DAKIKA 19 ZILIZOMUANGUSHA SULE NA WAPIGA RAMLI WENZIWE || Muhammad Bachu.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 06. 2024
  • Hry

Komentáře • 107

  • @fatmaZakiya
    @fatmaZakiya Před 21 dnem +16

    Shukran kwa ukumbusho sheikh Allah akupe umri mrefu uzidi kututoa kwenye ujinga

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina Před 22 dny +17

    najifunza kupitia wewe sheikh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah❤

  • @user-yu9gy6dg3g
    @user-yu9gy6dg3g Před 21 dnem +7

    Alhamdulillah kweli yakhe bachu, Allah pekee yake anatosha kutegemewa, na pia mashallah kisa kizuri sana & chenye mazingatio ya huyo mchamungu inatupasa tujifunze kupitia hiki qisa.

  • @AminaIbrahim-qh2gn
    @AminaIbrahim-qh2gn Před 2 dny

    Allahu Akbar nimekuelewa sana shekh, Allah Awaongoze Washilikina wote. Atunusuru pia.

  • @ALLYMATIMBWA-cz3zg
    @ALLYMATIMBWA-cz3zg Před 21 dnem +4

    Allah akulipe kher mwalimu wetu unatupa maarumat mazuri san na kuonyesha mchamung ananguv kuliko jini,omari ibun al hatwabi majin walikuwa wanamkimbia

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Před 20 dny +6

    Uki sahihi bachu mwanangu Allah akuifadhi naakukinge n'a Kila lashari n'a akupe mwisho mwema duniani n'a akhera kama mzee wako Allah amrehem

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud Před 22 dny +8

    Peace be upon you. Sheikh Muhamad Bachu may Allah bless you along with all the present and previous Muslims in the hereafter, including your elder. Amen
    السلام عليكم ورحمة الله وبركاته، الشيخ محمد، بارك الله فيك على كل ما تفعله، وبارك أيضاً على جميع المسلمين الحاضرين والسابقين، بما فيهم شيخك، آمين.

  • @augustomariosama1542
    @augustomariosama1542 Před 3 dny

    Shaikh Muhammad bachu namkubali sana MashaAllah

  • @jaaffarabuu6750
    @jaaffarabuu6750 Před 20 dny +3

    Allah akujaalie afya njema sheikh bachu

  • @muhamadikombo4976
    @muhamadikombo4976 Před 21 dnem +4

    Maashaallah mungu akupe umri mrefu Sheikh Muhammad .
    Sis wanafunzi wa Sunna tunastafid San na da'awa zako za kila siku Mungu akihifadhi🤲🤲🤝❤️

  • @AbuujureyjKhaniy
    @AbuujureyjKhaniy Před 18 dny +3

    جزاك الله خيرا و احسن الجزء في أمان الله Allah akuhifadhi hii ndio haki

  • @KASSIMABDULLA-wm7bn
    @KASSIMABDULLA-wm7bn Před 18 dny +4

    Hivi kweli hatuelewi ,vinavyo someshwa au hatumpendi bachu

  • @musadavid9938
    @musadavid9938 Před dnem

    Mimi ni mkristo lakini huyu ustadhi nimemuelewa sana

  • @abubakarishame2624
    @abubakarishame2624 Před 21 dnem +2

    Maashaallah mashaallah mashaallah ❤❤❤❤❤ barakalllah fiika. Allah akulipe kheri.

  • @ibnuh5361
    @ibnuh5361 Před 21 dnem +3

    Ustadh Muhammad Bachu.. Suala la majini liko wazi.. Haina haja ya kuongea snaa.. Mambo na majini HAIFAII. hapo tuko pamoja

  • @feisalmbamba9729
    @feisalmbamba9729 Před 22 dny +2

    Au tumuombe allah tu amtoe kizuizini kwa rehma zake na huku tubaki na pirika zetu za maisha

  • @GoodluckPaul-wf9gn
    @GoodluckPaul-wf9gn Před 22 dny +2

    Ma Shaa Allah
    Tunazidi kujifunza katika miongozo anayoihitaji Mwenyezi MUNGU. na kwahakika ukweli huwa mchungu.
    Mwenyezi MUNGU azidi kawajaalia kheri wote mnaotufundisha katika kheri.

