Video není dostupné.
Omlouváme se.

SULE AMEHARIBU SANA KAMA ANA MAJINI AWALETE KWETU TUWAONE WAKOJE || Muhammad Bachu.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2024

Komentáře • 197

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 Před 2 měsíci +17

    Nakuamini sana Shekh wangu Allah akulipe.

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs Před 2 měsíci +18

    Huyu sheikh Allah amhifadhi

  • @GoodluckPaul-wf9gn
    @GoodluckPaul-wf9gn Před 2 měsíci +19

    Sheikh Muhammad Bachu Mwenyezi MUNGU azidi kukujaalia umri mrefu wenye kheri tunajifunza mengi kupitia Elmu unayotufundisha

  • @MgazaMhina
    @MgazaMhina Před 2 měsíci +9

    Allah akupe umri mrefu wenye faida

  • @GHULAMCHANNEL1
    @GHULAMCHANNEL1 Před 2 měsíci +13

    SHEIKH BACHU UPO SAHIHI NA ALLAH AKUJAALIE KHEIR NA SALAMA DR. SULE ASEME PALE PALIPO NA USHAHIDI WA VITABU BASI NA HIUO NDIO DINI SIO KULETA HADHITHI ZA MITUME WAKTI HAO NI MITUME WA ALLAH. WEWE NI NANI?

  • @ElsieMunezero
    @ElsieMunezero Před 2 měsíci +9

    Mung akuzidishiy elim sheikh wetu uzidi kutufundish mengi mung akuwezesh

  • @rahimmbezi9936
    @rahimmbezi9936 Před 2 měsíci +1

    Sheikh Allah akuhifadhi...na Akubariki. Sasa vipi kuhusu hawa Masalafia Jadida... endelea kuwachambua masalafia jadida In sha Allah

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Před 2 měsíci +5

    Wallah mazungumzo yoooote ya baba kirwasha yameanguka huku mwisho Kwa kutegemeya fatawa aliyo tegemeya Muhammad bachu Allah akuweke ukupe umri mrefu ili tuzidi kupata faida nakusoma kwako

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 Před 2 měsíci +12

    Nilikua namuamini Baba kiruwasha ila naye ni walewale tu.Kanichefua sana.

  • @shabaniumande
    @shabaniumande Před 2 měsíci +7

    Shukran sana sheikh Muhammad bacho nakupenda kwaajili ya Allah
    Lile genge la kihawariji masalafiya jadidah atuwasikiyi wakiwarekibisha hawa washirikina wanao tumiya
    majini
    Hawa mahawariji masalafiya jadidah wawatowa kwenye sunna doctor Islam na Muhammad bacho na sheikh salimu barahiyani kuwaradi ati ni watu wa bidah

  • @othmanali7408
    @othmanali7408 Před 2 měsíci +4

    Allahu Akbar .
    Shekh bachu binafsi nilianza kufanya dawa za kisunna ila Kila nikenda wallahi ilikua ni hatari ..
    Nilifikia sehemu mpaka nikawa naota mtu atakuja nimfanyie dawa gani na kweli ukimfanyia anapoa basi nikaja nikajikuta natoka ktk mstari kidogo kidogo mpaka mwisho mama yangu mzazi alitumia nguvu nyingi Ili niache Allah amsamehe mama yangu na amlipe kheri ...
    Mambo haya wallahi ni mtihani nilipitia mambo mengi sana .
    Namuomba Allah anisamehe makosa yangu na aniongoze ktk haqi Amin Amin Amin

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 Před 2 měsíci +2

    Nakupenda kwa ajili ya Allah s.w. Allah s.w. azidi kukubariki.
    Tumuombee tuuu ndugu yetu maana tayari ameshatawaliwa au amepumbazwa na majini.
    Pia hata Sheikh Nassoro Abdallah Bachu, Allah amrehemu, mada KUIPA MGONGO DUNIA 1-4, anaeleza vizuriii sanasana.

