Komando Koplo Ali Khamis Omary kutoka Tanzania, afunguka.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 05. 2019
  • Komando Koplo Ali Khamis Omary kutoka Tanzania aliyenusurika wakati wa mapambano na waasi huko katika misitu mizito ya DR Congo, kupitia mahojiano haya na Stella Swaumu Vuzo wa Unic Daressalaam TZ anasimulia kisa hicho kilivyotokea.

Komentáře • 369

  • @mohamedmbarouk7482
    @mohamedmbarouk7482 Před 5 lety +105

    mzee kapigwa risasi kafunga bandeji mguuni kaendekea na mapambano gonga like mzee twende sawa

  • @ckosmah21
    @ckosmah21 Před 5 lety +40

    Me jesh napenda,sana sem nd hvo tu cjui nianzie wapi bt uzalendo nao ni sehem ya jesh so mm n mzalendo pia respect to all soldiers

  • @user-lv9zw9em8c
    @user-lv9zw9em8c Před rokem +6

    Brother mungu akujalie afya jema utapona Kaka nakubali sana

  • @lucaschambika5437
    @lucaschambika5437 Před 5 lety +43

    komando wangu Mungu akulinde (nchi yako inakupenda sana )

  • @frankgeorge9371
    @frankgeorge9371 Před 4 lety +37

    makamanda wote tujuane apa like JWTZ

    • @VasilyArkhipov44
      @VasilyArkhipov44 Před 6 měsíci

      Ata ww Ni Komando?

    • @user-wk6tf1yg8g
      @user-wk6tf1yg8g Před měsícem

      ​@@VasilyArkhipov44huyo raia tu kama yeye ni komando muulize jina lengine la komando analoitwa usiangaike linaitwa CDO

  • @msemwawalter837
    @msemwawalter837 Před 5 lety +24

    Wanasiasa:
    Kazi ndio hizi, mmezoea ngonjera.....
    Asante mpiganaji.

  • @jumahamis227
    @jumahamis227 Před 5 lety +41

    These are our modern heroes, blessings to that Malawian soldier who died bravely in fighting for peace.

  • @erickmakundi5278
    @erickmakundi5278 Před 5 lety +18

    This soldier is real and honest he won't exaggerate any thing. Bravo.if it was Americans the stories would be different

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 5 lety +30

    Daah yani komandoo huwa hawacheki yani jamaa serious balaaa

  • @nestoryseleman1801
    @nestoryseleman1801 Před 5 lety +35

    Huyu jamaa ni komando kwahyo anapojib maswali hatoi taarifa za kiintelihensia salute sana

    • @abdulshaban4560
      @abdulshaban4560 Před 5 lety +2

      Sarut sana.

    • @CertifiedFriend
      @CertifiedFriend Před 5 lety +1

      ukiangalia vizuri, utagundua 'anaongozwa' kwenye kile anachozungumza.

    • @kadoathuman6001
      @kadoathuman6001 Před 5 lety +1

      Kuna taarifa gani ya kiintelligensia uliyoiona hapo ktk maongezi?

    • @flova7022
      @flova7022 Před 2 lety +1

      @@kadoathuman6001 tatizo hujaelewa...wewe ulienda jeshi

    • @Mwigaa95
      @Mwigaa95 Před 3 měsíci

      Siuna ona ana full mabawa begani

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 Před 5 lety +45

    Watu wanao toa uhai wao kwa ajili ya wengine hawata upoteza. Mungu daima yupo nao.

  • @jimmymbella9912
    @jimmymbella9912 Před 4 lety +5

    Pole Sana mkuu kazi ya Mungu haina makosa, pole kw jeraha ulilolipata ktk mguu wako Kaka ila Mungu atakupa uponyaji

  • @kdf1246
    @kdf1246 Před 3 lety +8

    Alaf li harmonize linajiita jeshi,aje aone wajeshi wenyewe na hali halisi ya jeshi

  • @allymohamedmkiwa8573
    @allymohamedmkiwa8573 Před 5 lety +5

    Kz mnayo fanya ni ngumu sana mungu atawalinda makamanda wetu

  • @neemaibrahim2810
    @neemaibrahim2810 Před 2 lety +4

    Mimi nilitamani sana kua Mwanajeshi lakini mitazamo ya familia yangu ilinikwamisha
    Natamani nipate Mume komando au Mwanajeshi takua nimeziishi ndoto zangu Kwa asilimia kadhaa

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 3 lety +4

    Big Soldiers from Tanzania
    Big up commands

  • @anthonyfaru9908
    @anthonyfaru9908 Před 5 lety +26

    Mwandishi amekutana na hali ambayo hakuitgemea jamaa kauzu sana, kapoteza dira mama WA WATU

  • @iketiinini966
    @iketiinini966 Před 3 lety +5

    Mungu awabariki wanajeshi wetu.

