Sheikh Naasor BACHU - KWENYE UZITO KUNA WEPESI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024

Komentáře • 479

  • @ibrahimmawazo5077
    @ibrahimmawazo5077 Před 10 měsíci +16

    Naangalia hii 2023, kwa mawaidha haya, tunamuomba Allah afanye Kun-faya-kun kwa ndugu zetu wa Palestine. Afanye miujiza, haki na amani ipatikane Palestine. Naomba kila mmoja aandike Amin iwe kheri In sha Allah.

    • @user-qu7lz9mu5e
      @user-qu7lz9mu5e Před 10 měsíci +3

      Aamin tulikua na Sheikh sisi..Allah attempted Nuru na Harufu ya peponi kaburi lake..

    • @Ahmadchobu
      @Ahmadchobu Před 6 měsíci +2

      Mim naangalia 2024
      اللهم غفر له وارحمه واسكنه فلجنة

    • @khamisjuma5481
      @khamisjuma5481 Před 5 měsíci +1

      aaaamin

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 4 lety +21

    Ndio shekhe wa kwanza mimi kusikia mawaidha yake kutoka radioni wakati nakua hadi sasa. Allah ampe furaha ktk maisha yake ya kaburini na kesho Akhera. Aameen

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan1400 Před 4 lety +27

    Mtu anayegonga dislike kwenye maneno haya ana maana gani jamani, dah. Allah akurehemu shekhe, akupe jaannat firdaus, amiyn

  • @jumahamis227
    @jumahamis227 Před 4 lety +7

    Mmoja wa wanazuoni wazuri kuwahi kutokea zanzibar na Tanzania kwa ujumla, Mungu ailaze nafsi ya marehemu sheikh Bacho mahali pema peponi inshaallah.

  • @alnasrialnasri721
    @alnasrialnasri721 Před 5 lety +31

    Akurehemu ALLAH pamoja na ndugu zete waliokwisha tangulia kabla yetu nasi tupate mwisho mema..

  • @samirhassanlau1473
    @samirhassanlau1473 Před 5 lety +74

    Hakika hua sichoki kusikiliza mawaidha ya huyu sheikh, ingawa kila nikisikiliza napata majonzi moyoni mwangu
    Alha ampe nuru ya milele ktk kaburi lake,
    Na alha amlipe kwa hii sadaka tul JARIYAAAA

  • @hassanmahamed8744
    @hassanmahamed8744 Před 2 lety +6

    Tujuane tuliomsikiliza Shekh miaka ya 90 kwa audio kaset! na sasa 2022 CZcams! nipe thumb.

  • @adilihassan8455
    @adilihassan8455 Před 3 lety +6

    Mashallah! Mtu mwema hujulikana tu akiondoka dunian,shekhe uko uliko tunakutaja Kwa wema sanaaaaaa ,firdaus ushaingia japo hatukuoni ,amiin

  • @aboudal-nabahany5338
    @aboudal-nabahany5338 Před 4 lety +18

    Allah amrehemu na amueke pamoja na wema peponi.Ameen 🤲🤲🤲

  • @bindawood978
    @bindawood978 Před 4 lety +16

    Allah akupe pepo ya daraja la kwanza, Alhamdulillah umetuelimisha vya kutoshakusu Qur an na Sunna, kikubwa ni mazingatio

  • @taturamadhan5940
    @taturamadhan5940 Před 7 lety +13

    allah mlipe heri nyingi kwa kazi yake kubwa yakueneza maneno yako na utuwezeshe sisi tunufaike na mawaidha yake na iwe chazo cha kuridhiwa na wewe yaa Rabb

  • @aminamusa9720
    @aminamusa9720 Před 5 lety +9

    Allah jaalie JANNAT FRIDAUS ktk maisha yako ya peni yaraby

  • @farsaabdallah2210
    @farsaabdallah2210 Před 17 dny +1

    Nakuomba Allah umuingize shekh nasor bachu Jannat firdaus bila ya khesab amiin

  • @ibrahimmusa5729
    @ibrahimmusa5729 Před 5 lety +8

    Tucmsahau Sh. Nassor bachu ktk dua zetu..
    #in shaa Allah.

