MAGARI YA KIJESHI YAKUTISHA YENYE SILAHA NZITO ZAKIVITA YAKIPITA KATIKA MAADHIMISHO ZANZIBAR

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 01. 2024

Komentáře • 186

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian4904 Před 4 měsíci +22

    Bila uzalendo hayo yote hamna kitu, R.i.p Magufuli😢

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go Před 4 měsíci +1

      Hapa ni Zanzibar huyo Magufuli huku kafanya nn kubwa mpaka umtaje?

    • @mlawayusuph8842
      @mlawayusuph8842 Před 4 měsíci

      Magu alikuwa baasha wako?

    • @ambokilemussa3518
      @ambokilemussa3518 Před 4 měsíci

      Mfuate😂😂😂

    • @ambokilemussa3518
      @ambokilemussa3518 Před 4 měsíci

      Ondoa mavi Yako hapa

    • @yohanamagehematictok
      @yohanamagehematictok Před 4 měsíci +1

      ​@@OmerSuley-gl7gowatu wanakosa kabisa uzalendo na hata nchi yao hata hawaijui, na mipaka ya uongozi wao hata hawaijui, Rais wa Zanzibar anaiongoza Zanzibar huku akiwa ni sehemu ya uongozi wa muungano, na rais wa Tanzania ni RAISI anaeiongoza Tanzania yote bala na visiwani na anachaguliwa na nchi zote mbili

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 Před 4 měsíci +9

    Msirudie kutuonyesha hizi comedy😂

    • @SajiKizunga
      @SajiKizunga Před 4 měsíci +1

      Kwann comedy,, au na Amani iliyopo sio amani ni comedy?

  • @suleimanpojjo4900
    @suleimanpojjo4900 Před 4 měsíci +13

    Watanzania yaani jamani haya si ni magari yale ya wrong turn......

  • @cliffordmwangosi426
    @cliffordmwangosi426 Před 4 měsíci +2

    Mungu aendelee kutujalia amani

  • @roselinemoshi5008
    @roselinemoshi5008 Před 4 měsíci +1

    Mwenye Enzi Mungu ilinde nchi yetu milele na milele 🤲🏽

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 Před 4 měsíci +2

    Kwa vifaa nilivyoviona hapa Mungu atuepushe na vita daima maana tutaumizwa sana, ombi langu Serikali linunulieni jeshi vifaa vya kisasa jamani ebu fatilieni sherehe za kitaifa za kenya na rwanda muone modern army equipments walizonazo

  • @titusngetich1222
    @titusngetich1222 Před 4 měsíci +6

    As a Kenyan, Tanzania still have a long way

    • @bakarithegeoinformatician7406
      @bakarithegeoinformatician7406 Před 4 měsíci

      Jichanganyeni mtajua hamjui

    • @paulkasunga8817
      @paulkasunga8817 Před 4 měsíci +1

      Naam

    • @Azikiwe-qi6jd
      @Azikiwe-qi6jd Před 4 měsíci +1

      Try us, you will come up with a good answer to your self. For the records Go ask UPDF under eid amin dada, they too thought like that, so welcome you are allowed to try us.

    • @titusngetich1222
      @titusngetich1222 Před 4 měsíci

      @@Azikiwe-qi6jd you have to show your experience bwana,.. even American says they have great military because we know their experience in Vietnam Afghanistan and many more,.. you can't just down claiming you are the best yet you have no track record 🤣🤣

    • @Azikiwe-qi6jd
      @Azikiwe-qi6jd Před 4 měsíci

      @@titusngetich1222 if it track record i think militarily in the whole east africa no country can match TZ, we have history of matching into battle and emerge victorious, we have history of sending our troops to help in decolonization of countries found in souther Africa, countries like, SA, MOZAMBIQUE, NAMIBIA, ANGOLA, and etc .Kenya has got no such record, we saw them struggling with 4 terrorist of al shabab in the west gate mall, they ended up demolishing the whole building, yet not even a single body of the terrorist was shown, what does that tell you.

