NYUMBANI KWA MWALIMU NYERERE, KABURI ALIPOZIKWA NA MAENEO MUHIMU ALIPOISHI KIPINDI CHA UHAI WAKE
Vložit
- čas přidán 12. 10. 2023
- NYUMBANI KWA MWALIMU NYERERE, KABURI ALIPOZIKWA NA MAENEO MUHIMU ALIPOISHI KIPINDI CHA UHAI WAKE.
Join our WhatsApp chanel to get all update 🙏⬇️
whatsapp.com/channel/0029VaC1...
#nyerere #maajabu #historiayanyerere #mwalimunyerere #mara #butiama #katolikimoshionlinetv #kanisakatoliki #adhimisho - Zábava
mzee Nyerere sii baba wa watanzania peke yenye ni baba wa afrika, mimi ni mkenya lakini naheshimu viongozi wa Tanzania sana.
Karibu Tanzania
Rip
Umenena vyema
Safi sana karibu sana Tanzania 🇹🇿 inaonekana wewe ni mzalendo sana hongera
Karibu sana
Pumzka Kwa amani, mwenye kheri, Mwalimu J. K Nyerere. Mungu Baba atamkumbuka mtumishi wake katika patakatifu pake. Amina.
Nampenda sana marehemu mwalimu Nyerere. Yeye alikua kiongozi wa kipekee aliyependa Tanzania na watu wa Tanzania. Aliunganisha taifa na akamaliza ukabila. Pia alikataa na kupinga utajiri wa haramu na alikataa kuzitumia nguvu zake za kiserikali ili kuwanyonya Watanzania wenzake. Mungu amuweke mahali pema. Atazidi kukumbukwa na kujeshimiwa milele na milele.
Asante Sana Dada uko vizuri big up Sana.
Tunashukuru sana katoliki moshi online TV kwa uenjilishaji wenu mwema Mungu awabariki
Hongera kwa katoliki on line TV kurusha matangazo ya kumbukizi ya mwalimu Julius kambarage Nyerere
Asanteni Sana Katoliki online Moshi TV na uongozi mzima wa Parokia na Jimbo letu Katoliki Moshi kwa kuthamini Hija yetu na kuhakikisha tunafanikiwa Walezi wetu Mungu awabariki na kuwainua kwa viwango vya juu zaidi. Mbarikiwe Sana wote
RIP JK Nyerere hukuwa na makuu na wala hukujilimbikizia mali kama hawa chawa wa sasa. Mungu akupe pumziko la milele
Yani one of the best presidents from Africa
hongera sana kwa tv yetu pendwa ya jimbo la moshi...
Umeelezea vzr dada chukua mauayako🎉🎉🎉
😂😂😂
Uko sahihi ameelezea vizuri sana,anastahili kupewa maua
❤❤🎉🎉 barikiwa sana
Hongereni sana Katoliki Moshi Katoliki Online kwa habari na historia nzuri tena huyu dada is very smart anahaditha vizuri mno
Ahsante Mwl Nyerere.
Mungu awalinde sana nyerere nawengine wote 😢😢😢
Kazi nzuri kwa baba wa bara la Africa kwa ujumla,kweli alikuwa na utu wa watu wake,pongezi pia dada kwa umakini na uwelezaji wako wa umakini sana
Safii sanaaa mungu awabarii wotee mnaozidi kuendelez utamaduni wetuu
In Africa only two legends Mwalimu Nyerere Tanzania and Nelson Mandela South Africa
Yeah true
Ahxante dad Kwa maelekezo Yako historia ni nzr mungu ampumzixhe Baba ye2 wa Taifa mahali pema pepon amina
Ahsante Kwa kuendelea kudumisha utamaduni wetu mungu awabariki sana
Asanteni sana kwa kutufamisha hayo ya kumhusu hayati wetu tumuombeee ili mchakato ufanikiwe.
RIP jk nyerere japo umeiacha family yako gizani pia tunajua.haukufa bado upo uwasalimie wazee wetu huko na mtulinde kwa mabaya japo ulipingana na asili yako ila najua ulifanya hivyo kwa sababu ya kimamlaka ya hapa duniani tunakuombea uwe mtakatifu wa Afrika yetu tunaimani huta fanya kosa.amen
Acheni ushamba,utakatifu hauji baada yakufa biblia gani mliyo Soma kwamba utakatifu wa mtu huonekana akifa?mmelishwa matangopori,Soma,zaburi 16:3
Wewe noma dada unaelezea hadi raha
Ahsanteni sana sikuwa nafahamu yote hayo 😢 mbarikiwe katoliki moshi online tv 🎉🎉🎉
Amina
Baba wa Taifa letu tutakukumbuka daima uliacha alama isiyofutika katika Nchi yetu ya Tanzania na Dunia yote kwa ujumla.