  • @athmaniyahaya3758
    @athmaniyahaya3758 Před 3 lety +4

    Mungu akuhifadh afanye kaburi lako liwe ni miongon mwa viwanja vya peponi Insha Allah

  • @saidmsinga5450
    @saidmsinga5450 Před 9 lety +63

    ALHAMDULI LLAHI,MWENYEZI MUNGU AMLIPE KWA KAZI KUBWA ALIYOIFANYA KWA KUELIMISHA UMMA.

  • @athmanbakari5932
    @athmanbakari5932 Před 7 lety +11

    sikupata kkuona lakini Alhamdulillah nmepata kkuskiza,na napata faida na elimu ya dini yangu ya Islam kwa darsa zako,Allah akujaali pepo ya daraja ya juu,Ameen. .

  • @aidahali2840
    @aidahali2840 Před 9 lety +78

    ALLAH AMLAZE MAHALA PEMA PEPONI AMIIN

  • @kibwanamuhsin8772
    @kibwanamuhsin8772 Před 4 lety +4

    Mwenye elimu inayonufaisha hubaki hai hata kama amekufa. Mola akulipe kw sadaqatul-jariah zako hizi tunazonufaika nazo Ameen.

  • @Truthshallprevail1291
    @Truthshallprevail1291 Před 11 lety +17

    na mimi. Wallahi nimejifunza mengi kwa kusikiliza durusi zake nami nika hapa Europe. Shehe Bachu alikuwa kweli Asad feel minbar, alikuwa ana style ya Sheikh Abdul Hamid Kishki. Mwenyezi Mungu awarehemu.

  • @shairosekambona5301
    @shairosekambona5301 Před 4 lety +9

    ALLAH akurehemu sheikh nassoro bachu na akufanye kuwa ktk waliocheka milele amina ya rab

  • @khalidmohamed7532
    @khalidmohamed7532 Před 6 lety +13

    Allah amlipe jazz a njema..kwa sadakatul jaariya hizi zinazo tunufaisha hadi Leo.

  • @kibibijuma8441
    @kibibijuma8441 Před 4 lety +4

    mola akurehemu ww mbele na sisi nyuma. akupe firdaus Iwe makazi yk in sha Allah na ummat mohammed wote pia.

  • @jumajuma2726
    @jumajuma2726 Před 4 lety +11

    Napenda sana mawaidha ya shekhe bacho uwa sitokagi pembezoni mwa radio iman saa nne mpaka saa tisa ALLAH amlehem

  • @jamilanassoro8408
    @jamilanassoro8408 Před 4 lety +7

    Ya Allah mpe kauli thabit shekhe wetu na umrehemu

  • @mayjaally5026
    @mayjaally5026 Před 4 lety +23

    Allmarhum Sheikh Nassor Bachu, Allah akurehemu akusameh makosa yko n kuwa katik waja w pepo y Firdous. 🙏

  • @mohamediiddi29
    @mohamediiddi29 Před 6 lety +8

    Hakika pamoja na uzito upo wepesi mweyezi mungu amfanyie wepes sheh wetu

  • @zuhurambonde6959
    @zuhurambonde6959 Před 4 lety +4

    Mwenyezi mungu akuweke pazuri inshallah napenda Sana mawaidha yako.

  • @99graphix
    @99graphix Před 11 lety +22

    Allahumma thaabit-hu biqauli thaabit. Allahumma gh-firlahu warhamhu waafihi waaf-anhu.

  • @selemanizephania7281
    @selemanizephania7281 Před 8 lety +116

    Nampenda sana marhumu Sheikhe Nassor Bachu Allah ampe janna firdaus.

  • @khadijaramadhanhaji1159
    @khadijaramadhanhaji1159 Před 8 lety +39

    allah mpe kher uko alipo n mpe malipo ambayo makubwa zaid kuliko juhud aloitumia ktka kuipgania dini yko amin...

  • @mutaladjasmini4815
    @mutaladjasmini4815 Před 4 lety +8

    Allah akupe janat firdawus 🙏

  • @calypsotall
    @calypsotall Před 11 lety +22

    MUNGU MLAZE PEMA PEPONI SHEIKH NASSOR AMEEN.

