KIMENUKA; DR.SULE ACHUKIZWA WANAOMWITA MSHIRIKINA ATOA SOMO KUBWA KUHUSU VIUMBE VYA AJABU

Sdílet
Vložit

Komentáře • 656

  • @user-ow2jv4vn8b
    @user-ow2jv4vn8b Před měsícem +24

    Huuni mwisho wa DK sure kulingania uisilam AU mnaonaje like tujuwanr

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 28 dny +1

      Ww sio mungu kusema ni mwisho sule kutangaza dini sawa hakuna atalike ujinga kama huu unao usema chunga tumeletwa dunia kumuabudu Allah binadamu na majini na binadamu aweza mtumia jini kwa njia ya sawa soma bro

    • @suleim505
      @suleim505 Před 28 dny

      mawazo ya kijinga, ndiyo unafaidika nini

    • @OmanOma-xi3hm
      @OmanOma-xi3hm Před 27 dny

      Hatutak dini na masheytwani mashekhe wapowengi wenye elim

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 27 dny

      @@OmanOma-xi3hm wataka dini na nani quran Allah kasema tumewaumba majini na binadamu kumubudu Allah sasa kama hutaki dini na majini hatukuelewi mana majini wamubudu Allah kama ww vile unavo swali nao wanaswali na kuna majini wengine wakiristo waenda kanisani hujui ww

    • @raymrash
      @raymrash Před 27 dny

      @@saba-gv3mj hakuna majini wakristo....hakuna Hilo jambo kwenye biblia ni huko huko kwenu

  • @hamzasuleiman9605
    @hamzasuleiman9605 Před 15 dny +3

    Ama kweli ni bora mlevi wa Pemba kuliko shekhe wa Tanganyika 👐

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork Před měsícem +10

    Bado hajapatikana mtu sahihi wa kumuhoji. Kuna follow-up questions nyingi sana humo katikati, mtangazaji unahama na kurukia sehemu nyepesi, lakini zilikuwa sehemu nzuri za kupata ukweli zaidi wa anachokitetea. Dah!!!🤔

    • @habibiddy8096
      @habibiddy8096 Před měsícem +2

      Huyu janja janja nyingi hawezi kuruhusu watu sahihi kumhoji atakambilia tu kwa wasiojua wanaotafuta likes na viewers tu basi

    • @user-xz8mm5kt5m
      @user-xz8mm5kt5m Před měsícem +2

      Kama kuna wakati alimtaja jina huyo anayemhoji (12:12), kumbe anaitwa George, sasa unategemea mtu kama huyu anajua misingi ya shirki kulingana na uislamu?

    • @NMJAsaid
      @NMJAsaid Před měsícem

      Kwa sababu anaemuuliza hana ilimu ya kile sule anachokiongea, anahitaji aulizwe na msomi wa kiislamu. Huyu ni daktari wa wadudu

  • @tawfiqhamis
    @tawfiqhamis Před měsícem +9

    unatakiwa utubie kwani kujinasabisha na kuzungumzia dini ya kiisilaam hali ya kuwa unalingania katika kufru na shirki hii ni hatari na upotoshaji na haya ni matunda ya watu kuacha quruan na sunna kwa ufahamu wa wema walio tangulia mwisho wake mnawapoteza watu katka njia ya sawa allah akuongoze ewe sule

    • @shawwalmsati3405
      @shawwalmsati3405 Před 29 dny

      SOMA KWANZA KISHA UTOE HUKUMU. USIHUKUMU KWA KUKARIRISHWA

    • @tawfiqhamis
      @tawfiqhamis Před 29 dny

      Wee mweyewe utakujua mjinga ujui tawhiyd kama sule ndo maana unatetea uchawi na hii ni ishara kuwa uko mbali na quruan na sunna na aqual za ulamaa qadiyman wa hadiytha الله المستعان

    • @robertgeofrey4118
      @robertgeofrey4118 Před 27 dny

      Kwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d Před měsícem +16

    Jini humuoni unajuaje kama huyu ni mzuri na huyu ni mbaya acha kutudanganya we sio nabii suleiman

    • @shukurually8769
      @shukurually8769 Před měsícem

      Ukisoma utaelewa iyo ni kazi watu wanasomea omba mungu yasikukute ila uchawi upo na mchawi anamtumia jini

    • @shawwalmsati3405
      @shawwalmsati3405 Před 29 dny

      Wasemaje kuhusu aya iliyomo ktk surat albaqarah
      هو الذي خلق لكم ما السموات وما في الأرض
      ALLAH NDIYE ALIYEKUUMBIENI VYOTE VILIVYOMO MBINGUNI NA ARDHINI.
      Maana yake ni kwamba vyote vimeumbwa kwa ajili ya kumnufaisha mwanadamu. Malaika huwaoni lakini wanakunufaisha, upepo huuoni lakini wakunufaisha.
      Sasa kwa nini jini asikunufaishe utapohitaji kumtumia?¿
      Muogopeni Mungu kuattack msvyovijua.
      Kwani sule haogopi Jahannam mpk ajiingize kwenye ushirikina??
      Anaogopa sana pengine zaidi yako, ila anaendelea kufanya hivyo kwa sababu sheria yamruhusu kutokan na utaratibu unaotakiwa.
      Nyinyi ndo mnaowahukumia waislam tena WANACHUONI WAKUBWA wanaabudu makaburi kisa tu eti wameenda kumuomba mungu ktk maeneo ya makaburi.

