Amesema anayetaka kuweka mjadala nae amfuate sasa longolongo za nn mara tapeli mara miongo weka makala nae uone kama hujakimbia mwenyewe tusomen tuacheni ubishi
Ndg yang huyo ipm ukristo kaingia jana tu sisi tushaanxa kuhubir neno la mungu ndacha kazaliwa kwenye ukristo na kasoma lkn kwa dk sulle kagonga mwamba atakua huyo ipm
Ivi usinge kuwepo dr sule ii elimu tungeipata kwa nani hakika unafundisha haswa asiye elewa huyo ni mshabiki ktk dini naludia huyo ni mshabiki wa dini hataki kujua ukweli yeye anashabikia tu,
Mimi ni muislam ila Alhamdhulilah nishamuona Yesu kwa ndoto,na nilipomuona kwa haki ya Mwenyezi Mungu niliona baraka ambazo sikuzitarajia nilikua napitia kipindi kigumu sana ila aliponitokea kwa njozi Alhamdhulilah❤❤❤
Kwel kbsa maan na yey ni nabii na kumuota nabii bas una daraj laki mbel ya mungu mitume na manabii hawaj kwa watu wa hovyohovyo@@abubakarmwasumilwe7070
Mshukur mungu kumuota mtume wa mungu au nabii sio rahis mungu anakupenda na usione kumuota yes ndio uend kweny ukristo itakuwa ufinyu wa akili kwa yesu ni nabii wa mungu tu ni sawa na mtu aseme amemuota mtume ni daraj kubwa sana
@@ShamimHassan-qm1et siezi rudi ukristo kwa sababu yeye nimtume na ametajwa kwa dini zote ila Alhamdhulilah,kumuona kwake kuliniletea baraka,japo kuna mama mmoja muislamu nilipomuaditia nimemuona yesu alinijibu sio yesu nishetani,but chakushangaza mbona niliona neema kubwa ambayo sikuitarajia,na nilikua napitia magumu kiasi cha kuchanganyikiwa,ila mimi ninaamini kweli Isa ni mtume wa Mungu
Alie andika jitieni Nila yangu ni yohana yohana kasema YESU alisurubiwa kipofu akimuongoza mwingine watapotea haya Muhammad hajui atakalofanywa walawafuasi wake
Ushindani tu Someni kitabu chenu vizur mtaangamia kwa ujinga Mtu katahiriwa na bado awe mwana wa Mungu au awe Mungu hata akili ya kuzaliwa pia hamtumii
@@huseniyahya9121 wewe biblia huijui unasubiri wakina sule wakusomee ndio ukatafute palipo andikwa Jiyieni Nila yangu jifunzeni kwangu haya tupe mafundisho ya YESU kwenye uislam tupe mafundisho nje ya Muhammad kwenye uislam
@@denisharris2889someni biblia nyie biblia sio kitabu cha mungu ni mkusanyiko wa vitabu walio kusanya Paulo na wenzie yesu alikuwa ni Israel ndio mnatakiwa kwenda Israel mtafute vitabu alivyoacha yesu kama nyinyi wasema kweli
Nawe ujiulize kwanza maisha ya Yesu yako wapi ndanj ya quran? Ila Bibilia imesema. Na mbona ukubwa Kurani ni Robo ya Bibilia nzima? Kipi mmeandika kuhusu maisha ya mitume waliopita?. Toa boriti ndipo utoe kibanzi.. Ukweli ni huu..Kwa taarifa yako, Mungu wa quran sio Mungu wa Bibilia. Vivohivyo isa wa quran sio Yesu wa bibilia. Kwa habari ya miaka 29 ya Yesu.. Bibilia inasema... Yohana 20:30-31 Basi kuna ishara nyingine nyingi alizozifanya Yesu mbele ya wanafunzi wake, zisizoandikwa katika kitabu hiki. Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mwe na uzima kwa jina lake. John 21:25 Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.
Quran imekuja miaka 700 AD. Imekubaliana na Bibilia na mikutano ya kanisa ilioandikwa miaka 300s AD. Kwamba ni kitabu cha Mungu kwa wakristo. Yeye porojo zake anatolea wapi? Kitu pekee qurani inasisitiza kukataa ni kua Utatu mtakatifu wenye kumjumuisha Baba, Yesu na Bikira Maria. Na ndio aina ya utatu ambao wakristo wa konstatino hawaufahamu hadi hii leo. Bibilia inataja utatu wa Baba, Mwana na Roho mtakatifu, Unataka majibu gani tena, kama sio common sense?Tafakari.
Ni kama freemason kuingia ni bure ila kutoka ni kifo ila Mungu wa Biblia Anataka umwabudu kwa hiari, kama hutamwabudu maana yake wewe ni wa shetani na malipo yako ni Jehanamu ya Moto, na tameambiwa tusihukumu tusije tukahukumiwa. Maana wewe unaemuua mtu we mwenyewe umejaa dhambi kibao. Na kwenye Amri kumi tumeambiwa Tusiue.
@@Naw89 ni kweli kabisa kwenye Agano la kale katika sheria ya musa ilikuwepo hiyo ila Baada ya Kristo kuja alivunja huo utaratibu na ndio maana sheria zote za kiislamu ni zile za Agano la kale kwenye Biblia, wala hakuna aliezileta mpya ila Kwenye ukristo, utamwabudu Mungu katika Roho na kweli, ndio maana Biblia ikasema Vita vyetu sisi si juu ya Damu na Nyama ila ni juu vya Ulimwengu wa Roho. Yaani usioonekana so Ukiwa mkristo ndio utaelewa mengi zaidi , ila uislamu ni vita vya kimwili ndio maana mnaeneza Dini kwa nguvu za mwili (force)ila kwetu sio hivo.
Umetahiriwa kwanza 😂😂 yesu baada ya siku 8 kuzaliwa alitiwa sunna ndo maana waislam tunafanya ivyo lkn nyinyi hasa watu wa mbeya aaahhhhh 😂😂 I’m proud to be Muslim
Yaaani hata kama unaongozwa na dola ya kiisilamu ndio uchinjwe? Mungu gani anaruhusu mtu kumuua mtu mwingine kisa karitadi? Ni wakristo wangapi wameuwa na waisilamu huko uarabuni na kwingineko kote kwa sababu wao ni wakristo? Dini gani inaadhabu za kidikteta? Bibilia inasema Mungu ndio huua na kuweka hai kwanini umuue mwenzako kwasababu ya dini? Kwahiyo dola zao watu wakiritadi wanakatwa shingo" je hao waisilamu hawatembei katika dola za wakristo na huko hawana msikitini yao huko waonakatwa vichwa na nani kwa sababu ya kueneza uislamu wao?
