RAIS DKT.JOHN MAGUFULI AMTEMBELEA MAMA MARIA NYERERE NYUMBANI KWAKE MSASANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 10. 2018
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amesema Serikali ya Awamu ya Tano itaendelea kumuenzi Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere kwa kuhakikisha fikra na mipango mizuri aliyoiweka inatekelezwa kwa manufaa ya Watanzania wote.
    Mhe. Rais Magufuli ametoa kauli hiyo tarehe 14 Oktoba, 2018 wakati akizungumza na Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere nyumbani kwake Msasani Jijini Dar es Salaam alikokwenda kumtembelea muda mfupi baada ya kushiriki Ibada ya Misa Takatifu ya Jumapili iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay.
    Mhe. Rais Magufuli amebainisha kuwa Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere alifanya kazi kubwa ya kujenga misingi imara ya nchi kuwa na amani, umoja na mshikamano na pia kujenga misingi ya uchumi wa kujitegemea kupitia Azimio la Arusha.
    Ametoa wito kwa Watanzania wote hasa vijana kuungana na Serikali katika kuyaenzi yaliyofanywa na Baba wa Taifa, na pia kuliombea Taifa.
    Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere amemshukuru Mhe. Rais Magufuli kwa kuendelea kumuenzi Baba wa Taifa na amemhakikishia kuwa yeye na wanamaombi wenzake pamoja na Watanzania wote wanamuombea heri yeye, viongozi wote na Taifa kwa ujumla.
    Aidha, akiwa nyumbani hapo Mhe. Rais Magufuli aliyeongoza na Mkewe Mhe. Mama Janeth Magufuli amekutana na mtoto wa Baba wa Taifa Bw. Makongoro Nyerere na Wajukuu wa Baba wa Taifa.
    Mapema leo asubuhi Mhe. Rais Magufuli ameungana na Waumini wa Kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay Jijini Dar es Salaam kusali Misa Takatifu ambapo Waumini hao wamemuombea Baba wa Taifa, aliyefariki dunia tarehe 14 Oktoba, 1999.

Komentáře • 289

  • @fredytarimo9107
    @fredytarimo9107 Před 5 lety +260

    Safi sana mjomba.we ndo rais watanzania tumeanza kukuelewa.nchi iko shwari kama unamkubali magu gonga hapa.

  • @Eniola0ne
    @Eniola0ne Před 4 lety +24

    When I saw Madaraka Nyerere at Julius Nyerere International in Dar Es Salaam, I was shock with his simplicity, Not like other African President Sons bragging and strolling in land cruiser. He was just Walking like every Tanzania. I walk past before, I realize that, This Nyerere Son. I wanted take Picture with him, but he already went far. He was very wonderful guy, with his humility

  • @70SIXER7
    @70SIXER7 Před 5 lety +52

    Mungu Amlinde Kaka Yetu Magufuli Pamoja na Very Humble!...First Lady Mama Janet!

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 Před 3 lety +36

    Baba leo wewe ndio tunakuzungumzia hvyo kweli😭😭😭
    Namuomba Mungu akupe pumziko la Milele Baba🙏🙏🙏

  • @mumbisdesigns
    @mumbisdesigns Před 3 lety +45

    I'm watching all of Dr. Magufuli's videos while he was alive and loving him and his pure, kind heart even more. I wish I could have met him. Such loss and pain! Poleni sana ndugu zetu waTanzania, mie mwenzenu hapa USA 😢😢😢😭😭😭🙏.

  • @rezegerezege691
    @rezegerezege691 Před 3 lety +24

    😭😭😭😭😭 R.I.P BABA YANGU NAWE TUTAANZA KUKUOMBEA 17/3/2021 TUTAKUENZI HAKIKA.