Huyu Dada anastahili kuwa hata mtangazaji huyu ndio mwanafamilia bora kwakweli anawajua watoto wote tena kwa usahihi
From Kenya & I'm enjoying the history thank you
Nyerere ni kati ya Maraisi wema
Baba wa uwongozi wa hekima na uwazi. Hukuwaibia watu wako wala kuruhusu familia yako waibe. Pumzika Kwa Amani Baba.
Dah Rest In peace Mwalimu! Hukujilimbikizia mali kweli....
Asante tutalitambelea kabuli la baba wa taif
Nyerere alikua anaishi maisha ya kawaida
Hongera kwa video timaam, love from Nairobi, ke
Mwenyezi mungu awalaze pahala pema peponi marehemu wote waliotangulia mbele ya haki, Ameen
❤❤Mwl JK Nyerere utakumbukwa daima, wewe ulikuwa Baba wa Taifa letu la Tanzania. Starehe kwa Amani 💪💪💪🙏
Amina ❤❤❤
@@adelinelyaruu3036😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Wao nimefurahi kumuona Gaudensia tumecheza wote utotoni
" RIP! RIP ! GALLANT SON OF AFRICA! YOU GAVE MORE AND TOOK LESS! VIONGOZI WA AFRICA NZIMA HASA KENYA; IGIZENI/ CHUKUENI MFANO WA UTU NA UONGOZI, SIO KUJITAJIRISHA KWA MALI/ KODI ZA UMMA! ACHENI ULAFI KWANI PESA NA MALI MNAZOMILIKI ZINA DAMU NA NIHARAMU!!! LONG LIVE TANZANIA!!
Mwalimu was a true patriot. His Socialist ideology will be missed . Apart from him Kwame Nkurma, Nelson Mandela Kenneth Kaunda Samora Machel Oginga Odinga Jomo Kenyatta were indeed pan Africanists .
Asante tuli kuwa hatuyajui haya yote Mungu awabariki sana
Aise umeelezea vizuri jamani❤❤
Baba yetu Nyerere daima utaishi kweny mioyo yetu. Pumzik kwa aman Baba 🙏
Tumefurahia historia ya Mwl
Hongera mpo vizuri
Napenda watazania
Ni kweli kabisa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ni BABA WA AFRICA, na wala si kwa ndugu zetu wa Tanzania peke yao. Hata na sisi tunajivunia sera na uongozi safi alioachia bara nzima la Africa. Mungu airehemu roho mahali pema peponi.
Kweli ni baba yetu
Asante kwa history
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amini lala salama babayetu wa taifa letu
Ww ndio ulitupenda watanganyika hakuna Rais ambaye anaweza vaa viatu vyako Baba your the best
Baba yetu Nyerere , , tunakukumbuka kabisa hasa ktk wakati huu tupo ktk Moto mkali, hekima yako inaishi na itaishi, rip Nyerere
😁😁😁eti Siku moja moja unampisha mwenzako,kazi nzuri dada.Mungu amlaze mahala pema baba nyerere.
Amina kama Amina
...Hujawahi kuniangusha
Baraka za mungu baba mwenyezi ziwe nawe. Za baba mwana na roho mtakatifu, ziwe nawe baba mtumishi wa mungu;utuombee.Tyk na mbm..
Amina
Hongeren kwa kutufahamisha mengi kutoka kwenye familia ya baba yetu kigogo
Kabisa tumejua tuliokuwa hatuyajui
Mwl JKNyerere aliishi maisha ya kifukara sana hakuwa na tamaa ya kufuja mali za taifa lake alizingatia katiba ya nchi na biblia takatifu Mungu amweke pema mbinguni
Kabisaa 🎉
Mungu awenaye Daima
Hongeraa sana dada kwa maelezo yako mazuri, Nimekupenda sana
kabisa utazani alikuwepo anavyosimulia vizuri
Uk vzr dada hongera sanaa🎉
Yeah he was the great leader,,I named my son Nyerere as respect for kambarage Nyerere.
Kweli????
Baba pumzika kwa amani ulikuwa jembe kwelilweli ukatuletea uhuru bila damu kumwagika. Afrika tutakukumbuka sana lala upumzike salama baba ndani ya nchi yako.Amina!!