  • @kanzucentre3468
    @kanzucentre3468 Před 2 měsíci +3

    Mtume Muhammad swallallahu alaihi wasallama alikua na pete kama nyenzo ya muhuri lkn hakuwahi kuwa na pete kwa ajili ya nyota ama ya jinni

  • @abdurashidinasorodini
    @abdurashidinasorodini Před 2 měsíci +6

    maashaaallah mwenye hofu ya Allah ameelewa mwenye matamanio ya dunia ngumu sana kuelewa Allah akuzidishie elimu

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc Před 2 měsíci

      ASALAM ALEY KUM ,ALLAH AKUJALIE UMRI WENYE MANUFAA UZIDI KUTUELIMISHA ZAIDI.MM NAPENDA KUJIULIZA INAMANA HILI SAKATA LA MAJINI KUWA NIHALALI KUWATUMIA JE HAWA MASHEIKH WETU AMBAO UWA TUNAWAONA MWEZI MUANDAMO WA RAMADHANI NA ARAFA NDIO UWA WANAWAKOSOA MASHEIKH WENZAO SASA MM NAPATA KIGUGUMIZI SIMSIKII HATA MMOJA JE KUKAA KIMYA INAMANA NAWAO NIMIONGONI MWA WANAOTUMIA MAJINI.??? MAANA DK SULE ALISEME MASHEIKH WENGI WAMEVAA PETE ZA BAHATI NAYEYE DK SULE ATAKUWA ANAWAJUWA NI MTIHANI.MAANA TANGU HABARI HIZI ZIMEJITOKEZA MASHEIKH KIMYAA !!! ILA MTU AKITANGAZA MWEZI KOSA UTAWASIKIA SHURA YA MAIMAMU NA WANAZUONI UTAWASIKIA NANI MWENYE MAMLAKA YAKUTAZA MWEZI ,!!!! KWA HILI LA MAJINI KIMYAAAAA SHARIFU MAJINI KIMYA KISHIKI SHEIKH WETU TUNAYEMUAMINI KIMYA YUSUFU DIWANI KIMYAA .MUFTI WETU KIMYA SHEIKH WALIDI KIMYA ALHADI MUSA KIKYA RUSANGANYA KIMYA. NGOJA IKIKARIBIA ARAFA UTAWAONA WANAIBUKA !!!! NINAANZA KUAMINI KUWA MAISHEKH WENGI WA MAULIDI WATAKIWA WANATUMIA MAJINI .HERI MAKAFIRI WA ZAMANI KULIKO WAISILAMU WA SASA WANAWEKA NA USHIRIKINA KISOGO MAELEZO YA SHEIKH AMDALAH SH FARSI.

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc Před 2 měsíci

      Kisa kizuri kinaukweli NDANI YAKE dalili zipo unaweza ukawaunakudia kheri ila anatokea MTU anakushauri anakwambia kwani LAZIMA ulifanye hili KWA mfano utasikia MTU anakwambia mpaka ukaswali msikitini swali NYUMBANI inatosha!!! Kisa kizuri

  • @almuya
    @almuya Před 2 měsíci +3

    Akili inachaji chizi pia akiskiliza anatafakar. Umefahmika ila kwa mwenye ukaidi mwache andelee kubisha. Uko sawa apo kaka yangu . GOOD JOOB

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 2 měsíci +2

    Shekhe Muhammad Bachu Allaah akuhifadhi na akupe umri mrefu na akuzidishie Elimu na Maarifa ktk Dini.
    Laiti wange zingatia juhudi yako, wengi ktk wazushi na washirikina wasinge kufanyia uaduwi na kukukashifu Wallaahi.

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 Před 2 měsíci

      Yoyote atakaerithi kazi aliyoifanya Mtume hatosalimika na madhwalim Allah amlinde. awalinde na masheikh wote wa sunnah

  • @joezeno8
    @joezeno8 Před 2 měsíci +5

    Dr Sulle anatafuta umarufu

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1yd Před 2 měsíci +3

    Sule bado mtoto sanaaaa na njaa inamdhalilisha

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 Před 2 měsíci +7

    زادك الله حرصا وعلماً وفهما ورزقك الإخلاص في الأقوال والأعمال.
    أحبك في الله. أخوك أحمد عمر سعيد من جمهورية موزمبيق مدينة نامبولا

