Vitu 6 hatari katika Maisha yako - Sheikh Othman Michael

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 12. 2023

Komentáře • 134

  • @HeriethChristopher
    @HeriethChristopher Před 2 měsíci +3

    Allah akutunze sheikh akupe afya njema na baraka tele kwako na familia yako mimi ni mkristo lakini nabarikiwa sana na mafunzo yako 🙏🙏

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před 6 měsíci +4

    Yametufika hayo sheikh lakini tumewahiwa bila ya kujua tangu tulipokuwa wadogo sana, hasbiyallah waniimal wakiil waniimal maulaa waniimal nasiir🤲🤲

  • @MaridadiRashidilikwesoLikweso

    asante Leo nimejua maana ya mjusi baba alikuwa ananihusia Sana had it hi ya mjusi

  • @MariamShabani-eb3oh
    @MariamShabani-eb3oh Před 9 dny

    Jazakallahu khayra

  • @AshuraZuberi
    @AshuraZuberi Před 3 měsíci +1

    Shekhe Allah Akuhifadhi yaani napenda.sana mafundisho yako. Allah akukutanishe na MTUME wallah napenda mafundisho yako kutoka moyoni shekhe Allah Akulipe

  • @hawashabani7896
    @hawashabani7896 Před 7 měsíci +16

    Asalaam aleykum,Shukrani Shekhe Kwa SoMo lako zuri Alhamdulillah.Allah akuzidishie zaidi na akujaalie umri mrefu wenye Mwisho mwema.Shekhe je?tufanye Nini ili tujikinge na husda na hasadi

    • @ahmadaali4605
      @ahmadaali4605 Před 6 měsíci +1

      Kuwa na kawaida ya kusoma suratul falaq, Nas na Ikhlas ×3 na qur-an yote ni shifaa

    • @user-nf8ku2bi9i
      @user-nf8ku2bi9i Před 6 měsíci

      Mashaallah Allah akulipe kheri Shekh wetu ktk Dunia Yako na Akhera Yako Leo nimepata faida

  • @AminaMohamed-td2bi
    @AminaMohamed-td2bi Před 10 dny

    Ndomn nakupenda sana sheikh.ukomsafi sana wamaneno.

  • @arafaayubu
    @arafaayubu Před 6 měsíci +2

    Maa Shaa Allah. Allah akubariki akupe maisha marefu yenye kheri.
    Allah akupe ujira duniani na aakhera.
    Allahumma Amiin

  • @MaryAmaiza-th2fo
    @MaryAmaiza-th2fo Před 6 měsíci +22

    Asante bwana shek, mm ni mkristo ilah napenda mafunzo yako ni mazuri napata kitu humu, kutoka Kenya 🇰🇪.

  • @user-fl3yl4or3e
    @user-fl3yl4or3e Před 6 měsíci +1

    Mashallah Tabaraka llah

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx Před 7 měsíci +2

    Ma shaa Allaah

  • @abdulragmababdulsalam5107
    @abdulragmababdulsalam5107 Před 6 měsíci

    Mashaallah shukran ❤❤❤

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed Před 6 měsíci +2

    SoMo liko vizuri, ALHAMNDULILLAH, ALHAMNDULILLAH.

  • @user-jk6xk7id3q
    @user-jk6xk7id3q Před 6 měsíci

    Jazakallau kheira

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před 7 měsíci +3

    MashaAllah ❤ shukraan sheikh

  • @user-mr1hk2ed2w
    @user-mr1hk2ed2w Před 6 měsíci +1

    Shukran Sheikh

  • @user-wq8lp4th2b
    @user-wq8lp4th2b Před 5 měsíci +1

    Maa shaa Allah ❤❤

  • @user-yr8ib5ni7c
    @user-yr8ib5ni7c Před 6 měsíci

    Mashaa Allah

  • @user-uw4cw2uc3u
    @user-uw4cw2uc3u Před 5 měsíci

    Jazakallaukher

  • @SwaumuJuma-bc9se
    @SwaumuJuma-bc9se Před 6 měsíci +1

    Alhamdullah 🙏🙏 mashaallah

  • @seiflugendo7141
    @seiflugendo7141 Před 7 měsíci +3

    Allah akbar

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y Před 7 měsíci +3

    Allahu Akbar.