Soma Maadiko 📖 yote kama wewe ni Mkweli Yohana 3:36 Asiye Mwamini Mwana wa MUNGU hana Uzima wa Milele..... Yohana 3:16 Kwa maana jinsi hii Mungu Aliupenda Ulimwengu hata Akamtoa Mwanawe wa pekee (Yesu kristo) ili kila Amwaminiye Asipote bali awe na Uzima wa Milele.
@@user-rr8cw8yl5o Baki hapo tu ukisena Mungu hazai Kwa maana Unafananisha Mungu na Mwanadamu, Mungu Anaza Kwa NENO 📖 Ukimwamini Mwana wa MUNGU (YESU) Tu Umezaliwa Upya.
Yeye amesoma kile tu kilichoandikwa na kukariri lakini maana yake ajui chochote Biblia sio kama gazeti itawachanganya saana kama ujafunuliwa kuyafahamu unapotea sio hadithi
Wana wa mwamad mnayo mzigo mzito nampo kwenye fumbo zito siri zenu zikiwekwa wazi munapinga wakati ukweli tunaujua ila asante sana wewe shehe mpaka sasa unamzungumzia yesu yaani ilo tu nijambo jema natumaini uyo unaye mzungumzia utakutana nae siku moja utamjua ana kwaana sio kwakumsoma
@@hanifa9153achana nae hy muulize kwanza katiwa sunna 😂😂😂maana yesu baada ya kuzaliwa alitiwa ndan ya siku 8 kwaivo alipotk 40 alikuwa tyr kapona sasa haoo jamaaa mpk miaka 30 wanatahiriwa kwa panga 😂😂😂😂
pole san nyiny hata ashuke mwenyew asem yeye sio mungu hamuamn mnajulikan sana ila hamlamishwi mnaelewshwa mkikataa bas mtajua wenyewe muhim mmeambiwa bas
Hana madini yoyote. Kwanza quran inawataka msikosoe kitabu cha bibilia. Kwakua ni cha mwenyezi Mungu. Nyie mwajitia kukosoa. Mnataka kumfanya allah wenu aliyekisadiki kisha akawapa. Wakristo kua yuu Mwongo? . Tafakari chukua hatua...
Hata huislamu ni dogma cz dini ni dogma nyingi zilizowekwa pamoja so Kila inayoitwa dini Iko katika dogma Dr sulle kasome triparti colonial utaelewa hapo Pana nini
Ikiwa tabia zetu na hulka zetu hazilingani naimani hata Dini haziwezi fanana . Dini ilikuwa biashara ila weka imani yako kwa unachokiani lkini usipotoshe na wala usitazame kibanzi kilichopo kwenye jicho la mwenzio
■Huyu mzee ni kipofu asiyejijua ni kipofu na wakristo wa kweli waliojaa Roho na wana wa Mungu hawawez kukujibu kutokana na Tito 3:9. Labda katafute wasabato maan wao ni JUDAISM sio wakristo. BIBLIA HAISOMWI KAMA GAZETI KAMA KITABU CHAKO. sharti na maongoz ya Roho mtakatifu. Paul alionya. Tena maandiko yanaua bali Roho anahuisha.🙏
@@Hussein-gx4qu Sikushangai maana huoni. Nirudie biblia sio sio kitabu chenu. Haisomwi kama hadhi. Lazima ufe kiroho imeandikwa kabisa mpaka uwe na Roho Mtakatifu my friend. Ndo maana wengivhukengeuka na kuongea kwa mihemko. Wew waona ni barua kwa upofu wako bali kasome 1kor7 mstari wa 40. Anaandika si yeye bali ni Roho wa Mungu amuongozae kuandika.chochote kilicho ktk biblia yaani NENO Kinaishi. NENO LI HAI NA LINANGUVU. utakuja kuelewa na kuliacsana ikiwa utapata Neema ya wokovu ila ikiwa umekusudiwa jehanam na dini yako hiyo utajuta ukiwa ndani yake bila tumsinj tena maan ushakufa.
Mimi nikuulize Sule ikiwa mitume wote walikua waislam kwa nini MAJINI hawakusikia Qur'an zao wakasilim? Kwa nini walisikia Qur'an ya Muhammad ndo wakasilim?🤔
ndoujue kuwa gur an inanguvu kuslm sio jintu hata shetan anatakiw kuslim kwan vibaya jin kuslm mbina sio kitu cha kushangaza ndo tujue yakuwa gur an inanguvu sana had jina kaslimu
Matapeli nyie waabudu shetani, mada ulioonyesha ni "PROPHET IPM" lakini mjadala umehamia kwa bwana YESU, enyi waana wa ibilisi nanyi niwa-ovu kama baba yenu ibilisi, kama huamini jaribu kufanya makubaliano/mkataba na muislamu lazima mwishoni atakugeuka.
Jibu hoja ubishi na kujisemea ni ushetani kanisa ni kwenye kiti Cha enzi Cha shetani. Na ndio maana babayenu papa kawaruhusu mfirane na mbarikiwe kiti chake Cha enzi Cha shetani
Ila huyu ni mwongo sana, anasema wasabato hawaamini katika Utatu Mtakatifu, wakati juzi tu katoka kubishana na Ndacha ambae ni msabato. Na anatetea utatu Mtakatifu
Uisilamu umeanza tokea alipotumwa Adam, mpaka kaja kuhitisha Mtume Muhammad swalla llahu alyhi wassllam. Kitabu chetu Qur'an kishatuambia, hatuendeshwi kwa pumba km wakiristo
Dr gani wewe sure hivi kweli majini yalijenga hekalu la suleiman,.huna akili nzuri wewe mfuga majini tu mtume huwezi kumfananisha na yesu.afu muhamad kafanya nini ambacho cha maana.
Mbna yesu alitahiriwa baada ya siku 8 kuzaliwa waislam tunafanya ivyo ndn ya wiki 1 baada ya mtoto kuzaliwa jee? Nyie wakristo mnafanya ivyo???? Wengi wenu magovi 😂😂😂😂😂😂
Mimi nasema hakuna mahali majini walijenga hekalu la Suleiman. Na hakuna mchawi mkristu, uchawi umekataliwa na Biblia. Huyo aliye mtaja, hakuwa anafanya uchawi kama mkristu, bali kama mtu wa mataifa, kule mitume walikua wanahubiri injili.