  • @naimadam1588
    @naimadam1588 Před 2 měsíci +5

    Leo umesahau kofia ustadh bachu

  • @user-rx6io6vs9n
    @user-rx6io6vs9n Před 2 měsíci

    Naam hakika ktk hili umesimama vema sana mdogo wangu bachu bali wasia wangu kwako ni kwamba mche Allah ktk elimu yako na jiepushe na riaa kwakuwa ukijiepusha na hilo Allah atakufundisha usipo fanya hivyo Allah atakufeshehesha kama ilivyoonekana ktk baadhi ya mijadala mingine pima kwamba ikiwa kunawatu walikupinga mwanzo na sasa kwa hili wanakuunga mkono basi kuwa makini na ujue waru sio wajinga kama inavyodhaniwa Allah akulipe kheri kwa hili na akufungue ktk memgine ikiwa utasimama ktk taqwa inshaalah 55:20

  • @farishfarish258
    @farishfarish258 Před 2 měsíci +2

    Muhammad bachu Allah akulinde wapige spana waxhirikina huenda wakajirudi inshallah

  • @DotoOmary
    @DotoOmary Před 2 měsíci

    Allah akujaje kheri,shufaa
    Na mlisho mwema kama waliopita kabla yetu

  • @mohamedkhairudin6418
    @mohamedkhairudin6418 Před 2 měsíci

    Allah azidi kukuwezesha mpk mzee wa mipete mapepo yamtoke

  • @abdulmwakubambanya9091
    @abdulmwakubambanya9091 Před 2 měsíci +1

    Barakh Allah Kher sheikh

  • @fatmaismail7909
    @fatmaismail7909 Před 2 měsíci +3

    Twakupenda Kwa ajili ya ALLAH

  • @HashimThabit-lp9dj
    @HashimThabit-lp9dj Před 2 měsíci +2

    Allah akuhifadhi sheikh nakuelewa vzr San.

  • @SelemanAmir-ze8zz
    @SelemanAmir-ze8zz Před 2 měsíci

    Shekh ukovzri allah atupe sote iiman pia shekh hikikisa kosa la mchamungu yule aliacha haki kwa maslah yake allah akamwondolea nguvu pia shekhe shida ninachokiona hapa nani anasema shida madhehebu yanapoteza mno dua zinaitajika kama kusema panasemwa vzr kabisa

  • @user-rg3tu2nc2f
    @user-rg3tu2nc2f Před 2 měsíci +1

    Allah SW akupe ujira mkubwa mwema.Amin

  • @jamalijamali6820
    @jamalijamali6820 Před 2 měsíci +2

    Allah akulipe kheri kwa hili ahsante sana

  • @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri
    @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri Před 2 měsíci +2

    Mm naomba sana ipatikane angalau watu kumi kama sheikh Bachu inshaAllah

    • @mfalmenajjash2128
      @mfalmenajjash2128 Před 2 měsíci +2

      Watu 10 mfano wa bachu biidhini llah bidaaa itakimbiya kwakiasi kibwa nawakifanya watafanya kwakujificha mnooo

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 2 měsíci +1

      Amin

    • @user-sv6ej5mv9q
      @user-sv6ej5mv9q Před 2 měsíci +1

      Watapatikana tukiwahamasisha watu katika kusoma.

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 2 měsíci

      @@user-sv6ej5mv9q unaweza ukasoma lakn ulimi wako ukakosa ufasaha kama wa Muhammad bachu, na kujenga hoja or kuvunja hoja hicho ni kipaj Had Allah akupe.

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 Před 2 měsíci +1

      Tizamen Alhajar online TV wapo wengi tu huko

  • @RamadhaniShembillu
    @RamadhaniShembillu Před 2 měsíci +1

    Mashallaaah allah akulipeni mashekhe zetu kwaelimi mujarrab

  • @JumaHaruna-yg6pt
    @JumaHaruna-yg6pt Před 2 měsíci +1

    Mashallah, mambo umeyaweka wazi kabisa kwa mtu mwenye kutafakari.

  • @omarsultan4502
    @omarsultan4502 Před 2 měsíci

    Mashallah shekhe haifai kutumia majini majini waongo binaadam unamuona na anakudanganya je jini usiemuona yy ndo nakithiri haswa alf mbali na ivyo kwani hakuna binaadam waislamu na ni waongo hao kupitiliza je hao majini baba kirowasha ache kwasbb kuna wanavypenda majini alf ukiwaambia inafaa ndo wanafurahi wanasema yes inafaa

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 Před 2 měsíci

    Mashallah uko sahihi sheikh .uvae hata kofia usiwe kama msela

  • @cammackmarck
    @cammackmarck Před 2 měsíci +1

    Allah akuhifadhi sheykh wetu unafny kazi kubwa

  • @user-gi2jv4kl7s
    @user-gi2jv4kl7s Před 2 měsíci +1

    Shekh Muhammad Allah akuhifadhi Sana coz unapambana sana.lkn kwa hoja hizi umeshamaliza kazi,hawata elimika Tena .lkn wakiongea Tena usiwaache..waelimishe tu hata km hawataki.