  • @FadhilKassim-qj8tc
    @FadhilKassim-qj8tc Před měsícem +10

    Dr sule masala ya nyota pia niushirikina rasullullah amtufunza adhkar za asubuhi na jioni unakuwa strong mchana na jioni unaropokab2 huna Aya Wala Hadith

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 28 dny

      Ahh na ukiwa baharini umepotea ukitumia nyota utakua umemshirikisha swali nijibu nijue kidogo

    • @robertgeofrey4118
      @robertgeofrey4118 Před 27 dny

      Kwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini

    • @WitimaliTunduru-ho1hd
      @WitimaliTunduru-ho1hd Před 23 dny

      Fact

  • @user-wf9tx7yj6b
    @user-wf9tx7yj6b Před měsícem +17

    Mzee sisi tunakupenda tunakuombea urejeye kwa Allah

    • @user-mr1sl6dd7g
      @user-mr1sl6dd7g Před měsícem

      Sule utammiliki vipi jini pasina ya kua mshirikina jibu swali????

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 28 dny

      Jini waeza miliki na usiwe mshirikina hata bin taymia alikua akitoa majini wabaya msome sheikh wenu ibn taymiyah

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy Před měsícem +12

    Hivi waislam wenzangu hata kama hatujapata elmu ya kutosha vipi ikiwa katika maisha yetu kila mtu anatmia jini katika kutafuta kwake rizki? Namaanisha kila mmoja wetu awe na jini ambae anamtumia katika mambo yake hii dini itakuwaje ndugu zangu! Ni ushirikina ushrikina ushirikinaaaaaaaa

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 Před měsícem

      Pole sana ndugu angu Yesu anakupenda

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy Před měsícem

      @@charlesboniphace2249 Na mi nampenda pia kwasababu ni Mtume wa Allah ambae alimtuma kwa watu

    • @ibnhamduun3173
      @ibnhamduun3173 Před měsícem

      Kuna tafauti gani kati ya muabudu majini na wew unaemuabud mwanaume mwenzio​@@charlesboniphace2249

    • @kuchimillionaire6683
      @kuchimillionaire6683 Před měsícem

      Nyinyi waislamu ni washirikina

    • @kuchimillionaire6683
      @kuchimillionaire6683 Před měsícem

      Jini Super hili

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před 19 dny +1

    Dr. Sulle yuko sahihi kabisa, mnaobisha endeleeni kubisha lakn ukweli ndiyo huo.

  • @yasiniKingazi
    @yasiniKingazi Před měsícem +4

    Acha kulopoka jini hajaumbwa Kwa ajili ya kumilikiwa na binadamu jini ameumbwa Kwa ajili yakufanya Ibadan

  • @aliali-ji9ym
    @aliali-ji9ym Před měsícem +2

    Hii ndio hasara yakua mnafiq kwenye dini. Hatima yake mungu humuacha mkono na huishia vibaya

  • @shukurually8769
    @shukurually8769 Před měsícem +1

    Kitu nilichogundua nikwamba watu hawataki mtu azungumzie uhalisia wa maisha ya binaadamu jamanai nje ya dini kunamaisha ndio kama hivo uchawi nje ya maisha sasa mnavombishia sule je uchawi hakuna? unakuwaje muislam alafu useme jini hakuna sule yupo sahihi na ukimbeza sule omba mungu yasikukute ila ukirogwa mwenyewe utaenda kwa mganga utake usitake uwo ndioukweli na kweli pesa za majini zipo mbona watu wanaishi kwenye zama izo na wanafanikiwa msitake kilakitu mlaum kwangu naona sule yupo sawa sababu hasemi kama dini ndio imeamrisha hivo

  • @barazasule9582
    @barazasule9582 Před 26 dny +1

    Venye likuwa na heshimu huyu Dr,yaani sasa simuelewi anako elekea.