Ile lugha ma pasta wanayo isemeya.kanisani eti lugha ya mbinguni mbone unaikubali na haina mana tena sio lugha ya kiuko kiarabu ukitafuta mana unaipata
Ile lugha ma pasta wanayo isemeya.kanisani eti lugha ya mbinguni mbone unaikubali na haina mana tena sio lugha ya kiuko kiarabu ukitafuta mana unaipata
Kisha mungu alisema atatucagulia lugha moja tutakae itumia kwenye ibada wewe mfano ukenda India utarudi bila kufanya Ibadan wanatumia lugha yawo ila kwa wa Islam kitabu kimoja lugha moja
Kisha mungu alisema atatucagulia lugha moja tutakae itumia kwenye ibada wewe mfano ukenda India utarudi bila kufanya Ibadan wanatumia lugha yawo ila kwa wa Islam kitabu kimoja lugha moja hata ukedunia nzima utafanya Ibada ila nyinyi mna kikombo chain urusi nakwengineko wanayo tumia lugha ya taifa lambda wasomi wakienda wingereza ufaransa ndo watafanikiwa ila Islam kote tanafanya ibada
Kisha mungu alisema atatucagulia lugha moja tutakae itumia kwenye ibada wewe mfano ukenda India utarudi bila kufanya Ibadan wanatumia lugha yawo ila kwa wa Islam kitabu kimoja lugha moja hata ukedunia nzima utafanya Ibada ila nyinyi mna kikombo chain urusi nakwengineko wanayo tumia lugha ya taifa lambda wasomi wakienda wingereza ufaransa ndo watafanikiwa ila Islam kote tanafanya ibada
@@jumakutengeza1080 wachache tunaelewa wengi hawaelewi.we mpaka ukasome theologia. ILA SULE ANA UONGO WA AKILI. IBIRISI NDO BABA WA UONGO.ANAMIFUMO SIO RAHISI KILA MTU KUGUNDUA.
Nina uhakika 100% we sio mzima mtu anatumia iyo iyo bible kukosoa ujinga uliokuwepo ata kwa akili ya darasa la 3 c unajua kabisa hapa hakuna dini ya kweli na ww bado unasema muongo je angekua anatoa aya izo kwenye quran ungesema je.? Nakuone huruma ukifa kafiri ukiendelea kumwamini Mungu wako Yesu aliyetailiwa sawa sawa na ww mwenyewe
@@impeccablerito7922 Hope uko serious kuhama kwa dini mbovu ya uislamuna kuja kwa Yesu nikitoa verse. Hiis hapa. Jesus continues, “You are Peter, and on this rock I will build my church, and the gates of hell shall not prevail against it” (Matt. 16:18).
@@Onlyforfun1992tube Neno alifanyika mwili akawa binadamu na lazima angepitia kila stages ya binadamu. Hivi nikuulize, Yesu ako hai,alienda mbinguni na ako na baba yake, mungu.
Nachoona hapo shule imekosekana kama pete mbona ata wazungu wanavaa na kanisani watu wanafunga ndoa wanavalishana pete. Sema kuna watu uwezo wao wa kufikiri na upeo wao kuna mda unahisi ata kuku anaakili kulko binadamu😂
NIMESIKILIZA DAKIKA CHACHE MWANZO NIMEGUNDUA SULLE HAJIELEWI KABISA!! 1. ETI KIPOFU AKIMUONGOZA KIPOFU MWINGINE, WATATUMBUKIA SHIMONI......KAMA ANAJUA HILO...MBONA ANAMFWATA MUHAMMAD AMBAYE ALIKIRI HAJUI AENDAKO AKIKUFA?? KORAN 46:9 ...KHERI NIMFWATE YESU AMBYE NDIYE NJIA NA KWELI NA UZIMA KUMFIKIA MWENYEZI MUNGU - YOHANA 14:6 2. NA KAMA ANAJUA MUNGU WA MBUNGUNI NI BABA...MBONA WAISLAMU HUMKANA?? ALISUJUDU NA KUSALI "BABA YANGU"....WAISLAMU WANAPINGA HILO!! NILICHOKA KUFWATILIA BAADA YA HAPO.....ANAJUA UKWELI LAKINI ANAFANYA KINYUME!! NYANI KWELI HAONI KUNDULE!!
@@Hussein-gx4qu Yesu alisema hayo akiwa tayri ashafanyika mwili akawa Mwana!! Tatizo kubwa kwa waislamu ni kutumjua Yesu kabla hajafanyika mwili. Na Yesu Kristo sio yule feki wa muhammad issa bin maryam, MJUE YESU NI NANI KABLA IBRAHIM HAJAZALIWA!!
@@chapchap-oz1ou hiyo ni hoja ya kipumbavu hata ukosoma kitanu cha methali suleimani anasema yeye alikuwepo kabla ya Dunia haijaumbwa kwa hiyo tukichukulia hiyo hoja Yako kwa hiyo na suleimani tumwite na yeye ni mungu ? ndio ujue hizo hoja zako ni za kipumbavu hazina mashiko yoyote ya kumpa uungu mtu acha ujinga kasome
@@chapchap-oz1ou Sasa kama wewe unasema yesu ndio mungu mkuu pale msalabani alipokuwa akilalama mungu wangu mungu wangu mbona umeniacha sasa nikuulize na unijibu hapo yesu alikua akilalamika mungu wake yupi tena kamuacha na wakati wewe unasema yeye ndio mungu mkuu? mungu wake yupi Tena kamuacha na wakati wewe unasema yeye yesu ndio mungu mkuu mwenyewe? au unajizima data?
@@chapchap-oz1ou halafu kitu kiingine hayo maandiko sijui eti aliuvaa mwili hiyo sio bibilia hizo ni barua za Paulo ndio zinasema hivo na sio yesu mwenyewe we unatuletea barua za Paulo hapa mtu ambae alikuwa mbakaji na Mkata vichwa vya watu hivi we una akili kweli?
Shekhe wangu nakupenda sana kwa ajili ya Allah sulle Doctor sulle Allah akupe umlimlefu sana Shekhe
Dr sule mungu akuweke waislam nanavimba sana na wewe
Maashallah❤ sheikh wetu tumejifunza mengivnakufaidika alieskia kaskia ALLAHakulipe kila lakheiri pia akuhifadhi na sote tunae kufata amiin yarraby
Safi sana mm mkiristu lkn nimekuelewa sana
Hongera sana ndugu
Umeelewa nn?
YESU ALISEMA hivi ÷÷ ASIYE NA DHAMBI NA AWE WA KWANZA KUTUPA JIWE÷÷
Unadhani Yesu alimaanisha nini???
Allah akulinde kwa kila kitu. Akupe umli mrefu uzid kutupa Iman wallah your professional wa kiislam❤
ALLAH AKUPE UMRI MREFU SHEKH
Shukran sana shekhe wetu Allah akuzidishie yalo mema ishaallah ❤❤❤❤❤
Maashaa Allah..