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 Před 2 měsíci +2

    Maa shaa Allaah sheikh bachu

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

    Twaiby wanakuelewa shekhe sema muwamba ngoma uvutia kwake sule na baba kiruwasha waanaonekana wanatetea biashara wew unatetea hakki wale wapo kimaslahi ndomana wamekuwa wakaidi naimani washirikina humsapot sule hapa kwenye comment usikute watu wanayafuga ndomana wavutia ngoma kwao

  • @k.kchakua1376
    @k.kchakua1376 Před 2 měsíci +1

    Jazaqallahu khaira Sheikh.. Mwenye kutaka radhi za Allah atakuelewa vizuri nawenye kutamani maisha ya dunia zaidi bado wataleta hoja mbadala kuaaminisha waislam kutumia majini hao sabb ndio njia mbadala inayotumika kwa wingi sasa na watu kupata riziki kwa kigezo cha kutibia na kutatua matatizo ya binadam Tumekuelewa Ahsante sana Allah atakulipa zaidi.

  • @mariamshaban4518
    @mariamshaban4518 Před 2 měsíci +1

    Akili nyingi sana hiki kichwa Allah akuuhifadhi ndugu yangu

  • @khamisoothman5294
    @khamisoothman5294 Před 2 měsíci

    Mashaa Allah baraka Llhah fyka

  • @sadicksince2008
    @sadicksince2008 Před 2 měsíci +1

    Dalili ziko wazi ila si kwamba hawaelewi tatizo lao hawataki kuonekana wameshindwa mbele ya umma, na hii inaonyesha wazi kwamba wameweka masilahi mbele kuliko dini. Allah atuongoze na atujaalie mwisho mwema kwa kweli maana ni mtihani.

    • @Alithoya-qr7di
      @Alithoya-qr7di Před 2 měsíci

      Kweli kaka juu unapata mtu anakuja mbele zawatu kujigaamba Kua Ako na Mali na magari makubwa wengine

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud Před 2 měsíci

      Ameen

    • @OmarAlly-iz8ot
      @OmarAlly-iz8ot Před 2 měsíci

      Maneno yakweli unayo sema ndugu yangu

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před 2 měsíci +3

    Nakupenda kwasababu ya allah

  • @bafaaabuu
    @bafaaabuu Před 2 měsíci

    Mashaallah akuzidishie elimu shekh wetu tena yenye manufaa

  • @aslamswalah7852
    @aslamswalah7852 Před 2 měsíci

    Tabaraka Allah shekhe wangu ustadhi wangu, Allah azidi kukupa ujasiri na elmu ututoe taka .

  • @hassanbinbashir546
    @hassanbinbashir546 Před 2 měsíci +1

    HayyakaLlahu waHafidhak

  • @user-ye3fy9kk6r
    @user-ye3fy9kk6r Před 2 měsíci +1

    Baaraka llahu fik

  • @shamisfahiye9628
    @shamisfahiye9628 Před 2 měsíci +1

    Msifungue milango= =Kweli yake !. Bali tuwe waacha mungu, tumtegemee Mwenyezi Mungu mtukufu.
    Maisha ya duniani ni mafupi sana. Maisha ya baadaye ni ya milele. Chaguo ni lako!.. tumieni akili sio matamanio 🎉

  • @AminiNdori
    @AminiNdori Před 2 měsíci

    Jazaaka llahu khaira kwa juhudi yako. Uko sahihi kwa walili ya Quran/surat KAHF aya 50. Baraka llahu fika.

  • @USACAUDIOVISUALMATERIALS
    @USACAUDIOVISUALMATERIALS Před 2 měsíci

    Mā-shā-a-llāh, Sheikh Muhammad. Tunstafiid sana. Najifunza mengi.