  • @tyronemofekeng7152
    @tyronemofekeng7152 Před měsícem +5

    Tuombeni sana mwisho mwema. Huyu bwana sikuwahi kufikiri angefikia hapa

  • @MargaretKiema
    @MargaretKiema Před měsícem

    Asante daktari

  • @NurudiniNdoka
    @NurudiniNdoka Před měsícem

    Asante kwa Elimu nyenyekevu Doctor

    • @abulfidaamedia
      @abulfidaamedia Před měsícem

      Huu ni upotevu kama ww ni mwislam kaulizie masheikh wengine au tafuta vitabu usome. Huu ni ushirikina wa wazi kabisa ndugu

  • @zahranahmed4263
    @zahranahmed4263 Před měsícem +11

    Tumuombee arejee kwa Allah anakoelekea pabaya

    • @shadrackgwamwanza4987
      @shadrackgwamwanza4987 Před měsícem +1

      Ongera kwa kuona Muislamu mwenzio anavyopotea

    • @AbrahammamoMuda
      @AbrahammamoMuda Před měsícem +1

      makosa sii yake ni qurani enyewe

    • @user-tz8zu2gt6u
      @user-tz8zu2gt6u Před měsícem +1

      njooo kwa yesu

    • @BinAliy
      @BinAliy Před měsícem +2

      Kosa la Quran liko wapi????​@@AbrahammamoMuda

    • @ibnhamduun3173
      @ibnhamduun3173 Před měsícem

      ​@@user-tz8zu2gt6u kuna tafauti gani kati ya anaemuabudu jini na anaemuabudu mwanadamu anaekula na kukidhi haja .
      Hatuwezi kumuamudu kiumbe mwenzetu sawa ni jini au yesu.
      Hamjielewi wakristo haifai kuabudu kiumbe jini au yesu

  • @badimakka0016
    @badimakka0016 Před měsícem

    Subhanaa Allah mwisho wa ubaya aibu.wataumbuka wingi

  • @SalmaSalmarashid
    @SalmaSalmarashid Před měsícem +2

    Pole Sana sheh

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Před měsícem +2

    Umejivunjia heshima kubwa

  • @yusufyusuf-br5qk
    @yusufyusuf-br5qk Před 23 dny

    Mtihan xana aisee Allah atunusuru atupe mwisho mwema yarabb

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i Před měsícem +2

    Ndio jini yyte anaeishi ndan ya mwili wa mwanadam uyo anamuasi Allah ,,,

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Před měsícem +10

    Yaani unajichanganya sana mala nawatuma majini mala wengine wabaya mala huwa nawatumia majini kweli wewe mtumwa wa majini unayahubili majini kuliko. Mungu mungu wa mbinguni hutuma malaika kutusaidia hatumii majini

    • @mussakarata6650
      @mussakarata6650 Před měsícem

      Mungu anaweza kutumia chochote akitakacho kwenda kwa mtu yoyote amtakaye na kwa mda wowote autakao sababu yey ndo kawaumba wote na hajiwekei mipaka kwenye kuwatumia ila tofaut ya malaika na binadamu ni kuwa malaika wao wapo na utiifu pekee juu ya mungu ila majini na binadamu tumepewa uhuru wa kujichagulia iwe tumuabudu mungu au tuasii.
      Mwishowe ktk Dunia binadam ndo kiongoz wa viumbe vya dunian so jiongez

  • @mwendajumbe6816
    @mwendajumbe6816 Před měsícem +3

    Huyo sio sheh wala hana ilimu ya dini anachojua ni ushirikina na udanganyifu ila mungu atamuumbua

  • @SheheKhamis
    @SheheKhamis Před měsícem +2

    Subuhanalla Allah hamtumijini ktk utumwawakee ana majeshi yake ktk kazi zake sawa Sule sio jini yakh angelikuwa ni mtume sawa ila siyo jini kwenda kuchukua mambo ya nayokuja kweye lahi mahfzi akakuletea ww siri hiyo hiyo siuhalali bali ni ushirikina tubia sule hayo simambo mazuri bali nimambo mabaya kabisa unamzalilisha Allah na mtume wake unamzalilisha umati wake unaizalilisha dini yake

    • @aboudangot
      @aboudangot Před měsícem +1

      Iyo elim ni ndef san kbs kama hujaelew vizur dokt sule anachokisem ni sahihi kbs majin wapo wazur na wabaya kama jins balivy kuw viumbe wa allah katika wanadam ata na katika majin ni ivo ivo ,someni vizur Ila hakun sehem inaruhus kuwatumikia ,n'a ushirikina ni kumshirikish Hao kuabudu kinyum na mwenyezimung ata n'a kweny wanadam unawez kufanya shirki tuache kwa majini

    • @aboudangot
      @aboudangot Před měsícem +1

      Manak unatak kusem kuw na Nabii suleiman alikuw anafany ushirikina?? Mbon nae alikuw akiwatuma majini ten yéyé hakuw umoja lilikuw nikundi kubwa kbs

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před měsícem

      ​@@aboudangotkwani nabii suleiman ni kiigizo chetu?

