Allah akurehemu sheikh wetu mawaidha yako lillah huwa yananipandisha imaan nakuntia subra sheikh bachu haupo duniani lkn maneno yako bado yanaishi na yataendelea kuishi namuomba Allah akuepushe na adhabu za kaburini aifanye kaburi lako kuwa miongoni mwa viwanja vya peponi Allah naomba utukutanishe na waja wema amiin amiin
Allah akuangazie Nuru ndani ya kaburi lako nimefaidi Mengi kupitia Daawa yako Nakuombea Kila nikiona video zako na nitazidi kukuombea Allah akuweke miongoni mwa waja wema na pepo ya Firdausi nuzulah tukutane Insh'Allah amiin 🤲 ya Allah 😪
maalim wangu Mungu amlaze mahala pema peponi kupata mtu mwenye kipaji kama huyu tena inachukua muda Watu kama hawa ni wachache sana wamebakia lakini ilmu yao itaendelea kuweko
inalilah waina ilah raj'un allah ampe pepo ya fridaus awe pamoja na mitume wote kina s.a.w. huzni imenijaa mwalimu wangu amenitoka lakini huzuni yangu inaitwa huzuni ya furaha coz sheikh kafa akiwa ktk jihad ya kulingania dini huyu ndio alikuwa akiniusia kwa wingi ndio alikuwa anajibu maswali yangu ewe allah nakuomba umpokee mja wako huyu na mpe pepo yako nasisi tujalie pia tujekukutana nae peponi insha allah ameen
Allah Akueke Pammoja na Waja wake wemah InshaaAllah. kaburi lako liwe Sawa na jumba la peponi InsaaAllah. Nakumbuka Kuwahi Kujahaliwa Kubusu Mkono Wako Sheik Nassor Bachu Umetangulia InshaaAllah Allah Atukutanishe Siku ya YAUMULDIN InshaaAllah.
MrMedu490 May Allah give the highest of all paradise.his great job will continue until judgement day.sheikh Nasor Bachu is one of the greatest sheikh in my life time
@@Duck-zx5sy Allahumma Ameen. He was indeed one of the greatest scholars from East Africa. His eloquence is especially unmatched in the swahili speaking world. رحمه الله رحمة واسعة وأسكنه الفردوس الأعلى من الجنة آمين
Allah akurehemu sheikh wetu mawaidha yako lillah huwa yananipandisha imaan nakuntia subra sheikh bachu haupo duniani lkn maneno yako bado yanaishi na yataendelea kuishi namuomba Allah akuepushe na adhabu za kaburini aifanye kaburi lako kuwa miongoni mwa viwanja vya peponi Allah naomba utukutanishe na waja wema amiin amiin
Allah akuangazie Nuru ndani ya kaburi lako nimefaidi Mengi kupitia Daawa yako Nakuombea Kila nikiona video zako na nitazidi kukuombea Allah akuweke miongoni mwa waja wema na pepo ya Firdausi nuzulah tukutane Insh'Allah amiin 🤲 ya Allah 😪
INNALLILLAH WAINA ILLAIH RAJIUN ALLAH AKUREHEMU WEWE NA UMATI ISLAM ULIOTANGULIA MBELE YA HAKI
Yaa Allah mlipe pepo mwalimu wetu Hakika ametenda mambo mengi duniani
Saidi Mohamed
Yaa Allah,mpe mema
Ameen
ALLAH amrehemu sheikh wetu amlaze pema pamoja na wema peponi amiin , nasi tuliopo nyuma atujalie mwisho mwema amiin
Allah amrehemu sheikh wetu sheikh Nassor Bachu
Wallah nikisikiliza haya mawaidha naona kama niko kwenye kikao hiki nimekukumbuka sana shekhe wangu Allah akupe pepo inshallah
Mwenye elimu inayonufaisha ummah hubaki hai hata kma amekufa. Mola akukutanishe na wema na manabii ya sheikhuna ameeen.
Rahimahu llah shekh nasoor bachu allah akurehem inshaallah
Allah akufanyie wepesi wakabri liwe moja ya makaburi ya peponi
Subhanallah Allah akuhifadh mahala pema peponi sheikh bachu Amiiin
Mawaidha ya Nassor Bachu ni mazuri sana, Allahumma rahmuhu waafihu waafuanihu
Allah akuwek ktk jannatu firdaus
Allah akujaalie pepo shehe wetu unatuelimisha japo upo mbele ya haki Allhamdulillah
Allahumma ghfirlahu Warhamhu wa askinhu fil JANNAT.....ALLAHUMMA AAMIN
maalim wangu Mungu amlaze mahala pema peponi kupata mtu mwenye kipaji kama huyu tena inachukua muda Watu kama hawa ni wachache sana wamebakia lakini ilmu yao itaendelea kuweko
Maalimu wangu mungu akulaze pema..
mwenyezi mungu amlaze pema peponi in'shaallah
Aamiyn
Mola mjalie pepo
Amyn
اللهم إنى نسألك بحسن الختم
Allah akbar
mashAllah ewe Allah mrehemu sheikh wetu na umuingize ktk pepo yko ya firdauss
Mwenyezi Mungu Msamehe Mrehemu Na Mujaalie Makazi Peponi.
Allah, muweke mahara pema peponi huyu sheikh.