  • @patrickchima4101
    @patrickchima4101 Před 5 lety +29

    Mungu Mungu Mungu jamaaa kamtaja sana a real soldier recognize His presence

    • @leahezekiel281
      @leahezekiel281 Před 5 lety +1

      Mungu ni wa Majeshi

    • @Ndu-wa.uroony2
      @Ndu-wa.uroony2 Před 4 lety +1

      Daah! Kweli leo askari amkiri Mungu japo majeshi ya dunia ni ya mataifa.

    • @RashidAli-mm1uo
      @RashidAli-mm1uo Před 3 lety +1

      @@Ndu-wa.uroony2 huyu mwanajeshi ni muislaam halafu ni mzanzibari kwaiyo hulka yake ipo palepale washazoea kumtanguliza Mungu kila mda wa mambo yao yao

  • @lusekelodaison8159
    @lusekelodaison8159 Před 5 lety +6

    Big up my real blood Brother

  • @levocatusgatu4295
    @levocatusgatu4295 Před 5 lety +6

    Saluuut ka zoteeeee yaaaan. Wenikomando Bila chengaaaaa

  • @Mwigaa95
    @Mwigaa95 Před 3 měsíci

    Kweli mwamba ni kazi pia ni full komandoo maana na full mabawa begani 👏🏽👏🏽👏🏽👊🏽👊🏽👊🏽✊🏽✊🏽✊🏽😄😄

  • @fabiannyambalya2616
    @fabiannyambalya2616 Před 5 lety +9

    Daah makomandoo bhana duuuh! Wanajeshi hawaruhusiwi kufuga ndevu lakini hawa makomandoo 🤙🏿🤙🏿🤙🏿 tyuuu

  • @georgenorasco6595
    @georgenorasco6595 Před 3 lety +2

    Da unavyomhoji na anakujibu naumia moyo sana maana vita c mchezo, mungu a2saidie 2, maana eti vjana wenzetu Wa tz wabaomba vta et wakapgane da mnaijua vita? Eti mkipgana maisha yatakuwa mazr nan kawadanganyen, vtaikikolea askari wenyemafunzo na nyota zao makomando aseee hulia ktk uwanja Wa vita, si mchezo mungu atuepshe

  • @isaiahstadius2383
    @isaiahstadius2383 Před 3 lety +3

    Kama umemuona kunguru mmbea kule nyuma like hapa.

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 Před 3 lety +1

    Safi sana Mashaallah amemshukuru Mungu means anamwambia Mungu. Hata Mungu anahimiza Amaan, Haki na kuabudiwa yeye pekee Mungu Allah. Uzushi wa imaan za Dini za uwongo, Viongozi/Watawala na raia wasomuamini/wasomchaMungu ndo kikwazo cha uvunjifu wa amaan duniani kwa tamaa za Mali, Madaraka, Vyeo, Umaarufu nk yakidunia. Dunia ninmapito na Starehe za muda!

  • @ismailsanifa
    @ismailsanifa Před 5 lety +5

    Pole sanna

  • @elisamehecharles5432
    @elisamehecharles5432 Před 5 lety +8

    Ogaaah! Huyu kweli ni soldier safi snaa nimemuelewa sana majibu ni short and clear na havijishi siri

  • @masasawamasasa905
    @masasawamasasa905 Před 5 lety +20

    uko umoja wa mataifa wamejaa masnichi tu, jamaah anajibu short tu nicely ''kurinda amani ni kazi nzuri tu'' according to kaka komando🤐🤐🤐🤐💪

  • @williamnathan4630
    @williamnathan4630 Před rokem

    Hongera Sana , ningefurahi sana Kama ninyi mashujaa mngeandika historia zenu ktk vitabu na kuacha kumbukumbu kwa Jamii. Yale mliofanya yanajulikana , inaumiza kuona Kumbukumbu na matukio yaliyowasibu ktk KAZI hayawekwi. Mbona wale waliotumika ktk jeshi la South Africa (SADF), USA n.k Kila siku twasoma historia zao hata nyingine za kutumikia majeshi Yao kukandamiza na kupambana na wapigania uhuru , lakini wameweka Kumbukumbu zao!

