Kwanini Haifai kuleta dua ya kunuti katika swala ya Alfajiri? Jawabu la Sheikh Nassor Bachu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Bonyeza neno SUBSCRIBE kisha bonyeza alama ya kengele ili uwe wamwanzo kupata video zetu mpya.

Komentáře • 87

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki3501 Před 3 lety +19

    Shkrn jazakaAllaah khayran
    ALLAAH AKUPE MALIPO YA JANNA TULL-FIRDAUS NA ALIJALIE KABURI LAKO LIWE MIONGONI MWA BUSTANI ZA PEPONII

  • @hafidhhemed5002
    @hafidhhemed5002 Před 3 lety +30

    Wallah nikisikia saut yake moyo wang unafurah san ((nampenda ndani ya moyo wng)), allah akurehem na akusameh dhamb zak inshaallah

  • @abutafawa
    @abutafawa Před 3 lety +16

    Allâh Amrehemu sheikh Nassor Bachu...
    Jazzak Allâhu Khayran akhii Mohammad Bachu nawe Allâh akuhifadhi.

  • @NinoNino-fm8dr
    @NinoNino-fm8dr Před 2 lety +4

    Ooh Allah Msamehe shekh Wetu, Hakika Sisi tunampenda kwaajili yako

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Před měsícem

    Allha akupe pepo siku ya kwnz tu namsikia redio Iman nilitakabr Moja Kwa Moja Kwa Allha.

  • @mrishoshabani2597
    @mrishoshabani2597 Před 3 lety +5

    Ni role model wangu. Allah amrehem na amsamehe madhambi yake. Aamiin.

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 Před 3 lety +5

    Allah Akupe Rehma Zake
    Ewe Sheikh Nassir

  • @mudiabdala3406
    @mudiabdala3406 Před 3 lety +4

    Asante sana shehe wangu mpendwa. Ukweli ndo huo aneechukiya ukweli muache achukiye

  • @vitalcool9266
    @vitalcool9266 Před 3 lety +6

    ALLAH amrehemu sheikh Nassor...jazakallahul khayr..

  • @yunnusmiraj529
    @yunnusmiraj529 Před 3 lety +4

    shukran ustadh allah amhifadh almarhuum sheikh nassir

  • @adammuhidin3016
    @adammuhidin3016 Před 2 lety +1

    allah akulaze pema peponi shekh wetu

  • @suleimankhatibjogoo7236
    @suleimankhatibjogoo7236 Před 3 lety +2

    Allah amrehemu sheikh wetu sheikh Nassor Bachu

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki3501 Před 3 lety +3

    SHEKHH TUNATAKA ELIMUU JUU YA NAMNA BADA SWALA NINII KINASEMWAA KWAMUJIBU WA SHERIA NA SUNNA YA MTUME WETU MUHAMMAD SWALA NA SALAMU ZIWE JUU YAKE

  • @samirsaid762
    @samirsaid762 Před 2 lety

    Allah amueke pema peponi shekhe wetu nassor abdallaah Bachu

  • @user-xn2hp4iz6k
    @user-xn2hp4iz6k Před 4 měsíci

    Wallah Allah atakulipa kwa kile ulicho tuachia

  • @rashidmsita6588
    @rashidmsita6588 Před 5 měsíci

    Allah ampe kher kubwa kubwa kipenzi cha wengi,hakika Darsa zako hazina mfano,sikupata kukuona ila nikikusikoa ni kama nakuona bayana kabisa

  • @nassraissa717
    @nassraissa717 Před 3 měsíci

    Mashallah Allah akuĺipe kheri

  • @khalidkhaild208
    @khalidkhaild208 Před 3 lety +2

    Allah amrehemu insha allah

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k Před 7 měsíci

    Allha amrehemu shekhe Nasoro bacho

  • @khaledrajab3830
    @khaledrajab3830 Před 3 lety +2

    jazakumu llahu khayr

  • @HassanMohamed-vs4re
    @HassanMohamed-vs4re Před 3 lety +3

    Usiibezee elimu, Elimu ni bahari chukua kama ukiona haikufai achaa

  • @KhamisHaroub-uj5ci
    @KhamisHaroub-uj5ci Před 4 měsíci

    Simba wa Allah ❤️❤️❤️ anangurum na kututowa tongo # Firdaus iwe malipo yako sheikh hakika umefikisha