  • @fatmaismail7909
    @fatmaismail7909 Před 2 měsíci +1

    masha'Allah

  • @user-nh6hz2ms8s
    @user-nh6hz2ms8s Před 2 měsíci

    ماشاء الله يا محمد 🌺

  • @muhsinkimaro4283
    @muhsinkimaro4283 Před 2 měsíci

    Allah akulipe kwa elimu unayotupatia

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr Před 2 měsíci +1

    Mohd Bachoo darsa yako imeeleweka naamini ata yeye kiriwasha hasubutu kumtafuta jini asiwaaminishe watu wakaendea shirki

  • @user-wq3um3gr7u
    @user-wq3um3gr7u Před 2 měsíci +1

    Shukran sanaa sheh.انا اسماعيل من بو رو ندي

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 Před 2 měsíci +2

    Majini ni waislamu na mtume alikuwa anawasomea quran. Uislamu na majini ni ndugu 💯✅. Alah kaumba majini.

    • @Bombwejr18
      @Bombwejr18 Před 2 měsíci

      Ukisoma vzuri au ukimsikiliza vzuri sheikh utagundua kuwa majini na binadamu hawakuumbwa ili wapate kumuabudu Allah sasa hakuna anaejua jini yupi mbaya yupi mzuri na usiabudie kiumbe muabudie m/mungu mmoja tu sasa ndo utambue kuwa binadamu pia huwa wabaya na wazuri

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 Před 2 měsíci +1

      Bila shaka wewe sio muislam nadhan Ivo ndo ulivo ndo mana unasema waislam na majini ni ndugu wakat hujui kama Majin wako mataifa mbali mbali makabila mbali mbali na aina tofaut za dini mbali mbali wapo wakiristo wapagani waislam n.k. sio wote waislam au wakiristo wako tofaut na ni wengi sana kuliko watu

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Před 2 měsíci +1

      Kwaiyo ww unatakaje?

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 Před 2 měsíci

      Majini Walisilimu wakawa Waislamu Qur'an 72: 1-14 kwani ni vibaya waumini kusaidiana wa dini Moja kusaidiana? Muumini Mwenzako anawezaje kukufanya ukufuru? Majini ni ndugu wa Waislamu acheni kupingana!

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 Před 2 měsíci

      ​@@dulividuli5237 Anataka utumie majini maana ni ndugu zako katika Imani

  • @user-cz4yx7zv2o
    @user-cz4yx7zv2o Před měsícem

    Hatar sana 5:41

  • @canoksancomprehensivelearn7182

    Nawapenda watu wa sunnah watu wa tauhiid na nasikitika baba Kiruwasha nilimuamini niisemamtuwa tauhid ila.kurudisha iman kwangu kwake sio rahis tena maana anavyoonekana ni tofaut kabisa na anayoyasimamia kwa maslah yake

  • @user-hg7jb3ho2y
    @user-hg7jb3ho2y Před 2 měsíci

    Mungu akihifadhi sheihewetu

  • @muhamadismail-my1do
    @muhamadismail-my1do Před 2 měsíci +1

    Allah akuhifadh ungevaa kofia ungependeza zaid

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud Před 2 měsíci +1

      Aaaaah, sikunyengine kichwa kiachwe banaaa kipate upepo. Haha😂😂😂😂

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy Před 2 měsíci

      @@KhalfanMassoud 😂😂😂

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy Před 2 měsíci +1

      @@KhalfanMassoud Ndugu yangu mfuatiliaji sana wa vipindi hivi Maa shaa Allah

    • @ARNOLDKARISA-fs3ht
      @ARNOLDKARISA-fs3ht Před 2 měsíci

      @@KhalfanMassoud akitoe inje kwa dirisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud Před 2 měsíci +2

      @@ARNOLDKARISA-fs3ht mmh watu wataondoka nacho ety.