  • @manonisita1302
    @manonisita1302 Před 5 lety +4

    Sura Ya Kazi......
    Nakubali sana Kaz hii

  • @lameckzakaria7773
    @lameckzakaria7773 Před 3 lety +3

    Uyu ni full bawa yani complete komando

  • @wilsonjohn1919
    @wilsonjohn1919 Před 5 lety +10

    Kweli wew komando

  • @mr.content266
    @mr.content266 Před rokem +3

    God bless Africa.

  • @mkemia_magege5816
    @mkemia_magege5816 Před 5 lety +12

    Hawa ndugu zetu bwana ni hatari sana na mtu hatari siku zote huwa hawana mambo mengi. Yani kwao uliza maswali au maneno buku, Majibu mafupi yenye maana milioni. Angekuwa Lisu hapo mwanasiasa, mamaaaaaa ungesikia na mambo mengine usiyotarajia. Atakawambia alipandwa juu ya mgogo na kifaru.

  • @edsonlaurencemwagamasasi9074

    Utadumu sanaaaaaa komandooooo.... utadumu katika chombo....

  • @bilalbaker9238
    @bilalbaker9238 Před 3 lety

    Mpiganaji A. K. Omar, Pole na matokeo katika ukamilishaji wa majukumu. ni mda mrefu tangu tokeo, lakini kumbukumbu hazi zeeki.
    Na Mungu Amlaze Pema komred kutoka Malawi. Kwani Mungu hulipa kwa nia ya Mtu. nae alikua na nia ya kuleta amani miongoni mwa Binaadam.

  • @babusadala5732
    @babusadala5732 Před 5 lety +15

    Daaa jamaa yupo cool mweee.. 🤒🤒🤒🤒🤒

    • @zftv-zanzibarfantvtv5560
      @zftv-zanzibarfantvtv5560 Před 4 lety +1

      Wazungu wataendelea kutuulisha kina siku washajua waafrika hatu akili
      Hakuna was waasi ni watu ambao wanaandaliwa na Umoja wa mataifa na kupewa silah ili Nchi isiwe na aman wapate kichukua madini

  • @briaynalleni4608
    @briaynalleni4608 Před 4 lety +1

    daaaaaah amakweli mungu achaaitwe mungu?

  • @m-tatu1050
    @m-tatu1050 Před rokem +1

    komandoo.... maneno macheche direct to the point kulingana swali bila kusahaua usiri mkubwa

  • @princesinko4073
    @princesinko4073 Před 5 lety +17

    Mie siwezi kumuuliza maswali sana maana jamaa anaonekana hana huruma na wala hacheki, lazima kwa sura hii maswali yapungue...huyo

  • @doctorzero-dj5xg
    @doctorzero-dj5xg Před 3 lety +4

    Kalibua maisha yote kwa sasa ni hatari tupu, siyo maisha ya jeshi tuu, tunaona wasafiri tu wanavyopata ajali mbaya na kufa na kujeruhiwa vibaya ! Kufo na ajali ni kilasehem

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Před 5 lety +8

    Na bado anasema kazi ni nzuri

  • @AceB4real
    @AceB4real Před 5 lety +5

    Daaah mwana kanuna kinoma

  • @datiusamani9767
    @datiusamani9767 Před 5 lety +2

    ###support UN ## support Peace ### support Tanzania.