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 4 měsíci +1

    Hongeren zanz mpo vzr

  • @juliusdominic-uk4bu
    @juliusdominic-uk4bu Před 4 měsíci +7

    silaha hizo zilaaniwe kwasababu ni za kutuua sisi wenyewe

  • @chrismutuku4502
    @chrismutuku4502 Před 11 dny

    Hizi vitu zaa mababu ficheni msiwqi kubishana na kenya

  • @AllyAniu-ni3ji
    @AllyAniu-ni3ji Před 4 měsíci +1

    ❤ Zanzibar oyeeee

  • @user-bu9fb2lr6k
    @user-bu9fb2lr6k Před 3 měsíci

    Musjiayi bishetu boramuturie mungu aturnde nakra ainaya matatizo yakivita 6

  • @hamudseif
    @hamudseif Před 3 měsíci

    OMO anawanagalia tu, shida yake ni mamla ya nchi tu..Allah ampe nguvu na afya alifanikishe

  • @user-or3gu4qc9v
    @user-or3gu4qc9v Před měsícem

    Tukoo vyema tumsaidie Ukraine Basi jamaniii kwa makalindingaaa hayaaa

  • @collinscosmas9484
    @collinscosmas9484 Před 4 měsíci +1

    Camera man rudi darasani

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n Před 4 měsíci +2

    Hizo ni kwaajili ya uchaguzi mmeamua kututisha

  • @uwembatvonline
    @uwembatvonline Před 4 měsíci +3

    Wabongo Asilimia kubwa wanatatizo la Afya ya akili,, ukisoma comment zao utajua tu... Yani wanataka silaha zote zionyeshwe hapo,, wao wanakwambia ooh silaha ni za Enzi za uhuru,, tumieni akili basi

    • @user-sk1yd4pw1v
      @user-sk1yd4pw1v Před 4 měsíci +1

      Wewe ndio ulewi Kila kunapokucha teknojia Zinakuwa toka uonyeshwe iyo migobole mpaka Leo ni miaka mingapi na duniani teknolojia imekuwa kiasi gani Tulia ujui vitu

    • @rabsontryphon9254
      @rabsontryphon9254 Před 4 měsíci

      Hatuna siraha mbaba hakuna cha afya ya akili apo wangeleta ata moja ambayo hatujawah ona

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 4 měsíci +2

    Mimi hapo naona hapo mnatuharibia uwanja

  • @unapologeticsmile9756
    @unapologeticsmile9756 Před 3 měsíci

    Naona mitambo ya 1970.bado tuko nyumasana

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před 4 měsíci +1

    Twende kwenye mfumo wa kuunda vya kwetu. Tunaweza tusijisahau hata kama tumepigwa.

  • @husseinallysuleiman4657
    @husseinallysuleiman4657 Před 3 měsíci

    nchi yetu ni nchi ya mungu,nchi ya ahadi tutaishi kwa aman milele na tutaoana na kuzaa sana fuso ni magari ya kijapan sipingi wako juu sana kiteknolojia

  • @user-jb4bl6nc2w
    @user-jb4bl6nc2w Před 4 měsíci

    Mmetuweza kwa kwakweli 🙏🙏🙏wazenji Leo watu milioni 70 wanaongozwa na Watu laki 3kweli??

  • @user-jl1oq9pt1x
    @user-jl1oq9pt1x Před 4 měsíci

    Hongern

  • @pulkeriamtavangu9504
    @pulkeriamtavangu9504 Před 4 měsíci

    SILAHA ZA KUTISHA!

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 Před 3 měsíci

    Tanzania has never faced any extenal attack mkivamiwa tu hata na panya road mnaimba nyimbo za kila aina vita mtuachie sisi wakenya na alshabab

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 Před 4 měsíci +2

    Hakuna silaha nzito apo

  • @febamohammed2989
    @febamohammed2989 Před 4 měsíci +1

    Hapa hakuna kitu,

  • @sankara8939
    @sankara8939 Před 3 měsíci

    Hizi no xana za kushika na kutega panya

  • @Igauf3
    @Igauf3 Před 4 měsíci +2

    What happened to dance and normal entertainment… I mean all the countries have got similar products. We don’t make none, it would have make more sense to have our culture in display.