Dr. Sule tumejifunza mengi kwako ..
Amesema anayetaka kuweka mjadala nae amfuate sasa longolongo za nn mara tapeli mara miongo weka makala nae uone kama hujakimbia mwenyewe tusomen tuacheni ubishi
Ndg yang huyo ipm ukristo kaingia jana tu sisi tushaanxa kuhubir neno la mungu ndacha kazaliwa kwenye ukristo na kasoma lkn kwa dk sulle kagonga mwamba atakua huyo ipm
Ivi usinge kuwepo dr sule ii elimu tungeipata kwa nani hakika unafundisha haswa asiye elewa huyo ni mshabiki ktk dini naludia huyo ni mshabiki wa dini hataki kujua ukweli yeye anashabikia tu,
Yan nipo na note ayo maandiko maana kuna group zang za uislam na ukristo so napelek moto😂😂
❤❤ mashallah mashallah ❤alhamdull lah mafunzomazuli Allah akulinde insha'Allah
MUNGU AWAUONGOZE MANDUGU WAKRISTO WAJUWE DINI YA HAKI NA UKWELI INSHALLAH
Haki kuua?😅 fungua macho
Mimi ni muislam ila Alhamdhulilah nishamuona Yesu kwa ndoto,na nilipomuona kwa haki ya Mwenyezi Mungu niliona baraka ambazo sikuzitarajia nilikua napitia kipindi kigumu sana ila aliponitokea kwa njozi Alhamdhulilah❤❤❤
Wewe ukitoka nje Ya UISLAM Umekula khasala
Kwel kbsa maan na yey ni nabii na kumuota nabii bas una daraj laki mbel ya mungu mitume na manabii hawaj kwa watu wa hovyohovyo@@abubakarmwasumilwe7070
Mshukur mungu kumuota mtume wa mungu au nabii sio rahis mungu anakupenda na usione kumuota yes ndio uend kweny ukristo itakuwa ufinyu wa akili kwa yesu ni nabii wa mungu tu ni sawa na mtu aseme amemuota mtume ni daraj kubwa sana
@@ShamimHassan-qm1et siezi rudi ukristo kwa sababu yeye nimtume na ametajwa kwa dini zote ila Alhamdhulilah,kumuona kwake kuliniletea baraka,japo kuna mama mmoja muislamu nilipomuaditia nimemuona yesu alinijibu sio yesu nishetani,but chakushangaza mbona niliona neema kubwa ambayo sikuitarajia,na nilikua napitia magumu kiasi cha kuchanganyikiwa,ila mimi ninaamini kweli Isa ni mtume wa Mungu
😂
Asante kwa kutuelimisha
Kweli uongo wawakristo sasa umefika mwisho
Mashaallah mungu azid kkuweka sanaaa
Alie andika jitieni Nila yangu ni yohana yohana kasema YESU alisurubiwa kipofu akimuongoza mwingine watapotea haya Muhammad hajui atakalofanywa walawafuasi wake
Ushindani tu Someni kitabu chenu vizur mtaangamia kwa ujinga
Mtu katahiriwa na bado awe mwana wa Mungu au awe Mungu hata akili ya kuzaliwa pia hamtumii
Mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah 🌹 mashaa llah
mashaa 🎉🎉🎉🎉🎉
Shekh sule uko vizur
Tatizo mna somewa kutoa sadaka 2 bible niyenu lkn hamyasomi na hamuulizi maswali wachungaji wenu ndo maana hamuelewi 4:23
@@huseniyahya9121 wewe biblia huijui unasubiri wakina sule wakusomee ndio ukatafute palipo andikwa Jiyieni Nila yangu jifunzeni kwangu haya tupe mafundisho ya YESU kwenye uislam tupe mafundisho nje ya Muhammad kwenye uislam
YOHANA kasema ktk aya gan?,tujulishe tuelimike.
Ukweli unaumaa jmn tatizo wakristo hawasomi bibilia wangesoma bibilia wange ujua ukweli tatizo hawasomi kasomeni acheni ushabiki
Mnateseka mkiamini mungu wa Quran ni Mungu wa Bibilia. Mungu wa wakristo hatamtambui Mohammad wala nabii Isa wala allah.
Msifosi tufanane...
@@denisharris2889someni biblia nyie biblia sio kitabu cha mungu ni mkusanyiko wa vitabu walio kusanya Paulo na wenzie yesu alikuwa ni Israel ndio mnatakiwa kwenda Israel mtafute vitabu alivyoacha yesu kama nyinyi wasema kweli
@@denisharris2889karibu katika uislam uislam raha
@@denisharris2889hatuna haja Wala hatuitaji tufanane na makafiri mliopotea elimu hamna kazi yenu kusomewa t bibilia someni bibilia nyie matahira
Mashallah sure ni mwarimu kbx
DR SULLE inabidi akutanishwe na OMARY MNYESHANI. Ndio level yake kwa elimu za dini hizi mbili.
Kwenda zako Sule mchawi una Pete za majini uislamu wenyewe uchawi tu ‼️😃😃😃
Naomba hufungue fumbo lililopo sio kusoma nakuelezea in revelation hapo Pana Siri Nyingine
Allah akulipe she he wetu tunajifunza mengi ishaallah
Ajikwezae hushushwa
Nyie wa kristo acheni ubishi semeni myaka 29 yesu alikuwa wapi ao alikuwa anafanya nini toweni majibu
Nawe ujiulize kwanza maisha ya Yesu yako wapi ndanj ya quran? Ila Bibilia imesema. Na mbona ukubwa Kurani ni Robo ya Bibilia nzima? Kipi mmeandika kuhusu maisha ya mitume waliopita?. Toa boriti ndipo utoe kibanzi..
Ukweli ni huu..Kwa taarifa yako, Mungu wa quran sio Mungu wa Bibilia. Vivohivyo isa wa quran sio Yesu wa bibilia.
Kwa habari ya miaka 29 ya Yesu.. Bibilia inasema...
Yohana 20:30-31
Basi kuna ishara nyingine nyingi alizozifanya Yesu mbele ya wanafunzi wake, zisizoandikwa katika kitabu hiki.
Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mwe na uzima kwa jina lake.
John 21:25
Kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.
Watoe majibu😅
Quran imekuja miaka 700 AD. Imekubaliana na Bibilia na mikutano ya kanisa ilioandikwa miaka 300s AD. Kwamba ni kitabu cha Mungu kwa wakristo. Yeye porojo zake anatolea wapi? Kitu pekee qurani inasisitiza kukataa ni kua Utatu mtakatifu wenye kumjumuisha Baba, Yesu na Bikira Maria. Na ndio aina ya utatu ambao wakristo wa konstatino hawaufahamu hadi hii leo. Bibilia inataja utatu wa Baba, Mwana na Roho mtakatifu, Unataka majibu gani tena, kama sio common sense?Tafakari.
