RUBANI MDOGO MTANZANIA ANAYERUSHA NDEGE AFUNGUKA CHANGAMOTO ALIZOKUTANA NAZO AFRIKA KUSINI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 02. 2022
  • RUBANI MDOGO MTANZANIA ANAYERUSHA NDEGE ZA KIVITA AFUNGUKA CHANGAMOTO ALIZOKUTANA NAZO AFRIKA KUSINI
    Hivi karibuni tulikuletea simulizi ya Ndege ya kivita ya Ukraine, MiG-29 Fulcrum inayoongozwa na rubani aliyebatizwa jina la The Ghost of Kyiv (Mzimu wa Kyiv) ambayo ilikuwa gumzo.
    Ndege hiyi ilipata umaarufu mkubwa kutokana na oparesheni za kijeshi inazozifanya katika Jiji la Kyiv ambapo ilisemekana kuziangusha ndege sita za kivita za Urusi.
    Inaelezwa kwamba ndege sita za Urusi zilitunguliwa Februari 24, 2022 muda mfupi baada ya Urusi kuanza mashambulizi ya anga dhidi ya serikali ya Ukraine na kuanzia hapo, The Ghost of Kyiv amepata umaarufu mkubwa na kuungwa mkono na wananchi wengi wa Ukraine.
    Tukiachana na stori hiyo, turudi hapa Bongo na tukutane na simulizi nyingine ya binti Mtanzania mwenye umri mdogo ambaye anaweza kuendesha helkopa inayoweza kutumika kwenye vita.
    Huyu si mwingine bali ni luteni Usu Hasnat Akbar.
    Ni binti ambaye hivi karibuni alitunukiwa tuzo ya kuhitimu masomo yake ya urubani Afrika Kusini.
    Amesimulia changamoto alizokutana nazo pamoja na mambo mengine mengi. Karibu umsikilize….
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 42

  • @dorcasseruhere6875
    @dorcasseruhere6875 Před 2 lety +4

    Hongera sana na Mwenyezi Mungu akuongezee kujiamini na kazi iendelee.nakupa Big up.watunze wazazi wako

  • @irenembisso1601
    @irenembisso1601 Před 2 lety +2

    Hongera Sana Asnat akbar

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 Před 2 lety +3

    Mashallah ALLAH barik

  • @bartondidas849
    @bartondidas849 Před rokem +1

    hongera sana dear Mungu azidi kukubariki na kukuongoza

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel1078 Před 2 lety +2

    Hongera sana binti yetu we real proud about you

  • @joackimpeter6501
    @joackimpeter6501 Před 2 lety +1

    Ongera sana dada kazana utuwakilishe watanzania big up

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Před rokem +1

    hongera mtt mzuri Mungu akusimamie lnshallha

  • @SaidMkwabi-ho8yy
    @SaidMkwabi-ho8yy Před měsícem

    Hongerasana kwakweli mungu akusaidie najua utapitia mitihani mingi

  • @RonnieMchatta-pr5bd
    @RonnieMchatta-pr5bd Před 2 měsíci +1

    Hongera sana dada keep it up

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety

    Mashallah, hongera sana mdogo wangu, 😘❤️

  • @mkanamc8341
    @mkanamc8341 Před 2 lety +2

    👏👏👏👏Never give up

  • @yusufkisome639
    @yusufkisome639 Před 2 lety +2

    Hongera Sana binti yetu

  • @vintz338
    @vintz338 Před 2 lety +7

    Huna connection undeshe ndege ya Nan? Endesha ungo wako msumbuane huko mtaani. Kunawatoto huku mtaani ni talented had unaumia ,hawana exposure tu,Ila fresh ...watu wa kawaida huku mtaani ndo wanaolewa

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 Před 2 lety

    Hongera kwake

  • @yusuphkassimu227
    @yusuphkassimu227 Před 2 lety +8

    Ni jambo la kawaida sana kwani urubani hata kijana wa kdato cha nne anasoma tatizo ni kwamba unapataje nafasi kama auna mtu kwenye mfumo .

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 Před 2 lety +2

      Mpe hongera mbona kama unalalamika kwa wivu

    • @magrethmollel1078
      @magrethmollel1078 Před 2 lety +1

      Kama ni jambo la kawaida mabinti wooooote wangekuwa huko pamoja na wewe mpe mtoto wa mwenzio hongera na wakwako atafanikiwa

    • @yusuphkassimu227
      @yusuphkassimu227 Před 2 lety +2

      @@magrethmollel1078 Hyo fani tatizo garama za malipo tu ni makubwa lakini akuna cha ajabu kwenye urubani jaribu kufatilia uone tatizo wandishi wa bongo wamechukulia kama kitu cha ajabu sana ndio nacho Pinga .

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 Před měsícem

      ​@@yusuphkassimu227urubani una vitu vingi, masuala ya kusema hakuna cha ajab ni kelele za tembo, otherwise kila mtu nchi hii angekuwa rubani

  • @alfamweta9922
    @alfamweta9922 Před měsícem

    Salut dada

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 2 lety

    Hongera sana

  • @saddamrashidmohmmedsaddamr7378

    Nice

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 Před 2 lety

    Hongera dada

  • @prefectalex9397
    @prefectalex9397 Před rokem +1

    ONGERA SANA...........ADAA HAPO SH GAPI

  • @RonnieMchatta-pr5bd
    @RonnieMchatta-pr5bd Před 2 měsíci

    Very good

  • @user-fx2gx6fo1e
    @user-fx2gx6fo1e Před měsícem

    Daaah tulikua wote pale TMA monduli

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 Před 2 lety +1

    wabongo bhana sasa huyu helkopta yule wa uganda anayesukuma ndege kubwa mbona awajisifii hivi dah😂😂😂😂😃😃😃😃

    • @Thomas-lm1dq
      @Thomas-lm1dq Před měsícem

      Hivi unajua license ya ATPL na CPL au unaropoka tu.
      Huyo anaweza kurusha ndege kubw kabisa ya abiria.
      Fuatilia hizo kozi za leseni za urubani alizosema zina kuwezesha kurusha ndege gani. Siyo helicopter (hovercraft) pekee.

  • @Fans_gavana
    @Fans_gavana Před 2 lety +1

    Bongo bwana

  • @justinemico1871
    @justinemico1871 Před 2 lety +2

    Hii nchi bwana kama huna watu wewe wahi shamba lako tu huko kijijini. Watu hata salute tu hamna kitu .

  • @user-pt3io6ud2h
    @user-pt3io6ud2h Před měsícem

    Sasa siamna vita..

  • @muhammadjuma8457
    @muhammadjuma8457 Před měsícem

    Gost sio mtu icho ni kikosi maalum cha jeshi huku ukreni kinaitwa ivo na sio mtu

  • @mdosephayta8075
    @mdosephayta8075 Před měsícem

    😂😂😂ebwana eeeh atakayesema bongo bahati mbaya mpige makofi

    • @malitomalito
      @malitomalito Před měsícem

      Bongo sio Bahati mbaya viongozi ndio Bahati mbaya

  • @mongosimon2065
    @mongosimon2065 Před 2 měsíci

    Vp

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 Před 2 lety

    Nani kamwona yule dada corporal,nimemfurahia anavyo'match'

    • @user-ui1qs9yl1n
      @user-ui1qs9yl1n Před měsícem

      Nimemuona mzee na anabeba mzigo nyuma kinomanoma

  • @samlove6339
    @samlove6339 Před 2 lety

    Kabinti kazuri