Alhamdulillah kweli yakhe bachu, Allah pekee yake anatosha kutegemewa, na pia mashallah kisa kizuri sana & chenye mazingatio ya huyo mchamungu inatupasa tujifunze kupitia hiki qisa.
Peace be upon you. Sheikh Muhamad Bachu may Allah bless you along with all the present and previous Muslims in the hereafter, including your elder. Amen السلام عليكم ورحمة الله وبركاته، الشيخ محمد، بارك الله فيك على كل ما تفعله، وبارك أيضاً على جميع المسلمين الحاضرين والسابقين، بما فيهم شيخك، آمين.
Ma Shaa Allah Tunazidi kujifunza katika miongozo anayoihitaji Mwenyezi MUNGU. na kwahakika ukweli huwa mchungu. Mwenyezi MUNGU azidi kawajaalia kheri wote mnaotufundisha katika kheri.
Mashaallah akhi Allah akujaze kheir kwa dhana nzuri naona umesahau kufinika kichwa naswaha yangu ikiwa hukusaha basi bora usiwache kufinika kichwa Ulamaa wamesistiza sana mtume s.a.w hajawahi kuswalisha kichwa wazi mbali na hajj na Umrah
HUYU SULE ANAONEKANA AMEPATA ELIMU NDOGO UKUBWANI NDIO MAANA ANAKUWA LIMBUKENI WA MAJINI NA MAISHA. PERCEPTION YAKE YA MAJINI(MASHETANI) HATOFAUTIANI NA SELEMANI RUSHDIE. AYA ZA QUR'AANI ANAPOTOSHA KUZITAFSIRI KWA CONCERN YAKE MAJINI...
Kwa kweli kwa huyu kijana Allaahu anamtumia kuilinda dini yake dhidi ya washirikina,wachawi,Na Makafiri waliojificha kwenye Uislamu!! Na kwa kisa hiki na ushahidi huu sidhani kama yupo mwenye akili na anayemtaka Allaahu atawaamini washirikina na wachawi wakiongozwa na yule mjinga anayeitwa Sule, na sasa wenye akili wanatakiwa kumuunga mkono Sheikh Bachu tu.
Swali la ufahamu, Sheikh uposema kuwa kuwatumia majini uleta madhara: Hapa unazungumzia majini yapi, Walio silumu au wasio silimu? a) Maana kwa mujibu wa Uislam na Qurani .. waislam wote ni Ndugu. Je! Mtu kupata msahada kwa Ndugu yake ni Dhambi???
Sasa sheikh unazuia kusomwa hicho kitabu mbn we kisa hicho umekitoa humo kwenye hicho kitabu kwa ajili ya kuuelimisha jamii hebu kitaje jina tusikie na kimeandikwa na nani..
Kwani sulle si amesema kweli kwani si wapo majini waislamu na waislamu wote ni ndugu kwaio tukisema nyie mnashilikiana na majini tutakuwa tunadanganya si ni kweli
Hebu muacheni huyo shetani Sule na hao wapumbavu wenzake. Hao ni makafiri tu wasiwape tabu. Hao na majambazi wamepata njia nyengine tu ya kutapeli watu. Hawana mungu hao....Matumbo na matamanio yao ndio yamewaponza. Ukiwaangalia hawana chembe ya uislamu hao.
MAWAHABI CHECHEIIII..........!! HII ELIMU YA MAJINI NI TAWI KTK ELIMU YA FALAQ NA NYINYI MAWAHABI HAMJUI ELIMU YA FALAQ KWAHIYO WAACHIENI WENYE ELIMU YA MAJINI WAITUMIEEEEEE TATIZO LENU MAWAHABI MNACHOKIJUA NYINYI MNALAZIMISHA KILA MTU AKIFATE HICHO HICHO.
Shukran kwa ukumbusho sheikh Allah akupe umri mrefu uzidi kututoa kwenye ujinga
najifunza kupitia wewe sheikh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah❤
Alhamdulillah kweli yakhe bachu, Allah pekee yake anatosha kutegemewa, na pia mashallah kisa kizuri sana & chenye mazingatio ya huyo mchamungu inatupasa tujifunze kupitia hiki qisa.
Allahu Akbar nimekuelewa sana shekh, Allah Awaongoze Washilikina wote. Atunusuru pia.
Allah akulipe kher mwalimu wetu unatupa maarumat mazuri san na kuonyesha mchamung ananguv kuliko jini,omari ibun al hatwabi majin walikuwa wanamkimbia
Uki sahihi bachu mwanangu Allah akuifadhi naakukinge n'a Kila lashari n'a akupe mwisho mwema duniani n'a akhera kama mzee wako Allah amrehem
Shukran
Peace be upon you. Sheikh Muhamad Bachu may Allah bless you along with all the present and previous Muslims in the hereafter, including your elder. Amen
السلام عليكم ورحمة الله وبركاته، الشيخ محمد، بارك الله فيك على كل ما تفعله، وبارك أيضاً على جميع المسلمين الحاضرين والسابقين، بما فيهم شيخك، آمين.
