataka wamachinga watambulike
zhlédnutí 35Před 13 hodinami
Msikilize Rais Samia Suluhu Hassan akisimulia namna raia wa China anayefanya biashara ya kuuza mitumba Kariakoo alivyokuwa akipigana ngumi na mfanyabiashara wa kitanzania. Amemuagiaza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kuwasajili wamachinga ili watambulike. #AzamTVUpdates Mhariri |Onike Masayanyika, John Mbalamwezi
Machinga wa Kariakoo wafungieni barabara
zhlédnutí 95Před 13 hodinami
Rais Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kukaa pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kuwapanga wamachinga wanaopanga biashara zao mbele ya maduka Kariakoo… akiwataka wafunge baadhi ya barabara ili wafanyabiashara hao waweze kupata fursa ya kufanya biashara. #AzamTVUpdates Mhariri |Onike Masayanyika, John Mbalamwezi
Rais Samia | Pale ofisini alipokuwa anakaa mwenzio sitaki ukakae
zhlédnutí 26Před 14 hodinami
“Kwa kazi ninayotaka kukupa…kwa mtoto wa kike siyo rahisi…hiyo kazi ninataka uifanye wewe…” - Rais Samia amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kwenda kuifanya Kariakoo kuwa soko la kimataifa litakalofanya biashara kwa saa 24 na sehemu salama kwa wafanyabiashara. #AzamTVUpdates Mhariri |Onike Masayanyika, John Mbalamwezi
HOJA MEZANI || Mambo ya kuzingatia juu ya usalama wa afya ya macho
zhlédnutí 101Před 17 hodinami
Fahamu mambo hatarishi yanayoweza kuahribu afya ya macho.
MADA || Mahojiano maalumu na Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania
zhlédnutí 29Před 20 hodinami
MADA || Mahojiano maalumu na Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania
SHAJARA || Uelewa juu ya uwekezaji wa kimataifa
zhlédnutí 35Před 20 hodinami
SHAJARA || Uelewa juu ya uwekezaji wa kimataifa
CHAPA ZA LEO || Karibu tukupitishe kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo Julai 05,2024
zhlédnutí 26Před 21 hodinou
CHAPA ZA LEO || Karibu tukupitishe kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo Julai 05,2024
Wanajeshi 25 wahukumiwa kifo baada ya kutoroka vitani
zhlédnutí 218Před 2 hodinami
Wanajeshi 25 wahukumiwa kifo baada ya kutoroka vitani
Serikali yapiga jeki uzalishaji wa ngano
zhlédnutí 16Před 2 hodinami
Serikali yapiga jeki uzalishaji wa ngano
Takwimu matukio ya utekaji zawaibua wadau
zhlédnutí 42Před 2 hodinami
Takwimu matukio ya utekaji zawaibua wadau
Hali ya upatikanaji fedha za kigeni waanza kuimarika
zhlédnutí 39Před 2 hodinami
Hali ya upatikanaji fedha za kigeni waanza kuimarika
Namna Omar Packaging (OP) walivyojipanga maonesho ya Sabasaba
zhlédnutí 47Před 2 hodinami
Namna Omar Packaging (OP) walivyojipanga maonesho ya Sabasaba
Mikakati kuelekea kongamano la mwaka la jumuiya ya wachumi Tanzania
zhlédnutí 211Před 2 hodinami
Mikakati kuelekea kongamano la mwaka la jumuiya ya wachumi Tanzania
HOJA MEZANI | Mabadiliko ya sera kwenye chaguzi za mataifa makubwa yataleta mabadiliko gani Afrika
zhlédnutí 148Před 2 hodinami
HOJA MEZANI | Mabadiliko ya sera kwenye chaguzi za mataifa makubwa yataleta mabadiliko gani Afrika
SHAJARA || Uchambuzi juu ya mabadiliko ya viongozi sekta ya biashara
zhlédnutí 52Před 2 hodinami
SHAJARA || Uchambuzi juu ya mabadiliko ya viongozi sekta ya biashara
CHAPA ZA LEO || Karibu tukupitishe kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo Julai 04,2024
zhlédnutí 13Před 2 hodinami
CHAPA ZA LEO || Karibu tukupitishe kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo Julai 04,2024
Jamii yaaswa imuogope Mungu na kuacha ulawiti na ubakaji
zhlédnutí 62Před 4 hodinami
Jamii yaaswa imuogope Mungu na kuacha ulawiti na ubakaji
“Mwana FA” aahidi Serikali kuendeleza zaidi michezo ili kuongeza ajira
zhlédnutí 38Před 4 hodinami
“Mwana FA” aahidi Serikali kuendeleza zaidi michezo ili kuongeza ajira
Watuhumiwa wa utekaji, utesaji wakamatwa
zhlédnutí 59Před 4 hodinami
Watuhumiwa wa utekaji, utesaji wakamatwa
Treni ya mizigo ya SGR yanukia, Serikali yaanika mikakati yake
zhlédnutí 175Před 4 hodinami
Treni ya mizigo ya SGR yanukia, Serikali yaanika mikakati yake
Panga pangua ya Rais Samia yawaibua wafanyabiashara
zhlédnutí 163Před 4 hodinami
Panga pangua ya Rais Samia yawaibua wafanyabiashara
Rais Ruto afuta ahadi kuongeza mishahara
zhlédnutí 117Před 4 hodinami
Rais Ruto afuta ahadi kuongeza mishahara
Unakayoyafaidi ikitembelea Kijiji cha Sibanduki Ng’o viwanja vya sabasaba
zhlédnutí 138Před 4 hodinami
Unakayoyafaidi ikitembelea Kijiji cha Sibanduki Ng’o viwanja vya sabasaba
MADA | Utolewaji wa tuzo za filamu za Kiswahili Afrika Mashariki
zhlédnutí 104Před 4 hodinami
MADA | Utolewaji wa tuzo za filamu za Kiswahili Afrika Mashariki

Komentáře