  • @izmamuizmamu6521
    @izmamuizmamu6521 Před 2 měsíci

    ما شاء الله تبارك الرحمٰن

  • @nasoros.mgungo5502
    @nasoros.mgungo5502 Před 2 měsíci +2

    Ninachokiona,
    Baba kiriwasha kaegemea ktk Sheria: Majini kutumika na Binadamu inafaa au haifai? Sheria Imeruhusu na kajengea hoja vizuri tuu.
    Sheikh Bachu:Yeye apingani na sheria ya kujuzu kuwatumia majini ila yeye anakubali inafaa ila kwa wakati wa sasa ni vyema Ikaharamishwa.
    Binafsi nilivyoelewa ndio hivyo,Sheria inaweza ruhusu jambo lakini kama lile jambo likiwa lina madhara ni bora likaachwa.
    Mfano,Kipindi cha Corona Hija ilifutwa baada ya kuonekanwa madhara ni makubwa kuliko hijja.
    Hata hili la majini,kwa sasa madhara ni makubwa kwa hiyo halifahi kwa sababu matokeo ya mengi ya kutumia majini zama zetu faida ni chache,japokuwa sheria haijaharamisha moja kwa moja.

    • @MaryamAlli-is1jg
      @MaryamAlli-is1jg Před 2 měsíci

      Inaonyesha Bado hujaelewa somo

    • @user-iv6hx2xv3t
      @user-iv6hx2xv3t Před 2 měsíci

      Kiruasha Nae mshirikona tu

    • @hawa6052
      @hawa6052 Před 2 měsíci

      Allah atuongoze

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 Před 2 měsíci

      Umeelewa vzur lkn hii kutumia majin si kama anaiharamisha kwa mda huu ila yeye anasoma vitabu vya zaman walivyokatawza watu kutumia majin yaan tangu zaman watu walikua wanakatazwa wasitumie

    • @nasoros.mgungo5502
      @nasoros.mgungo5502 Před 2 měsíci

      @@saadasaleh3177
      Kusomwa vitabu vya kale si hoja, mfano, Suala la Talaka Tatu kwa Pamoja, je Ni Tatu au moja?
      Ukiangalia Saidina Omar alipoona madhara ya watu kufanya Talaqa Kama mchezo, akapitisha hukumu ukisema nimekuacha Talaqa Tatu Basi Ni Tatu.
      Ila sheria ilikuwa inatambua ukitamka Talaqa Tatu Ni Talaqa moja.
      Kwa hiyo Jambo linaweza ruhusiwa kisheria lakini tukiona madhara Ni makubwa ikatengenezwa sheria ndogo hili kuzuia madhara.

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 Před 2 měsíci

    Ma Shaa Allah

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 2 měsíci +2

    leo umewavulia kabisa na kofia labda watakuelewa😊

  • @nyanyambuli8101
    @nyanyambuli8101 Před 2 měsíci

    HIYU BABA KIRUWASHA KAMA HAWATOMZUIA WENZAKE BASI ATAMTOA NY'ONGO BACHU MAKOJO

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 Před 2 měsíci

    Mashallah
    Faida kubwa hii

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 Před 2 měsíci +1

    Hivi nyie watu mpaka Leo hii bado tu shiliki hamuijui tu haifai kwa Aya gani

  • @hassanibrahim-fk1bn
    @hassanibrahim-fk1bn Před 2 měsíci

    Ustadh Muhamad, wanazuoni wanashauri kutahadhari na kuwatumia majini. Swali toka awali ilikuwa je watu wanaweza kutumia majini?. Na pili inakatazwa kidding, hadith na Quran. Toka mwanzo unatumia wanazuoni bila ya kuonyesha Nabi Muhamad saw, anasemaje. Mimi kwa spandex wangu namtegemea Allah sihitaji kiumbe yeyote, Allah ndie Khaliq.

  • @user-cz4yx7zv2o
    @user-cz4yx7zv2o Před měsícem

    Baba kiruwasha duuuh

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs Před 2 měsíci +1

    Assalam alaykum warahmatullah maaashaaallah

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht
    @ARNOLDKARISA-fs3ht Před 2 měsíci

    mwambieni Sheikh wetu avae kofia jamenii

    • @jamalijamali6820
      @jamalijamali6820 Před 2 měsíci +2

      Usijali tutamwambia inshaallah na atavaa biidhnillahi
      Allah akuhifadhi pamoja nasi na aendelee kutusamehe

    • @ARNOLDKARISA-fs3ht
      @ARNOLDKARISA-fs3ht Před 2 měsíci

      @@jamalijamali6820 amiin

    • @abdulkizeli9960
      @abdulkizeli9960 Před 2 měsíci

      Unashindwa kusikiliza mawaidha ukaelimika unaanzakufatilia kofia kwa shekhe ndo nn ss ebu jaribu kujielewa