  • @swabiaa1489
    @swabiaa1489 Před 6 měsíci

    Allah akuhifadh ❤

  • @RamadhanCongera
    @RamadhanCongera Před 2 měsíci

    Ahsante chekhe allah akukinge nahao

  • @HileHile-ns9xv
    @HileHile-ns9xv Před 6 měsíci

    Tabaraka Allah

  • @user-mx4wi8ic5e
    @user-mx4wi8ic5e Před 6 měsíci +2

    Allah Akbar

  • @user-ok8uh3hh3w
    @user-ok8uh3hh3w Před 7 měsíci +2

    Mashaa Allahu karibu kigoma.

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 Před 6 měsíci +1

    Hasbun Allah wa nimal wakeel )
    Allahumma inna naj aluka Fi nuhoorihim wa na oozhubika min shuroorihim )🤲🤲🤲🤲

  • @user-hj7io6qy9n
    @user-hj7io6qy9n Před 4 měsíci

    Allah akufanyie wepes kwa Kila jambo lako

  • @user-il8un5ft9e
    @user-il8un5ft9e Před 6 měsíci

    Alhamdulillah mwenyez mungu akuondolee mabalaa yote🎉 ya hapa dunian inshaallah ❤❤❤

  • @SmilingCherryBlossoms-ce8md
    @SmilingCherryBlossoms-ce8md Před 6 měsíci

    Maashallaah

  • @user-dc2nv3lu9l
    @user-dc2nv3lu9l Před 6 měsíci

    Allwa akujalie kila la kher inshallah tuko pamoja sana shekhe we2

  • @user-qq3gf9xn2c
    @user-qq3gf9xn2c Před 5 měsíci

    Shukran sheikh Allah akupe amani maishan mwako na Afya njema ili uzidi kutuilimisha inshallah

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez Před 6 měsíci

    Mashaallah tabaraka Allah ya-ustathi ❤❤asante sana 🙏 somo lako nitazingatia ishaallah 😊.

  • @ArseneKyallo
    @ArseneKyallo Před 6 měsíci

    Maa shaa allah, somo hili ni zuri sana , Asante bwana shelki

  • @aishamohamed4823
    @aishamohamed4823 Před 3 měsíci

    Mashallah .mm na bwanang utuko na hasad tutakupataje ww tuifanyie zunguo

  • @abdilahally6340
    @abdilahally6340 Před 6 měsíci

    Shukran kwa fuzo lako mugu akupe afya

  • @user-ec8ig8nn2y
    @user-ec8ig8nn2y Před 6 měsíci +1

    Allah atuhifadhi

  • @asmahasanirashid5059
    @asmahasanirashid5059 Před 6 měsíci

    Maashallh maashallh

  • @user-gx9hg3dp1e
    @user-gx9hg3dp1e Před 6 měsíci +2

    Allahu aalam but you make me feel educated sheikh shukran am really appreciate for you lesson mashallah allah baarik inshallah ❤️

  • @nuruabdi7806
    @nuruabdi7806 Před 6 měsíci

    Masha Allah sheikh ,walitu elimisha sisi waislamu, mwenyezi mungu akupelekee janatul firdows

  • @majomasliman7856
    @majomasliman7856 Před 6 měsíci

    Asante sh wetu ila ni ngumu kumfata mtu umwambie akufanyiy ivo Ata kwambia ume hisi yeye ni mchawi mana sisi watu wasasa hivi nimtihani

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y Před 7 měsíci +4

    Allah atuhifadhi hayo macho na roho z kwa nn zitatumaliza.

  • @user-ou2og1ze9d
    @user-ou2og1ze9d Před 4 měsíci

    Shekhe hongera sana Allah akubarik

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 Před 2 měsíci

    Shukran Sana Shekh wetu.