  • @japhetdaud3889
    @japhetdaud3889 Před 5 lety +43

    JPM unafaa Mungu na akusaadie pia kwa kazi unayoifanya 👍👏👏💪

    • @prospermauki7304
      @prospermauki7304 Před 4 lety

      Huyu magufuli ni mfano wakuigwa na kama ukutangulia baba wa taifa basi angekua yeye. Tunakupenda raisi wetu

  • @Eniola0ne
    @Eniola0ne Před 5 lety +40

    Tanzanian are Special People, they are kind, humble People
    I am very happy to be associated with this great humble People

  • @nyanchokachacha6975
    @nyanchokachacha6975 Před 5 lety +32

    Hongera sana RAIS wetu, Mama yetu Janeth, na Bibi yetu Mama NYERERE Mungu awabariki sana na Maisha Marefu.

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc Před 3 lety +7

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

  • @nyanchokachacha6975
    @nyanchokachacha6975 Před 5 lety +21

    Big up my president I am very happy to see you struggling to bring up Tanzania with industrial Economy.

  • @abuunomaz2323
    @abuunomaz2323 Před 5 lety +31

    Rais wangu uko vzr....Mungu ibariki Tanzania Mungu m'bariki Magufuli

    • @peacelove1572
      @peacelove1572 Před 4 lety +1

      Amen

    • @aime2937
      @aime2937 Před 3 lety

      mungu pokeya mtotoyako rais njoni pombemangufuri tunamuririya Africa yote

  • @mansarayify
    @mansarayify Před 3 lety +13

    I'm not from Tanzania nor do I speak swahili but i love the humbleness and the peaceful nature of the Tanzanians.

  • @hasnathamza8438
    @hasnathamza8438 Před 3 lety +16

    Hatimae umemfata baba wa taifa pia kakumzike kwa amn bb yetu maguful tutendelea kukuombea kipenz cha watanzania wotee😭😭😭

  • @happinessjoseph3146
    @happinessjoseph3146 Před 5 lety +26

    Magufuli Mungu akupe maisha marefu baba napenda busara zako

  • @mansarayify
    @mansarayify Před 3 lety +9

    This man was really humble, I I'm loving him more in his grave than ever even than when he was alive as more evidences of his panafrican spirits are coming out. RIP my hero.

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 Před 4 lety +18

    Jpm umejaza nafasi ya baba wa Taifa Nyerere vizuri sana kushinda waliokutangulia,heko jpm, heko tena kwa uongozi wako bora,Mimi ni mkenya Lakini naenzi utawala wa Nyerere na utawala wako,mungu akubariki

    • @albertulikaye5951
      @albertulikaye5951 Před 4 lety

      Mtu akimsema vibaya Raise wetu mpendwa Dr. Magufuli akili yake haiko vizuri, anatakiwa kuombewa. Raise anayemtanguliza Mungu katika Kila Jambo!

    • @asantekwahuuwimbozubeda873
      @asantekwahuuwimbozubeda873 Před 3 lety +1

      Asante baba magufuli kwa wema wako tunaouwona wa kumkumbuka mama maria mke wa baba wa taifa letu la tanzania ubarikiwe sana rais wetu mungu akupe maisha marefu yenye kheri na anae kutakia mabaya mungu amuwaibishe

  • @JoyceAudax
    @JoyceAudax Před 2 měsíci

    Asante Sana baba yetu unafa kuigwa kwa kazi yako nzuri unayoifanya mungu akulinde na kukuongoza kwa kila ulifanyalo katika maixha yako yote.Amina tutaixhi Kama alivyotuelekeza 🙏

  • @samuelmusungu1056
    @samuelmusungu1056 Před 2 lety +2

    Very humble President,
    I wish I was a Tanzanian...... very calm n with pure heart.
    RIP Rais

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 Před 4 lety +5

    Ubarikiwe Mh Rais kwa kumkumbuka Madame Maria Nyerere

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 Před 5 lety +45

    UnapoComent humu usiongee tu kwa chuki zako, Ni Lini Raisi Magufuli alikataa mfumo wa Vyama vingi, tuwe waungwana Na Uzalendo tuwe nao, huyu Baba anaweza Na Mungu atamlinda tu, acheni chuki binafsi.