  • @fahadmohamed5508
    @fahadmohamed5508 Před 5 lety +7

    Allah akupe kila lenye khyr huko ulipo maalim

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg Před 5 lety +8

    Ya Allah mja wako huyu mlipe pepo kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa ajili yako

  • @abubakarinyawaba1378
    @abubakarinyawaba1378 Před 5 lety +9

    Allah ajaalie ampe pepo ya juu firdaus

  • @uwingeneyeshadia7697
    @uwingeneyeshadia7697 Před 5 lety +6

    Innalilah wainailaih rajiun Allah akulinde adhabu za kaburi akupe kauli thabiti🙏

  • @rahmasalum7107
    @rahmasalum7107 Před 5 lety +7

    Mashallah mwenyez mungu akurehem akuwepe kwenye pepo ya Firdaus kwa kutupa illmu

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 Před 5 lety +10

    Wallah allah atakulipa malipo yaliyo makubwa sana.... Naakurehem...aaamiiinaaa

  • @fatmahotai7490
    @fatmahotai7490 Před 6 lety +10

    Mwenyezimungu akupanulie kaburi lako

  • @mbuyatrust8670
    @mbuyatrust8670 Před 3 lety +2

    Mungu msamedhe sana makosa yake shekhe nassoro bachu

  • @didakitole7578
    @didakitole7578 Před 3 lety +9

    اللهم غفر له و يرحمه و يسكنه الجنه يارب يارب يارب العالمين ❤

  • @aminayussuf4161
    @aminayussuf4161 Před 6 lety +8

    Allah amlaze mahala pema muondoleye adhabu za kabri in shaa allah

  • @shamndonyi1814
    @shamndonyi1814 Před 4 lety +50

    If people do have the role models then, this is my role model.... May ALLAH grant him jannatu firdausi

  • @bibinamay1964
    @bibinamay1964 Před 5 lety +8

    Allah Ajaalie Pepo iwe makazi yako In Sha Allah. Amin

  • @yusufabubakarayub2823
    @yusufabubakarayub2823 Před 11 lety +18

    mungu akujazi kheri na akufungulie milago khery inshallah wewe umetagulia na si tukonyuma mungu atume husini khatima inndal mauti wa raha baada mauti walfauza bijanah

  • @yunussaidy1800
    @yunussaidy1800 Před 7 lety +6

    Allah akulipe kwa madhara ya elimu alokujalia ulioiacha katika jamii ya uislam

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein4019 Před 4 lety +15

    Beautiful lecture...May the almighty Allah grant you Jannatul Firdausi sheikh... Ameen...❤️

  • @anitaciza7660
    @anitaciza7660 Před 5 lety +11

    Allah amulehemu shekhe wetu❤🙏

  • @soudfakih2577
    @soudfakih2577 Před 10 lety +43

    Allahumma ighfir lahuu warhamhuu waaskinhuu filjannah. Ameen yaa Rabb.

  • @funditv8959
    @funditv8959 Před 4 lety +4

    Alhamdulillah, Allah akulipe dahali shekh wetu Bachu

  • @abdallaramadhan3850
    @abdallaramadhan3850 Před 4 lety +2

    Allah akusamehe,akurehemu,akupe kauli thabit na akulaze mahala pema peponi..aamiyn.

  • @hashimbalushi9283
    @hashimbalushi9283 Před 3 lety +3

    May Allah grant him Jannat Firdaus Al Aala. Alikuwa mwalimu wangu tumenufaika sana kwake.

  • @maryamsalim8822
    @maryamsalim8822 Před 6 lety +6

    Allah amuondole adhabu ya moto na ya kabr na munyu amjaliye aipite jia ya carat I'll must akim mungu amlaze pema penye wema ameen

  • @mamujabbir1540
    @mamujabbir1540 Před 7 lety +9

    Allah akujaalie pepo za ngazi ya juu kwa utumishu wako kwa umma wake,akuepushie adhabu na vitusho vya kaburini-Ameen ameen ameen Yaarabil ala meen.

  • @khamisalishaame8777
    @khamisalishaame8777 Před 5 lety +7

    Allah amlipe mazuri huko aliko aamin

  • @abdirizakhalakehalkan778
    @abdirizakhalakehalkan778 Před 4 lety +22

    May Almighty Allah grant him janatul firdous , and provide rehema kwa kaburi yake, we love you but Allah love you most. All his teaching is sooo touching

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 Před 4 lety +7

    Mashaallah sh Mungu akupe janna Yarrab!! Amiin

  • @saidmfaumekombo8067
    @saidmfaumekombo8067 Před 4 měsíci

    Mashaallah nakumbuka nikiwa mdogo 90s akija mombasa ilikua sikosi darsa na mihadhara yake Allah amuekee kwenye mizani yake

  • @mansoormannix1753
    @mansoormannix1753 Před 8 měsíci

    Sheikh Nasur Bachu Allah Amrehemu alikuwa one of the best speaker in Swahili followed by Othman Maalim.