Mbonaa mmeyakatisha mahojiano sehemu muhimu ya paulo tatizo nn sasa
This Dude is outrageous 🔥🔥
DR SULE U'R IN A MILLION MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU UWAPE ULEMI YA HAKI NA UKWELI
Ukiristo so dini ni kikundi Cha wahuni
Ni kama freemason kuingia ni bure ila kutoka ni kifo ila Mungu wa Biblia Anataka umwabudu kwa hiari, kama hutamwabudu maana yake wewe ni wa shetani na malipo yako ni Jehanamu ya Moto, na tameambiwa tusihukumu tusije tukahukumiwa. Maana wewe unaemuua mtu we mwenyewe umejaa dhambi kibao. Na kwenye Amri kumi tumeambiwa Tusiue.
Soma sheria ya mussa
Utaelewa tu unapinga kitu usichokijua
Someni maandiko muelewe
Usichanganye frimason na uislam
Hii ni dini ya Mwenyezi Mungu na yeyote atakae kaa kwenye dini isiokuwa ya kiislam haitakubaliwa
@@Naw89 ni kweli kabisa kwenye Agano la kale katika sheria ya musa ilikuwepo hiyo ila Baada ya Kristo kuja alivunja huo utaratibu na ndio maana sheria zote za kiislamu ni zile za Agano la kale kwenye Biblia, wala hakuna aliezileta mpya ila Kwenye ukristo, utamwabudu Mungu katika Roho na kweli, ndio maana Biblia ikasema Vita vyetu sisi si juu ya Damu na Nyama ila ni juu vya Ulimwengu wa Roho. Yaani usioonekana so Ukiwa mkristo ndio utaelewa mengi zaidi , ila uislamu ni vita vya kimwili ndio maana mnaeneza Dini kwa nguvu za mwili (force)ila kwetu sio hivo.
Umetahiriwa kwanza 😂😂 yesu baada ya siku 8 kuzaliwa alitiwa sunna ndo maana waislam tunafanya ivyo lkn nyinyi hasa watu wa mbeya aaahhhhh 😂😂 I’m proud to be Muslim
Yaaani hata kama unaongozwa na dola ya kiisilamu ndio uchinjwe?
Mungu gani anaruhusu mtu kumuua mtu mwingine kisa karitadi?
Ni wakristo wangapi wameuwa na waisilamu huko uarabuni na kwingineko kote kwa sababu wao ni wakristo?
Dini gani inaadhabu za kidikteta?
Bibilia inasema Mungu ndio huua na kuweka hai kwanini umuue mwenzako kwasababu ya dini?
Kwahiyo dola zao watu wakiritadi wanakatwa shingo" je hao waisilamu hawatembei katika dola za wakristo na huko hawana msikitini yao huko waonakatwa vichwa na nani kwa sababu ya kueneza uislamu wao?
Mashallah Dk wape ukweli ao wabishi
Soma Maadiko 📖 yote kama wewe ni Mkweli
Yohana 3:36
Asiye Mwamini Mwana wa MUNGU hana Uzima wa Milele.....
Yohana 3:16
Kwa maana jinsi hii Mungu Aliupenda Ulimwengu hata Akamtoa Mwanawe wa pekee (Yesu kristo) ili kila Amwaminiye Asipote bali awe na Uzima wa Milele.
Sisi waislam tunamuamini, Alhamdulillah hatutapotea. Lkn wao wanaomzidishia sifa za uungu ndio waliopotea
@@pilotclassic4468 wafilipi 2:5-8 📖
Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hafanani na kitu chochote uctupatishe madhambi hapa
@@user-rr8cw8yl5o Baki hapo tu ukisena Mungu hazai Kwa maana Unafananisha Mungu na Mwanadamu, Mungu Anaza Kwa NENO 📖 Ukimwamini Mwana wa MUNGU (YESU) Tu Umezaliwa Upya.
Bora wewe umekiribkuwa Yesi ni mwana wa mungu
Mollah wetu akupe umri mlefu xhekh wetu, sulle,,
Mashaallah
Leo davista kaingia mtumbwi..
Wa vibwengo 😂😂😂😂😂
Sasaivi dini zote biashara mungu ndio anajuwa nani mkwe nani muongo kwanza sisi waislmu ndio tatizo
huyu ndo daktari sule sasa na asogge pastor yyt anapotea hapo.
Yeye amesoma kile tu kilichoandikwa na kukariri lakini maana yake ajui chochote Biblia sio kama gazeti itawachanganya saana kama ujafunuliwa kuyafahamu unapotea sio hadithi
Dr Sule namkubali sana,anaelimisha sana
baba yangu wapi waislam mnasema YESU ni mwana wa MUNGU haya kwahiyo biblia ni kweli
Biblia sio ya kwel sababu haijijui😂😂😂
@@SaudaA.QassimSauda.A.Qassim Wewe unaitwa nani??
@@jesusislord9190 jina langu si hilo
Wachamungu wote ni Wana wa MUNGU. Yesu alimwita MUNGU baba kwakua alikua mchamungu. Kwan WAKIRISTO wote si mnasema baba yetu ulie mbingun
@@sultansallah8772 leta andiko la Quran khadith ufafanuzi likisema wacha Mungu ni wana wa MUNGU ? Allah anaweza kuwa na mwana?? Umefeli sana
Umemsahau Musa...na muhammad hayumo mbinguni
Hata sisi hatujawa Wakristo by chance but tumekua Wakristo by Choice
Wana wa mwamad mnayo mzigo mzito nampo kwenye fumbo zito siri zenu zikiwekwa wazi munapinga wakati ukweli tunaujua ila asante sana wewe shehe mpaka sasa unamzungumzia yesu yaani ilo tu nijambo jema natumaini uyo unaye mzungumzia utakutana nae siku moja utamjua ana kwaana sio kwakumsoma
Mungu wetu cc wa Islam ni 1 na wa yesu ni 1 sasa nyie hao wa 3 mnawatoa wap😂😂😂
@@hanifa9153achana nae hy muulize kwanza katiwa sunna 😂😂😂maana yesu baada ya kuzaliwa alitiwa ndan ya siku 8 kwaivo alipotk 40 alikuwa tyr kapona sasa haoo jamaaa mpk miaka 30 wanatahiriwa kwa panga 😂😂😂😂
Waislam wamejikaanga 😂😂😂
pole san nyiny hata ashuke mwenyew asem yeye sio mungu hamuamn mnajulikan sana ila hamlamishwi mnaelewshwa mkikataa bas mtajua wenyewe muhim mmeambiwa bas
Kipo kitu Dr Suleman tunaomba kukipata kutoka kwako
Tunaomba tuipate historia ya Yesu kutoka kwako tofauti na Yesu tunaemsoma kwenye Biblia
Acheni tantalila mwenye uwezo na anae jiamini anajua dini ,kidume icho hapo aweke mjadala tujifunze.