Ewe Allah mpe makazi mema shekh wetu
yaallah mjaliye
pepo Shekh
wetu nasoro
bacho
Maashallah
Mashallah
Allah akibar walilahlihamdu Allah akuweke mahalapema fii jaanatifilidausi 👏👏👏❤🙏
Maaashaalaah Allah akulaze mahali pema peponi
Allahumah magrillahu warahamahu wasikinahu fil Janah
inalilah waina ilah raj'un allah ampe pepo ya fridaus awe pamoja na mitume wote kina s.a.w. huzni imenijaa mwalimu wangu amenitoka lakini huzuni yangu inaitwa huzuni ya furaha coz sheikh kafa akiwa ktk jihad ya kulingania dini huyu ndio alikuwa akiniusia kwa wingi ndio alikuwa anajibu maswali yangu ewe allah nakuomba umpokee mja wako huyu na mpe pepo yako nasisi tujalie pia tujekukutana nae peponi insha allah ameen
ameen
Amini, Amin, Amin Yarabil Al'amin.
IQRAA CHANNEL.
Aamin
😤😤😤😤😤
Ma sha allah ujumbe umefikisha
Allah akurehemu sheikh wetu
Allah amrehemu sheikh nassor
Amiin
Allah akurehemu shekh Nassor bachu Amiin 🤲, Eee Mola wangu naomba unijaalie mwisho mwema inshalla Amiin 🤲
Allah mjaze heri zaidi n zaidi kaburin mwake,mpe Raha yarabi uko alko,amiin
Allah Akbar Allah Akbar Allah Akbar 😭😭😭
Allah akuhifadh sheikh bachu na tunamuomba Allah atujalia sote waumini katika kukumbuka sana umauti na atujalia mwisho mwema
Mwenyezi mungu amlehem
M'MUNGU ampumzishe kwa amani maalim wangu,Amen!!
Amiin 🤲
Allah atuingize peponi inshaallah
mola amlipe kheri tele
Pumzika kwa aman shekhe wetu kwan umetuelimisha wengi
Amiin 🤲 ya Allah
Allah amuingize peponi fardausi kwa Rehma zake na utukufu wake
Allah Akueke Pammoja na Waja wake wemah InshaaAllah. kaburi lako liwe Sawa na jumba la peponi InsaaAllah. Nakumbuka Kuwahi Kujahaliwa Kubusu Mkono Wako Sheik Nassor Bachu Umetangulia InshaaAllah Allah Atukutanishe Siku ya YAUMULDIN InshaaAllah.
Ya Allah ampe makaz mema ya pepon Ameen
Laila Shaban yaa alaah mpee makazz mema
Aamiyn
Asalam aleykum
yarab mrehemu shekh wetu umuondoshee shida za kabrii na umpe rahaa za kabri.
ameen ameen
Mungu akulaze mahala pema peponi amin
ALLAH akuhifadh huko Innshaallah maana Dah Sina LA kusema
Yaa Rabbi tu nakuomba umpe Safar njema shekh nasoro Al marhuum
Allah amlipe mema
Rahimahullah. It's a very sad day. The sheikh passed away today, 14.03.2013. May Allah reward him with jannatul firdaws. Ameen
MrMedu490 May Allah give the highest of all paradise.his great job will continue until judgement day.sheikh Nasor Bachu is one of the greatest sheikh in my life time
amin Yaraby
@@Duck-zx5sy Allahumma Ameen. He was indeed one of the greatest scholars from East Africa. His eloquence is especially unmatched in the swahili speaking world.
رحمه الله رحمة واسعة وأسكنه الفردوس الأعلى من الجنة آمين
Amiin 🤲 ya Allah
ALLAAH HUMMA AMIN YARABY
JazaakaAllah khair sheikh nasir.may Allah azza wa jal have mercy on soul.
Allah akbar
amin Yaraby
Allah ampe firdaus
ALLAHU AKIBARU
Allah amrehemu shekh amlipe jannatul firdaus
Allahu akbar biyyadiq llykheir Allah yaa rabbiii wew ndo kila kitu kwetu
Mashaalah God bless you
mungu amlipe mema huko aliko insha allah.
salim juma inshaallah!!
Aamiyn
Allah akurehemu sheikh wetu
Allah amrehemu shekh Nassor
Allah amrehem
alla atusamehe dhambi zetu na atulizie amee.
Ina lli llahi wa inna illeihi wraji unn
Allah aqbar
Allah amhifadhi na ailaze roho yake pamoja na wema peponi
اللهم اغفرله ورحمه وسكنه فل جنه.
mwenyezi mungu akuripe pepo
inshaaallah
Maashalla
Ma shaa Allah.
rehema marjan
Allah akujaliye pepo ndugu yangu inshaallah
Allah akurehemu shehe wetu
Allah aiweke roho yake pema palipo na wema amin
Allah amjalie pepo shekhe wetu
Allah akirehemu
MUNGU ampepepo ya juu INSHALLAH
الهم اغفرله ورحمه
Allah akulinde akuepushe na adhabu zote zilizopo Akhera
❤❤❤ Allah amrehemu
Salum ali haji
Amiin yarabi
Rahma llah
Allah atupe mwisho mwema
Twakuombea Dua Kila saa na dakika
Yanga price
Mngu akurehem
Duu
Allah akurehemu sheikh wetu
Answali ww
Ndio nn
Allah amrehem