  • @BakhresaGroup
    @BakhresaGroup Před 4 měsíci

    👏👏👏🙌🙌🙌🙌

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 Před 4 měsíci +2

    Sasa mnasema siri za silaha zenu

  • @user-og4bc6dn7x
    @user-og4bc6dn7x Před 4 měsíci +1

    Kalisana

  • @user-cb4nq7wf4f
    @user-cb4nq7wf4f Před 4 měsíci +1

    Maisha marefu Tanzania

  • @AmisDeshommes
    @AmisDeshommes Před 4 měsíci

    Pôle Sana

  • @user-sy3pj8ch7z
    @user-sy3pj8ch7z Před 4 měsíci

    Avatrié Rwanda mision nayo ekokokate hokomona moto ya mboka Congo RDC 🇨🇩 makasi yasolo hokosenka pardonne ya paba Congo mboka ya biso ba congolais yoooooooooo okomwona to kongagga rais Rwanda kofita peuples Congolaises 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👉 Paul gakama 😟😟😟😟😟😟🥺🥺

  • @MaengoCP
    @MaengoCP Před 3 měsíci

    Mziki

  • @ramaturuku863
    @ramaturuku863 Před 4 měsíci

    05:20,Manuwari ya kivita😅😅
    Hapo mtangazaji kachemka hiyo ni boat ya kawaida tu ya kijeshi,manuwari ni kitu kingine kabisa kwenye ulimwengu wa kijeshi

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před 4 měsíci +1

    Safi sana Tanzania. Wowww safi sana!!

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Před 4 měsíci

      Safi sn nn apo sijaona cha ajabu

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m Před 4 měsíci

      @@KassimAlly-xp4dz ww kama ni mtu wa Mungu bac nadhani utakuwa unajua kushukuru!! Shukuru kwa yote, Biblia inasema shukuruni kwa kila jambo!! 1Wathesalonike5:18. Ndugu we shukuru hata kama jambo halikufurahishi. Kweli hii nchi ina mambo ya kukwaza sana, je unafikiri mimi sioni au!! Kwahiyo ni kushukuru tu!!

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go Před 4 měsíci

    Hongera Zanzibar yangu tumejipata
    Tanganyika wasitupelekeshe tena

    • @brunodemarx9198
      @brunodemarx9198 Před 4 měsíci

      😂huna akili

    • @barikiringo6311
      @barikiringo6311 Před 4 měsíci

      Silaha zote ni za muungano.... kwanj waziri wa ulizi n Bashigwa au?

    • @gabrielutou20
      @gabrielutou20 Před 4 měsíci

      🤔🤔🤔heee kumbe sisi sio wamoja ni nchi 2 tofauti nilikua sijui

  • @kevinarafat4017
    @kevinarafat4017 Před 4 měsíci

    Kweli Kenya 🇰🇪 wamepiga hatua...😂...Hizi silaha ni idara ya polisi ndio wanazitumia kule Kenya while hapa Tanzania ni silaha za jeshi🤣🤣🤣🤣🤣🤣...Pity Neighbors...

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 Před 4 měsíci

    Tumeshindwa na Hamasi wanaunda wenyewe silaha sie bado tunakumbatia vya wazungu hona leo muyaudi anavyochezea kichapo na silaha zke za wazungu technology nyingi hawana chochote

  • @AbasiShabani-lw2fd
    @AbasiShabani-lw2fd Před 4 měsíci +1

    Ila kiukweli aiseee tuna siraha za kawaida tuuuuh tusijisifu nyingi ni zile zile za maonyesho ya miaka yote

    • @sawackoswald9322
      @sawackoswald9322 Před 4 měsíci

      Usijidanganye

    • @johnwarioba8037
      @johnwarioba8037 Před 4 měsíci

      Hujui kitu, huwez weka silaha zote hadharani hizi ni sample tu kwahiyo usijidanganye

  • @PhilberthNyinge
    @PhilberthNyinge Před 4 měsíci

    Good

  • @victormalelemba4324
    @victormalelemba4324 Před 4 měsíci +1

    Hizi silaha bado kabisa wenzetu wanatumia drone kushambulia

    • @VeronicaAdam-lx8yd
      @VeronicaAdam-lx8yd Před 4 měsíci

      Wenzen akin nan😂😂😂

    • @slainhood646
      @slainhood646 Před 2 měsíci

      Drone wap vita nying ni one to one angalia ata Io ya juzi ukaraine na urusi watu wanafatana ttz tunaish na nadharia sana