    • @priscarchiragi5826
      @priscarchiragi5826 Před 5 lety

      Binuru Sm hakuna anae mchukia ndugu yangu na pia ujuwe kuwa hata huyu anamapungufu yake na mema yake ila nilazima tuyaseme aache kuuwa wanyinge aache kuteka watu aache kukandamiza wanyonge mi ananikera tu hapo kubukeni hata shetani nae anajifanya mwema ila sio mwema ukicheza nae atakupeleka pa baya

    • @dinawankaba8205
      @dinawankaba8205 Před 4 lety

      Binuru Sm mungu akubarika JP

  • @undulemwakibabala8119
    @undulemwakibabala8119 Před 3 lety +2

    Asante Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya Rais Magufuri kwa kuzaliwa Tanzania yawezekana angezaliwa Nchi nyingine lakini ulipenda atokee Tanzania, Nina Imani huko uliko umeshafika kwa Mkombozi wetu YESU KRISTO amekupeleka kwa Muumba wetu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @doramarcel1013
    @doramarcel1013 Před 5 lety +11

    Huwa unabusara sana J.P.M umefanya jambo jema kbs

  • @mbabaziscovia4832
    @mbabaziscovia4832 Před 4 lety +11

    Tanzania's ur so lucky n blessed to be led by a leader who's full of love, humanity n with a mind of peace. Come test museveni, hmmm Uganda is in hell. N thx to Nyerere the work he did on liberating Tz

    • @sylversserubiri3765
      @sylversserubiri3765 Před 4 lety +1

      Thanks for your compliment. We need people like us who stand by the truth . God bless you 🙏.

  • @sankungyork6665
    @sankungyork6665 Před rokem +1

    I never see a such leader like him in my life a very humble man to earth and he respect everyone

  • @kudranyome319
    @kudranyome319 Před 4 lety +3

    Asante sana mheshimiwa kwa busara zako mungu akuongezee miaka mingi

  • @doricatenga4096
    @doricatenga4096 Před 5 lety +14

    Mama wa kwanza wa Tanzania mama Maria.Magufuli wewe ni mstaarabu mnooooo.big up.

    • @fezahagumi924
      @fezahagumi924 Před 4 lety

      Sinazaidi yakusema mungu akulinde mimi ni Mukongo mani goma

  • @mugishaherve6854
    @mugishaherve6854 Před 5 lety +4

    Good president for Tanzania

  • @keithochieng8805
    @keithochieng8805 Před 3 lety +7

    Rest well Daddy 💕💕

  • @wisdomuta1039
    @wisdomuta1039 Před 5 lety +6

    Mungu akubariki jpm

  • @wilondjanyengawilliam4893

    je préfère avoir cette gentillesse , cette humilité 🙏🙏🙏

  • @saumusulaiman4742
    @saumusulaiman4742 Před 6 měsíci +1

    So sad 😢 dady magufuli wetu na ww tutakuenzi milele ameen😢🤲🤲tutakukumbuka sana dady mungu akupumzishe kwa amani😭😭😭😭😭😭

  • @saudaligomba600
    @saudaligomba600 Před 4 lety +10

    Rais uyu uyu anatutosha tumuombeen kwa mungu uyu rais wa watu wote

  • @apolinashirima7424
    @apolinashirima7424 Před 4 lety +6

    Mungu ni mwema kila wakati.

