Shekhe Allah Akuhifadhi yaani napenda.sana mafundisho yako. Allah akukutanishe na MTUME wallah napenda mafundisho yako kutoka moyoni shekhe Allah Akulipe
Asalaam aleykum,Shukrani Shekhe Kwa SoMo lako zuri Alhamdulillah.Allah akuzidishie zaidi na akujaalie umri mrefu wenye Mwisho mwema.Shekhe je?tufanye Nini ili tujikinge na husda na hasadi
Macho kweli ni mabaya alikuja mgeni akadhtuka kumsifia mtoto wangu mzuri.....usiku wake mwanangu alikuwa analiaaaaa anahangaika hadi tumbo likawa linamuuma
Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatu sheikh kweli unayo yasema hv unavyoeleza hp kwangu kumezidi mijusi nimeweka dawa za kupuliza tukiwaona twapiga dawa na tubapo wapata twawapiga twawauwa lakini hawaishi na nina mengi sn but kuweleza ni shida kwa kutype but twahitaji dawa tufanye nini naomba utueleza
Miaka 3 iliopita Nilikua Na kibarua changu kizuri sana lakn nimekutana nayo hayo Mambo ya hasad Mpaka ikapelekea kibarua changu kupotea ghafra Wallah Tena Mabos wangu Wamenichukia ghafra yani tafarani
Mimi mijusi nyumbani kwangu ni mingi sana nimefukiza sana na kuwaua lkn bado wapo kila kona ya nyumba yangu ,na sasa naona ni wengi na nimepata mtihani mzito sana kwa sasa na bado ni mzito kuisha inshallah msaada nifanye nini.yan nyumba yang mijusi ndio kama makazi yao tena hao kafiri je nyumba yang inatawalaiwa na roho chafu au?msaada tafadhali
Asalaam Aleikum warahamatulah wabarakatuh. Haya jaman na kama humjui huyo aliyekufanyia kijijo. Je utafanyaje. Na wengine wanakataa japo amekufanyia. Hapa ndio utafanyaje shekh.?
Asalaam Aleikum warahmatallah wabarakatu vipi hali na jamaa mi nashkuru ni mzima salama salmini,sheikh nilikua na jambo nataka kukuuliza unipe ushauri limenichanganya miaka mitatu Sasa. Ni hivi Mimi kwa kweli kizalia nilizaliwa mkristo na nilikua naenda kanisa la catholic church sote pamoja na mama na baba na ndugi zangu,kufikia darasa la saba mamangu mzazi akaachana na baba akaolewa na mtu mwengine muislamu ikabidi pia sisi atusilimishe tukawa waisilamu sote. Tukasoma madrasa vizuri tukawa twaswali vizuri Mimi kama mtoto mkubwa wa kiume wakwanza kabisa ni msichana halafu Mimi wa pili na huyo wa wakwanza huyo msichana alibahatika akapata mume mkristo akaolewa na akaregelea ukristo na yuaendelea vizuri tuu na mume wake na mambo yake mazuri,Mimi bado naendelea na uislamu pamoja na ndugi zangu wengine lakini kufikia mwaka wa 2021 mwezi wa sita nilianza kupata ujumbe kwa simu yesu kristo yuanitaa ataka nimfate yeye na niende kanisani na niimbe nyimbo za gospel yani kwa ufupi ataka niregee katika ukristo Sasa Mimi hata nimechanganyikiwa Niko njia panda. Hali yangu pia yaki maisha si nzuri sina kazi sina mke Nikoniko tuu naniko katika uisilamu kwa jina naitwa Emmanuel mutua Mudachi jina la kuzaliwa mpaka kubatizwa nilipo silimu nilitwa Abbasi. Sheikh utanisaidia vipi maanake roho yangu pia naumia sana na namba yangu yangu ya simu ni ±254798088270 Niko Mombasa bamburi naomba msaada wako na ushauri pia Asante.