  • @salmaassed
    @salmaassed Před 5 měsíci +1

    Mashallah

  • @rachelmnyimwa4192
    @rachelmnyimwa4192 Před 6 měsíci

    Subhannah Allah😢😢😢😢 Allah atuongoe na

  • @DaxMarioo-rq9rs
    @DaxMarioo-rq9rs Před 6 měsíci

    Ni kweri ostazi wangu

  • @user-rx9lq6kw4v
    @user-rx9lq6kw4v Před 6 měsíci +3

    Sheikh shukran kwailmu yako jee kama humjui aliekuhusudu ufanyeje

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Před 7 měsíci +2

    ALLAHU AKBAR

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Před 6 měsíci

    Shukran

  • @user-hy8yp9qt2o
    @user-hy8yp9qt2o Před 6 měsíci +1

    Mashaallah
    Allah
    Awe
    Pamoj
    Naw
    Inshallah
    Shekh
    Wang

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 Před 6 měsíci

    Mashallah 🙏🤲☝️

    • @LeilaShah-ib4td
      @LeilaShah-ib4td Před 6 měsíci

      Asalaam aleykm,sheikh wangu,namba yasimu mandishi madogo aiyonekani vizuri ,sheikh

  • @twalibutwaha1632
    @twalibutwaha1632 Před 6 měsíci

    Mashallah sema huyo wakushoto kwako kama wamsema akupiga jicho uyo

  • @asianramadhani8315
    @asianramadhani8315 Před 4 měsíci

    Hongera sana shekhe

  • @KIMOCHA1
    @KIMOCHA1 Před 2 měsíci

    Allahuma Ameeen

  • @user-le7lh1ou2d
    @user-le7lh1ou2d Před 6 měsíci

    Dah Atari sana

  • @estheretori3855
    @estheretori3855 Před 6 měsíci +1

    Mashalla . NShukuru sana kwa ujumbe. Bali niko na swali . Je kama haujui ni nani anekufanyia hasad utatibiwa vipi ?

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 6 měsíci +1

    Leo nimepata somo kubwa sanaaaa

  • @josphinengugi4978
    @josphinengugi4978 Před 12 dny

    Mimi naulisa nakama yule alikuwa anakusitukia anakwambia maneno alikufa nifanye aji Mimi ni mkenya

  • @user-ol3pb6gt9e
    @user-ol3pb6gt9e Před 7 měsíci +1

    A,a utajuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho

  • @mamuumuu4999
    @mamuumuu4999 Před 5 měsíci

    Macho kweli ni mabaya alikuja mgeni akadhtuka kumsifia mtoto wangu mzuri.....usiku wake mwanangu alikuwa analiaaaaa anahangaika hadi tumbo likawa linamuuma

  • @MuniraYahaya-y9n
    @MuniraYahaya-y9n Před 15 dny

    Yaalabi tuepushe na mitihani yakuchukiwa

  • @emmanuelmudachi6508
    @emmanuelmudachi6508 Před 5 měsíci

    Naomba ulipata huu ujumbe tuwasiliane sina Raha.

  • @HassanLastman-hh9sw
    @HassanLastman-hh9sw Před 6 měsíci +1

    Asalam aleykum shekh wangu me nko nikona shida naomba usaidizi wako kwasababu nmehangaika sana na cjapata msaada yeyote

  • @SamiraBhazizane
    @SamiraBhazizane Před 6 měsíci +3

    Subuhanalaah yaani mie nachukiwa iweje mtu nimemusaidia mtu mda huo kasahau ubaya ndo napewa shehe nifanyeje

  • @naswiharashid7166
    @naswiharashid7166 Před 6 měsíci

    Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatu sheikh kweli unayo yasema hv unavyoeleza hp kwangu kumezidi mijusi nimeweka dawa za kupuliza tukiwaona twapiga dawa na tubapo wapata twawapiga twawauwa lakini hawaishi na nina mengi sn but kuweleza ni shida kwa kutype but twahitaji dawa tufanye nini naomba utueleza

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w Před 6 měsíci

    Miaka 3 iliopita Nilikua Na kibarua changu kizuri sana lakn nimekutana nayo hayo Mambo ya hasad Mpaka ikapelekea kibarua changu kupotea ghafra Wallah Tena Mabos wangu Wamenichukia ghafra yani tafarani

    • @hamisimtusi1796
      @hamisimtusi1796 Před 4 měsíci

      Allah akufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu Mambo yatakua vzuri inshallah

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps Před 5 měsíci

    Je tufanyeje kujilinda na hayo yote

  • @user-yl2ju4oc9c
    @user-yl2ju4oc9c Před 3 měsíci

    Kweli

  • @MwanajumaSaria
    @MwanajumaSaria Před měsícem

    Shekh mm nkifanya mambo yangu yoyote hayafanikiwi alafu sipendi kutangamana n watu nisome dua gani
    ili nisaidike