  • @abelsabibi6192
    @abelsabibi6192 Před 5 lety +13

    May God bless our nation,our president together with all Tamzanian's

  • @pikipikiusedtanzaniacoltd4596

    Rais superstar jpm. Mpenda watu na rais unaependwa na wanyonge koteeee inch ata km ukichukiwa basi wachache ila ww km nyerere

  • @kaobamaabel5561
    @kaobamaabel5561 Před 5 lety +16

    Jpm,asanteeeeee

  • @gladyssembojas5308
    @gladyssembojas5308 Před 5 lety +12

    Yeah first Lady original

  • @timotheondimbo8322
    @timotheondimbo8322 Před 5 lety +38

    hata kwenda kumtembelea Mama Maria bado mtu ana dislike, tujitafakari

  • @esaumahundi5076
    @esaumahundi5076 Před 4 lety +1

    Mungu akubariki mtumishi wa mungu rais wetu kwa busara zko bwana akuzidishie uheri ukawe na hekima Kama mfalme seleman niwachache wanaofanya hayo tunashukuru baba unaenzi yote aliyotaka mwl tunakushukuru unatengeneza amani ya vizazi vijavyo hutatafuti vya Koko Bari vya Uma sante

  • @uwamaliyadidacienne6052
    @uwamaliyadidacienne6052 Před 4 lety +1

    Nashukulu sana kwa Rais wa Tanzania na unyenyekevu wake Mungu amubaliki,mimi siyo mtanzania lakini napenda Watanzania na Rais wao sana!Mbalikiwe!

  • @georgemhalla3515
    @georgemhalla3515 Před 4 lety +5

    I have nothing to comment ,but Machozi ya furaha yananitoka!

  • @edsonlaurencemwagamasasi9074

    Asante Sana kwa Kazi nzuri juu ya kumbukizi ya hayati baba wa Taifa

  • @christophercheruiyot5755
    @christophercheruiyot5755 Před 5 lety +5

    I like this president oo

  • @princesarykhan4761
    @princesarykhan4761 Před 4 lety +1

    Mungu akuongoze na akubariki katika kulijenga Taifa letu Ameen

  • @lashansoky1437
    @lashansoky1437 Před 2 lety +3

    The humble and kind people don't last long 😭😭😭,, Tanzanians are so simple in the eyes of the Lord .
    Ewe Mungu nipe hii roho katika nchi taifa la Kenya.

  • @veronicadaniel1122
    @veronicadaniel1122 Před 4 lety +3

    Nimependa Nimelia Kwa furaha kumuona bibi maria ana furaha mwenyezi mungu tulindie bibietu WA Taifa 🙏🙏🙏🙏

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 3 lety +3

    Rest In peace Rais John Pombe Maguful 17/3/2021, DAIMA nawe TUTAKUKUMBUKA, hakika wewe Magufuli ndio Baba wa TAIFA. 😭😭😭🙏

  • @MariamMandi-io5sq
    @MariamMandi-io5sq Před 2 měsíci

    Mungu akubariki baba yetu Magufuli popote ulipo.

  • @masanjawiza1734
    @masanjawiza1734 Před 5 lety +1

    kwa kweli kazi unayoifanya mheshimiwa tunaiona wananchi wako hongera sana na mungu akuongoze vyema katika utendaji wako Wa kazi

    • @shebysheby607
      @shebysheby607 Před 5 lety

      Kilambuz atakula kwaurefu wakamba yake ukiwa umetenda mema bs na mungu atakulipa mema kama ulitenda maovu ata tukuombee vp

  • @user-ik6jo6zy2v
    @user-ik6jo6zy2v Před 3 měsíci

    Roho inaniuma sana nikikumbuka❤❤❤

  • @cassiusniyimpagaritse5347

    Raisi Jpm nakosa cakusema ,so mungu akubariki sana

  • @gracejohn886
    @gracejohn886 Před 4 lety +2

    Asante Rais wetu kwa kwenda kumtembelea Bibi yetu amejisikia vizuri

  • @mahamoudabas8555
    @mahamoudabas8555 Před 5 lety +1

    Pole mama Maria, badala ya baba wa Taifa Nyerere, waliofatia walikua ni rushwa tupu na tamaa kuiibia nchi na watanzania, lakin kwa bahati nzuri tumempata JPM rais wa ukweli mpiga kazi hata baba wa Taifa huko alipo ana mbariki. Jamani mama Nyerere aangaliwe sana atunzwe huyo mama. RIP baba wa Taifa.