Amina 🎉🎉🎉
Mdada mpole pia anasauti nzuri
From Kenya, listen the kiswahili sanifu
Karibu sana
Amina
Asante kwa ujumbe
Yeeess Asante sana ddke
Julius Nyerere a living legend of Africa
Very clean and very close to Tanzania, you seem to be very patriotic, congratulations
Pumzika kwa amani utukomboa kutoka wakoloni🎉🎉🎉🙏
Good 👍
🎉🎉🎉 Aminaa
Dada upo vizuri mno❤❤
Pumzika salama mwalimu nyerere
Utakumbukwa daima na Wa Tanzania kwa busara na hekima yako. Upumzike kwa Amani Baba Yetu.
Kazi Nzuri
Julius K Nyerere a true Catholic faithful.
Asante Kwa historia
Huyu dada nilimkuta Butiama,unaelezea vizuri
Hakika kweli huyu alikua ni mcha mungu
Dada kaelezea vzr kuliko mwandishi
Asanteni sana 🥰🥰🥰
nenda kaangalie majumba ya Marais waliomfata wanamajumba kama matembo
Baba yetu mwasisi wataifa Mchakato wa kutangazwa mwenyeheri.. Anastahili hakuwa Baba wa Taifa la Tz kwa kifupi tunaweza kusema ni Baba wa Mataifa hususani Afrika.. Ametufundisha kitu kimoja kikubwa sana.. UPENDO na MSHIKAMONO.. Tupendane waafrika natushikamane ndio silaha bora ya ushindi katika vita yoyote ile zidi ya Shetani
Kabisa
Hasnte sana kwa hiyo Historia fupi ya Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,Shujaa wa Ukombozi wa AFRIKA..
Sema kweli mm mwalim nyelele japo kuwa sjamkuta ila raisi ambae nafatilia sana istoria yake
Nisome kama mispeles nipo pande hizi huku za chato
Neshukuru kubwa sana
Kwanza rais wa Tanzania anawakilisha country yake vizr aki nampenda sana rais Samia Hassan
Kweli
Dada Chukua 🎉🎉 yako
Asant Mungu kwa kutupa nyerere asnt kuwa mzawa wa Tanzania na Mara.. ila sasa kaone stend ya mara km zizi la ng'ombe au kaulize stend ya Butiama km ipo..
Nzega, Igunga, Manyoni, Tarime, serengeti, Bunda, na baazi ya wilaya ndogo kuna stendi nzuri ila Butiama na makao makuu ya mkoa ni kituko... Nenda simiu mkoa mpya una stendi nzuri aibuuuuu
Ameeen
Safi
SASA TUMWOMBEE DUA YA NINI WAKATI MANASEMA ZAMBI ZAKE KABEBA YESU KWAJIRI YA WANA KONDOO
Oh waafrica wawaze kama tanzania ni vema kuwa na historia
Agradeço
Uma boa história
Emuu maua ayo apo kujielezea nayo kipajiii
Unajua kuelezea we dada
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💔💔💔💔💔Mwalimu Nyerere mwanga wa milela. Umwangazie weeeee bwana 😢😢😢na rakha ya milele umpe .eeeeeh bwana😢😢😢😢
Nmekumbuka sana haya maeneo i wsh nirud tena hakika ukienda hapo kwny makumbusho hutajutia, kuna vtu ving vya kujfunza
Safi sana
Inavutia sn mdada yupo vzr nani Baba wa Taifa imebaki story jamani Mungu azidi kumrehemu alipendwa hadi akang'atuka sijui kwa sisi wengine tutang'atuliwa au tuta ng'atwa mmhh
Ulikuwa mtu mhadirifu na uliangalia mbele daima ulia cha alama kwetu bila. Wewe tungekuwa na khari ya namna gani
Mwl Baba wa Watanzania tunamuombea afike daraja la kuitwa Mtakatifu. Pia alipendwa na wasanii ona ile picha ya ubao alichonga Msanii wa Maswa _Rushengo.Baba yetu alipenda Utamaduni.,fuatilia UNATA.
I Think(When young), was ahead of my time.I loved the way Mwalimu Nyerere was uniting his country by preaching to his people about siasa safi na uongozi mwema.
Ndo penyewe kabisaaaa
Baba Nyerere mungu akupe pumziko la amani milele yote. Mioyo yetu daima historian yoko matendo yako Roha nzuri na uzalendo wa dhati baba moyo wangu unkulilia maana nilikuwa kija mzalendo ulietpeleka msmbiji Kwa ajili ukombozi. Wa ndugu zetu. Natamani siku Moja mungu akinips neema nije kuziru ziara lako naamini nitapokea baraka. Asante.
Vp
Hakika baba tutakuenzi daima
Duh!
Asanten