Tupe number 3
Let me summerise this YESU ni MUNGU na dini hampeleki mtu mbinguni sisi wakristo tunaamini YESU n nyinyi bakini ya dini yenu
Tuwaombee sana ili Yesu aliye mwokozi waweze kumjua muda ungali upo
Umeyatoa wapi hyo
Huo ni ubishi tu huna hoja yoyoyte
Kumbuka hata yesu aliumbwa na hata alipo kuja duniani alikuta mittume ambao walisha pita swali je nani alikuwa kabla yetu
@@user-sv6zy3hc8o aliumbwa na nani Yesu ni Mungu upende usipende
Tuwekee mwendelezo tusikie story ya paulo
Hakika Uislamu ndio din ya hakii
Waomba msamaha harafu warusha moja hakuna faida angalia mwenyewe😂
Uyu jamaa alitumwa lakn katumwa pasipo tumika 😅🤣😂😅😂 yan unauliza Dr ni ya nn kwel huon madin yanayoshushwa
Hana madini yoyote. Kwanza quran inawataka msikosoe kitabu cha bibilia. Kwakua ni cha mwenyezi Mungu. Nyie mwajitia kukosoa. Mnataka kumfanya allah wenu aliyekisadiki kisha akawapa. Wakristo kua yuu Mwongo? . Tafakari chukua hatua...
yesu alikufa au hajafa kwasababu umetaja kifungu cha yesu akiomba juu ya mauti ya msalaba
Ni Waebrania 5:7 sio 3:1
Sule wewe ni nmuongo sana yaani unasema hekalu lijengwa na majini? Kasme vizuri Biblia utaelewa vizuri
Hata huislamu ni dogma cz dini ni dogma nyingi zilizowekwa pamoja so Kila inayoitwa dini Iko katika dogma Dr sulle kasome triparti colonial utaelewa hapo Pana nini
Ikiwa tabia zetu na hulka zetu hazilingani naimani hata Dini haziwezi fanana . Dini ilikuwa biashara ila weka imani yako kwa unachokiani lkini usipotoshe na wala usitazame kibanzi kilichopo kwenye jicho la mwenzio
ikiwa waona anapotosha mtafute mueke mjadala mimi ntagharamia mhadhara.😂😂😂😂
Hakuna point hpo
soma kijana kwanza laazivyo kaatu kimwa
Kwa amabra Hana akili Kam wew ndio Haoni point went akil tu ndio wameelewa
■Huyu mzee ni kipofu asiyejijua ni kipofu na wakristo wa kweli waliojaa Roho na wana wa Mungu hawawez kukujibu kutokana na Tito 3:9. Labda katafute wasabato maan wao ni JUDAISM sio wakristo. BIBLIA HAISOMWI KAMA GAZETI KAMA KITABU CHAKO. sharti na maongoz ya Roho mtakatifu. Paul alionya. Tena maandiko yanaua bali Roho anahuisha.🙏
Sasa huyo Tito 3.9 unayotoa hizo ni barua za Paulo we unatuletea barua za Paulo hapa ?
@@Hussein-gx4qu Sikushangai maana huoni. Nirudie biblia sio sio kitabu chenu. Haisomwi kama hadhi. Lazima ufe kiroho imeandikwa kabisa mpaka uwe na Roho Mtakatifu my friend. Ndo maana wengivhukengeuka na kuongea kwa mihemko. Wew waona ni barua kwa upofu wako bali kasome 1kor7 mstari wa 40. Anaandika si yeye bali ni Roho wa Mungu amuongozae kuandika.chochote kilicho ktk biblia yaani NENO Kinaishi. NENO LI HAI NA LINANGUVU. utakuja kuelewa na kuliacsana ikiwa utapata Neema ya wokovu ila ikiwa umekusudiwa jehanam na dini yako hiyo utajuta ukiwa ndani yake bila tumsinj tena maan ushakufa.
Utafute pasta Ndacha
Ndacha nae aliweza kuutetea ukiristo wenu?
J.B.B.1999
Mimi nikuulize Sule ikiwa mitume wote walikua waislam kwa nini MAJINI hawakusikia Qur'an zao wakasilim?
Kwa nini walisikia Qur'an ya Muhammad ndo wakasilim?🤔
Wew ni jinga kabisa tosheka ivi mungu wa yesu ni 1 na mungu wa cc waislam ni 1 pia nyinyi huo utatu mliutoa wapi!???
ndoujue kuwa gur an inanguvu kuslm sio jintu hata shetan anatakiw kuslim kwan vibaya jin kuslm mbina sio kitu cha kushangaza ndo tujue yakuwa gur an inanguvu sana had jina kaslimu
Hata km ni Mkristo ukimkataa Doctor Sule bac utakw na lako jngn maana amechambua kila upande tena kwa maandiko.
Mzee bible unaijua bana😂😂😂😂
Kwenye uwilamu kuna ndota au shehe
Dr sullen hapo haiwezi elimu ya bibilia ata kidogo
Mtafute mueke mjadala, sisi wapenzi wasikilizaji tupo!
Matapeli nyie waabudu shetani, mada ulioonyesha ni "PROPHET IPM" lakini mjadala umehamia kwa bwana YESU, enyi waana wa ibilisi nanyi niwa-ovu kama baba yenu ibilisi, kama huamini jaribu kufanya makubaliano/mkataba na muislamu lazima mwishoni atakugeuka.
Jibu hoja ubishi na kujisemea ni ushetani kanisa ni kwenye kiti Cha enzi Cha shetani. Na ndio maana babayenu papa kawaruhusu mfirane na mbarikiwe kiti chake Cha enzi Cha shetani
Waliojenga ni wa Israeli wayaudi sio majini.
Ila huyu ni mwongo sana, anasema wasabato hawaamini katika Utatu Mtakatifu, wakati juzi tu katoka kubishana na Ndacha ambae ni msabato. Na anatetea utatu Mtakatifu
😅
Ndacha amekiri mwenyewe haamini kwenye utatu
Ndacha ameasi saizi, nae ameanza kupinga. Shetani yupo kazini
Anayemhoji kabanwa na haja kubwa
Nyie mnaosema muongo bas muiteni sule ukapamban
2:53 anaehoji alisikia joto akafungua zipu
😂😂😂akili huna😂😂
Kuna jini na pepo na viumbe vya kichawi.