    • @hawa6052
      @hawa6052 Před 2 měsíci

      Inshaa Allah

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 Před 2 měsíci

    Hivi nyie watu mpaka Leo hii bado tu shiliki hamuijui tu haifai kwa Aya gani acheni uwongo

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 Před měsícem

    Baba kiruwasha kapinda yule nayeye anaonekana ni mshirikina

  • @fatumatsopa5578
    @fatumatsopa5578 Před 2 měsíci

    Kuna tofaut Kati ya jini na shetani

  • @NazirJuma-gz6jv
    @NazirJuma-gz6jv Před 2 měsíci

    Asalam allaykum sheikh samahani naomba niulize inaruhusiwa kula nyama iliyochinjwa kwaajili ya matibabu ya kiganga

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 2 měsíci

    Huyo baba kiruwasha pia ni akili kijiko.

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 Před 2 měsíci

    Huyu Sule katusilibia sana

  • @rajababrahman4365
    @rajababrahman4365 Před 2 měsíci

    Hakika uislam ni upuuzi na upotevu

  • @abdul_azeez_almaamir
    @abdul_azeez_almaamir Před 2 měsíci

    لا فض فوك يا شيخنا

  • @agrolive4027
    @agrolive4027 Před 2 měsíci

    Dr. Sule hawezi kuelewa kwani ameshapingwa muhuri keaajili ya ushirikina kwa miaka mingi!

  • @KitasaWaaction-gm9zr
    @KitasaWaaction-gm9zr Před 2 měsíci

    Sule nilikuwa namuheshim sana lkn kaniangusha yani mdomo hajauchunga kakurupuka

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official Před 2 měsíci

    yes🎉❤

  • @fanni-ck6do
    @fanni-ck6do Před 2 měsíci

    watu wanauuza akhera wananunua dunia kutumia majini ni shirk kubwa

  • @abdulrahmanmussa4479
    @abdulrahmanmussa4479 Před 2 měsíci

    Baba kiruwasha njaa

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 2 měsíci

    SISI TUNAPOMILIKI MAJINI HUWA TUNAWATUMA KAMA WATOTO WETU NYINYI MAWAHABI HAMNA ELIMU YA MAJINI KWASABABU MASHEKHE WENU HAWANA ELIMU YA FALAQ AMBAYO NDIO INAYOELEZA NAMNA YA KUMILIKI MAJINI

  • @KitasaWaaction-gm9zr
    @KitasaWaaction-gm9zr Před 2 měsíci

    Sule namkubali kwasababu ya kazi yake kuwalingania wakristo kushindananao lkn kwahili kakurupuka na abadilishe manhaji najua manhaji yake wengi wanatabia chafu zisofaa

  • @zeharaz4116
    @zeharaz4116 Před 2 měsíci

    Jee ikiwa mtu kapata jini na linamtesa anataka limuondoke inafaa kwenda kwa mwalimu akamtoa kwa njia ya kusomewa na dawa za mitishamba Ina juzu naomba jawabu

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 Před 2 měsíci +1

    Sule kasema ukweli mtupu 🤣😂😅

  • @NassirSaidmassoud
    @NassirSaidmassoud Před 2 měsíci

    Muhammedi usimsumbue Dr sure Kwanza zungumza ushirikina wa ibn taymia

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 2 měsíci

      Sule hajasubuliwa analinganiwa ache shiriki.. Shafii kashindwa na mada kila akijibiwa analeta mamb mengine hamna kitu pale debe tu na kama unafanta yule ufaham wako upo chini sana

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 Před 2 měsíci +1

    Wanaomtetea Sule ni Wanafki tu

  • @ExcitedChefHat-ef5jt
    @ExcitedChefHat-ef5jt Před 2 měsíci

    Jazzakallah, Tabarakallah Alla akuhifadh shekh muhammad bachu kwa juhudi zako zote za kufundisha Tawhid. Allah atunusuru na washirikina wa kutumia majini.

  • @user-zx8kl7qi3g
    @user-zx8kl7qi3g Před měsícem

    Assalam alaikum warahmatulullah wabarakatuh sheikh mungu akupe umri mrefu naomba number yako sheikh insh.Allah

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs Před 2 měsíci

    Hvi saut haipo au

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 2 měsíci +1

    KWA HIYO ENDAPO JINI ATAMKUTA BINADAMU YUPO PORINI KAPOTEA AU YUPO BAHARINI HAPASWI KUMSAIDIA ???