  • @salehmohammedsalum2054
    @salehmohammedsalum2054 Před měsícem +5

    Ushirikina upotevu

  • @OmarAli-wr1ti
    @OmarAli-wr1ti Před měsícem +2

    sule nakwita ndugu yng Rudi kwa Allah uislam hauko ivo majini wazur hawawezi kushirikuana na binadamu Kubali umekosea omba maghufira Hakuna muislam yeyote atakaekuelewa na Uongo wako

  • @user-zm8nq6xv8o
    @user-zm8nq6xv8o Před měsícem +3

    Acha kiburi kubali makosa

  • @nasrymashauri3559
    @nasrymashauri3559 Před měsícem +3

    Sio kweli huo,huyo ni mshirikina tu

  • @hamisimapoch884
    @hamisimapoch884 Před měsícem +3

    Kweli sule ni mchawii nimeani

  • @kuchimillionaire6683
    @kuchimillionaire6683 Před měsícem +1

    Thanks God Jam christian

    • @AnticsGG
      @AnticsGG Před 22 dny

      whats christian can u prove christian exist stop lying to ur self

  • @IbraahimSkochi
    @IbraahimSkochi Před měsícem +1

    Acha. Uchawi muogope allah ww

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Před měsícem +1

    Allah atuongoze yarrabh. tumuombeni Allah sana

  • @muuibrahim1805
    @muuibrahim1805 Před měsícem +1

    Subhanallah inabidi sheikh sule aachane na hii elimu mwenyewe sasa anaongea lakini kiundani unaona anapata shida kusadiki anayoongea km ni kweli qur an imeruhusu, huwezi jua jini mmbaya na mzuri kwa sababu hawaonekani Hawa viumbe na ni waongo hatari

    • @robertgeofrey4118
      @robertgeofrey4118 Před 27 dny

      Kwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..,Japo wengi wanafanya taqqiya kumpinga

  • @alikurran150
    @alikurran150 Před měsícem +1

    We kama unaweza kuwatumia basi oa funga ndoa na dada wa kakake jini unaemtumia
    Acha uongo hakuna mwenye uwezo wa kuishi na majini hiyo ilkuwa ya nabii Suleimani sio sule.Hauna uwezo huo.Uongo tu.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před měsícem +8

    Kunyamaza Ni hekma Sule, Yani utaropoka kama mtu aliolishwa usembe, Unaweza enedelea na mambo yako lakini usijinasibishe na Uislam, Wallah utadhalilika Saaana , Tazama hadi Nuru ya Uislam inakutoka

    • @sadathboutique6253
      @sadathboutique6253 Před měsícem +3

      Uyu jamaa nilikuwa namkubari sna ila jinsi anavyojiweka kwenye shirki ananiudhunisha kw kweli yaani anaumbuka siku hadi siku😢

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před měsícem

      Majini alisema yote ni Mazuri mmmh

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před měsícem

      ​@@sadathboutique6253Acha atwmbie jinsi mnavyoishi na majini

    • @phihirisembula
      @phihirisembula Před měsícem

      Allahu aalam😂

    • @hamisaali8103
      @hamisaali8103 Před měsícem

      ​@@trophywilson7211Hapana hakusema hivyo

  • @shifaaplusherbalmedicine
    @shifaaplusherbalmedicine Před měsícem +1

    Usifanye ghinadi weye unajua wapi shetani mzuri vyovyote muogope Allah dicta sule uo Ni ushirikiana acha kutaka sofa kujiona unajuwa Jina tokea lini akampa MTU utajiri acha ushirikiana uo

  • @ManShube
    @ManShube Před měsícem +5

    Uwongo mtupu dhwalimu

  • @lilmojr7
    @lilmojr7 Před měsícem +1

    Subhanallah dr sule umeacha kuhubiri ucha mungu sasa unaweka nguvu kwenye kuhubiri ushirikina na pete na majini? Allah akuongoze

  • @adnaankhanbhai7057
    @adnaankhanbhai7057 Před 28 dny +1

    We mshirikina mkubwa mja laana we sura kaa tundu la matako

  • @RajabuKinyogori
    @RajabuKinyogori Před měsícem +1

    Yan doctor rejea kwa Allah unaharibu dini ya kisilamu wakiristo na baadhi ya watu watafikiria Kuwa dini ya kisilam ni dini ya majin na inatumikiwa na majin tumia akili na dalili shehe

  • @AbdallahOmar-bp8ij
    @AbdallahOmar-bp8ij Před měsícem +3

    Muna tumia uislamu kwa kutafuta pesaa.. Lakini muta kwenda mbele za alwa kujibu.. Ficheni makucha tu

    • @khanafrica22
      @khanafrica22 Před měsícem

      Inaandikwa. ALLAH na sio alwa......na yeye ndiye mjuzi zaidi

    • @robertgeofrey4118
      @robertgeofrey4118 Před 27 dny

      Kwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini

  • @saidkadute6560
    @saidkadute6560 Před měsícem +12

    Allah Hakim,Musimuhukumu mtu Allah ndio anajua zaidi kuhusu yote ...Allah Kareem

    • @ShukriGufu-ec3gk
      @ShukriGufu-ec3gk Před měsícem +1

      Usiwe mjinga hii akili umepewa

    • @mussakarata6650
      @mussakarata6650 Před měsícem

      ​@@ShukriGufu-ec3gkbila shaka wew ndo umempa sasa ichukue

    • @habibiddy8096
      @habibiddy8096 Před měsícem +1

      Tunamhukumu kwa kutumia kivuli cha dini kueleza uongo wake na fikra zake hizo!!