Mbona ndacha ulimshindwa na alikufuata tz, na mlikua weng 2
we ile dibet ya ndacha na sulehujaiona nini au unajizima data ? huyo ndacha wako alishindwa vibaya
Ule sio mwana dibeti yule mtafta kiki kwa wazungu ndacha hajui lolote kelele zake kibao
😂😂😂😂😂 ndacha yy mwenyew anaswali kimya kimya
Nipo na bible hapa ila mengi anayoyasema nikichek nakuta tofaut😂😂😂 matango poli😢
Unajua kuisoma vzr lakini,?
@@athumanhatibumkombolaguhaitakuwa kwel hajui mwisho wanaikana na biblia😂😂
Tatizo bible zipo nyingi
Kwani dini ya kwanza kuwako duniani ni dini gani
Dini ya kwanza inayo itwa upagan
Je uisilamu ulianza miaka mingapi Baada ya Yesu kufariki
Uislamu ulikuwepo tokea zamani manabii wote walikua Waislamu
Hata Yesu ni muislamu
Miaka 600
Uislamu ulianza toka mtu wakwanza kuumbwa
@@Naw89 Yesu alibatizwa, waislam walibatizwa wapi?
Uisilamu umeanza tokea alipotumwa Adam, mpaka kaja kuhitisha Mtume Muhammad swalla llahu alyhi wassllam.
Kitabu chetu Qur'an kishatuambia, hatuendeshwi kwa pumba km wakiristo
Yesu alimwita mungu baba,kwahivyo shule anakunakubali yesu ni mwana wa mungu?
Yeyote aliemtiifu kwa Mungu huitwa MWANA WA MUNGU
@@swafiirbulbul819Lakini Yesu pia ni Mungu maana alikubali kuabudiwa na kuitwa Mungu.
@@SaaS-Guide Wapi katika Biblia Yesu amefundisha Wanafunzi wamuabudu..!???
@@SaaS-Guide Pia, wapi Yesu katika Biblia amesema Yeye ni Mungu..!??
@@SaaS-Guide Lakini ukisema; "Pia Yesu ni Mungu.." .. Unamaanisha Mungu ni Wawili..??!! Au..? 🤔
Hujui sulle chochote.
kaseme wew unaejua
Hamuoni kama nyie mamkosea mungu kuchukua maamuzi ya kumkata kichwa nyie mnahukumu nyie ni mungu
Hata Biblia yesu alisema wasiomkubali wauwawe!
Shebby kwasababu wenda ujasoma bibilia lkn kama unajua jinsi anavyojikanya ungekuwa unambananisha sema kwakua ujui tumpe ushindi
Ila Dr Sule ameomba kwa yeyote ambae anataka kukutana nae wakati wowote, ni vema kwa kuwa wewe unaijua Biblia ukakutana nae.
@@saidsuleiman1753 Itakuwa hivo na sio bibilia hata quran naijua tunamsubili akirudi South Africa
Dr gani wewe sure hivi kweli majini yalijenga hekalu la suleiman,.huna akili nzuri wewe mfuga majini tu mtume huwezi kumfananisha na yesu.afu muhamad kafanya nini ambacho cha maana.
Mbona yesu alibatizwa lakini waislam hawabatizwi kila dini inataratibu zake nijibu hilo
Mbna yesu alitahiriwa baada ya siku 8 kuzaliwa waislam tunafanya ivyo ndn ya wiki 1 baada ya mtoto kuzaliwa jee? Nyie wakristo mnafanya ivyo???? Wengi wenu magovi 😂😂😂😂😂😂
Muhamadi yuko kaburini usitudanganye wewe
Mimi nasema hakuna mahali majini walijenga hekalu la Suleiman. Na hakuna mchawi mkristu, uchawi umekataliwa na Biblia. Huyo aliye mtaja, hakuwa anafanya uchawi kama mkristu, bali kama mtu wa mataifa, kule mitume walikua wanahubiri injili.
Mbona kuna wacristo wengi ni wa chawi
Ipm simuoni
Story inaendelea keep calm
Yuko wapi huyo ipm
Ndasha atakunyosha
Acha kua shabiki wa dini soma bible nafanya research ya upande wa pili utakua umeinusuru nafsi yako kama kwelii unataka kujua ukweli na mungu wakweli
ndacha alishindwa vibaya kaangalie vizuri Ile dibeti Tena
Hakika Dr sule umeupiga mwingi...hususani hapo uliposema "Yanga kaifunga Simba 7-2 msimu wa 2024...UKIPINGA NI KAFIRI.
😂😂bwege weee
Hata ukimsafisha nguruwe 🐖 atakua tu mchafu
Kwa nini kiharabu kwa wa Tz waswahili na makabila sio warabu
Ile lugha ma pasta wanayo isemeya.kanisani eti lugha ya mbinguni mbone unaikubali na haina mana tena sio lugha ya kiuko kiarabu ukitafuta mana unaipata
Ile lugha ma pasta wanayo isemeya.kanisani eti lugha ya mbinguni mbone unaikubali na haina mana tena sio lugha ya kiuko kiarabu ukitafuta mana unaipata
Kisha mungu alisema atatucagulia lugha moja tutakae itumia kwenye ibada wewe mfano ukenda India utarudi bila kufanya Ibadan wanatumia lugha yawo ila kwa wa Islam kitabu kimoja lugha moja
Kisha mungu alisema atatucagulia lugha moja tutakae itumia kwenye ibada wewe mfano ukenda India utarudi bila kufanya Ibadan wanatumia lugha yawo ila kwa wa Islam kitabu kimoja lugha moja hata ukedunia nzima utafanya Ibada ila nyinyi mna kikombo chain urusi nakwengineko wanayo tumia lugha ya taifa lambda wasomi wakienda wingereza ufaransa ndo watafanikiwa ila Islam kote tanafanya ibada
Kisha mungu alisema atatucagulia lugha moja tutakae itumia kwenye ibada wewe mfano ukenda India utarudi bila kufanya Ibadan wanatumia lugha yawo ila kwa wa Islam kitabu kimoja lugha moja hata ukedunia nzima utafanya Ibada ila nyinyi mna kikombo chain urusi nakwengineko wanayo tumia lugha ya taifa lambda wasomi wakienda wingereza ufaransa ndo watafanikiwa ila Islam kote tanafanya ibada
Aaa! SULEEE! MUONGOO, UNA ELIMU YA UONGO MSHUA,ALAFU UKO SILIASI ILEILE YAN
Ayo maandiko aliotoa kwa Biblia hayapo?
