Wanajeshi 25 wahukumiwa kifo baada ya kutoroka vitani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 07. 2024
  • Wanajeshi 25 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC wamehukumiwa adhabu ya kifo kwa makosa ya kutoroka vitani na kumpa nafasi adui.
    #AzamTVUpdates
    Mhariri | Alpha Swai, John Mbalamwezi

Komentáře •