  • @SalehSonda-bz3hl
    @SalehSonda-bz3hl Před 3 dny

    Bachu Allah akuhifadhi

  • @swalehmohamed4849
    @swalehmohamed4849 Před 21 dnem

    Mashaallah akhi Allah akujaze kheir kwa dhana nzuri naona umesahau kufinika kichwa naswaha yangu ikiwa hukusaha basi bora usiwache kufinika kichwa Ulamaa wamesistiza sana mtume s.a.w hajawahi kuswalisha kichwa wazi mbali na hajj na Umrah

  • @okirorasuman-fl2db
    @okirorasuman-fl2db Před 8 dny

    May Allah reward you abundantly, kutuelimisha kwa khatar yakutumia majini kwasababu yeyote

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Před 8 dny

    wallah mitiani tunatafuta moto kwanguvu. turudini nyuma tumuabuduni Allah bas

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja Před 21 dnem

    Mashallah bachu kwa kutuilimishaa mungu atakulipaa ilimu kwako iko punguzaa presha tu ndio tutafaidikaa

  • @AllyOmary-rg9zx
    @AllyOmary-rg9zx Před 13 dny +1

    Bachu ni mwanafunzi akisoma vizuri atakuja elewa

  • @nadeemadams-mr3bs
    @nadeemadams-mr3bs Před 21 dnem

    Ebtehak al ahkee shukran jazeelan

  • @saidjuma4547
    @saidjuma4547 Před 17 dny

    tunamkubali Sana shekh Allah amlinde na Kila shari

  • @defantasticacomedy6366

    Jazakallah kheyr

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Před 8 dny

    shukran sheikh Allah akujaze. majini ni haram kutumia waache kupotosha wajawaallah

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Před 8 dny

    subhannallah wallah mitiani watu waache kumchezea Allah haifai kabisaaaa kutuia majini haifai wallah waachekupotisha watu

  • @TamimuMikidadi
    @TamimuMikidadi Před 18 dny

    buchu kwa hapa yupo vizuri sna sule unajivunjia heshima ktk dini

  • @abdulmwakubambanya9091
    @abdulmwakubambanya9091 Před 21 dnem +1

    Barakh Allah Kher

  • @fadhilmandaliabdalla6736
    @fadhilmandaliabdalla6736 Před 22 dny +1

    MashaAllah ✅

  • @KASSIMABDULLA-wm7bn
    @KASSIMABDULLA-wm7bn Před 18 dny +1

    Mashallah tunaelewa wenye kutaka kuelewa

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu Před 20 dny

    Allah ti abençoe irmao ❤❤❤

  • @ameali1251
    @ameali1251 Před 5 dny

    Kwa hiyo shekh anafundisha majini wote ni mashetani au

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před 21 dnem +1

    Tunajivunia kua namwalim kamabachu

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před 21 dnem

    Ahsante

  • @abuubabamzazi
    @abuubabamzazi Před 21 dnem

    Mashaalha

  • @rahamkibinda6137
    @rahamkibinda6137 Před 4 dny

    Umetumia dakika nying sana lakin point yako dhaifu

  • @hemedimuna1400
    @hemedimuna1400 Před 3 dny

    Tatizo sure anatoa Aya ndani ya quran hapo ndipo pagumu

  • @SaidiBakari-kl1gu
    @SaidiBakari-kl1gu Před 22 dny +13

    HUYU SULE ANAONEKANA AMEPATA ELIMU NDOGO UKUBWANI NDIO MAANA ANAKUWA LIMBUKENI WA MAJINI NA MAISHA. PERCEPTION YAKE YA MAJINI(MASHETANI) HATOFAUTIANI NA SELEMANI RUSHDIE. AYA ZA QUR'AANI ANAPOTOSHA KUZITAFSIRI KWA CONCERN YAKE MAJINI...

  • @mrmajengotz.
    @mrmajengotz. Před 13 dny

    Wallhahi nimepanda haaa

  • @user-uv3tw1cu3l
    @user-uv3tw1cu3l Před 19 dny

    Allah akbar

  • @SalehSonda-bz3hl
    @SalehSonda-bz3hl Před 3 dny

    Waambie uwakumbushe waachi uchawi

  • @user-zs6qg7ql1i
    @user-zs6qg7ql1i Před 7 dny

    Kwn shorki ni nin kutum jini nd shirki lkn kuntum binaadam si shirki hhhh mkasom wachen ujinga

  • @Nuru_ya_sunnah.official

    ❤🎉

  • @AllyOmary-rg9zx
    @AllyOmary-rg9zx Před 13 dny

    Mashekhe mnapingana midandaoni ndio mungu alivo wambia?

