SHEIKH MTOTO AMPINGA DR SULLE KUHUSU MAJINI - ATOA TAMKO ZITO KUHUSU MAFURIKO YANAYOENDELEA - AELEZA
Vložit
- čas přidán 6. 05. 2024
- SHEIKH MTOTO AMPINGA DR SULLE KUHUSU MAJINI - ATOA TAMKO ZITO KUHUSU MAFURIKO YANAYOENDELEA - AELEZA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
ALLAH akupe umri mrefu mwanangu kipenz.Akuepushe na hasadi za kila aina.
Kuna wanawake allah amewabariki matumbo yao wanazaa watoto wazuri namna hii mashaallah kwakweli nami namuomba allah abarik tumbo uzao wangu kama hivi hongera kwawazaz wake 👏
Ammiiiiin yarabi
Amiina
Ulio wazaa wewe ni mapira?
Amin you av make the btful dua ever my sister ... May Allah bariq pamoja na mie
Amiiin
YAA ALLAH nijaalie kizazi changu au hata wajukuu zangu wafuate nyayo za Ramadhani au hata zaidi yake.Hakika wewe hujibu duwaa za waumini Aamiyn Yaa Rabby
MashaAllah M'mungu amlinde huyu sheikh mtoto na maadui wa kilimwengu. M'mungu ampe Elimu zaidi inshaAllah .
Namuoza binthi angu mwanaid aki maliza shule amfate kenya mashallah kijana yupo vizuri.
MashaAllah MashaAllah Allah amkuze vyema amuepushe na hasad huyu mtt mzuri wallah ni mtt ila ni MashaAllah maongez yake japo mengine ni kama mtt ila wallah anabusara wazaz wake wamepata mtt MashaAllah Tabarrakallah❤❤❤❤
Masha'allah Tabarakallah Mwenyeez Mungu amzidishie umri mrefu wenye afya na furaha na amuondoshee husda za binaadam na majini. Insha'Allah.
Mashaallah Mashaallah ☝️Allah azidi kukuongoza kukuwezesha 🤲🤲🤲 bi idhnillah in shaa Allah ❤❤❤
MashaAllah huyu mtoto ana hikma, Allah amzidishie na amjalie umri mrefu
Yarabi nakuomba na mm nipate mtt mwenye kukujuwa ya rabi❤❤
Ma sha allah
Sheikh ramadhani Allah akujaalie umri mrefu wenye taqwa na baraka ndani yake
Allah awabariki na awahifadhi wazazi wako
maa shaa Allaah tabaarak Allaah
Allaah akujaaliye ilmu yenye manufaa duniani na kesho Aakhera
Allaah akuhepushe na riyaa
nakupenda mwanangu kwa ajili ya Allaah
Allaah azidi kukuhifadhi kipenzi
Amiiin yarab
Mashallah ALLAH akuepushe na vishauwishi pamoja na vijicho venye husda na akujalie maisha marefu ynye busara
Allahuma aamin 🤲
Allah atulinde na hasad za viumbee n Allah akupe umr umrefu na elumu yakher y Dunia nakhera pia, Ammin
MASHAA ALLAH !.. ALLAH ! AZIDI KUKU HIFADHWI . 🙏🙏😭♥️♥️♥️♥️
Jaman mwanangu Ramadhan Habib kienzi chetu Allah akuhifadhi yarab Allah akuongoze na ww utuongoze
MashaAllah Sheikh Ramadhan... Mwenyezi Mungu akulinde na Akuzidishie In sha Allah Taallah 🤲🤲🤲
Mtoto mdogo anabusara zaidi ya mashekh wetu wazee
MTOTO UMBO TU HUYU LAKINI ANAKITU KIKUBWA NDANI KINACHOONGEA KUPITIA UMBO LAKE LA UTOTO.
INGIA NDANI SANA UTAELEWA TU.
Allah hampi kila mtu hivi vipawa na busara kama hizi ndio maana hata mitume na manabii walikuja kwa uchache hili kuonyesha utukufu wake.
Waamanisha kilicho ndani ni Q72@@mashramadhani1989
MaahaAllaah
MashaaAllah kwakweli hivi wazazi wake wanajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo,Allah akujaalie mwanangu umri mrefu uzidi kuwa mfano kwa wenzako🤲🏼🤲🏼
Kabisa ,mambo ya urefu Allah ndio anajua❤❤❤
Interview ilikuwa sawa mpaka ulivyomtaja huyo hayawani lakini alhamdulillah sheikh amelika hilo suala wazi mwenye akili yatamfaa....Allah amuhifadhi sheikh Ramadhani aweze kusoma dini kupata ilmu zaidi na kuelimisha umma...Aamiin.
