MAPOKEZI YA MIILI 14 YA WANAJESHI WALIOFARIKI KONDO DRC
Vložit
- čas přidán 10. 12. 2017
- Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiwa na Jenerali Venance Mabeyo, Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania wamepokea miili 14 ya wananjeshi waliouliwa kantika nchi ya jamhuri ya demokrasia ya kongo.
Siwezi sahau hii siku nili mpoteza baba yangu kipenzi inaniuma sn ila siko na budi nikaze roho t mungu ndo mwenye kupanga kila kitu
Heshima zangu kwenu wanajeshi wa Tanzania...Poleni
poleni makamanda
Aduwii wa mu tanzania ni mu rwanda
Tunatowa mkono wapole kwawale wote walio kupbwa namsiba sisi niwakongomani asante kwamsaada
Hakika mwendo mmeumaliza natokwa na machozi aiseee mpumzike kwa amani mashemeji zetu na kaka zetu pia..
jamani ooh God wapokee wote waliotangulia mbeleyako
R I p
amiri jeshi mkuu JPM nakuomba uwaamuru majeshi yetu wakawamalize hao waasi pia wauangamize msitu wote usiwepo tena ubaki historia tu
Nabado
Plen sn wfiwa
Yahani onakwa fsmilua yawenzio usiombe yskukute inauma sana
Munataka M23 tutoke congo 🇨🇩 tuende wapi? Tuko nyumba masisi na Rutshuro , homeland or death
Wapumzike kwa amani wapiganaji wetu.
You tube
MUNGU AZILAZE ROHO ZA MAREHEMU PEMA PEPONI - AMEN. ILA IDDI SIJAKUELEWA NDUGU YANGU
R I P
Marry Kamomer
Poleni
Wamewaonesha maiti chache, wengi wamezikwa hapo DRC, wameuwawa saana m23 imewachinja kwa visu na shoka
nimeongea nae kaka angu tarehee 7 na tarehee 11 tumeambiwa kafa roho inaniuma wallah
jmn pole sana apumzike kwa aman
Super Women pole mpenx
Super Women pole
Siyo wey tu na mie piah nibora watuchukuwe na siye
Pole sana dear...Mbele yao nyuma yetu
Wapumzike kwa amani wapiganaji wetu.