Asalam Aleykum please baki kwa dini ya kiislam kwani sini ya kiislam ni ya kweli, . Hakuna kitu kuwa yessu kakuita yesu ni prophet Jesus Prophet Isa ! Please Nenda Masikini swalinsana na mutana na sheikh weka imani yako iwe strong please uwe na msimamo na dad yako Mwambie arejee katika dini ya uislam na Allah yupo atawasaidia Allahumma Amiin
Allah akutunze sheikh akupe afya njema na baraka tele kwako na familia yako mimi ni mkristo lakini nabarikiwa sana na mafunzo yako 🙏🙏
Yametufika hayo sheikh lakini tumewahiwa bila ya kujua tangu tulipokuwa wadogo sana, hasbiyallah waniimal wakiil waniimal maulaa waniimal nasiir🤲🤲
asante Leo nimejua maana ya mjusi baba alikuwa ananihusia Sana had it hi ya mjusi
Jazakallahu khayra
Shekhe Allah Akuhifadhi yaani napenda.sana mafundisho yako. Allah akukutanishe na MTUME wallah napenda mafundisho yako kutoka moyoni shekhe Allah Akulipe
Asalaam aleykum,Shukrani Shekhe Kwa SoMo lako zuri Alhamdulillah.Allah akuzidishie zaidi na akujaalie umri mrefu wenye Mwisho mwema.Shekhe je?tufanye Nini ili tujikinge na husda na hasadi
Kuwa na kawaida ya kusoma suratul falaq, Nas na Ikhlas ×3 na qur-an yote ni shifaa
Mashaallah Allah akulipe kheri Shekh wetu ktk Dunia Yako na Akhera Yako Leo nimepata faida
Ndomn nakupenda sana sheikh.ukomsafi sana wamaneno.
Naje kama hukumjua aliekufanyia kijicho.tibayake Nini.
Maa Shaa Allah. Allah akubariki akupe maisha marefu yenye kheri.
Allah akupe ujira duniani na aakhera.
Allahumma Amiin
Asante bwana shek, mm ni mkristo ilah napenda mafunzo yako ni mazuri napata kitu humu, kutoka Kenya 🇰🇪.
mimi pia, napenda sana mawaidha yake, yanafundisha saaana
Karibu katika dini yetu@@josephndambo3714
@@josephndambo3714 nikweli kaka
Karibu katika dini yetu
Takbir….Allahuwa Akbar
Mashallah Tabaraka llah
Ma shaa Allaah
Mashaallah shukran ❤❤❤
SoMo liko vizuri, ALHAMNDULILLAH, ALHAMNDULILLAH.
Jazakallau kheira
MashaAllah ❤ shukraan sheikh
Shukran Sheikh
Maa shaa Allah ❤❤
Mashaa Allah
Jazakallaukher
Alhamdullah 🙏🙏 mashaallah
Allah akbar
Allahu Akbar.
Allah akuhifadh ❤
Ahsante chekhe allah akukinge nahao
Tabaraka Allah
Allah Akbar
Mashaa Allahu karibu kigoma.
Hasbun Allah wa nimal wakeel )
Allahumma inna naj aluka Fi nuhoorihim wa na oozhubika min shuroorihim )🤲🤲🤲🤲
Allah akufanyie wepes kwa Kila jambo lako
Alhamdulillah mwenyez mungu akuondolee mabalaa yote🎉 ya hapa dunian inshaallah ❤❤❤
Maashallaah
Allwa akujalie kila la kher inshallah tuko pamoja sana shekhe we2
Shukran sheikh Allah akupe amani maishan mwako na Afya njema ili uzidi kutuilimisha inshallah
Mashaallah tabaraka Allah ya-ustathi ❤❤asante sana 🙏 somo lako nitazingatia ishaallah 😊.
Maa shaa allah, somo hili ni zuri sana , Asante bwana shelki
Mashallah .mm na bwanang utuko na hasad tutakupataje ww tuifanyie zunguo
Shukran kwa fuzo lako mugu akupe afya
Allah atuhifadhi
Maashallh maashallh
Allahu aalam but you make me feel educated sheikh shukran am really appreciate for you lesson mashallah allah baarik inshallah ❤️
Masha Allah sheikh ,walitu elimisha sisi waislamu, mwenyezi mungu akupelekee janatul firdows
Asante sh wetu ila ni ngumu kumfata mtu umwambie akufanyiy ivo Ata kwambia ume hisi yeye ni mchawi mana sisi watu wasasa hivi nimtihani
Allah atuhifadhi hayo macho na roho z kwa nn zitatumaliza.
Mashaallah tutayafanyia kazi lnshaallah
Aminiii
Shekhe hongera sana Allah akubarik
Shukran Sana Shekh wetu.