@@jumakutengeza1080 wachache tunaelewa wengi hawaelewi.we mpaka ukasome theologia. ILA SULE ANA UONGO WA AKILI. IBIRISI NDO BABA WA UONGO.ANAMIFUMO SIO RAHISI KILA MTU KUGUNDUA.
Nina uhakika 100% we sio mzima mtu anatumia iyo iyo bible kukosoa ujinga uliokuwepo ata kwa akili ya darasa la 3 c unajua kabisa hapa hakuna dini ya kweli na ww bado unasema muongo je angekua anatoa aya izo kwenye quran ungesema je.? Nakuone huruma ukifa kafiri ukiendelea kumwamini Mungu wako Yesu aliyetailiwa sawa sawa na ww mwenyewe
@@impeccablerito7922 Sio kosa lako kusema hivo ndugu AKILI na UFAHAMU wako umeishia kwa SULE. wenzako tunaelewa zaidi ya SULE.
Kakuonesha kupitia biblia bado unasema muongo duuh?? Hajatumia Qur'an katumia biblia, uongo uko wapi rafiki?
😂
Sema tu ni wapi bibilia inafundisha uchawi wacha kukurupuka sijui Esther sijui Nehemiah. قُلْ أُوحِيَ إِلَيَّ أَنَّهُ اسْتَمَعَ نَفَرٌ مِّنَ الْجِنِّ فَقَالُوا إِنَّا سَمِعْنَا قُرْآنًا عَجَبًا waisilamu wanashirikiana na majini kulingana na sura 72.
kwan dhambi alaf hii sura mnatafsir mnavyotaka nyie sio ilivyokusudiw naitawachanganya sana
Unamjua mfalume suleiman.. kamsome vzr
Biblia haisomwi kimsikitisikiti baba. Huwezi tumia Biblia kutetea uislamu. Ndio uwe muislamu lazima useme shahada, kama yesu muislamu, alisema shahada? Yesu alibatizwa, waislamu wanabatizwa? Yesu alimuambia Petero, "kwenye mwamba huu nitalijenga kanisa, mbona hakusema kujenga msikiti? Acha uongo Sule.
Nipe uo mstari yesu anasema atajenga kanisa kutoka kwenye bible. Naacha Uislam leo leo
Sasa wewe ivi mungu anatahiriwa wewe
@@impeccablerito7922mathayo 16:18
@@impeccablerito7922 Hope uko serious kuhama kwa dini mbovu ya uislamuna kuja kwa Yesu nikitoa verse. Hiis hapa. Jesus continues, “You are Peter, and on this rock I will build my church, and the gates of hell shall not prevail against it” (Matt. 16:18).
@@Onlyforfun1992tube Neno alifanyika mwili akawa binadamu na lazima angepitia kila stages ya binadamu. Hivi nikuulize, Yesu ako hai,alienda mbinguni na ako na baba yake, mungu.
oya hana elimu hana elimu yoyote
Ww unayo
Weye mwenye elimu umesoma nini
Muulize kuhusu huo mpete hapo kidoleni
Weka hoja mezani
Alokwambia nani kuvaa Pete shirki kasome tena rudi school
Nachoona hapo shule imekosekana kama pete mbona ata wazungu wanavaa na kanisani watu wanafunga ndoa wanavalishana pete. Sema kuna watu uwezo wao wa kufikiri na upeo wao kuna mda unahisi ata kuku anaakili kulko binadamu😂
@@impeccablerito7922 😄😄😄
Mbona headline haiendan na kilichop ndan ila nyie anyway tumefaidika kwa elimu😎🥰
NIMESIKILIZA DAKIKA CHACHE MWANZO NIMEGUNDUA SULLE HAJIELEWI KABISA!!
1. ETI KIPOFU AKIMUONGOZA KIPOFU MWINGINE, WATATUMBUKIA SHIMONI......KAMA ANAJUA HILO...MBONA ANAMFWATA MUHAMMAD AMBAYE ALIKIRI HAJUI AENDAKO AKIKUFA?? KORAN 46:9 ...KHERI NIMFWATE YESU AMBYE NDIYE NJIA NA KWELI NA UZIMA KUMFIKIA MWENYEZI MUNGU - YOHANA 14:6
2. NA KAMA ANAJUA MUNGU WA MBUNGUNI NI BABA...MBONA WAISLAMU HUMKANA??
ALISUJUDU NA KUSALI "BABA YANGU"....WAISLAMU WANAPINGA HILO!!
NILICHOKA KUFWATILIA BAADA YA HAPO.....ANAJUA UKWELI LAKINI ANAFANYA KINYUME!!
NYANI KWELI HAONI KUNDULE!!
kwani huyo yesu wako alivo ulizwa kiama lini ? mbona alijibu hata yeye hajui sasa anashindwaje kujua wakati nyinyi mnasema ndio mungu wenu mkuu?
@@Hussein-gx4qu
Yesu alisema hayo akiwa tayri ashafanyika mwili akawa Mwana!!
Tatizo kubwa kwa waislamu ni kutumjua Yesu kabla hajafanyika mwili.
Na Yesu Kristo sio yule feki wa muhammad issa bin maryam,
MJUE YESU NI NANI KABLA IBRAHIM HAJAZALIWA!!
@@chapchap-oz1ou hiyo ni hoja ya kipumbavu hata ukosoma kitanu cha methali suleimani anasema yeye alikuwepo kabla ya Dunia haijaumbwa kwa hiyo tukichukulia hiyo hoja Yako kwa hiyo na suleimani tumwite na yeye ni mungu ? ndio ujue hizo hoja zako ni za kipumbavu hazina mashiko yoyote ya kumpa uungu mtu acha ujinga kasome
@@chapchap-oz1ou Sasa kama wewe unasema yesu ndio mungu mkuu pale msalabani alipokuwa akilalama mungu wangu mungu wangu mbona umeniacha sasa nikuulize na unijibu hapo yesu alikua akilalamika mungu wake yupi tena kamuacha na wakati wewe unasema yeye ndio mungu mkuu? mungu wake yupi Tena kamuacha na wakati wewe unasema yeye yesu ndio mungu mkuu mwenyewe? au unajizima data?
@@chapchap-oz1ou halafu kitu kiingine hayo maandiko sijui eti aliuvaa mwili hiyo sio bibilia hizo ni barua za Paulo ndio zinasema hivo na sio yesu mwenyewe we unatuletea barua za Paulo hapa mtu ambae alikuwa mbakaji na Mkata vichwa vya watu hivi we una akili kweli?