  • @mohamedathuman1145
    @mohamedathuman1145 Před 4 lety +4

    Allah akupekauli dhabitty

  • @adammohd6215
    @adammohd6215 Před 6 lety +7

    mungu akusahem ww na sisi mazambi yetu tulio yafamy

  • @sabrahamad4763
    @sabrahamad4763 Před 5 lety +6

    Mashaa Allah, Allah akujalie akuweke katika pepo ya daraja ya juu na ss tuwe mionqoni mwao kua pmoja na ww Inshaa Allah. ☝

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 Před 4 lety +9

    MaashAllah Alhamdulilah Allah amrehemu na amtanganye na wema, Alhamdulilah

  • @fuadaljabry5330
    @fuadaljabry5330 Před 5 lety +5

    Allah humma efirihi wakhufuwan fill jana a ameen

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Před 3 lety

    Wallaih thuma wallaih mpk nileo tunafaidhika na mawaidha alioyaacha sheikh wetu Nassoro Bachu ALLAH akulipe mazuri yale anayo yajua yeye Amiin

  • @mudybeka6698
    @mudybeka6698 Před rokem

    ALLAH mrehem sheikh nasoro bachu na muepushe na kila aina ya adhabu zako na pepo iwe makazi yake ya milele inshaallah

  • @shabankuchanda9489
    @shabankuchanda9489 Před 3 lety +1

    Allah atakulipa kwa sawabu kwa kazi kubwa ya kuuendeleza uslamu

  • @fahadmahir8355
    @fahadmahir8355 Před 7 lety +10

    Allah akuzidishie Rehma zake. Amin

  • @sophiatborah4230
    @sophiatborah4230 Před 2 lety

    Mwenyeez mungu ajaalie kaburi lako liwe bustani miongoni mwa mabustani ya peponi ndugu mwema hakika umeondoka kiwiliwili lkn maneno ya ujumbe wa kulingania umma wa kipenz chetu mtume Muhammad bdo yanaish na mioyo ya wenye mazingatio inawaongoza..Allah akulipe jannah inshallah..

  • @colamboy5563
    @colamboy5563 Před 3 lety

    Nmejifunza mengi kupitia sheikh huyu na bado naendelea kujifunza na kiukweli nampenda Sana na mpaka Sasa cjamuona sheikh mwengine kwa upande wangu. Mungu ampe kila la kheri huko aliko. Amin

  • @tonystantay4013
    @tonystantay4013 Před 3 lety

    Mwenyez mungu amjalie kila la kheri uko alipo,kazi ameifanya shekh wetu,hakika hawa ndo warithi wa mtume wetu muhammad swl

  • @adinanabdul
    @adinanabdul Před 3 lety +1

    Nakuomba Allah umrehemu shekh wetu huyu. Tunanufaika mengi kutoka kwake. Aaamiyn.

  • @alimcheni6372
    @alimcheni6372 Před 4 lety +6

    Allahummaghfirlahu warhamhu waaskinhum fii janna

  • @Yusuf-fo3gl
    @Yusuf-fo3gl Před 6 lety +8

    Allahu, rabbil al a'ameen
    ampe rehma kwa wingi mno na firdaus a'ala.
    A'ameen.

  • @hawa4968
    @hawa4968 Před 5 lety +3

    Allah subuhanah waatallah akupe nuri ndani ya nur umeondoka ila bado kwenye nyoyo zetu unaish

  • @ibrahimdabo7163
    @ibrahimdabo7163 Před 3 lety

    huyu mwamba alikuwa na msimamo na mwanazuoni mzuri sana namkubali sana na wale mashehe wasaka tonge walimchukiya sana mungu amlaze mahala pema peponi amin

  • @yussufmohamed2405
    @yussufmohamed2405 Před 4 lety +3

    ALLAH AMREHEHU SHEIKH NASDOR BACHU AMEEN

  • @abuughanimaally5980
    @abuughanimaally5980 Před 5 lety +5

    نسأل الله أن يجعله من أهل الجنة ويعط كتابه بيمينه ولا يعط كتابه بشماله

    • @rashidsalu6973
      @rashidsalu6973 Před 4 lety

      Mm rashid salum mungu amjaalie malazi. Mema poponi kwa kazi yako ambayo uliyoifanya hapa. Duniani kwa kuitangaza dini. Ya. Allh mungu akulaze. Mahala. Pema peponi a