Mashallah
Subhannah Allah😢😢😢😢 Allah atuongoe na
Ni kweri ostazi wangu
Sheikh shukran kwailmu yako jee kama humjui aliekuhusudu ufanyeje
Asante baba
ALLAHU AKBAR
Shukran
Mashaallah
Allah
Awe
Pamoj
Naw
Inshallah
Shekh
Wang
Mashallah 🙏🤲☝️
Asalaam aleykm,sheikh wangu,namba yasimu mandishi madogo aiyonekani vizuri ,sheikh
Mashallah sema huyo wakushoto kwako kama wamsema akupiga jicho uyo
Hongera sana shekhe
Allahuma Ameeen
Dah Atari sana
Mashalla . NShukuru sana kwa ujumbe. Bali niko na swali . Je kama haujui ni nani anekufanyia hasad utatibiwa vipi ?
Leo nimepata somo kubwa sanaaaa
Mimi naulisa nakama yule alikuwa anakusitukia anakwambia maneno alikufa nifanye aji Mimi ni mkenya
A,a utajuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho
Macho kweli ni mabaya alikuja mgeni akadhtuka kumsifia mtoto wangu mzuri.....usiku wake mwanangu alikuwa analiaaaaa anahangaika hadi tumbo likawa linamuuma
Yaalabi tuepushe na mitihani yakuchukiwa
Naomba ulipata huu ujumbe tuwasiliane sina Raha.
Asalam aleykum shekh wangu me nko nikona shida naomba usaidizi wako kwasababu nmehangaika sana na cjapata msaada yeyote
Subuhanalaah yaani mie nachukiwa iweje mtu nimemusaidia mtu mda huo kasahau ubaya ndo napewa shehe nifanyeje
Uwe kipenzi cha ALLAH na udowe na wasiwasi na binadamu
Mswalie mtume mara nying
Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatu sheikh kweli unayo yasema hv unavyoeleza hp kwangu kumezidi mijusi nimeweka dawa za kupuliza tukiwaona twapiga dawa na tubapo wapata twawapiga twawauwa lakini hawaishi na nina mengi sn but kuweleza ni shida kwa kutype but twahitaji dawa tufanye nini naomba utueleza
Miaka 3 iliopita Nilikua Na kibarua changu kizuri sana lakn nimekutana nayo hayo Mambo ya hasad Mpaka ikapelekea kibarua changu kupotea ghafra Wallah Tena Mabos wangu Wamenichukia ghafra yani tafarani
Allah akufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu Mambo yatakua vzuri inshallah
Je tufanyeje kujilinda na hayo yote
Kweli
Shekh mm nkifanya mambo yangu yoyote hayafanikiwi alafu sipendi kutangamana n watu nisome dua gani
ili nisaidike
A,a sasa utamjuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho
Haohao
Mimi mijusi nyumbani kwangu ni mingi sana nimefukiza sana na kuwaua lkn bado wapo kila kona ya nyumba yangu ,na sasa naona ni wengi na nimepata mtihani mzito sana kwa sasa na bado ni mzito kuisha inshallah msaada nifanye nini.yan nyumba yang mijusi ndio kama makazi yao tena hao kafiri je nyumba yang inatawalaiwa na roho chafu au?msaada tafadhali
Naomba msaada yani mimi naumwa kilasku
Muombe Allah
Nina maongezi yangu kidogoo
Nishawai mwambia mama ntilie siwezi kosa pesa ata siku moja sasa naenda kukopa jamani jamani bongo nyoso watu wanga
Pole ndugu Yangu...
Sheikh if you dont known the person how did kijicho utafanyeje
Shehe niambie nitafanya aje juu niwengii wame nifanyiya hivoo plz🙏🙏🙏
Ukimpiga gongo je haifai
Asalam aleykum shehk wetu, naomba saidi wako, jee ikiwa hujui alie kuhusudu utaji tibu vipi ama tiba yake nini.
BARAKALLAHU FIIK SHEIKH WETU.
JE ikiwa si Waislamu?
Asalaam Aleikum warahamatulah wabarakatuh. Haya jaman na kama humjui huyo aliyekufanyia kijijo. Je utafanyaje. Na wengine wanakataa japo amekufanyia. Hapa ndio utafanyaje shekh.?