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 Před 5 lety +4

    Saluti kamanda,

  • @fatmamati5246
    @fatmamati5246 Před 7 měsíci

    Allah awalinde na kuwapa nguvu wanajeshi wetu ameen

  • @simonkasato7617
    @simonkasato7617 Před 4 lety

    Big up

  • @alfalikongamwamba7511

    God bless you

  • @mohamedbinfadhil1396
    @mohamedbinfadhil1396 Před 5 lety +17

    Sauti iko chini mwandishi na unahoji kwa woga sana

  • @kingcobra9238
    @kingcobra9238 Před 5 lety +8

    Salute mwana familia

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 Před 3 lety +2

    Angekua msanii limaiki angekua anamsogezea had mdomoni

  • @lujenjejr3628
    @lujenjejr3628 Před 3 lety +2

    mwamba anajibu kijeshi yani short and Clear

    • @solomonpeter8843
      @solomonpeter8843 Před 3 lety

      Ahahahhaa hatari jamaa anavyojibu ila Mungu azidi kuwa nanyi kwakweli

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 Před 5 lety +16

    Nyie Vp’ huyo Sio Lisu au Ndugai ‘ aongee sana...!
    huyo ni COMBAT....MGUU WA SHINGO MGUU WA ROHO...!

    • @UzalendoNaUtu
      @UzalendoNaUtu Před 5 lety +2

      Ismail Yusuph hahahah

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 Před 5 lety +2

      #AdrianLalika ....kabisa..!...si unajua KAMBINI hata ukigonga mti unalipa...!..Sisi hatuongeagi sana...!

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 Před 5 lety +10

    Huyu comandoo wa ukweli hacheki mpaka mwandishi anaogopa mashwali 😂😂

  • @anoldbashube7746
    @anoldbashube7746 Před 5 lety +19

    saluuti soldier sema mwandishi anakuogopa usi mchenjie anauliza kwa woga

  • @detectivejeffrey6401
    @detectivejeffrey6401 Před 5 lety +17

    Hiyo sura tuu inaweza kumchinja mtu shingo.

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Před 5 lety +18

    Mtu akiwa komando huwa lazma sura yake iwe mda wote kaikunja au

  • @abdulshaban4560
    @abdulshaban4560 Před 5 lety +2

    Sarut sana.

  • @yusuphmwakilachile325
    @yusuphmwakilachile325 Před 2 lety

    Nice

  • @alphankilenga6209
    @alphankilenga6209 Před 5 lety +12

    mtu muhimu sana kwa taifa . hawa watu wapo wachache sana . komandoo sio mtu wa kumpeleka congo bna .ni matumiz mabaya . kwann msipeleke migambo jaman

  • @fidurashidi5781
    @fidurashidi5781 Před 3 lety +1

    Haina kona kona, straight forward

  • @lutenganocharles7194
    @lutenganocharles7194 Před 3 lety

    Lkn nimekukubali Sana bro uko vzuli huo ndo uzalendo tunawategemea jeshi letu

  • @rafikindugu4674
    @rafikindugu4674 Před 5 lety +7

    Mbona huyu muandishi anashindwa kuuliza, waasi ni wanani? Mahali mutu kafariki alafu watu wasifahami nani ao kundi la wanani limemuuwa?🤷‍♂️🤦‍♂️

  • @paschalewamtaa726
    @paschalewamtaa726 Před 4 lety

    Nakubali komando

  • @selemanseed2476
    @selemanseed2476 Před 5 lety +26

    Kwa tuliowahi kukutana na huyu Afande tukae tu kimya kabisaa..🙏

  • @user-ho6ev8uh2r
    @user-ho6ev8uh2r Před 6 měsíci

    Big up comondoo

  • @ludovickndaki3761
    @ludovickndaki3761 Před 5 lety +13

    Duh waandishi wahabar kazi mnayo hamjui kua hatutoagi siri zajeshi sisi mtasubir sana solute sana kamanda najivuniaga watu kama nyinyi ad najiona ni meme

  • @najma3268
    @najma3268 Před 5 lety +1

    Mungu awatanguli kwenye kaz zenu, lakin cjui kwa nn mtu hata awe mweupe vp akiingia jeshini lazima awe mweus

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 Před 4 lety +1

    Safi sana mzalendo wetu

  • @geraldjames8741
    @geraldjames8741 Před 5 lety

    Mwandishi ni huna akili sasa alipigwa risasi nawenzake? Jeshi jeshiiii kazi kazii nakuwahoji sio nzuri

  • @mnegaamina6085
    @mnegaamina6085 Před 3 lety +2

    Kamanda wetu pole sn

  • @jacobmaganga3354
    @jacobmaganga3354 Před rokem

    Bravo

  • @TFxClub
    @TFxClub Před 5 lety +4

    Mwandishi mbona anauliza majibu ya tukio?au ana wasi wasi na sura ya kazi.