    • @TheOmiedohmusic
      @TheOmiedohmusic Před měsícem

      We unaakili sana jamaangu asilimia 90% ya watu weusi humbishia mtu husika anayejua kitu kilicho mkuta mtu juu ya kitu asichokijua kwa hoja ya machache anayoyafahamu yeye toka kwa watu anawaamini yeye

    • @TheOmiedohmusic
      @TheOmiedohmusic Před měsícem

      Ikiwa mungu amekili mwenyewe kuwa SIJAWAUMBA BINADAMU NA MAJINI ISIPOKUWA KUMUABUDU ALLAH....ASA ANAYEABUDU NI MBAYA MBELE ZAKE MUNGU....!?

  • @SwalehMsangi-yh3qq
    @SwalehMsangi-yh3qq Před 29 dny +1

    Huyu mwenzetu kapotea

  • @user-rg1fz7wr7p
    @user-rg1fz7wr7p Před měsícem +2

    Nabii lukman anamwambia mtoto ktk quran... Ewe mwanangu usikaribie shirki hakika shirki ni dhulma niliyokua kubwa mno mbele ya Allah

    • @ibrasaid9256
      @ibrasaid9256 Před měsícem

      Luqman si nabii lakini wanaeleza wanachuoni alikua mtu mwema lakini hakua nabii

    • @user-oo1fs7lp6d
      @user-oo1fs7lp6d Před měsícem

      Lukman hakuwa nabii na usiseme ivo ni makosa

  • @anwardamnan3616
    @anwardamnan3616 Před měsícem +1

    Sule rudi kwa Allah kabla ya kifo .maisha ya dunia ni mafupi na kumbuka Allah ni mwepesi wa hisabu

  • @suleimanhemed9543
    @suleimanhemed9543 Před 21 dnem +1

    Mzungu kaiba teknolojia kwa mungu duuuuuuuuuuh

  • @Maxpaul-oi8pw
    @Maxpaul-oi8pw Před měsícem +1

    Umedanganya na umedanganywa mimi ni mkristo najua naish bila majini mm najua malaika

  • @ramadhanimziray4606
    @ramadhanimziray4606 Před měsícem +1

    "Majini wabaya ni wale wanao muasi Allah" Umesema vyema sasa wewe Sheikh unawezaje kumjua asiye muasi Allah ilihali mwanadamu mwenzako tuu humjui.?

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 Před měsícem +6

    Utaftaji wa rizk kharamu huwa na fedheha nyingi sana rudi kaka angu sule katika haki na bora ufe masikini lakin si kula viapo vya majini kukupa mali

    • @user-em3uf8wz6r
      @user-em3uf8wz6r Před měsícem +1

      Acheni mitazamo ya ovyo

    • @mussamtupa
      @mussamtupa Před měsícem

      Pete ya Nabii sulaymani ilikua na jina la 100 la Allah.

    • @ibnhamduun3173
      @ibnhamduun3173 Před měsícem

      Acha abainishwe huyo mchawi Sule shekhe wako​@@user-em3uf8wz6r

    • @OmanOma-xi3hm
      @OmanOma-xi3hm Před měsícem

      Anajibabaisha muongo japo kanizifi ellim anisamehe buret

    • @BakariSilimu-im2qv
      @BakariSilimu-im2qv Před 29 dny

      Kwenye Qu'ran si Kuna sura inazungumzia majini

  • @salehekinui2975
    @salehekinui2975 Před měsícem +1

    Hiyo siyo tafsiri ya kuwajus Majin wabaya na wazuri
    Tafsiri sahihi ni jini mzuri hausiki na mafungamano yoyote na wanadamu wao kwa wao watafungama kwa maisha yao
    Na wabaya yeyote atakayeenda kinyume na sura hiyo niliyoieleza kwa nyongeza Hawa sura kuwa ni kule kuingia kwa wanadamu na kushirikiana nao ktk mambo tofauti wacha uwongo tubu kwa Allah huo uliona wewe ni fundi tu wa kuongea mtume anasema ktk ufundi wa kuongea na kubainisha Kuna uchawi

  • @allyomary5329
    @allyomary5329 Před 15 dny

    Namkubali sana

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před měsícem +1

    SHIDA,ukishashirikiana na MAJINI,kisha ukaupata utajiri wa KISHIRIKINA,wanakuzidishia KIBRI,ili ufe na KUFRU zao!

  • @salehekinui2975
    @salehekinui2975 Před měsícem +1

    Huyu jamaa ni mchawi Allah akuongoze

  • @user-kr7ux2dw5l
    @user-kr7ux2dw5l Před měsícem +2

    Kweli ukitaka kujua tabia ya mtu ngoja apate viela. Na kweli mbwa ukimjua kina hakupi shida. Du hahaha ha ha 😅😅😅😅

  • @Laizer3
    @Laizer3 Před měsícem +2

    Unafundisha upotofu

  • @user-fb1vw8eh9w
    @user-fb1vw8eh9w Před měsícem +1

    MUSHRIK MKUBWA WEWE!!!