  • @zainulabideen6955
    @zainulabideen6955 Před 4 dny

    Quero Gmail deste Humilde Sheikh e irmão fillah.

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před 21 dnem +2

    Masufi wale hawafai kwelikweli

  • @ViweHamad-cn7mh
    @ViweHamad-cn7mh Před 4 dny

    Jins ya kupika achar ya mbirimbi

  • @zainulabideen6955
    @zainulabideen6955 Před 4 dny

    Struth

  • @AllyOmary-rg9zx
    @AllyOmary-rg9zx Před 13 dny

    Mashekhe mnatundisha nini?

  • @mussakantumba9914
    @mussakantumba9914 Před 20 dny

    Kwa kweli kwa huyu kijana Allaahu anamtumia kuilinda dini yake dhidi ya washirikina,wachawi,Na Makafiri waliojificha kwenye Uislamu!! Na kwa kisa hiki na ushahidi huu sidhani kama yupo mwenye akili na anayemtaka Allaahu atawaamini washirikina na wachawi wakiongozwa na yule mjinga anayeitwa Sule, na sasa wenye akili wanatakiwa kumuunga mkono Sheikh Bachu tu.

  • @user-wk5ju8kd3u
    @user-wk5ju8kd3u Před 21 dnem

    Masha Allah Allah barik

  • @Versossecretosdoislam6595

    Swali la ufahamu, Sheikh uposema kuwa kuwatumia majini uleta madhara: Hapa unazungumzia majini yapi, Walio silumu au wasio silimu?
    a) Maana kwa mujibu wa Uislam na Qurani .. waislam wote ni Ndugu.
    Je! Mtu kupata msahada kwa Ndugu yake ni Dhambi???

  • @JumaMHDaffa
    @JumaMHDaffa Před 10 dny

    Kisa hiki nilikisikia kikisimuliwa na Shekh Bakhero ila yeye hakukataza kusomwa Kwa hicho kitabu!!

  • @user-cw6jq7cv2k
    @user-cw6jq7cv2k Před 3 dny

    Dr, Sulle kamaumeangalia mada hii tafadhal mjibu huyu sheikh tupate eilmu

  • @user-do2id6pp4g
    @user-do2id6pp4g Před 21 dnem

    Sasa sheikh unazuia kusomwa hicho kitabu mbn we kisa hicho umekitoa humo kwenye hicho kitabu kwa ajili ya kuuelimisha jamii hebu kitaje jina tusikie na kimeandikwa na nani..

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 Před 20 dny

    Wewe bacho huna elimu

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Před 8 dny

    tukumbukeni moto mkubwa wenye mgurumo wallah mcheni Allah eeh

  • @JanethAnton-fx1mk
    @JanethAnton-fx1mk Před 10 dny

    Kwani sulle si amesema kweli kwani si wapo majini waislamu na waislamu wote ni ndugu kwaio tukisema nyie mnashilikiana na majini tutakuwa tunadanganya si ni kweli

  • @user13375
    @user13375 Před 8 dny

    Kitabu kina mambo haramu 😮😮😮😮😮😮🤔🤔🤔🤔🤔

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před 21 dnem

    Baba kira.washa anataka ligi hataki kuelewa

  • @user-te5jr1rz7w
    @user-te5jr1rz7w Před 20 dny

    Lakini kuna majini mabaya na maovu nisawa na binadamu yupo binadamu mwema na wPo wabaya

  • @PanduMole
    @PanduMole Před 21 dnem

    Kwani kapiga ramli mumemuona

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 Před 18 dny

    Sulle amepoteya asiwapiteze nyinyi. Jahanam anaingiya oekeyako sio sjlle

  • @Logicentric
    @Logicentric Před 16 dny

    Hebu muacheni huyo shetani Sule na hao wapumbavu wenzake. Hao ni makafiri tu wasiwape tabu. Hao na majambazi wamepata njia nyengine tu ya kutapeli watu.
    Hawana mungu hao....Matumbo na matamanio yao ndio yamewaponza. Ukiwaangalia hawana chembe ya uislamu hao.