    • @mwasitiathumani4626
      @mwasitiathumani4626 Před 4 lety

      Hakika mawaidha ni sadakutjaalia Mwenyezimungu kaburi lako alifanye lawaja Wa peponi aamiin Inshaallah

  • @mruppercut7985
    @mruppercut7985 Před 2 lety

    Tutakukumbuka daima.. tunakuombea Dua Sana mwalim wetu . Allah akusaamehe pale ulipoteleza hakika uliifahamisha dini kadir ALLAH alivokuwezesha bado tunakupenda Sanaa

  • @QChief
    @QChief Před 2 lety +1

    napenda sana mawaidha yako sheikh wangu shukran afuen

  • @allyrashidi9875
    @allyrashidi9875 Před měsícem

    Allah akulipe Pepo sheikh wangu,akuondolee adhabu za kaburi

  • @suleimanomar5956
    @suleimanomar5956 Před 4 lety +8

    Rest in peace Sheikh Nassor.
    Allah akupe Pepo.

  • @nelsonsalim4426
    @nelsonsalim4426 Před 5 lety +3

    Allwahuma aghfir Laguna warhamhu waskanhhu fil jannah

  • @kwizerasalama685
    @kwizerasalama685 Před 5 lety +2

    Mwenyezimung akuzidishiy kila lakber popote ulipo akuepushe na shari amin

  • @salehenassor1578
    @salehenassor1578 Před 3 lety +1

    Masha Allah mungu akulipe zaid sheikhe wetu Amin Amin

  • @aminaabdi8078
    @aminaabdi8078 Před 5 lety +8

    Allaah akuwekee mwangaza kwa kabri yako sheikhe wetu tulikpenda lakin Allah akakpenda zaidi nakckiliza hku nalia.

    • @mohamedguyo3099
      @mohamedguyo3099 Před rokem

      Almarhum Sheikh Nassor,your lecture in us.may Allah grant you jannatul Firdaus.

  • @hmedmaulid2069
    @hmedmaulid2069 Před 7 lety +6

    Allah amlaze mahali pema.peponi amin.

  • @yusuflangat3556
    @yusuflangat3556 Před 2 lety

    Allah akurehemu na akupandishe toka darja moja Hadi nyingine katika janatul firdaus Kwa faida ninayoipata alhamdulillah kupitia mawaidha yako

  • @shakilaiddrisa5263
    @shakilaiddrisa5263 Před 5 lety +5

    Allah akulipe wema . Amin

  • @fatmakhmiskhamisi7794
    @fatmakhmiskhamisi7794 Před 6 lety +4

    Amiina shekh wngu Mungu akurehemu akupe kher shar akuepushe ln.shaa llah

  • @abuabdallahmohammed9048
    @abuabdallahmohammed9048 Před 3 lety +1

    Allah akulaaze mahalipema peponi

  • @mwalimumz2036
    @mwalimumz2036 Před 7 lety +12

    allah mrehemu sheikh bachoo

  • @bahatimataka229
    @bahatimataka229 Před 4 lety +2

    Allah akurehemu...Innallillah wainnaillaihy rajoon

  • @kassimkitete3058
    @kassimkitete3058 Před 3 lety +1

    Allah amlaze mahala patukufu na inshallah amlipe pepo tukufu inshallah.

  • @superromeo2773
    @superromeo2773 Před 4 lety +2

    Mashallah..tenda mwema nenda zako...mwenyizi mungu amelazi mahali pema peponi sheik wetu!!!..

  • @kondoaman4298
    @kondoaman4298 Před 7 lety +10

    Allah Ampe pepo yadaraja yajuu zaid.

  • @dafajumanne5562
    @dafajumanne5562 Před 4 lety +1

    Allah akurehem insha'Allah Kwa kazi Kubwa

  • @alilukorito367
    @alilukorito367 Před 3 lety

    ALLAH akupe pepo na MUHAMMAD BIN ABDULLAH....inshaaallah na akupe starehe na nuru katika kaburi yako..Aaaamin thumma Aaaamin.

  • @ibraa1157
    @ibraa1157 Před 4 lety +1

    Shekhe letu jannatul Firdaus iwe mashukio yako in shaa Allah