  • @CALV1NHAMPHREY-fb5rn
    @CALV1NHAMPHREY-fb5rn Před 3 měsíci

    Eduad lowasa

  • @hemedymturi756
    @hemedymturi756 Před 4 měsíci

    Ila hii nchi niyakipumbavu sana kwani mpaka uneshe magali na vifaa

  • @emanuelwilliam1607
    @emanuelwilliam1607 Před 4 měsíci

    Well tuishi kwa amani tu🎉

  • @hbnkingi
    @hbnkingi Před 4 měsíci

    Tutayaona kwenye maonyesho tu 😅

  • @NestoryMbando-cr9st
    @NestoryMbando-cr9st Před 4 měsíci

    Dah nilitarajia kuona sana nyingi za majini cz zanzibar imezungukwa na maji

  • @Mwl_Sanga
    @Mwl_Sanga Před 4 měsíci

    I don't know this language, Some one to translate but Samia tunakuaminia mi5 Tena

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 Před 4 měsíci

    Siku zijazo tunataka kuwaona makomandoo wa like kwenye maonesho was askari wachache wachache wasiwe wanaume tuu! Maonesho ya majukumuya askari was nchi kavu sijayaona zaidiya makomandoo

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před 4 měsíci +4

    Hunger. Nadhani tujikite sana kujiundia vya kwetu. Kwakua history wazungu wamefanya vita kua biashara. Nasi tunatakiwa kuingia kwenye biashara hiyo

    • @faumahona5769
      @faumahona5769 Před 4 měsíci

      Unaota ukiwa umelala sasa ww unataka watengeze kipi kingine kwa mfano?

  • @arnoldrwegoshora449
    @arnoldrwegoshora449 Před 4 měsíci

    Si Rwanda ituchokozee asee....au tuombe vita ya kirafiki

  • @chegekchegtonmusic6796
    @chegekchegtonmusic6796 Před 4 měsíci

    Chocha pekee , you can't be serious 😅

  • @IzackMakungu-ey9jx
    @IzackMakungu-ey9jx Před 4 měsíci

    😂❤❤ safi sanaaaa serikali ya awamuya sita

  • @safarirockerz2781
    @safarirockerz2781 Před 4 měsíci

    Mapambano... Mpambane na naniii????

  • @amerwelder7786
    @amerwelder7786 Před 4 měsíci

    Hawa majeshi hawaponkwa ajili y vita baki wapo kwa ajili ya wananchi tu kuwapiga

  • @user-hw4gi9lc1e
    @user-hw4gi9lc1e Před 4 měsíci

    Upuzi hii Kenya tuko mbele

  • @vayeen
    @vayeen Před 4 měsíci

    Old soviet weapons

  • @michaelmchome6067
    @michaelmchome6067 Před 4 měsíci

    😅😅😅😅milad achaizo bn haya ndo yakutisha au makongoros spare part.

  • @user-yn1fs1zo8h
    @user-yn1fs1zo8h Před 4 měsíci

    Ok

  • @stevenmarunda4353
    @stevenmarunda4353 Před 4 měsíci

    Haya bado naona nimatumizi mabovu Rais ndiye amiri jeshi anayajuahya yote hizi mbwebwe zanini

  • @saidrashid5972
    @saidrashid5972 Před 4 měsíci

    Hii ni ishara ya kua watu wasichezee Muungano.

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 Před 4 měsíci

    ushamba mtupu

  • @JosephMshanga-bj9dq
    @JosephMshanga-bj9dq Před 4 měsíci

    Y

  • @davidmigoha1706
    @davidmigoha1706 Před 4 měsíci

    Sasa millard aya tanatisha nini mbona kawaida shehe

  • @user-ng6ep3hi4c
    @user-ng6ep3hi4c Před 4 měsíci

    Eti manwali ya kijeshi iyo si boti ya kuvulia dagaa😂😂

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 Před 4 měsíci

    Msiombe vita sikuhizi vita digitali haihitaji nguvu

  • @0689TAGT
    @0689TAGT Před 4 měsíci

    Duh yaan sisi tunaongoza kwa kutoa siri zetu mambo kama haya si ya kuonyesha hadharani mambo ya siraha yalitakiwa yawe siri