Asallam Aleykum sheikh shukran kwa darsa yenye kuelimisha ,je vp nitamvuta huyo malaika wa aslia?
Asalam aleykum warhama tulai wabarakat vip hali nimependa hiyo fimbo inapatikana wapi nikamchukulie mume wangu
Sheikh nlitaka kujua t huyu mjusi ni WA rangi gani lbda manke ndani nnapoish wapo weng snaaa lkn ni weupe
A.aleikum, shukran sana kwa somo lakin je kama mtu alokupiga kijicho humjui?
Lkn shekh hujui nani kakuhusudu unafanyaje?
Asalaam alykum ,je kama hukumjua aliesababisha hasad hiyo
Mbona huyo ako Na hivo kulia kwako
Assalaam Alaikum
Je kama huyo mtu ameshakufa tiba yake utafanyaje?
Mtu mwema anatengeneza watu wema, Ukiona nchi haina amani sio kwamba miti imevuruga amani laah asha wanaoleta amani ni watu aisee
Aslam aleykum sheikhe mim ninashida na namba yako
Huku kwetu ukimuambia mtu hivyo yawa kesi,siajabu mkafika kotini kaniambia mchawi
Mtume (s.a.w)aliumwa nusu ya kufa?mh
Mungu anakupa mtihani,hata Mitume walipewa mitihani
Mhm Sasa jsmii ytu ya Sasa labda ndguyo ndo atafanya lkn mtu baki at ataka uadhirike. Chezea bnadam ww
Asalaam Aleikum warahmatallah wabarakatu vipi hali na jamaa mi nashkuru ni mzima salama salmini,sheikh nilikua na jambo nataka kukuuliza unipe ushauri limenichanganya miaka mitatu Sasa.
Ni hivi Mimi kwa kweli kizalia nilizaliwa mkristo na nilikua naenda kanisa la catholic church sote pamoja na mama na baba na ndugi zangu,kufikia darasa la saba mamangu mzazi akaachana na baba akaolewa na mtu mwengine muislamu ikabidi pia sisi atusilimishe tukawa waisilamu sote.
Tukasoma madrasa vizuri tukawa twaswali vizuri Mimi kama mtoto mkubwa wa kiume wakwanza kabisa ni msichana halafu Mimi wa pili na huyo wa wakwanza huyo msichana alibahatika akapata mume mkristo akaolewa na akaregelea ukristo na yuaendelea vizuri tuu na mume wake na mambo yake mazuri,Mimi bado naendelea na uislamu pamoja na ndugi zangu wengine lakini kufikia mwaka wa 2021 mwezi wa sita nilianza kupata ujumbe kwa simu yesu kristo yuanitaa ataka nimfate yeye na niende kanisani na niimbe nyimbo za gospel yani kwa ufupi ataka niregee katika ukristo Sasa Mimi hata nimechanganyikiwa Niko njia panda.
Hali yangu pia yaki maisha si nzuri sina kazi sina mke Nikoniko tuu naniko katika uisilamu kwa jina naitwa Emmanuel mutua Mudachi jina la kuzaliwa mpaka kubatizwa nilipo silimu nilitwa Abbasi.
Sheikh utanisaidia vipi maanake roho yangu pia naumia sana na namba yangu yangu ya simu ni ±254798088270 Niko Mombasa bamburi naomba msaada wako na ushauri pia Asante.
Asalam Aleykum please baki kwa dini ya kiislam kwani sini ya kiislam ni ya kweli, . Hakuna kitu kuwa yessu kakuita yesu ni prophet Jesus Prophet Isa ! Please Nenda Masikini swalinsana na mutana na sheikh weka imani yako iwe strong please uwe na msimamo na dad yako Mwambie arejee katika dini ya uislam na Allah yupo atawasaidia Allahumma Amiin
Kaa kwenye uislam usirutadike jitaid kuwa nasubra utakuwa vizur
Mie Ninashida na namba ya huyu sheikh
Mbona namba hizo huzioni hapo zinaoneshwa
Wazee wa kisukuma hunywa maji waliyo nawe wageni wake baada ya Kula
Tena wewe ungekauka mapema sheikh maana na wewe kucheka kwako na macho ni hatar😂😂😂 ila Mimi sikufanyii hasadi nasema tu😂