  • @muchunofrank1326
    @muchunofrank1326 Před 5 lety +7

    Vizuri sana mheshimiwa

  • @Okwash1
    @Okwash1 Před 4 lety +2

    Tanzanians are very respectful...I can't imagine Moi's or Kenyatta's grandchildren kneeling down for any future head of state.

    • @thebossman4875
      @thebossman4875 Před 4 lety

      And this is why I love Tanzania more than any other African country, the respect the people have for each other and their president is extraordinary

  • @anifaally1179
    @anifaally1179 Před 4 lety +2

    Mungu azidi kukupa afya njema nakupenda sana rais wetu

  • @bobm4381
    @bobm4381 Před 5 lety +4

    Umefanya vizuri Rais

  • @nyanchokachacha6975
    @nyanchokachacha6975 Před 5 lety +7

    Ni RAIS WANGU ambae nikifuatilia vizuri anaefata Nyayo za Baba wataifa kwan katika kupitia nyaraka mbalimbali nagundua kumbe hadi Stgiler mwalimu aliwaza kuijenga.

  • @priscabuzoya3087
    @priscabuzoya3087 Před 5 měsíci

    Ulale salama mzee, tutaku enzi pia ,milele

  • @user-mn7ic6wt6j
    @user-mn7ic6wt6j Před 6 měsíci

    Ubarikiwe sanaaaaaa na magufuli ubarikiwe kwa kuwakumbuka wajane hawa

  • @mudingogo6573
    @mudingogo6573 Před 5 lety +5

    mm hua napenda unyenyekevu wako tu mungu akurinde jemedari wangu

  • @marrysaimon4330
    @marrysaimon4330 Před 3 lety +1

    R.I.P Rais wetu twakuombea Mungu akupe pumzika la milele

  • @saimonmanyerezi7169
    @saimonmanyerezi7169 Před 4 lety

    Napenda the way ulivyomnyenyekev kwa wananchi wa Tanzania na pia mjeuri kwa watu wanaoenda ndivyo sivyo ,big up sana mh.

  • @lucasalphonce7820
    @lucasalphonce7820 Před rokem

    Rais Magufuli akumbukwe milele,pia yatupasa kumuombea rais wetu kipenzi mama Samia Mungu amulinde sana.ame.

  • @user-wl8ux7dg7w
    @user-wl8ux7dg7w Před 7 měsíci

    Nothing and nothing forever but we shall remember him no where tu see him but too painful for his absence

  • @eliuskalangaeliuskalanga104
    @eliuskalangaeliuskalanga104 Před 7 měsíci

    Duuuu i love you magufuli jembe wa watanzani nilikuwa na mengi sana ya kusema lakini nitayazuia kwa sababu sina mwingine wa kumwambia lakini nitakuombea kwa mungu baba akulalishe mahali salama ❤❤❤ nakupenda sana sana sana sana tena sio kidogo mungu alinde na familia yako yote kwa ujumla milele na milele amen ❤❤❤

  • @samnsadhameyer458
    @samnsadhameyer458 Před 4 lety +2

    This is Awesome!
    Wow!!

  • @mugetakasenyi821
    @mugetakasenyi821 Před 2 lety

    Sasa mbona kina koloma Kama radio

  • @oddahoward4902
    @oddahoward4902 Před 4 lety +1

    The best African President.
    May God continue to bless him.