    • @cloudngoko.2679
      @cloudngoko.2679 Před 4 měsíci +2

      Siraha hizo zinaeleweka kila jeshi linazo ila siraha asimu haziwezi kuonyeshwa hadharani. # Lazimika kunielewa tuu

  • @user-bu9fb2lr6k
    @user-bu9fb2lr6k Před 3 měsíci

    Hamunarorotetu wanapoteza muda wao

  • @EliaxSospeter
    @EliaxSospeter Před 4 měsíci

    Tanzania tuxonge mbele daima 0:43

  • @stevejeremiah4497
    @stevejeremiah4497 Před 4 měsíci

    😁😁😁☝️☝️yani hapo Kagame anaangalia kisha anacheka kimoyomoyo.
    Anatamani aombe show ya kirafiki awanyoshe

    • @Soon815
      @Soon815 Před 4 měsíci

      Wewe unaongea ongea tu! Rwanda hamna kitu.

    • @Soon815
      @Soon815 Před 4 měsíci

      Silaha zake anapitisha hapo Dar port! Tunamjua inside out

  • @vero57
    @vero57 Před 4 měsíci

    Sasa munaonyesha mulivyo kua navyoo, adui anaona ivyoo, !!!

  • @user-oh2lq5vs1x
    @user-oh2lq5vs1x Před 4 měsíci

    Jeshi nivitani maonyesho hata Israelileo inapumzi ya moto

  • @OfficialKilinda
    @OfficialKilinda Před 4 měsíci

    Leo ndo nimegungua kazi za izo barabara uwanjani

  • @ignatusrogerslema8650
    @ignatusrogerslema8650 Před 4 měsíci

    Kagame anacheka hapo maana wanamuonyesha ujinga ujinga tuu

  • @TomaaMireni
    @TomaaMireni Před 4 měsíci

    Magari ya enzi za ww1

  • @ShekiyaoHussein-ki4ty
    @ShekiyaoHussein-ki4ty Před 4 měsíci

    Maonyesho tuu hayo ingieni mzigoni

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi Před 4 měsíci +1

    Mbona mazuri kuliko ya bara huku au nimesahau😂😂😂

    • @felixmwasongwe8043
      @felixmwasongwe8043 Před 4 měsíci +1

      Hayo yote ni ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kuna kitu hukijui nahisi

    • @KiongoziMwandamizi
      @KiongoziMwandamizi Před 4 měsíci +1

      @@felixmwasongwe8043 Itakua kuna vitu vimenipita

    • @user-cz7gk8ug1y
      @user-cz7gk8ug1y Před 4 měsíci +1

      😂😂😂mwambie akuna jeshi la bara wala zanzibar kuna jwtz

  • @Fokker89
    @Fokker89 Před 4 měsíci

    😂😂

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Před 4 měsíci +1

    Muheshimiwa rais anayetajwa hapo ni rais wa Zanzibar na si mwingine
    Hii itoshe kusema watanganyika tuamke,nadhani mnanielewa

