Kwanini unagangania kwamba Ukiwa mkiristo mpaka ushambulie waislamu hivo Ni visingizio mbona watumishi wa Mungu wengine wakikirusto hawashambulii waislamu ,Wewe cha kufanya hubiri injili ulioitiwa bila kuchanganya wislamu madhabahuni ,Wala bila kuwashambulia waislamu
Bwana Yesu alikuita kutoka kwenye uislamu ili umtumikie yeye kikamilifu, ni kama vile Yesu alivyo muita sauli ambaye baadaye aliitwa Paulo ili amtumikie kikamilifu. lakini wewe kwa kuipenda dunia umeamua uchanganye ya biblia na ya Qur'an ili upate radhi za walimwengu. Unajua fika kwamba Qur'an yote ipo kwaajili ya kuipinga biblia unawezaje kutuchanganyia mafundisho yanayopingana yawe chakula cha roho zetu?
Hongera sana mtumishi wa Mungu, Mwenyenzi Mungu atembee na wew
Mungu akusaidiyw mtumishi wa Mungu ipm usigeuze mawazo yako ya kurudi maana aliyekuleta kwa ukristo si watu Bali ni Mungu
Hongera kwa kutoka kwa shetani na kuingia kwenye Nuru
Jipe Moyo❤ mkuu utashinda majalibu❤
Amen
Mwenyezi Mungu akusamehe . Njaa mbaya sana 😊
Kwanini unagangania kwamba Ukiwa mkiristo mpaka ushambulie waislamu hivo Ni visingizio mbona watumishi wa Mungu wengine wakikirusto hawashambulii waislamu ,Wewe cha kufanya hubiri injili ulioitiwa bila kuchanganya wislamu madhabahuni ,Wala bila kuwashambulia waislamu
Kama umeitwa kweli na kristo endelea kuomba tu yesu hashidwi na jambo lolote,
Ipm mimi nakukubali endelea na huduma ikiwezekana ukianza tour nitakuja
Ame
Safiii
Ww Yesu unamjuwa au alikutokea shetani
Bwana Yesu alikuita kutoka kwenye uislamu ili umtumikie yeye kikamilifu, ni kama vile Yesu alivyo muita sauli ambaye baadaye aliitwa Paulo ili amtumikie kikamilifu. lakini wewe kwa kuipenda dunia umeamua uchanganye ya biblia na ya Qur'an ili upate radhi za walimwengu. Unajua fika kwamba Qur'an yote ipo kwaajili ya kuipinga biblia unawezaje kutuchanganyia mafundisho yanayopingana yawe chakula cha roho zetu?
Ww umepokea tena una wazimu
Wewe umetoka kwenye uislam ukajiita mtume
Na njaa
Wadanganye hao wahayawani 😊
Ipm badilisha msimamo wako kabla hujafa dini ya kwel mbele ya mungu ni uislam😂
Kumbuka shetani yupo kazini kupambana na huduma yako
Jay plus
Njaa inamsababisha mtu asiekuwa na iman yakweli kuchukua maamuzi mabaya.
Acha uongo njaa tu inakusumbua wew
Wew muongo ulikua c imam unadanganya waislam tu
Amen