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 Před 5 lety +9

    We CPL Ally Omary kabla ya maongez Umemfanyaje hyo Dada mbona kashindwa Maswal nawewe

  • @037corgj7
    @037corgj7 Před 5 lety +7

    Mzee baaba hapo ni.ngumu.nyeusi anatamani haya huyo muandishi asepe mapema maana analeta nyeusinyeusi

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 3 lety +1

    Pamoja mkuu

  • @wahidawahida6675
    @wahidawahida6675 Před 5 lety +10

    Upo smart kaka

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 Před 5 lety +10

    muwe mnaangalia syo kila channel ya kucomment vibaya

  • @joempenda400
    @joempenda400 Před 5 lety +6

    bawa

  • @aboubakarahmad234
    @aboubakarahmad234 Před 3 lety +1

    Aah uyu Jamaa akikumata upo kweny uvunjifu waaman cjui atakufanyaje maana mmmmmh mshikaj achek

  • @godfreymwaikeke1564
    @godfreymwaikeke1564 Před 5 lety +3

    Salute kwako na Jwtz vikosi vyote

  • @elibarikielikana1824
    @elibarikielikana1824 Před 5 lety +1

    Nakibli soldier......
    Comando.......

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Před 2 měsíci

    Anajibu vizuri

  • @wakatashombo2454
    @wakatashombo2454 Před 5 lety +29

    Kamanda anaongea kikarimu ila ana sura ya kazi

  • @lucasmollel2522
    @lucasmollel2522 Před 3 lety

    Inauma Sana kumpoteza aliyekusaidia

  • @richardhaule8372
    @richardhaule8372 Před rokem +1

    Cku Moja ntakuw askar Kam wew

  • @tgeofrey
    @tgeofrey Před 5 lety +6

    No revenge,,defensive Force, never offensive

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema1969 Před 5 lety +1

    Mh, huyu jamaa kweli komando,, mwandishi anatetemeka😂😂

  • @mrishorajabu1134
    @mrishorajabu1134 Před 5 lety +5

    Komando kauzu tiisha

  • @khamissaid3083
    @khamissaid3083 Před 3 lety

    Bro mbona sura ngumu hivyoooo

  • @abuusalha7736
    @abuusalha7736 Před 5 lety +5

    mbona huyu dada muoga hivyo

  • @jobujohnson3052
    @jobujohnson3052 Před 5 lety +9

    Mbona kama kafuga mzuzu yani udevu au macho yangu

  • @awamkhalid5361
    @awamkhalid5361 Před 5 lety +3

    Huyo m2 pori tizi kama chai hana muda wa kujipodoa

  • @almasabbdi9176
    @almasabbdi9176 Před 5 lety +10

    Dah! Hawa jamaaaa ni sheedah, yn hapo alipo kavurugwa sheria ndevu jeshini marufuku lakini jamaaaa ana uchebe

    • @yusuphjuma4638
      @yusuphjuma4638 Před 4 lety

      Kumbe na wewe umeona

    • @kibebwaytz7413
      @kibebwaytz7413 Před 4 lety

      SPECIAL FORCE huyo ndevu wanaruhusu usikaririw

    • @saidomar6806
      @saidomar6806 Před 4 lety

      Ndevu km kawaida shida sio ndevu shida jukumu linahitaj mazingira yepi. Acha komando wafanye kazi zao

    • @bilalbaker9238
      @bilalbaker9238 Před 3 lety +1

      alikuwa hospital aliitwa kwa mahojiano tu, kwa hiyo alikuwa kaziweka tu. he is commandoo anywawa. hupaka hata matope usoni wachilia mbali ndevu.

  • @johnmbitiyaza1254
    @johnmbitiyaza1254 Před 5 měsíci

    special force commando

  • @brownkira1332
    @brownkira1332 Před 5 lety +5

    Sasa mbona huyu ana ndevu ana uchebe yani

  • @user-jb7xo5pe1b
    @user-jb7xo5pe1b Před 7 měsíci

  • @nestrykipetha3761
    @nestrykipetha3761 Před 3 lety +2

    Bbaby tuma na yakutolea

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 3 lety

    Mbona kafanana sana na Katibu wa CHAMA CHA MAPINDUZI ccm MR KAKULWA