  • @fadhilimussa5067
    @fadhilimussa5067 Před 3 lety +1

    Allah maarhamhuu good leader in Islam

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 Před 3 lety +5

    الله يرحمك رحمة واسعة

    • @abk1127
      @abk1127 Před 3 lety

      امین‌

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 Před 3 lety

      اللهم أ مين يا رب العالمين

  • @alisimba4089
    @alisimba4089 Před 2 lety

    جزاه الله خيرا

  • @YussufSaid-ok4pu
    @YussufSaid-ok4pu Před 7 měsíci

    اللهم غفرله و رحمه

  • @akramomar3273
    @akramomar3273 Před rokem

    Masha Allah

  • @suleimanissa9316
    @suleimanissa9316 Před 3 lety +1

    Jazaka llah

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před rokem

    اللهم رحمه وسكن فلجن

  • @ummually1918
    @ummually1918 Před rokem

    Shekhe mohammed fuwata mokoba ya mzee allah amsamehe makosa yake

  • @fatumamwantumu4081
    @fatumamwantumu4081 Před 3 lety

    Mashalla Allah

  • @Mwadaba
    @Mwadaba Před 3 lety +2

    Asalam alykum brother nakuomba siku moja uelimishe watu au umma kuusu uwahabi na madhehebu mbalimbali

  • @yussufjumaomar5903
    @yussufjumaomar5903 Před 3 lety +1

    Asant sheikh

  • @YassirmohdAli
    @YassirmohdAli Před 5 měsíci

    Mung akup pepo na sis sot waislam

  • @daudijuma5914
    @daudijuma5914 Před 3 lety +1

    shukraaan

  • @ismailnamtuma1830
    @ismailnamtuma1830 Před 2 lety

    rabbana ghfirlahu warhamhu

  • @KIMSwahili
    @KIMSwahili Před 2 lety

    Alhdullah

  • @fatmamohdmuhidini7663
    @fatmamohdmuhidini7663 Před 3 lety +1

    Allah amrehem

  • @adammuhidin3016
    @adammuhidin3016 Před 10 měsíci

    Simba uyoo Allah amlipe kheri

  • @asriyaaljabry27
    @asriyaaljabry27 Před 3 lety

    Kweli kabisa hiyo ni dua baada ya swala

  • @abubakarnassor8280
    @abubakarnassor8280 Před měsícem

    no commandments but kumbusha hakika ww ni mkumbushaji maamuna wakiona ww unaondoka na wao haooo mbio nyingi hakuna nyuradi wala salamtume ila ww ukitulia pale utakumbusha in term of body language na wao watabaki kufanya nyuradi but ukiondoka na wao kma unawaruhusu
    na karne hizi tucdanganyane mtu akitoka masjid hakuna sehem m2 ataenda kaa kufanya nyuradi.😎

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 Před 3 měsíci

    Sasa wanaoleta kunuti sala Yao haikubaliki?

  • @ibrahimmwilo1586
    @ibrahimmwilo1586 Před 3 lety

    🙏

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před 3 lety +5

    Hakika tumempeteza mtu muhmu ktk uislam, ww ulikuwa mkwel wala sio mbabaifu hakika bado tunakuombea dua

    • @aliomar612
      @aliomar612 Před 3 lety +2

      @Yahya tulitarajia mwanawe Muhammad bachu atarithi ilimu ya Marhum babake kule htaa yeye ameshika mambo ya Radi tuu....yasiyo nifaisha dini bali kuleta chuki na husma na kugawanya waislamu

    • @Mwadaba
      @Mwadaba Před 3 lety

      @@aliomar612 hujamfatilia marehemu Allah amuifadh. Maana brother haleti chuki bali anasema ukweli na uzur haneni maneno take yeye ananukuu kutoka kwa mtume Muhammad S.A.W na wanzuoni sasa kosalake lipi kuelez umma kuusu itikadi potovu