Shaikh Muhammad bachu namkubali sana MashaAllah
Allah akujaalie afya njema sheikh bachu
Maashaallah mungu akupe umri mrefu Sheikh Muhammad .
Sis wanafunzi wa Sunna tunastafid San na da'awa zako za kila siku Mungu akihifadhi🤲🤲🤝❤️
جزاك الله خيرا و احسن الجزء في أمان الله Allah akuhifadhi hii ndio haki
Hivi kweli hatuelewi ,vinavyo someshwa au hatumpendi bachu
Mimi ni mkristo lakini huyu ustadhi nimemuelewa sana
Maashaallah mashaallah mashaallah ❤❤❤❤❤ barakalllah fiika. Allah akulipe kheri.
Ustadh Muhammad Bachu.. Suala la majini liko wazi.. Haina haja ya kuongea snaa.. Mambo na majini HAIFAII. hapo tuko pamoja
Au tumuombe allah tu amtoe kizuizini kwa rehma zake na huku tubaki na pirika zetu za maisha
Ma Shaa Allah
Tunazidi kujifunza katika miongozo anayoihitaji Mwenyezi MUNGU. na kwahakika ukweli huwa mchungu.
Mwenyezi MUNGU azidi kawajaalia kheri wote mnaotufundisha katika kheri.
Bachu Allah akuhifadhi
Mashaallah akhi Allah akujaze kheir kwa dhana nzuri naona umesahau kufinika kichwa naswaha yangu ikiwa hukusaha basi bora usiwache kufinika kichwa Ulamaa wamesistiza sana mtume s.a.w hajawahi kuswalisha kichwa wazi mbali na hajj na Umrah
May Allah reward you abundantly, kutuelimisha kwa khatar yakutumia majini kwasababu yeyote
wallah mitiani tunatafuta moto kwanguvu. turudini nyuma tumuabuduni Allah bas
Mashallah bachu kwa kutuilimishaa mungu atakulipaa ilimu kwako iko punguzaa presha tu ndio tutafaidikaa
Bachu ni mwanafunzi akisoma vizuri atakuja elewa
Ebtehak al ahkee shukran jazeelan
tunamkubali Sana shekh Allah amlinde na Kila shari
Jazakallah kheyr
shukran sheikh Allah akujaze. majini ni haram kutumia waache kupotosha wajawaallah
subhannallah wallah mitiani watu waache kumchezea Allah haifai kabisaaaa kutuia majini haifai wallah waachekupotisha watu
buchu kwa hapa yupo vizuri sna sule unajivunjia heshima ktk dini
Barakh Allah Kher
MashaAllah ✅
Mashallah tunaelewa wenye kutaka kuelewa
Allah ti abençoe irmao ❤❤❤
Kwa hiyo shekh anafundisha majini wote ni mashetani au
Tunajivunia kua namwalim kamabachu
Ahsante
Mashaalha
Umetumia dakika nying sana lakin point yako dhaifu
Tatizo sure anatoa Aya ndani ya quran hapo ndipo pagumu
HUYU SULE ANAONEKANA AMEPATA ELIMU NDOGO UKUBWANI NDIO MAANA ANAKUWA LIMBUKENI WA MAJINI NA MAISHA. PERCEPTION YAKE YA MAJINI(MASHETANI) HATOFAUTIANI NA SELEMANI RUSHDIE. AYA ZA QUR'AANI ANAPOTOSHA KUZITAFSIRI KWA CONCERN YAKE MAJINI...
We mganga wa majini eenhh...???
Kutumia majini havifai huo ni uchawi mkubwa tuwe makini tutaangamia
Mmeandika cha nini sasa
Majini walisilimishwa
Uja muelewa sule we
Wallhahi nimepanda haaa
Allah akbar
Waambie uwakumbushe waachi uchawi
Kwn shorki ni nin kutum jini nd shirki lkn kuntum binaadam si shirki hhhh mkasom wachen ujinga
❤🎉
Mashekhe mnapingana midandaoni ndio mungu alivo wambia?
Quero Gmail deste Humilde Sheikh e irmão fillah.
Masufi wale hawafai kwelikweli
Jins ya kupika achar ya mbirimbi
Struth
Mashekhe mnatundisha nini?
Kwa kweli kwa huyu kijana Allaahu anamtumia kuilinda dini yake dhidi ya washirikina,wachawi,Na Makafiri waliojificha kwenye Uislamu!! Na kwa kisa hiki na ushahidi huu sidhani kama yupo mwenye akili na anayemtaka Allaahu atawaamini washirikina na wachawi wakiongozwa na yule mjinga anayeitwa Sule, na sasa wenye akili wanatakiwa kumuunga mkono Sheikh Bachu tu.
Masha Allah Allah barik
Swali la ufahamu, Sheikh uposema kuwa kuwatumia majini uleta madhara: Hapa unazungumzia majini yapi, Walio silumu au wasio silimu?
a) Maana kwa mujibu wa Uislam na Qurani .. waislam wote ni Ndugu.
Je! Mtu kupata msahada kwa Ndugu yake ni Dhambi???