  • @user-ol3pb6gt9e
    @user-ol3pb6gt9e Před 7 měsíci +3

    A,a sasa utamjuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho

  • @TwaliathAndrea-dm3dy
    @TwaliathAndrea-dm3dy Před 3 měsíci

    Haohao

  • @hawaamabrouck2456
    @hawaamabrouck2456 Před 4 měsíci

    Mimi mijusi nyumbani kwangu ni mingi sana nimefukiza sana na kuwaua lkn bado wapo kila kona ya nyumba yangu ,na sasa naona ni wengi na nimepata mtihani mzito sana kwa sasa na bado ni mzito kuisha inshallah msaada nifanye nini.yan nyumba yang mijusi ndio kama makazi yao tena hao kafiri je nyumba yang inatawalaiwa na roho chafu au?msaada tafadhali

  • @mwajumaally3383
    @mwajumaally3383 Před 6 měsíci

    Naomba msaada yani mimi naumwa kilasku

  • @user-wr6uz1rx1o
    @user-wr6uz1rx1o Před 6 měsíci

    Nina maongezi yangu kidogoo

  • @kharifasanto3383
    @kharifasanto3383 Před 3 měsíci +1

    Nishawai mwambia mama ntilie siwezi kosa pesa ata siku moja sasa naenda kukopa jamani jamani bongo nyoso watu wanga

  • @khadijamohammed7811
    @khadijamohammed7811 Před 3 měsíci

    Sheikh if you dont known the person how did kijicho utafanyeje

  • @JonathanKebaso-yk8le
    @JonathanKebaso-yk8le Před 6 měsíci

    Shehe niambie nitafanya aje juu niwengii wame nifanyiya hivoo plz🙏🙏🙏

  • @user-pk2km5nj3f
    @user-pk2km5nj3f Před 4 měsíci

    Ukimpiga gongo je haifai

  • @casualteenfashions8790
    @casualteenfashions8790 Před 6 měsíci

    Asalam aleykum shehk wetu, naomba saidi wako, jee ikiwa hujui alie kuhusudu utaji tibu vipi ama tiba yake nini.

  • @fabssaleh7273
    @fabssaleh7273 Před 6 měsíci

    BARAKALLAHU FIIK SHEIKH WETU.
    JE ikiwa si Waislamu?

  • @zitoncombo1317
    @zitoncombo1317 Před 6 měsíci

    Asalaam Aleikum warahamatulah wabarakatuh. Haya jaman na kama humjui huyo aliyekufanyia kijijo. Je utafanyaje. Na wengine wanakataa japo amekufanyia. Hapa ndio utafanyaje shekh.?

  • @user-do8hi3oo1d
    @user-do8hi3oo1d Před 6 měsíci

    Asallam Aleykum sheikh shukran kwa darsa yenye kuelimisha ,je vp nitamvuta huyo malaika wa aslia?

  • @maryammakata7849
    @maryammakata7849 Před 6 měsíci

    Asalam aleykum warhama tulai wabarakat vip hali nimependa hiyo fimbo inapatikana wapi nikamchukulie mume wangu

  • @user-zn4bo2vk8l
    @user-zn4bo2vk8l Před 5 měsíci

    Sheikh nlitaka kujua t huyu mjusi ni WA rangi gani lbda manke ndani nnapoish wapo weng snaaa lkn ni weupe

  • @princessryan5676
    @princessryan5676 Před 6 měsíci

    A.aleikum, shukran sana kwa somo lakin je kama mtu alokupiga kijicho humjui?

  • @bihayisefu8810
    @bihayisefu8810 Před měsícem

    Lkn shekh hujui nani kakuhusudu unafanyaje?

  • @ahmedmuhiddin5107
    @ahmedmuhiddin5107 Před 6 měsíci

    Asalaam alykum ,je kama hukumjua aliesababisha hasad hiyo

  • @mwajumaally3383
    @mwajumaally3383 Před 6 měsíci

    Mbona huyo ako Na hivo kulia kwako

  • @user-hi7ry5bc9t
    @user-hi7ry5bc9t Před 6 měsíci +1

    Assalaam Alaikum
    Je kama huyo mtu ameshakufa tiba yake utafanyaje?