    • @aliomar612
      @aliomar612 Před 3 lety

      @@Mwadaba naongelea mtoto wake Mohammed bachu sio Marhum mwenyewe

    • @aliomar612
      @aliomar612 Před 3 lety

      @@Mwadaba bro kurekebisha na kukosowa kma mtu amekosea nisawa kabisaa wala halina mjadala hilo....tatizo yeye anakosea kwenye kurekebisha kwake hatumia njia ya sawa na busara wala hikma yeye anakejeli na kudharau wakati kila mmoja ana ufahamu wake ulivyo fahamu wewe sivyo nilivyo fahamu kwahio inatakuwa hikma na busara katika kurekebisha pasi na hivyo inaweza kuwa chuki na husma kama ilivyo sasa inasababishwa na watu kma sheikh Muhammad bachu

    • @tandalesse4544
      @tandalesse4544 Před 3 lety

      Kuna hawa wanaojinasibisha na #Usalafy wakati mwingine huitafsiri QUR'AN kwa matakwa ya nafsi zao na si kwa kuwafuata #mufasirina katika #wajawema_walotangulia mfano kuna #Sheikh mashuhuri huko #Mombasa_Kenya ambaye aliitafsiri visivyo AYA ya 03 ya SURA ya 05(QUR'AN 05:03),yule na wengineo mfano wake,wanastahiri kufanyiwa ruduud ili wajirekebishe.
      Na hakuna lugha mbaya aloitumia Sheikh @Muhammad_Nassor_Bachu(الله amuhifadhi) katika kuwanasihi wanaokosea.

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 Před 9 měsíci

    Kunut ipo ktk suna mtume alikua akikutut mpaka anaingia kaburini ktk swala ya alfajir lete hadithi inayo pinga hii hadithi sio maelezo

  • @huseninchasi
    @huseninchasi Před 6 měsíci

    Imamu shafi tunamfuata ww kama huleti kunuti kaa kimya usimtukane mwenzako

  • @husein202
    @husein202 Před rokem

    ماذا الله

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp Před 3 lety +3

    Simba huyo m/mungu amrehem

  • @khamikhan9998
    @khamikhan9998 Před 3 lety +6

    Mtume ﷺ alisali vipi sala ya Alfajir je! alikunuti? na kama alikunuti lete ushahidi wa hadithi sahihi.Na tufahamu tu mtume ﷺ amesema kuwaambia masahaba wasali kama walivyomuona yeye anasali maana yake na sisi tufanye hivyohivyo.Tunapokosea sisi ni kutaka kulazimisha kuweka majambo mahala ambapo si pake yawezeana kuwa jambo ni zuri lakini linafanywa wakati sahihi na mahala pake.
    Sharti za kukubaliwa Amal (matendo);
    1.Mfanyaji awe Muislamu
    2.Afanye kwaajili ya Allah
    3.Afanye kama alivyofundisha Mtume ﷺ
    mwenye kufanya kinyume na hivyo hana ujira atakaoupata.
    Na Allah ndiye mjuzi zaid.

  • @daressalaamtanzania2736

    Na haijathibiti ktk kitabu chochote cha shafiy ninachosema qunut ni laazima

  • @hilalskanda3567
    @hilalskanda3567 Před 2 lety +1

    Vipi lei twaswali taraweh kwa jamaa na iwe sawa hilo na kuleta dua baada ya swala kwa jamaa isiwe sawa??? Yote haya hayakufanywa na mtume bali mawahabi wakubali tarawehe.!!

    • @adammuhidin3016
      @adammuhidin3016 Před 10 měsíci +1

      mamb yanaend kielimu nasiyo kiakili tutafute sehem tusome

  • @damondhamonaizbadowangu4559

    kwa iyo tumfuate nan kati u
    ya imam shafii na said swadik

  • @khaledrajab3830
    @khaledrajab3830 Před 3 lety +1

    jazakumu llahu khayr