Kisa hiki nilikisikia kikisimuliwa na Shekh Bakhero ila yeye hakukataza kusomwa Kwa hicho kitabu!!
Dr, Sulle kamaumeangalia mada hii tafadhal mjibu huyu sheikh tupate eilmu
Sasa sheikh unazuia kusomwa hicho kitabu mbn we kisa hicho umekitoa humo kwenye hicho kitabu kwa ajili ya kuuelimisha jamii hebu kitaje jina tusikie na kimeandikwa na nani..
Wewe bacho huna elimu
tukumbukeni moto mkubwa wenye mgurumo wallah mcheni Allah eeh
Kwani sulle si amesema kweli kwani si wapo majini waislamu na waislamu wote ni ndugu kwaio tukisema nyie mnashilikiana na majini tutakuwa tunadanganya si ni kweli
Kitabu kina mambo haramu 😮😮😮😮😮😮🤔🤔🤔🤔🤔
Baba kira.washa anataka ligi hataki kuelewa
Lakini kuna majini mabaya na maovu nisawa na binadamu yupo binadamu mwema na wPo wabaya
Kwani kapiga ramli mumemuona
Sulle amepoteya asiwapiteze nyinyi. Jahanam anaingiya oekeyako sio sjlle
Hebu muacheni huyo shetani Sule na hao wapumbavu wenzake. Hao ni makafiri tu wasiwape tabu. Hao na majambazi wamepata njia nyengine tu ya kutapeli watu.
Hawana mungu hao....Matumbo na matamanio yao ndio yamewaponza. Ukiwaangalia hawana chembe ya uislamu hao.
Shekh muogope Allah usijekuwa Muflis siku ya kiama bila sababu,kama unamkufurisha mtu kama sio unakurudia wewe mwenyewe
Majini walisilimishwa so ni ndugu za waislamu msimlaumu sule yupo sahihi
Dogma zinakuharibu nikiomba andiko majini wote wamelaaniwa utatoa au mnaleta chuki tu na dini ya haki?
Sule hana jipya wote waganga njaa tu, na hata hizo pesa walizo pata hazina kheri kabisa
Shukrani Lakini usijitolee mfano mbaya kama huo Kuna wasikilizaji watakujasema wewe nae maganga una kajini majini ilikuharibu mafunisho
Sio kweli dr sulle akusema kutuma majini kutoa majini anasoma kisomo
bado hujaelewa bwege wewe,,,point yake,,,,hapo anakusudia tawhid
Mana ya tauheed ni nini
Kwani kunakosa kujua Kila elmu
JINI NI VIUMBE VYA MUNGU na SISI TUMEWEKWA ILI TUVIMILIKI KAMA HUNA ELIMU YA MAJINI ACHA KUFUNDISHA MAFUNZO USIYO YAJUWA
Duuuu
Allah atuongoze sote pamoja Kw kweli😢😢
Aya hiyo inapatikana wap kuwa majini tumewekwa ili tuwamiliki
MAWAHABI CHECHEIIII..........!! HII ELIMU YA MAJINI NI TAWI KTK ELIMU YA FALAQ NA NYINYI MAWAHABI HAMJUI ELIMU YA FALAQ KWAHIYO WAACHIENI WENYE ELIMU YA MAJINI WAITUMIEEEEEE
TATIZO LENU MAWAHABI MNACHOKIJUA NYINYI MNALAZIMISHA KILA MTU AKIFATE HICHO HICHO.
Kweli kabisa na umesema kweli
Bachu umekosa kazi. Kazi kuwaita waislamu wenzako mushrik na kafir. Faidisha umma acha uzombie wako.
Masomo kidogo ushajiona unaeza toa fatwa
Majini na waislamu ni ndugu kabisa
Wakristo ndio baba yao, ibilis, kasome Ayubu 1:6😂
makafiri wanalazimisha aabudiwe mwana wa adam ukafiri ni upofu
Uislamu na uchawi vinaenda bega kwa bega !
Wewe unasemaje?
Tobaaaaaaaaa
Jini mchafu huyo na sio mwema hivyo mfano iliotowa juu ya kisa hicho jini hadi anamzuia mcha Mungu asiukate mti Naoshitokishwa Mungu ni jini mchafu
Acha ushirikina
@@jumayusuphu322 Elimu ya jini huna Kijana jambo lolote usilokuwa na elimu nalo ni geni kwako hivyo kama hujui kitu tulia Kijana
Nisawa ni jini mchafu na huyo jini mwema hawezi kwwnda kwa mshenz kaam daktari selemani
Nijini mchafu uyo bona usipotoshe watu na mifano yakutunga mcha mungu awezi kusawishiwa na shitwani kwa kweli mana Allah atamulinda
Sisi binadamu na majini sote tumeumbwa kwa ajili ya kumuabudu Allah s.w hakuna mwenye mamlaka ya kumtumikisha mwingine
Kazi kukosowa waislam wenzako pambana nawakirsto acha unafkii wewe nimnafki
Hapo inatushangaza kukosowa tu