  • @polyglot053
    @polyglot053 Před 8 dny

    Esse sheik falou bonito

  • @sonofmary-ro2bt
    @sonofmary-ro2bt Před měsícem +2

    Sule Wacha kuzunguka ww ni mshirikina TUbu uko na nfsi

  • @YarmanAljahhdiry
    @YarmanAljahhdiry Před 18 dny

    Warabi doct shule umeyakanyaga hi yote kuwa uliteleza tu katika uwaminifu baada kuamini ila insha'allah allah akuhifadhi zaid

  • @BisunKhalfani-hk2jy
    @BisunKhalfani-hk2jy Před 10 dny

    Elimu ya Namba hizo sharifu teacher Alisha zisema MDA uchawi UPO

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku Před měsícem +2

    Sehemu za majini kuishi n kwenye mapango ,,,,baharini labda uwe waishi nao ww ila sio sisi ,,,,tena chakula Chao utakapo kula n usema Bismillahi kama nyama kwa uwezo wa Allah jini akija atakula ila atakacho kula ww huwezi ona acha bangi bana

    • @user-xn3gs9qc8u
      @user-xn3gs9qc8u Před měsícem +1

      HUYU ANATAFUTA WATU AWATAPELI NILIKUWA NAMKUBALI KAMA SHEIKH KUMBE YUPO KINYUME NA DINI YETU YA KIISLAAM

  • @hamiskakandilo1176
    @hamiskakandilo1176 Před 27 dny

    Kama huo siyo ushirikina basi wanazuoni wate hawakufaham maana sahihi ya ushirikina, na kwa nini Mtume sala na salam zimfikie hajafundisha? Mche Allaah ndg yangu, hiyo ni shirki akhy.

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před měsícem +1

    Mshirikina Wewe unae Kufanya wewe ni Msomi wa Dini kumbe Mbumbumbu Mzungu wa Reli

  • @user-kr7ux2dw5l
    @user-kr7ux2dw5l Před měsícem +1

    Nilipokuwa sijasoma elimu ya dini nilimuona Shekhe mkubwa sana Afrika. Lakini nilipojifunza dini. Nikajua kwamba ktk watu waliokuwa hawaielewi dini ya uislamu mmoja wapo huyu sule. Ndugi zangu waislamu usiposoma dini yako kila mtu utamuona Shekhe lakini ukisoma ndipo utajua nani Shekhe na lipi shehena. Kwa roho safi.

    • @user-hm5lx8od3h
      @user-hm5lx8od3h Před měsícem

      We ndo shehena usio jua kitu na hujui kama majini pia ni viumbe kasome muaacje sule ana Elimu usiyo ijuwa wewe

  • @EvanceMputa
    @EvanceMputa Před 25 dny

    Naomba kukuona Dr sulle

  • @user-ih3zu6zt6m
    @user-ih3zu6zt6m Před měsícem +2

    Nimeamini kuwa ukisoma sana kuruan mwisho wake itakupelekea kuwa na elimu ya kujua sana unajmu mashehe wengi km marehemu shehe Yahya ndiye aliyekuwa bigwa wa elimu hiyo

    • @HamadMtangi-zr4fs
      @HamadMtangi-zr4fs Před měsícem +1

      Nawale freemoson si wanatumia majini ni waislam wale ? acha upumbavu wew

    • @ZUBERIHASANI
      @ZUBERIHASANI Před měsícem

      Tofatisha kati ya waliozama KATIKA elimu ya kumjua Allah na mtume wake na hukumu za dini ya uislamu na WACHAWI.DR SULE NI JAAHILI HAJUI DINI HATA QUR-ANI HAJUI KUSOMA

    • @robertgeofrey4118
      @robertgeofrey4118 Před 27 dny

      ​@@ZUBERIHASANIKwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao Dr.Sulle wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini

  • @abdoumadiousseni4835
    @abdoumadiousseni4835 Před měsícem +1

    Tokahapo ww nimushirikina tu huwezi kuwaniji bila yakukupa mashariti ile umutiyi ww ukifanya ibada kwajili yajini uwoniwushirikina tu

  • @user-rg1fz7wr7p
    @user-rg1fz7wr7p Před měsícem +1

    Dr sule Allah anasamehe makosa yte ila kwa kuamini na kutubia ...... From holy quran "sikumuumba jini na binadamu isipokua kuniabudu mm" tusipingane na maandiko sahihi badilika shekh hizi mali tutaziacha apa apa.... Mali na watoto ktk dunia ni mapambo ya dunia amali zako njema ndio zitakazoenda kusimama yaamul hashir.... Hakuna kifo kinachotokana na uwezo wa jini izo ni biasbabi tu Allah ndio anapanga Sku ya mtu umauti kumfika na Allah kma hakuuandikia kufariki kwasababu ya uchawi bs utaish duniani mpk uyo anaekuroga aakaanza yy kutangulia.... Badilika shekh tusimshirikishe Allah

    • @robertgeofrey4118
      @robertgeofrey4118 Před 27 dny

      Kwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini

  • @BON357
    @BON357 Před 29 dny +1

    Docita sure nimekuwerewa xana

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Před měsícem +1

    Ni mganga toka zamani alijificha kwenye kimvuli cha Dini, Wewe ndo unaelimu mdogo Sasa si mshirika wewe

  • @abdullahijma2073
    @abdullahijma2073 Před měsícem +3

    Huyu si ni mchawi lakini? Ni kama ana knowledge sana ya uchawi...