Insha allah mungu akuzidishie elim
Na hekima busara na akupe umri
Mlefu uzidi kutufikishia daawa amina
MashAllah tabarakallah,Allah ampe umbri mrefu zaidi huyu sheikh' wenye barka tele..na pia ampe elmu zaidi aweze kutuelimisha sisi wanadamu .wallahy ni furaha sana kujaaliwa kupata mtoto mwenye barka na Tena mwenye kipaji kizuri maisha Cha kuwa mwalimu wa dini au sheikh..! Allah amlinde kijana huyu mdogo Kwa kila Shari,amiin ya Rabb 🤲🤲..
Mashaalah,hekima nyingi na busara,na kumtanguliza mungu zaidi ,na kumpa mungu nafasi yani taqwa,sio jambo dogo,wapo waliokufuru miongoni mwa masheikh wakubwa kwa kuamini nyota na pete za Kijini, hakika wamekufuru,Allha amjalie mtoto huyu ktk kujulisha watu ktk utukufu wa Mungu zaidi.
Wallahy najiskiia rahaaaaaaaaaaaaaaa.MashaALLAH.moyo wangu unasuuzika wallahy.Mwenyezmungu akueke umri twawil na uzidi kusimama kwenye njia hii sahihi . Yaa rabby waongoze pia watoto wetu majumbani mwetu wawe kwenye njia sahihi ya. dini na uwaepushe na mitihani mizito .
Nakupenda Sana mwanangu mungu akulinde nakilabaya duniani munguakuweke duniani miaka 200
tuseme barakallahu fiyk mashallah ni kwa ajili ya neema uliopewa bnafc aliopewa mwenzio muombee Allah ambariki
Allah amuajalie huyu mtoto kheirat zaidi.mashallah
Wallahi hy mtt hana baya mungu ani jalie namimi nipate watt kamahy inshaallah🌹🥀🙏🙏🙏
Mashahalla mwenyezi mungu akujarie maisha marefu na mwisho mwema
Bismillah mashallah tabaraqa RAHMAN ALLAH ATUJAALIE tuwe wenye kufaulu amin
Allah akuhefadhi sheikh Ramadhan .. akuepushe na hasad mdogo wangu
Mungu nijalie nipate mtoto kama uyu daaaah yuko vizur kuliko hata watu wazima ana hikima na busara yan uyu kashushwa siyo kwa hekima hiz alizonazo
Amin ila na ww zidisha ibada ujipendekeze kwa Allah
AMEEN
Mtoto anaeamini majini et wapo wanaohabudu Mungu
Amin
@@furahaabonga6642 wewe elimu huna utajuwa nini unadhani
MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah Allah amuhifadhi pmoja wazazi wake pmoja mashekh zake❤❤❤ Allah akuhifadhi sheikh wg Ramadhani
Jaman LIKE kubwa ❤❤❤❤❤
Tu like
❤❤❤ mashaallah hongera yarabi nijalie kizazi chema chenye kheri na mm🙏🙏🙏
Mwenyezimungu akujalirie maisha malefu apa duniani
Allah akuhifadhi na majitu yenye hasadi na akujaalie uwe sheikh mkubwa wa kuongoza watu wamjue Mungu wao ameen.
AMEEN AMEEN
@@aminasalum-yh4fh 🤲
Allahumma amiin
MashaAllah MashaAllah, Allah Akukuze na akuzidishiye ilmu
Mashallaah ❤️ mungu akupe umri mrefu inshallaah 🙏
AMEEN
MashaAllah TabarakaRahman. Allah akulinde na akuonhoze ktk taqwa daima🤲
Masha Allah sheikh ramadhan
Masha'Allah. Sheikhuna Ramadan. Allah akupe Umri mrefu na afya njema.🙏🙏❤️❤️❤️
Allah azidi kukuongoza sheikh ramadhan na akulinde na hasad na jamii islam inshaallah
mashaAllah tabaraqa raahman Allah akuzaidishie umri mrefu ili tupate mafunzo ya daawa
MashaAllah allah akulinde shekh Ramadhan
mashallaha Allah akulinde na husda
Mashallah allah akubarik
Huyu kijana wallahi namkubali Allah amemrudhuku elimu ya dini
Maa Shaa Allah..