  • @ayk20
    @ayk20 Před 4 měsíci

    Daah bado tupo kizani sana

  • @Thobiaslucaskipara
    @Thobiaslucaskipara Před 4 měsíci

    Mhhh

  • @evahazole6320
    @evahazole6320 Před 4 měsíci

    Gari ya military police sijaielewa mbona kama niRav4

  • @baltazaryjoseph5893
    @baltazaryjoseph5893 Před 4 měsíci

    Ai ila hii nchi shkamoo miaka yote hyo ndio hizo toy mmenunua😬😬😬😬😬

    • @abuuaisha3582
      @abuuaisha3582 Před 4 měsíci

      jichanganye ndio utajua kama toy au sio

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 4 měsíci +1

    Rip jpm

  • @hallin9561
    @hallin9561 Před 4 měsíci

    ili taifa kwa kutukuta upuuzi atujambo

  • @AffectionateCheckeredFla-kg1kx

    Duuuh yupo nyuma sana Siri kama hizo hazitakiw kujulikana kw raia

    • @noahmdeka5783
      @noahmdeka5783 Před 4 měsíci

      We ndio upo nyuma dunia nzima huonesha siraha zao

    • @JuliusHatari
      @JuliusHatari Před 13 dny

      Wewe naona unajua kuliko jeshi

  • @user-pz9by1ml2x
    @user-pz9by1ml2x Před 4 měsíci

    Hahahah dah Tanzania

  • @user-or2wp7ss6j
    @user-or2wp7ss6j Před 4 měsíci

    Nguoo za chama zanini

  • @meshack3266
    @meshack3266 Před 4 měsíci

    Ko ndo yanatisha ayo au mwandish nawe

  • @fatimaussene1010
    @fatimaussene1010 Před 4 měsíci

    Wako tayari kwa mapambano gani mbwembwe nyingi amna lolote hapo 😂😂😂😂

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Před 4 měsíci

      Mwana Sheria Wako Anajua Ulicho Comment Uku 😂😂😂

    • @fatimaussene1010
      @fatimaussene1010 Před 4 měsíci

      @@sanoureyaliwadoakaroyo1696 tunaongea vitu vya uhalisia we komando ana tembea miguu anairusha kwa madoido kabisa alafu ana kigesi kiunoni kkkkk wakati mwenye mzigo mkubwa yuko fiti haya ni maonesho kama maonesho mengine kkkkk

  • @frankmnyaga9699
    @frankmnyaga9699 Před 4 měsíci

    Mali za tanganyika

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Před 4 měsíci

    Jeshi letu badosana ubunifu badosana nasema bado😮😮

  • @user-jo1zp7fj7r
    @user-jo1zp7fj7r Před 4 měsíci +1

    Kumbe hamas tunaweza kuwakabili

  • @davidmsele9908
    @davidmsele9908 Před 4 měsíci

    😅😅😅bado Vifaa atuna Tanzania

    • @mbaroukally8655
      @mbaroukally8655 Před 4 měsíci

      Ni nchi gan inayoonesha vifaa vyake vyote hadharani

    • @hadijamatimbwa-xf8el
      @hadijamatimbwa-xf8el Před 4 měsíci +1

      Kipe thaman kitu chako

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Před 4 měsíci

      ​@@hadijamatimbwa-xf8elkitu chako¿ Kwani tumeunda sisi hivyo? Inatupasa tusifie tulivo unda, kama ndugu zetu china, wametuacha Mbali sana, shida siasa za Africa ni mbovu taka hasara

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 Před 4 měsíci

    Vifaa vya jeshi vya miaka ya 1942 enzi ya mkoooni wakati technology zimeshabadilika saiv watu wanatumia mizinga uko na vifaa vya kisasa sisi tunashangilia vya miaka ya 42 uko

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 Před 4 měsíci

      Unauhakika unachokizungumza sio kinachooneshwa hapo ndo halisia sio wapuuzi kuonesha siraha zote

    • @mwamwajaonline1881
      @mwamwajaonline1881 Před 4 měsíci

      Wanatumia mizinga gani?? 😂😂 na vifaa vipi vya Kisasa

    • @elbaricktv1632
      @elbaricktv1632 Před 4 měsíci

      @@philemonmagesa5548 hakuna kitu apo ivyo ndo angalau vya kisasa hivyo vilivyofichwa ndo vya enz ya mjeluman😂😂

    • @elbaricktv1632
      @elbaricktv1632 Před 4 měsíci

      @@mwamwajaonline1881 😂😂 missiles lunchers sisi hatuna hata moja

  • @sbboymkaliofficial9108
    @sbboymkaliofficial9108 Před 4 měsíci

    APO sijaona siraha inzito acheni kutudanganya 😂😂

  • @valentinernestkavishe7297
    @valentinernestkavishe7297 Před 4 měsíci

    Waende gaza sasa😂😂😂😂

    • @idrissaissa5607
      @idrissaissa5607 Před 4 měsíci

      Hawa pawezi Gaza pamoto kule😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před 4 měsíci +1

    Ao wanajeshi ili mm binafsi niwajue wanaweza kupambana lazima wafanye majiaribio ya vita na nchii jirani ndo nitaona ubora wao sio kufanya show kama za kina Zuchu