    • @Sheilahassan191
      @Sheilahassan191 Před měsícem

      Umeongea vizur xna

    • @hamisaali8103
      @hamisaali8103 Před měsícem

      Tatizo lenu wachawi wameshakufumbeni macho yaaani wao wanafanya yao

  • @myself4128
    @myself4128 Před měsícem +1

    nakataa kwa Jina La Bwana,Siishinna Jini kamwe! Hayo maisha yenu waislamu!! Jini halizuiliki kwa Bismillahi ni Uongo mtupu sababu na jini nae anamuomba huyo huyo Allah na ni waislamu pia utawafukuzaje?bila Kristo Yesu hakuna uzima,Sisi wakristo Tunaishi na Malaika tuuu!!!!

  • @abdallahsiraji9919
    @abdallahsiraji9919 Před měsícem +6

    Inna lillah wainnaa ilayh raajiuun..
    Dr.SULE UMEIPOROMOSHA HESHIMA YAKO KABISAAAA..
    HAKIKA UMETELEZA NA NAMUOMBA ALLAH AKUREJESHE KATIKA NJIA YA SAWA UEPUKE NA USHIRIKINA AMBAO UMEJITANGAZIA
    POLE SANA KAKA
    HUJACGELEWA TUBU KWA ALLAH
    TUNAKUSIHI NA KUKUNASIHI TUBIA DR.SULE
    NAKUSIHI NIJATHMINI UPYA
    HUJACHELEWA TAFUTA ILMU KAKA BADO UMRI NA AKILI VINAKURUHUSU
    SOMA TAUHIDI SANA KAKA
    NASUKITIKA SANA KWAKUA ULIKIA KIPENZI CHA WAISLAMU WENGI AKIWEMO MIMI
    ILA KWA HILI ULILOKUJA NALO NA USHIRIKINA WA WAZI KAKA
    ALLAH AKUO GOZE NA AKUOBESHE TENA NJIA SAHIHI
    AAAMIIN

    • @maulidi8479
      @maulidi8479 Před měsícem

      Tatizo unafiki umewajaaa nyie waja. Kwani uchawi hakuna? Kwani majini hakuna?

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Před měsícem

      ​@@maulidi8479mnafki no moja ni wewe

    • @mohamedkeref9589
      @mohamedkeref9589 Před měsícem

      Kwenye hoja yake hiyo amekuaje mshirikina

    • @mohamedkeref9589
      @mohamedkeref9589 Před měsícem

      Tuitafute Elim ndio tuhukum maana mnamkufurisha sule ila mkiuliza ukafiri wake uko wapi hamna majibu .......halyastawi lladhiiiya ya alamuuuna walladhiiina laaa yaalamuun.jibu ni hapana na ndio kinachooonekana hapa

    • @BakariSilimu-im2qv
      @BakariSilimu-im2qv Před 29 dny

      Unajua kila mja anajiona yeye Yuko sahihi anasahau ukionyesha vidole viwili kwa mwenzio vitatu vinarudi kwako

  • @EvanceMputa
    @EvanceMputa Před 25 dny

    Habari broo naitwa Evans nina kesi mahakamani nadai nyumba Yangu nilianzia baraza la kata akashinda nikaenda mahakama ya wilaya akashinda nimeenda mahakama kuu jaji akafuta ushindi wake na akanambia nifugue Kesi ya kudai nyumba mahakama ya wilaya kwani wakili wangu aliitaka high court kupitia upya mauzi ya mahakama ya wilaya n

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y Před měsícem +1

    Kila tukiishii tuombe husnul hatima ulianza vzr sasa sheitwani ashakuteka.mchawi hana maana.mandhaladhi yashfau indauilabiidhini.....waislamu huu n msiba mkubwa ndio mana tz hamuishi mafuriko.