وزادك الله علماً بالبركة والنفع
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤MashaAllah Allah akukuze na akuzidishie Afya na baraka na elimu ya juu kabisa Amin
Mashallah huyu ni sheikh wetu wa baadae
Daaa dogo nimemkubari ingawa mm mkristo utafika mbali
Karibu sana kaka ktk dini ya Uislam
Allah Akuongoe Kabla Ya Mauti Yako
@@sein.208kupenda kitu simpaka uwe mwisilamu mimi na fatilia sana makongangamano lakini bado siwezi kuhama dini nitakufa na msaraba wangu mungu ni yule yule
Allah akuongoze njia ya haki
Ndio miujiza ktk uislaam ndugu yangu mtoto mdogo anapewa elimu kubwa au mtoto WA miaka 10 au 12 kuhifadhi kitabu kizima Cha Qur-an juzuu 30,Mungu amefanya haya iwe miujiza kwa watu watambue njia yake hauwezi kushuka malaika WA mtume kwa ss ila ameieka miujiza midogo midogo kuwaonesha watu.
mashaallah Allah akujaalie umri mrefu na akuzidishie elmu na akulinde na akukinge na kila shari Allah aongoze vizazi viwe kma Ramadhan Inshaallah
Maasha ana hekima wallahi MUNGU amzidishie
Mungu wa mbinguni akupokee kwa mikono miwili
Mashallaaa
Allah amemjaalia kipaji,vizuri wazazi wake wamtafutie sheikh wa kisunna akasome kwake
HAPO UMENENA VEMA NDUGU. USALAMA WA DUNIANI NA AKHERA KUSHIKAMANA NA QUR,AN & SUNNAH. HUKO WENGINE MASUFI WATAMUHARIBU
hakuna wa kisuna Wala masufi wote TU sasa hivi wamekuwa wajanja wajanja
Allah aendelee kukuongoza na kukusimamia shekhe inshallah
Mashaallah! Mwnyz Mungu azidi kukukuza ktk maadili hayox² mjukuu wangu nakuombea
Masha Allah Tabaraka Allah. Allah akuzidishie ilmu yako In shaa Allah
Allha akuongez katk kila la hri na akuepushie shari amini ❤❤
Masha ALLAH...... ALLAH amzidishie Insha ALLAH.
Mwenyeenzimungu amjalie kijana
Huyu kijana ni Bora kuliko Mimi yaa Allah tuongowe na sisi tuwe waja wako wema na tuhifadhi inShaallah , nakupenda Sana Sheikhe Ramadhani
Ameen
Amiin amiin ya Rabialamin
Ameen
ماشاء الله تبارك الرحمن ❤
MaashaAllah. Allah azidi kukuongoza
Masha Allah, Allah amuhifadhi na kila hasidi na ampe istigma ktk dini
Allah amhifadhi kijana wetu na amjalie daawa yenye manufaa mbele ya Allah.
Allah akuzidishie elimu sheikh, amiin ya Rabb
Allah amuongoze katika safari yake ya dunia na akhera shekh Ramadhan 🤲🤲🤲
Mwenyezi Mungu akulinde sana katika dunia iliyo halibika
MashaAllahu tabarkaallahu
Endeleya shekh wangu❤❤
Mashaallah shekhe Ramadhani Allah akuhifadhi ln sha Allah
Mashallah sheikh amekuwa sasa mwenyezi mungu ampee umri mrefu
MaashaaAllah! Allah amhifadhi.
Masha Allah mungu ampe umri zaidi
Mashallah sheikh Ramadhan ❤
Masha'Allah
MashaAlla Allah akuhifadhi
Ma sha allah
Sheikh ramadhani Allah
Akubariki na akuhifadhi
MaashaaAllah tabarakaAllah ❤❤ Allah akuhifadhi❤❤🎉
MashaAllah 😘 Allah akuzidishie
Mashaallah mashaallah
Nampenda sana uyu🇧🇮
Masha Allah good
I love you so much my young brother❤❤❤ well come in Zanzibar at Jambiani
MashaAllah ❤❤
Maashallah❤
Mashaa, Allah, Allah amuhifadhi, Ameen thumma Ameen
Mashaalah
Mashallah
Jazaka llahu lkhair
Mungu akusimamie zaidi
❤❤ mashaallah tabarakallah
ALLAH AKUZDSHIE MDG WNG AKUONGOZE ZAID KTK KHER
Maashaallah
MASHAA. ALLAH kuhusu majini kajibu vizuri sana haifai kushirikiana na majini kwa lolote hata km ni majini mema
Mmh mbon nambi sulaiman aliwamiliki na akafanya nao kz akawatuma we nae
@@nikrahayubu-sz3pwndio maana ukamuita nabii Allah amewapa kipaji flani kueza kuwamiliki lakini sisi binadamu wa kawaida nafsi zetu dhaifu sana hatuezi kuwamiliki labda watudhuru au uwadhuru wenzio kupitia wao. Basi ndio tukaambiwa tusishirikiane nao kwa lolote
@@nikrahayubu-sz3pwndio maana ukamuita nabii Allah amewapa kipaji flani kueza kuwamiliki lakini sisi binadamu wa kawaida nafsi zetu dhaifu sana hatuezi kuwamiliki labda watudhuru au uwadhuru wenzio kupitia wao. Basi ndio tukaambiwa tusishirikiane nao kwa lolote