  • @danieljohn2741
    @danieljohn2741 Před 4 lety

    Ubarikiwe na Mungu akuinue

  • @korongoibrahim3524
    @korongoibrahim3524 Před 3 lety

    Dk jpm verr good baba yangu Nirahis wa mfano umeletwa na mungu Asante tunakuombea babayetu

  • @nyangimarwa3448
    @nyangimarwa3448 Před 2 lety +1

    Dah 😭😭😭 Kweli kabisa Rais wetu umetuacha 😭😭

  • @edwinc9421
    @edwinc9421 Před 5 lety +5

    Ubarikiwe , umetuwakilisha wananchi wote

  • @ijamboryimana5687
    @ijamboryimana5687 Před 4 lety

    From Rda , love you so much magufuri God bless you

  • @mfubwakilua5380
    @mfubwakilua5380 Před 5 lety +2

    Mungu awabariki woote

  • @amranimkakanzi5977
    @amranimkakanzi5977 Před 5 lety +2

    Ubarikiwe

  • @swalehabdallah502
    @swalehabdallah502 Před 4 lety +3

    Kwa kweli hakuna rais kama ww magufuli kwa Africa nzima kwa uongozi bora na mwenye hekima hongera na mola akuhifadhi kwa Shari katika uongozi wako, mm nikutoka Kenya

  • @rudakemwafelicien7776
    @rudakemwafelicien7776 Před 5 lety +4

    Nawashukuru sana wa Tanzania nyinyi muko mufano wawa frica wote

  • @ignaspius
    @ignaspius Před 2 lety +1

    😭😭😭😭 masikin😭😭😭😭

  • @RepdcObama
    @RepdcObama Před 6 měsíci

    Upumuzike kwa Amani baba MAGUFULI

  • @younglisah5582
    @younglisah5582 Před 2 lety

    Leo nimewakumbuka jmn 2021 jumanne ya tarehe 17

  • @isayakimbe9610
    @isayakimbe9610 Před 4 lety +4

    Mama amefanana na nyerere

  • @deokessy6288
    @deokessy6288 Před 3 lety +2

    Daaaa!!! Duniani mapito

  • @godfreymuyenjwa6053
    @godfreymuyenjwa6053 Před 5 lety +2

    Asante sana.

  • @geofreyruta1723
    @geofreyruta1723 Před 2 lety

    Inauma sana hata siamini kama hayupo kweli Dunia tunapita

  • @shabinahashiri8365
    @shabinahashiri8365 Před 3 lety +1

    Kila jambo anastahiki mungu

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno5207 Před rokem

    Endlea. Kupumzika Hayati MAGUFULI 17/3/2021

  • @lucialeonard6734
    @lucialeonard6734 Před 3 lety

    Jambo zuri sana mh raisi umefanya mungu azidi kukupa heri raisi wetu

  • @ranchesranch5361
    @ranchesranch5361 Před 5 lety +7

    A lot of security detail in a private home

  • @angemaguru780
    @angemaguru780 Před 4 lety +2

    Asante magufuri ndiye wewe nyerere wapiri Dinia muzima na Afurika .

  • @musamagot6013
    @musamagot6013 Před 4 lety +1

    Jpm safii sana ktk marais wote Ww tu nakukubali akitoka nyerere ni ww

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno5207 Před rokem

    Endlea kupumzika BABA WA TAIFA..Pia Endlea kupumzika Hayati JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI,,,

  • @mwinyisiwa-vl3gs
    @mwinyisiwa-vl3gs Před rokem

    Tutakukumbuka Sana baba mungu akulinde uko ulipo

  • @khalfanmustafa6615
    @khalfanmustafa6615 Před rokem

    Mugufuli mungu akulaze mahala pema umetuacha tuna pigwa vibaya

  • @aishakapire1707
    @aishakapire1707 Před 2 lety

    Mungu ailaze roho ya makufuli

  • @modestarubunda4250
    @modestarubunda4250 Před 4 lety +1

    Nqtamani kuongea na huyo mama, najua ana busara za Mwl. Na za uongozi!

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 Před 2 lety +1

    Baba yetu umatuacha tutakukumbuka daima milele

  • @berthabushesha2068
    @berthabushesha2068 Před rokem

    Pumzika kwa Aman baba🙏

  • @sifangwira90
    @sifangwira90 Před 4 lety

    Mungu Asante kwa huyu rais wetu mpendwa,kwa kweli magufuli ni raisi wa watu,mungu amlimde.