    • @JumaMHDaffa
      @JumaMHDaffa Před 10 dny

      Shekh muogope Allah usijekuwa Muflis siku ya kiama bila sababu,kama unamkufurisha mtu kama sio unakurudia wewe mwenyewe

  • @mhandoonthebeats8581
    @mhandoonthebeats8581 Před 9 dny

    Majini walisilimishwa so ni ndugu za waislamu msimlaumu sule yupo sahihi

    • @user-mc2xd4eu2p
      @user-mc2xd4eu2p Před 16 hodinami

      Dogma zinakuharibu nikiomba andiko majini wote wamelaaniwa utatoa au mnaleta chuki tu na dini ya haki?

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 22 dny +1

    Sule hana jipya wote waganga njaa tu, na hata hizo pesa walizo pata hazina kheri kabisa

    • @user-yh5fu5lo9r
      @user-yh5fu5lo9r Před 22 dny +2

      Shukrani Lakini usijitolee mfano mbaya kama huo Kuna wasikilizaji watakujasema wewe nae maganga una kajini majini ilikuharibu mafunisho

  • @kassamalishabani
    @kassamalishabani Před 21 dnem

    Sio kweli dr sulle akusema kutuma majini kutoa majini anasoma kisomo

  • @salumsasua9906
    @salumsasua9906 Před 20 dny

    Kwani kunakosa kujua Kila elmu

  • @AsukuluIbucwa
    @AsukuluIbucwa Před 16 dny

    JINI NI VIUMBE VYA MUNGU na SISI TUMEWEKWA ILI TUVIMILIKI KAMA HUNA ELIMU YA MAJINI ACHA KUFUNDISHA MAFUNZO USIYO YAJUWA

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 21 dnem

    MAWAHABI CHECHEIIII..........!! HII ELIMU YA MAJINI NI TAWI KTK ELIMU YA FALAQ NA NYINYI MAWAHABI HAMJUI ELIMU YA FALAQ KWAHIYO WAACHIENI WENYE ELIMU YA MAJINI WAITUMIEEEEEE
    TATIZO LENU MAWAHABI MNACHOKIJUA NYINYI MNALAZIMISHA KILA MTU AKIFATE HICHO HICHO.

  • @presenterhabib
    @presenterhabib Před 2 dny

    Bachu umekosa kazi. Kazi kuwaita waislamu wenzako mushrik na kafir. Faidisha umma acha uzombie wako.
    Masomo kidogo ushajiona unaeza toa fatwa

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 Před 21 dnem

    Majini na waislamu ni ndugu kabisa

    • @Zainabnoor0087-ze
      @Zainabnoor0087-ze Před 20 dny

      Wakristo ndio baba yao, ibilis, kasome Ayubu 1:6😂

    • @user-mc2xd4eu2p
      @user-mc2xd4eu2p Před 16 hodinami +1

      makafiri wanalazimisha aabudiwe mwana wa adam ukafiri ni upofu

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 Před 21 dnem

    Uislamu na uchawi vinaenda bega kwa bega !

  • @ISMAILIbrahim-ys5vl
    @ISMAILIbrahim-ys5vl Před 21 dnem

    Jini mchafu huyo na sio mwema hivyo mfano iliotowa juu ya kisa hicho jini hadi anamzuia mcha Mungu asiukate mti Naoshitokishwa Mungu ni jini mchafu

    • @jumayusuphu322
      @jumayusuphu322 Před 21 dnem +1

      Acha ushirikina

    • @ISMAILIbrahim-ys5vl
      @ISMAILIbrahim-ys5vl Před 21 dnem

      @@jumayusuphu322 Elimu ya jini huna Kijana jambo lolote usilokuwa na elimu nalo ni geni kwako hivyo kama hujui kitu tulia Kijana

    • @maalimhamad1297
      @maalimhamad1297 Před 21 dnem

      Nisawa ni jini mchafu na huyo jini mwema hawezi kwwnda kwa mshenz kaam daktari selemani

    • @kassamalishabani
      @kassamalishabani Před 21 dnem

      Nijini mchafu uyo bona usipotoshe watu na mifano yakutunga mcha mungu awezi kusawishiwa na shitwani kwa kweli mana Allah atamulinda

    • @muhammadnassibu7706
      @muhammadnassibu7706 Před 19 dny +1

      Sisi binadamu na majini sote tumeumbwa kwa ajili ya kumuabudu Allah s.w hakuna mwenye mamlaka ya kumtumikisha mwingine

  • @user-gm8xx9vn1g
    @user-gm8xx9vn1g Před 17 dny

    Kazi kukosowa waislam wenzako pambana nawakirsto acha unafkii wewe nimnafki