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 2 měsíci +1

      Na mm nakuliza Mtu akiwa porin hana kit cha kula ni halal kula nguruwe?

    • @BIGBOSS-hl3bu
      @BIGBOSS-hl3bu Před 2 měsíci +1

      Ndio ni HALALI kabisa Kwa mujibu wa Quran japo sheria inaangalia Kiwango Cha tatizo

  • @abuuaidh6500
    @abuuaidh6500 Před 2 měsíci +1

    Baba kiluwasha inaonekana anapata msaada kwa majini kwenye Mada zake za ukungwi

  • @ahmadabdallah6641
    @ahmadabdallah6641 Před 2 měsíci

    Asalam Alaykum. Shekhe unavyosema ni sawa kabisa, lakini kwa ushuhuda wangu wako Maruhani wa tiba ambao ni Waislam Waumin ambao hawamshiikishi Allah wala hawafugwi wanasaidia kwa tiba peke yake sio kumnufaisha mtu kwa mali. Wanafanya kwa ridha yao wenyewe tena wanatumia quraan pia.

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Před 2 měsíci

      Swali linakuja utawajuaje pia Tambua kwamba Jini ambaye hamshirikishi Allah hawez kukaa kwnye Kichwa cha Mwanadamu pia Utambue kwamba hata Wanaofanya Tiba za kishirikina pia Wanatumia iyo iyo Qur'an katka Kuwatibu watu na hicho nd imekuwa kifichio chao.

    • @MaryamAlli-is1jg
      @MaryamAlli-is1jg Před 2 měsíci

      Swali umemuona wapi huyo jini au yupo kichwani Kwa watu na kichwani Kwa mtu basi huyo jini amemuasi mola wake jini mchamungu hakai kichwani Kwa mtu

    • @ahmadabdallah6641
      @ahmadabdallah6641 Před 2 měsíci

      Wala hawamuingi mtu. Infact wanasema kumuingia mtu ni makosa haifai.Wala hawataki kafara. Wala hawakupi oesa. Wao kazi yao kupambana na mashetani waasi peke yake. Makazi yao Makka.

    • @ahmadabdallah6641
      @ahmadabdallah6641 Před 2 měsíci

      Na ni khamsa swalawat.

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Před 2 měsíci

      @@ahmadabdallah6641 sas km hawapandi kichwani watakuja kwa njia ipi na jini haonekani

  • @mawaidha-by-sheikh-Abrahamu
    @mawaidha-by-sheikh-Abrahamu Před 2 měsíci

    Assalamualaikum sheikh naomba kufundishwa je ati inaruhusiwa kumuoa jini wakiisilamu?

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 2 měsíci

      Haaha ww nawee sasa jini huyo utamua wapi yeye ana ulimwengu wake na ww una wako.. Maswali mengine basi tu

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs Před 2 měsíci

    Mada hii ifungwe tu ili sheikh bachu aendlee kumfundisha yule gol Shia

  • @ashrafhashim2116
    @ashrafhashim2116 Před 2 měsíci

    Jaribu ukiwa unaongea utulie acha mambo megi

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 2 měsíci

      Huna mada..

    • @ashrafhashim2116
      @ashrafhashim2116 Před 2 měsíci

      @@YahyaYahya-vp2pp kivipi

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 2 měsíci

      @@ashrafhashim2116 ww unamwambia akiongea atulie. Je akitulia itakusainia nini.. Au akiongea akiwa hajatulia husikii au hufahamu

    • @ashrafhashim2116
      @ashrafhashim2116 Před 2 měsíci

      Waislaam tumearishwa kuwa na التواضع sasa akiwa anaongea pasi na utulivu anapoteza sifa za mlinganiaji hatakama anaongea haqi akitulia itakuwa nikher kwangu nakwake nasisi hatumpingi anachosema.

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Před 2 měsíci

      @@ashrafhashim2116 kama ni mfuatiliaji mzur wa sheikh Muhammad bach basi usingelicoment hiy coment yako.. Maana huo ndio uongeaji wake pia ni urith pia kutoka kwa sheikh nassor bachu