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe Před měsícem +1

    we mshrikina 😊

  • @abdilahiriyami
    @abdilahiriyami Před měsícem +1

    Shehee kaakitako uaangaliee kwa umakini unacho kizungumza kukubali jambo ambaloo uliwekeaa mkazo sio chida kurudi kutubia kosa

  • @ZainabuIrakoze
    @ZainabuIrakoze Před měsícem +1

    Uyo ni Ushirikina

  • @khalifamahondo191
    @khalifamahondo191 Před měsícem +2

    wewe ni Mchawi unatudhalilisha waislamu

  • @hawa6052
    @hawa6052 Před měsícem +1

    Hujanishawishi kabisa sule

  • @naimaali9888
    @naimaali9888 Před měsícem

    Innalilah wainna rajighuun dah shekhee umenivunjaa moyoo kwelii mhhh allah akuongozee

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 28 dny

      Soma sheikh yuko sawa ila usimuhukumu kama huna ilimu

    • @robertgeofrey4118
      @robertgeofrey4118 Před 27 dny

      Kwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini

  • @NassoroomariPore-px4hs
    @NassoroomariPore-px4hs Před 21 dnem

    Kweli kabisa Dr sule

  • @user-ed1cf9nq5w
    @user-ed1cf9nq5w Před měsícem +1

    Tangu sule anze kujieleza hakuna ayah wala hadithi porojo tu😂😂😂

  • @abuutwalha8796
    @abuutwalha8796 Před 23 dny

    Mtume Muhammad Swallaallaahu alayhi wasallam ndio kigezo chetu na ndio tunamfuata lini alitumia jini kwa ajili kusaidia ktika kitu fulani vita vilikua vikali hkutaka misaada Kwa majini wala katika shida yoyote hakutaka msaada kwa majini bali alitaka msaada kwa allaah pekee

  • @shifaaplusherbalmedicine
    @shifaaplusherbalmedicine Před měsícem +1

    Ndugu yangu tubu ila laah mrejee mola wako weye sio shehe

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah Před měsícem +1

    We ni mshirikina kama washirikina wengine

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d Před měsícem +9

    Uso wake umepoteza nuru

  • @abalkib2866
    @abalkib2866 Před měsícem

    Ucjitetee kuna jini kukufata wew na kuna kumtuma haya ni maneno mawili tofauti wew umawatumia wakulinde. Huu ni ushirikina dhahir.

  • @bakari52
    @bakari52 Před měsícem

    Sulley jiangalie vizuri, tafuta radhi za Allah. Kuna mahala ulikosea. Ulijificha muda murefu ila sasa umejidhihirisha. Nakuomba Sheikh wetu tafakari vizuri ulikosea wapi?

  • @mudiskaina2342
    @mudiskaina2342 Před 29 dny

    shehe mzima unanyoa mikato unafaashati nahisi umepotea

  • @nurorachide9992
    @nurorachide9992 Před 28 dny

    Naomba tasfir ya ushirikina 🇲🇿

  • @ShakimTyger-vw4ly
    @ShakimTyger-vw4ly Před měsícem +1

    W mshirikina hna elim kuzidi wengne. Akuna muumini anae muomba Allah kupitia vitu vingine. Ushirikina huo

    • @robertgeofrey4118
      @robertgeofrey4118 Před 27 dny

      Kwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini

  • @MussaHenner
    @MussaHenner Před 26 dny

    Hata ww mungu atakurudisha lkn s jin

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir Před měsícem

    Allah keshasema وماخلقت الجن والانس الا ليعبوني

  • @habibiddy8096
    @habibiddy8096 Před měsícem +2

    Wewe ni mshirikina na hata uchukie ushadumbukia katika dimbwi la ushirikina fanya utubie ungali bado hai.........usitafute janja janja Dini haikuacha kitu na elimu katika hii dini haiwezi kuzidi elimu aliyopewa Mtume MUHAMMAD ﷺ
    DINI HAITAKI JANJA JANJA.......KIVULI UNACHOTUMIA KUFICHA MAMBO YAKO KITAISHA

    • @mohamedkeref9589
      @mohamedkeref9589 Před měsícem

      Kabla hujahukum soma kwanza usimkufurishe mtu kama hujasoma

    • @habibiddy8096
      @habibiddy8096 Před měsícem

      @@mohamedkeref9589 Elimu ipi katika mafundisho ya Mtume MUHAMMAD ﷺ imefundisha ushirikiano wa binadamu na majini km wasaidizi? Nami sijamkufurisha Soma vizuri hiyo comment unionyeshe nilipomkufurisha

    • @robertgeofrey4118
      @robertgeofrey4118 Před 27 dny

      Kwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao Dr.Sulle wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini

  • @user-do7ui5wi3n
    @user-do7ui5wi3n Před měsícem

    Hamjuwi maana ya ushirikina Jini ni kiumbe na kumtumia kwa jambo ambalo anauwezo ambalo ni jema hakuna shida

  • @mattarjaiskel4625
    @mattarjaiskel4625 Před měsícem

    Hakuna kitu ambacho kinaweza kumlinda mtu isipokuwa Allah. Jambo la kusema nyota inakulinda ni ushirikina

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar9124 Před 25 dny

    Freemason wamekuja kwa vitengo na style tofauti tofauti wengine wanakuja kama watu wa dini kumbe weeee

  • @user-cf9tt4vg9e
    @user-cf9tt4vg9e Před měsícem +1

    Wew mase unatumikia manjini ni ushetani uwo.