  • @user-kp7gj9xq4b
    @user-kp7gj9xq4b Před 5 měsíci

    Mtu mwema anatengeneza watu wema, Ukiona nchi haina amani sio kwamba miti imevuruga amani laah asha wanaoleta amani ni watu aisee

  • @user-wr6uz1rx1o
    @user-wr6uz1rx1o Před 6 měsíci

    Aslam aleykum sheikhe mim ninashida na namba yako

  • @angle3600
    @angle3600 Před 6 měsíci

    Huku kwetu ukimuambia mtu hivyo yawa kesi,siajabu mkafika kotini kaniambia mchawi

  • @aminasaid6555
    @aminasaid6555 Před 6 měsíci +1

    Mtume (s.a.w)aliumwa nusu ya kufa?mh

    • @smadon5638
      @smadon5638 Před 6 měsíci

      Mungu anakupa mtihani,hata Mitume walipewa mitihani

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před 6 měsíci

    Mhm Sasa jsmii ytu ya Sasa labda ndguyo ndo atafanya lkn mtu baki at ataka uadhirike. Chezea bnadam ww

  • @emmanuelmudachi6508
    @emmanuelmudachi6508 Před 5 měsíci

    Asalaam Aleikum warahmatallah wabarakatu vipi hali na jamaa mi nashkuru ni mzima salama salmini,sheikh nilikua na jambo nataka kukuuliza unipe ushauri limenichanganya miaka mitatu Sasa.
    Ni hivi Mimi kwa kweli kizalia nilizaliwa mkristo na nilikua naenda kanisa la catholic church sote pamoja na mama na baba na ndugi zangu,kufikia darasa la saba mamangu mzazi akaachana na baba akaolewa na mtu mwengine muislamu ikabidi pia sisi atusilimishe tukawa waisilamu sote.
    Tukasoma madrasa vizuri tukawa twaswali vizuri Mimi kama mtoto mkubwa wa kiume wakwanza kabisa ni msichana halafu Mimi wa pili na huyo wa wakwanza huyo msichana alibahatika akapata mume mkristo akaolewa na akaregelea ukristo na yuaendelea vizuri tuu na mume wake na mambo yake mazuri,Mimi bado naendelea na uislamu pamoja na ndugi zangu wengine lakini kufikia mwaka wa 2021 mwezi wa sita nilianza kupata ujumbe kwa simu yesu kristo yuanitaa ataka nimfate yeye na niende kanisani na niimbe nyimbo za gospel yani kwa ufupi ataka niregee katika ukristo Sasa Mimi hata nimechanganyikiwa Niko njia panda.
    Hali yangu pia yaki maisha si nzuri sina kazi sina mke Nikoniko tuu naniko katika uisilamu kwa jina naitwa Emmanuel mutua Mudachi jina la kuzaliwa mpaka kubatizwa nilipo silimu nilitwa Abbasi.
    Sheikh utanisaidia vipi maanake roho yangu pia naumia sana na namba yangu yangu ya simu ni ±254798088270 Niko Mombasa bamburi naomba msaada wako na ushauri pia Asante.

    • @imanmohamed2215
      @imanmohamed2215 Před 5 měsíci

      Asalam Aleykum please baki kwa dini ya kiislam kwani sini ya kiislam ni ya kweli, . Hakuna kitu kuwa yessu kakuita yesu ni prophet Jesus Prophet Isa ! Please Nenda Masikini swalinsana na mutana na sheikh weka imani yako iwe strong please uwe na msimamo na dad yako Mwambie arejee katika dini ya uislam na Allah yupo atawasaidia Allahumma Amiin

    • @TwaliathAndrea-dm3dy
      @TwaliathAndrea-dm3dy Před 3 měsíci

      Kaa kwenye uislam usirutadike jitaid kuwa nasubra utakuwa vizur

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Před 6 měsíci +1

    Mie Ninashida na namba ya huyu sheikh

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Před 6 měsíci

    Wazee wa kisukuma hunywa maji waliyo nawe wageni wake baada ya Kula

  • @MojamojaMojamoja-lw2ph
    @MojamojaMojamoja-lw2ph Před 6 měsíci

    Tena wewe ungekauka mapema sheikh maana na wewe kucheka kwako na macho ni hatar😂😂😂 ila Mimi sikufanyii hasadi nasema tu😂